Wa kwanza leo hebu jama nipeni like ZANGU tunao mukubali KICHECHE
@user-wl7rt4qo8y5 ай бұрын
Hii Kali ya mwaka😅
@estherzangi26495 ай бұрын
Uzipeleke wapi 😂
@Kabeya4105 ай бұрын
Kaombe kwa mjomba wako upewe we kama nani ktk hii episode umecheza kama nani kenge we mkome na ushoga wa kuomba omba kwa kazi za wengine mtaolewa ndoa ya mkeka
@husnaarafat27255 ай бұрын
Chukua yangu
@BillBlackoshawn5 ай бұрын
Hongera
@Spagles5 ай бұрын
Kwenye comedy uyu jamaa baada ya Steve bas ni uyu jamaa kicheche next level 😂😂😂
@Mpakauseme5 ай бұрын
Mimi huyo stive hanifurahishi , number moja ni Jot na Mpok
@Mnyaturu9805 ай бұрын
Jamn hii move nimecheka sana 😂😂😂😂😂 nipeni like za bure
@19Tcoins-ru3ko3 ай бұрын
Proud to be a Tanzanian ❤
@user-hi9zh2zi2w5 ай бұрын
Hii nimeikubali sana bongo la movie kicheche noma sana 2024 kaja kivingne ❤
@user-fb1ce4wq8t5 ай бұрын
Naombeni na mm hizo like nijue za kazi gani
@SoslyneNanjala-oi9zf5 ай бұрын
Wow Mkenya Aka Catherine Makena Aka Naomi much love from Kenya ❤❤
@aishaomar22874 ай бұрын
@threemediastudios3037tena amekunywa coffee kwa ndege😂😂😂
@SmilingCurling-js5ff3 ай бұрын
❤❤❤
@SmilingCurling-js5ff3 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@89_Media5 ай бұрын
Nisiposema kazi nzuri mno nitakosea🎉,CHUKUA MAUWA YAKO KICHECHE HII ITABAMBA,GONGA LIKE HAPA FROM+254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-rv6wq8eb4n3 ай бұрын
❤🎉
@dakiduba47Ай бұрын
Kicheche hii imeweza bana from 254 Kenya 🇰🇪🇰🇪
@Lathifa-zl8hg5 ай бұрын
😂😂Hii familia ya mzee kicheche waeza.sema wako.shule😂😂Uyo wa ushauri wa kufungua club nimecheka😂😂😂🙌🙌
@johnmeshack44315 ай бұрын
😂😂😂😂nyuma kicheche nakukubali mwamba wangu❤❤❤
@user-lo8vo4tl4f5 ай бұрын
Kaka kicheche ungejalib kuwek muonekano wa kizee Yan ungekua umekua kabisaaa man yang
@gogoloveofficial56665 ай бұрын
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI
@MjingaComedy4 ай бұрын
❤❤❤❤ Good Life Kicheche keep going with the good work
@user-ic8mc3bd8l5 ай бұрын
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂
@Mrkigoma5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 Huo mjengo nouma nouma sana sheilaah izo balaaa ila kicheche syo pw😂😂😂😂😂🎉
@makofia_kilker4 ай бұрын
Tatizo lako ni moja tuu haumalizagi tamthilia Pastor simon na mara hii ni pesa na matatizo na hii nayo sijui kama itaisha
@Oggangmkmamase-lion8pp5 ай бұрын
Daaaahhh nimekukubali sana mwamba kicheche from Canada 🇨🇦 ❤❤❤❤❤
@stevkaliona41075 ай бұрын
Wa pili kulike gonga like twende pamoja 😂😂😂😂😂kama unamkubali kicheche mbwa yeye😅😅😅
@Mr.kigoma5 ай бұрын
Kweli mzee kicheche umeamuwa kuwekeza kwenye watoto hongera sana Kuna tumbwa flan twenyewe tumeamuwa kuwekeza kwenye kilimo,elimu n.k ilaa mbwa wewe umetishaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
@Alicia-pl8zh4 ай бұрын
Ninakuku bali sana brother
