REV. DR. ELIONA KIMARO: MBEBA KUSUDI LA KUWEPO I

  Рет қаралды 3,334

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Rev. Dr. Eliona Kimaro

8 ай бұрын

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH - IBADA YA MORNING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING* - 16/11/2023.
KICHWA CHA SOMO: KUSUDI LA KUWEPO"
"A SENSE OF PURPOSE"
NENO KUU
UNAFANYA NINI HAPA?
WHAT ARE YOU DOING HERE?
NYI - KYIKYI UWUTA IHA?
1 Wafalme 19 : 9
UNAFANYA NINI HAPA?
NENDA KWENYE KIWANGO CHAKO
FROM TEST TO TESTIMONY
MBEBA KUSUDI LA KUWEPO
Mwanzo 41 : 27 - 49
Waebrania 12 : 14 - 15
Mwanzo 41 : 37 - 49
37 Neno hilo likawa jema machoni pa Farao, na machoni pa watumwa wake wote.
38 Farao akawaambia watumwa wake, Tupate wapi mtu kama huyu, mwenye roho ya Mungu ndani yake?
39 Farao akamwambia Yusufu, Kwa kuwa Mungu amekufahamisha hayo yote, hapana mwenye akili na hekima kama wewe.
40 Basi wewe utakuwa juu ya nyumba yangu, na kwa neno lako watu wangu watatawaliwa. Katika kiti cha enzi tu nitakuwa mkuu kuliko wewe.
41 Farao akamwambia Yusufu, Tazama, nimekuweka juu ya nchi yote ya Misri.
42 Farao akavua pete yake ya muhuri mkononi mwake, akaitia mkononi mwa Yusufu; akamvika mavazi ya kitani nzuri, na kumtia mkufu wa dhahabu shingoni mwake.
43 Akampandisha katika gari lake la pili alilokuwa nalo. Na watu wakapiga kelele mbele yake, Pigeni magoti. Hivyo akamweka juu ya nchi yote ya Misri.
44 Farao akamwambia Yusufu, Mimi ni Farao, na bila amri yako, mtu asiinue mkono wala mguu katika nchi yote ya Misri.
45 Farao akamwita Yusufu, Safenath-panea; akamwoza Asenathi, binti Potifera, kuhani wa Oni, kuwa mkewe Yusufu akaenda huko na huko katika nchi yote ya Misri.
46 Naye Yusufu alikuwa mwenye miaka thelathini, aliposimama mbele ya Farao, mfalme wa Misri. Yusufu akatoka mbele ya uso wa Farao, akapita katika nchi yote ya Misri.
47 Ikawa katika miaka ile saba ya shibe, nchi ikazaa kwa wingi.
48 Akakusanya chakula chote cha miaka ile saba katika nchi ya Misri. Akaweka chakula katika miji; chakula cha mashamba yaliyouzunguka kila mji, akakiweka ndani yake.
49 Yusufu akakusanya nafaka kama mchanga wa pwani, nyingi mno, hata akaacha kuhesabu, maana ilikuwa haina hesabu.
Waebrania 12 : 14 - 15
14 Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao;
15 mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu; shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua, na watu wengi wakatiwa unajisi kwa hilo.
Mhubiri : Rev. Dkt. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Mch. Msaidizi: Anna Kuyonga
Simu: +255 713 553 443
KZfaq: Kijitonyama Lutheran church
Barua Pepe: Kijitonyamalutheran@gmail.com

Пікірлер: 6
@user-bj2sl5cp1w
@user-bj2sl5cp1w 8 ай бұрын
Amina mtumishi bwanayesu awe nawe.
@UpendoMaganga-xe9fj
@UpendoMaganga-xe9fj 8 ай бұрын
Amina
@furahamtweve4222
@furahamtweve4222 8 ай бұрын
Amen baba
@douglasmlatie5649
@douglasmlatie5649 8 ай бұрын
👏 👏 👏 👏 👏 👏 👏 👏
@user-ud2ls9ey2c
@user-ud2ls9ey2c 8 ай бұрын
Ameen
@gipsonuisso2967
@gipsonuisso2967 8 ай бұрын
Ubarikiwe baba
REV. DR. ELIONA KIMARO: SHAMBULIO LA KUSUDI LA KUWEPO KATIKA MAISHA YAKO
34:44
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 6 М.
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 45 МЛН
哈莉奎因以为小丑不爱她了#joker #cosplay #Harriet Quinn
00:22
佐助与鸣人
Рет қаралды 8 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 12 МЛН
VIDEO YA MAKONDA AKIWASILI UWANJA WA NDEGE ARUSHA
2:20
masta tz
Рет қаралды 3,5 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: MBEBA KUSUDI LA KUWEPO II
1:02:17
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 5 М.
Family TODAY, Esther Nasuwa, Ps Wilbroad Mastai: Family & Ministry
1:12:31
Family Today Show
Рет қаралды 12 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: ZUIO LA MAWAZO MAPYA NA SAHIHI
52:36
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 2,7 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: JIEPUSHE NA KIGEUGEU
1:02:03
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 15 М.
ELEWA VITU VINAVYO ZIPA MADHABAHU NGUVU ZA KUKUTESA
56:24
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 40 М.
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 45 МЛН