Mashaalah Mashaalah mungu akulinde Na akulinde na mabaya ya dunia👏👏👏👏👏❤
@awadhrajabu1403 Жыл бұрын
Sijaona Kichaa Apo Nimeona Mzarendo Kwa Wanyama Hata Ongea Yake Sio Kiuni Bali Ongea Yao Ni Asili Yao Sasa Aimanishi Ni Kichaa Au Bangi Kwani Bangi Sio Dawa Jamani Bangi Dawa Sema Kuitumia Kwa Utaalamu Zaidi
@theoriginals3240 Жыл бұрын
Best comment ever
@khadjamhozya11 ай бұрын
Halafu anakiri nyingiii kaokota makopa kajinunuria chuma na Simu nzurii🙏
@chinaboyzanzibar5328 Жыл бұрын
MASHALLAH MY BROTHER ALLAH ALWAYS MAKE U HAPPY BLESSED U AMEEN AMEEN AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@glaqgloryaqram7511 Жыл бұрын
Lafudhi yetu inatufanya tuonekane kama wahuni ila ndivyo tulivyo siyo kila saa chuga bangi mara madawa,mje mtujue kwanza muachage kutupa majina mabaya tu kila siku,hakuna mkoa unaomjua MUNGU km Arusha,Peace n love my Chuganian people nawapenda sanaa
@ramadhanissabura2187 Жыл бұрын
🎉
@nellywizz9631 Жыл бұрын
Tuliwaambia! Chuga ndo home napapenda sana
@theresiamartin315011 ай бұрын
Watuache na Arusha yetu
@IdarousPossy11 ай бұрын
Sio muachwe Kuna muda mwengine ni mnajifanyisha mnataka sifa mnajifanya kuweuka, kujipa uchizi ambao hamuna,mkihis kwamba ni ufahari
@IdarousPossy11 ай бұрын
Mbona kuna wengine wanarafudhi kama unazosema na wanaongea vizuri kabisa tu,ila wengine wanajifanya eti masela 😅😅😅😅
@slimshed5511 ай бұрын
MUCH LOVE FROM LONDON UK 🇬🇧 🇬🇧 MAY GOD BLESS YOU BROTHER
@Burner_Acc Жыл бұрын
Smart guy. Afike mbali
@qwqw166511 ай бұрын
Nakupa hongera sana kijana mungu akutangulie katika kazi ya mkono yako❤👍👍👍👍👈👈💖💕💕💕💋👍👍👍
@satwanthoogan6429 Жыл бұрын
Jamani mimi napenda vijana wa kiarusha! Wanavoongea..😂👍🏻❤
@jestonelazaro6543 Жыл бұрын
Kamzozo ni fedheha
@joshuanyaulingo4109 Жыл бұрын
Watakukula 😅😅
@mohamedalidarabunyange4879 Жыл бұрын
Kwer bbk.