@medardmwiyande-oc8ut4 ай бұрын
nakubali kicheche 🇨🇩
@ladislaus7995 ай бұрын
Umenifanya nilale vizuri kwakweli 😂😂😂😂😂😂😂😂
@DavidMgaywa-zd5kd5 ай бұрын
Me Zaid yako 😂😂😂
@NajmaRamadhan-ig2cw5 ай бұрын
mkenya kaweka uman hair
@bennamush46165 ай бұрын
😂😂 haka kajamaa kalevi kalikuwaga wapi jaman anajua anajua Tena 😂
@user-hn8un5fz2n5 ай бұрын
Mlevi ila anaakili kakumbuka kufunga mlango ❤
@anithapol53413 ай бұрын
😂😂😂
@jedielmwenda6175 ай бұрын
Big respect from Kenya,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ChenchiKing5 ай бұрын
Chenchi Seen It , Kazi Kubwa Xan Hii Kam Unamkubal Kicheche Tujuwane Hapa Jamaniii 🎉🎉🎉🎉
@josemangula88065 ай бұрын
Sasa move nyingine hamjamaliza mnatoa nyingine
@dianeuwamahoro51865 ай бұрын
Iyo Ni shida Kbs
@Goldenprince-uk6mq5 ай бұрын
Hainan soko
@user-ym9bb2jf7x5 ай бұрын
ni kwel Pesa na matatizo haijaisha wameleta nyngne ndo nn
@mohammedkidody56185 ай бұрын
Kwl kabisa na mm nliuliza ivo ivo
@user-vi2gs5ie9m5 ай бұрын
😂😂😂😂Nimecheka ka fala much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
@user-or2xn4bp7o5 ай бұрын
Iko kiberit so poa wazee😂😂😂
@Bradleycarlostawai5 ай бұрын
Yani huyu ni mwamba, tunakujua na idea mpya Kila wakati, inaitwa kuchanganya maadui na washindani wetu😂😂😂😂❤❤❤
@moneyfollowme7375 ай бұрын
Kicheche Kwa Clam atakaa sana ni kibenten tu ndo imeisha yaani Hana jipya hajawahi maliza episode zote🥺
@cosbytz23705 ай бұрын
Kabisa
@user-dk5rm6yv2q5 ай бұрын
@@moneyfollowme737ila mm ananikosha ivoivooo😂😂😂😂
@mohammedkidody56185 ай бұрын
Kweli kabisa
@agnesjohn93825 ай бұрын
@@moneyfollowme737 anajitahidi kwa uwezo wake huna haja ya kumtukana wala kumfananisha na mtu kila mtu anafanya kwa uwezo wake ila kwenye kuhusu umaliziaji kweli anazingua na kukaa mda bila kutoa kazi inaweza kumpunguzia mashabiki akijitahidi kutoa kazi kwa wakati na kuzimaliza yupo vizuri zaidi ya unuavyojua wewe
@Kashindijohn5 ай бұрын
Wa Kwanza Mimi apa naanza like 1 naombeni like kwa KAZI nzuri mzee kichche kabla ya Ku communt angalia Kwanzaa video 😂
@DaudAshery-ie2pf5 ай бұрын
Hoteli ya kibilit🤣🤣🤣
@Mr_Lionize5 ай бұрын
Much support from Kenya 🇰🇪
@monyoh68795 ай бұрын
Tunao mkubali kicheche gonga like🎉
@EvelinJuma5 ай бұрын
Yani kicheche nimecheka mpaka bas et haya mambo ya kujifanya baba kujionyesha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤🇹🇿
@FeysaalAbed4 ай бұрын
😂
@shishiafricanaofficial3255 ай бұрын
Kali sana Much love from kenya 🇰🇪
@maliki-sl7ut5 ай бұрын
We love him very much kicheche anaendesha vizuri commedia yake
@SleepyBackgammon-hk9wk5 ай бұрын
Sijachelewa sana. Naombeni. Like zangu. 🎉❤ from south Africa
@ambindwilehosea68375 ай бұрын
Yaani kicheche anaweza kufungua shule ikajaa familia ake bs 😂😂😂😂 kicheche
@etsareliza66875 ай бұрын
Kicheche kwenye hii umetisha ila huyo mlevi nimemuwerewa wamwisho anakuwa wakwanza😅😅
