#LEOTENA: BAADA YA KUTENGANA KWA MIAKA 13, AKUTANISHWA NA WANAE, WAJUKUU
Пікірлер: 230
@emmanuelcharles181927 күн бұрын
Clouds mungu awape maisha marefu
@jacklinealex225927 күн бұрын
Miaka 15 sasa toka nmepotezana na mama yang popote pale ulipo jua nakupenda sana naimani siku moja tutaonana Mungu akulinde huko ulipo 🙏🙏,,,...mwanao nmekua sasa na nmeanza kujitegemea mwenyewe
@mycmeranyswai795726 күн бұрын
andika jina lake itakusaidia
@daydaypapaa770926 күн бұрын
Mungu akufanyie wepesi ipo siku mtakutana
@AMINASAIDI-mx7rs26 күн бұрын
😢pole ndugu ,hata Mimi na familia yangu yalinitokea miaka 28 ,sijuan na ndugu zangu nawao walikua wanamtafuta mama inauma 😢😢.
@MaryAsantaely26 күн бұрын
Jmn pole kamtangate utompata
@AnnoyedLimePie-lc5sw26 күн бұрын
😂nenda Leo Tena watatusaidia
@GiftAbduly14 күн бұрын
Daah inaumiza snaaa tna Sanaa ila hongeren mmeonana
@user-lb6my9qs5c20 күн бұрын
Mama atakuwa alikuwa wa kimataifa hata muda wa kutafuta watoto hakuwa nao 😢😢mungu tusaidie
@janelyatuu11356 күн бұрын
Mungu nipe maisha marefu Nile watoto wangu
@Sidrasidra63626 күн бұрын
Ukiskia watoto hawana mapenzi na wazazi wao msiwe mna shanga 😢
@solomondanny-150726 күн бұрын
Angewatuma hata watu wengine wakawatafute kama yeye alikuwa anaumwa.
@khadijarashidy930427 күн бұрын
Jamani mama ni mama tu😭😭😭 sidhani kama Kuna kipind bora zaid ya hiki
@reginaedward488327 күн бұрын
Ooh its so touching ❤❤
@fatmamohammed834618 күн бұрын
ila mamam emilia anamoyo mgumu yaninmtoto ndo anauchungu kuliko mama mtoto analia mama hana habari wala nn
@user-hw3lq3ol2u19 күн бұрын
Kwann mama alikosa upendo hiv😅
@jamesonduma606420 күн бұрын
Congratulation kwa kazi na from kenya
@user-zz5ng1yb8d26 күн бұрын
Huwezi jua wengine kwa mwanaume wanachukua watoto na mali unaambiwa usikanyage si tulishashuhudia haya,
@michaelthobias996724 күн бұрын
Msiteteee upuzi Yani utishwe kumuona mwanao na serikali ipo achani hizo angefanya baba hivyo ingekuwa mineno humu huyu ni mama bora mama
@michaelthobias996724 күн бұрын
Msiteteee upuzi Yani utishwe kumuona mwanao na serikali ipo achani hizo angefanya baba hivyo ingekuwa mineno humu huyu ni mama bora mama
@salomeshongola169724 күн бұрын
Huyo mama alikuwa hana uchungu wa watoto wake.kwa sababu alishawahi kwenda huko.
@mossyfimbo357724 күн бұрын
Alikuwa ana puyanga tu akakosa hata muda wa kutafuta watoto fyuu atajuta kwanini aliwaona hakuna bond hapo hata yeye hana bond pia umeona hata alivyowapokea watoto wenyewe hamna bond kabisa asubiri na ajichanganye aombe hela atatamani ajinyonge
@ashangalawa949223 күн бұрын
Ndivyo ilivyokuwa kwa huyu mama alisema cku ya kwanza walipounganishwa
@komboomar827524 күн бұрын
*Mama ni mama tu hakuna mwenye thamani zaidi ya mama ila mama kidoogo hakutenda haki kwa hao watoto wake miaka 15 sio hata kukanyaga na anapajuwa walipo duuh.*
@salmawage725926 күн бұрын
Mungu aendelee kuwahifadhi
@CristinLyanga26 күн бұрын
Pole kwa kuumwa mama.