@slimshed5511 ай бұрын
I hear u Queen❤
@official_de_wa_jongo.44409 ай бұрын
We neng’eneka tu unawashwaaa eeeeh na hamu ya kukunwa eeeeh hahaha
@sammysammy200111 ай бұрын
Big up broo ❤❤❤nimependa unavyo penda wanyama kama mimi
@martinisadru989911 ай бұрын
Daa aisee huyu jamaa ndugu yetu kabisa. Njoo huku iringa uishi utapiga pesa, nakuona ni mchapa kazi hodari sana
@piomallya99998 ай бұрын
😂😢😅
@adolfmathew9698 Жыл бұрын
Mdudu talk about peace and love in chuga Land ✊
@khalfanomary439611 ай бұрын
Super
@rehemahigilo943 Жыл бұрын
Ahaaaa
@dannymasuka1822 Жыл бұрын
Tatizo lenu wabongo ndo hilo kwani hapa bangi inahusika vipi jamaa yupo sawa
@sophyodago5062 Жыл бұрын
Nimeishi sana arusha najua ni mkoa wa kuupiga mwingi bhangi😂
@hussenhemed1050 Жыл бұрын
@@sophyodago5062 kwaiyo na wewe ulivyokaa ulikuwa unalipiga
@adolfmathew9698 Жыл бұрын
Chuga my country ni og
@hanslameck3968 Жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌
@rashidramadhan77089 ай бұрын
Nakubali Chidy boy
@jeskahaule28679 ай бұрын
Nimeipenda eeee babake
@Mwanatai Жыл бұрын
Kaka pole na mchakamchaka Naomba umtafute Benedict Matata anaishi KIJIJI CHA NAMBALA KARIBU NA SHULE YA MSINGI NAMBALA HUYO JAMAA NI MCHEKESHAJI WA KUZALIWA ANA VITU SEMA POMBE NA KUKOSA MTU WA KUMUENDELEZA VIMEPELEKEA KUTO TREND HANA SMART WALA KITOCHI
@RenaldaZeramula10 ай бұрын
Banging.mbaya
@user-of2zx5yb3k11 ай бұрын
👍✌️
@sanoureyaliwadoakaroyo1696 Жыл бұрын
Nakataa Arusha Sio Tanzania Arusha ni Nchii Nyengine Ni Vile Atujui Tu Maana Kila Maajabu Matukio Ni Arusha 😂😂😂😂😂🏃♂️🏃♂️🏃♂️
@pendo8082 Жыл бұрын
😂😂😂
@maswamills3161 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!ukiwa na stress nenda Arusha ukacheke ukae sawa!!
@happylynguya346411 ай бұрын
😂 😂 😂 😂
@hanifatanzania725811 ай бұрын
😂😂
@mohammedally920811 ай бұрын
Napingana nawewe
@brayanphilipo1851 Жыл бұрын
Anapenda dona 😂😂😂
@mkuluwaukae2221 Жыл бұрын
Arusha tuwe na rais wetu tuu, ndani ya miaka mitatu tutakua kama COLOMBIA kabisa
@rayvanlimo4928 Жыл бұрын
😂😂😂😂 wallah
@user-bo1xl6ec6n Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@josephlorri431 Жыл бұрын
Kabisa, lakin hatuna bandari
@adaboychibu1659 Жыл бұрын
Tena awe ana akili za bangi kama raia wake
@AfricaQueen Жыл бұрын
😂🤣😂🙌😂🤣🤣🙌hasa mitaa ya Ngarenarooo 🥳🥳😂🤣🤣
@ukhutfatumah1154 Жыл бұрын
Haaaaa hiiii Arusha yangu 😅 nimejikuta nacheka tu aise maana aishi matukio aise
@user-vf5sw7ez9q9 ай бұрын
Vijan wa chugaa nawap pongez🎉 nomaaa hawana
@theoriginals3240 Жыл бұрын
Chalianguu.. og
@emmanuelmchomvu2676 Жыл бұрын
Kila ktu bangi mamaeeee zenu Wala chips njooo chuga...
