Daaah nmemuelewa Sana huyu Rasta kama umemuelewa kama Mimi like twende sawa
@Kibiriti5632 жыл бұрын
Bangi, Ganja, Marijuana ni kitu moja. Salamu toka Kenya. Ningependa kupata namba ya huyu Rastaman ama nijue vile nitamfikia. God bless you Rastaman. This is a touching story.
@zaqcctvcamera32452 жыл бұрын
Daah Mungu nirehemu nilikufuru kwa kusema sina maisha mazuri😥😥😥😥😥😥
@kadaskarim50812 жыл бұрын
Hongera sana babu ipo sku itapita hapo napafaham nikuachie hata kila ya mchele
@beatricefayansi34362 жыл бұрын
Asante kwa ujumbe nzuri mpaka hapa nimeamini bora uhai mengine ni ziada tu Mwenyezi Mungu awe nawe Rasta ufanikishe Marengo yako Amen
@hasheemomary45072 жыл бұрын
😓it's so emotional duh kweli HUJAFA HUJAUMBIKA ..!ALLAH ATUJALIE MWISHO MWEMA 🙏
@fatumakhalidi70662 жыл бұрын
Amin
@rhassanimkomwa2 жыл бұрын
amin
@salma-fc4xc2 жыл бұрын
Amiin
@jillydezanzibar44352 жыл бұрын
Rasta Goda Unaongea sanaa Yaani, Swali Moja Majibu Elfu 1
@tomboyjackson88962 жыл бұрын
Mungu akupe nguvu na kulinde we na familia yako ❤
@baimarrajahbuayan62372 жыл бұрын
🇹🇿 Nchi hii ngumu jamqn Hata kulipwa wameshindwa mungu akubarik rasta
@blackpanther48252 жыл бұрын
Nchi ya dhulma sana hi
@husseinkonz51922 жыл бұрын
Dah pole rasta nimebain mambo mawili yanakuvuruga mapenz maisha pole sana
@bakarikayugwa32952 жыл бұрын
Ni majani tu kama mboga mboga zingine daa pole sana kaka ila mpe mungu maisha na mtie mungu moyoni Kwa mungu yooote yanawezekana
@witinesjoo41882 жыл бұрын
Mungu ni mwema ckuzote daima atakutia nguvu👏Imani yako itakuponya.
@allyhassan75222 жыл бұрын
Sisi hatutumii Bangi(Dawa ya Kulevya).Sisi tunatumia GANJA.I and I!😊
@alfredtemba97272 жыл бұрын
Yaaaaah Man Live up natty root's
@mackylacelesmarais38232 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@abbyobey80892 жыл бұрын
Rastafarian never die
@theresiakaruhanga3642 жыл бұрын
Bangi haijawahi kumuacha mtu salama
@abiboseleman16492 жыл бұрын
Amenifurahisha sana hana give up nahajioni km msononekaji anapambana na anahtaj kupmbana nahaaitaj kuachia watoto wake waende niko nje ya nchi Ila naahid ntakuja kumtembelea mungu amtangulie #jah rasta fara
@blackpanther48252 жыл бұрын
Fanya hivyo kaka. Mungu atakulipa. Rasta ni watu wema sana
@giftstarmwanri90422 жыл бұрын
Mungu amkumbuke amfanyie wepesi katika Hali yake 🙏🙏.
