Asante. Kutaka kuprove kwamba yeye ni best kuliko wengine,
@patrickkalahuka6340 Жыл бұрын
Endelesha MUNGU akubariki
@lwisekweka83213 жыл бұрын
Ninavyokupenda ni Mungu tuu ajuaye. Mungu akuinue zaidi na zaidi
@seraphinmaliyamacho82393 жыл бұрын
Danger bro umeisha nisaidia sana my brother
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Ipo Bomba sana
@akshots_tz3 жыл бұрын
kosa la kuchelewa
@josephtaretamasina29003 жыл бұрын
Kwa kweli mambo yote ni muhimu mno. Ingawa kujieleza maisha yako ni kuweka madhaifu yako ambayo ni fimbo ya kukumaliza.
@chigofapeka81873 жыл бұрын
Shule nzuri
@adriancalyx1116 Жыл бұрын
Kujifanya much know
@michaelkagoro97853 жыл бұрын
Umachinoo ndo unaharibu wengi
@rajabuphinias73023 жыл бұрын
Kuchelewa ilinicost
@coollema41482 жыл бұрын
Sawa Sawa kaka
@festoantony46732 жыл бұрын
Sawa, asante
@stephenmathias64753 жыл бұрын
Bro elimu yako imenisaidia sana
@kelvinemmanuel86163 жыл бұрын
Daaah! Kk Joel Hiyo point ya kwanza ilinigharimu sana katika ofisi niliyotoka. Naamin sitalirudia tena, Thanks alot bro.
@jsmastory57703 жыл бұрын
Upo kama mimi
@geofreymchwemba92513 жыл бұрын
Kuchelewa
@letionnews3103 жыл бұрын
Kaka asantee
@akshots_tz3 жыл бұрын
asante kaka
@sanirukimweri92753 жыл бұрын
So helpful brother Joel
@princemduzu85303 жыл бұрын
Fact points
@fedharmmark63983 жыл бұрын
Kuchelewa kazini na kusema mambo yao ya ndani, ahsante Brother kwa kunifunguwa kitu maana leo tu kingine kimetokea 💞🙌🙏
@immajuzo24403 жыл бұрын
Asant sana na tusipojifunza kwenye makosa yetu yatakua mapigo kwetu baadae naamin hatutoruhusu mapigo .
@lwt4723 жыл бұрын
siku ya kwanza muhimu sana kuwa na muonekano kwamba unahitajika kwenye kazi hio. asante sana
@Mkaambali3 жыл бұрын
Asante
@jeremiamathias27473 жыл бұрын
Kujifanya unajua kila kitu
@aidanmbilinyi81843 жыл бұрын
Nshukr ssn maan mwz ujao naingia job sehm
@japhetjohn56973 жыл бұрын
Asante, sana Brather Joel,nimekupata nikweli kabisa nikama Joseph(Yusuph) alivyokuwa anasema kila kilochomtokea kwenye Ndoto bila kujua Kaka zake hawakupendezwa kabisa na alicjokuwa anasema sema,asante Sana kwa Maarifa hayo.
@abdulmalick69113 жыл бұрын
Im so happy to be the first to watch this content
@AliMohamed-wp1op3 жыл бұрын
Kweli kabisa Bro, nilitrust watu ambao sikuwajua vizuri na kuwapa mambo yangu ya ndani and they used that against me baadae👍👍👍👍👍
@shodristvtv61213 жыл бұрын
Point no 1 Sharing personal information
@farajhassan17753 жыл бұрын
Ahsante sana kaka Mungu akubariki katika kazi yako 🙏
@joanmachibya58403 жыл бұрын
Mungu Akutunze sir Brother joel
@nursechunga44703 жыл бұрын
Asante Sana Kaka Joel, najifunza mengi Sana kwako
@sadikiselemani15803 жыл бұрын
Umeongea ukweli kabisa mwalimu na hayo ndio makosa makubwa hufanyika
@dabematv36163 жыл бұрын
""nimekupata kaka shukuran sana
@saidbanga3 жыл бұрын
Ahsante Huwa Natumia Hizi Kanuni Sana Tu Kwani Nilishwahi Kufanya Makosa Mahali Fulani Hasa Ya Kutoa Personal Information Japo Haijaniathiri Sana Ila Kuna Kitu Kilinikera Pale Nilipokuta Info Zangu Kwa Mtu Mwingine Ambaye Sijamwambia..! Kuanzia Hapo Ikawa Funzo Kwangu..! AHSANTE KWA KUNIONGEZEA VITU KICHWANI
@eliaskainkwa77913 жыл бұрын
much know
@musilangalugera25673 жыл бұрын
Kuwa bize siku ya kwanza( to be hard first day)
@melishanutrition34233 жыл бұрын
Kaka nime kuelewa Sana asante
@newlifeforever58943 жыл бұрын
Kaka JOEL UBARIKIWE
@shd12m553 жыл бұрын
Mii nakubali100%
@luckmanhussein44283 жыл бұрын
Fact, thanks for share
@robertgordon27453 жыл бұрын
nimejifunza kitu kaka
@Mlevimedia3 жыл бұрын
Nipo pmoja nawe
@greatestdaniel78653 жыл бұрын
Shukran
@Broken_Beats__233 жыл бұрын
Point ya tano hiyo ndio gumzo kaka J. Watu weng tumepotea kupitia hyo
@falconn55753 жыл бұрын
Kabisa
@ufahamuzaidi23433 жыл бұрын
Great
@hillarymustapha52523 жыл бұрын
Nimekupata vilivyo Kaka
@faudhiasalum72793 жыл бұрын
🙏❤️
@az888vietnam3 жыл бұрын
Thanks bro
@happypatrick94663 жыл бұрын
Kaka joel mimi huwa nafatilia sanq post zako lkn mm ninatatizo moja nikienda sehem yeyote ile ambayo sijawahi fika napata hofu sana had mikono inatetemeka yaani nashindwa kufanya chochote kabisa hata kushika pen mikono inatetemeka nakuomba nisaidie katika hili nataman kufanya kazi na wenzangu lkn nashindwa kutokana na hii hali
@greatideas63023 жыл бұрын
Una professional gani?
@lydiaedwin39983 жыл бұрын
Kaka yote ni muhimu kwangu coz nimekuwa natabia ya kumwamini mtu mapema Sana na nakuja juta baadae
@happypatrick94663 жыл бұрын
ICT but nimebase sana kwenye graphic desgner , database , and network