Mad respect to noorahs hustle, he feeds his family and has a clear head on his shoulders.....the brother is woke
@ImraanSaeed4 жыл бұрын
Noorah maneno mazito. Noorah ni mtu akiongea unamskiliza. Yaani ni minimalist. Simpo language, simple delivery. Big up kwake
@bonephacemashenene562 Жыл бұрын
Shule ndio kitu muhimu jamaa shule ipo
@fedrickwilliam17214 жыл бұрын
"WAKUABUDIWA NI MUNGU PEKE YAKE" 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿 Kweli brodha. Like kama unakubaliana na NOORAH
@sylvesterchisenga37074 жыл бұрын
Unapanda jukwaani ghafla inakujia Picha ya Ngwear, kama yupo pembeni , Mara Mez B unasikia kama anakuita ..unavuta Picha utani Wa Mazengo High school na wana chemba lakini unagundua Ngwear yupo mavumbini , Mez B yupo mavumbini! ... Hamu yote ya kuimba inaisha unaamua kuacha mziki na kuwaenzi wanao! Hongera bro Noorah Kwa busara hizo mpe Hi Dark Master
@ThePHARESJ4 жыл бұрын
Noorah alikuwa mwanamziki mzuri. Ila ukweli ni kuwa muziki haukuwahi kumlipa. Kuna maisha pembeni ya muziki, sio kila MTU ana destiny katika music industry. Good work brother.
@chrissjoel77524 жыл бұрын
Huyu jamaa aliwahi kuugua mpaka baadhi ya watu wakakata tamaa ila siku zote MUNGU akisimama nawe hakuna wa kukutetelesha 🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏
@suitbertmaro57924 жыл бұрын
Brain concussion eeeh?
@ramsikhamis70834 жыл бұрын
@@suitbertmaro5792 amaa Shake Memories walitokea madirishani ilikuwa ni Ra4 min walikuwa wanaenda Dom
@elishaobadia8829 Жыл бұрын
@@ramsikhamis7083 umeongea lugha gani!!?
@Bitlontravels5554 жыл бұрын
This guy is very wise.
@peterlujuo16404 жыл бұрын
Mshkaji amestuka mapema kabla ya kuingia kwenye stress na kutumia madawa, Big up lyrical & flow genius Baba stars.
@daudinyigo91194 жыл бұрын
Baba styles 😎😎
@philjonez33244 жыл бұрын
Amechukua uamuzi sahihi yaleyale yakina Vanessa uwezi fanya kitu kikawa kinakutoa Hela wakati hiko kitu kilitakiwa kikulipee imagine for 15yrs alafu hufaidiki ..He was my Best Artist back in the days pamoja na Marehemu Mangwea.. Pumzika Bro fanya mambo yako mengine Mziki unastress sanaa
@jettymandizanohainamfano7704 жыл бұрын
Yupo sawa kwa kila kitu wapo wezi
@edsonmdegela60674 жыл бұрын
@@jettymandizanohainamfano770 p Pp
@geeva994 жыл бұрын
Mziki ulikuwa zamani, sikiliza sasa msanii wa zamani anavyoongea kama professor
@johnny.j.nyondo4 жыл бұрын
Wewe sasa ndo umeongea
@salumsalum37924 жыл бұрын
Yani mtu wangu wewe utakuwa intelegencia kuliona hilo mimi nilisema hivyo hivyo Big up Bro
@jamesmukweyi39653 жыл бұрын
Mr Noorah,long time bro
@jamesgeofrey86924 жыл бұрын
A man is smart. Dat’s why he had a good and distinctive lyric. Now I see...
@ericklaura75114 жыл бұрын
This man knows how to answer questions in interview, thumb up to him
@georgeigogo92594 жыл бұрын
And the quationer is good
@kijitamfyomi55984 жыл бұрын
Jamaa smart sana halafu nimenote kadiri umri unavyokwenda ndio anazidi kua handsome kumbe siri ni ibada anazozifanya TID inabidi ajifunze kupitia Noorah big up sana bro.