@LilianSimon-cz7zr17 күн бұрын
Jamani kwa mtazamo tu Mama anaonekana alikuwa mwingi wa habari,alafu sio kila mwanamke ni Mama
@speciozakaloli24 күн бұрын
Sio kawaida mama kusahau watoto wake
@BrazaKau20 күн бұрын
Jamani mm stak kuongea mengi juu ya hii chanel mungu aizidishie sana na wadada inabid tujifunze kupitia hii chanel nahii chanel aina utofaut na kituo cha kusahdia watoto yatima natamani ata kuongea nao tu lakn one day ntafika napotaka kufika clauds tv mungu awasahsie sana tena sana
@zahramohammed233726 күн бұрын
Jaman na mimi nataka hiii kwa ajili ya mdogo wangu wa mama mkubwa
@fettiemaganza148427 күн бұрын
Ila mama ana roho ngumu hyu
@masalakulwa760127 күн бұрын
mno
@shakirashakira-gc2yw23 күн бұрын
@@masalakulwa7601 tena sana
@hyacintagugu723 күн бұрын
Roho mbaya
@SelinaPaschal-vq2iy22 күн бұрын
Hana mapenzi na watoto huyu
@graceshayo576321 күн бұрын
Kbx dear mtoto umzae umwachie mwanaume @@SelinaPaschal-vq2iy
@rosehaule676526 күн бұрын
Na wanaadabu wtot wamejitunza mnoo😢😢😢mama una bahati mnoo wametunzana😢😢
@eshyndibalema152927 күн бұрын
Huyu mama ana shida huwa tunapata shida sababu ya watoto alikaa mpaka watoto wamemtafuta analia nini mnafiki hana lolote
@bintmrisho352627 күн бұрын
Jaman uyu mama kumbe anapakumbuka sehemu hakutaka tu kwenda kuwaona watoto wake hadi wamemtafuta wao aisee
@twiseghekisilu884526 күн бұрын
Yaani sijui shida ni nini nyir😢😢😢
@user-hq9tm8ph9z26 күн бұрын
Mda mwingine inakuaga madawa
@user-zz5ng1yb8d26 күн бұрын
Huwezi jua kipi kilipitika
@sarasaraz-vn1vl25 күн бұрын
Huwez Amin Yuko na sababu zake lakin naona hana mzuka na wanae
@queenjacklinedavid260025 күн бұрын
Kuna familia zigine onanyaganywa mtoto na ukabaki una thamani
@enockmaige893627 күн бұрын
EMILIANA chomboo❤❤❤
@user-vo9ck2vv2w11 күн бұрын
Hakika nimelia kuliko.wao. mimi sesi wa kimara
@samochristopherroche995316 күн бұрын
Hawa wama wana roho ngumu na mbaya sana...mimi siamini kama kuzaa ni kwa uchungu...mama unaacha watoto na unapajuwa ukoo wa mume unaweza kuwatafuta lkn unapotezea tuu...wkt mwingine bora kuendelea kuishi bila mama kuliko wamama wa hivo...
@TatuHusseni-hs7mu9 күн бұрын
Kabisa
@GfgGgg-sc2uy26 күн бұрын
mama mbona hukumpenda mtoto wako wakiume km emiliana emili umempenda sana mpaka unaliya nahuyo wakiume wanao
@user-it9se4tr3f15 күн бұрын
Watoto ndo roho yangu nawapenda mno
@DokersRobin26 күн бұрын
Nimelia
@Thisisgrace97926 күн бұрын
Mi mana yetu yupo kakini ametutenga mda tu baada ya baba kufariki, nyumbani napajua ila naendelea na maisha yangu, nimejaribu sana kuiunganisha familia yangu lakini wapi, ye anawaza kupokonywa mali tu. Da! Inauma sana ika siachi kuomba kwa Mungu tuwe pamoja😢😢.
@HanifaOman-oo4pl26 күн бұрын
Polesana mtihani sasa kwanini yupohivyo mama
@israelkisaila840123 күн бұрын
Pole sana dada Grace😢,ipo siku Mungu atafunguwa njia
@AsiaAlly-rn5ly27 күн бұрын
jamani nimelia sana leo.
@halimaa936723 күн бұрын
Asante mungu
@juliemrema49727 күн бұрын
Hata mimi nimelia.
