No video

EXCLUSIVE:MWANAMKE AJIFANYA MWANAUME MIAKA 16 BILA KUJULIKANA MGODINI "NAMILIKI ZAIDI YA MILIONI 300

  Рет қаралды 95,465

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 200
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 Жыл бұрын
Masha'allah.. mungu ampe afya njema uyu mama amepambana Sana ,tunaoamini kwamba mafanikio hayajaandikwa kwa walio soma peke Ake .WEKENI LIKE ZA UYU MAMA APA .✍️😊🔥
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Жыл бұрын
tayari 🔥
@nemmoney2990
@nemmoney2990 Жыл бұрын
Wanaotoa tuzo za wanawake wapambanaji they should do research, kuna wanawake mtaani wana deserve more 🎉 huyu mama mfano bora
@shanaharuna217
@shanaharuna217 Жыл бұрын
Hongera sana Bi Mkubwa wewe ni Mwanamke SHUJAA Maua yako hayo🎉🎉🎉
@aminielimushi8709
@aminielimushi8709 Жыл бұрын
Mbona namfahamu huyu,,ana mgodi jirani kwa Bahya kwa muhindi OPEC ,,
@Mpakauseme
@Mpakauseme Жыл бұрын
Sasa stop kuingia chini ya mashimo sasa ameshakuwa mtumzima nguvu zimekwisha pungua
@neema_mollel
@neema_mollel Жыл бұрын
From today ,strong woman imepata mwenyewe ,hao wengine ilikua janja janja
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka sana leo😂😂😂😂miaka 16😂😂😂happy sweet 16 uncle hussein
@judithminja6386
@judithminja6386 Жыл бұрын
Bora alifanya ivo kuliko kujiuza
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Жыл бұрын
Daah hii ni noooma sana kweli alijitoa muhanga sana kupambania maisha yake ya mafanikio
@Wanaharakati
@Wanaharakati Жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/aKegqc90lq_KYZc.html True story
@goodluckulimboka8117
@goodluckulimboka8117 Жыл бұрын
NIMEJISKIA KUUMIA SANA JUU YA UPAMBANAJI WA HUYU MAMA, WAPO WAMAMA WANAPAKA RANGI KUCHA UTASKIA WANAPEWA TUZO ZA SUPERWOMAN.NADHANI HUYU MAMA ASAIDIWE SERIKALI IANDIKE HISTORIA YAKE NA APEWE HESHIMA YAKE.
@FatmaZena
@FatmaZena Жыл бұрын
Yaan sana,cjui Zamarad na wengine kama watalifuatilia hili
@goodluckulimboka8117
@goodluckulimboka8117 Жыл бұрын
MILLARD AYO TV ITAENDELEA KUWA KINARA WA HABARI ZA UKWELI NA UHAKIKA IKIWA NI PAMOJA NA KUIBUA TUNU ZILIZOKUWA HAZIJULIKANI DUNIANI. KATIKA CHOMBO CHA HABARI BINAFSI TUZO IENDE KWA MILLARD AYO TV YOU'RE THE BEST OF ALL❤
@mariamnur1036
@mariamnur1036 Жыл бұрын
Strong mama
@JK-uq1tv
@JK-uq1tv Жыл бұрын
Huyu mama alijituza sana miaka wengi walipaparika sana wakafa kwa ukimwi kwa kupenda anasa za Dunia kwa miaka aliyo ingia mererani.
@Sagenda_
@Sagenda_ Жыл бұрын
Najua wanaume wakiwa peke yao huwa wanajiachia sana kwenye kukojoa hawajali. Inaonekana huyu bibi kaziona nyingi sana
@Smart_FundamentalFx
@Smart_FundamentalFx Жыл бұрын
😂😂😂😂
@OmanOman-ns3iw
@OmanOman-ns3iw Жыл бұрын
Ndio umeamua kuwaza hivo😂
@odalomary5446
@odalomary5446 Жыл бұрын
😂😂😂😂 jamani
@bintymohammedy5759
@bintymohammedy5759 Жыл бұрын
Hahahahaha
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 Жыл бұрын
Akili zako wewe
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
Hongera sana Mama Pili Hussein .
