EXCLUSIVE: RASTA ANAYEISHI MAKABURINI, ASHUHUDIA YA AJABU "WANAKUJA USIKU, WAMEMCHUKUA MKE WANGU"

  Рет қаралды 265,275

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Пікірлер: 369
@philipobaltazar907
@philipobaltazar907 2 жыл бұрын
Daaah nmemuelewa Sana huyu Rasta kama umemuelewa kama Mimi like twende sawa
@Kibiriti563
@Kibiriti563 2 жыл бұрын
Bangi, Ganja, Marijuana ni kitu moja. Salamu toka Kenya. Ningependa kupata namba ya huyu Rastaman ama nijue vile nitamfikia. God bless you Rastaman. This is a touching story.
@zaqcctvcamera3245
@zaqcctvcamera3245 2 жыл бұрын
Daah Mungu nirehemu nilikufuru kwa kusema sina maisha mazuri😥😥😥😥😥😥
@kadaskarim5081
@kadaskarim5081 2 жыл бұрын
Hongera sana babu ipo sku itapita hapo napafaham nikuachie hata kila ya mchele
@beatricefayansi3436
@beatricefayansi3436 2 жыл бұрын
Asante kwa ujumbe nzuri mpaka hapa nimeamini bora uhai mengine ni ziada tu Mwenyezi Mungu awe nawe Rasta ufanikishe Marengo yako Amen
@hasheemomary4507
@hasheemomary4507 2 жыл бұрын
😓it's so emotional duh kweli HUJAFA HUJAUMBIKA ..!ALLAH ATUJALIE MWISHO MWEMA 🙏
@fatumakhalidi7066
@fatumakhalidi7066 2 жыл бұрын
Amin
@rhassanimkomwa
@rhassanimkomwa 2 жыл бұрын
amin
@salma-fc4xc
@salma-fc4xc 2 жыл бұрын
Amiin
@jillydezanzibar4435
@jillydezanzibar4435 2 жыл бұрын
Rasta Goda Unaongea sanaa Yaani, Swali Moja Majibu Elfu 1
@tomboyjackson8896
@tomboyjackson8896 2 жыл бұрын
Mungu akupe nguvu na kulinde we na familia yako ❤
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 жыл бұрын
🇹🇿 Nchi hii ngumu jamqn Hata kulipwa wameshindwa mungu akubarik rasta
@blackpanther4825
@blackpanther4825 2 жыл бұрын
Nchi ya dhulma sana hi
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 2 жыл бұрын
Dah pole rasta nimebain mambo mawili yanakuvuruga mapenz maisha pole sana
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 2 жыл бұрын
Ni majani tu kama mboga mboga zingine daa pole sana kaka ila mpe mungu maisha na mtie mungu moyoni Kwa mungu yooote yanawezekana
@witinesjoo4188
@witinesjoo4188 2 жыл бұрын
Mungu ni mwema ckuzote daima atakutia nguvu👏Imani yako itakuponya.
@allyhassan7522
@allyhassan7522 2 жыл бұрын
Sisi hatutumii Bangi(Dawa ya Kulevya).Sisi tunatumia GANJA.I and I!😊
@alfredtemba9727
@alfredtemba9727 2 жыл бұрын
Yaaaaah Man Live up natty root's
@mackylacelesmarais3823
@mackylacelesmarais3823 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@abbyobey8089
@abbyobey8089 2 жыл бұрын
Rastafarian never die
@theresiakaruhanga364
@theresiakaruhanga364 2 жыл бұрын
Bangi haijawahi kumuacha mtu salama
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 2 жыл бұрын
Amenifurahisha sana hana give up nahajioni km msononekaji anapambana na anahtaj kupmbana nahaaitaj kuachia watoto wake waende niko nje ya nchi Ila naahid ntakuja kumtembelea mungu amtangulie #jah rasta fara
@blackpanther4825
@blackpanther4825 2 жыл бұрын
Fanya hivyo kaka. Mungu atakulipa. Rasta ni watu wema sana
@giftstarmwanri9042
@giftstarmwanri9042 2 жыл бұрын
Mungu amkumbuke amfanyie wepesi katika Hali yake 🙏🙏.