@rosiehayatta261922 күн бұрын
Huyu mama alijua watoto wanakoishi hakuwa na Nia ya kurudi kuwaona
@SaphiaSitta27 күн бұрын
Jamani Mimi Sina neno mungu awazidishie Wana Mimi nalia tu
@hyacintagugu723 күн бұрын
Yaaani
@victoryjohn417914 күн бұрын
Nafanya kazi mbali na wanangu wawili lakini siwezi kumaliza mwaka bila kurudi kuona wanangu,,, Kila nikikaa kuwakumbuka utumbo wa uzazi unaniuma,, Naomba MUNGU nisaidie moyo huo huo nisiweze kupata shida ya kuweza kutengana na wanangu miaka zaidi ya kifo pekee
@NicelaLugakingira20 күн бұрын
Clouds mubarikiwe
@RuthWarombo24 күн бұрын
Jamani maishani kuna mapito nakila mtu na yake .Ila tu nashkuru radio cloud's kwa msaada wao mkubwa kwa taifa Mungu awabariki
@mrliverpoolynwa764127 күн бұрын
Da huu umependeza
@upendosamwel270524 күн бұрын
Huyu mama ni mmbulu hawanaga muda na watoto wakiondoka hawaangalii nyuma😢
@user-be4wt9ng2u23 күн бұрын
Umesema kweli kabisa ndio wako hivyo
@aziza909326 күн бұрын
Mungu awapemaisha marafu
@fatmaallyabdul173227 күн бұрын
Mama hana upendo na wanawe yaani hajashtuka,hata hajaweza kumkumbatia hata mjukuu wake... seriously!!😮
@oman1oman17926 күн бұрын
Anaupendo sema ni udhuni alokuwa nawo anaona aibu
@MsAggie525 күн бұрын
Hana upendo wowote hata Ku act anashindwa? Ona wamama wenzake waliokutanishwa walivyo onyesha upendo. Kakaa kama mlevi lol
@israelkisaila840123 күн бұрын
@@MsAggie5mwanga huyo,bora hata wasingemtafuta,atauwa mjukuu bure,mwenyewe huku nalia yeye kajikalisha tu hapo,mpaka aambiwe simama upokee mtoto,khaaa
@HawaSwabra27 күн бұрын
Mama han upendo na watoto kwanza hapo alipo han hata mshtuko
@fatmaallyabdul173227 күн бұрын
Ni kweli aisee angekuwa mama flani wa Mbeya uwiiiiiiiii hicho kilio mngejuta hapo studio
Nilimtafuta sana kakaangu lakini siku alopatikana alikua tayar kafariki😭😭 MUNGU awabariki sana kwa kipindi hiki
@Official8364027 күн бұрын
Mm navuta subra yule mtoto wa kaka angu atimize miaka 18 mbona mama yake nitamsaka kila radio hd nifike clouds maana kajua kutubwagia mtoto tangu ana mwaka sijui yaani kwenye msiba wa kaka yng ndy tunaambiwa kuna mtoto kule Mtoni kwa Kindande kamuacha marehem. Haya mleteni tumuone kuletwa kweli wetu copy yetu kabisa mama kasema ndy nilikuwa napataka hapa mkubali ndy hd leo mwaka wa 12 huu mtoto hamjui mama yake wala familia ya mama yake hatuijui
@fettiemaganza148427 күн бұрын
Ungemtafuta sa hv mwaya huwezi jua ya kesho
@masalakulwa760127 күн бұрын
Duh...so alimleta baada ya mzaz mwenAke kufariki??
@Official8364027 күн бұрын
@@fettiemaganza1484 Tushamtafuta sana tu alitoa namba ya cm fake haipatikani hd leo
@sajdatomar602526 күн бұрын
Km mama anajua wapi alikomuacha mwanawe na hajaja tena inawezekana amefariki ama km yuko hai basi hamtaki ndio mana hajapita mpk leo
@Official8364026 күн бұрын
@@sajdatomar6025 yaani yule kambwaga hana mpango na mtoto na aliyemuachia kafariki na yule mama aliyemleta kumuonyesha familia kafariki ndy tatizo lipo hapo hakuna anaejua kwao wala jina lake halijulikani mtoto kachukuliwa ba bibi yake yupo kijijini bint mkubwa sasa anajua hd kupika😭
@tinamahega984825 күн бұрын
Mimi simshangai huyu mama kwa yaliyomkuta,manake hii dunia ina majaribu mengi kuumiza moyo,binafsi hili limenikuta na hope nitakuja kuonana nae akiwa mkubwa kama hivi,machungu aliyopitia huyu mama nayaelewa mnoo,ni uchungu usioisha kukaa mbali na watoto ingali uko hai😢
@michaelthobias996724 күн бұрын
