MAMA ADAIWA KUFANYA MAPENZI NA MWANAE MOSHI, MAAJABU YATOKEA, "FUNGUO YAVUNJIKA"

  Рет қаралды 360,210

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 409
@Mommy4147
@Mommy4147 8 ай бұрын
Ssa uyu mama alimkasilikia uyu msichana Wake ju alisema kw watu duuuuuh mungu amrehemu aky pia nae sikupenda kwake mungu amuepushie adhabu za kabulini amin 🙏
@raymondmjebe2412
@raymondmjebe2412 Жыл бұрын
Mungu ndo anajua ukwelii wa hili Jambo tuombe tu mungu atujalie maadili mema la sivyo wasemaji WA ili swala nao wanaonkan wanpenda Kiki
@sabrinaandrew4245
@sabrinaandrew4245 4 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭Eee mwenyezi mungu tunakuomba utuhurumie sisi sote😭😭🙅🙏🙌
@magretsamba5002
@magretsamba5002 Жыл бұрын
Mungu msamehe mwanamke mwenzangu..Pombe ni shetani mbaya sana...sio akili yake
@anjelamathias-xn2nz
@anjelamathias-xn2nz Жыл бұрын
Eee mwenyezi mungu tusaidie sisi na vizazi vyetu
@zayumar2955
@zayumar2955 Жыл бұрын
Innalilah wynalillah rajiuun Tumuombe Mwenye enz Mungu atusaidie Jmn matukio yanayotokea ktk nchi yetu ni mazito mnoo makubwa Yan yanaogopesha wallah watu wamekua hawana utu kabisaa wala hofu ya Mungu 😢😢💔
@Mwahijamohamedi
@Mwahijamohamedi 4 ай бұрын
😊
@jumaseleman5972
@jumaseleman5972 Жыл бұрын
Hii dunia inamambo,Mambo sisi wenyew binadamu,eeee mwenyezi Mungu tujalie mwisho mwema,kila kukicha afadhari ya Jana.
@MerrySele
@MerrySele Ай бұрын
yaani jamani tunapotea
@patrickmunishi2277
@patrickmunishi2277 Жыл бұрын
NINACHOJUA SIKU ZA MWISHO, UOVU NI MWINGI SANA, HIYO NI TRELLA TU, YAPO MENGI MSIO YA JUA, USHAURI WANGU. TUBUNI MUMWAMINI YESU KRISTO MUOKOLEWE. DUNIA INAELEKEA MWISHO.
@Mpakauseme
@Mpakauseme Жыл бұрын
Hakuna mtu ambaye ataijua siku ya mwisho uwovu ulimwenguni haukuanza leo
@user-ow3lc6lk9p
@user-ow3lc6lk9p 4 ай бұрын
Yesu siyo Mungu muwe na akili timamu
@user-ic7oo1vt4v
@user-ic7oo1vt4v 3 ай бұрын
Baada ya dhehebu kuwa mengi na wachungaji wengi mambo yanazidi kuwa mabaya hivyo turudi enzi za mababu zetu tuachane na madhehebu ya watu wa Magharibi
@scholarmawala1403
@scholarmawala1403 Жыл бұрын
Dunia imebaki kiduuchu 😭😭😭
@asiamerey9081
@asiamerey9081 Жыл бұрын
Saaaana tena
@valeriamtenga3384
@valeriamtenga3384 Жыл бұрын
Mungu wangu , na baba yangu , tu waovu sisi hatufai mbele zako! Achilia Rehema zako juu ya kizazi chetu baba! Hatuna pa kujificha , uasi umekaa juu yetu, hatuna pa kwenda wala wa kutuepusha na haya ila wewe Yesu Kristo Amina
@FredMjuni-di7zs
@FredMjuni-di7zs Жыл бұрын
Mwitege
@theopistachialo9286
@theopistachialo9286 7 ай бұрын
@@FredMjuni-di7zs p
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 Жыл бұрын
Inna lillah wainna ilayh rajiuun....allahu Akbar.. yarabb tunaomba utusamehe dunia imekua ya Moto Sana tuepushie hii mitihani ya ajabu ...
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 Жыл бұрын
Mungu usituache watoto wako tunaluitaji sisi na uzao wetu
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 Жыл бұрын
mhhhhhhhh mungu muepushe mama angu na hii laaana 😭😭😭😭😭nakulilia mungu toa hii laaana kwenye familia zetu yan watu wamekosa hof ya mungu jaman....
