FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 172,069

Joel Nanauka

Joel Nanauka

2 жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 253
@magejay4715
@magejay4715 Жыл бұрын
Asante Kwa hili somo nilitaka nikafungue biashara sehemu nyingine Asante Yesu ngoja nipambane na hapa nilipoanzisha Adi nifanikiwe in Jesus mighty name Ameeen
@songweairport7602
@songweairport7602 2 жыл бұрын
Hii kichwa kama ingekuwa tanaiyelewa kwa urahisi kama mimi ilivyonisaidi kuingia katika biashara,Nahisi Tanzania tusingekuwa na vijana wavivu wavivu, tatizo vijana wengi hasa tanzania hatuko aggresive katika kutafuta yale yanayosaidia kutengeneza maisha yetu,kufanikiwa katika maisha,SIKU INZI AKIACHA UJINGA ATATENGENEZA ASALI. ....By POSITIVE THINKER MASTER💪💪💪💪 MR MONEY MONEY.... YESU MOYONI AKILI KICHWANI PESA MFUKONI
@mr.clemencetafiti5848
@mr.clemencetafiti5848 2 жыл бұрын
Kaka Joel ishi Sana umekuwa tiba katika maisha yangu. You are such a smart man. Umeletwa kuwasaidia wengi.
@StanslausTesha
@StanslausTesha 2 жыл бұрын
Mimi apo kwenye kuweka akiba ndio changamoto yangu kuu
@justinebaada9079
@justinebaada9079 2 жыл бұрын
Nimeamua kuwajenga wanafunzi kuyajua masomo ya sayansi kwa vitendo zaidi. Maana hii ndio ngao inayowapa ujasiri wa kibunifu ktk kuanzisha ajira zao wenyewe. Nashukuru sana bro niko najifunza hapa
@mr.kaporo2479
@mr.kaporo2479 7 ай бұрын
Bro Joel mungu aendelee kukuweka duniani ili tuendelee kupata dhahabu ya maneno yako mimi ni muislam lakini kwenye kupata elimu sibagui dini wala kabila!!
@judithjulius5993
@judithjulius5993 Жыл бұрын
Yani mpaka naona haibu mwenyewe Kwa hili somo,nimefungua bihashara mda wa miaka 5 sasa ,lakini nimeshindwa kufanikiwa sababu ya kuchagua njia mbili mara naenda kuajiriwa bihashara naweka mtu Anaya narudi Tena kukaa nilisikia ajira nzuri naenda da Hila mwaka huu nilisema imetosha nikaamua kusimamia katika bihashara naamini mungu atanisaidia
@Lily-xw6hg
@Lily-xw6hg 9 ай бұрын
Kfanya na kuacha umwondoa mtu kwenye focuse,,nikwli kaka,,unakuwa mtu ,mku KWA kumaliza vitu,sio KWA kuanza na kuacha ,kuna shida ya watu kutokumaliza vitu,unaishia njiani nitatiz kaka,wengi KUFIKA mwisho,,
@Lily-xw6hg
@Lily-xw6hg 9 ай бұрын
Unafanikiwa KWA kufanya jamboa dogo KWA muda mrefu nasio adiliwe kubwaa SAWA,,
@legrandmsangi8405
@legrandmsangi8405 Жыл бұрын
Hii Kwa sisi wachumi kufocus ktk kitu kimoja ni risk kubwa. Ss Ili tuipunguze risk tunaigawanya
@mchattachattanoga7795
@mchattachattanoga7795 8 ай бұрын
28/10/2023 mimi ni miongoni mwa watu ambao bado sijaweza kuchagua kimoja na siku naona zinaenda tu mpaka naisi kupagawa sijui nitafanyaje nisahidie mwalimu
@dishonmahigi2218
@dishonmahigi2218 2 жыл бұрын
Kila naposikia kile unachofundisha hua najengeka sana natamani siku nikutane na wewe ili unishauri kwa kile nachokitaka kufanya nacho kupenda, je! utaratibu wa kukuona ukoje
@MtazameKristoTv
@MtazameKristoTv Ай бұрын
Ninafanya na nitafanya jambo moja kwa muda mrefu ❤
@harsonkagoma687
@harsonkagoma687 2 жыл бұрын
Tangu nikuone mtandaoni ukifundisha nimebarikiwa sana na naendelea kujifunza. MUNGU AKUBARIKI SANA MWANA WA MUNGU.