@sarahmollel199811 ай бұрын
Tupewe Raisi wetu tujiongoze wenyewe
@zawadijuma96818 ай бұрын
Really 😂😂
@StanleyRuta-gu7tz11 ай бұрын
A town
@tnftz1461 Жыл бұрын
Huyu jamaa ni mwamba na nusu mkiambiwa ajira hamna kaz zipo nying muwe mnaelewa muhun anavyochapika iv afu uje umdhulum au ule hela ake kisoro asikuzmishe😂
@user-xy8ix3ck3n3 ай бұрын
Waoooo mbwa wake ni mrembo
@user-ci3bv3uc8c Жыл бұрын
Nakutizama kutoka United Kingdom 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧 daa balaa yakweli pongezi Sana ndugu mtangazaji
@Thebaddest255 Жыл бұрын
Mbona unaonekana mshamba 😮
@johnzacharia689211 ай бұрын
msenge ww unatafuta madem tu, akati upo bariadi uko nkololo kabisa
@josephmaina-vm1lc11 ай бұрын
@user uthiru kinoo 😂😂😂
@josephmaina-vm1lc11 ай бұрын
@@johnzacharia6892uyu ako APA Kenya Uthiru kinoo ndio UK 😂😂
Bro ivi ukifungua you tube chanel ukibadilisha sim you tube chanel yako inaendelea au
@mohamedially533011 ай бұрын
Duu!! Unaishi na mbwa magetoni hii kali sana
@bethuelkonyuniofficial793011 ай бұрын
ameenda huyu
@mzalendomtokambali6551 Жыл бұрын
Mbwa hapa marekani hulelewa Kama mtoto na akihumwa hupelekwa hospitali, na akifa hufanyiwa maziko
@julieeliah5511 Жыл бұрын
Akiumwa
@sophiamakani613311 ай бұрын
😂😂😂😮
@selector7288 ай бұрын
Akiumwa sio akihumwa
@JeremiaDaniel-xd2zg Жыл бұрын
Ana pambana pia anampenda mbwa wake
@khadejarajab8007 Жыл бұрын
Amebandua mwenyewe pirupiru😂😂😂😂😂
@pendo8082 Жыл бұрын
Chuga kila kitu kipo😂😂
@am_tz Жыл бұрын
Yani hyo kuongea tu n kuchekesha 😂😂😂
@ibrahlissu2710 Жыл бұрын
Mdudu kama mdudu
@user-od3ro4vw2c6 ай бұрын
Uhuni tu kuoga Aaaaaaah😂😂😂
@alexmchome466111 ай бұрын
Nane nane iyo njiro
@linahmlay8512 Жыл бұрын
😂😂😂❤
@jacklinejoseph-sh3tw Жыл бұрын
Iv arusha mnanini jmn hamuishi vituko hahahahhaa
@Chettymlambalipsi-lb9km Жыл бұрын
Kaskazin hatoki fala
@vero57 Жыл бұрын
Mbona munarudia rudia 😅
@corneliusmkenya58611 ай бұрын
Germany shepherd old model ...
@bahatimoshi690511 ай бұрын
😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@hanifatanzania725811 ай бұрын
Dudu ngaa kamakawaida
@papadimayo1chanel.747 Жыл бұрын
Chugas mko Bien bouc
@jellymbogo724611 ай бұрын
Ila hawa inatakiwa wawekewe uzio sio watu wa kawaida 😄
@EuniceNasali-zu2yo Жыл бұрын
Ni aina gani ya mbwaaa
@feelfreetosee8961 Жыл бұрын
African coco
@user-ho8lh9ke2d10 ай бұрын
Mimi naipenda lafudhi ya arusha na moshi
@safiyanirram-pf3sv11 ай бұрын
Kazi ya kuota au kununua machupa wenyewe watu wadar wanaita chaka ni inalipa ukitulia mm shemeji yangu ndo kazi yake yeye ananunua na anapita mtaani mwenyewe pia kununua na mkokoteni anaishi maisha yake vuzuri nafamliy yake bira shida yani sema huyo mbwa adi ugali anapiga😅😅😊
@selemanikinyonyi71638 ай бұрын
Mbona mbwa kula ugali jambo la kawaida tu
@gladsonbaltazary74499 ай бұрын
Hakatai wala haikatiki😂😂
@gclassicog3024 Жыл бұрын
Mdudu
@lizyonce7414 Жыл бұрын
Uwezi kukosa kucheka kwa vijana wa Arusha
@pendo8082 Жыл бұрын
😂😂
@ellygach651511 ай бұрын
Arusha tunavijana wa hovyo sana
@larryking62311 ай бұрын
Muda wa kuamka muda wa kukurupuka muda wa kulala na jua 😅
@ibraiddy4761 Жыл бұрын
madagas shazii😅😅😅
@rosejoely4518 Жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🤣🤣🤣🤣
@vibetz9991 Жыл бұрын
Nilifkiri kilimo cha bangi kimekomeshwa
@barikilangoy4737 Жыл бұрын
Muulize mama ako maana analima
@user-ho8lh9ke2d10 ай бұрын
Mbona hata apo anachekesha
@kennethbenjamin275 Жыл бұрын
Eh tz kuna mastar wengi Ashakuwa star huyo
@cheiknamouna205811 ай бұрын
Hapo location jomba imekataa kutoa kionjo😂
@user-ou7jp8ug7z Жыл бұрын
Mbwa ni muhuni kama mwenyewe 😂
@josephmaina-vm1lc11 ай бұрын
🤣🤣👊🇰🇪
@user-hy2ll7mz3v Жыл бұрын
Kitu watu wengi hawajui,Arusha ni Jiji la kitalii,na ni watu wenye utamaduni wao,so jamii zao ziko tofaut kwakua wanajua wao wenyew ni kivutio Cha watalii ....,serikali isiwakere hao hao ni utalii toshaa achilia mbali vivutio vngne...