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын
Eti alikuwa kashazaa mtoto halafu alikuwa mdogo hana matiti 😂😂😂 Ameshazaa!? Halafu hana matiti kipindi hicho alikuwa mdogo hakuweza kujulikana 😂 Mmm! Huenda ni ukweli lakini aseme walikuwa wanajua kama ni mwanamke lakini aliishi nao hivyo hivyo kwakuwa alikuwa mkakamavu. Lakini sio kuwa hawakumjua kama ni mwanamke
@rambazojournalist666
@rambazojournalist666 Жыл бұрын
Hii point nayo niliifikiria sana.
@maswamills3161
@maswamills3161 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@selemanmaganga-le4zg
@selemanmaganga-le4zg Жыл бұрын
Kuna wanawake wengine hawana maziwa jombaa
@maswamills3161
@maswamills3161 Жыл бұрын
@@selemanmaganga-le4zg mbona makubwa au yalikuwa Bado muda wote huo!!
@manyaraboy
@manyaraboy Жыл бұрын
Kuna wanawake matitit hayaonekan ni madogo
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km Жыл бұрын
Strong woman
@fidesbernard4835
@fidesbernard4835 Жыл бұрын
Hongera pili
@Randomlycrashes
@Randomlycrashes Жыл бұрын
Hii ni movie kabisa wazungu wakijua hii story yani wana tungia movie kabisa story ya uyu mama tz tuna kwama wapi
@jenifferropezy9872
@jenifferropezy9872 Жыл бұрын
Ni kweli sisi watu wa mererani tunamjua.
@erycah
@erycah Жыл бұрын
Wasanii wetu wanawaza mapenzi
@zayumar2955
@zayumar2955 Жыл бұрын
Maisha haya sio poa wallah 😅😅🙌🙌
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 Жыл бұрын
Mashaallah ❤
@Wanaharakati
@Wanaharakati Жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/aKegqc90lq_KYZc.html Kweli kabisa
@DijaMriri-wc4qd
@DijaMriri-wc4qd Жыл бұрын
Alikua anafanyaje akiwa kwenye siku zake
@nyassorajabu628
@nyassorajabu628 Жыл бұрын
???
@Madam255
@Madam255 Жыл бұрын
Anavaa Pads
@gracesilayo7670
@gracesilayo7670 Жыл бұрын
😂😆😆😅😅
@mwajumamwajuma55
@mwajumamwajuma55 Жыл бұрын
Namie nilikuwa nawaza napia kukojoa
@Madam255
@Madam255 Жыл бұрын
@@mwajumamwajuma55 kwan mtu si anaenda kukojoa private jaman lazma watu wakuone
@user-iz4vi8jv7o
@user-iz4vi8jv7o Жыл бұрын
Hongera zake mwanamke mwenzangu
@user-kz1hk9iw5w
@user-kz1hk9iw5w Жыл бұрын
Mwanamke wa nguvu hongera sn mama yangu wale wa kucha za bandia mpo?
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын
Tatizo serikali huwa haimuendelezi mwenyye kipaji. Bali inadili na mwenye cheti anapewa ajila kwa mzunguko wa kutosha. Laiti wangedili na vipaji Tanzania tungefika mbali sana. Kuna watanzania wanaweza kufanya mambo makubwa. Laiti wakiwezeshwa Tz itakuwa na mambo makubwa. LAKINI! haiwezekani kwasababu wazungu hawataki tuzinduke. Laiti tukizunduka wateja wa bidhaa zao watapungua...
@Hissam-uy2rz
@Hissam-uy2rz Жыл бұрын
1
@iddiamiri7690
@iddiamiri7690 Жыл бұрын
chuga Moja iyoo 🙌🙌🙌🙌🙌🔥
@janelyatuu1135
@janelyatuu1135 Жыл бұрын
Dada pili huyo mungu akupe maisha marefu dada yangu mama wakinyiramba
@jossymlay7678
@jossymlay7678 Жыл бұрын
Kawezaa Sana ❤️
@fatihiyadossa375
@fatihiyadossa375 11 ай бұрын
Jaman shangazi yangu pili
@drankskhally7019
@drankskhally7019 Жыл бұрын
Upo sawa Sana mama mpambanaji
@SalamaNauthary-ip4iy
@SalamaNauthary-ip4iy Жыл бұрын
Mashaallah
@Graceyust
@Graceyust Жыл бұрын
Mbn hujamuuliza wakati wa kujisaidia haja ndogo kulingana na mazingira ya kukaa na wanaume wengi ilikua anafanyeje?
