Kutoka Visiwani Zanzibar nakusogezea mahojiano na Mzee ambaye ameweka bango nje ya nyumba yake kuwa ukimuibia unazikwa.
Пікірлер: 255
@vincentcharles43852 жыл бұрын
Mzee umri huo anapiga kazi,vijana umri mdogo mara teja,shoga,kibaka,jambazi,free mason,Mungu azidi kukubariki mzee wangu.
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
Amiin yarrab
@nadyasalim79562 жыл бұрын
hawataki kazi vijana kazi kuomba na huo uongo wanaumbe wa siku hizi waongo na kukaa chini ya wanawake
@Awatee2 жыл бұрын
Amiin yaraby
@Awatee2 жыл бұрын
@@nadyasalim7956 kweli kabisa
@vampire94642 жыл бұрын
Kweli kabisa kazi yao kubwa ukuwadi kutaka hela haraka pumbaaaff
@user-dl3ep1ow3y11 ай бұрын
ASSLAMALAKUM MZEE FROM ZANZIBAR I AM LIVING IN 🇬🇧 UK LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA MY LET PARENTS THEY FROM ZANZIBAR SO I AM PROUD OF PEOPLE OF ZANZIBAR ALLAH BLESSED THEM AMEEN AMEEN AMEEN REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM 🇬🇧 LONDON ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@shamzone3882 жыл бұрын
Asante babu nakuangalia ktk muscat oman Kweli maneno uliyosema kama kuna mganga kwa nini hajifanyii dawa akapat pesa ndio hayo hayo ninayowaambia wenzangu.... Kiswahili full babu
@ashajumbe90392 жыл бұрын
Mashallah huyu mzee namjuwa sana Nimejiskia vizuri Leo kuona anahoniwa na ayo TV
@mudrickabdallah72512 жыл бұрын
Aaahh kumbe tunacheza sana.. Sisi tour guider wa Zanzibar twende tukavune historia ya Zanzibar kwa huyu mzee. Mungu akueke mzee wetu akupe afya njema
@awatifalghanim1106 Жыл бұрын
Amin
@amemasudi57352 жыл бұрын
Hawa ndio wazee wenye hekma sio wapumbavu kukaa vibarazani kunywa kahawa kusubiria Pensheni tujitume Kama babu yetu Mashaa Allah
@fuadsaadbiladiboy17852 жыл бұрын
Kweli kwa ndo wazee,muhimu kua nao,mbali na biashara,Ana ijua history vzuri sana
@angeljoseph922 Жыл бұрын
Umesahau na kutongoza vibinti vidogo yaan hawana heshima kabisaa
@waktiahmad2503 Жыл бұрын
😘❤️ duuuh Babu kumbe unaongea hivi nikipita chechei Babu sauti ya chini
@rayanaabdallah65802 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, tuna history lakini hatufwatilii kama kwa nchi za wenzetu. Nnakupenda mzee kwa ajili ya Allah, Mungu akupe umri mrefu In Shaa Allah.
@hellertv14772 жыл бұрын
Kwa wale wanaoenda forodhani kupiga makachu huwez kufika bila kumpita huyu mzee pale maeneo ya skuli ya kiponda. Tujuane wapiga makachu hapa
Mwenyeez Mungu akuzididhie umri mrefu na afya njema mzee nimekupenda sana, hongera kwa kujituma.