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 Жыл бұрын
Watu wanalogwa my yani hapo unakuta alirudishiwa faham baada ya watu kujua Lakin uyo Mama alifungwa fahamu
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Жыл бұрын
Inna lillahi Wainna ilayhi Raajioun😭😭😭😭
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Mimi sina lakusema zaidi ya kuogopa sana 😢 🙏
@catherinemuhagama7338
@catherinemuhagama7338 Жыл бұрын
Duh hatar kwel Mungu haziakiw unaapa na kwel unaenda mbaya zaid unaapa wakat kwel mmetenda ktendo ambacho hata vtabu vya dini vnakataza si uchaw huo jamanii.,.Anyway Apumzke kwa Aman pia Mungu ndio mtoa hukum🙏🙏🤲
@angiringalyimo365
@angiringalyimo365 Жыл бұрын
mama amefanya hivyo ili wapate mali! kwa sababu binadamu tumemkataa Mungu katika fahamu zetu, hayo ndo matokeo yake! Warumi 1:24-26
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 Жыл бұрын
Nyie watu wanalogwa mm naamin uyu Mama na mtoto wake wamechukuliwa fahamu zao angekuwa anafanya kwa kupenda asingekufa mana alikusudia kufanya kwaiyo Haya nimbo ya kiroho Sana tuombee Familia zetu Ibilisi yupo kazini
@upendombise8113
@upendombise8113 Жыл бұрын
Kwakweli ata mimi naamini ivyo
@janechaula2870
@janechaula2870 10 ай бұрын
uko sahihi my
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 Жыл бұрын
Tatizo Kubwa Lajamii Yetu. Wengi Wetu Tunashindwa Kuelewa. Hapa Tunaangalia Tulipoanguakia. Nasio Tupojikwaiya. Tatizo Sio Mama Nawala Sio Mtoto. Pombe Nikharamu. Tuache Pombe.
@donathakimaro5276
@donathakimaro5276 Жыл бұрын
Mungu wangu tutasikia mengi.kama watu hawataacha ulevi ni hatari kuna mengi sana kama hayo yanatendeka watu hawaweki wazi tu kwa kuogopa aubu. Ulevi ni hatari kuliko hata huyo shetani
@wemakingdaily1462
@wemakingdaily1462 Жыл бұрын
Hivi huyo mama ana umri wa miaka mingapi?
@Asha_167
@Asha_167 Жыл бұрын
The world has run out of basic repentance 😥 😥
@alisterlexter1115
@alisterlexter1115 Жыл бұрын
Mungu uturehemu sisi wanadamu.........tusamehe tunusuru na ghadhabu Yako eeh baba Mungu🙏😭
@TeresiaShirima
@TeresiaShirima Жыл бұрын
Huyu mama inawexekana alikuwa na laana
@ephraimwadaudi2867
@ephraimwadaudi2867 Жыл бұрын
Ni serikali ya mpinga kristo inaandaliwa
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 8 ай бұрын
❤❤❤❤❤kilichopo ni kutubu zambi tuziache siku za nwisho izo
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Innalillahi wa inna ilaiyhi Rajiuun 😢Ee mungu Tunusuru waja wako 😢😢😢
@cecygeorge4443
@cecygeorge4443 Жыл бұрын
Pasua kuna makabila kibao sio wachaga niseme tuu changanyikeni poleni wamepigwa na kitu kizito kweli mama safari salama😭
@monicambuya-sq9ms
@monicambuya-sq9ms Жыл бұрын
Mh sijui uelewa wangu mdogo kwa mujibu wa diwani mama alikataa kula chakula mahabusu bila mwanae pia upande wa dhamana pia aligoma hawezi kutoka bila mwanae inawezekana alikua anafanya kwa kujua
@alumonkisinda4574
@alumonkisinda4574 Жыл бұрын
Mungu amsamehe hamu alikuwa nayo ya kutosha alafu ndo kakosa wa kumsaidia hadi kamludia mtoto jamani hamu ya lala salama siyo kitu kidogo tumuombe kwa mungu tusimlaumu sana
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 11 ай бұрын
Inaonekana unaona sawa
@NashonNashon-dk1sq
