No video

EXCLUSIVE NA AY: KULALA KWENYE KONTENA, KUSHINDA NJAA HADI KUMILIKI NYUMBA MAREKANI

  Рет қаралды 37,404

Dozen Selection

Dozen Selection

Күн бұрын

Rapper mwenye heshima kubwa kwenye muziki wa Bongo #AY amezungumza na #Bdozen kupitia Dozen Selection na amesimulia historia ya Maisha yake EXCLUSIVE kuanzia Kufanya Kulala kwenye Kontena Hadi Kumiliki Nyumba Marekani.
Follow Us Instagram - / dozenselection

Пікірлер: 54
@ezekiambise2595
@ezekiambise2595 5 жыл бұрын
Uwa namfananisha na p.didy wa bongo!big up bro!you are big inspiring person to the society!
@geeva99
@geeva99 5 жыл бұрын
Respect sana, hii type ya hustle sio mchezo kabisa
@beastmc6663
@beastmc6663 5 жыл бұрын
🔥🔥👏👏 namkubali Sana Ay Yuko real na smart
@KiooTvOnline
@KiooTvOnline 5 жыл бұрын
Nmependa professional transition na composition ya shots za hii show... Dozen selection you've improved
@shamsaismail7707
@shamsaismail7707 5 жыл бұрын
Ktk maisha mtu hufaai kukata tamaa aisee hongera Ay
@davidone4705
@davidone4705 5 жыл бұрын
Ongelaaaa sanaaa... A. Y... Ila ninaswali kwa a. Y.... Lini. Ata kuja huku... Kwao.... Mbeya,, wilayan,,kyela.. Kijijin. Ipinda.?????????
@babalaotv612
@babalaotv612 5 жыл бұрын
AUDIO | SANKAWILA Ft. SHEBBY LOVE - SIO RAHISI Download LINK>www.djmwanga.com/2019/07/sankawila-ft-shebby-love-sio-rahisi.html
@mbishkulala567
@mbishkulala567 5 жыл бұрын
AY umefanana Sana na Rico Single Hata kwenye Collabo yenu huwezi kumjua Ni yupi AY yupi Rico Proof of that angalia Shampein ya AY na Rico Single
@kalistimarley1924
@kalistimarley1924 5 жыл бұрын
much respect to prezo mpk support yako IPO kwa A.Y
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 5 жыл бұрын
Kuwa na nyumba au apartment marekani rahisi kuliko Kuwa na nyumba bongo,marekani nyumba unakopeshwa unakua unalipa mortgage kila mwezi..hakuna mambo ya kununua cash au eti kujenga kwa hela zako from the scratch ,unalipa morgage mpaka unaingia kaburini,hakuna anaemaliza,labda ufike miaka 80 ndio utakua umemaliza deni,ni wachache sana Tena vibabu na vibibi vizee vya kizungu ndio utakuta vimemaliza deni
@directorinyangeadriano5031
@directorinyangeadriano5031 5 жыл бұрын
Haji Mnubi Wa bongo chuki tuu..na wew unay hio nyumba Marekani unavyo semea na rahisi?
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 5 жыл бұрын
Ndio mana nikaiongelea, unadhani naongea tu kufurahisha baraza,ninayo naendelea kulipia mkopo
@annayvonne5248
@annayvonne5248 5 жыл бұрын
mbona we huna km ni rahisi
@annayvonne5248
@annayvonne5248 5 жыл бұрын
awap usitujaze apo, tulia tu brooh usikatishe watu tamaa
@mosesjnr8436
@mosesjnr8436 5 жыл бұрын
Interview imetulia kuna baadhi ya vitu dozen kauliza ambavyo vipo kwenye interview alofanya Ay na Skywalker mwaka 2015😊
@lightnessmungaya3280
@lightnessmungaya3280 5 жыл бұрын
Good interview 👍👍👍
@swalehemhando6921
@swalehemhando6921 5 жыл бұрын
Nimekuwa Kwa kwanza kutizama...👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
@reinhardmichael8317
@reinhardmichael8317 5 жыл бұрын
Dozen Fanya interview na nyandu tozi plz
@reymasenya6450
@reymasenya6450 5 жыл бұрын
Nice Kaka
@seifmatimbwa4379
@seifmatimbwa4379 5 жыл бұрын
AY a real iconic figer in Tz
@ramadhanimahongole8764
@ramadhanimahongole8764 5 жыл бұрын
huyu jamaa anafanana nawatu wa majuu asee , hp bongo kazaliw kwbahat mbaya ilibid azaliwe hukohuko marekan kbs
@mwajumayunus2041
@mwajumayunus2041 5 жыл бұрын
Humble
@ibhalajathomas6813
@ibhalajathomas6813 3 жыл бұрын
gd sana ay
@mwinyiadno9495
@mwinyiadno9495 5 жыл бұрын
