Sitaki kua tajiri, nataka kufanikiwa

  Рет қаралды 58,999

MSASA PODCAST

MSASA PODCAST

6 ай бұрын

Nini tofauti kati ya utajiri na kufanikiwa?
Usikose #Msasa huu wa @therealfidq this #sunday on the #msasapodcast

Пікірлер: 167
@platotaurus2301
@platotaurus2301 6 ай бұрын
Fid Q always delivers Us from evil. Huyu jamaa anaakili nyingi sana. The true GOAT.
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 6 ай бұрын
Nilichogundua wamiriki wa media wamegundua kua Kuna weakness kwenye upande wa habari kwa hio wamekuja na vitu mhimu saana I hop kama tutaendelea hivi vile vitangazaji vyenye maswali ya kijinga hongereni wakuu nimeenjoy saana uwepo wa fid
@victorchris5144
@victorchris5144 6 ай бұрын
Mnaojiita mbuzi hii interview ni funzo kwenu. Akili nyingi sana Fareed you are a true meaning of G.O.A.T
@omarylungoba
@omarylungoba 6 ай бұрын
Nafikiri tunahitaji kitabu kuhusu maisha yako broo fid
@ibrahimzuberi1029
@ibrahimzuberi1029 6 ай бұрын
big brain fareed wee jamaa ungepewa udaktari tu -jamaa wa msasa show kubwa sana chief pls tuongeze jamaa wengi zaid tuendelee kula shule,,,,,,,,,am looking foward kuona investrs wengi zaid kweny show yako
@bilalikisembe5012
@bilalikisembe5012 6 ай бұрын
Kama umeikubali hii interview gonga like yako hapa
@einsteinchacha5797
@einsteinchacha5797 6 ай бұрын
Badala ya kuLike video, unataka tuLike comment???
@pcoolmtetezi3195
@pcoolmtetezi3195 5 ай бұрын
Kali
@farouqtuppa
@farouqtuppa 6 ай бұрын
The Truest master of his own craft 🔥🔥
@patricknaiman8005
@patricknaiman8005 6 ай бұрын
kzfaq.info/get/bejne/et-En7umvMW8Xas.htmlsi=Aledt3Mx4TPLOV-n
@jacobjb4515
@jacobjb4515 6 ай бұрын
Mimi Nakumbuka na niliumia sana ile mkali wa Reymz baada ya Afande sele ulikuwa ni wewe mzee mlikuwa top ten daaah
@michaelmzinga4741
@michaelmzinga4741 6 ай бұрын
You are a real brother. Long live Fidq
@kitwanaswalehe8369
@kitwanaswalehe8369 6 ай бұрын
I like the show. Nimeokota machache ya muhimu katika mengi
@user-qw3vx3pl2z
@user-qw3vx3pl2z 6 ай бұрын
Interview ya fid huwa inanipa mzuka no jamaa anayejua kujibu kisanaa
@naftaliwilliam514
@naftaliwilliam514 6 ай бұрын
Fid dandala da MUNGU akupe maisha marefu bro
@sayhussle9918
@sayhussle9918 6 ай бұрын
as the time moves evil/darkness/wrongs gets weak to its opposite and not otherwise. righteous its the right move. and that definition of GOD.! 💯💫🧠🙏
@castroydaimon3107
@castroydaimon3107 6 ай бұрын
Very Very Very Nice Interview.... Fid Q the G.O.A.T
@MSASAPODCAST
@MSASAPODCAST 6 ай бұрын
Glad you enjoyed it! 💪🏾🔥
@goldprocessplant5893
@goldprocessplant5893 6 ай бұрын
Interview nzuri sana ya watu wenye akili sana watangazaji wengine wajifunze kuuliza maswali kwa huyu mwamba sio maswali ya ajabu na kero
@user-op5iu1qt2m
@user-op5iu1qt2m 3 ай бұрын
🎉😊
@mchangeboy5928
@mchangeboy5928 6 ай бұрын
Masikio yana enjoy then ubongo unakula kitu adim bila kelele za sound zao zile za nyuma....