@giddyyunky70252 жыл бұрын
Godbess you mashalah we are proud of you in zanzibar 🤗🤗🤗💥
@abdullaabubakar7165 Жыл бұрын
Nicee
@muddymuzungu43572 жыл бұрын
Vijana tuchape kazi…babu ni kioo tosha kwetu! Tumtegemee Allah tuache mganga na ramli
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
Alhamdulillah masha Allah tabarrak Allah m.mungu awahifadh Ampe umri mrefu wenye afya na kheir mzee wetu
@binbarwan74012 жыл бұрын
Babuyako uyu mmefanana😀
@khayriyamussa6822 жыл бұрын
😊😊Amiin
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
@@binbarwan7401 yes mzee wangu 😄
@binbarwan74012 жыл бұрын
😂😂
@suleimansuleiman11272 жыл бұрын
Nakumbuk asubuh moja nlipat nafasi ya kuagizwa chakula na huyu mzee wakat nikiwa mwanafunzi wa shule ya kiponda jirani tu nyumb yke # Alhamdulillah Allah amjaze katik mema yke na ampe firdaus kama zawadi yake ya milele 🙏
@filmflm53892 жыл бұрын
WALLAH WABILLAH IYUMZEE NAMJUA NA NIMKARIM SANA NANIMNUENYEKEV SANA MFANYA IBADA NA KUNAMUDA NAPITA BARAZANI KWAKE NATAMANI ANIITE ANITUME POPOTEPALE ILI NIRDHIKE
@fatmamansour6762 жыл бұрын
Niltumzur mwanawe tunakaa jirani kweli anasema anaibiwa sana sahv
@madhuru25542 жыл бұрын
Babu wetu Mashaallah Mungu akupe afya na Umri mrefu Inshaaallah.
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
Amiin yarrab
@nadyasalim79562 жыл бұрын
Amiin
@malikshafii8431 Жыл бұрын
Umri mrefu upi tena apo alipo pumzi hazipat unamuombea umri mrefu ateseke #allah akampumzishe kwa aman
@madhuru2554 Жыл бұрын
@@malikshafii8431 kwanza ni Afya sio umri! Baadaye ndio umri Nafkiri umeelewa .
@ramadhanjuma610 Жыл бұрын
Amina
@macharosandra94672 жыл бұрын
Niliwahi kusikia bongo zozo ananunua pesa za zamani.. Ayo Msaidieni Mzee
@miriamalute15402 жыл бұрын
Tena anazitafuta sana
@msquare2832 жыл бұрын
Its my uncle mze mohammad..😘🥰proud of him Mariam sulaiman albrashdi here
@menalikechildren88362 жыл бұрын
una uhakika ?
@msquare2832 жыл бұрын
@@menalikechildren8836 yup 100%how i wouldnt know my own uncle😰🤣
@menalikechildren88362 жыл бұрын
hahah na mm ni uncle yangu bc mm na ww ndugu
@msquare2832 жыл бұрын
@@menalikechildren8836 ndugu wa islam maybe not real
@menalikechildren88362 жыл бұрын
not jas in case of Islam but he's my real uncle
@feisalmwinyi2429 Жыл бұрын
Ma shaa allah.. babuu yetu fahari ya mjii wetu allah atuekee mzee wetu huyu na wengine wotee In shaa allah
@valentinetesha85362 жыл бұрын
huyu mzee ana akili sana hiyo biashara angepata advertisement angejulikana kwa wazungu wana nunua sana hizo ela za zamani
@jacintaitumo55712 жыл бұрын
Ni kweli kabisaa. Angekuwa ngambo hizi atapapata mamillioni kadhaa.
@fatmamansour6762 жыл бұрын
A nakaa mji mkongwe
@hassanmfaume45222 жыл бұрын
bongo zozo naye ananunua
@actwazalendo11312 жыл бұрын
Moja katika kumbukumbu nzuri Asanteni sana ayo tv
@faridaabdallah22132 жыл бұрын
sasa babu hapo anaona kweli? love you baby msalimie bibi, miaka mingi kwako babu,🙏🙏🤲
@christercheru8328 Жыл бұрын
😁😁😁keep left
@abdulbora8122 жыл бұрын
Hapo ni kweli mungu ndie mganga wetu dunia hii mpaka ahera
@adamsoud4862 Жыл бұрын
Masha allah mzee Mohd mungu akuweke huyu mzee alikuwa rafiki mkubwa wa marehemu baba angu wallahy ana historia na mambo mazuri tu na akili yake timamu tu
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Mashallah, hongera sana Babu kwa kufanya kazi.
@hamoudcreator63432 жыл бұрын
Mzee anaonekana alikuwa tajiri sanaaa enzi Hizo..
