#LEOTENA

  Рет қаралды 49,052

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

29 күн бұрын

#LEOTENA: BAADA YA KUTENGANA KWA MIAKA 13, AKUTANISHWA NA WANAE, WAJUKUU

Пікірлер: 230
@emmanuelcharles1819
@emmanuelcharles1819 27 күн бұрын
Clouds mungu awape maisha marefu
@jacklinealex2259
@jacklinealex2259 27 күн бұрын
Miaka 15 sasa toka nmepotezana na mama yang popote pale ulipo jua nakupenda sana naimani siku moja tutaonana Mungu akulinde huko ulipo 🙏🙏,,,...mwanao nmekua sasa na nmeanza kujitegemea mwenyewe
@mycmeranyswai7957
@mycmeranyswai7957 26 күн бұрын
andika jina lake itakusaidia
@daydaypapaa7709
@daydaypapaa7709 26 күн бұрын
Mungu akufanyie wepesi ipo siku mtakutana
@AMINASAIDI-mx7rs
@AMINASAIDI-mx7rs 26 күн бұрын
😢pole ndugu ,hata Mimi na familia yangu yalinitokea miaka 28 ,sijuan na ndugu zangu nawao walikua wanamtafuta mama inauma 😢😢.
@MaryAsantaely
@MaryAsantaely 26 күн бұрын
Jmn pole kamtangate utompata
@AnnoyedLimePie-lc5sw
@AnnoyedLimePie-lc5sw 26 күн бұрын
😂nenda Leo Tena watatusaidia
@GiftAbduly
@GiftAbduly 14 күн бұрын
Daah inaumiza snaaa tna Sanaa ila hongeren mmeonana
@user-lb6my9qs5c
@user-lb6my9qs5c 20 күн бұрын
Mama atakuwa alikuwa wa kimataifa hata muda wa kutafuta watoto hakuwa nao 😢😢mungu tusaidie
@janelyatuu1135
@janelyatuu1135 6 күн бұрын
Mungu nipe maisha marefu Nile watoto wangu
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 26 күн бұрын
Ukiskia watoto hawana mapenzi na wazazi wao msiwe mna shanga 😢
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 26 күн бұрын
Angewatuma hata watu wengine wakawatafute kama yeye alikuwa anaumwa.
@khadijarashidy9304
@khadijarashidy9304 27 күн бұрын
Jamani mama ni mama tu😭😭😭 sidhani kama Kuna kipind bora zaid ya hiki
@reginaedward4883
@reginaedward4883 27 күн бұрын
Ooh its so touching ❤❤
@fatmamohammed8346
@fatmamohammed8346 18 күн бұрын
ila mamam emilia anamoyo mgumu yaninmtoto ndo anauchungu kuliko mama mtoto analia mama hana habari wala nn
@user-hw3lq3ol2u
@user-hw3lq3ol2u 19 күн бұрын
Kwann mama alikosa upendo hiv😅
@jamesonduma6064
@jamesonduma6064 20 күн бұрын
Congratulation kwa kazi na from kenya
@user-zz5ng1yb8d
@user-zz5ng1yb8d 26 күн бұрын
Huwezi jua wengine kwa mwanaume wanachukua watoto na mali unaambiwa usikanyage si tulishashuhudia haya,
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 24 күн бұрын
Msiteteee upuzi Yani utishwe kumuona mwanao na serikali ipo achani hizo angefanya baba hivyo ingekuwa mineno humu huyu ni mama bora mama
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 24 күн бұрын
Msiteteee upuzi Yani utishwe kumuona mwanao na serikali ipo achani hizo angefanya baba hivyo ingekuwa mineno humu huyu ni mama bora mama
@salomeshongola1697
@salomeshongola1697 24 күн бұрын
Huyo mama alikuwa hana uchungu wa watoto wake.kwa sababu alishawahi kwenda huko.
