"UKIMUIBIA HUYU MZEE UNAZIKWA, MAZIWA YA NYOKA" KIKONGWE ZANZIBAR ASIMULIA MAKUBWA

  Рет қаралды 178,666

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Kutoka Visiwani Zanzibar nakusogezea mahojiano na Mzee ambaye ameweka bango nje ya nyumba yake kuwa ukimuibia unazikwa.

Пікірлер: 255
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 2 жыл бұрын
Mzee umri huo anapiga kazi,vijana umri mdogo mara teja,shoga,kibaka,jambazi,free mason,Mungu azidi kukubariki mzee wangu.
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
Amiin yarrab
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 жыл бұрын
hawataki kazi vijana kazi kuomba na huo uongo wanaumbe wa siku hizi waongo na kukaa chini ya wanawake
@Awatee
@Awatee 2 жыл бұрын
Amiin yaraby
@Awatee
@Awatee 2 жыл бұрын
@@nadyasalim7956 kweli kabisa
@vampire9464
@vampire9464 2 жыл бұрын
Kweli kabisa kazi yao kubwa ukuwadi kutaka hela haraka pumbaaaff
@user-dl3ep1ow3y
@user-dl3ep1ow3y 11 ай бұрын
ASSLAMALAKUM MZEE FROM ZANZIBAR I AM LIVING IN 🇬🇧 UK LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA MY LET PARENTS THEY FROM ZANZIBAR SO I AM PROUD OF PEOPLE OF ZANZIBAR ALLAH BLESSED THEM AMEEN AMEEN AMEEN REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM 🇬🇧 LONDON ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@shamzone388
@shamzone388 2 жыл бұрын
Asante babu nakuangalia ktk muscat oman Kweli maneno uliyosema kama kuna mganga kwa nini hajifanyii dawa akapat pesa ndio hayo hayo ninayowaambia wenzangu.... Kiswahili full babu
@ashajumbe9039
@ashajumbe9039 2 жыл бұрын
Mashallah huyu mzee namjuwa sana Nimejiskia vizuri Leo kuona anahoniwa na ayo TV
@mudrickabdallah7251
@mudrickabdallah7251 2 жыл бұрын
Aaahh kumbe tunacheza sana.. Sisi tour guider wa Zanzibar twende tukavune historia ya Zanzibar kwa huyu mzee. Mungu akueke mzee wetu akupe afya njema
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Жыл бұрын
Amin
@amemasudi5735
@amemasudi5735 2 жыл бұрын
Hawa ndio wazee wenye hekma sio wapumbavu kukaa vibarazani kunywa kahawa kusubiria Pensheni tujitume Kama babu yetu Mashaa Allah
@fuadsaadbiladiboy1785
@fuadsaadbiladiboy1785 2 жыл бұрын
Kweli kwa ndo wazee,muhimu kua nao,mbali na biashara,Ana ijua history vzuri sana
@angeljoseph922
@angeljoseph922 Жыл бұрын
Umesahau na kutongoza vibinti vidogo yaan hawana heshima kabisaa
@waktiahmad2503
@waktiahmad2503 Жыл бұрын
😘❤️ duuuh Babu kumbe unaongea hivi nikipita chechei Babu sauti ya chini
@rayanaabdallah6580
@rayanaabdallah6580 2 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, tuna history lakini hatufwatilii kama kwa nchi za wenzetu. Nnakupenda mzee kwa ajili ya Allah, Mungu akupe umri mrefu In Shaa Allah.
@hellertv1477
@hellertv1477 2 жыл бұрын
Kwa wale wanaoenda forodhani kupiga makachu huwez kufika bila kumpita huyu mzee pale maeneo ya skuli ya kiponda. Tujuane wapiga makachu hapa
@asumaathuman6094
@asumaathuman6094 2 жыл бұрын
Nataman angekuwa mzee wangu nimtunze aache kazi atulie....umr umekwenda apumzike 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@christercheru8328
@christercheru8328 Жыл бұрын
Mtunze tu baba
@rahmasalim1989
@rahmasalim1989 Жыл бұрын
Mwenyeez Mungu akuzididhie umri mrefu na afya njema mzee nimekupenda sana, hongera kwa kujituma.