@Specialonejr2 жыл бұрын
😂😂😂😂Tusharud mwanakwerekwe eka tena
@sabihaibrahim1432 жыл бұрын
Hahahaaaa jirani yangu vijana wamemzowea sana
@shikaocharles89912 жыл бұрын
Eti Tusharudi Tena Mwana Kwerekwe ila Watu Weusi Sio Waoga Kabisaaa 😂😂😂😂😂
@salma-fc4xc2 жыл бұрын
🤣🤣
@aishatarimo67802 жыл бұрын
😂😂😂😂 watu hawana huruma jaman
@vampire94642 жыл бұрын
Kweli kabisa
@luganostewart83202 жыл бұрын
Millard Ayo mmetisha sana kwakweli, Huyu mzee namfahamu vzr sana amekuwa ni mtu ambaye hana shida ni mkarimu pia kwa namna moja ama nyingne tumezoeana na anapenda sana story, Ninapata nafasi ya kuonana nae karibia mara tano au sita kwa wiki sababu makazi yake yapo njiani
@najashjejeje62162 жыл бұрын
Mzee wetu story anazipenda kweli Allah ampe afya
@munawwarabeid86342 жыл бұрын
Yeah kabsa
@salimselemani48612 жыл бұрын
Assalamu alaikum naweza vipi kupata kuongea nae huyu mzee nitashukuru sana kama utanijibu
@luganostewart83202 жыл бұрын
@@salimselemani4861 Hapo labda nifanye utaratibu wa kuonana nae then nimuulize endapo kutakuwa na possibility hyo... Lakini pia kama itafaa zaidi ungenipatia mawasiliano yako
@motasimali9053 Жыл бұрын
@@salimselemani4861 njoo nikupeleke
@jafarinahonyo73492 жыл бұрын
Daah watyu weusii tumepinda hatarii mzee kaandika na badala yake kaibiwa daah
@aminahussein12242 жыл бұрын
Kwa kweli.. huyu mzee ana hekima na busara sana, Inshallah M/Mungu atazidi kumbarik na.kumfanyia wepesi wa kila jambo ampe afya njema na umri mrefu Ameen I... 🙏🧡
@godfreykweka64011 ай бұрын
www vbs
@godfreykweka64011 ай бұрын
tb
@ahmadseif72412 жыл бұрын
Hahahahahaha, eti nsharud mwana kwerekwe!!
@adnanidarous31172 жыл бұрын
Much love mzee wngu
@aminaamina39722 жыл бұрын
Amin inshallah
@maisarasid86702 жыл бұрын
Na vijana waache kumuibia mzee wetu
@nguvuyafikramedia12022 жыл бұрын
Masha alla industrious Sana huyu mzee Allah atukubari
@fuadsaadbiladiboy17852 жыл бұрын
Kwa fikra zangu na maadishi ya hapa,nli Dhani pengine mzee ni mshirikina,lakini kumbe mzee ana pambana,na kutafuta rizki ya Halal,Inshallah mungu amkutanishe na,Rais Mama Samia 🤲
@fatmasalim82932 жыл бұрын
Allah akupe umri mzee wetu ameen 🥰🇴🇲🇴🇲🇴🇲🌹
@bigbossmanbossman69462 жыл бұрын
Ameen
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
Amiin yarrab
@RumaitharSalum2 ай бұрын
Inalillahwainailayhirajiun we will miss mzee Muhammed Allah akupe kauli thabit na akulaze mahala pema peponi babu yangu 😭💔
@nooroman25352 жыл бұрын
Inshaallah
@awatifalghanim1106 Жыл бұрын
😂😂🤣🤣🤣 Babu Riyami asante waganga ni waongo wangejifanyia wao kwanza wakawa matajiri. Tulipita karibu tukakusalimiya...Mashaalla kumbe maarufu.
@rahelnchagwa79592 жыл бұрын
Jaman wasimuibie jaman
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Awesome 👌🏽💜
@ahmedsalumomar50022 жыл бұрын
My best friend
@jacksonamos20082 жыл бұрын
Safi Sana Mzee wetu nakumbuka nilisha wahi ongea naye hapo kwenye biashara yake .