@Slingshots8
@Slingshots8 2 жыл бұрын
Once bunny wailer said they used to go to the grave site at night to gather carriage to face the obstacles on there journey ahead. Jah bless
@sosomokobiasharamgaya3020
@sosomokobiasharamgaya3020 2 жыл бұрын
Irie selasie I Jah Rasta farai Akuongoze na akulinde na akufanikishie hitaji lako na yale unayoyapambania kwaajili ya familia yako na maisha ako kwa ujumla...JAH BLESS KING MAGODA
@purryselestineraggty3171
@purryselestineraggty3171 2 жыл бұрын
Nimemuelewa... Uyu... Lasta... Jomny... Anaongea... Kwa... Uchungu😢
@DMENDTVmusicMovie1
@DMENDTVmusicMovie1 2 жыл бұрын
POLE SANA MR. MAGODA MUNGU ATAJALIA HATIMA NJEMA . IMANI ULIYONAYO NI KUBWA DHIDI YA FAMILIA YAKO HASA WATOTO WAKO🙏🙏🙏
@DavidMMKing
@DavidMMKing 2 жыл бұрын
Huu ni unyanyasaji. Hakuna sheria ya Rais inayoruhusu ati watu wa haki za binadamu wanapewa uwezo wa kukonga mtu. Hawa utakuta walikuwa mamelewa na wanaendesha ghari kwa kiburi maana wanalipwa pesa nyingi. Hakuna mtu aliyejuu ya sheria. Tatizo hao wanasheria walipewa pesa wakaamua kunyamaza. Mahakama ndiyo inauwezo wakuamua kesi na kutoa maelezo sahihi. Rasta alionewa tu. Afu hawa wanasheria wa TZ yaaani ni takataka. Wao wanaangalia tu ni wapi kunalipa pesa afu wanatupa kesi. Mimi binafsi situmiagi mwanasheria yoyote hata huku ughaibuni. Na kesi zote nilizojisimamia mwenyewe nilishinda. Kesi nilizoweka wanasheria nilishindwa. Kwa hiyo hao wanasheria sio watu wakuamini. Hukiamua kupigania haki yako fanya utafiti kuna njia nyingi ya kushinda kesi bila kutumia hawa wanasheria feki. Rasta kaonewa. Afu marasta ninawakubali sana maana hata hapa Jamaica, marasta ndiyo wanaoneka wana upeo wa juu sana katika kuelewa maisha na kupambana na maisha. Dunia ingekuwa na amani sana kama binadamu wote wangekuwa marasta. Jah Rastafari. Mungu ni mwema matatizo yako Rasta yatakwisha. Mungu akubariki sana ndugu yangu🙏🙏🙏🙏
@jacquelinepalangyo412
@jacquelinepalangyo412 2 жыл бұрын
Umeongea vzr sn Kaka,inauma sn Ila hakuna mwenye haki ambae Mungu alimuacha,ipo cku haki yake ataipata tu.
@user-dn6ww9mh5m
@user-dn6ww9mh5m 2 жыл бұрын
Na mwenye kujiepusha na kuacha njia ya mungu atapata maisha magumu, na atafufuliwa kipofu Siku ya Kiyama na atasema mungu kuwaambia hao mlizisahau Aya zetu ukumbusho na Leo tunawasahau
@talibmuhsin5221
@talibmuhsin5221 2 жыл бұрын
Sahihi kbsa Allah is only one
@pillautv1677
@pillautv1677 Жыл бұрын
Hipo idadi lukuki ya Waislamu ni omba omba huku mtaani hivyo acheni kujifanya mnaijua dini au Imani yenu ndo thabiti kama we kakujaria uko nacho ka na umushukuru sio kuwabeza watu kwa Maneno uliyo-notes kwenye kitabu Cha wakoloni:
@sylviamapande1224
@sylviamapande1224 Жыл бұрын
@@pillautv1677 nikupenda bure Yani umeona ukweli na kwa usahihi
@chakubanga8053
@chakubanga8053 2 жыл бұрын
Rasta anaakili sana,kapoza ukali wa neno BANGI kasema GANJA,wahgwan rastafarai never die😀😀😀😀
@trevoyrn47
@trevoyrn47 2 жыл бұрын
Rasta man never die Jah bless rasta
@bornkilla6173
@bornkilla6173 2 жыл бұрын
nimekuelewa Rasta MUNGU atakuinulia mtu wa kukusaidia anaweza kuwa hata mtoto wako wa kuzaa
@marthamushi9390
@marthamushi9390 2 жыл бұрын
Dah!😓 huruma aiseee dunia ina mengi sana kikubwa ni Imani na kumuomba Mungu kama anavyosema rasta
@frenkerick8529
@frenkerick8529 2 жыл бұрын
One love 🇨🇬🇨🇬 rasta! Acha maisha yaendelee time will tell!