@giddyyunky7025
@giddyyunky7025 2 жыл бұрын
Godbess you mashalah we are proud of you in zanzibar 🤗🤗🤗💥
@abdullaabubakar7165
@abdullaabubakar7165 Жыл бұрын
Nicee
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 2 жыл бұрын
Vijana tuchape kazi…babu ni kioo tosha kwetu! Tumtegemee Allah tuache mganga na ramli
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
Alhamdulillah masha Allah tabarrak Allah m.mungu awahifadh Ampe umri mrefu wenye afya na kheir mzee wetu
@binbarwan7401
@binbarwan7401 2 жыл бұрын
Babuyako uyu mmefanana😀
@khayriyamussa682
@khayriyamussa682 2 жыл бұрын
😊😊Amiin
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
@@binbarwan7401 yes mzee wangu 😄
@binbarwan7401
@binbarwan7401 2 жыл бұрын
😂😂
@suleimansuleiman1127
@suleimansuleiman1127 2 жыл бұрын
Nakumbuk asubuh moja nlipat nafasi ya kuagizwa chakula na huyu mzee wakat nikiwa mwanafunzi wa shule ya kiponda jirani tu nyumb yke # Alhamdulillah Allah amjaze katik mema yke na ampe firdaus kama zawadi yake ya milele 🙏
@filmflm5389
@filmflm5389 2 жыл бұрын
WALLAH WABILLAH IYUMZEE NAMJUA NA NIMKARIM SANA NANIMNUENYEKEV SANA MFANYA IBADA NA KUNAMUDA NAPITA BARAZANI KWAKE NATAMANI ANIITE ANITUME POPOTEPALE ILI NIRDHIKE
@fatmamansour676
@fatmamansour676 2 жыл бұрын
Niltumzur mwanawe tunakaa jirani kweli anasema anaibiwa sana sahv
@madhuru2554
@madhuru2554 2 жыл бұрын
Babu wetu Mashaallah Mungu akupe afya na Umri mrefu Inshaaallah.
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
Amiin yarrab
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 жыл бұрын
Amiin
@malikshafii8431
@malikshafii8431 Жыл бұрын
Umri mrefu upi tena apo alipo pumzi hazipat unamuombea umri mrefu ateseke #allah akampumzishe kwa aman
@madhuru2554
@madhuru2554 Жыл бұрын
@@malikshafii8431 kwanza ni Afya sio umri! Baadaye ndio umri Nafkiri umeelewa .
@ramadhanjuma610
@ramadhanjuma610 Жыл бұрын
Amina
@macharosandra9467
@macharosandra9467 2 жыл бұрын
Niliwahi kusikia bongo zozo ananunua pesa za zamani.. Ayo Msaidieni Mzee
@miriamalute1540
@miriamalute1540 2 жыл бұрын
Tena anazitafuta sana
@msquare283
@msquare283 2 жыл бұрын
Its my uncle mze mohammad..😘🥰proud of him Mariam sulaiman albrashdi here
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 2 жыл бұрын
una uhakika ?
@msquare283
@msquare283 2 жыл бұрын
@@menalikechildren8836 yup 100%how i wouldnt know my own uncle😰🤣
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 2 жыл бұрын
hahah na mm ni uncle yangu bc mm na ww ndugu
@msquare283
@msquare283 2 жыл бұрын
@@menalikechildren8836 ndugu wa islam maybe not real
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 2 жыл бұрын
not jas in case of Islam but he's my real uncle
@feisalmwinyi2429
@feisalmwinyi2429 Жыл бұрын
Ma shaa allah.. babuu yetu fahari ya mjii wetu allah atuekee mzee wetu huyu na wengine wotee In shaa allah
@valentinetesha8536
@valentinetesha8536 2 жыл бұрын
huyu mzee ana akili sana hiyo biashara angepata advertisement angejulikana kwa wazungu wana nunua sana hizo ela za zamani
@jacintaitumo5571
@jacintaitumo5571 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisaa. Angekuwa ngambo hizi atapapata mamillioni kadhaa.
