Beauty with brain. I love the fact unajibu kila kitu kwa kujielewa na sio kwa mihemko
@carolineMaroАй бұрын
She is so smart, and i love the fact that she cares about her kids and maintain respect for them!!!
@user-pu6pr5jt4nАй бұрын
Nice interview ❤❤❤NAKUPENDA MATILDA UNAJUA SANA KUIGIZA
@catherinenenula7450Ай бұрын
Nampenda uyu dada nlimjua kwenye Bado natafta 2015 matlida shamsa na gabo Ile movie ilikua ni🔥🔥🔥🔥🔥
@Sonia_abassАй бұрын
Pauline kule ndo alikuwa mzuri ila mwili Wa saiv hapana
@itzsnazzyjazzy472Ай бұрын
Wallah ilikuwa fireeee
@user-db1fb7ob8b26 күн бұрын
Kipindi hiko hajapata mwili kama hivi, namkubali Sanaa
@zawadichalale4047Ай бұрын
Wellu kwa maelezo yako umenifanya nikupende zaidi unaakili sana Mungu asikuache my dear
@deejulesdonatha4107Ай бұрын
She should be a presenter or have talk shows...i enjoyed listening to her
@user-pu6pr5jt4nАй бұрын
NAMPENDA ANA FACE NZURI❤❤❤❤
@PendoPeter-rr4jkАй бұрын
Nampenda huyu dada anajielewa sana
@infiniteabundance2024Ай бұрын
so smooth..... Mungu amtie nguvu apate suluhu ya afya awaone wajukuu wake pia
@IreneZachariahАй бұрын
Tilda Welu Sengo.... beauty with brain❤❤❤
@RobertNjoroge-dt6ycАй бұрын
Wow it's very cool lntarvew napenda kazi ya hii chanel sana hongereni sama
@MAGRETHMZIA12 сағат бұрын
Love u my role model ❤❤
@negwamwaipopo646729 күн бұрын
Nakupenda my dear, wewe ni mnzuri na Uko smart❤,hongera
@user-lx8nl8hh3fАй бұрын
Hajiskii sema anajiamin sana
@machasofficialsite622110 сағат бұрын
Kanaongea vizuri kamrembo so 💥💥💥💥
@benswai8099Ай бұрын
Mwache ajione jamani. Ni mzuri sana. Kuringa ni haki yake
@asherkheri-mo3npАй бұрын
She's so beautiful and smart
@user-vs5bd8ou6iАй бұрын
Nimesoma izo comments yani walio comments vibaya ni wanawake mnachosha jamani penda neni Khaa I’m so disappointed 😔😳
@jadetoto29 күн бұрын
Yaani Hawana utu wanamuonea wivu
@user-em4zz3lh1h27 күн бұрын
Hatupendani kabisa
@user-tk5yy6vj3bАй бұрын
Nampenda sana uyu dada
@vinenswilliam3534Ай бұрын
Huyo fundi hakua na taarifa kuna watu wana record? Nice talk, positive vibes from Welu, such a milestone!
@FATUMAPASKAL25 күн бұрын
Nakupenda sana welu sengo
@judithsalvatory289228 күн бұрын
Safi sana wewe ni mama bora ila huwa nakupenda pia urembo wako❤❤❤❤❤
@kmotivation1130Ай бұрын
Beauty sana I hope nipate type hii
@Mimy_keysАй бұрын
We Love You Wellu Sengo 💖 Matilda 🔥💃🇧🇮🇸🇦
@siaammo1104Ай бұрын
Wellu kwa kiingereza hicho nakushauri ufanye kazi.na watu wengine nje yanchi utafika.mbali sana
@israelkisaila8401Ай бұрын
English yake tamu sana
@inickmgobasa1779Ай бұрын
Anastahili kuwa mbali zaidi
@tabithadaniel7364Ай бұрын
Mbona tayari kuna movies kama 3 ameigiza na wanigeria zipo youtube
@souvenirweber7169Ай бұрын
@@tabithadaniel7364movie ipi please zijaitwaje.nampenda yuko real
@lightnessgeorge7355Ай бұрын
Tutajie na wenzio tuanglie @@tabithadaniel7364
@witnesssony80082 күн бұрын
Nakupenda sana mimi shabiki yako milele.
@Mohaa4309Ай бұрын
Maa Shaa Allah Dem mzurii❤❤❤❤
@ainessfoya4463Ай бұрын
Mwanangu..chepukia kwa maombi..mwamposa..wrm. mungu atatenda
@WiselightOfficialАй бұрын
Wellu dada be blessed nakupenda bure
@faustaemmanuel1390Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤namkubali sana wellu
@graceirakoze2868Ай бұрын
You are so smart love you from Burundi..