@innocentbugobola2234
@innocentbugobola2234 2 жыл бұрын
Mi nmechagua YANGA 💚💛 TAMU 💚.........
@user-yp8vo1it1h
@user-yp8vo1it1h 8 ай бұрын
Je nipo kwenye AJIRA natamani nilime huku nimeajiriwa je nitakuwa nimekosea🎉 <a href="#" class="seekto" data-time="450">7:30</a> <a href="#" class="seekto" data-time="455">7:35</a>
@sharonyclement9457
@sharonyclement9457 Жыл бұрын
Hakika Africa Ina walimu nitapaa hakika iposiku
@AfiSoul103
@AfiSoul103 Жыл бұрын
Shindana nawewe mwenyewe wa JANA usishindane na wengine 😌
@user-xj2zf7yg8u
@user-xj2zf7yg8u Жыл бұрын
Tangu nianse kutasama vidio yako kwaushauri wako umenikosowa makoza mengi sana, MUNGU akubariki sana kazi yako
@ngubwene
@ngubwene 2 жыл бұрын
Nitazingatia haya yote ... Na Mwaka 2022 Mungu nisaidie. Asante Mentor of all times
@pendomussasechambo3263
@pendomussasechambo3263 2 жыл бұрын
Naanza kuanzia sasa kutulia
@mariamyoyote8172
@mariamyoyote8172 Жыл бұрын
Mentor inamaanagan tafadhali
@barakapaulo4069
@barakapaulo4069 Жыл бұрын
​@@mariamyoyote8172 mwalimu
@twahaally1969
@twahaally1969 2 жыл бұрын
Focus your self, compite your self, tumekupata @JOEL NANAUKA
@Mpakauseme
@Mpakauseme Жыл бұрын
Mimi nilifanya hivyo nilichagua kuchora kwa mda mrefu sana na nilichekwa sana lakini Leo naona matunda yake vitu vingi nimepata , leo gali nyumba kwangu sio issue sasa na tengeneza biashara ya majengo , Mr Joel hupo sawa kabisa
@Mbembela737
@Mbembela737 Ай бұрын
Asante kwa somo zuri barikiwa sana na Mungu azidi kukuongezea maarifa couch 🙏🙏
@hezronmangulamangula9718
@hezronmangulamangula9718 2 жыл бұрын
wapo wengi Sana hasa matajili waliofanikiwa vijana tuwe makini anakuta unapambana anakuja anakwambia njoo tufanye hiki ili wakufelisho shukurani brooo daaa harafu swala la maamuzi ishu Kama kujenga naogopa kujenga kunauwa mtaji broo lengo ni kuteneza maisha Bora na kubaki na mtaji broo
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 9 ай бұрын
You are totally right Arthur kwa sababu Maandiko matakatifu yanasema hivi alimaye shamba lake kwa bidii atavuna chakula tele bali afuataye mambo ya upuuzi atapata umasikini wa kumtosha.