@Slingshots82 жыл бұрын
Once bunny wailer said they used to go to the grave site at night to gather carriage to face the obstacles on there journey ahead. Jah bless
@sosomokobiasharamgaya30202 жыл бұрын
Irie selasie I Jah Rasta farai Akuongoze na akulinde na akufanikishie hitaji lako na yale unayoyapambania kwaajili ya familia yako na maisha ako kwa ujumla...JAH BLESS KING MAGODA
POLE SANA MR. MAGODA MUNGU ATAJALIA HATIMA NJEMA . IMANI ULIYONAYO NI KUBWA DHIDI YA FAMILIA YAKO HASA WATOTO WAKO🙏🙏🙏
@DavidMMKing2 жыл бұрын
Huu ni unyanyasaji. Hakuna sheria ya Rais inayoruhusu ati watu wa haki za binadamu wanapewa uwezo wa kukonga mtu. Hawa utakuta walikuwa mamelewa na wanaendesha ghari kwa kiburi maana wanalipwa pesa nyingi. Hakuna mtu aliyejuu ya sheria. Tatizo hao wanasheria walipewa pesa wakaamua kunyamaza. Mahakama ndiyo inauwezo wakuamua kesi na kutoa maelezo sahihi. Rasta alionewa tu. Afu hawa wanasheria wa TZ yaaani ni takataka. Wao wanaangalia tu ni wapi kunalipa pesa afu wanatupa kesi. Mimi binafsi situmiagi mwanasheria yoyote hata huku ughaibuni. Na kesi zote nilizojisimamia mwenyewe nilishinda. Kesi nilizoweka wanasheria nilishindwa. Kwa hiyo hao wanasheria sio watu wakuamini. Hukiamua kupigania haki yako fanya utafiti kuna njia nyingi ya kushinda kesi bila kutumia hawa wanasheria feki. Rasta kaonewa. Afu marasta ninawakubali sana maana hata hapa Jamaica, marasta ndiyo wanaoneka wana upeo wa juu sana katika kuelewa maisha na kupambana na maisha. Dunia ingekuwa na amani sana kama binadamu wote wangekuwa marasta. Jah Rastafari. Mungu ni mwema matatizo yako Rasta yatakwisha. Mungu akubariki sana ndugu yangu🙏🙏🙏🙏
@jacquelinepalangyo4122 жыл бұрын
Umeongea vzr sn Kaka,inauma sn Ila hakuna mwenye haki ambae Mungu alimuacha,ipo cku haki yake ataipata tu.
@user-dn6ww9mh5m2 жыл бұрын
Na mwenye kujiepusha na kuacha njia ya mungu atapata maisha magumu, na atafufuliwa kipofu Siku ya Kiyama na atasema mungu kuwaambia hao mlizisahau Aya zetu ukumbusho na Leo tunawasahau
@talibmuhsin52212 жыл бұрын
Sahihi kbsa Allah is only one
@pillautv1677 Жыл бұрын
Hipo idadi lukuki ya Waislamu ni omba omba huku mtaani hivyo acheni kujifanya mnaijua dini au Imani yenu ndo thabiti kama we kakujaria uko nacho ka na umushukuru sio kuwabeza watu kwa Maneno uliyo-notes kwenye kitabu Cha wakoloni:
@sylviamapande1224 Жыл бұрын
@@pillautv1677 nikupenda bure Yani umeona ukweli na kwa usahihi
@chakubanga80532 жыл бұрын
Rasta anaakili sana,kapoza ukali wa neno BANGI kasema GANJA,wahgwan rastafarai never die😀😀😀😀
@trevoyrn472 жыл бұрын
Rasta man never die Jah bless rasta
@bornkilla61732 жыл бұрын
nimekuelewa Rasta MUNGU atakuinulia mtu wa kukusaidia anaweza kuwa hata mtoto wako wa kuzaa
@marthamushi93902 жыл бұрын
Dah!😓 huruma aiseee dunia ina mengi sana kikubwa ni Imani na kumuomba Mungu kama anavyosema rasta
@frenkerick85292 жыл бұрын
One love 🇨🇬🇨🇬 rasta! Acha maisha yaendelee time will tell!
@ramxomtum2babu4142 жыл бұрын
Allah atuongoze katika njia ilionyooka sote InshaAllah🙏
Mungu amenipa akili Mungu amenipa plan siitaji kuomba omba maneno makubwa sana haya💪
@peacekypa95122 жыл бұрын
God bless this Man
@mcsimonmzungutv20842 жыл бұрын
Hii interview itafanya watoto wa miaka ya 2010 kuja juu wawe marasta
@ommyskillz17932 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@devisshirima67802 жыл бұрын
Rasta never give up !! We are one in God Almighty !! May Jesus hear your cries Rasta !! 🙏🙏
@bensimon73302 жыл бұрын
Mungu umufanyie uwepesi
@kawezaseleman57942 жыл бұрын
Namjua Rasta kitambo alikua anaendelesha guta rastar mgosi
@Blue-vk5ce2 жыл бұрын
His in this situation lakini bado haja give up anapambana na maisha yake na ya watoto wake, God bless him🙏🙏
@steventibenda52 жыл бұрын
Jah is his God
@lifhonlee34272 жыл бұрын
Ana machuguuu maisha shikamooo
@alfredtemba97272 жыл бұрын
Blessed rastafarians *rasta never loose hope *rasta never give up Jah blessed your works rasta
@tamimuomulungi21022 жыл бұрын
Pole sana
@maryamsaleh84382 жыл бұрын
@@tamimuomulungi2102 awe pole ya kweli kweli si ya mzaha
@minnafute9592 жыл бұрын
Daaaah jaah bless rastafarai 🙏🙏...