@user-fg8zd8no1l5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂nmecheka kinoma much love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@djumarama5 ай бұрын
Kicheche mwalimu😅😅😅😅😅😅
@angelrichard8995 ай бұрын
Jmn kazi nzuri xana MUNGU Awabarikii yaani uyo dada mwenye macho makubwa nampenda mno mwingine nae mkubali valet.japokuw wote mnafanyaaa kazi nzuri xana MUNGU Awabarikii xanaaa
@metrinenyakoe17645 ай бұрын
Kicheche mwenyewe mpenda makalio😂😂😂
@user-jl2vy2no9j5 ай бұрын
Ila kwakweli kicheche unachekesha wew🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅
@user-ez6lv3yr6t5 ай бұрын
Asante sana King 👑 of new generation 😂😂wewe ni mwamba na nime kubali sana wangu
@kayvoke5 ай бұрын
Mbwa family😂🙈 tamu walai nimeipenda sana🔥💥💥🔥
@jeckytown9074 ай бұрын
Oya kicheche unajua ww jamaa ni mpuuz sna ten unazngua mpumbavu zako ww hv kwann unapenda kuziumiza mbav zngu yan hii kaz kila cku huw naiyangalia 2 na kuipita nikiona kama rabda itakuw co nzur kumbe wala aisee noma sna mmetisha sna na zaid alienikosha huyo demu wait kwan ni mbea hatar yan hpo ndan kila k2 hanachockia hanaongea mwenzake yey uwamka na kucheka yan noma had noma tena nimekapenda bure hako kademu nice....?ni hayo 2 kwa kifup kaz nzur hongeren❤❤🔥🔥🤛🏻🤛🏻👏🏻👏🏻
@ImanuweliDismas5 ай бұрын
Nan una mkubali seem yakwanzaa❤❤❤❤🎉
@anthonygenge43665 ай бұрын
Mleviii8😂
@kenedypaul1776-ni2nl5 ай бұрын
Kicheche una kazi nzuri, sounds nzuri, production ni nzuri kiujumla frame nzuri,shida huna muendelezo mzuri wa kazi zako "pesa na matatizo ni best story ila umeacha". Hapo ni shida
@user-jf9pt8bu5j5 ай бұрын
😢😢 kabisaa
@user-ym9bb2jf7x5 ай бұрын
Kweli kabisa ilikuwa patamu hatar
@kenedypaul1776-ni2nl5 ай бұрын
@@user-jf9pt8bu5j eeh afanye kazi tuu endeleze hio epsod za pesa na matatizo
@kenedypaul1776-ni2nl5 ай бұрын
@@user-ym9bb2jf7x kweli afanye amalize pesa na matatizo au pastor saimoni
@kenedypaul1776-ni2nl5 ай бұрын
Ndio hivyo sio poa
@officialbasheer13_tz5 ай бұрын
Kicheche anafanya mambo ya KIJINGA Sana michezo mingi anaiishia njiani Hana lamaana analofanya michezo anaikatisha njiani aache ujinga achukue Mfano kutoka kwa CLAM VEVO
@user-ug3vp8dh7l5 ай бұрын
Kwani we umeombwa u coment au ndo umetumwa nyoo kama aumpendi kicheche pita ivi so lazima uandike kasolo kaone chefuu😂
Kicheche ameanza kuniboesha wallai mbna hajamaliza pesa na matatizo
@halunimnenwa52245 ай бұрын
Kicheche mmekosea apo vaeni kishamban shamban izo sio sula za kijijin ili kuongeza mvuto zaidi sasa umevaa sut
@AROMAAR_KING0015 ай бұрын
First one, I love the way Kenyans come together 💪 to support KICHECHE kikofia makotii❤❤❤🎉🎉🎉 nipeni likes 20 tukisonga 🔥💯☑️🥰
@MakalaDwasi3 ай бұрын
Nakukubaliiii babaaa
@user-bh5gt3pw6j3 ай бұрын
Aaàh noma hii ndio Familia yenyewe sasa❤❤❤❤❤ like.