@ramxomtum2babu414
@ramxomtum2babu414 2 жыл бұрын
Allah atuongoze katika njia ilionyooka sote InshaAllah🙏
@habibakhalfan1065
@habibakhalfan1065 2 жыл бұрын
Amini_imani_alo_kuwa_nayo_mpaka_kuishi_makaburin_ingekuwa_ni_ya_ALLAH_angekwenda_peponi
@Word_DJ.
@Word_DJ. 2 жыл бұрын
Mungu amenipa akili Mungu amenipa plan siitaji kuomba omba maneno makubwa sana haya💪
@peacekypa9512
@peacekypa9512 2 жыл бұрын
God bless this Man
@mcsimonmzungutv2084
@mcsimonmzungutv2084 2 жыл бұрын
Hii interview itafanya watoto wa miaka ya 2010 kuja juu wawe marasta
@ommyskillz1793
@ommyskillz1793 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@devisshirima6780
@devisshirima6780 2 жыл бұрын
Rasta never give up !! We are one in God Almighty !! May Jesus hear your cries Rasta !! 🙏🙏
@bensimon7330
@bensimon7330 2 жыл бұрын
Mungu umufanyie uwepesi
@kawezaseleman5794
@kawezaseleman5794 2 жыл бұрын
Namjua Rasta kitambo alikua anaendelesha guta rastar mgosi
@Blue-vk5ce
@Blue-vk5ce 2 жыл бұрын
His in this situation lakini bado haja give up anapambana na maisha yake na ya watoto wake, God bless him🙏🙏
@steventibenda5
@steventibenda5 2 жыл бұрын
Jah is his God
@lifhonlee3427
@lifhonlee3427 2 жыл бұрын
Ana machuguuu maisha shikamooo
@alfredtemba9727
@alfredtemba9727 2 жыл бұрын
Blessed rastafarians *rasta never loose hope *rasta never give up Jah blessed your works rasta
@tamimuomulungi2102
@tamimuomulungi2102 2 жыл бұрын
Pole sana
@maryamsaleh8438
@maryamsaleh8438 2 жыл бұрын
@@tamimuomulungi2102 awe pole ya kweli kweli si ya mzaha
@minnafute959
@minnafute959 2 жыл бұрын
Daaaah jaah bless rastafarai 🙏🙏...
@princessa3060
@princessa3060 2 жыл бұрын
Omg,,,never give Rasta man,,one day ur life will never be the same again some day,,keep the faith n God wl left up,,much 💞💞💞 frm Mombasa ukunda ☑️☑️☑️
@michaeldady1767
@michaeldady1767 2 жыл бұрын
Ahahaa Rasta anatumia Ganjaaaaaa.. heshima yako mzee
@sarahmwakalinga8643
@sarahmwakalinga8643 2 жыл бұрын
Rasta ni shemeji yangu ila nilikua naomba ayo tv Kama inawezekana mngemtafuta mdogowangu ili kubalance story mjue na upande wa pili ktk ndoa Kuna mengi please
@teddyoscarkasubi5927
@teddyoscarkasubi5927 2 жыл бұрын
Daah ingekua ulaya angelipwa pesa kibao kwa maisha yake, nchi yetu jamani uonevu mtupu
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Mh kwa kweli gari ya raisi ndio nafikir ingekuwa ni mstari wa mbele na haki wamemgonga wao...mungu ni mwema.yatakwisha ipo siku.
@devothasimbi1055
@devothasimbi1055 2 жыл бұрын
Sio kweli unachosema ikiwa angeishi ulaya angelipwa pesa kibao.ulaya unalipwa pesa ukiwa na vigezo sio kulipwa pesa tuu.