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 24 күн бұрын
Alikuwa ana puyanga tu akakosa hata muda wa kutafuta watoto fyuu atajuta kwanini aliwaona hakuna bond hapo hata yeye hana bond pia umeona hata alivyowapokea watoto wenyewe hamna bond kabisa asubiri na ajichanganye aombe hela atatamani ajinyonge
@ashangalawa9492
@ashangalawa9492 23 күн бұрын
Ndivyo ilivyokuwa kwa huyu mama alisema cku ya kwanza walipounganishwa
@komboomar8275
@komboomar8275 24 күн бұрын
*Mama ni mama tu hakuna mwenye thamani zaidi ya mama ila mama kidoogo hakutenda haki kwa hao watoto wake miaka 15 sio hata kukanyaga na anapajuwa walipo duuh.*
@salmawage7259
@salmawage7259 26 күн бұрын
Mungu aendelee kuwahifadhi
@CristinLyanga
@CristinLyanga 26 күн бұрын
Pole kwa kuumwa mama.
@LilianSimon-cz7zr
@LilianSimon-cz7zr 17 күн бұрын
Jamani kwa mtazamo tu Mama anaonekana alikuwa mwingi wa habari,alafu sio kila mwanamke ni Mama
@speciozakaloli
@speciozakaloli 24 күн бұрын
Sio kawaida mama kusahau watoto wake
@BrazaKau
@BrazaKau 20 күн бұрын
Jamani mm stak kuongea mengi juu ya hii chanel mungu aizidishie sana na wadada inabid tujifunze kupitia hii chanel nahii chanel aina utofaut na kituo cha kusahdia watoto yatima natamani ata kuongea nao tu lakn one day ntafika napotaka kufika clauds tv mungu awasahsie sana tena sana
@zahramohammed2337
@zahramohammed2337 26 күн бұрын
Jaman na mimi nataka hiii kwa ajili ya mdogo wangu wa mama mkubwa
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 27 күн бұрын
Ila mama ana roho ngumu hyu
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 27 күн бұрын
mno
@shakirashakira-gc2yw
@shakirashakira-gc2yw 23 күн бұрын
@@masalakulwa7601 tena sana
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 23 күн бұрын
Roho mbaya
@SelinaPaschal-vq2iy
@SelinaPaschal-vq2iy 22 күн бұрын
Hana mapenzi na watoto huyu
@graceshayo5763
@graceshayo5763 21 күн бұрын
Kbx dear mtoto umzae umwachie mwanaume ​@@SelinaPaschal-vq2iy
@rosehaule6765
@rosehaule6765 26 күн бұрын
Na wanaadabu wtot wamejitunza mnoo😢😢😢mama una bahati mnoo wametunzana😢😢
@eshyndibalema1529
@eshyndibalema1529 27 күн бұрын
Huyu mama ana shida huwa tunapata shida sababu ya watoto alikaa mpaka watoto wamemtafuta analia nini mnafiki hana lolote
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 27 күн бұрын
Jaman uyu mama kumbe anapakumbuka sehemu hakutaka tu kwenda kuwaona watoto wake hadi wamemtafuta wao aisee
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 26 күн бұрын
Yaani sijui shida ni nini nyir😢😢😢
@user-hq9tm8ph9z
@user-hq9tm8ph9z 26 күн бұрын
Mda mwingine inakuaga madawa
@user-zz5ng1yb8d
@user-zz5ng1yb8d 26 күн бұрын
Huwezi jua kipi kilipitika
@sarasaraz-vn1vl
@sarasaraz-vn1vl 25 күн бұрын
Huwez Amin Yuko na sababu zake lakin naona hana mzuka na wanae
@queenjacklinedavid2600
@queenjacklinedavid2600 25 күн бұрын
Kuna familia zigine onanyaganywa mtoto na ukabaki una thamani
@enockmaige8936
@enockmaige8936 27 күн бұрын
EMILIANA chomboo❤❤❤
@user-vo9ck2vv2w
@user-vo9ck2vv2w 11 күн бұрын
Hakika nimelia kuliko.wao. mimi sesi wa kimara
@samochristopherroche9953
@samochristopherroche9953 16 күн бұрын
Hawa wama wana roho ngumu na mbaya sana...mimi siamini kama kuzaa ni kwa uchungu...mama unaacha watoto na unapajuwa ukoo wa mume unaweza kuwatafuta lkn unapotezea tuu...wkt mwingine bora kuendelea kuishi bila mama kuliko wamama wa hivo...
