Asante Kwa hili somo nilitaka nikafungue biashara sehemu nyingine Asante Yesu ngoja nipambane na hapa nilipoanzisha Adi nifanikiwe in Jesus mighty name Ameeen
@songweairport76022 жыл бұрын
Hii kichwa kama ingekuwa tanaiyelewa kwa urahisi kama mimi ilivyonisaidi kuingia katika biashara,Nahisi Tanzania tusingekuwa na vijana wavivu wavivu, tatizo vijana wengi hasa tanzania hatuko aggresive katika kutafuta yale yanayosaidia kutengeneza maisha yetu,kufanikiwa katika maisha,SIKU INZI AKIACHA UJINGA ATATENGENEZA ASALI. ....By POSITIVE THINKER MASTER💪💪💪💪 MR MONEY MONEY.... YESU MOYONI AKILI KICHWANI PESA MFUKONI
@mr.clemencetafiti58482 жыл бұрын
Kaka Joel ishi Sana umekuwa tiba katika maisha yangu. You are such a smart man. Umeletwa kuwasaidia wengi.
@StanslausTesha2 жыл бұрын
Mimi apo kwenye kuweka akiba ndio changamoto yangu kuu
@justinebaada90792 жыл бұрын
Nimeamua kuwajenga wanafunzi kuyajua masomo ya sayansi kwa vitendo zaidi. Maana hii ndio ngao inayowapa ujasiri wa kibunifu ktk kuanzisha ajira zao wenyewe. Nashukuru sana bro niko najifunza hapa
@mr.kaporo24797 ай бұрын
Bro Joel mungu aendelee kukuweka duniani ili tuendelee kupata dhahabu ya maneno yako mimi ni muislam lakini kwenye kupata elimu sibagui dini wala kabila!!
@judithjulius5993 Жыл бұрын
Yani mpaka naona haibu mwenyewe Kwa hili somo,nimefungua bihashara mda wa miaka 5 sasa ,lakini nimeshindwa kufanikiwa sababu ya kuchagua njia mbili mara naenda kuajiriwa bihashara naweka mtu Anaya narudi Tena kukaa nilisikia ajira nzuri naenda da Hila mwaka huu nilisema imetosha nikaamua kusimamia katika bihashara naamini mungu atanisaidia
@Lily-xw6hg9 ай бұрын
Kfanya na kuacha umwondoa mtu kwenye focuse,,nikwli kaka,,unakuwa mtu ,mku KWA kumaliza vitu,sio KWA kuanza na kuacha ,kuna shida ya watu kutokumaliza vitu,unaishia njiani nitatiz kaka,wengi KUFIKA mwisho,,
@Lily-xw6hg9 ай бұрын
Unafanikiwa KWA kufanya jamboa dogo KWA muda mrefu nasio adiliwe kubwaa SAWA,,
@legrandmsangi8405 Жыл бұрын
Hii Kwa sisi wachumi kufocus ktk kitu kimoja ni risk kubwa. Ss Ili tuipunguze risk tunaigawanya
@mchattachattanoga77958 ай бұрын
28/10/2023 mimi ni miongoni mwa watu ambao bado sijaweza kuchagua kimoja na siku naona zinaenda tu mpaka naisi kupagawa sijui nitafanyaje nisahidie mwalimu
@dishonmahigi22182 жыл бұрын
Kila naposikia kile unachofundisha hua najengeka sana natamani siku nikutane na wewe ili unishauri kwa kile nachokitaka kufanya nacho kupenda, je! utaratibu wa kukuona ukoje
@MtazameKristoTvАй бұрын
Ninafanya na nitafanya jambo moja kwa muda mrefu ❤
@harsonkagoma6872 жыл бұрын
Tangu nikuone mtandaoni ukifundisha nimebarikiwa sana na naendelea kujifunza. MUNGU AKUBARIKI SANA MWANA WA MUNGU.
@innocentbugobola22342 жыл бұрын
Mi nmechagua YANGA 💚💛 TAMU 💚.........