@maishaforreal7798
@maishaforreal7798 6 ай бұрын
Tunaitaji CheusiDawa aandike kitabu tena cha KISWAHILI RAHISI ILI TUJIFINZE NA KWENYE ICO KITABU ATUTAFSIRIYE NYIMBO KAZAA KAMA MAFAANIKIYO.
@gilbertjoseph3338
@gilbertjoseph3338 6 ай бұрын
Ngosha the masterpiece❤
@user-qz5yh1dl1n
@user-qz5yh1dl1n 6 ай бұрын
Ongezeni mda pleas show ni nzur saana ❤❤❤
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 6 ай бұрын
MAFANIKIO NDO UTAJIRI WENYEWE HUO,,,UTAJIRI UKIKUFUATA HUWEZI KUUKWEPA,,UTATEMBEA NAO TU
@robinisack8092
@robinisack8092 6 ай бұрын
Smart sana broooo #king
@Burner_Acc
@Burner_Acc 6 ай бұрын
Interviewer amepoa sana. He lacks reaction and follow-up questions. Fid a great story teller as always.
@MSASAPODCAST
@MSASAPODCAST 6 ай бұрын
Thank you for the feedback. Tutaifanyia kazi💪
@petermbwei1347
@petermbwei1347 6 ай бұрын
Fid huwa anajua kujielezea sana
@MosiAmandusi
@MosiAmandusi 3 ай бұрын
We need these kind of intellectual feeding. Ikiwapendeza tupatieni DIZASTA VINA
@MSASAPODCAST
@MSASAPODCAST 3 ай бұрын
Sawa brother.. Tutalishughulikia
@GriffinMwakyonya
@GriffinMwakyonya 2 ай бұрын
Thats my goat
@eliudwiston4206
@eliudwiston4206 6 ай бұрын
The world 🌍.....fid q,..... usisahau kusubscribe......bro kubanda kiberiti ni ya moto sana kichwani mwangu
@boniventurekiwanuka.8098
@boniventurekiwanuka.8098 6 ай бұрын
Rock City Icon.
@user-fc5wm9pp6u
@user-fc5wm9pp6u 6 ай бұрын
Broo wa msasa unajuaa kuuliza maswali vzr shout out 2 u
@nicksoncharles-kx3gr
@nicksoncharles-kx3gr 6 ай бұрын
Fanya utusogezee Nikki mbishi apo
@izvibez6823
@izvibez6823 4 ай бұрын
Dope PODCAST 🔥🙌🐐
@millardmbaraka6114
@millardmbaraka6114 6 ай бұрын
This man ni shule @Don Miguel 🔥🔥
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 6 ай бұрын
The real Mbuzi....Home boy Fid Q...I appreciate so much on what your doing brother
@zainabmaulid9637
@zainabmaulid9637 6 ай бұрын
Ukenda mbio mda mtapishana mafanikio huja kwa kile unachofanya% dah mstari huu ndo chanzo cha kufanikiwa mm nauzingatia sana ndo maana sifeli%
@selemanisalum8142
@selemanisalum8142 6 ай бұрын
its my first time naangalia kipindi and nimekipenda sana but I would like kumshauri interviewer asubiri msanii amalize kujibu swahili kisha abandike swali lengine. but all in all I like it
@njoroboihastla
@njoroboihastla 6 ай бұрын
Fid ni genius akijibu swal analielezea kiundani sana mtangazaji anakua kama ameona kamaliza ndo mana unakuta wanalandana
@MSASAPODCAST
@MSASAPODCAST 5 ай бұрын
Asante for the feedback. Zinatujenga. Tutalifanyia kazi hilo💪🏽
@Coachsamwel
@Coachsamwel 6 ай бұрын
Powerful sana... nimewakubal ote
@user-fp4ir4ej9v
@user-fp4ir4ej9v 4 ай бұрын
Umetisha sana ngosha hauna mpinzan
@vinny.morales
@vinny.morales Ай бұрын
Kipindi kizuri sana. Can't wait for season two
@user-yx7fs4ts5z
@user-yx7fs4ts5z Ай бұрын
Nakubal fid. Q
@ngabo786
@ngabo786 5 ай бұрын
mtangazaji💥
@bainolatino3412
@bainolatino3412 6 ай бұрын