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu 9 күн бұрын
Kabisa
@GfgGgg-sc2uy
@GfgGgg-sc2uy 26 күн бұрын
mama mbona hukumpenda mtoto wako wakiume km emiliana emili umempenda sana mpaka unaliya nahuyo wakiume wanao
@user-it9se4tr3f
@user-it9se4tr3f 15 күн бұрын
Watoto ndo roho yangu nawapenda mno
@DokersRobin
@DokersRobin 26 күн бұрын
Nimelia
@Thisisgrace979
@Thisisgrace979 26 күн бұрын
Mi mana yetu yupo kakini ametutenga mda tu baada ya baba kufariki, nyumbani napajua ila naendelea na maisha yangu, nimejaribu sana kuiunganisha familia yangu lakini wapi, ye anawaza kupokonywa mali tu. Da! Inauma sana ika siachi kuomba kwa Mungu tuwe pamoja😢😢.
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 26 күн бұрын
Polesana mtihani sasa kwanini yupohivyo mama
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 23 күн бұрын
Pole sana dada Grace😢,ipo siku Mungu atafunguwa njia
@AsiaAlly-rn5ly
@AsiaAlly-rn5ly 27 күн бұрын
jamani nimelia sana leo.
@halimaa9367
@halimaa9367 23 күн бұрын
Asante mungu
@juliemrema497
@juliemrema497 27 күн бұрын
Hata mimi nimelia.
@rosiehayatta2619
@rosiehayatta2619 22 күн бұрын
Huyu mama alijua watoto wanakoishi hakuwa na Nia ya kurudi kuwaona
@SaphiaSitta
@SaphiaSitta 27 күн бұрын
Jamani Mimi Sina neno mungu awazidishie Wana Mimi nalia tu
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 23 күн бұрын
Yaaani
@victoryjohn4179
@victoryjohn4179 14 күн бұрын
Nafanya kazi mbali na wanangu wawili lakini siwezi kumaliza mwaka bila kurudi kuona wanangu,,, Kila nikikaa kuwakumbuka utumbo wa uzazi unaniuma,, Naomba MUNGU nisaidie moyo huo huo nisiweze kupata shida ya kuweza kutengana na wanangu miaka zaidi ya kifo pekee
@NicelaLugakingira
@NicelaLugakingira 20 күн бұрын
Clouds mubarikiwe
@RuthWarombo
@RuthWarombo 24 күн бұрын
Jamani maishani kuna mapito nakila mtu na yake .Ila tu nashkuru radio cloud's kwa msaada wao mkubwa kwa taifa Mungu awabariki
@mrliverpoolynwa7641
@mrliverpoolynwa7641 27 күн бұрын
Da huu umependeza
@upendosamwel2705
@upendosamwel2705 24 күн бұрын
Huyu mama ni mmbulu hawanaga muda na watoto wakiondoka hawaangalii nyuma😢
@user-be4wt9ng2u
@user-be4wt9ng2u 23 күн бұрын
Umesema kweli kabisa ndio wako hivyo
@aziza9093
@aziza9093 26 күн бұрын
Mungu awapemaisha marafu
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 27 күн бұрын
Mama hana upendo na wanawe yaani hajashtuka,hata hajaweza kumkumbatia hata mjukuu wake... seriously!!😮
@oman1oman179
@oman1oman179 26 күн бұрын
Anaupendo sema ni udhuni alokuwa nawo anaona aibu
@MsAggie5
@MsAggie5 25 күн бұрын
Hana upendo wowote hata Ku act anashindwa? Ona wamama wenzake waliokutanishwa walivyo onyesha upendo. Kakaa kama mlevi lol
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 23 күн бұрын
​@@MsAggie5mwanga huyo,bora hata wasingemtafuta,atauwa mjukuu bure,mwenyewe huku nalia yeye kajikalisha tu hapo,mpaka aambiwe simama upokee mtoto,khaaa