@Mrkigoma5 ай бұрын
Kicheche hyo familiar yako kweli😂😂😂😂😂😊😊😊😊
@lindauma9825 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂nicheke mie kicheche niokote sasa 😂
@user-hi9zh2zi2w5 ай бұрын
Wote nyuma geuka mbele tembea turudi kwenye KIBIRITI❤❤❤❤
@wizzydomtz5 ай бұрын
Kazu nzuri sanaa❤❤🎉Kicheche forever🎉🎉
@user-jz9tq3ye5k5 ай бұрын
Wakwanza Leo ku Toka Zambia naomba like zangu
@Kabeya4105 ай бұрын
Utaolewa kuomba like kenge we kaombe kwa babu yako we kama nani kwenye episode hii acha ushoga
@Miss_PK2545 ай бұрын
Hii movie noma sana😂❤, naitazama nikiwa Kenya❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@JOHAREHfilms20235 ай бұрын
Ila familia ya kicheche Ina balaa🎉🔥🔥🔥 Kicheche hii series balaa nikupe maua Yako sema nn waisha bac ep 2 isije ikawa kama pesa na matatzoo movie qali sana Ile jmn sijui imeishia wap daah🎉
@user-ov6qh2yv9u5 ай бұрын
La suite svp🇨🇩
@deborahmidiburo35415 ай бұрын
🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤️
@lindauma9825 ай бұрын
Hii nayo ni kibiriti ya kicheche 😂😂😂
@user-wv2do3lu6g5 ай бұрын
nakubali kicheche wew nifundsana wew tazania wa1
@jumaabdallah75905 ай бұрын
Oyahhh mwamba anajua kutufurahishaaaa😂😂😂😂😎
@user-hj4vf6xn2g5 ай бұрын
More love from 🇧🇮
@angelinamgaya58025 ай бұрын
Ila kicheche anajua kutufurahisha kama unakubali gonga like hapa
@user-vq9bk9oc2p4 ай бұрын
Kicheche mkali katika movie❤❤❤❤❤❤❤
@user-rl6wq2wp2p4 ай бұрын
Nakubar kicheche we noma
@Ntabo3935 ай бұрын
ILA KICHECHE UWE UNAMALIZIA SERIES UNATUHAMISHA SANA WAP PASTOR SIMON,WAp PESA NA MATATIZO BICHWA MNATUFELISHA JAMAN
@Mulei-Nasibu5 ай бұрын
Kweli
@user-jf9pt8bu5j5 ай бұрын
Yaa clam anamaliza series zake vizuri,, anatuchanganya uyu kicheche,, hadi lambalamba hukuwai maliza
@EmmyMo5 ай бұрын
Nahic salio malige😂😂😂
@nassoroswallehe46315 ай бұрын
Mawazo yanamuishia jamn msimlaumu😂😂😂
@user-rm3km1qr2q5 ай бұрын
Hhh tunahesabu mabati😂😂😂😂
@user-dt2be7eg1c4 ай бұрын
Nimependa icho kijiji sana venye n kizuri na minazi vizur
@leahedson64314 ай бұрын
Kicheche. Umetisha. Sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Salim-mrefu-5275 ай бұрын
😂😂tulio muona mkenya mwenzetu tujuane hapa 😀❤❤
@Claudiasadick-ym2nt5 ай бұрын
Kicheche your welcome again in high power bro 👍👍👍
@user-vl1yd8ii7x2 ай бұрын
❤2riwaaaaa
@SallyKemmy3 ай бұрын
Oy kicheche ongera san unatufuraisha san 🎉🎉🎉🎉
@remiKichwa-py4qw5 ай бұрын
Nakukubali snaa kicheche
@Jacob_Wasaf_Tz5 ай бұрын
😂😂😂😂ila kicheche mungu akuweke
@user-yx7yc3qh6o5 ай бұрын
Jmn mlevi kanikosha 😂😂😂😂
@sarasara-ur6nz5 ай бұрын
😂😂😂😂😂mbavu zangu zimevunjika zote ahwiii 😂😂😂
@user-cx3ob6tn8i5 ай бұрын
More love from 🇺🇸
@Joshua6kambale5 ай бұрын
Sisi tupo drc congo butembo 👑 king of New generation 🇨🇩🇹🇿
@RacheRache-qw7yl3 ай бұрын
Kicheche vipi Kaka mimi ni mkongomani nakukubali kaka
@MoTalentTz5 ай бұрын
Ndo tumeanza timu kicheche gonga like apa💪💪💪💪
@YusuphJuma-ji2gv5 ай бұрын
Kicheche unaniboa sana unapo Kaa kimy bila kupost move zako watu tunaumia kuto kukuona bana
@msondehamisi77465 ай бұрын
Wasije wakalana wenyewe kwa wenyeweee🤣🤣🤣🤣
@kingrabi51185 ай бұрын
Nimempenda uyo jama anaeye sema kirundi Eti Wabibonye 😂😂😂😂
@DavinaPhanie5 ай бұрын
Uyo numugore wanj😂😂😂
@salumthomas7-rs8ip2 ай бұрын
Kwa baba uyoo haaaaaaa polen sana kwa kibanda ichooo