@princessa30602 жыл бұрын
Omg,,,never give Rasta man,,one day ur life will never be the same again some day,,keep the faith n God wl left up,,much 💞💞💞 frm Mombasa ukunda ☑️☑️☑️
@michaeldady17672 жыл бұрын
Ahahaa Rasta anatumia Ganjaaaaaa.. heshima yako mzee
@sarahmwakalinga86432 жыл бұрын
Rasta ni shemeji yangu ila nilikua naomba ayo tv Kama inawezekana mngemtafuta mdogowangu ili kubalance story mjue na upande wa pili ktk ndoa Kuna mengi please
@teddyoscarkasubi59272 жыл бұрын
Daah ingekua ulaya angelipwa pesa kibao kwa maisha yake, nchi yetu jamani uonevu mtupu
@paulinacherement25342 жыл бұрын
Mh kwa kweli gari ya raisi ndio nafikir ingekuwa ni mstari wa mbele na haki wamemgonga wao...mungu ni mwema.yatakwisha ipo siku.
@devothasimbi10552 жыл бұрын
Sio kweli unachosema ikiwa angeishi ulaya angelipwa pesa kibao.ulaya unalipwa pesa ukiwa na vigezo sio kulipwa pesa tuu.
@everlineodera64442 жыл бұрын
@@devothasimbi1055 kweli na ulaya ukipata ajali hela inalipwa serekali, serekali inakulipa kufuatia bima la afya.Hata ulaya hamna la maana hivyo.bora kwetu ukipambana kisheria wapata haki yako.tatizo sisi wavivu kufuatilia haki zetu.jamani wakenya wenzetu kwa mambo kama haya wana changamka balaa
@goodluckysteven8262 жыл бұрын
Jah Rastafarian Selassie I know me nah feeling Di Maria Columbia whhaaw gwaanhhnn man
@mamachris68112 жыл бұрын
Amuoe huyo Mama anayemsaidia kupika maana wana Imani sawa
@hermannboniface35982 жыл бұрын
Bless! Rasta Inna God zion
@jelasnkoma42402 жыл бұрын
Namkumbuka huyu Ras kitambo sana alikuwa na watoto wadogo wana Rasta na kibajaj
@dannywika2 жыл бұрын
if at all ningekuwa tu na uwezo 😢 sorry for this determined father,, ❤️from 🇰🇪
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Yeah Rasta me dey wha gwaan allting irie ? Rasta yuko strong sana mentally and spiritually halalamiki anapambana . Give thanks and praise to the most i Jah rastafari !
@lucymuthoni82032 жыл бұрын
Only jesus who can give peace
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
@@lucymuthoni8203 that’s your own opinion some dem believe on Jah Rastafarah
@blandinalukole55352 жыл бұрын
Nimeumia kutoka moyoni atupe namba tumrushie chochote
@navokisembo2 жыл бұрын
Kabisaa tupe number tumchangie chochote ni mchacharikaji masikini
@Asheri-k5k2 жыл бұрын
Rasta kasema haitaji msaada wowote
@nackingmasangula14092 жыл бұрын
Uyu mwamba anampenda sana mke wake
@monucamwambanje31282 жыл бұрын
Mm naona tungemchangia baba wawatu sidhani kama kuna mtu anapenda kuishi makaburini
@edgarnandonde482 жыл бұрын
kila nikimsoma nimpate kwenye plan simpati .yaani hiyo plan ilikua sio ya mchezo 😅😅.pole magoda
@bonfacemark90482 жыл бұрын
Kisa Cha kutia moyo, licha na kuwa mlemavu hajadiriki kuwa omba omba may jah be with you 🇰🇪🇰🇪
@marianmartin7483 Жыл бұрын
Rasta, nimekuelewa sana. Mwenyezi MUNGU akutangulie.
@righton192 жыл бұрын
Rasta never tired
@lugelosanga57982 жыл бұрын
Jar Rasta gari eti Ina Kinga ya rais mungu akusaidie
@luckydubebello11312 жыл бұрын
May God bless this man 👨 🙏
@tulisamwel412 жыл бұрын
Kwa kweli Mungu atakupa faraja, atakubariki. Kitendo cha kujitegemea kimenifurahisha sana.
@minnafute9592 жыл бұрын
This faith is BIG..
@venancerichard9202 жыл бұрын
Jah love brother
@kalemelamgabo42242 жыл бұрын
Jah bless
@dannyosolo27522 жыл бұрын
I have learnt something new here ...big difference between 'GANJA' & 'BHANGI'!!! Otherwise Rasta man we are proud of you !!!
@mikidadiligogi43112 жыл бұрын
Kilichoniumiza kwamba amegongwa na gari la W H O. Ajalipwa chochote
@sadikidaudi12232 жыл бұрын
Huyu anashida anatakiwa kusaidiwa ila Imaani ndio inamfanya aridhike nahali alionayo bila kuomba msaada ila uhalisia unaonyesha
@liam89552 жыл бұрын
Ina fikia kipindi inabidi uridhike ila sisi kama sisi ambao tuna muona hiyo Hali na Ana watoto sijui kwanini hatumsaidii kwa chochote japo ni kidogo. Mungu Atupe Imani
@mwanzaboy15482 жыл бұрын
Mze unaakili Sana mngu akusaidie
@ericktanzanite49072 жыл бұрын
Usalama huyu 🙌
@salmangereza55872 жыл бұрын
Ni Rafiki yangu mno yeye na mkewe na watoto wao, Wana upendo Sana, nawapenda sana❤️❤️
@michaelsamson96632 жыл бұрын
Vp maisha yake uyo mwamba
@gracegeorge48482 жыл бұрын
Ndo umbembelezee mkewe arudi
@samwelimoshi56142 жыл бұрын
Si ndy katombewa au
@michaelsamson96632 жыл бұрын
Wameiba mke
@dominicnyoni32182 жыл бұрын
Mambo
@gebramoturi22702 жыл бұрын
Sellasie I, rasters never die they only faint, 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@edwinelias85542 жыл бұрын
Nimesikia story yake ila bangi etii sio ganja Bali bangi madawa ya kulevya ala ganja ndio inaliwa nimecheka kifala😂😂😂
@abdulshambalae6820 Жыл бұрын
ndio mjue wanawake hawana msaada katika maisha bora peke yangu
@husseinkalamba86062 жыл бұрын
Tatizo lako ww unaimani ya tofauti mrudie Allah toka uko kwenye Imani potofu matatizo yatapungua
@r14kgroup682 жыл бұрын
Pole sana rasta magoda pc $ love God is jaa
@tabithasalimu36172 жыл бұрын
Mungu akupe umli baba
@dicksonwanyama16892 жыл бұрын
Jaaaah Rasta falaaah jaah bless Rasta Magoda
@feynation37392 жыл бұрын
Ungeweka namba yake ya simu 🥺 sio wote wenye uwezo wa kumnunulia bajaji lakini tungetuma hizo elf 2 zingemsaidia na watoto 😔
@enockabumba75132 жыл бұрын
Kabisa
@dannyblossproduction522 жыл бұрын
Kweli
@believeboy21502 жыл бұрын
Hayu jamaa nilianzaa kumjua ni kiwa na miaka 19 hapo makaburi ya ufi shekilango,na ni mtu safi mkarini sana huyo ni jirani yetu Wana shunga shunga wa ubungo maziwa,pole sana Rasta magoda
@chichasam90322 жыл бұрын
Namjuaaa huyuu mwanaeee mzuri sana ilaaa anakulaaaa bangi mnooo
@samsonstephano43372 жыл бұрын
@@chichasam9032 Mwanae ana umri gani kwa makadilio
@samwelimoshi56142 жыл бұрын
@@chichasam9032 wakike au
@philiplenardsylvester60632 жыл бұрын
Rasta pole hao ndio wanawake
@djtwinstar2542 жыл бұрын
Waaaaa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@dicksonwanyama16892 жыл бұрын
Much love from 254 ✌️
@bakarikayugwa32952 жыл бұрын
Mtangazaji naomba u translate Kwa English Kwani Kuna watu wanaweza kumsaidia wakaguswa na huyu ndugu tatizo wakawa hawaerewi lugha kinacho ongeerewa
@daudiakwabi1282 жыл бұрын
Perfect request, Rasta anajitambuwa sana.
@eddymakata29992 жыл бұрын
Anampenda mke wake, na watoto anajielewa kinoma namkubali broo
@magrethjoseph33862 жыл бұрын
Uko vizuri Sana unaongea point
@martinmbata70352 жыл бұрын
jah blessing rasta man never give up jah rasta
@humphreyvidonyi2532 жыл бұрын
Mikadamba huwaga Yuko vizuri sana kwenye update za mahakamani
@Asheri-k5k2 жыл бұрын
Mungu umbariki huyu baba na family yake
@mikeohmz21952 жыл бұрын
Yah man
@alikhamis63262 жыл бұрын
Innallilah wainna ilaih rajiun sina budi kusema Allhamdullah alaa niiymatil Islam ninamshukuru Allah kwa neema ya uislamu Allah akuongoze umjue mungu wa haki ambae ni Allah
@kiehbhzh70442 жыл бұрын
Allah Akufanyie wepesi baba yangu hakuna lisilowekekana kwa mungu kikubwa pumzi tu
@sultanaswaleh47082 жыл бұрын
AMEEEEEEEN !..🙏🙏🙏
@mwanzaboy15482 жыл бұрын
Lasita mngu attendee miujiza ufanikiwe mngu akubrasi maisha yawemazuli
@dianachingwi83282 жыл бұрын
Kaka anajitambua
@jelasnkoma42402 жыл бұрын
Dakika 13:20 sisi Rasta hatuvuti Bange ila tunavuta Ganja kwani Bangi ni madawa ya kulevya🙌
@happylynguya34642 жыл бұрын
Kweli kabisa, kikubwa ni Imani.
@kibasamohamedi80292 жыл бұрын
Mwendelezo please imeisha kienyeji
@officialtaslima54092 жыл бұрын
Kushi Kama kushi💪💪🔥🔥
@deestarsniper33152 жыл бұрын
Ila rasta hapa kwenye bange na ganja umetupiga na kitu kizito 😅😅
@nusaibahassan58422 жыл бұрын
Kwa kweli Yaani 🤣🤣🤣🤣
@ibraton40712 жыл бұрын
hajakosea they call it HUB kwao ni dawa sio madawa na hawaiti bangi global name ni ganja hata awe mwarab au mchina code yao ni moja tu
@ibrahlissu27102 жыл бұрын
Wakwanza
@brendapierre8782 жыл бұрын
Ungepata mwanasheria mzuri angekusimamia na ungelipwa fidia nzuri na hilo shirika.. pamoja na kwamba hilo shirika la umoja wa mataifa linakinga halipaswi kuvunja sheria na kunyanyasa mtu..
@bensimon73302 жыл бұрын
imani nikilakitu nimebalikiwa sana
@yohanamartine17932 жыл бұрын
@millard namba zake tupeni
@africantehama12462 жыл бұрын
Something to learn in Life
@mavere5922 жыл бұрын
Baba eliyaaaaa huyooo
@kigendafm63072 жыл бұрын
Ganja ni takatifu? Bangi ni madawa ya kulevya! Dunia ngumu sana
@yusuphfote52192 жыл бұрын
Umeonaa eee
@-KINKAU2 жыл бұрын
Kabisa
@alfredtemba97272 жыл бұрын
Bro Kama una bible Funguwa Mwanzo 1:29.
@kassinkamia56672 жыл бұрын
@@alfredtemba9727 toka bhana hayo ni madawa usitetee ujinga
@flackomasterbaddest41552 жыл бұрын
Hio ni imani yako uliofundishwa na ukaikubali so never judge coz wengne wenye imani nyingne nao wanakuoana namna gani vp muhimu kila mtu aamini chake na heshima iwepo