@fatmamansour676
@fatmamansour676 2 жыл бұрын
A nakaa mji mkongwe
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 2 жыл бұрын
bongo zozo naye ananunua
@actwazalendo1131
@actwazalendo1131 2 жыл бұрын
Moja katika kumbukumbu nzuri Asanteni sana ayo tv
@faridaabdallah2213
@faridaabdallah2213 2 жыл бұрын
sasa babu hapo anaona kweli? love you baby msalimie bibi, miaka mingi kwako babu,🙏🙏🤲
@christercheru8328
@christercheru8328 Жыл бұрын
😁😁😁keep left
@abdulbora812
@abdulbora812 2 жыл бұрын
Hapo ni kweli mungu ndie mganga wetu dunia hii mpaka ahera
@adamsoud4862
@adamsoud4862 Жыл бұрын
Masha allah mzee Mohd mungu akuweke huyu mzee alikuwa rafiki mkubwa wa marehemu baba angu wallahy ana historia na mambo mazuri tu na akili yake timamu tu
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Mashallah, hongera sana Babu kwa kufanya kazi.
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 2 жыл бұрын
Mzee anaonekana alikuwa tajiri sanaaa enzi Hizo..
@Specialonejr
@Specialonejr 2 жыл бұрын
😂😂😂😂Tusharud mwanakwerekwe eka tena
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 жыл бұрын
Hahahaaaa jirani yangu vijana wamemzowea sana
@shikaocharles8991
@shikaocharles8991 2 жыл бұрын
Eti Tusharudi Tena Mwana Kwerekwe ila Watu Weusi Sio Waoga Kabisaaa 😂😂😂😂😂
@salma-fc4xc
@salma-fc4xc 2 жыл бұрын
🤣🤣
@aishatarimo6780
@aishatarimo6780 2 жыл бұрын
😂😂😂😂 watu hawana huruma jaman
@vampire9464
@vampire9464 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@luganostewart8320
@luganostewart8320 2 жыл бұрын
Millard Ayo mmetisha sana kwakweli, Huyu mzee namfahamu vzr sana amekuwa ni mtu ambaye hana shida ni mkarimu pia kwa namna moja ama nyingne tumezoeana na anapenda sana story, Ninapata nafasi ya kuonana nae karibia mara tano au sita kwa wiki sababu makazi yake yapo njiani
@najashjejeje6216
@najashjejeje6216 2 жыл бұрын
Mzee wetu story anazipenda kweli Allah ampe afya
@munawwarabeid8634
@munawwarabeid8634 2 жыл бұрын
Yeah kabsa
@salimselemani4861
@salimselemani4861 2 жыл бұрын
Assalamu alaikum naweza vipi kupata kuongea nae huyu mzee nitashukuru sana kama utanijibu
@luganostewart8320
@luganostewart8320 2 жыл бұрын
@@salimselemani4861 Hapo labda nifanye utaratibu wa kuonana nae then nimuulize endapo kutakuwa na possibility hyo... Lakini pia kama itafaa zaidi ungenipatia mawasiliano yako
@motasimali9053
@motasimali9053 Жыл бұрын
@@salimselemani4861 njoo nikupeleke
@jafarinahonyo7349
@jafarinahonyo7349 2 жыл бұрын
Daah watyu weusii tumepinda hatarii mzee kaandika na badala yake kaibiwa daah
@aminahussein1224
@aminahussein1224 2 жыл бұрын
Kwa kweli.. huyu mzee ana hekima na busara sana, Inshallah M/Mungu atazidi kumbarik na.kumfanyia wepesi wa kila jambo ampe afya njema na umri mrefu Ameen I... 🙏🧡
@godfreykweka640
@godfreykweka640 11 ай бұрын
www vbs
@godfreykweka640
@godfreykweka640 11 ай бұрын
tb
@ahmadseif7241
@ahmadseif7241 2 жыл бұрын
Hahahahahaha, eti nsharud mwana kwerekwe!!