@HawaSwabra
@HawaSwabra 27 күн бұрын
Mama han upendo na watoto kwanza hapo alipo han hata mshtuko
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 27 күн бұрын
Ni kweli aisee angekuwa mama flani wa Mbeya uwiiiiiiiii hicho kilio mngejuta hapo studio
@nancyg8664
@nancyg8664 26 күн бұрын
​@@fatmaallyabdul1732😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 26 күн бұрын
😂😂😂😂
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 24 күн бұрын
Weae unajuwa watt wako walipo Kisha hukuenda hilo mnalionaje upuuzi Mimi nisinge mtafuta
@annakifwamba2358
@annakifwamba2358 23 күн бұрын
Nilimtafuta sana kakaangu lakini siku alopatikana alikua tayar kafariki😭😭 MUNGU awabariki sana kwa kipindi hiki
@Official83640
@Official83640 27 күн бұрын
Mm navuta subra yule mtoto wa kaka angu atimize miaka 18 mbona mama yake nitamsaka kila radio hd nifike clouds maana kajua kutubwagia mtoto tangu ana mwaka sijui yaani kwenye msiba wa kaka yng ndy tunaambiwa kuna mtoto kule Mtoni kwa Kindande kamuacha marehem. Haya mleteni tumuone kuletwa kweli wetu copy yetu kabisa mama kasema ndy nilikuwa napataka hapa mkubali ndy hd leo mwaka wa 12 huu mtoto hamjui mama yake wala familia ya mama yake hatuijui
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 27 күн бұрын
Ungemtafuta sa hv mwaya huwezi jua ya kesho
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 27 күн бұрын
Duh...so alimleta baada ya mzaz mwenAke kufariki??
@Official83640
@Official83640 27 күн бұрын
@@fettiemaganza1484 Tushamtafuta sana tu alitoa namba ya cm fake haipatikani hd leo
@sajdatomar6025
@sajdatomar6025 26 күн бұрын
Km mama anajua wapi alikomuacha mwanawe na hajaja tena inawezekana amefariki ama km yuko hai basi hamtaki ndio mana hajapita mpk leo
@Official83640
@Official83640 26 күн бұрын
@@sajdatomar6025 yaani yule kambwaga hana mpango na mtoto na aliyemuachia kafariki na yule mama aliyemleta kumuonyesha familia kafariki ndy tatizo lipo hapo hakuna anaejua kwao wala jina lake halijulikani mtoto kachukuliwa ba bibi yake yupo kijijini bint mkubwa sasa anajua hd kupika😭
@tinamahega9848
@tinamahega9848 25 күн бұрын
Mimi simshangai huyu mama kwa yaliyomkuta,manake hii dunia ina majaribu mengi kuumiza moyo,binafsi hili limenikuta na hope nitakuja kuonana nae akiwa mkubwa kama hivi,machungu aliyopitia huyu mama nayaelewa mnoo,ni uchungu usioisha kukaa mbali na watoto ingali uko hai😢
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 24 күн бұрын
Hana uchungu angekuwa na uchungu angesha fika mana mahali walipo yeye alikuwa anapajuwa wenye uchungu ni watt ambao hawajui alipo mama hivi huyu mama ana uchungu Gani ili Hali alipo waacha watt hakuwahi fika hata kulizia eti nilikuwa naumwa miaka 18 tuache kutetea ujinga angefanya baba mgesema vipi Mimi nisinge mtafuta mama wa hivi akwemdeeee
@EstarDanielisaya
@EstarDanielisaya 17 күн бұрын
😭😭jamani kipenzi Mungu awalinde umenikumbusha mbali😭