@ramadhanidaudihaji21747 күн бұрын
She is pretty women!😊
@jojomohamed341822 күн бұрын
Mungu hakupi yote ila nakupenda sana zaid iyo sauti 👌😊😊😊
@blandinamyinga9489Ай бұрын
She's, confident, smart and intelligent""Sengo your kids are blessed to have you as their MOM❤
@vickyshayo788026 күн бұрын
Nakukubali sanaa
@jrlamar8925Ай бұрын
This woman is extra ordinary
@pendothomas7258Ай бұрын
I love you baby sisy ❤❤❤ you are amazing 😍😍
@loulumony851926 күн бұрын
Namupendag san sengo kwakuigiza sas anajua kbx 👌🇴🇲🇧🇮❤️
@annapontian162Ай бұрын
Bright and positive minded
@christinewomanoffaith547925 күн бұрын
Nimependa anavyolea watt Big up
@juliusjkalela916413 күн бұрын
Huyu dada namkunari sana na Nina mda mlefu sjamuona ila nmemuona Tena ❤️❤️❤️❤️💓💓💓🙏
@user-kp1wn1ui8s26 күн бұрын
I liked everything ❤❤ aisee you are very attractivlly
@user-pu6pr5jt4nАй бұрын
MAMA BORA ❤❤❤❤NAKUPENDA
@geofreybahema5118Ай бұрын
Mwamba mpaka tone kabadili hyooo manzi ni hatr
@zubynyaku6269Ай бұрын
All. Single mom tunatakiwa kujua ilo, nyumbani kwetu naawatoto cpo pakuleta mabwana. Yaani mimi naogopa ivyoivyo yani tupendane uko mbaliii cyo kuleta mapenzi om uku cjuii kama tutafunga ndoa ,wanangu pia watamjua baba tutakae funga ndoa inshallah
@ahmedkitandu840323 күн бұрын
Mambo
@eddygad2858Ай бұрын
Matilda amanenepa sana nasura imebadilika ila sauti niileile nakupenda sana
@khadjamhozyaАй бұрын
Dada mzuri sana
@yousramutwale2463Ай бұрын
Nimependa
@user-zd6lv4il1tАй бұрын
Wanawake tuache wivu tuwe positive😂😂😂😂
@neykazungu6184Ай бұрын
❤
@bettykihwele7713Ай бұрын
❤❤❤
@mtagemkiniАй бұрын
wooow
@user-wu8qe4fv4jАй бұрын
Mzuri mpele
@user-bk2hz5pq7sАй бұрын
Nimependa unavyowalea watoto wako
@user-jr8sc5ny9sАй бұрын
What is that noise jamani! Aki it's very destructing🤨
@marymichael92866 күн бұрын
Huyu dada mawazo kama yangu jmn lkn napenda yy alivozungumza Kwa confident
@juliethmallya682120 күн бұрын
Nampendaga mpaka bas jamanii. Azam tv tamthili hatumwon tena, tunakuhitaji tena Wellu.
@siamollel6051Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@marthajohn9120Ай бұрын
Wow
@magrethdastanhaule3449Ай бұрын
Napenda vido anavyoitikia mmhhm mmhmm mmhmm i love it
@user-lz6kh7xj2v29 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@user-wu8qe4fv4jАй бұрын
Unaongea point kabisa
@hallat25416 күн бұрын
Kupitia wew nimejifunza kitu kikubwa sana leo
@annethsongwe6063Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉Wellu
@ZubedaHussein-it7nfАй бұрын
Uyu wa pili ulivyo mkataa kumzungumzia jmn km 😊😂😂😂😂
@user-uj5wg9mm2tАй бұрын
Vido mnafk ww et unapendezea huo mwili😂😂😂😂😂
@machasofficialsite62219 сағат бұрын
Ila aliyewaambia wadada makucha bandia yanawapendeza aloo kawazuga mno aloo...MTU unakua kama jini
@nayadmason6015Ай бұрын
Lazima utakutana na comments zikufurahishe 😂😂😂
@nancyg8664Ай бұрын
😂😂😂
@MariamJuma-pe4syАй бұрын
😂😂😂😂😂
@user-ql3yr6fi7oАй бұрын
huyu dada wanaomla hawajamwelewa tu...anaonekana ana kiburi ila sio ni kumwelewa tu
@OnesmoMagehemaАй бұрын
Izo kelele za pembeni kama Kuna kitu kinagonga,na kimkurumo Fulani kimezingua kinoma
@rosie870423 күн бұрын
vido🎉🎉🎉🎉 umepoa
@bobjoy927919 күн бұрын
Ndugu mtangazaji nakuomba kwahisani yako unipatiye number ya huyo Dada please
@sikudhanimohammad7692Ай бұрын
Huyu dada ni mzuri
@pulikisia7963Ай бұрын
Saanaaa!!