@adnanidarous3117
@adnanidarous3117 2 жыл бұрын
Much love mzee wngu
@aminaamina3972
@aminaamina3972 2 жыл бұрын
Amin inshallah
@maisarasid8670
@maisarasid8670 2 жыл бұрын
Na vijana waache kumuibia mzee wetu
@nguvuyafikramedia1202
@nguvuyafikramedia1202 2 жыл бұрын
Masha alla industrious Sana huyu mzee Allah atukubari
@fuadsaadbiladiboy1785
@fuadsaadbiladiboy1785 2 жыл бұрын
Kwa fikra zangu na maadishi ya hapa,nli Dhani pengine mzee ni mshirikina,lakini kumbe mzee ana pambana,na kutafuta rizki ya Halal,Inshallah mungu amkutanishe na,Rais Mama Samia 🤲
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 2 жыл бұрын
Allah akupe umri mzee wetu ameen 🥰🇴🇲🇴🇲🇴🇲🌹
@bigbossmanbossman6946
@bigbossmanbossman6946 2 жыл бұрын
Ameen
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
Amiin yarrab
@RumaitharSalum
@RumaitharSalum 2 ай бұрын
Inalillahwainailayhirajiun we will miss mzee Muhammed Allah akupe kauli thabit na akulaze mahala pema peponi babu yangu 😭💔
@nooroman2535
@nooroman2535 2 жыл бұрын
Inshaallah
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Жыл бұрын
😂😂🤣🤣🤣 Babu Riyami asante waganga ni waongo wangejifanyia wao kwanza wakawa matajiri. Tulipita karibu tukakusalimiya...Mashaalla kumbe maarufu.
@rahelnchagwa7959
@rahelnchagwa7959 2 жыл бұрын
Jaman wasimuibie jaman
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Awesome 👌🏽💜
@ahmedsalumomar5002
@ahmedsalumomar5002 2 жыл бұрын
My best friend
@jacksonamos2008
@jacksonamos2008 2 жыл бұрын
Safi Sana Mzee wetu nakumbuka nilisha wahi ongea naye hapo kwenye biashara yake .
@goalnews7394
@goalnews7394 2 жыл бұрын
Hahaha...mzee wangu uyo huwa ananipa stry nyingi sanaa...nimepata faida nying sana kutok kwake
@upendomassawe7477
@upendomassawe7477 Жыл бұрын
😆😆😆😆😆eti tusharud mwana kwerekwe wezi bhana
@fahadfahmy
@fahadfahmy 2 жыл бұрын
Huyu mzee Mohammed nilimuona zamani sana,nafurahi kumuona tena
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
in shaa Allah m.mungu akujulie uonane nae tena kwa furaha
@fahadfahmy
@fahadfahmy 2 жыл бұрын
@@samiaalriyami3488 Amin, hawa ndio wazee wetu wa Kiponda
@fatmamansour676
@fatmamansour676 2 жыл бұрын
Zamani maekiti anakuepo sana anampiga story sahv hawezi tena kutembea ndo yupo tu hapo
@fahadfahmy
@fahadfahmy 2 жыл бұрын
@@fatmamansour676 Ndio wameshakua wazee
@chidyboytz48
@chidyboytz48 Жыл бұрын
maziwa ya nyokaa 🐍 duh 🙄🙆‍♂️😂😂😂😂😂😂
@munawwarabeid8634
@munawwarabeid8634 2 жыл бұрын
Amezidi kuzeeka sasa na mpk leo mwnyew anaendelea na biashara yke
@maisarasid8670
@maisarasid8670 2 жыл бұрын
Mungu amueke mzee huyu na ampe umri mrefu kwa biashara yake ya kaiza na ampe wateja wenye kukunua kwa bei ya juu manaks sio rahisi kupata pesa hizo
@tingbatuuka7278
@tingbatuuka7278 Жыл бұрын
Tusha rudi toka mwana Kwerekwe 🤣🤣🤣🤣🤣wahuni sio watu wazuri
@alialibablly7010
@alialibablly7010 2 жыл бұрын
Salam zimfikie mama awasali znz kwa mzee mohd stone town kiponda znz
@aliaboud9202
@aliaboud9202 2 жыл бұрын
Apo ndo utaelewa kama halbadiri ni uganga au dua
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 2 жыл бұрын
Mashallah Allah
@fadhroshlove1511
@fadhroshlove1511 2 жыл бұрын
Allah akupe umrimrefu inshaAllah
@tanzaniaoman6423
@tanzaniaoman6423 2 жыл бұрын
Babu mjanja umeandika na wameiba😂
@frankdanford8245
@frankdanford8245 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 mzee nimempenda sana eti niliwatisha watu na wakaniibia na ujumbe juu akapewa tumesharudi mwanakwerekwe.