@user-yp8vo1it1h8 ай бұрын
Je nipo kwenye AJIRA natamani nilime huku nimeajiriwa je nitakuwa nimekosea🎉 <a href="#" class="seekto" data-time="450">7:30</a> <a href="#" class="seekto" data-time="455">7:35</a>
@sharonyclement9457 Жыл бұрын
Hakika Africa Ina walimu nitapaa hakika iposiku
@AfiSoul103 Жыл бұрын
Shindana nawewe mwenyewe wa JANA usishindane na wengine 😌
@user-xj2zf7yg8u Жыл бұрын
Tangu nianse kutasama vidio yako kwaushauri wako umenikosowa makoza mengi sana, MUNGU akubariki sana kazi yako
@ngubwene2 жыл бұрын
Nitazingatia haya yote ... Na Mwaka 2022 Mungu nisaidie. Asante Mentor of all times
@pendomussasechambo32632 жыл бұрын
Naanza kuanzia sasa kutulia
@mariamyoyote8172 Жыл бұрын
Mentor inamaanagan tafadhali
@barakapaulo4069 Жыл бұрын
@@mariamyoyote8172 mwalimu
@twahaally19692 жыл бұрын
Focus your self, compite your self, tumekupata @JOEL NANAUKA
@Mpakauseme Жыл бұрын
Mimi nilifanya hivyo nilichagua kuchora kwa mda mrefu sana na nilichekwa sana lakini Leo naona matunda yake vitu vingi nimepata , leo gali nyumba kwangu sio issue sasa na tengeneza biashara ya majengo , Mr Joel hupo sawa kabisa
@Mbembela737Ай бұрын
Asante kwa somo zuri barikiwa sana na Mungu azidi kukuongezea maarifa couch 🙏🙏
@hezronmangulamangula97182 жыл бұрын
wapo wengi Sana hasa matajili waliofanikiwa vijana tuwe makini anakuta unapambana anakuja anakwambia njoo tufanye hiki ili wakufelisho shukurani brooo daaa harafu swala la maamuzi ishu Kama kujenga naogopa kujenga kunauwa mtaji broo lengo ni kuteneza maisha Bora na kubaki na mtaji broo
@hamudshabani78019 ай бұрын
You are totally right Arthur kwa sababu Maandiko matakatifu yanasema hivi alimaye shamba lake kwa bidii atavuna chakula tele bali afuataye mambo ya upuuzi atapata umasikini wa kumtosha.
@masterkeymwakalanje60392 жыл бұрын
Barikiwa sana
@richardsaidi24482 жыл бұрын
Ni somo zuri lakn nikiwekezaa seem Moja tuu Kwa mfano dukaa jeep likiunguua Kwa moto au kuibiwaa
@wilxtutoringnetwork73332 жыл бұрын
Ukifungua maduka mengi bado hujakosea kwa sababu bado upo kwwnye eneo la ujasirimiali. Kaka Joel anazungumzia unakuta mtu ni mfanya biashara badala ya kuwekez nguvu zake huko, unakuta tena anafanya kilimo wakati huo huo anataka kufuga kuku. Mtu huyo akichagua kimoja lazima atafike mbali
@piuskarega3476 Жыл бұрын
Waza mawazo chanya Acha mambo mengine
@isikesamike2 жыл бұрын
A genius mentor 👏👏
@naominyanzilamachongo96422 жыл бұрын
Point 1&2&4 zimenigonga kama kitu kizito mpaka nasikia kutetemeka. NIMEPONA
@magejay4715 Жыл бұрын
Ntasimamia biashara yangu hapa hapa nilipo
@elibarikishukya-lf3sk Жыл бұрын
Kwa Nini nimechelewa kukusikiliza
@J4UPro2 жыл бұрын
upo sawa kabisa
@deogratiusmatata74182 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel nanauka kwa kupitia mafundisho yako nilianza kujiajiri niko kazini na sasa nimeacha kazi na nimejiajiri mwenyewe
@nikasmartin37138 ай бұрын
Mungu akubariki baba, nakuita baba sababu unachunga akili zetu vijana🙏
@adalbertsimon41032 жыл бұрын
Umenipa hatua kubwa kuliko..........