@NashonNashon-dk1sq 11 ай бұрын
Dunia imefika mwisho tunakwenda wapi jameni 😭😭😭😭😭
@Mamatee7013
@Mamatee7013 Жыл бұрын
Mungu atunusuru na haya maovu dunianii ni huzuni 😔 😟 🙁 😥
@user-ci8zd6ij7c
@user-ci8zd6ij7c 4 ай бұрын
Mungu aturehemu, kama nimeelewa naona huyu mtoto ndio alikua anamvizia mama akiwa amelewa
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 11 ай бұрын
Waganga watu wabaya sana watakuwa wamemrubuni huyu mama mashart mabaya jmn dah😢
@joycelongo1213
@joycelongo1213 Жыл бұрын
Du dunia imeisha tuzidi kumuomba mungu. Sana
@aash4145
@aash4145 Жыл бұрын
Aibu imemuua mama, jamaniiiiii😢😢😢
@FIDELISMfugale
@FIDELISMfugale 3 ай бұрын
Sema njoroo,pasua,kariman mitaa kilaa uchaf kule utaupataa
@annehk8185
@annehk8185 Жыл бұрын
Maajabu yanaendelea kutokea ee Mwenyezi Mungu tusamehe sisi wanadamu
@halimakulwa7645
@halimakulwa7645 Жыл бұрын
Jamani ivi kabisa mama anaweza kutembea na mwanae muu jamani nyuma ya pazia kunakitu siyo bure
@naomisanga6980
@naomisanga6980 Жыл бұрын
Kweli kabisa dada sioakili yake kuna kitu
@salomeraymond2051
@salomeraymond2051 Жыл бұрын
hii historia ipo uko wamam kutembea na watt wao kisa Mali MUNGU atunusuru😓
@neema_mollel
@neema_mollel Жыл бұрын
Baba akimla mwanae hamrukagi kimanga hivi ,mama akimla mwanae basi masikio yanawasimama.
@esaujailosfromtanzania3406
@esaujailosfromtanzania3406 Жыл бұрын
Hii dunia sijuii Inaenda wapiii😢😢
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Cyo dunia inaenda wapi, ni waja wa laana wanafanya maovu kumshinda ibilisi. Then mpaka ibilisi anashangaa.
@MariaCassian-ys7pt
@MariaCassian-ys7pt 3 ай бұрын
Mungu turehemu. Tusanehee watanzania tunaomba rehema na Neema zako
@LeonardWangele
@LeonardWangele 3 ай бұрын
Huyo jamaa atalaaniwa hadi mwaisho wa maisha yake, pia hili tukio liwe fundisho kwa jamii pombe si chai jaman achani pombe.
@linahmacha370
@linahmacha370 Жыл бұрын
Shetani yupo kazini jamani hii kitu inaweza mkuta mtu yeyote yule Cha msingi tuzidi kuombea familia zetu Kila siku 😭😭
@zenaycechanzinho6702
@zenaycechanzinho6702 Жыл бұрын
Sanaaaa
@fatmamayunga5792
@fatmamayunga5792 Жыл бұрын
Tumekwisha
@benardthomas8347
@benardthomas8347 Жыл бұрын
Mama wa dawati ametumia nguvu nyingi sana, huyo ni mzazi laana mtakayoipata hamtakaa msahau
@teophilletus8969
@teophilletus8969 Жыл бұрын
Sjakuelew apo kdg kaka laan itawapata kina nani apo make duuu
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 10 ай бұрын
Umelewa nn au na ww ndo xako kwa wanao?likafie mbali huko.
@happymwanyelele8576
@happymwanyelele8576 10 ай бұрын
@@yukundapeter8200 😂😂😂😂
@MeryMichael-mg2zc
@MeryMichael-mg2zc Жыл бұрын
😢😢turehemu Yesu
@gililwise
@gililwise Жыл бұрын
Ulevi ni mbaya sana.usiruhusu pombe ikutawale hata siku Moja.
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 Жыл бұрын
Daaah dunia hii 😢😢😢😢😢kuna siku tutaamka haipo
@amirmussa6735
@amirmussa6735 Жыл бұрын
Kabisa yaan
@janembiro3057
@janembiro3057 Жыл бұрын
Hatari sana
@flavianamrema7857
@flavianamrema7857 Жыл бұрын
Mhhh umenena neno zito
@zainabubalama8869
@zainabubalama8869 Жыл бұрын
SubhanaAllah 😭😭 huyu mtoto hana radhi kabisa
@zulfasalum9384
@zulfasalum9384 Жыл бұрын
Kwn alimbaka?