@goalnews73942 жыл бұрын
Hahaha...mzee wangu uyo huwa ananipa stry nyingi sanaa...nimepata faida nying sana kutok kwake
@upendomassawe7477 Жыл бұрын
😆😆😆😆😆eti tusharud mwana kwerekwe wezi bhana
@fahadfahmy2 жыл бұрын
Huyu mzee Mohammed nilimuona zamani sana,nafurahi kumuona tena
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
in shaa Allah m.mungu akujulie uonane nae tena kwa furaha
@fahadfahmy2 жыл бұрын
@@samiaalriyami3488 Amin, hawa ndio wazee wetu wa Kiponda
@fatmamansour6762 жыл бұрын
Zamani maekiti anakuepo sana anampiga story sahv hawezi tena kutembea ndo yupo tu hapo
@fahadfahmy2 жыл бұрын
@@fatmamansour676 Ndio wameshakua wazee
@chidyboytz48 Жыл бұрын
maziwa ya nyokaa 🐍 duh 🙄🙆♂️😂😂😂😂😂😂
@munawwarabeid86342 жыл бұрын
Amezidi kuzeeka sasa na mpk leo mwnyew anaendelea na biashara yke
@maisarasid86702 жыл бұрын
Mungu amueke mzee huyu na ampe umri mrefu kwa biashara yake ya kaiza na ampe wateja wenye kukunua kwa bei ya juu manaks sio rahisi kupata pesa hizo
@tingbatuuka7278 Жыл бұрын
Tusha rudi toka mwana Kwerekwe 🤣🤣🤣🤣🤣wahuni sio watu wazuri
@alialibablly70102 жыл бұрын
Salam zimfikie mama awasali znz kwa mzee mohd stone town kiponda znz
@aliaboud92022 жыл бұрын
Apo ndo utaelewa kama halbadiri ni uganga au dua
@fardoshnassor78472 жыл бұрын
Mashallah Allah
@fadhroshlove15112 жыл бұрын
Allah akupe umrimrefu inshaAllah
@tanzaniaoman64232 жыл бұрын
Babu mjanja umeandika na wameiba😂
@frankdanford82452 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 mzee nimempenda sana eti niliwatisha watu na wakaniibia na ujumbe juu akapewa tumesharudi mwanakwerekwe.
@sitimakame14902 жыл бұрын
😂😂😂
@geofreyshaurimoyo59182 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@africanafrican94612 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@hamisimtamike95832 жыл бұрын
😁😁😁nimecheka Sanaa asee
@neemazee18642 жыл бұрын
Hahahahaha
@nadrahassan52412 жыл бұрын
Nikajua haoni kumbe anaona!
@mdta81612 жыл бұрын
😂😂😂😂eti tusharudi mwanakerekwa
@linahsemindu42612 жыл бұрын
Et tusharud mwanakwerekwe weka Tena tuibe 🤣🤣🤣🤣🤣 watu wamevurugwa
@kawtharalbarwani1337 Жыл бұрын
Nimempenda sana babu 😍😍❤
@marygregory7566 Жыл бұрын
Mandhari ya hiyo sehemu ameitengeneza ni nzuri sana.
@hafidhharuna99582 жыл бұрын
Ushafaham weka tena tusharudi mwanakwerekwe
@dorahwillson18072 жыл бұрын
Aisee Mungu atujalie umri mlefu
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
Amiin
@aminaothman21362 жыл бұрын
Babu kachangamka mashallah
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
sana masha Allah tabarrak Allah ungekaa nae kwa muda dakika 5 kama ulikuwa na stress zingeondoka
@nadyasalim79562 жыл бұрын
mashallah sio vijana wa siku hizi
@sameermilo49072 жыл бұрын
Home sweet home kiponda zanzibar
@OmerSuley-gl7go4 ай бұрын
Huyu mzee namjua sana
@missjesy22052 жыл бұрын
The guy was very handsome those dayz
@salmabrown12502 жыл бұрын
anapatikana wapi?