@sixbertbudodi3 жыл бұрын
We jamaa dah!!
@wishfmradiowhatyouwishfor532 Жыл бұрын
Respect to Noorah this guy knew what club music was tempo, pitch, kick you could mix his songs with anything kwa club na watu hawatatoka dance floor... Respect!!
@thomasnachenga7954 жыл бұрын
Nina elf 10 yako bro bila ubishi...ila mm nafkir unanidai zaid ya hiyo. Sabab umeinspire kitu kikubwa sana ndan yangu..."UKURASA WA PILI"
@yusufmwangichannel66924 жыл бұрын
Saidia masikini na fukara utapata malipo mazuri kwa Mwenyezi Mungu
@giselaherman67993 жыл бұрын
Kwanini tuditafute namna ya kuchanga na kumtumia bro... Mimi roho inaniuma nahisi ananidai saaaaana
@anwarfundi57484 жыл бұрын
Moja Legendary wa Tanzania niliocheza Sana nyimbo zake disco big up real artist
@watakaniitaje12154 жыл бұрын
Kabisaaa yaani tulienjoy Sanaa Enzi izo sio saa hii kanyaga kanyaga mmh
@swabirsudi48594 жыл бұрын
@@watakaniitaje1215 😂😂😂ati nini? Kanyaga kanyaga
@shardalove11592 жыл бұрын
@@watakaniitaje1215 heheee
@SirdickOmondi4 жыл бұрын
This the Best Motivational Interview have ever seen....Maisha ya UMARUUFU ni gharama...sometimes Living normal is Good.
@johnlyimo22274 жыл бұрын
Haya tukimaliza kuchek hii interview naomba turud KZfaq kuchek ngoma za jamaa....
@AmosBPeter4 жыл бұрын
Hahahahahhaha kwel kabx
@abdulwahidmsellem19644 жыл бұрын
Muhimu
@rodrickgerald61514 жыл бұрын
Bila shaka
@dasilvajunior30164 жыл бұрын
ni mekwisha msikiliza tayari kupitia song ' unanitega ' ft mwana fa
@lizzydiy45904 жыл бұрын
Amekua nlikua nshamsahau
@karimabubakary3854 жыл бұрын
Kama namuona mzee ngarama baba nura ustaadhi from kigoma God bless u bro hope hapo kamabarage wadau wanatoa support ya kutosha
@iddrwabibi5824 жыл бұрын
Sheikh ngarama atakuwa proud sana
@kiun082 жыл бұрын
Umetuwakilisha vizuri sana SHY TOWN kwenye Music...Much Respect Bro Great Interview
@tinamanzala4 жыл бұрын
I love this guy na nikawa najiuliza yuko wapi, finally nimemuona 🙏
@Love4Ril4 жыл бұрын
Sad news ever! He was one of the best players in the game
@dekeif255arttz84 жыл бұрын
👊👊👊👊🔥Tengeneza wasanii bro unaakili kubwa sana ya maswala ya music napenda nyimbo zako interview yako imefanya nikukubali zaid bro👊👊👊👊👊
@OG_204 жыл бұрын
Mad love for u bro! Yo a music legend and if there was a good formation mazee this industry ingekua juu sana cause they would have the best teachers!