@everlineodera6444
@everlineodera6444 2 жыл бұрын
@@devothasimbi1055 kweli na ulaya ukipata ajali hela inalipwa serekali, serekali inakulipa kufuatia bima la afya.Hata ulaya hamna la maana hivyo.bora kwetu ukipambana kisheria wapata haki yako.tatizo sisi wavivu kufuatilia haki zetu.jamani wakenya wenzetu kwa mambo kama haya wana changamka balaa
@goodluckysteven826
@goodluckysteven826 2 жыл бұрын
Jah Rastafarian Selassie I know me nah feeling Di Maria Columbia whhaaw gwaanhhnn man
@mamachris6811
@mamachris6811 2 жыл бұрын
Amuoe huyo Mama anayemsaidia kupika maana wana Imani sawa
@hermannboniface3598
@hermannboniface3598 2 жыл бұрын
Bless! Rasta Inna God zion
@jelasnkoma4240
@jelasnkoma4240 2 жыл бұрын
Namkumbuka huyu Ras kitambo sana alikuwa na watoto wadogo wana Rasta na kibajaj
@dannywika
@dannywika 2 жыл бұрын
if at all ningekuwa tu na uwezo 😢 sorry for this determined father,, ❤️from 🇰🇪
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 2 жыл бұрын
Yeah Rasta me dey wha gwaan allting irie ? Rasta yuko strong sana mentally and spiritually halalamiki anapambana . Give thanks and praise to the most i Jah rastafari !
@lucymuthoni8203
@lucymuthoni8203 2 жыл бұрын
Only jesus who can give peace
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 2 жыл бұрын
@@lucymuthoni8203 that’s your own opinion some dem believe on Jah Rastafarah
@blandinalukole5535
@blandinalukole5535 2 жыл бұрын
Nimeumia kutoka moyoni atupe namba tumrushie chochote
@navokisembo
@navokisembo 2 жыл бұрын
Kabisaa tupe number tumchangie chochote ni mchacharikaji masikini
@Asheri-k5k
@Asheri-k5k 2 жыл бұрын
Rasta kasema haitaji msaada wowote
@nackingmasangula1409
@nackingmasangula1409 2 жыл бұрын
Uyu mwamba anampenda sana mke wake
@monucamwambanje3128
@monucamwambanje3128 2 жыл бұрын
Mm naona tungemchangia baba wawatu sidhani kama kuna mtu anapenda kuishi makaburini
@edgarnandonde48
@edgarnandonde48 2 жыл бұрын
kila nikimsoma nimpate kwenye plan simpati .yaani hiyo plan ilikua sio ya mchezo 😅😅.pole magoda
@bonfacemark9048
@bonfacemark9048 2 жыл бұрын
Kisa Cha kutia moyo, licha na kuwa mlemavu hajadiriki kuwa omba omba may jah be with you 🇰🇪🇰🇪
@marianmartin7483
@marianmartin7483 Жыл бұрын
Rasta, nimekuelewa sana. Mwenyezi MUNGU akutangulie.
@righton19
@righton19 2 жыл бұрын
Rasta never tired
@lugelosanga5798
@lugelosanga5798 2 жыл бұрын
Jar Rasta gari eti Ina Kinga ya rais mungu akusaidie
@luckydubebello1131
@luckydubebello1131 2 жыл бұрын
May God bless this man 👨 🙏
@tulisamwel41
@tulisamwel41 2 жыл бұрын
Kwa kweli Mungu atakupa faraja, atakubariki. Kitendo cha kujitegemea kimenifurahisha sana.
@minnafute959
@minnafute959 2 жыл бұрын
This faith is BIG..
@venancerichard920
@venancerichard920 2 жыл бұрын
Jah love brother
@kalemelamgabo4224
@kalemelamgabo4224 2 жыл бұрын
Jah bless
@dannyosolo2752
@dannyosolo2752 2 жыл бұрын
I have learnt something new here ...big difference between 'GANJA' & 'BHANGI'!!! Otherwise Rasta man we are proud of you !!!