@saidsalim25612 жыл бұрын
Mzee mohd Allah akulipe kila la kheri
@zenadadi17682 жыл бұрын
Naomba namba za uyo babu
@haniiniramzan9989 Жыл бұрын
Mashallh Babu
@hassankisuke5356 Жыл бұрын
Aunganishwe na Bongo Zozo,huwa anazitafuta Sana fedha za zamani
@idarousphotography67272 жыл бұрын
Mzee huyuu TOKEA nasoma yupo mpk sasa na huyooo ata ugongi unamkuta mlango njia y KUELEKEA msikiti wa malindi njia ya kipondaa
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
mzee hana tabu kabisa ila wanamuibia sanaa sana lakin yeye anamshukuru mungu anasema hata kama wamenibia m.mungu ataniletea zaid ya ile
@saidabdala49802 жыл бұрын
@@samiaalriyami3488 Samiya uko wapi
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Watu hawamuogopi Mungu waje kuogopa maandishi 😣
@instavstiktokvideos46412 жыл бұрын
Tumesharud mwanakwerekwe weka tena😁😁😁😁 nimeipenda hii
@aliabdallah84562 ай бұрын
Ndiyo sababu vijana wengi wanakuwa vichaa kwa kupenda kuiba je huyu mzee akimuibia akiomba kwa Mungu kila aliyeniibia Mungu mpe kichaa je wewe uliyemuibia utapona hacheni wizi pumbavu nyinyi
@petriciajohn12452 жыл бұрын
Namuona hapa mji mkongwe dukani kwake
@perismwangi1921 Жыл бұрын
Mzee comedian huyu😂😂😂
@jesusnetworkministry Жыл бұрын
tusharudi mwanakwere hahhahahahha
@lumumbasankara6388 Жыл бұрын
Mashallah huyu mzee ni mcheshi anaongea vzr
@user-eo7ug2tg9r Жыл бұрын
Nilimuonaga💓💓💓
@juliankamugisha98862 жыл бұрын
Mzee kanivunja mbavu, eti siku alipoandika kesho yake wakamibia na kjmwandikia kikaratasi tumerudi kutoka makaburini.😂😂🤣
@rahmaabdulla49492 жыл бұрын
😂😂😂 hatari jamani watu wamepinda , tena wazima hao vijana wanashindwa kufanya kazi wanakuja kumuibia babu wawatu maskini 😔😔
Juzi tuu nilipita hapo kwenda kunywa chai lukman karibu kabisa kwa huyu mzee. Kwa uzoefu wake akajua cc ni wageni lkn kidesturi yetu ukimwona mtu amekuzidi umri unamwamkia kumpa heshima yake. Ndipo akatuuliza nyiye ni wageni hapa? Nasi tukamjibu naam akatuchangamkia nasi tukafurahi nikatamani kununua kitu lkn sikuona cha kunivutia. Kwa kuwa ni mzee na bado anajitegemea kuliko kuomba omba nikamwachia hela mkononi ngapi siri yangu. Akaniombea dua Alhamdullilah.
@ibrahimkhaleel2804 Жыл бұрын
Hongera kupata Baraka ya mzee
@aliyulukiza88572 жыл бұрын
Huyu mzee yuko makini sana
@G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын
Home sweet home!
@johnsadik5060 Жыл бұрын
wahuni sio watu et tusharudi mwana kwereke weka tena
@dullymsomaly37822 жыл бұрын
Millard ayo muunganishe na bongo zozo...ananunua sana hela za zamn
@ayoubharoub58072 жыл бұрын
Tusharudii wahuni sio w2 poa
@michaelthobias99672 жыл бұрын
Huyu mzee White Sana
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Mwarabu huyo
@FatmaFatmA-qk3zl2 жыл бұрын
Hahahhahah babu pole sana watuwabaya!
@tousihhhh67652 жыл бұрын
vijana wasikuhiz waovyo san 🤣🤣🤣🤣
@user-eo7ug2tg9r Жыл бұрын
Daah
@pinkladylady7072 ай бұрын
Innalillahi wa inna ilayhi raijun amjalie kauli thabit 🥺