Dozen ya such a genius mzee 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@mcnjovu3525
@mcnjovu3525 5 жыл бұрын
Endelea kupambana Ay
@nyatkanyat9470
@nyatkanyat9470 5 жыл бұрын
Aminia brooo hukoseagi kwenye kazi yako
@nasonibrahim
@nasonibrahim 5 жыл бұрын
Cha muhimu connections tuu
@Basagamp4
@Basagamp4 5 жыл бұрын
Ktk Interview hii Dozen umekuwa Na Discipline kulikooooo
@mussakassim299
@mussakassim299 5 жыл бұрын
Anachek na mtu anae muhoji
@Basagamp4
@Basagamp4 5 жыл бұрын
Mussa Kassim Nikweli kaka,ametuliaaa na Amebehavu
@mosesmkoma6882
@mosesmkoma6882 5 жыл бұрын
Dozen uwa anajuwa kuoji siyo kwa AY tu,
@gogolamavi
@gogolamavi 5 жыл бұрын
Namu kubali sana Ay
@sakinaomar2090
@sakinaomar2090 5 жыл бұрын
Bravoo
@carlosmzena548
@carlosmzena548 5 жыл бұрын
The first Tanzanian went international was mtoto wa dandu nadhani
@daimonmalekano6086
@daimonmalekano6086 5 жыл бұрын
mzena hadi huku
@carlosmzena548
@carlosmzena548 5 жыл бұрын
@@daimonmalekano6086 😆😆 yeah am q universal 😂
@daimonmalekano6086
@daimonmalekano6086 5 жыл бұрын
malekano hapa
@carlosmzena548
@carlosmzena548 5 жыл бұрын
@@daimonmalekano6086 😆😆 asee hatari sana kaka
@salumjumah4820
@salumjumah4820 5 жыл бұрын
mzee wa commercial AY
@TheBlkk100mk
@TheBlkk100mk 5 жыл бұрын
AY kwanini usitowe kitaabu ambacho kwa kitabu hicho hicho kinaweza kuandaliwa movie yake. Hii ya kontena imenikumbusha ile movie ya will smith ya The Pursuit of Happyness. Will Smith alifika kulala kwenye vyoo vya public ... Kwa sababu ni mtu mwenye pirika nyingi kwa hiyo inawezekana hujaiona, naomba uitafute ikisha utanuja kuniambia. Tanbihi: will smith ni muigizaji tu.
@TheBlkk100mk
@TheBlkk100mk 5 жыл бұрын
Nyumba kwa US hata Canada au UK uhitajii green card au resudence permit, kinyume chake, kumiliki nyumba ndio inakipa residence
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 5 жыл бұрын
Connection...!!! Ni kitu muhimu katika maisha. Karibu Subscribe channel yetu na sisi tutafanya hivyo kwako. Ahsante.
@mvungigaming
@mvungigaming 5 жыл бұрын
Nisha subscribe... Fanya na kwangu....
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 5 жыл бұрын
Tayari mkuu
@mvungigaming
@mvungigaming 5 жыл бұрын
Mandy Online Tv 🙏
@beninganajumo3136
@beninganajumo3136 5 жыл бұрын
Nyumba marekani na Hana mbwembwe .ay bonge la mtu aisee
@hamisiyassini8249
@hamisiyassini8249 5 жыл бұрын
Viwanja tumevipima
@CSWafrica
@CSWafrica 5 жыл бұрын
muendelezo uko wapi?
@ramabendera8183
@ramabendera8183 5 жыл бұрын
Play ya chini utaiona muendelezo
@davidone4705
@davidone4705 5 жыл бұрын
Ili,, aweze kusaidia, vijana hukukijijin,, ipinda
@davidone4705
@davidone4705 5 жыл бұрын
Kusaidia
@onyaman7336
@onyaman7336 5 жыл бұрын
Baab kubwa pia hulivyokua una muibukia Mchizi wako masaki harafu unakula visheti pale Kwa genge la nyoka
@hamiswawa5872
@hamiswawa5872 5 жыл бұрын
tunamuomba na falsafa
@willamsigwa740
@willamsigwa740 5 жыл бұрын
Lazma kweli na binamu ahojiwe
PART 2: AY KUACHANA NA MKE WAKE / UGOMVI NA FA / COLABO NA TYGA
45:35
Dozen Selection
Рет қаралды 86 М.
Happy birthday to you by Tsuriki Show
00:12
Tsuriki Show
Рет қаралды 11 МЛН
Мы сделали гигантские сухарики!  #большаяеда
00:44
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker  #shorts
00:34
Untitled Joker
Рет қаралды 71 МЛН
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 45 МЛН
Heshima Ya bongo Fleva - Mwana FA | Planet Bongo
47:10
EastAfricaRadio
Рет қаралды 13 М.
Sitaki kua tajiri, nataka kufanikiwa
55:54
MSASA PODCAST
Рет қаралды 60 М.
Happy birthday to you by Tsuriki Show
00:12
Tsuriki Show
Рет қаралды 11 МЛН