@bernadethamlundebartlett387
@bernadethamlundebartlett387 Жыл бұрын
Wewe ni mama shujaa sana
@madinajamada9180
@madinajamada9180 Жыл бұрын
Mashallah
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 Жыл бұрын
Maisha ni pambano , safiii
@Wanaharakati
@Wanaharakati Жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/aKegqc90lq_KYZc.html
@AshaMakame-zg9xi
@AshaMakame-zg9xi Жыл бұрын
Safi sana
@greenermichael2057
@greenermichael2057 Жыл бұрын
Big up 🌹🌹🌹🌹🌹🌹❤️
@queenmariposa799
@queenmariposa799 Жыл бұрын
Hii interview angeifanya Millard mwenyewe au Vido, ingesimama zaidi
@stellamwasha1409
@stellamwasha1409 Жыл бұрын
Mara nilikuwa sina maziwa. Mara niliacha mtoto home duu yawezekana ni mkweli ila kasahau history yake❤
@stellamwasha1409
@stellamwasha1409 Жыл бұрын
Hongera sana mamy❤❤
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft Жыл бұрын
Pili kaponzwa na tatu, ila huyu mwandishi anaboa maswali yake yanajirudia na wala haleng point
@bakarirutengwe3036
@bakarirutengwe3036 Жыл бұрын
MASHALLAH,,🌹🌺🌹🌺🌷🌻🏵️🌹🌹🌹🌹
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 Жыл бұрын
Uyu mtangazaji munahusiano gani na uyo bibi maana mwafanana saaaana😊
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Жыл бұрын
😂mamaaake mkubwa
@GraceSolomon-ub3yk
@GraceSolomon-ub3yk Жыл бұрын
Uyu mama kanipa nguvuu yakujitafuta
@amour8802
@amour8802 Жыл бұрын
Sio kweli mm leo tu nimejua kama mwanamke na icho kifua je
@bahatishabani1392
@bahatishabani1392 Жыл бұрын
Mbona mjomba Hussein
@RacherBakari-qh2gx
@RacherBakari-qh2gx Жыл бұрын
Angekua magufuli ungeangaliwa
@hpmobilephone9951
@hpmobilephone9951 Жыл бұрын
Hongera mama
@RashidiIruma
@RashidiIruma 4 ай бұрын
Kwa pili ndio mgodi wangu wa kwanza kuzama upo blook d ni kweli alikua anazama sana wakati huo na maisha ya Mererani wakati huo hakuna kufatiliana kwa chochote
@WansolaLuther-tq8qm
@WansolaLuther-tq8qm Жыл бұрын
Ayo Tv huyu mama anapatikana wapi?
@emanuelchanya5182
@emanuelchanya5182 Жыл бұрын
Salute kwako 🎉🎉
@annamussa185
@annamussa185 Жыл бұрын
Haya Eric Shigongo njoo hapa uandike kitabu
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 11 ай бұрын
Mama anamiliki kitalu cha mgodi na hana simu ya kupangusa tena anawafanyakazi zaidi ya 70 ,,,mwenzangu na mimi tukipata million 2 tu chakwanza ni simu ya macho 3 tuwavimbishie wenzetu kitaaa,,,wanawake tujifunze kupitia mama huyu
@petermanala6138
@petermanala6138 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@godloveemanuel1417
@godloveemanuel1417 Жыл бұрын
🙌🏽
@JosephSimon-ts1ue
@JosephSimon-ts1ue Жыл бұрын
My mama mpambanaji huyu inabidi tujifunz kwamama huyu
@christinamamsery6309
@christinamamsery6309 Жыл бұрын
kweli ww ni mama shujaa.MUNGU aendelee kukupigania
@hayakuaabdalla7954
@hayakuaabdalla7954 Жыл бұрын
Hayo maxiwa uliyafanyajee
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын
Msikilize anasema alikuwa mdogo mdogo matiti hayakuwa makubwa
@VeronicajTemba
@VeronicajTemba Жыл бұрын
Mama na mimi naomba kazi jaman
@OG_20
@OG_20 10 ай бұрын
Hebu acheni wenge eti bimkubwa muongo na ilikuaje wasimtambue...,guys huyu mama anazungumzia 40+ years ago wengi tunaocomment hata hatukua tumefikiriwa hakafu tunabisha.....ashakua mtu mzima sana na karelax mwili umekuja .....ni ngumu kujulikana haswa ukichangia alikua anafanya kazi nzito
@Jackylmariam-qy6qe
@Jackylmariam-qy6qe Жыл бұрын