@masterkeymwakalanje6039
@masterkeymwakalanje6039 2 жыл бұрын
Barikiwa sana
@richardsaidi2448
@richardsaidi2448 2 жыл бұрын
Ni somo zuri lakn nikiwekezaa seem Moja tuu Kwa mfano dukaa jeep likiunguua Kwa moto au kuibiwaa
@wilxtutoringnetwork7333
@wilxtutoringnetwork7333 2 жыл бұрын
Ukifungua maduka mengi bado hujakosea kwa sababu bado upo kwwnye eneo la ujasirimiali. Kaka Joel anazungumzia unakuta mtu ni mfanya biashara badala ya kuwekez nguvu zake huko, unakuta tena anafanya kilimo wakati huo huo anataka kufuga kuku. Mtu huyo akichagua kimoja lazima atafike mbali
@piuskarega3476
@piuskarega3476 Жыл бұрын
Waza mawazo chanya Acha mambo mengine
@isikesamike
@isikesamike 2 жыл бұрын
A genius mentor 👏👏
@naominyanzilamachongo9642
@naominyanzilamachongo9642 2 жыл бұрын
Point 1&2&4 zimenigonga kama kitu kizito mpaka nasikia kutetemeka. NIMEPONA
@magejay4715
@magejay4715 Жыл бұрын
Ntasimamia biashara yangu hapa hapa nilipo
@elibarikishukya-lf3sk
@elibarikishukya-lf3sk Жыл бұрын
Kwa Nini nimechelewa kukusikiliza
@J4UPro
@J4UPro 2 жыл бұрын
upo sawa kabisa
@deogratiusmatata7418
@deogratiusmatata7418 2 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel nanauka kwa kupitia mafundisho yako nilianza kujiajiri niko kazini na sasa nimeacha kazi na nimejiajiri mwenyewe
@nikasmartin3713
@nikasmartin3713 8 ай бұрын
Mungu akubariki baba, nakuita baba sababu unachunga akili zetu vijana🙏
@adalbertsimon4103
@adalbertsimon4103 2 жыл бұрын
Umenipa hatua kubwa kuliko..........
@rabanphotostudionyakanazi_4115
@rabanphotostudionyakanazi_4115 8 ай бұрын
Somo zuri .. barikiwa sana
@reginamkuti7615
@reginamkuti7615 2 жыл бұрын
Hakika mafundisho yako yanaponya God bless you 🙏
@evastesheni8024
@evastesheni8024 Жыл бұрын
Hongera saana nilikuwa nafanyia mafundisho yako ya nyuma, sasa naanza kupata dozi mpya.
@emanuelmagesa740
@emanuelmagesa740 Жыл бұрын
UNATISHA
@AshaKachapuka
@AshaKachapuka Ай бұрын
Kuanzia leo Mimi tajiri kupitia mafunzo yako
@hezronmangulamangula9718
@hezronmangulamangula9718 2 жыл бұрын
Asante brother kweli kaka nimekuelewa nitakuishi Sana
@ashaally5883
@ashaally5883 2 жыл бұрын
Kuanzia leo nashindana na jana yangu
@matokeomudende
@matokeomudende Ай бұрын
Ubarikiwe Sana kaka joel
@hajirarashidi1999
@hajirarashidi1999 3 ай бұрын
Yani hii kit imenisaidia sana leo trh 19 /3/2024 maana nilikuwa nataman kuwa na vt viwil vya kufanya ila kuanzia sasa shetan shidwa ntapambana na kimoja hadi kielewe ❤ Ahsant kaka
@chrismassawe326
@chrismassawe326 2 жыл бұрын
Elimu hii ikiingia vizuri usipofanikiwa na unaishi ELIMU YA HUYU KIONGOZI bas tena utakuwa zaidi ya mwanamke wa serepta aliekutana na Eliya
@zakhiamsuya4922
@zakhiamsuya4922 2 жыл бұрын
Na jee kama unabiasharaa na niyamuda mrefu unatakaa kuanzisha biashara nyingne kaka joel iyo inakuwaje
@waterforlife9356
@waterforlife9356 2 жыл бұрын
Nashukuru sana mola akuzidishie Abdallah Awadh kutoka lamu 🇰🇪
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 Жыл бұрын
Mungu akupe maisha maref kaka yan nimekufatilia sana na had saiz nipiga hatua sana yan daaah sina chakupa zaidi ya Asnteee nimeishia darasa la saba tuu lakin daaah huamini kama darasa la saba tuseme mungu ni mwema sana kila wakati🙏Alhamdulillah 🙏 mungu wetu sote 🙏kaka nakupenda sana😍😍😍
@youdambwilo9411
@youdambwilo9411 Жыл бұрын
SoMo lako nimelikuli sana ninauri wa miaka62 mpa Sasa japo nimesomesha ningekuwa mbali sana kwa SoMo lako ubalikiwe sana kijana.