@johnmosha4 жыл бұрын
Noora you are very matured now... Wisdom yako imepamda Sanaa. Remembering the days of Wu-Zengo
@jysleek52414 жыл бұрын
To me he's a music genius and together with Ngwair they made me love music. Keep doing your thing and I've learnt some tips from you. Bless up
@jacksonelias24174 жыл бұрын
Wasanii wa Zamani Shule ilikuepo buana!..sio wasanii wa sikuizi Shule ngumu vingereza vingi much respect Bro@buku ten yako ninayo😂
@lindambilinyi62533 жыл бұрын
Kabisaaa
@allyirunde71984 жыл бұрын
Noorah nakukumbuka sana kwenye nyimbo yako ya lugha gongana aseee nilikua nafatilia mpaka interview zako ulisema hio nyimbo uliifanya pekeyako na ulifanya sehem ambayo alitakiwa akae mwanamke 💪🏽💪🏽💪🏽 noorah
@nassirshiboli44245 ай бұрын
Wimbo wote aliandka yeye ila Ile sauti ya kike Alikua ni Sara (shaa)yule wa kundi la WAKILISHA
@shijacs234 жыл бұрын
Nimetoka kusikiliza tena Unanitega na Chochote Utapata kweli mashabiki wako unatudai elfu kumikumi, seriously tudondoshee namba yako maana tunajisikia tuna deni kwako!!
@msombanehemia75034 жыл бұрын
Hongeraaaa pia kuna maisha mengine baada ya mziki
@abdulwahidmsellem19644 жыл бұрын
Uyu msanii namkubali Sanaa🙏🏽🇹🇿👌 Ayo tv bigup Sana👏👏
@gilbertkavishe37254 жыл бұрын
Interview ilikuwa nzuri snaa. Binafsi imenifundisha vitu vingi. U are very smart bro.
@godwinmpazi15604 жыл бұрын
Respect brudah...nipo London nimefulia but sijakata tamaa...Nina kazi ninayopenda kufanya na bado naisomea zaidi lakini tatizo Niko nalo ni siwezi ku save enough niseme sasa nirudi nyumbani Singida...Nimeangalia hii clip na sasa nimepata moyo zaidi kwamba bado nina Nafasi tho I gotta race against time.Ahsante bro
@nicholausmakundi26634 жыл бұрын
Upo London ila wote tunaipata #hapahapa au sio.
@opportunities2767 Жыл бұрын
Naimani umesharudi
@kijitamfyomi55984 жыл бұрын
Bro usirudi tena huko hata kama kunapesa mtumikia Allah kwa ajili ya maisha yako baadae.maisha ya dunia ni mafupi sana.
@kingcopper_tz4 жыл бұрын
Kuna kipindi nilitaka niache shule ili nikafanye mziki, kuna mtu akanambia kama kweli unataka mziki soma kwanza, nimemaliza chuo nafanya kazi niliyosomea pia nikifanya mziki, ila ni mwaka wa tatu sasa sijatoka kimzki, nawaza bila hii elimu ningekuwa nimekata tamaa na maisha labda
@dennmkumbala17794 жыл бұрын
Kwer bro mipia napenda san mzki nafanya mziki uku na fanya kaz mwak wa5 nafany na bado miyayusho bila kaz ninge maish yasingeenda
@tinamanzala4 жыл бұрын
Muziki unaumiza sana wanamuziki
@dottodavid19354 жыл бұрын
Tuko wengi kwenye hili Mziki ulinichukuwa kiasi cha kutaka kuwa my major career Lakini sasa miaka kibao imepita nimeopt kuinvest kwenye media tu Mziki stress sijutii kufanya nnachokifanya kwa sasa
@bromanfexxaofficial93520 күн бұрын
Mimi nafanya kwa vile napenda tu kutokana na mfumo wa bongo industry hakuna heka kwenye muziki .....😂😂😂
@atupelemwasambili44764 жыл бұрын
Wise and smart. Big up brother
@abdulzackawami77804 жыл бұрын
Chemba squard imeondoka daah!Mez B Albart Mangwea😭😭😭
@alinadee82074 жыл бұрын
Good artist ever Tanzania apart from trending singers we have this one is musical educated in industry
@JMDunia4 жыл бұрын
Smart sana Noorah. Majibu mazuri na ushauri mzuri sana kwa vijana,wasanii na binadamu wote kwa ujumla. All the best bruh!