@sitimakame1490
@sitimakame1490 2 жыл бұрын
😂😂😂
@geofreyshaurimoyo5918
@geofreyshaurimoyo5918 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@africanafrican9461
@africanafrican9461 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@hamisimtamike9583
@hamisimtamike9583 2 жыл бұрын
😁😁😁nimecheka Sanaa asee
@neemazee1864
@neemazee1864 2 жыл бұрын
Hahahahaha
@nadrahassan5241
@nadrahassan5241 2 жыл бұрын
Nikajua haoni kumbe anaona!
@mdta8161
@mdta8161 2 жыл бұрын
😂😂😂😂eti tusharudi mwanakerekwa
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 2 жыл бұрын
Et tusharud mwanakwerekwe weka Tena tuibe 🤣🤣🤣🤣🤣 watu wamevurugwa
@kawtharalbarwani1337
@kawtharalbarwani1337 Жыл бұрын
Nimempenda sana babu 😍😍❤
@marygregory7566
@marygregory7566 Жыл бұрын
Mandhari ya hiyo sehemu ameitengeneza ni nzuri sana.
@hafidhharuna9958
@hafidhharuna9958 2 жыл бұрын
Ushafaham weka tena tusharudi mwanakwerekwe
@dorahwillson1807
@dorahwillson1807 2 жыл бұрын
Aisee Mungu atujalie umri mlefu
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
Amiin
@aminaothman2136
@aminaothman2136 2 жыл бұрын
Babu kachangamka mashallah
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
sana masha Allah tabarrak Allah ungekaa nae kwa muda dakika 5 kama ulikuwa na stress zingeondoka
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 жыл бұрын
mashallah sio vijana wa siku hizi
@sameermilo4907
@sameermilo4907 2 жыл бұрын
Home sweet home kiponda zanzibar
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 4 ай бұрын
Huyu mzee namjua sana
@missjesy2205
@missjesy2205 2 жыл бұрын
The guy was very handsome those dayz
@salmabrown1250
@salmabrown1250 2 жыл бұрын
anapatikana wapi?
@saidsalim2561
@saidsalim2561 2 жыл бұрын
Mzee mohd Allah akulipe kila la kheri
@zenadadi1768
@zenadadi1768 2 жыл бұрын
Naomba namba za uyo babu
@haniiniramzan9989
@haniiniramzan9989 Жыл бұрын
Mashallh Babu
@hassankisuke5356
@hassankisuke5356 Жыл бұрын
Aunganishwe na Bongo Zozo,huwa anazitafuta Sana fedha za zamani
@idarousphotography6727
@idarousphotography6727 2 жыл бұрын
Mzee huyuu TOKEA nasoma yupo mpk sasa na huyooo ata ugongi unamkuta mlango njia y KUELEKEA msikiti wa malindi njia ya kipondaa
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
mzee hana tabu kabisa ila wanamuibia sanaa sana lakin yeye anamshukuru mungu anasema hata kama wamenibia m.mungu ataniletea zaid ya ile
@saidabdala4980
@saidabdala4980 2 жыл бұрын
@@samiaalriyami3488 Samiya uko wapi
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Watu hawamuogopi Mungu waje kuogopa maandishi 😣
@instavstiktokvideos4641
@instavstiktokvideos4641 2 жыл бұрын
Tumesharud mwanakwerekwe weka tena😁😁😁😁 nimeipenda hii
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 2 ай бұрын
Ndiyo sababu vijana wengi wanakuwa vichaa kwa kupenda kuiba je huyu mzee akimuibia akiomba kwa Mungu kila aliyeniibia Mungu mpe kichaa je wewe uliyemuibia utapona hacheni wizi pumbavu nyinyi
@petriciajohn1245
@petriciajohn1245 2 жыл бұрын
Namuona hapa mji mkongwe dukani kwake
@perismwangi1921
@perismwangi1921 Жыл бұрын
Mzee comedian huyu😂😂😂