@zainabubalama8869
@zainabubalama8869 Жыл бұрын
@@zulfasalum9384 Ww unaweza kuingiliwa na baba yako kilasiku hebu twambie inamaana hii kitu umeona ni saw au
@benedethamapunda71
@benedethamapunda71 9 ай бұрын
@@zainabubalama8869 Dah waganga mrudieni Mungu masharti mnaowapatia vijana saizi ndo
@benedethamapunda71
@benedethamapunda71 9 ай бұрын
huyu inaonekana amefurahia
@Lassana755
@Lassana755 3 ай бұрын
mama ndo hana laaana katembea na mwanawe wa miaka 16
@jacklinejackline8607
@jacklinejackline8607 Жыл бұрын
Fanyeni uchunguzi maana sio bure Mama kufanya mapenzi na Mtoto wake
@annamitumba3981
@annamitumba3981 Жыл бұрын
Asante ndugu ripota wetu baba tishii kutoka soko la maimorya.
@lailalaila8206
@lailalaila8206 11 ай бұрын
innalillah wa innalillay la juun msiba mzito huu kulala na mama yako aisee rana kumu
@hamzakivuma
@hamzakivuma Жыл бұрын
Namuona pastor mzava....👋👋
@aminashabanjuma4705
@aminashabanjuma4705 Жыл бұрын
wachaga shikamooo mnapenda kulala na watoto wenu
@maryandason1815
@maryandason1815 Жыл бұрын
Dah yhn hiz mapombe ya vilabu bubu.muache haki...aisee mm mpka saah ctak kuamin Mama Ney n kwel uliamua kufanya n uy chalii uliyemlea mwenyew n kumzaa.chanzo Cha yote n mapombe yacyo na adabu...polen 😢.neema..
@janelulambo3957
@janelulambo3957 9 ай бұрын
Mungu hadhihakiwi jaman,tena hadhihakiwi,et naomba nife hapa hapa,naukizingatia jambo lenyewe nichukizo mbele zake,unaondoka huku unajiona.
@DaudiPius-oc7ye
@DaudiPius-oc7ye Жыл бұрын
Mungu atusaidie sisi na vizazi vyetu
@zubedajamuhur6467
@zubedajamuhur6467 Жыл бұрын
Innalillah mollah atupe mwisho mwema wallah
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Duhuu dunia imefikia mwisho miaka 16 mbona yeye mama ndo alikuwa anamfundisha mtoto wake
@khatijakhatija6172
@khatijakhatija6172 10 ай бұрын
Watoto wa sasa wanajua mambo makubwa zaidi ya wazazi.miaka hii mtoto anajua kila kitu mafundisho yalikuwa kwa watoto wa zamani.
@saidmasengo7988
@saidmasengo7988 Жыл бұрын
DUUH hizi tamaa hizi😢😢😢
@khadijashabaninimba7890
@khadijashabaninimba7890 Жыл бұрын
Subhan'Allah 😭😭😭Allah atusamehe Inna ilaihi wain illah rajun
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 4 ай бұрын
Huyo mama kiboko alikuwa anataka utajiri sasa Mungu amemhukumu
@user-xo5lq7mw3n
@user-xo5lq7mw3n 4 ай бұрын
Innalillah wanna illah Rajiun Baki Allah dah Mungu ampe kaul thabit ni mtihan mkubwa,
@daviddouglas8943
@daviddouglas8943 10 ай бұрын
Ni hawa tu wamepata bahati mbaya wamejulikana, lakini haya mambo ktk Jamii yapo mengi tu, yanafanywa kwa siri, mengi tunayajua ni ya wanaume na mabinti zao lakini wamama pia wamo. Mungu na atunusuru sana.
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
inalilahi wainailah rajiun 😭 mtihani walahi dah 😭
@MisosimitamuC
@MisosimitamuC Жыл бұрын
Kwahiyo mtoto alikua anamuingilia mama akiwa hajitambui au
@rosekilawe786
@rosekilawe786 4 ай бұрын
Na huyo mtoto jamani hakuelewa nimama yake Mungu tusamehe dunia uovu umezidi.