@nancyandrew92734 жыл бұрын
Free style ni noooma alfu wimbo wa chochote utapata wa kelyn ndo huwa unanifanya nijiulize huyu broo yuko wapiiiiiiiiii
@usanifumaandishi75194 жыл бұрын
Lakini pamoja na yote nafikiri baada ya kifo cha Ngwair naona uliwaza mengi ukaamua kuacha game
@innomghase37134 жыл бұрын
Coz ukiangalia ata mwak alioacha game ndo mwak alio farik ngwea
@husnangapu5024 жыл бұрын
Ukiishi kwa kuangalia macho ya watu hauwezi kutoboa me sioni ajabu kuuza duka as long as ni biashara halali afanye tu!!!
@ALIMOHD-bk9lr4 жыл бұрын
Surely. Umeongea sahihi kabixa
@vailetmapunda1064 жыл бұрын
Fact 👏👏👏
@lipymuscat47794 жыл бұрын
nimependa sana wazo lake..wenziwe wanavuta unga sasa
@josephstephen20474 жыл бұрын
Duka la spare hilo baba mtaji wake sio mchezo
@hadijasalum63734 жыл бұрын
@@josephstephen2047 exactly hilo sio duka la kitoto
@wanvinnah34564 жыл бұрын
noorah anatuchapa bdo na lugha gongana kwa interview pia 😂😂 yenyewe ajuae ajua💪
@40kstore4 жыл бұрын
Hivi Kwanini wasanii wanapata kidogo tofaut na wanachofanya !? Katika Watanzania million 50,million 1 hawakosi kuwa mashabiki wa muziki,kwa mwaka msanii mkali kama Noorah alitakiwa afunge hesabu hata ya million 500 na kuendelea,ila kuna Wasanii wabongo wanatoa mangoma makali alafu wako pale pale,yaani Wasanii ni billionaires ambao wamelala
@nyumbumjanja4 жыл бұрын
Kila huwa nikihitaji kupata ushauri & story za music,,, huwa nakuja kwako bigup mangiii #letambegee
@emanueltobias34204 жыл бұрын
Du ni kitambo sana ni kwetu shiy like atakaetokoea shy
@adrianalberto70433 жыл бұрын
Tena hapo sio kambarage ni nssf ya zamani kwa nyuma karibu fundi pikipiki almasi
@saidmlindwa79544 жыл бұрын
This dude nice,calm,slow and humble💯hatujasahau ur good music
@zaitunijuma78314 жыл бұрын
ukiendekeza macho ya watu kamwee huwezi fikia malengo yk bora ufanye kile unachokion kitalet faid kwako na famili yk so kufat2 mkumbo honger kk ila nime kusahau sijuw nilikuw mdog kipindi kile waimba au ndo maisha2
@bobwhite92524 жыл бұрын
What happens when you interview a smart guy.
@babailu21334 жыл бұрын
Dah nilikukubali kipindi kile si mchezo yaani ulikuaga ni mzee wa FREE STLY kinoma.
@queenandchill912 жыл бұрын
Noorah a.k.a Baba Styles❤❤ Ishi sana brother, I 'm glad i found this interview, after kuona ile ya Big Chawa.God bless you 🙏🏼
@ronaldiko87943 жыл бұрын
Kama ulishapitia hii situation gonga like kila jambo na wakati wake
@KevoMazziwa4 жыл бұрын
Ingekua bora zaidi. Ungeikweka no ya noorah.. tumlipe hela zake elfu Kumi sisi mafans wake wa kweli.... Tunafurahishwa na kazi zake. Kabisa.. kwa ujumla what i take from this is Noorah.. is wise .. very wise...
@jilesjames7830 Жыл бұрын
Live kk
@zzuuhassani52054 жыл бұрын
daah bg suprise kwangu unaipataje iyo elafu kumi sasa ??
@erickchitumbi13084 жыл бұрын
Safi sana..umeonyesha uthubutu mkubwa kwa kuwaambia wanamuziki wengine.