Watu jamani mnauliza sijui maziwa hamjasikiliza interview amesema zamani hakuwa nayo Ayo maziwa amenenepa tu sasa iv baada ya kupata ela muelewe
@fatihiyadossa375
@fatihiyadossa375 11 ай бұрын
Uyo mama ndowaamzilishi wa migodi mereran alikuw ni mnene uyo balaaaa sema mgodi wake niule wa zamani sasaiv aytoi ten mawe imebaki wanaesimamia wachina tu nasasaiv anaktu ten jmn dah
@leticiamwamwaja1866
@leticiamwamwaja1866 Жыл бұрын
Sasa mbona anamaziwa hawakujua kama ni mwanamke kivip
@user-wg8jd1ej1p
@user-wg8jd1ej1p Жыл бұрын
Mashaallah, ila nakuomba ujenge tena huo msikiti
@RashidiIruma
@RashidiIruma 4 ай бұрын
Pili Shayo Blok D
@medardkihekaabel2601
@medardkihekaabel2601 Жыл бұрын
Wadada Wote mnaopanda juu ya meza wakati wa mitungi mnalakujifunza huko😂
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Жыл бұрын
😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@easternyerembe7271
@easternyerembe7271 Жыл бұрын
Aliwahi kuhojiwa zamani
@hanifamasudi9732
@hanifamasudi9732 Жыл бұрын
Nimwanamke jasori kweli
@user-fn8pu6rt8u
@user-fn8pu6rt8u 11 ай бұрын
Mwanamke wa shoka ni huyu siyo hawa wengine wanaofuga makucha na kuwekwa makope na wanajiita super women
@asiamohd5516
@asiamohd5516 Жыл бұрын
Wanawake wa shoka tuko wapi jmn.
@mwitaagness455
@mwitaagness455 Жыл бұрын
Mbona anaonekana kabisa ni mwanamke
@user-yb1np4ow9p
@user-yb1np4ow9p Жыл бұрын
Apo sasaa😂😂😂
@gracesilayo7670
@gracesilayo7670 Жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆😅naishia tu kucheka hakiii
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 Жыл бұрын
Leo mtangazaji kuna kitu anawaza sana kichwa hakipo apo
@zahorodecent5126
@zahorodecent5126 Жыл бұрын
Mtangazaji unarudiarudia maswali sana.
@williammussa5621
@williammussa5621 Жыл бұрын
Daah,,kweli ajionavyo mtu ndivo alivyo,,yaan mpak ana vindevu 😀😀
@mamags8828
@mamags8828 Жыл бұрын
😂😂😂
@williammussa5621
@williammussa5621 Жыл бұрын
@@mamags8828 nomaa 😂
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 Жыл бұрын
Mtangazaji vip au nini tatizo
@julianapatrick7911
@julianapatrick7911 Жыл бұрын
Ukistaajabu ya mussa utayaona ya firauni
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Жыл бұрын
Sasa watu hawaoni ma nyonyo jmn?
@nordinebaraca4635
@nordinebaraca4635 Жыл бұрын
Bado nauliza, nhonho alizipeleka wapi kipindi iko chote?
@ledasjosseph5558
@ledasjosseph5558 Жыл бұрын
Muda wa kukojoa ilikuajee
@user-uh9hp9qp9d
@user-uh9hp9qp9d Жыл бұрын
😂😂😂😂jmn ww
@davidpaschal778
@davidpaschal778 Жыл бұрын
Siamn mm na siwezi kuamn matt2 unajua saut tu
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
❤😂
@KhadijaAbdallah-kn3ii
@KhadijaAbdallah-kn3ii Жыл бұрын
MashaAllah
@lvanyDaniel_pw7kk
@lvanyDaniel_pw7kk Жыл бұрын
Kwani hawakuona maziwa na ulegevu wa makalio😅😅😅
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 Жыл бұрын
Msikilize tena mbona yuko wazi kujieleza
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Ni wapi na mimi niende nionganisheni basi na mimi🤦🏿‍♀️
@Sharifarajabudebe
@Sharifarajabudebe Жыл бұрын
Duu hapo bado sijazaliwa
@nordinebaraca4635
@nordinebaraca4635 Жыл бұрын
Nyonyo alizipeleka wapi?
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын
Msikilize vizuri anasema alikuwa mdogo mdogo matiti hayakuwa makubwa
@amosethantheking8815
@amosethantheking8815 Жыл бұрын
Dah! Kuna maswali natamani kupata majibu yake..