Tunamtaka jay moe pia nae anayo yakisema music scientists
@SaidiMeza-ug7mn
@SaidiMeza-ug7mn 2 ай бұрын
Kwel kabisa anajua vingi mo
@babasam4752
@babasam4752 6 ай бұрын
Channel Iko sawa sana kwasababu mtangazaji Yuko vizuri, itafika mbali hii
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 6 ай бұрын
Powerful sana
@Coffted
@Coffted 6 ай бұрын
Kama umeskia (T.I amemuiga Flow) Fid. Grab ur Skunk please😊
@godfreyndaki9522
@godfreyndaki9522 6 ай бұрын
Fid Q
@user-bf4xh9kc3n
@user-bf4xh9kc3n 6 ай бұрын
Bonge Moja la interview la kufungia mwaka
@kelvinjoseph4157
@kelvinjoseph4157 6 ай бұрын
this podcast is awesome ila i suggest the "fill-a-words" could be minimized by simple edits I mean by Mhhhs and Ahhhas
@ApipaTV
@ApipaTV 6 ай бұрын
Kazi nzuri bro Mpangilio wa studio Light Sound Na vitu vingine I'm your new fan
@saluuhans
@saluuhans 5 ай бұрын
👑 King Fid 🙌
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 6 ай бұрын
Are the one we met on MUHAS & UNICEF Symposium on. Social behavior change
@MSASAPODCAST
@MSASAPODCAST 6 ай бұрын
Yes sir😉
@ebenezermangowi7403
@ebenezermangowi7403 6 ай бұрын
Sitaki kuwa Tajiri. Nataka kufanikiwa
@MSASAPODCAST
@MSASAPODCAST 6 ай бұрын
🔥🙌🏾
@saluuhans
@saluuhans 5 ай бұрын
The best interview
@jacksonfred4994
@jacksonfred4994 6 ай бұрын
Nimeipenda interview broo utulivu wa maswali skills ya kujua vitu nimeipenda
@vannytz500
@vannytz500 6 ай бұрын
Mzee pindi limenyooka sana
@lukanboyboy4853
@lukanboyboy4853 6 ай бұрын
GoAT fid Q ehe eshima yako kAka🎉🎉🎉
@IssaMabao
@IssaMabao Ай бұрын
Aaah nakubal apo mzee mbuziiiiiii
@MkilemaPantaleo
@MkilemaPantaleo 6 ай бұрын
Nangoja part 2 ianze na majibu kutoka kwa fid maana jibu lako linalenga kilicho kwenye mzunguko sokoni ila yeye anaepaswa ajekuelezea kama inaingiza sokoni bidhaa haipo na huo wakati ipo inayo trend sokoni
@hamisamiraji
@hamisamiraji 6 ай бұрын
Kazi nzuri
@user-vd4yp2ou8t
@user-vd4yp2ou8t 6 ай бұрын
Interview inanipa somo bongo la interview
@sospetersayi7176
@sospetersayi7176 6 ай бұрын
My GOAT 🐐 HIP HOP 🙌
@fanuelmtewele5660
@fanuelmtewele5660 6 ай бұрын
Fid q anajua sana
@sontrillthereal8186
@sontrillthereal8186 6 ай бұрын
Hapo mwisho hapo kuna madini sana, Soko, kuuza.
@ChristopherMillanzi
@ChristopherMillanzi Ай бұрын
Mtam Sana farid
@jumalihumbo5314
@jumalihumbo5314 6 ай бұрын
Wajameni iko kitabu cha kutochukulia vitu personal kinaitwaje😊😊😊
@kijokombao5345
@kijokombao5345 6 ай бұрын
Kijitabu kidogo tu cha kuitwa "THE FOUR AGREEMENTS" by Don Miguel ila kina madini sana aisee
@MSASAPODCAST
@MSASAPODCAST 6 ай бұрын
Woah! thanks for sharing 💪🏾🔥
@maximusalnono6425
@maximusalnono6425 6 ай бұрын
Man alone can transform his thoughts into physical reality. man alone can dream and make his dreams come true 🔥muda wowote Fid anapoongea lazima uondoke ukiwa positive interview ya kibabe sana nimekubali 🔥
@MSASAPODCAST
@MSASAPODCAST 6 ай бұрын
🔥Asante sana, the man is a living legend.
