ELEWA VITU VINAVYO ZIPA MADHABAHU NGUVU ZA KUKUTESA

  Рет қаралды 39,735

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

Жыл бұрын

Пікірлер: 90
@NkamuhabwaFrolian
@NkamuhabwaFrolian 11 күн бұрын
Pastor ninayaelewa mafundisho, Mungu atupe neema ya kulishika neno la Mungu.
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio Жыл бұрын
Ninakuelewa Sana Pr. David; Mungu akufiche mbawani mwake, uzidi kumuanika ibilisi!
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@loicesalano931
@loicesalano931 18 күн бұрын
Amen nimebarikiwa na mafundisho barikiwa pia🙏
@Pendomabula
@Pendomabula Жыл бұрын
Mahuburi Tv Mungu wa mbinguni awaangazie nuru yake ili mtuangazie,nabarikiwa mpaka natetemeka ndani ya moyo wangu.
@HuldaMadulu
@HuldaMadulu Ай бұрын
Nakuelewa sana kila ulichozungumzia n kweli maana mim nayapitia maishani mwangu naona Mungu amekutumia ili mm nijielewe na kuvunja hiz madhabahu asante sana
@pasteursimonnizigiye4642
@pasteursimonnizigiye4642 Жыл бұрын
Nimeshukuru kwa mahubiri haya ufunguo wa kufungua Mambo magumu, ushuda wangu ni uyu walinipiga vita kanisani Ila mimi kwa Imani na Nia nilikuwa nayo yakumutumikia Mungu Niko imara hapo hapo Asante Muchungaji Mungu aongeze upako wa mahubiri
@lilianlima8609
@lilianlima8609 Жыл бұрын
Hili somo ni la kulirudia tena maana tulianguka sana bila hulifahamu hili, Mungu atusaidie sana
@JC-lk3me
@JC-lk3me Жыл бұрын
Asante sana mchungaji, umejibu maswali yangu karibu yote. Mungu akubariki wewe na familia yako🙏🙏🙏
@Joycependopendo-dv2tb
@Joycependopendo-dv2tb 7 ай бұрын
Amen bwana akubariki pastor Na akupe afay njema Na ulinzi siku zote uingiiapo Na utokapo nimbarikwa Na somo hii
@AgnessMrutu
@AgnessMrutu 8 ай бұрын
Pr Mungu akubariki sana sana, hakika masomo haya yananibariki mno na kunikuza kiroho mno, yaana kuna jambo umesema mh, nilipitia kipindi kigumu ki uchumi, basi nikakutana na jaribu la kubembelezewa ajira, tena kwa kusifiwa sana, tunakupenda, wewe ni mchapa kazi mzuri, hapo ni kwenye simu napigiwa na watu nisiowajua, mimi nikaingia kwenye mfungo siku tatu kusemezana na Mungu, kuwa elimu yangu ni ya kawaida sana, wasomi wanazunguka na vyeti wanarudi hola, mimi kwa nini nibembelezewe ajira ya kuwa bilionea kwa muda mfupi? Siku moja nimejisahau nikiwa usingizini nikaota ndoto kuwa tuko ibadani, ibada yenyewe tumekaa shaghala baghala tu, ila mbe ya kibambaza cha hapo tunakofanyia ibada kwa juu kuna kichwa cha mbuzi ndicho tunachokiabu, asb yake ndoto ikawa inanisumbua sana kuwa nn maana yake? Ghafla napigiwa simu kuambiwa Agness njoo sinza mori tunakupenda sana tunataka tufanye kazi na wewe chukua usafiri tutalipia, basi nikasema naenda, nilivyofika wakalipia bajaji vizuri nakapokelewa kwa shangwe sana, lakina hapo na mimi nasali kimoyoyo, ila ule mkao nilioonyeshwa kwenye ndoto ulikua vile vile, , ni makampuni haya yanayofanya biashara za mtandano watu, nilipotoka hakika sikurudi nyuma tena.
@JosephMpangala-wd5mp
@JosephMpangala-wd5mp 2 ай бұрын
Asante sana kwa ukweli wa sasa, Mungu akubariki sana.
@sarahndagile997
@sarahndagile997 Жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na mafundisho yako Mchungaji ubarkiwe Sana.