@zamilahemed7037
@zamilahemed7037 Жыл бұрын
Sasa hayo maziwa walikuwa hawayaoni
@rauhiyanyange2438
@rauhiyanyange2438 Жыл бұрын
Mtangazaji punguza kula nyama za uso zitafunika macho 😒😒😒😒
@godfreymillardayoripota3002
@godfreymillardayoripota3002 Жыл бұрын
Nitakonda sanaa
@rauhiyanyange2438
@rauhiyanyange2438 Жыл бұрын
@@godfreymillardayoripota3002 hapana yani upungue kidogo tu utakuwa poa sana
@aishaathuman6445
@aishaathuman6445 Жыл бұрын
Sasa maziwa yalihama au
@Neema-lh8pi
@Neema-lh8pi Жыл бұрын
Huyu ni mchaga
@joramkimario9321
@joramkimario9321 Жыл бұрын
Sio mchaga tu.sema mchaga OG
@mcback4384
@mcback4384 Жыл бұрын
​@@joramkimario9321mtu wa Singida huyo
@leahzuu6468
@leahzuu6468 Жыл бұрын
Wahuni waliamua kumkaushia tu apate ridhki,sio km hawakumjua 😂😂
@gracesilayo7670
@gracesilayo7670 Жыл бұрын
Kweli 😂
@brysonmandari5694
@brysonmandari5694 Жыл бұрын
Ina maana hawakushtukia maumbile yako kama vile matiti au ukienda haha ndogo
@allymwilu8089
@allymwilu8089 Жыл бұрын
Mwanamke mwanamke kwanza kipini pili hata mwendo tatu hajakakamaa nne labda hamba storie Leo mmepuyanga
@Wanaharakati
@Wanaharakati Жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/aKegqc90lq_KYZc.html True story
@joesimba
@joesimba Жыл бұрын
Wamepuyanga haswaaa
@allymwilu8089
@allymwilu8089 Жыл бұрын
@@joesimba hehehehe
@ashurahaji4794
@ashurahaji4794 Жыл бұрын
Wachaga noma
@mcback4384
@mcback4384 Жыл бұрын
Sio mchagga ni mtu wa Singida
@marynyanje2336
@marynyanje2336 Жыл бұрын
Unastahili
@marynyanje2336
@marynyanje2336 Жыл бұрын
Tuzo uliyopata inakustahili
@mwitajoseph8315
@mwitajoseph8315 Жыл бұрын
Hao watu ni wapumbavu tu maana maziwa hayo yote unashindwaje kumjua
@Thisisgrace979
@Thisisgrace979 Жыл бұрын
Kipindi hicho alikiwa bado mdogo
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 Жыл бұрын
Hayo matiti aliyafichaje!
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 Жыл бұрын
Ww uwe unamsikiliza mtu anasema nini ndio ucoment
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Maziwa vipi ilikia unayaweka wapi Huseni?
@gracesilayo7670
@gracesilayo7670 Жыл бұрын
😂😆😆😆😅😅😅
@deesouth5887
@deesouth5887 Жыл бұрын
Huyo n muongo
@kaluluu2011
@kaluluu2011 Жыл бұрын
Acha MANENO mbovu we chawa au nyoka ndogo Xana huna MADA hapa kale. Ukojoe ulale
@kaluluu2011
@kaluluu2011 Жыл бұрын
Sisi Wana apoolo tunamjua wewe anko pili
@andrewzimba692
@andrewzimba692 Жыл бұрын
Haya sema wewe ukweli unaoujua
@SwaumuMusanya
@SwaumuMusanya 3 ай бұрын
Huyu mama ni kwel ww
@Veni584
@Veni584 Жыл бұрын
Mjomba gani matiti makubwa hivyo
HAYA HAPA MATANGAZO KUMI YALIYOTIKISA MIAKA YA NYUMA, NOMA!!!
12:28
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shorts
00:12
Savage Vlogs
Рет қаралды 47 МЛН
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 15 МЛН
SCHOOLBOY. Последняя часть🤓
00:15
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 13 МЛН
Alquran Dengan Suara Yang Sangat Indah | Alfatiha, Alkahfi,Yasin,Alwaqia,Arrahman,Almulk Almoeathat
3:15:51
إنه لقرآن كريم - Holy Quran
Рет қаралды 1,7 МЛН