@khamysamursally5932
@khamysamursally5932 9 ай бұрын
Umejibu vizuri jirani watt wanashidaa sanaa
@Yunis-hn9hn
@Yunis-hn9hn Жыл бұрын
Wamama na ulevi mmeziuwa familia nyingi.
@stephenjefaofficial
@stephenjefaofficial 9 ай бұрын
Mmmmm dunia hii mungu asaidie watu wake maana jamiii inapotea
@user-gw6pv9tp1r
@user-gw6pv9tp1r 3 ай бұрын
Jamani dunia simama nishuke🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
@user-ps1ph9iv5b
@user-ps1ph9iv5b 9 ай бұрын
Halafu tukifa tukifika kule tutakua tunasimuliana jinsi tulivokua tunaishi duniani na nn kilitokea mpaka tukafa 😂😂😂😂😂
@alimatambwe3402
@alimatambwe3402 Жыл бұрын
What? Mbona Tanzania kunavituko vyakutisha?,Innalilahi wainailahi rajiuun 😮😢.
@MamaIbrahim-tl4or
@MamaIbrahim-tl4or Ай бұрын
Ee mungu nakuomba tuepushe naizi laana maana namm nimama
@navyoagrey7523
@navyoagrey7523 Жыл бұрын
Yesu rudi.... sasa
@neemareuben311
@neemareuben311 Жыл бұрын
Kwa ss wa cristo tunaisoma biblia tunasoma sana na kujua Dalili za mwisho ndio izoo hpaaa aisee Mungu atupe mwisho mwema
@khadijazayumba3857
@khadijazayumba3857 Жыл бұрын
Mmmmmh!!!! Mungu amlehemu huyo mama mungu ndio hakimu
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 Жыл бұрын
Unamuimbea mtu mchafu kama huyo?msamaha kwa uchafu kama huo ulio wazi??? Usijibebe thumbing za mtu kwa kumshirikisha M'mungu
@salamakiwinga6310
@salamakiwinga6310 Жыл бұрын
dunia simama nishuke 😭😭😭😭
@hijamwinyi3233
@hijamwinyi3233 10 ай бұрын
Mtihani wallahi allah atupe mwisho mwema
@aash4145
@aash4145 Жыл бұрын
Mtihan mkubwa mno, jaman dunia 😢😢😢😢😢😢😢😢hadi inaogopesha mm
@damarischacha-yv2pc
@damarischacha-yv2pc 3 ай бұрын
Weeeh jamani Tanzania kunoma😭😭
@anenragnesmunis8490
@anenragnesmunis8490 5 ай бұрын
Mbona ni mtoto mdogo sana jaman miaka16 si kama huyu wa kwangu
@user-rn4gm1gj8f
@user-rn4gm1gj8f 4 ай бұрын
Duuuh dunia imevaa sketi jemen
@user-cg3mp6pg6e
@user-cg3mp6pg6e 4 ай бұрын
Mkowa wamoshi mbona una matukio sana MUNGU amlehem😢😢😢😢
@marthaadammakatobemwakatob4246
@marthaadammakatobemwakatob4246 Жыл бұрын
Mambo yamekuwa mengi Tukeshe na kuomba huu mwisho wa dunia
@khadijashabaninimba7890
@khadijashabaninimba7890 Жыл бұрын
Hakika
@neemasamson314
@neemasamson314 Жыл бұрын
Kweli kabisa ndugu yangu maana ni hatari
@shemsahemed3577
@shemsahemed3577 Жыл бұрын
Mungu atupe mwisho mwema jamani ni dalili za kiyama
@asmarashidi9295
@asmarashidi9295 Жыл бұрын
0
@Yunis-hn9hn
@Yunis-hn9hn Жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@traudkamugisha8051
@traudkamugisha8051 Жыл бұрын
nihatari sana ulimwengu huu Mungu atusamehe sana
@roytv8276
@roytv8276 Жыл бұрын
Duh inalilah waina Lilah jaruun binadam tunaenda wap? Tunafanya vitendo zaidi wanyama.
@jonathanbyabato2091
@jonathanbyabato2091 Жыл бұрын
Hivi na hiyo imeletwa na wazungu?