@ebenezercharles4637 Жыл бұрын
Mother land
@DenisMawala Жыл бұрын
Chuga kama chuga😂
@sadikisukuzzi444411 ай бұрын
Alafu vido nyinyi ni wabinasfi kila kitu Arusha jamaa wa Arusha
@vero57 Жыл бұрын
ARUSHA iwe nchi
@behindzscenes382611 ай бұрын
khoo ivi ndo watu wanaongeag arusha au ?
@maulidSaid-ol1bl11 ай бұрын
Mbwa kawekewa ad kidalek duh
@LatifaIddy-lk5ek11 ай бұрын
😆😆😆😆😆😆😆😆
@mabulamalole8402 Жыл бұрын
Duh, hapo Arusha kunann jaman
@mohammedally920811 ай бұрын
Balaa ndugu hilo
@BeatriceSaid8 ай бұрын
Hiii ndo chugakamachuga
@sylivestermwasile4203 Жыл бұрын
Kilo Moja na nusu mtu mbilii dona
@husseinkonz519211 ай бұрын
Bongo sihami kwa porojo hzi
@NR-ll4sr11 ай бұрын
Humjui mbwa wake breed gani
@achouraachoura576311 ай бұрын
MUNGU akulinde kijana mpambanaji🙏
@hanifatanzania725811 ай бұрын
Nava 30 nikichfukwa
@berthavbgmkmkimario572311 ай бұрын
Ukiskia chuga hy ndy chugaaa ni raha tupu kiruuuuu
@ledasjosseph555811 ай бұрын
Mageton
@gclassicog3024 Жыл бұрын
😂😂😂
@khamisikhamisi7225 Жыл бұрын
Chga style
@oman1oman179 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@azizayassin362311 ай бұрын
Uchumi mdomo mdogo#nidhamu ya pesa
@kennethamosnduttu183811 ай бұрын
Presenter huja jiandaa
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ousmanesaidy8327 Жыл бұрын
Chugastan
@Conshamusic11 ай бұрын
MBONA HUYU JAMAA KAFANANA NA MANDONGA IVO AU NI MACHO YANGU TUU?
@chesterbrand6723 Жыл бұрын
Chuga hiyo chuga hiyoo kila kitu Ni hataryy.......
@mamabakiri9767 Жыл бұрын
ubunifu
@mbsanga2111 ай бұрын
ndugu mtangazaji umefanana na huyo mshkaji.
@msabyboy5192 Жыл бұрын
Me najiuliza tyu uyombwa kwenye ichokibeg kabeba nn😂😂
@nurukwilabya2790 Жыл бұрын
😂😂😂😂 kabeba Bangi
@mohammedally920811 ай бұрын
Bado anasoma
@bernadetamodest617011 ай бұрын
🤣😃😂🤣🤣🤣😃
@bibielroybibielroy8710 Жыл бұрын
Iacheni chuga AmaniAmani tu ile ni lafuzi tu wadudu wako poa