@rukayyawendo1268
@rukayyawendo1268 2 жыл бұрын
🇴🇲 MUPOOO
@evelynmsoma764
@evelynmsoma764 9 ай бұрын
Amen
@razakmohammed1687
@razakmohammed1687 2 жыл бұрын
Kweli bro nakubali darasa rako God bless you 🙏🙏🙏🙏🤲👂👂👂👂👂
@user-ug5cm7uq4m
@user-ug5cm7uq4m 11 ай бұрын
Barikiwa kaka joe umekuwa changuo langu ninavyo ingia mtanaoni kujifunza mengi unayo tufunza mbona inanifanya najiona niko sawa sawa paletu nilivyo anguka uanifunza nixikumbuke yaliyo pita
@theodoraluoga5200
@theodoraluoga5200 11 ай бұрын
nipo kwenye wakati mgumu wa kufanya maamzi na kufocus ongeza na hofu yaan vita ni kali sana .najiuliza najijibu nakubali mala nakataa
@tinolutonja8932
@tinolutonja8932 2 жыл бұрын
Hongeraa sana joel kwa maono yako nazani nimtu uliyejikita sana na mambo yanayo wa felisha watu wengi dunia lakn ukitaka kufanikiwa lazima uwe na uwenani zamu na malengo yako nakumbuka nilipo kuwa darasan la nne 2005 niliwahi mwambie mwlimu wang wa darasan na taka nije kua mwalim bora nitakaye kua na shule ya medium school itakayokua unafanya vizur kitaifa ilipo fika mwaka 2018 nilifungua kitu cha masoma ya ziada marufu kama tuition ni na mwanafunzi mmoja ndani ya miez mitatu baadaye nikapata wawil leo hii nimefungua shule ya medium nursery na najitayarisha kufungua midium na shule yang sas inatotoa wanafunzi bora sana kiwilaya kimukoa nami ya tatimia yale niliyo kusundia namini sana katika mtazamo chanya. Na kushukuru sana joel nanauka kwa kunoa ubongo wang unamakal sana napenda kujifunza kusoma vitabu na kutenda na sina mzaza na maandui wa ndoto zang
@user-ug5cm7uq4m
@user-ug5cm7uq4m 11 ай бұрын
Pongexi jamaa
@thomasardoph
@thomasardoph 7 ай бұрын
Habari ?
@thomasardoph
@thomasardoph 7 ай бұрын
Habari ?
@mathiassenga4306
@mathiassenga4306 2 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana broo
@saraphinandale3256
@saraphinandale3256 Жыл бұрын
Kaka Sina lakusema Ila mungu azidi kukupa maisha marefu kupitia wewe mimi nimekuwa Bora zaidi
@husseinbhatia434
@husseinbhatia434 2 жыл бұрын
Mwanga Nuru
@joejosca7594
@joejosca7594 2 жыл бұрын
Safi sana kaka, mimi ni shabiki wako sana
@africanboy9139
@africanboy9139 2 жыл бұрын
Thanks so much this is gift for me
@charlesoputi7101
@charlesoputi7101 Жыл бұрын
I subscribed tukiwa 200k nafurahi Sana sai tuko 206. God bless you brother 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@niriacatering172
@niriacatering172 2 жыл бұрын
Asante Sana
@richardmichael2142
@richardmichael2142 4 ай бұрын
Uhakika hii nimeajiriwa Saivi miaka 10 ila nimepata mafanikio japo kidogo ila hii chukueni
@elibarikishukya-lf3sk
@elibarikishukya-lf3sk Жыл бұрын
Umenigusa
@frankkihinga3703
@frankkihinga3703 11 ай бұрын
Daaa, kichwa Cha Joel Ni Zaid ya vichwa 100
@TV-se1lf
@TV-se1lf 2 ай бұрын
Vichwa vya Malaki ya watu # sio 100 tu
@comfortelisha4494
@comfortelisha4494 Жыл бұрын
Powerful
@chipolopolodsm4767
@chipolopolodsm4767 Жыл бұрын
Kaka unajua xana xomo lako limeingia
@abelruhulo6924
@abelruhulo6924 2 жыл бұрын
Asant kaka 🙏
@shijakuligi2674
@shijakuligi2674 Жыл бұрын
Hili somo tumesha fundishwa kwenye Qur'an Sana Ila umenikumbusha MUNGU AKUKINDE kwa hili....