@challemartin
@challemartin 22 күн бұрын
Jaman jaman hawez jua sababu ya uyo mama kutowatafuta watoto wake mda wote huo maana hatujui anaishije
@ROSEMARYVALENCE
@ROSEMARYVALENCE 15 күн бұрын
Nmetoa machoz jaman hongeren clauds leo tena
@paulinemwikali5077
@paulinemwikali5077 21 күн бұрын
Kwangu kushukuru Mwenyezi MUNGU
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 27 күн бұрын
Hiki nikipindi bora kwa sasa Tanzania kama sio Dunia nzima...Ikiwa sio igizo mnafanya kazi ya kusisimua na msichoke...Ikiwezekana muendeleee hata kupita mitaani kuhoji msikute mtu na baba yake wako ofisi 1 na hawajuani kwa kweli....Hongereni sana sana zana
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b 27 күн бұрын
Kweli yaan
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 27 күн бұрын
igizo ili kitokee nini..mxiew
@graceshayo5763
@graceshayo5763 21 күн бұрын
Mm kiukweli siwez kumtafut mama aliyeniacha bila ya uchungu maan uliyezaa huwez kumsahau mtoto wako ulizaa hpn hii mm Huwa spendi story hiz zinanipa maswaliengi san
@edakilibika5935
@edakilibika5935 15 күн бұрын
Huyo mama hana uchungu na hao watoto
@ImmaculateMweteni
@ImmaculateMweteni 27 күн бұрын
Kipindi bora kati ya vipindi vya redio nyingi Tz. Nakumbuka miaka mingi iliyopita niliona kipindi kama hiki cha Oprah winfred wa US.
@HusnaMtitiko-yt4ru
@HusnaMtitiko-yt4ru 26 күн бұрын
Kina fanywa kila mwaka mwezi wa 5
@hanifamziray277
@hanifamziray277 25 күн бұрын
Nalia kwa machungu sn
@sayunichullahkadinda8775
@sayunichullahkadinda8775 23 күн бұрын
Mmmmh 😭😭😭 machozi yananitoka
@HapyynessValentine
@HapyynessValentine 23 күн бұрын
Clauz hatuwapat toka ijumaa hadi leo
@user-vo9ck2vv2w
@user-vo9ck2vv2w 11 күн бұрын
ROHO ngum kaka jiwe
@DativaMbowe
@DativaMbowe 25 күн бұрын
😭😭😭😭nimekumbuka mbali sana, endeleeni kupumzika kwa amani ipo siku tutaonana,
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya 25 күн бұрын
Madikin
@godfreyfrugence4176
@godfreyfrugence4176 16 күн бұрын
Namtafta babu angu Godfrey Gidion kawambwa najua yupo hai alishiriki vita vya kagera 79 popote alipo natamani nikutane nae
@ShemsaKiobya
@ShemsaKiobya 25 күн бұрын
Watoto wazuri kawatelekeza
@user-vz6kk8id2f
@user-vz6kk8id2f 27 күн бұрын
Sasa mbona hamna sauti
@alfredinafelix836
@alfredinafelix836 27 күн бұрын
Natamani kuwe na session ya mtafutwa hasa mzazi alifanya effort gani maana haiingii akilini
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 26 күн бұрын
Kuna kuwaga ni vitu vingi saana,viwekwe bayana
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu 9 күн бұрын
Mama hana uchungu na watoto wake kabisa hata kushituka wala kulia mkavu kabisa na hakutakaga kwenda kuwa tafuta kwa ndugu wa mume
@user-tt3lx7ly2m
@user-tt3lx7ly2m 24 күн бұрын
Daaah😢
@laurenciamushi2576
@laurenciamushi2576 16 күн бұрын
Jamaniii huyu dada namfahamu huku kahe
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 27 күн бұрын