@mweusiasili8345
@mweusiasili8345 6 ай бұрын
Madini q no 1
@mastaplan
@mastaplan 6 ай бұрын
Kipindi kipo fresh lakini inatakiwa iwe na party 2 hii msasa ya Fid Q
@user-qw3vx3pl2z
@user-qw3vx3pl2z 6 ай бұрын
Fid may I have your t shirt
@damaresi
@damaresi 6 ай бұрын
💚💚💚🎬 safi sana . Msasani, kwangu mimi unanikumbusha Mchonga nyerere kama sio Mikocheni hahaa.. 📽 naachia video ya kuikaribisha 2024 kwa wimbo Ma Mtoni.. by King Bidder from his own youtube ya king bidder.💚🤳 Album ina itwa Power Of Writing. Karibuni
@dennardleonard1228
@dennardleonard1228 6 ай бұрын
NGOSHA
@mshindotv
@mshindotv 6 ай бұрын
fid q ndio alitufundisha kua USTAA hauji Bila Skendo,
@habari254
@habari254 6 ай бұрын
safi sana
@sixbertaMakoko-rn8cx
@sixbertaMakoko-rn8cx 6 ай бұрын
Nakubalii🔥
@user-yt8cm6kr3v
@user-yt8cm6kr3v 6 ай бұрын
The hip hop king big up bro
@MSASAPODCAST
@MSASAPODCAST 6 ай бұрын
A legend 🙌🏾
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 3 ай бұрын
Mafanikio hayaji kwa kukata taama yenyewe yanawafata wanao jituma sio kusukumwa na njaa ukijituma naneema imekalibia ote waio give Up mapena wangekaza wangeifikia kwenye mistari hizo zinafanya nijitume fd q kwangu ni namba1🙏🙏🙏🙏
@MSASAPODCAST
@MSASAPODCAST 2 ай бұрын
💯💯💯💯
@Hassanhamisi-sw4be
@Hassanhamisi-sw4be 6 ай бұрын
Mecca flash 🎧
@Mahmoud_763
@Mahmoud_763 6 ай бұрын
Second time of listening
@MSASAPODCAST
@MSASAPODCAST 6 ай бұрын
Sehem zipi zimekugusa zaidi?
@yohanabaraka8192
@yohanabaraka8192 6 ай бұрын
Great...
@MSASAPODCAST
@MSASAPODCAST 6 ай бұрын
🔥🙌🏾
@saluuhans
@saluuhans 5 ай бұрын
G.O.A.T 🐐 👑
@Nature-loverss
@Nature-loverss 5 ай бұрын
Bro interview nyingi but sama shirt colour kila interview
@MSASAPODCAST
@MSASAPODCAST 5 ай бұрын
Yes sir
@magaimagayane1947
@magaimagayane1947 6 ай бұрын
Mzee mbuzi Namuelewa sana
@dominickkisulo8017
@dominickkisulo8017 6 ай бұрын
Ngosha the don
@user-pi6ij6uu8x
@user-pi6ij6uu8x 6 ай бұрын
nikisikia mwanza namsikia fidq kikubwa tunahitaji kitabu
@iammichaellukindo
@iammichaellukindo 6 ай бұрын
Ndio vile vitu mi hupenda. Hii nimei verify 👍
@MSASAPODCAST
@MSASAPODCAST 6 ай бұрын
Bless
@dicksonnba8772
@dicksonnba8772 6 ай бұрын
Very cool host link with goat The reality of opportunity meet preparation turns magic 🔗🔗
@MSASAPODCAST
@MSASAPODCAST 6 ай бұрын
😎🙏🏾
@JacoboMjungu-ql8fj
@JacoboMjungu-ql8fj 6 ай бұрын
Fid q❤
@user-qw3vx3pl2z
@user-qw3vx3pl2z 6 ай бұрын
Kkutafuta kitu positive kwenye negatively
@missiontown001
@missiontown001 6 ай бұрын
MBUZI🎉🎉🎉🎉
@joycekonga4095
@joycekonga4095 5 ай бұрын
very good interview 🔥🔥🔥
@habyhabib7538
@habyhabib7538 6 ай бұрын