@user-kt4rn5fe9d
@user-kt4rn5fe9d 4 ай бұрын
Ila dunia imechakaa hasa arusha mnanini nyie watu eemungu ponya akili zetu😱😱
@collinsstanley6126
@collinsstanley6126 4 ай бұрын
Arusha au kilimanjaro umepagawa nin
@abdallahmzee7677
@abdallahmzee7677 10 ай бұрын
Duuu jamani dunia siyo mbaya walimwenqu sisi ni wabaya sijuwi tutaenda kusema nini kwa baba jamani tuache dhambi na tumrudie munqu
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 9 ай бұрын
Ee Mungu Utusamehe sisi wanadam Makosa yetu yamepita kipimo
@rosemwankemwa9413
@rosemwankemwa9413 9 ай бұрын
Mungu atusamehe kwa yote ck zimekwishaa
@jrsaid4270
@jrsaid4270 Жыл бұрын
Kuna tabia siku Hizi wamama watu wazima hawaitikii salamu za vijana wakisalimiwa ndio kama hivyo sasa Alafu Dunia inaenda Kwa mbinde sana sana nani anakubaliana nami tushuke kituo kinachofuata
@user-km1bv6zj6d
@user-km1bv6zj6d 10 ай бұрын
Jamani poleni sana Mimi nilikuwa naka kifaru sass hivi Niko zambia
@luqman4030
@luqman4030 Жыл бұрын
SubhanaAllah
@modycombo7421
@modycombo7421 Жыл бұрын
Mtihani kwakweli tusubiri sunami tu haya mambo ya duniani yanatisha tufanyeni ibada 😢
@user-px2zk9bl3y
@user-px2zk9bl3y 9 ай бұрын
Polen jamn kwahili lakn Jamn tuache hiyo tabia imenium san mung tusaidie😮😮😅😊😊😊😊😊
@user-px2zk9bl3y
@user-px2zk9bl3y 9 ай бұрын
Duhh inauma sana mama tubadilik
@user-px2zk9bl3y
@user-px2zk9bl3y 9 ай бұрын
Mung tusaidie jamn
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 Жыл бұрын
Binadamu tunafanya mambo adi Dunia inatuogopa imebaki punje tu igome kutustiri
@marydino60
@marydino60 4 ай бұрын
Unaweza kusema kwamba huyu mama ametulia, amefiwa na mumewe lakini harukiruki analea Wanae peke yake ... Kumbe duuuh MUNGU okoa uzao wa kiume mpaka tumbo limeshtuka
@beatricejohn1659
@beatricejohn1659 Жыл бұрын
Jamani hizi si ni tabia za wahindi na mila zao mbona kutuletea uchagani??kutudhalilisha wa mama?? haya kaungue moto huko mja laana mwana hizaya ...Mtoto umtage mwenyewe kisha ukampanulie miguu kweli wewe hukuwa na tofauti na mchawi ..Kifo cha aibu..Mungu tusaidie sijahukumu wa kuhukumu ni wewe pekee.😭💔
@samwa9496
@samwa9496 Жыл бұрын
Hao wahindi uliwaona usimtaje mwenzio angalia yakwako
@happymushi4493
@happymushi4493 6 ай бұрын
Ushakuwa Mungu sasa
@danielmkama24
@danielmkama24 Жыл бұрын
Mimi acha mdomo unisaidie kula tu.
@user-zg4bt4it2p
@user-zg4bt4it2p 4 ай бұрын
Kilaaniwe kitendo kama hcho,, waTANZANIA tumuombe mungu ktk haya
@nurafedrick378
@nurafedrick378 10 ай бұрын
Hiyo utokea mm pia nilisahawai ongea na mwili wamama yangugari iligoma pia sanduku likakatalia juu ya keria ilibidi gari libadilishwe nanikaongea na muenda zake ndosanduku likashuka nawaliioko ndani watafutiwa gari yao mm na dereva na dadangu tukaingia kwagari iliomubeba mama nagari ikakubali
@user-le6iu5jt4r
@user-le6iu5jt4r 6 ай бұрын
makapakia gari kwenye pikap du
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e Жыл бұрын
Istakhafilulah😢😢😢
Donald Trump speaks for the 1st time on the assassination attempt
14:17
FOX 9 Minneapolis-St. Paul
Рет қаралды 10 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 8 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 15 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 82 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 8 МЛН