Jamani hii dunia kila mtu na changamoto unaishi na watu baki hujui mzazi wako yuko wapi
@ShemsaKiobya
@ShemsaKiobya 25 күн бұрын
Mama Hana upendo na watoto huwezi acha watoto wako muda wote huo kifua ameugua miaka 6 Hy hiyo mingine je
@joymamwanga5036
@joymamwanga5036 26 күн бұрын
Mama manikini pombe zimemkolea mpka sura imemvimbaa jamanii 🥹🥹
@kashrajabu5744
@kashrajabu5744 26 күн бұрын
Mama amesema alikua anaumwa kifuwa cha tb
@aminakipande5645
@aminakipande5645 25 күн бұрын
@@kashrajabu5744aseee
@JamalKanani
@JamalKanani 25 күн бұрын
Tibi hiyo imemko desha
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 23 күн бұрын
Mama nae upendo bado unapajua na hukwenda kuwatafuta
@attunelson8828
@attunelson8828 24 күн бұрын
Mama huyu hana mapenzi na watoto wake kabisa kha!
@user-it9se4tr3f
@user-it9se4tr3f 15 күн бұрын
Dunia ilimbeba kweli ndo usahau watoto mmmH
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 25 күн бұрын
Ila huyu mama miaka sita ya ugonjwa baada ya hapo.....! Mama mwenzangu ana roho ngumu jamani!!
@rebeccamayo911
@rebeccamayo911 24 күн бұрын
😅😅😅😅 aya bhana
@HildaKibokoNyerere
@HildaKibokoNyerere 26 күн бұрын
Kipindi kizuri sana ila kiboreshwe wasiongee chochote kabla ya kuja kwenye kipindi tuone reaction ya mtafutaji na mtafutwaji. . Yani wasipeane Number za cm mpaka wafike hapo .
@MsAggie5
@MsAggie5 25 күн бұрын
Itachukua muda mrefu hewani ambayo ni ghalama
@eliaichraymond1215
@eliaichraymond1215 24 күн бұрын
Mm ni mwanamke but sijamwelewa huyu mama bado!kama hajali vile yupo baridi
@Aminahlamranl420-hw2ie
@Aminahlamranl420-hw2ie 26 күн бұрын
Mmmh mama ww unajua family ya watt wako mbona ukuwatafuta .😢
@fatmamohammed8346
@fatmamohammed8346 18 күн бұрын
bibi kauzu hata kumbeba mjukuu jamani hana hata morali duuu
@user-lz1qj6ck3m
@user-lz1qj6ck3m 20 күн бұрын
Jamani nisaidieni na Mimi Chanel hii naombeni Nina WiFi wangu kapotea tangu mwaka Jana Hadi leo hatujui aliko nisaidieni naombeni
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b 27 күн бұрын
Jamn hiki kipind lzm ulie daaa😢
@NoelChambo
@NoelChambo 20 күн бұрын
Wanawake wanakuaga na roho mbaya
@user-sn7ex7qr8z
@user-sn7ex7qr8z 25 күн бұрын
Maskini nimeria sana nimekumbuka mbari sana mm
@omanoman2044
@omanoman2044 27 күн бұрын
Et kifuw kikuku sasa kifuw kikuu ndo kilifanya nin duuh wamam mnamatatizo san
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 26 күн бұрын
Acha tuu yaan mzazi wa namnahiyo unajuta hata kumtafuta😂😂😂😂😂😂 😢😢😢😢😢 . Ka EMI kawatu kapolee . Kaliolewa hakana hata mama mkwe mama mkwe wake alisha kufa yaan kanahitaji upendo wa mama ila ndo ivo tena siyo riziki😢😢😢😢
@joycekalago532
@joycekalago532 26 күн бұрын
Mama hana shida amejitetea aliumwa kwa mda mrefu ndio sababu hajawatafuta watoto wake,msimsakame sana
@salomeshongola1697
@salomeshongola1697 24 күн бұрын
Wee mwongo huyo asijitetee.Aombe tu msamaha kwa kuwatelekeza.