@nicaslolela1398
@nicaslolela1398 2 ай бұрын
Naungana sana na mafunzo haya pastor Joel, Hakika hata mimi nikiangalia waanzilishi mbalimbali wa hata kampuni kubwa Ambazo zina mafanikio makubwa DUNIANI kama, Amazon, Facebook, Google n.k , Waanzilishi wake hawakuchukua mambo mengi bali walifuatilia kitu kimoja kwa muda mrefu, Hakika Nimejifunza, Zaidi ni Focus then attract greater people with the skills that you don't have and then Work together with them.
@Najithamini
@Najithamini 16 күн бұрын
Sasa from ambacho nimefunzwa Ili ufanikiwe lazima ufanye diversification , yaan uwekeze sehemu tofauti tofauti,, hapa nachanganyikiwa sasa
@trillionthamani
@trillionthamani Жыл бұрын
Nimekupitisha kuwa mwl wangu
@gasperchonya8495
@gasperchonya8495 2 жыл бұрын
Be blessed brother
@hamisikimbatikwa6959
@hamisikimbatikwa6959 Жыл бұрын
Kaka nakuelewa sana sana upo vizuri
@sudaisathman3831
@sudaisathman3831 Жыл бұрын
Upo sahii.mm ni mmoja wao katika wanaojutia kuipoteza mda wao
@juliusndimbo4006
@juliusndimbo4006 3 ай бұрын
Mungu akubariki
@AfiSoul103
@AfiSoul103 Жыл бұрын
HII video naipenda sana..yaani imenifumbua macho
@HappyBlockGame-xf7qt
@HappyBlockGame-xf7qt 4 ай бұрын
Mimi mtumishi ninandoto moja ambayo imeshashindikana kutimia kwasababu yakuamuriwa nandugu wenyeuwezo.unanisaidiaje iri ndoto yangu itimie?
@veronyanganda179
@veronyanganda179 6 ай бұрын
Kiukweli kaka mafundisho yako ni daraja mtu akikusikiliza na kukuelewa, mwenyezi Mungu aktunze.
@magejay4715
@magejay4715 Жыл бұрын
Somo limekuja Kwa wakati mzur
@carolynesimiyu3460
@carolynesimiyu3460 Жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu kwa uponyaji wa moyo kwa kutumia neno ili kunielewa kuhusu kufocus,,, namshukuru mwenyezi MUNGU kwa neno lake
@antiatibanyendera52
@antiatibanyendera52 Жыл бұрын
Bro nimekuelewa kabisa najilaum nilichelewa kukufatilia ktk mtandao
@elibarikishukya-lf3sk
@elibarikishukya-lf3sk Жыл бұрын
Umenigusa sana brother
@DaudiPasinai-ux4df
@DaudiPasinai-ux4df 10 ай бұрын
Amen amen amen amen unanibariki sana sana sana sana
@ashaally5883
@ashaally5883 2 жыл бұрын
Mungu akubarik sana
@richardsaidi2448
@richardsaidi2448 2 жыл бұрын
Nafuuu kuwekezaa seem mbili pakigoma ukuu unaamia kwinginee mim natoa mawazo tuu ckupingiii wew ni mwalim mzurii sana
@frankmjange3267
@frankmjange3267 2 жыл бұрын
Nilitaka kushangaa unaanzaje kupingana na mwalimu 😂😂
@azizaabeid2055
@azizaabeid2055 2 жыл бұрын
Ni bora kaka uwekeze sehemu moja halafu usimamie mwenyewe hasa kwa Dunia ya sasa Mimi nimemuelewa mwalimu sana kwa sababu yalinifika sina hamu kabisa binaadamu wa sasa sio waamifu hasa kwenye pesa
@joelnanauka
@joelnanauka 2 жыл бұрын
Ni kweli unaweza kuwekeza sehemu zaidi ya moja ila iwe baada ya ile ya kwanza kusimama vizuri. Ni Kama mama akijifungua harakaharaka kabla mtoto wa kwanza Hajakua vizuri lazima itampa shida kwenye kuwalea na kuwakuza Ingawa wote wanaweza kuwa hai ila afya zao Zita prots na yeye Atachoka kwa majukumu