Hana uchungu angekuwa na uchungu angesha fika mana mahali walipo yeye alikuwa anapajuwa wenye uchungu ni watt ambao hawajui alipo mama hivi huyu mama ana uchungu Gani ili Hali alipo waacha watt hakuwahi fika hata kulizia eti nilikuwa naumwa miaka 18 tuache kutetea ujinga angefanya baba mgesema vipi Mimi nisinge mtafuta mama wa hivi akwemdeeee
@EstarDanielisaya17 күн бұрын
😭😭jamani kipenzi Mungu awalinde umenikumbusha mbali😭
@challemartin22 күн бұрын
Jaman jaman hawez jua sababu ya uyo mama kutowatafuta watoto wake mda wote huo maana hatujui anaishije
@ROSEMARYVALENCE15 күн бұрын
Nmetoa machoz jaman hongeren clauds leo tena
@paulinemwikali507721 күн бұрын
Kwangu kushukuru Mwenyezi MUNGU
@hamadsuleiman517727 күн бұрын
Hiki nikipindi bora kwa sasa Tanzania kama sio Dunia nzima...Ikiwa sio igizo mnafanya kazi ya kusisimua na msichoke...Ikiwezekana muendeleee hata kupita mitaani kuhoji msikute mtu na baba yake wako ofisi 1 na hawajuani kwa kweli....Hongereni sana sana zana
@user-pw2sw1sk1b27 күн бұрын
Kweli yaan
@masalakulwa760127 күн бұрын
igizo ili kitokee nini..mxiew
@graceshayo576321 күн бұрын
Mm kiukweli siwez kumtafut mama aliyeniacha bila ya uchungu maan uliyezaa huwez kumsahau mtoto wako ulizaa hpn hii mm Huwa spendi story hiz zinanipa maswaliengi san
@edakilibika593515 күн бұрын
Huyo mama hana uchungu na hao watoto
@ImmaculateMweteni27 күн бұрын
Kipindi bora kati ya vipindi vya redio nyingi Tz. Nakumbuka miaka mingi iliyopita niliona kipindi kama hiki cha Oprah winfred wa US.
@HusnaMtitiko-yt4ru26 күн бұрын
Kina fanywa kila mwaka mwezi wa 5
@hanifamziray27725 күн бұрын
Nalia kwa machungu sn
@sayunichullahkadinda877523 күн бұрын
Mmmmh 😭😭😭 machozi yananitoka
@HapyynessValentine23 күн бұрын
Clauz hatuwapat toka ijumaa hadi leo
@user-vo9ck2vv2w11 күн бұрын
ROHO ngum kaka jiwe
@DativaMbowe25 күн бұрын
😭😭😭😭nimekumbuka mbali sana, endeleeni kupumzika kwa amani ipo siku tutaonana,
@KhadijakassimMwaipaya25 күн бұрын
Madikin
@godfreyfrugence417616 күн бұрын
Namtafta babu angu Godfrey Gidion kawambwa najua yupo hai alishiriki vita vya kagera 79 popote alipo natamani nikutane nae
@ShemsaKiobya25 күн бұрын
Watoto wazuri kawatelekeza
@user-vz6kk8id2f27 күн бұрын
Sasa mbona hamna sauti
@alfredinafelix83627 күн бұрын
Natamani kuwe na session ya mtafutwa hasa mzazi alifanya effort gani maana haiingii akilini
@rehemakanyere418826 күн бұрын
Kuna kuwaga ni vitu vingi saana,viwekwe bayana
@TatuHusseni-hs7mu9 күн бұрын
Mama hana uchungu na watoto wake kabisa hata kushituka wala kulia mkavu kabisa na hakutakaga kwenda kuwa tafuta kwa ndugu wa mume
@user-tt3lx7ly2m24 күн бұрын
Daaah😢
@laurenciamushi257616 күн бұрын
Jamaniii huyu dada namfahamu huku kahe
@maryamtanzania974327 күн бұрын
Jamani hii dunia kila mtu na changamoto unaishi na watu baki hujui mzazi wako yuko wapi
@ShemsaKiobya25 күн бұрын
Mama Hana upendo na watoto huwezi acha watoto wako muda wote huo kifua ameugua miaka 6 Hy hiyo mingine je
@joymamwanga503626 күн бұрын
Mama manikini pombe zimemkolea mpka sura imemvimbaa jamanii 🥹🥹
@kashrajabu574426 күн бұрын
Mama amesema alikua anaumwa kifuwa cha tb
@aminakipande564525 күн бұрын
@@kashrajabu5744aseee
@JamalKanani25 күн бұрын
Tibi hiyo imemko desha
@taturajabukhalfani795323 күн бұрын
Mama nae upendo bado unapajua na hukwenda kuwatafuta
@attunelson882824 күн бұрын
Mama huyu hana mapenzi na watoto wake kabisa kha!
@user-it9se4tr3f15 күн бұрын
Dunia ilimbeba kweli ndo usahau watoto mmmH
@twiseghekisilu884525 күн бұрын
Ila huyu mama miaka sita ya ugonjwa baada ya hapo.....! Mama mwenzangu ana roho ngumu jamani!!