@cocotz1892Ай бұрын
Sanaaaa
@svt3Ай бұрын
Acha uwongo mtu mpaka shingo haionekane vinyama vya matako vinazidi, unafahamu kila kitu kikizidi kiasi kwa ukubwa au kwa udogo ni mbaya
@sikudhanimohammad7692Ай бұрын
@@svt3 kwahyo akinenepa sana na sura inakuwa mbaya? Acha roho mbaya
@svt3Ай бұрын
@@sikudhanimohammad7692 kunenepa ni vibaya sio tu kwa kuaribu umbo ila na kwa afya acha uwongo wa kudanganya watu kunenepa mpaka shingo imepotea manyama ya matako hayatoshei tena kwenye kiti hiyo si kupendeza hata kidogo pia na kukonda kuwa kama mreja pia sio vizuri kiasi inaitajika
@faudhiasalum7279Ай бұрын
Kazuri mama wa wawili
@juliusjkalela916413 күн бұрын
Macho Ake hua yananikoshaa
@MarjebyАй бұрын
Huyu Dem kipindi nasoma UDSM 2012-2015 nilikuwa silalali nilisoma sana kwa ajili yake😅najiambia nikipata mpunga tuu namtafuta but niliposikia amezaa na yule jamaa mfupi Steve Nyerere aiseee demu alinitoka kabisa nikafuta nyota zote😂
@aminakasim1198Ай бұрын
Mmmmmmmmmmh
@siaammo1104Ай бұрын
😅😅😅
@siaammo1104Ай бұрын
Mwenyew kwakweli hata sikuelewa.ilikuwaje.maana.kwakweli hawendani kbs 😅😅
@bibyansimplis3791Ай бұрын
Mwogope Mungu, wewe huna mapungufu? Nata kama ungekuwa huna, kita mtu alijikuta alivyo.
@furika7931Ай бұрын
Kama mwanaume inabidi umpongeze huyu unayemwita mwanaume mfupi maana aliangusha mbuyu mzito fahamu alikuwa yuko na kitu huyo brother na ndio maana hiyo deal ikawa done!
@Ericzdeking24Ай бұрын
Huyu dada ni msomi anajua anachokifanya.Tuwapatie watoto elimu bora the rest is history.
@sikudhanimohammad7692Ай бұрын
Bado still. Bado still
@masalakulwa7601Ай бұрын
yaani😂
@sikudhanimohammad7692Ай бұрын
@@masalakulwa7601 au ni mie ndo sijui kingereza?
@khadjamhozyaАй бұрын
Ana mashauzi furani ya kishuwa anapendeza sana
@christinewomanoffaith547925 күн бұрын
Una akili Safi sana
@user-mw5xs2wx8nАй бұрын
Tatizo lahuyu vingereza vingi yani wa lasaba asijisumbue kuangalia mahojiano yake bure
@MariamJuma-pe4syАй бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Sonia_abassАй бұрын
Ety lasaba😂😂😂
@masalakulwa7601Ай бұрын
we naye nenda shule .hata kuandika shida
@user-mw5xs2wx8nАй бұрын
Nipeleke mamaangu
@user-mw5xs2wx8nАй бұрын
@@masalakulwa7601 km Jina unaitwa masala vipi kuacha kuingilia yasokuhusu nenda kaunge nyama ya nguruwe hiyo ndo kz ya masala
@3DshoezАй бұрын
Yan yupo tayari kupunguza uzito akipewa offer ya kaz na hela 😢😢😢 dada kumbe kupungua unaweza,kumbuka kuna pressure, kisukari na cholesterol.