@finiacefick81664 жыл бұрын
Mi ni mteja wake knoma hapo dukani kwake. Buku ten unayonidai kama mshabiki wako ntakuletea
@ramadhanhemed99313 жыл бұрын
Hahahaha.....one love mzaz
@benardmwakilasa39694 жыл бұрын
Noorah toa namba nikutumie 10000
@yusufmwangichannel66924 жыл бұрын
Saidia masikini na fukara utapata malipo mazuri kwa Mwenyezi Mungu
@lizzydiy45904 жыл бұрын
0689442347 iyo apo mdogo wangu
@alvinsafi27334 жыл бұрын
@@lizzydiy4590 😁😁😁
@lizzydiy45904 жыл бұрын
@@alvinsafi2733 😂😂😂 watu tuna njaa
@alvinsafi27334 жыл бұрын
@@lizzydiy4590 Hatari sana
@bonifacenicholaus51674 жыл бұрын
Unanidai elfu kumi bro! Fan wako leo kesho
@khadijakayuzi84714 жыл бұрын
Uko vizuri Noor rudi kwenye gems tunakupenda kk tutakusapot na elfu 10000 nitumie namba nikutumie
@masebochris30504 жыл бұрын
Hongera ndugu ma elezo yame nyooka,,
@vonnyangarika42264 жыл бұрын
Huyu ndio msanii mwenye hekima pekee niliyewahi kumsikiliza
@ramsikhamis70834 жыл бұрын
Nd very educated mzee wa PCB
@standardtv3494 Жыл бұрын
noorah sio kwa sababu haupo kuna michawi iko humo ni balaaaa bora fanya maisha kaka nimependa unachofanya mno tena mno yaani mno anayemuunga mkono gonga like
Wanachemba wote walikua wakali ila wameisha, Ngwair, mez b , noorah na Dark Master..daah!!😥😥😥😰😰
@andrewmmbaga16654 жыл бұрын
😭😭😭 umeongea kwa hisia
@bonephacemashenene562 Жыл бұрын
Wanachemba ndio walileta Radha kwenye hiphop
@queenfletcher42233 жыл бұрын
THIS DUDE THOU WHAT A GEM💎 … Ila watanzania sijui tunafeli nini walah SAD!!!
@johnjackson96654 жыл бұрын
Blessed
@ibrahimjobu91414 жыл бұрын
Noorah A.K.A Baba stadh nakubali sana flow zako zilikuwa za kipekee sanaaaaaaah Mzee Baba jah Bless you
@santodelove43514 жыл бұрын
Sio baba stadh ni baba styles
@neemangwesa33724 жыл бұрын
Santo De Love hahaha
@jamilachila6496 Жыл бұрын
@@santodelove4351 Hahaha
@fatmajuma92754 жыл бұрын
You are wonderful
@ferouzmasoud48702 жыл бұрын
Legendary Kama legendary kitambo Sanaaa broo noorah 👊👊👊🇹🇿🇹🇿
@mangib524 жыл бұрын
Nimemuelewa sana noorah✌
@paulwazirikinindi42984 жыл бұрын
Big up to you brother Malo G🙏GoodInterView
@SirdickOmondi4 жыл бұрын
I like you IQ bro.... Responses zako ximetulia just like kina ROMA, Chidi Beeenz...Mwana FA.... AY and more
@christopherpaul72334 жыл бұрын
Ulipoweka x kwenye s tu basi ukafeli
@singlemama3kids2704 жыл бұрын
Big up loved his song
@patrickKitambo4 жыл бұрын
akili nyingi sana huyu jamaa!!
@ninjaisma79834 ай бұрын
Hii ya mwisho ya kuhusu imani ni a very huge point ambayo itajenga watu milele ..Big up brother me nilikuwa sidoz mpaka niskize migoma yako capital fm na eved suza
@suitbertfrank29264 жыл бұрын
Good interview
@mvumobalati2822 Жыл бұрын
Mi nimemuelewa sana and so humble, real and honest. Maisha ni mazuri sana, nimemuelewa sana.