@rebeccamayo91124 күн бұрын
😅😅😅😅 aya bhana
@HildaKibokoNyerere26 күн бұрын
Kipindi kizuri sana ila kiboreshwe wasiongee chochote kabla ya kuja kwenye kipindi tuone reaction ya mtafutaji na mtafutwaji. . Yani wasipeane Number za cm mpaka wafike hapo .
@MsAggie525 күн бұрын
Itachukua muda mrefu hewani ambayo ni ghalama
@eliaichraymond121524 күн бұрын
Mm ni mwanamke but sijamwelewa huyu mama bado!kama hajali vile yupo baridi
@Aminahlamranl420-hw2ie26 күн бұрын
Mmmh mama ww unajua family ya watt wako mbona ukuwatafuta .😢
@fatmamohammed834618 күн бұрын
bibi kauzu hata kumbeba mjukuu jamani hana hata morali duuu
@user-lz1qj6ck3m20 күн бұрын
Jamani nisaidieni na Mimi Chanel hii naombeni Nina WiFi wangu kapotea tangu mwaka Jana Hadi leo hatujui aliko nisaidieni naombeni
@user-pw2sw1sk1b27 күн бұрын
Jamn hiki kipind lzm ulie daaa😢
@NoelChambo20 күн бұрын
Wanawake wanakuaga na roho mbaya
@user-sn7ex7qr8z25 күн бұрын
Maskini nimeria sana nimekumbuka mbari sana mm
@omanoman204427 күн бұрын
Et kifuw kikuku sasa kifuw kikuu ndo kilifanya nin duuh wamam mnamatatizo san
@ilakozasembumende197526 күн бұрын
Acha tuu yaan mzazi wa namnahiyo unajuta hata kumtafuta😂😂😂😂😂😂 😢😢😢😢😢 . Ka EMI kawatu kapolee . Kaliolewa hakana hata mama mkwe mama mkwe wake alisha kufa yaan kanahitaji upendo wa mama ila ndo ivo tena siyo riziki😢😢😢😢
@joycekalago53226 күн бұрын
Mama hana shida amejitetea aliumwa kwa mda mrefu ndio sababu hajawatafuta watoto wake,msimsakame sana
@salomeshongola169724 күн бұрын
Wee mwongo huyo asijitetee.Aombe tu msamaha kwa kuwatelekeza.
@SalmaKhatibu-gl4su26 күн бұрын
Jamani jamani ama nisiongee nikakufutu
@fettiemaganza148427 күн бұрын
Ila mama ana roho ngumu hyu ht hana shauku
@janethngowi105825 күн бұрын
huyu mama jamaniii ana roho ngumu!
@user-ky5wu4gc9g20 күн бұрын
Huyu mama mbona kama rorose kuhusu watoto wake?kumbe kwa shangaz alikua anakujua kwanini hakwenda kuwatafuta watoto wake? Kama huyu wakiume anaonekana alikata tamaa kabisa ya kuonana na mama yake
@loveness09-k26 күн бұрын
Sijawahi ona mama kama huyu hajui watoto wanaishi vipi huyu atakuwa aliolewa tena ndio mana hakutafuta watoto asitudanganye
@godfreybeatus839627 күн бұрын
Hiki kipindi kitapata watu wengi saaana
@SamiraNyakunga25 күн бұрын
Uyo bibi kichomi uwiiii hajari wala nn
@UpendoMtunguja24 күн бұрын
Huyo mama ana shida Ina maana muda wote huo anaugua jamani tangu mtoto ana miaka saba Ina maana walivyoondoka tuu akaumwa mmm
@user-sx1xi4yb2z27 күн бұрын
Ilikuaje mpka mama akawaacha jmni
@basilisamsaka846913 күн бұрын
Kipindi hiki hinaniliza
@MinskBelarus-il2tl25 күн бұрын
Sote tunaguswa na machozi yanatutoka. Ibaki hivohivo tusichunguze kilichosababisha Mzazi kuondoka na watoto,ila mzazi huyu😮😮😮😮😮
@asharashidi353824 күн бұрын
Nimelia san yaani nimekumbuka mama yangu
@gladnesskweka969917 күн бұрын
Huyu mama dunia ilimbeba na saiz kiza kishaingia hadi anaona aibu
@aishatest445126 күн бұрын
mama sinyo 😢😢 mama wewe hatali
@florahbenedict27 күн бұрын
Mama hana upendo kabisa
@rehemakanyere418826 күн бұрын
Kweli
@user-zc7ql3nc3v25 күн бұрын
Amewaacha watt hata miaka 10 bado yy kaugua miaka sita ...au hayanihusu