@mikidadiligogi4311
@mikidadiligogi4311 2 жыл бұрын
Kilichoniumiza kwamba amegongwa na gari la W H O. Ajalipwa chochote
@sadikidaudi1223
@sadikidaudi1223 2 жыл бұрын
Huyu anashida anatakiwa kusaidiwa ila Imaani ndio inamfanya aridhike nahali alionayo bila kuomba msaada ila uhalisia unaonyesha
@liam8955
@liam8955 2 жыл бұрын
Ina fikia kipindi inabidi uridhike ila sisi kama sisi ambao tuna muona hiyo Hali na Ana watoto sijui kwanini hatumsaidii kwa chochote japo ni kidogo. Mungu Atupe Imani
@mwanzaboy1548
@mwanzaboy1548 2 жыл бұрын
Mze unaakili Sana mngu akusaidie
@ericktanzanite4907
@ericktanzanite4907 2 жыл бұрын
Usalama huyu 🙌
@salmangereza5587
@salmangereza5587 2 жыл бұрын
Ni Rafiki yangu mno yeye na mkewe na watoto wao, Wana upendo Sana, nawapenda sana❤️❤️
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 2 жыл бұрын
Vp maisha yake uyo mwamba
@gracegeorge4848
@gracegeorge4848 2 жыл бұрын
Ndo umbembelezee mkewe arudi
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 2 жыл бұрын
Si ndy katombewa au
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 2 жыл бұрын
Wameiba mke
@dominicnyoni3218
@dominicnyoni3218 2 жыл бұрын
Mambo
@gebramoturi2270
@gebramoturi2270 2 жыл бұрын
Sellasie I, rasters never die they only faint, 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@edwinelias8554
@edwinelias8554 2 жыл бұрын
Nimesikia story yake ila bangi etii sio ganja Bali bangi madawa ya kulevya ala ganja ndio inaliwa nimecheka kifala😂😂😂
@abdulshambalae6820
@abdulshambalae6820 Жыл бұрын
ndio mjue wanawake hawana msaada katika maisha bora peke yangu
@husseinkalamba8606
@husseinkalamba8606 2 жыл бұрын
Tatizo lako ww unaimani ya tofauti mrudie Allah toka uko kwenye Imani potofu matatizo yatapungua
@r14kgroup68
@r14kgroup68 2 жыл бұрын
Pole sana rasta magoda pc $ love God is jaa
@tabithasalimu3617
@tabithasalimu3617 2 жыл бұрын
Mungu akupe umli baba
@dicksonwanyama1689
@dicksonwanyama1689 2 жыл бұрын
Jaaaah Rasta falaaah jaah bless Rasta Magoda
@feynation3739
@feynation3739 2 жыл бұрын
Ungeweka namba yake ya simu 🥺 sio wote wenye uwezo wa kumnunulia bajaji lakini tungetuma hizo elf 2 zingemsaidia na watoto 😔
@enockabumba7513
@enockabumba7513 2 жыл бұрын
Kabisa
@dannyblossproduction52
@dannyblossproduction52 2 жыл бұрын
Kweli
@believeboy2150
@believeboy2150 2 жыл бұрын
Hayu jamaa nilianzaa kumjua ni kiwa na miaka 19 hapo makaburi ya ufi shekilango,na ni mtu safi mkarini sana huyo ni jirani yetu Wana shunga shunga wa ubungo maziwa,pole sana Rasta magoda
@chichasam9032
@chichasam9032 2 жыл бұрын
Namjuaaa huyuu mwanaeee mzuri sana ilaaa anakulaaaa bangi mnooo
@samsonstephano4337
@samsonstephano4337 2 жыл бұрын
@@chichasam9032 Mwanae ana umri gani kwa makadilio
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 2 жыл бұрын
@@chichasam9032 wakike au
@philiplenardsylvester6063
@philiplenardsylvester6063 2 жыл бұрын
Rasta pole hao ndio wanawake
@djtwinstar254
@djtwinstar254 2 жыл бұрын
Waaaaa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@dicksonwanyama1689
@dicksonwanyama1689 2 жыл бұрын
Much love from 254 ✌️
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 2 жыл бұрын
Mtangazaji naomba u translate Kwa English Kwani Kuna watu wanaweza kumsaidia wakaguswa na huyu ndugu tatizo wakawa hawaerewi lugha kinacho ongeerewa
@daudiakwabi128
@daudiakwabi128 2 жыл бұрын
Perfect request, Rasta anajitambuwa sana.