@satwanthoogan64292 жыл бұрын
Nilikuwa namkubali sanaaa,na voice yake iko powa sanaa! Alafu Amenenepa...😉👍🏻
@henrykishiwa67554 жыл бұрын
Gooooood!!!!
@abdulkadir-ly9ko4 жыл бұрын
Ana maarifa flan hv amazing @Noorah
@kaifalawa58734 жыл бұрын
Respect broo Noorah and Millard ayo,i realy like this chanel
@jocety44264 жыл бұрын
Channel isiyochosha, yenye kuelimisha thanks @millard🌹
@shenjamamzingi79504 жыл бұрын
MSHUKURU ALLAH AMEKUONGOZA,TULIA HUKOHUKO KWENYE IBADA NA BIASHARA NYINGINE SIO MUZIKI,KAZI YA SHETANI NI MUZIKI AMINI USIAMINI,USIJE UKAFIA HUKO
@kapona9274 жыл бұрын
Asante kaka noorah
@thelatestvideos62664 жыл бұрын
Noraah,Mangwair walkua mbele ya Muda
@kelvinokelo79924 жыл бұрын
Noorah yuko vizuri sana kwenye interview ila jamaa angeendelea na game tungekuwa tunaburudika sanaaa.
@mackjr52914 жыл бұрын
Ku burudika bila yeye kupata mpunga ni 0
@kijolejosia1673 жыл бұрын
Yes ,tuliumbwa ili kumwabudu Mungu .Big up bro
@januaryyolamu40692 жыл бұрын
funzo kwa vijana naujumbe kiujumula thank you so much again game is my favorite songs My brother
@saidsalum61014 жыл бұрын
Safi sana kaka wewe ndiyo umechukua uamuzi wakiume siyo kuabudu tu watu kama huyo mzee yusufu
@mwanajumaomahundumla65044 жыл бұрын
Mimi ni shabiki yako na unanidai elfu 10
@rewaatesh48774 жыл бұрын
Mmmmh! Mpelekee hela yake si mpo jirani tuu hapo?
@mwanajumaomahundumla65044 жыл бұрын
@@rewaatesh4877 hahahahaha yaani wewe umejuaje kama tuko jirani
@LUPPER.4 жыл бұрын
Hahaha itabidi namimi nimuongezee. Ila kajitahidi kua na biashara.
@mwanajumaomahundumla65044 жыл бұрын
@@LUPPER. kafanya la maana kweli vinginevyo angeangukia kwenye madawa kama wengine binafsi nampongeza sana kama alivyosema Kuna maisha baada ya muziki wengi wanapotea kwa kulazimisha visivyoweza kulazimishika
@abbyjma73554 жыл бұрын
Mimi jamaa ananidai kama 50000
@kingslole91513 жыл бұрын
Mad respect Mad love 💪
@aishafahdi8355 Жыл бұрын
Mpaka leo nasikiliza music wako❤️❤️
@Aamours4 жыл бұрын
Interesting conversation
@alvinmalipaya58444 жыл бұрын
Kitambo sana Noorah nakumbuka kipindi kile cha kina kia bway, maloga, mpandiko, magadula na wengine kibao
@tchess147 Жыл бұрын
nimekusubscribia ju ya hii interview msee all the way from Nairobi Kenya
@ki-ds-shall22413 жыл бұрын
Kweli soma kwanza ndouende shule!!!,respect 🙌 bro
@tabumussa67054 жыл бұрын
Pole sana
@jamilaathumani90044 жыл бұрын
Maisha niyaajabu sana, tufanyeni ibada tu wanazengwe mana hamna jipya duniani,, umaalufu sikitu kumbe muda wako ukipita nalako haliko
@hallin95614 жыл бұрын
Izo ibada mnazifanya kweli au ni unafki tuu kujiosha