@sophlinejudy8307
@sophlinejudy8307 2 жыл бұрын
Thanks so much for the lesson I love it 🇸🇦
@fredyruzindana8586
@fredyruzindana8586 Жыл бұрын
Kaka mungu akubaliki sanaa kwa neno lako
@erastotembo-qw5gj
@erastotembo-qw5gj Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@scholasticaanthony
@scholasticaanthony 11 ай бұрын
Mwenyez Mungu akupe afya njema Mr @Joelnanauka
@magrethjohn8638
@magrethjohn8638 2 жыл бұрын
Asante sana
@neemadaudisospeter8211
@neemadaudisospeter8211 Жыл бұрын
Ubarikiweeeee saaaana
@IsaacJavan
@IsaacJavan 2 жыл бұрын
Amen Amen Amen
@Lily-xw6hg
@Lily-xw6hg 9 ай бұрын
Na wew uwe km bab YAKO apana,,shindana na wew wa jana usishindane na watu wengine na kujilinganisha nao,Fulani kafany ivi na mimi na FANYA ,,shindana na reods yk ya naja,,sasa akka
@hezronmangulamangula9718
@hezronmangulamangula9718 2 жыл бұрын
kweli brooo nilikusikiliza Sana bro nilivumilia na nimefika mbali bro
@edisonjoseph4087
@edisonjoseph4087 Жыл бұрын
ahsante sana kaka
@jumatawfiq6443
@jumatawfiq6443 2 жыл бұрын
Hakika nimekuelewa kaka Tena Sana.
@manenolugendo6396
@manenolugendo6396 2 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana
@pauljosephtarimo2279
@pauljosephtarimo2279 2 жыл бұрын
Focus,nimekwelewa sana
@winfridaadam7951
@winfridaadam7951 Жыл бұрын
Ahsante sana Mwenyenzi Mungu akubariki sanaaaa akupee maishaa malfu sanaaa 🙏🙏🙏
@juliusjoseph4889
@juliusjoseph4889 2 жыл бұрын
Mkuuuu hili ni somo zuri Sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 жыл бұрын
Ni kweli ndugu Asante,nilmefaidika Sana na ushauli wako,nilikuwa nawaza kuanza biashara nyingine,
@magejay4715
@magejay4715 Жыл бұрын
Hahaha uyu nimimi kabisa namie nilianza kuwaza kufungua biashara tena
@asajilejoseph5882
@asajilejoseph5882 2 жыл бұрын
Asante kaka tashukulu kwa mwongozo
SAIKOLOJIA YA WIVU KWA WANAWAKE -  JOEL NANAUKA
18:41
Joel Nanauka
Рет қаралды 57 М.
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 153 М.
Climbing to 18M Subscribers 🎉
00:32
Matt Larose
Рет қаралды 35 МЛН
Sigma Girl Past #funny #sigma #viral
00:20
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 21 МЛН
Неприятная Встреча На Мосту - Полярная звезда #shorts
00:59
Полярная звезда - Kuzey Yıldızı
Рет қаралды 6 МЛН
KUSUDI LA MAISHA YAKO   JOEL NANAUKA EPISODE 03
10:00
Family of Praying Women
Рет қаралды 7 М.
MAOMBI YA ASUBUHI by Innocent Morris
16:53
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 684 М.
TENGENEZA MAISHA UNAYOYATAKA - JOEL NANAUKA
16:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 113 М.
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA
1:11:22
Joel Nanauka
Рет қаралды 165 М.
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
59:26
Personal Finance Hub
Рет қаралды 16 М.
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka
14:16
Hamasika Tv
Рет қаралды 45 М.
Climbing to 18M Subscribers 🎉
00:32
Matt Larose
Рет қаралды 35 МЛН