@user-ql3yr6fi7oАй бұрын
toto tamu hili
@user-id8bu6lw8xАй бұрын
Huyu kaka jmn anafanana na Ex wa mtu
@user-fe3ll1pu9dАй бұрын
anafanana na niffer kwa mbaaaliii
@masalakulwa7601Ай бұрын
ah wap wewe wellu kisu
@user-pu6pr5jt4nАй бұрын
Mhm welu ni pisi kali sana❤❤
@ednapeter8319Ай бұрын
Ww thubutuuuu
@user-gj2mm3ko8mАй бұрын
Wanafanana penny,madam Rita,ILA a nahitaji kunywa uzito anapendezea sana akiwa amepunguza mwili
@jacklinelyimo7407Ай бұрын
Anahema balaa
@SalamaNautharАй бұрын
Mwili huo best
@user-kp2qd9yr5pАй бұрын
Welu Ndio kawa ivyo Lin tena! Alikuwa na mwili mzuri uku Sasa daah
@khadjamhozyaАй бұрын
Hadi Sasa ninzuri na unene wake
@felisterjohn493Ай бұрын
Ukiulizwa kiswahili jitahidi kujibu kiswahili kwani hata Vido naye anajua kiingereza dada punguza nyodo uko vizuri but mmmm kuwa halisia
@dorcassalvatory1518Ай бұрын
Sio nyodo mwenzio kakulia boarding tn shule nzur Sasa lazm awe ivo punguza makacriko kdg
@queenandchill91Ай бұрын
Jifunze lugha ya kiingereza uache kuwaona wanaoweza kuzungumza lugha hiyo wana nyodo.
@munirahassan5013Ай бұрын
Km hukusomeshwa shule na kwa Rasi simba huwez kulipa
@sophiaathumani393Ай бұрын
Wivuuuuu
@daslamonline4665Ай бұрын
Bado still 😢
@salmasudi8901Ай бұрын
Ujuaj mwingi bado still🤣🤣🤣🤣
@MdNasr-jm8pj2 күн бұрын
Uzur wote huo umeenda zaa na yule😂😂😂tafuta bwana WA maana aendane na ww sio Yule bhna
@user-je6yv2ld4o22 күн бұрын
Wow uyu dada kawa bonge..kwa move ya matlida alikua mdogo
@khaliduhadi2336Ай бұрын
Sasa kizungu Cha nini hapo acha ushamba fala we hiyo ni maojiono ya kiswahili kaa kwenye laini utakuta mtu mwenyewe katoka bwinde huko
@user-zd6lv4il1tАй бұрын
Acha wivu😂😂😂😂😂 we ndo mshamba lione
@sophiaathumani393Ай бұрын
Wivuuuuu hovyooooo
@blandinamyinga9489Ай бұрын
vidoo""hizo kelele nyuma zinakeraa
@user-sd5hj2im4qАй бұрын
Chakula
@sugarthompson9369Ай бұрын
Kuwa mzuri sijui hakutufanyi kujiona bora zaidi ya mwengine ,,,ni mrembo sana ila ana maringo sana huyu mwana mama
@jennylawrenceАй бұрын
kha jmn tz mtu akiwa na confidence et anajiona😂🙌
@treasure12415Ай бұрын
Alikufanya nini😂😂😂
@souvenirweber7169Ай бұрын
Yuko sawa tatizo mtu akionekana wa kisure lazima mswahili amkosoe bongo kugumu sana
@sugarthompson9369Ай бұрын
@@souvenirweber7169 ulimbukeni ukizidi ndiyo matokeo yake haya sasa utanzania na ukweli vinahusiana vipi? Poor us kwa kweli
@sugarthompson9369Ай бұрын
@@jennylawrence na hujui kutofautisha kati ya confidence na maringo sasa nawezaje kukuelezea the other difference poor us 😂
@princessringo2879Ай бұрын
Kwenye pazia cjampenda hata
@user-nj2rj9qj9bАй бұрын
Sasa siangekaa vizuri nachoka mimi huku
@lelaiddy6856Ай бұрын
Hahaaaa unakiherehere..umenichekesha
@israelkisaila8401Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@mylovejosecharles4362Ай бұрын
ila weru ni mzuri yani akipungua hapo mastaa wakiume wataanza kujigonga gonga
@rukiaally800328 күн бұрын
Mh mhh mh vido bwana
@wemaMichael-fr4thАй бұрын
huyu mama huwa anajiona sana
@MomaDeduАй бұрын
Kujijua na kujitambua sioni mtu anaringa bali kujitambua
@Zuu673Ай бұрын
Wewe ujioni?😂😂
@nancyg8664Ай бұрын
nawewe si ujione kwan pumzi umekopeshwa! As long as pumzi ni bure ishi utavopenda ndugu wewe
@milley7185Ай бұрын
Si mwanamke unataka haiba ipi awe nayo
@ukhtyrayyan7884Ай бұрын
@@MomaDedu kwani unamjua eeee namshawahi kuonana hata useme hivo kumuona tu kwenye michezo ndo anajion acha uhasidi naroho mbaya tena yakichawi