@jesusnetworkministry
@jesusnetworkministry Жыл бұрын
tusharudi mwanakwere hahhahahahha
@lumumbasankara6388
@lumumbasankara6388 Жыл бұрын
Mashallah huyu mzee ni mcheshi anaongea vzr
@user-eo7ug2tg9r
@user-eo7ug2tg9r Жыл бұрын
Nilimuonaga💓💓💓
@juliankamugisha9886
@juliankamugisha9886 2 жыл бұрын
Mzee kanivunja mbavu, eti siku alipoandika kesho yake wakamibia na kjmwandikia kikaratasi tumerudi kutoka makaburini.😂😂🤣
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 жыл бұрын
😂😂😂 hatari jamani watu wamepinda , tena wazima hao vijana wanashindwa kufanya kazi wanakuja kumuibia babu wawatu maskini 😔😔
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
hahahha
@raiye5621
@raiye5621 2 жыл бұрын
Huyu babu kafumba macho ndio mna anaibiwa maskin wee 😃 😀 😄
@sakinat2527
@sakinat2527 2 жыл бұрын
😀😀
@faaabuboy1900
@faaabuboy1900 2 жыл бұрын
Muangaz unampa shida
@herculesthepower1544
@herculesthepower1544 2 жыл бұрын
Juzi tuu nilipita hapo kwenda kunywa chai lukman karibu kabisa kwa huyu mzee. Kwa uzoefu wake akajua cc ni wageni lkn kidesturi yetu ukimwona mtu amekuzidi umri unamwamkia kumpa heshima yake. Ndipo akatuuliza nyiye ni wageni hapa? Nasi tukamjibu naam akatuchangamkia nasi tukafurahi nikatamani kununua kitu lkn sikuona cha kunivutia. Kwa kuwa ni mzee na bado anajitegemea kuliko kuomba omba nikamwachia hela mkononi ngapi siri yangu. Akaniombea dua Alhamdullilah.
@ibrahimkhaleel2804
@ibrahimkhaleel2804 Жыл бұрын
Hongera kupata Baraka ya mzee
@aliyulukiza8857
@aliyulukiza8857 2 жыл бұрын
Huyu mzee yuko makini sana
@G.r.e.a.t.I.Q
@G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын
Home sweet home!
@johnsadik5060
@johnsadik5060 Жыл бұрын
wahuni sio watu et tusharudi mwana kwereke weka tena
@dullymsomaly3782
@dullymsomaly3782 2 жыл бұрын
Millard ayo muunganishe na bongo zozo...ananunua sana hela za zamn
@ayoubharoub5807
@ayoubharoub5807 2 жыл бұрын
Tusharudii wahuni sio w2 poa
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 2 жыл бұрын
Huyu mzee White Sana
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Mwarabu huyo
@FatmaFatmA-qk3zl
@FatmaFatmA-qk3zl 2 жыл бұрын
Hahahhahah babu pole sana watuwabaya!
@tousihhhh6765
@tousihhhh6765 2 жыл бұрын
vijana wasikuhiz waovyo san 🤣🤣🤣🤣
@user-eo7ug2tg9r
@user-eo7ug2tg9r Жыл бұрын
Daah
@pinkladylady707
@pinkladylady707 2 ай бұрын
Innalillahi wa inna ilayhi raijun amjalie kauli thabit 🥺
@DjohnSkills
@DjohnSkills 2 жыл бұрын
@bongozozo aje kununua Pesa apa
@dioufgaxa5779
@dioufgaxa5779 Жыл бұрын
Noma
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 33 МЛН
MTANZANIA MWENYE NG'OMBE ANAYEUZWA MILIONI 12 'NAUZIA MBWA MAZIWA'
7:18
The Story Book : Mizimu Ndani Ya Pango La Ngonga Zanzibar
30:04
Wasafi Media
Рет қаралды 236 М.
Mpaka Home MAISHA HALISI YA MUIGIZAJI KINGWENDU NYUMBANI KWAKE
18:31
Mfuga Komba wa Unguja
2:32
DW Kiswahili
Рет қаралды 20 М.
HII NDIO NYUMBA INAYOTILIWA MASHAKA CHUINI ZANZIBAR
8:52
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 217 М.
The Swahili Language
13:18
Langfocus
Рет қаралды 1,2 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН