Tanga is very beautiful with lots of beaches ... Will visit there for sure
@SuleimaniAli2 ай бұрын
beautiful place
@aggreykadima11555 ай бұрын
Amazing content. Keep up!
@MoMshutyАй бұрын
Jamani tanga mbon km mtwara tu😂😂😂
@user-or8hg4bw4q4 ай бұрын
Jambo Sana 👍
@alibinali_5 ай бұрын
Home Sweet Home Tanga Raha
@globoliver96975 ай бұрын
Thank you for the nice images! If you tried to regulate your sound/volume a little better and to avoid "American ghetto speech" entirely... ;-)
@DaSwiftTriniАй бұрын
You don’t know what American ghetto speech is apparently😂
@mandalaxxl3 ай бұрын
show a market!
@frenkifrenki47755 ай бұрын
Apa akuna jiji nitakataka tu pia ata idadi ya watu kidogo laki 3 na 60 akuna tofauti na kigoma
@mussamwamoto82313 ай бұрын
kataa tu,kuhusu watu tanga ina mitaa mingi sana sio mji ambao watu na ofisi ni hapo hapo,kuna maeneo ya makazi na maofisi,so inategemea pia video imechukuliwa siku gani,siku aya kazi au muda gani,kuifananisha Tanga na kigoma inaonyesha jinsi ulivyo na chuki,nimesoma kigoma miaka 3.
@mhandomhina5503Ай бұрын
Si Kigoma tu hata mji wenu wa asili uliojaa vichochoro na makazi yasiyopimwa Kama Dar yenu hatuwezi kufananishwa na mji uliopangiliwa. Tanga si mji wa hatua nane umeumaliza laa hasha pia si mji ambao Barabara zake zinapangwa biashara watu wamerundikana hovyohovyo omba omba kila Kona Tanga pia Ina makazi Kama O.bay na Upanga .Tanga sio mji wa takataka za slums......Tanga hiko rasmi sana na si makazilholela holela.... na vurugu za wamachinga na wazurulaji
@mhandomhina5503Ай бұрын
Pia jumamosi na jumapili hata miji ya duniani huko barabarani uwezo kuona watu wengi......