@eddymakata2999
@eddymakata2999 2 жыл бұрын
Anampenda mke wake, na watoto anajielewa kinoma namkubali broo
@magrethjoseph3386
@magrethjoseph3386 2 жыл бұрын
Uko vizuri Sana unaongea point
@martinmbata7035
@martinmbata7035 2 жыл бұрын
jah blessing rasta man never give up jah rasta
@humphreyvidonyi253
@humphreyvidonyi253 2 жыл бұрын
Mikadamba huwaga Yuko vizuri sana kwenye update za mahakamani
@Asheri-k5k
@Asheri-k5k 2 жыл бұрын
Mungu umbariki huyu baba na family yake
@mikeohmz2195
@mikeohmz2195 2 жыл бұрын
Yah man
@alikhamis6326
@alikhamis6326 2 жыл бұрын
Innallilah wainna ilaih rajiun sina budi kusema Allhamdullah alaa niiymatil Islam ninamshukuru Allah kwa neema ya uislamu Allah akuongoze umjue mungu wa haki ambae ni Allah
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 2 жыл бұрын
Allah Akufanyie wepesi baba yangu hakuna lisilowekekana kwa mungu kikubwa pumzi tu
@sultanaswaleh4708
@sultanaswaleh4708 2 жыл бұрын
AMEEEEEEEN !..🙏🙏🙏
@mwanzaboy1548
@mwanzaboy1548 2 жыл бұрын
Lasita mngu attendee miujiza ufanikiwe mngu akubrasi maisha yawemazuli
@dianachingwi8328
@dianachingwi8328 2 жыл бұрын
Kaka anajitambua
@jelasnkoma4240
@jelasnkoma4240 2 жыл бұрын
Dakika 13:20 sisi Rasta hatuvuti Bange ila tunavuta Ganja kwani Bangi ni madawa ya kulevya🙌
@happylynguya3464
@happylynguya3464 2 жыл бұрын
Kweli kabisa, kikubwa ni Imani.
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 2 жыл бұрын
Mwendelezo please imeisha kienyeji
@officialtaslima5409
@officialtaslima5409 2 жыл бұрын
Kushi Kama kushi💪💪🔥🔥
@deestarsniper3315
@deestarsniper3315 2 жыл бұрын
Ila rasta hapa kwenye bange na ganja umetupiga na kitu kizito 😅😅
@nusaibahassan5842
@nusaibahassan5842 2 жыл бұрын
Kwa kweli Yaani 🤣🤣🤣🤣
@ibraton4071
@ibraton4071 2 жыл бұрын
hajakosea they call it HUB kwao ni dawa sio madawa na hawaiti bangi global name ni ganja hata awe mwarab au mchina code yao ni moja tu
@ibrahlissu2710
@ibrahlissu2710 2 жыл бұрын
Wakwanza
@brendapierre878
@brendapierre878 2 жыл бұрын
Ungepata mwanasheria mzuri angekusimamia na ungelipwa fidia nzuri na hilo shirika.. pamoja na kwamba hilo shirika la umoja wa mataifa linakinga halipaswi kuvunja sheria na kunyanyasa mtu..
@bensimon7330
@bensimon7330 2 жыл бұрын
imani nikilakitu nimebalikiwa sana
@yohanamartine1793
@yohanamartine1793 2 жыл бұрын
@millard namba zake tupeni
@africantehama1246
@africantehama1246 2 жыл бұрын
Something to learn in Life
@mavere592
@mavere592 2 жыл бұрын
Baba eliyaaaaa huyooo
@kigendafm6307
@kigendafm6307 2 жыл бұрын
Ganja ni takatifu? Bangi ni madawa ya kulevya! Dunia ngumu sana
@yusuphfote5219
@yusuphfote5219 2 жыл бұрын
Umeonaa eee
@-KINKAU
@-KINKAU 2 жыл бұрын
Kabisa
@alfredtemba9727
@alfredtemba9727 2 жыл бұрын
Bro Kama una bible Funguwa Mwanzo 1:29.
@kassinkamia5667
@kassinkamia5667 2 жыл бұрын
@@alfredtemba9727 toka bhana hayo ni madawa usitetee ujinga
@flackomasterbaddest4155
@flackomasterbaddest4155 2 жыл бұрын
Hio ni imani yako uliofundishwa na ukaikubali so never judge coz wengne wenye imani nyingne nao wanakuoana namna gani vp muhimu kila mtu aamini chake na heshima iwepo
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 4,4 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 27 МЛН
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 7 МЛН
Can A Seed Grow In Your Nose? 🤔
00:33
Zack D. Films
Рет қаралды 30 МЛН
BIASHARA ZINAZOTENGENEZA MATAJIRI WENGI
12:39
Kelvin Kibenje
Рет қаралды 36 М.
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 4,4 МЛН