Kiberiti,siiitaj marafiki ,kwani hii intervw ina second 😂😂,tunahitj zaid kujua mengi
@user-pi6ij6uu8x
@user-pi6ij6uu8x 6 ай бұрын
tupate part2
@bonifacearoni6032
@bonifacearoni6032 6 ай бұрын
dah binadam wabaya sana bora waseme unaringa, hasa hawa wa kukutana nao ukubwani
@nellysosteness9898
@nellysosteness9898 6 ай бұрын
Nimejifunza kitu hapa
@malombemunyithya9341
@malombemunyithya9341 6 ай бұрын
Mzee mbuzi
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 6 ай бұрын
Wewe mwongo fid q wakati anatoka miaka ya 2000 tayari cd zilikuepo labda uniambie miaka ya 90 plus cd zipo tangu 1995
@lubbahmorento5138
@lubbahmorento5138 6 ай бұрын
Ina depend huenda zilikuwepo lakini nchi zilizoendelea ndo zilikuwepo but nchi km tz hazikuepo
@fidq6282
@fidq6282 6 ай бұрын
Kabla ya CD, kulikua na Tepu/ kanda/ kaseti zinaitwa Chrome yaani ( Chrome tapes ) ndio zilikua zinatumika miaka ya 90
@emmanuelpeter465
@emmanuelpeter465 6 ай бұрын
We nae unareta mambo ya ubishan tena si uchaw sasa huo
@one2tell508
@one2tell508 6 ай бұрын
Mwaka 2000 wenyew computer zilikua zinauzwa tofauti na cd rom, unanunua computer na unaenda kununua cd rom na card yake.
@zedekiahmagwega8044
@zedekiahmagwega8044 6 ай бұрын
Ww mzaliwa wa 2004 kelele mingii 2000 jambo kubwa kama bank halijaenea kote watu wanalipwa mkononi ije iwe hiyo CD!? biti kipindi hiyo inawekwa mic unatengeneza biti via mic kama anataka sound ya kikombe anatonga kikombe kwenye mic ili arecord akachanganye huko
@ZainabuIdrisa
@ZainabuIdrisa 2 ай бұрын
Samaya x ananiita fiq the future
@hinikasteve176
@hinikasteve176 2 ай бұрын
Hii ni zaid ya interview nimemeza madini mengi Sana
@wingstarmsanii9862
@wingstarmsanii9862 6 ай бұрын
Fid amenifunza kitu leo
@user-xv8fu9xu6k
@user-xv8fu9xu6k 6 ай бұрын
Erewa neno! kuvuta vuta😂
@samelphace6296
@samelphace6296 5 ай бұрын
Big deal
@nyemondagalla608
@nyemondagalla608 6 ай бұрын
Saa 1 kama dk1 haichoshi wala haiboi, faridi ni darasa tosha.
@jbdedon
@jbdedon 6 ай бұрын
98 kakutana na mtt wa dandu after 10yrs wakakutana 2000 mbona katipiga...?
Leave room for magic
1:24:12
MSASA PODCAST
Рет қаралды 1 М.
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 49 МЛН
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 28 МЛН
Hatua ya kwanza ya kutoboa ni kufeli
1:27:19
MSASA PODCAST
Рет қаралды 18 М.
Kujiajiri sio kutoka
56:25
MSASA PODCAST
Рет қаралды 2,9 М.
Maumivu hutokana na matarajio
1:23:03
MSASA PODCAST
Рет қаралды 6 М.
Nay wa Mitego alivyofukuzwa nyumbani na kuwa Kinyozi. (Part One)
33:57
PART 01 - WAMENIPIGA RISASI WAKAENDA KUNITUPA KWENYE TAA  ( PREZZO )
31:57
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 49 МЛН