@marthadaniel4904
@marthadaniel4904 Жыл бұрын
Ubarikiwe san Mchungaji David mbaga MUNGU endelea kukupa Afya njema uzid ukuhubir Mataifa yote🙏🙏🙏🇴🇲🇴🇲🇹🇿👈
@bellimarwa5454
@bellimarwa5454 Жыл бұрын
Mungu akubaliki Sana unaniinua niangukapo umekuwa mrezi wangu wa kiroho ahsante kwa huduma hii jina la yesu litukunzwe sana
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 Жыл бұрын
Hili somo vijana wetu wanatakiwa walielewe,wasikie sauti ya Mungu ikiita
@agnesseunice5632
@agnesseunice5632 Жыл бұрын
Mungu awabarikini Sana tuko pamoja, katika ibada kila ninaposikiliza, amin
@florenceowino3436
@florenceowino3436 Жыл бұрын
Mungu akubariki mchungaji hata mimi kuna vifungo vikubwa tunapambana navyo kwenye familia yetu natamani kukupata lakini imekuwa ngumu mchungaji wangu nakuomba ukipata mda niombe na familia yangu naamini
@rodahadhiambo3637
@rodahadhiambo3637 Жыл бұрын
Mungu atukuzwe , Kwa kutujulisha mengi na makuu, ubarikiwe pastor
@zlpporahgechemba3111
@zlpporahgechemba3111 Жыл бұрын
Mungu akubariki pastor mafundisho Yako yamenifanya mimi kujigundua ninani Miele ya mungu.
@mbarikiwambarikiwa6479
@mbarikiwambarikiwa6479 Жыл бұрын
Ohhoo Baba wa mbinguni umenifungua macho Leo nimeona . Mwenyezi MUNGU aliye juu ya vyote anisaidie na kunisimamia.
@user-iy9px3kr8z
@user-iy9px3kr8z 8 ай бұрын
Amen Amen mtumishi wa Mungu,ubarikiwe sana
@Truegospelchannel1
@Truegospelchannel1 10 ай бұрын
Shukrani sana mtumishi
@janengaga2928
@janengaga2928 Жыл бұрын
Mungu turehemu.Barikiwa KWA mafundisho haya.utukufu KWA Mungu muumba❤️🙏.Yesu mwema❤️🙏😍
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@hellenratemo2813
@hellenratemo2813 Жыл бұрын
Amen God bless you pastor
@fridahsarah775
@fridahsarah775 Жыл бұрын
AMEN, MUNGU akubariki mtumishi
@user-qo8tm4sn3s
@user-qo8tm4sn3s 10 ай бұрын
Be blessed kila ninapokutazama napata jambo jipya from kenya
@elizabethgodfreytondo3052
@elizabethgodfreytondo3052 Жыл бұрын
Amen,Pastor,Mungu akubariki kwa somo hili.hakika nakuelewa kwani kuna mambo yanaendelea kwenye familia zetu ni laana tupu.Mungu atusaidie kupitia maombi tukavunje laana zote kutoka kizazi hadi kizazi.
@FatakiEspoire
@FatakiEspoire 10 ай бұрын
Jambo mupendwa wa Mungu uko bien ae kule kunyumba
@zeliageorge3311
@zeliageorge3311 Жыл бұрын
Amina, barikiwa Pastor tunaendelea kupona.
@rosemshana7885
@rosemshana7885 Жыл бұрын
amina Kwak somo pastor
@hamisibruno8663
@hamisibruno8663 Жыл бұрын
I like your preaching...God continue protect pr David.
@golasrichard4400
@golasrichard4400 14 күн бұрын
Be blessed,
@crispuskasanga8487
@crispuskasanga8487 Жыл бұрын
SANTA YESU NIMEBARIKIWA NIKIWA HAPA KAUNTI YA MAKUENI NCHINI KENYA
@ridanceemmanuel479
@ridanceemmanuel479 Жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki Pastor
@jeremiahlugembe4939
@jeremiahlugembe4939 Жыл бұрын
Pastor, nilijikuta nimeoa kwa njia ambayo sikuwa nimetarajia kabsa yaani tulichukuwana tu bila kufata utaratibu, nimekuwa na hangaika na hatia moyoni Japo tunaishi vizuri tu, nimetambua tabia hii ni ya ukoo maana ktk familia hakuna aliefata utaratibu, Je! Niendelee kuishi katika ndoa hii? Pia nawezaje kuvunja roho hii isije tokea kwa watoto wangu? Tayar Nina mtoto mmoja.
@naominaelijwa-gz2bf
@naominaelijwa-gz2bf Жыл бұрын
Amen
@kennedymomanyi3048
@kennedymomanyi3048 Жыл бұрын
mungu akupaliki nimejua mengi kutokana na mafusho yako
@hellenokere7989
@hellenokere7989 Жыл бұрын
Amen pastor
@isackbilili2004
@isackbilili2004 Жыл бұрын
May God bless you.
@olphanyamweya3154
@olphanyamweya3154 9 ай бұрын
Ni kweli pastor,nimesikiza Satan ameniteka nyara na uzingizi 😢
@eustina837
@eustina837 Жыл бұрын
Asnte Mungu atulinde jaman
@eliudmaburi4948
@eliudmaburi4948 Жыл бұрын
Nakupongeza mnoo mchungaji wangu natamani kujua ni kwa namna gani unaweza kuvunja madhabahu hayo. Maana kwetu kuna madhabahu ya watu kujiondoa uhai kuanzia babu, baba, naona mpaka sasa kaka yangu hiyo roho ishamvaa tiari naomba nisaidiwe!
@bernadethaprosper
@bernadethaprosper Жыл бұрын
Amina nimebarikiwa mnoo
@winniengogo2759
@winniengogo2759 Жыл бұрын
Mungu atusaidie sana sana tumechoka
@saighilunyangusi4986
@saighilunyangusi4986 Жыл бұрын
Mung akubariki mtumishi nimeguswa sana
@jacksonkavoijunior5716
@jacksonkavoijunior5716 Жыл бұрын
Mm ni Jackson from Kenya mafundizo yako yamenibariki xana
@lucynyigana2801
@lucynyigana2801 6 ай бұрын
AMINAA💯
@johnstephano6486
@johnstephano6486 Жыл бұрын
Imekaa vizuri sana hii.
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 Жыл бұрын
BWANA AKUBARIKI SANA PASTOR
@tugemwakatumbula7851
@tugemwakatumbula7851 Жыл бұрын
Mungu tusaidie 🙏
@franciselectronicrepair2823
@franciselectronicrepair2823 Жыл бұрын
mmh barikiwa sana
@lilianlima8609
@lilianlima8609 Жыл бұрын
Hakika tunahitaji neema🙏🙏
@duluxbahrain6429
@duluxbahrain6429 Жыл бұрын
mungu tusaidia
@josephmwita996
@josephmwita996 Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na hili somo la leo
@RambartGakinde
@RambartGakinde Ай бұрын
❤❤❤
@davisomanga4777
@davisomanga4777 Жыл бұрын
Aliye na sikio na asikie haya
@denisbogomba7720
@denisbogomba7720 Жыл бұрын
Mawaida mazuri paster
@user-uj4rg1xo1h
@user-uj4rg1xo1h 9 ай бұрын
Ameen 🙏🙏🙏
@EvangalistmediaTv
@EvangalistmediaTv Жыл бұрын
Amin
@dismondamwoka3563
@dismondamwoka3563 Жыл бұрын
Mafunzo mazito kabisa nimeelewa!!!!!
@marymwinga985
@marymwinga985 Жыл бұрын
Waiting
@joycemaxmillian4909
@joycemaxmillian4909 Жыл бұрын
Pastor,Mungu aendelee kukutunza ili tuendeleee kupata elimu hi ya mbinguni
@sharonetsisiche5184
@sharonetsisiche5184 Жыл бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏
@rastarasim5810
@rastarasim5810 Жыл бұрын
Amen!
@nicholasmomanyi959
@nicholasmomanyi959 Жыл бұрын
pastor mm natokea nchini Kenya naishi uarabuni napitia magumu xn naomba maombi yako
@youthtechnologies
@youthtechnologies Жыл бұрын
Mungu hata sasa amekutendea, AMEN
@MN-hi8ll
@MN-hi8ll Жыл бұрын
Nakuombea
@MN-hi8ll
@MN-hi8ll Жыл бұрын
Ni kweli watoto wanautawala wao
@jofreysilyvester1263
@jofreysilyvester1263 Жыл бұрын
Balikiwa zaidi
@samomarr8550
@samomarr8550 Жыл бұрын
God bless u pastor
@MN-hi8ll
@MN-hi8ll Жыл бұрын
Watoto wanautawala wao
@mariamaswani832
@mariamaswani832 Жыл бұрын
Ni njia gani ya kuvunja madhibahu ya kifamilia
@vickybwire4049
@vickybwire4049 Жыл бұрын
Pr. Naomba unisaidie ni kwa njia gani naweza kuvunja madhabahu ya mtu mwenye urahibu wa pombe? Namaanisha nina mtu ana hili tatizo natamani nivunje hiyo madhabahu kwa ajiri yake. Siwezi ongea mengi hapa, lkn pr. Napitia changamoto ngum sana kupitia huyu mtu.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Bonyeza hapa kzfaq.info/get/bejne/j9SqlMdyl7i5Zo0.html
@fredykatabei5516
@fredykatabei5516 Жыл бұрын
Tunafundishwa kwamba Mungu ni mwenye huruma.. sasa vp mtu ukiwa unaroga alafu unapata hela si siku ya mwisho utaonewa huruma na utaachiwa uingie mbiguni ?
@alphoncearmony9116
@alphoncearmony9116 Жыл бұрын
Apana bado tupo katika kipindi cha rehema na mda si mrefu utafungwa tuwe tayali Mpendwa
@youthtechnologies
@youthtechnologies Жыл бұрын
Ndio Mungu ni mwenye huruma, atakuja kuangamiza dhambi, hivyo yeyote aliyena dhambi ataangamizwa laikni walio samehewa dhambi watahurumiwa.
@chirstinapoul6107
@chirstinapoul6107 Жыл бұрын
Nimekuelewa. Mchungaji. Mmbanga
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️.
@piscaskatembo3909
@piscaskatembo3909 Жыл бұрын
Kama mtu amejigengeya mazabau Katika njia mbovu ya ngono anaweza samehewa ?na kubadilisha maisha kuwa kiumbe kipya?
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
1 Yohana 1:9 Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote.
@michelinaakope761
@michelinaakope761 Жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga a Asante sana pastor ,naomba uniombee mimi na familia yangu maana Kunamadhabahu inayo endelea kukututesa.
@user-os3vo4sm2n
@user-os3vo4sm2n 7 ай бұрын
Amen
@godfreybruno3443
@godfreybruno3443 Жыл бұрын
Amen
@carolinemwugusi8945
@carolinemwugusi8945 Жыл бұрын
Amen
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 Жыл бұрын
Amen
@apiamtega8643
@apiamtega8643 Жыл бұрын
Amina mchungaji nashukuru sana kwa mafundisho yako ,yananipa nguvu ya kiroho
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
FAIDA NNE ZA DHAHABU KATIKA KUSHUKURU-PR DAVID MMBAGA
51:35
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 29 М.
WATU WENGI WANAKOSEA HAPA,WEWE JE?
43:49
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 40 М.
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 10 МЛН
AINA NNE ZA UTOAJI WENYE BARAKA TELE SEHEMU YA KWANZA
48:35
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 52 М.
Jane Muthoni gûcokia cîûria iria aingî mûragia na mîhehû
1:07:56
Wambui wa Mwangi
Рет қаралды 16 М.
NGUVU YA MADHABAHU -  Pastor Myamba.
55:39
Pastor Myamba
Рет қаралды 4,8 М.
#OMBI LILOLETA USHINDI ||PR.MMBAGA ||SEH 2
52:46
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 18 М.
MY WIFE LEFT ME WITHOUT NOTICE- PK KARITEI
1:19:01
JEFF KURIA
Рет қаралды 49 М.
VITA YA MIUNGU (ACHA MUNGU APIGANE MWENYEWE VITA HII)
1:00:19
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 77 М.
SILAHA KUBWA YA KUVUNJA MADHABAHU || PR DAVID MMBAGA
56:10
Ikwabe Injili tv
Рет қаралды 15 М.
KUTENGENEZA UTAJIRI WA WATU FULL VIDEO - JOEL NANAUKA
49:41
Joel Nanauka
Рет қаралды 30 М.