@SalmaKhatibu-gl4su
@SalmaKhatibu-gl4su 26 күн бұрын
Jamani jamani ama nisiongee nikakufutu
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 27 күн бұрын
Ila mama ana roho ngumu hyu ht hana shauku
@janethngowi1058
@janethngowi1058 25 күн бұрын
huyu mama jamaniii ana roho ngumu!
@user-ky5wu4gc9g
@user-ky5wu4gc9g 20 күн бұрын
Huyu mama mbona kama rorose kuhusu watoto wake?kumbe kwa shangaz alikua anakujua kwanini hakwenda kuwatafuta watoto wake? Kama huyu wakiume anaonekana alikata tamaa kabisa ya kuonana na mama yake
@loveness09-k
@loveness09-k 26 күн бұрын
Sijawahi ona mama kama huyu hajui watoto wanaishi vipi huyu atakuwa aliolewa tena ndio mana hakutafuta watoto asitudanganye
@godfreybeatus8396
@godfreybeatus8396 27 күн бұрын
Hiki kipindi kitapata watu wengi saaana
@SamiraNyakunga
@SamiraNyakunga 25 күн бұрын
Uyo bibi kichomi uwiiii hajari wala nn
@UpendoMtunguja
@UpendoMtunguja 24 күн бұрын
Huyo mama ana shida Ina maana muda wote huo anaugua jamani tangu mtoto ana miaka saba Ina maana walivyoondoka tuu akaumwa mmm
@user-sx1xi4yb2z
@user-sx1xi4yb2z 27 күн бұрын
Ilikuaje mpka mama akawaacha jmni
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 13 күн бұрын
Kipindi hiki hinaniliza
@MinskBelarus-il2tl
@MinskBelarus-il2tl 25 күн бұрын
Sote tunaguswa na machozi yanatutoka. Ibaki hivohivo tusichunguze kilichosababisha Mzazi kuondoka na watoto,ila mzazi huyu😮😮😮😮😮
@asharashidi3538
@asharashidi3538 24 күн бұрын
Nimelia san yaani nimekumbuka mama yangu
@gladnesskweka9699
@gladnesskweka9699 17 күн бұрын
Huyu mama dunia ilimbeba na saiz kiza kishaingia hadi anaona aibu
@aishatest4451
@aishatest4451 26 күн бұрын
mama sinyo 😢😢 mama wewe hatali
@florahbenedict
@florahbenedict 27 күн бұрын
Mama hana upendo kabisa
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 26 күн бұрын
Kweli
@user-zc7ql3nc3v
@user-zc7ql3nc3v 25 күн бұрын
Amewaacha watt hata miaka 10 bado yy kaugua miaka sita ...au hayanihusu
@SamiraNyakunga
@SamiraNyakunga 25 күн бұрын
😅😅😅
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 53 МЛН
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 87 МЛН
OMG😳 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:58
Potapova_blog
Рет қаралды 4,2 МЛН
HAKUNA NDOA
11:49
Joti TV
Рет қаралды 211 М.
One Two Buckle My Shoes ! #spongebobexe #shorts
0:17
ANA Craft
Рет қаралды 5 МЛН
Парковка ТАКСИ от клоуна!
0:22
Клаунхаус Kids
Рет қаралды 3,5 МЛН
Only Harley Quinn doesn't dislike the Joker's shortcomings#joker #shorts
0:17
Vampire Girls FIGHT Over Boy 😈
0:32
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 11 МЛН