@rabanphotostudionyakanazi_41158 ай бұрын
Somo zuri .. barikiwa sana
@reginamkuti76152 жыл бұрын
Hakika mafundisho yako yanaponya God bless you 🙏
@evastesheni8024 Жыл бұрын
Hongera saana nilikuwa nafanyia mafundisho yako ya nyuma, sasa naanza kupata dozi mpya.
@emanuelmagesa740 Жыл бұрын
UNATISHA
@AshaKachapukaАй бұрын
Kuanzia leo Mimi tajiri kupitia mafunzo yako
@hezronmangulamangula97182 жыл бұрын
Asante brother kweli kaka nimekuelewa nitakuishi Sana
@ashaally58832 жыл бұрын
Kuanzia leo nashindana na jana yangu
@matokeomudendeАй бұрын
Ubarikiwe Sana kaka joel
@hajirarashidi19993 ай бұрын
Yani hii kit imenisaidia sana leo trh 19 /3/2024 maana nilikuwa nataman kuwa na vt viwil vya kufanya ila kuanzia sasa shetan shidwa ntapambana na kimoja hadi kielewe ❤ Ahsant kaka
@chrismassawe3262 жыл бұрын
Elimu hii ikiingia vizuri usipofanikiwa na unaishi ELIMU YA HUYU KIONGOZI bas tena utakuwa zaidi ya mwanamke wa serepta aliekutana na Eliya
@zakhiamsuya49222 жыл бұрын
Na jee kama unabiasharaa na niyamuda mrefu unatakaa kuanzisha biashara nyingne kaka joel iyo inakuwaje
@waterforlife93562 жыл бұрын
Nashukuru sana mola akuzidishie Abdallah Awadh kutoka lamu 🇰🇪
@zulfasaeed7445 Жыл бұрын
Mungu akupe maisha maref kaka yan nimekufatilia sana na had saiz nipiga hatua sana yan daaah sina chakupa zaidi ya Asnteee nimeishia darasa la saba tuu lakin daaah huamini kama darasa la saba tuseme mungu ni mwema sana kila wakati🙏Alhamdulillah 🙏 mungu wetu sote 🙏kaka nakupenda sana😍😍😍
@youdambwilo9411 Жыл бұрын
SoMo lako nimelikuli sana ninauri wa miaka62 mpa Sasa japo nimesomesha ningekuwa mbali sana kwa SoMo lako ubalikiwe sana kijana.
@rukayyawendo12682 жыл бұрын
🇴🇲 MUPOOO
@evelynmsoma7649 ай бұрын
Amen
@razakmohammed16872 жыл бұрын
Kweli bro nakubali darasa rako God bless you 🙏🙏🙏🙏🤲👂👂👂👂👂
@user-ug5cm7uq4m11 ай бұрын
Barikiwa kaka joe umekuwa changuo langu ninavyo ingia mtanaoni kujifunza mengi unayo tufunza mbona inanifanya najiona niko sawa sawa paletu nilivyo anguka uanifunza nixikumbuke yaliyo pita
@theodoraluoga520011 ай бұрын
nipo kwenye wakati mgumu wa kufanya maamzi na kufocus ongeza na hofu yaan vita ni kali sana .najiuliza najijibu nakubali mala nakataa
@tinolutonja89322 жыл бұрын
Hongeraa sana joel kwa maono yako nazani nimtu uliyejikita sana na mambo yanayo wa felisha watu wengi dunia lakn ukitaka kufanikiwa lazima uwe na uwenani zamu na malengo yako nakumbuka nilipo kuwa darasan la nne 2005 niliwahi mwambie mwlimu wang wa darasan na taka nije kua mwalim bora nitakaye kua na shule ya medium school itakayokua unafanya vizur kitaifa ilipo fika mwaka 2018 nilifungua kitu cha masoma ya ziada marufu kama tuition ni na mwanafunzi mmoja ndani ya miez mitatu baadaye nikapata wawil leo hii nimefungua shule ya medium nursery na najitayarisha kufungua midium na shule yang sas inatotoa wanafunzi bora sana kiwilaya kimukoa nami ya tatimia yale niliyo kusundia namini sana katika mtazamo chanya. Na kushukuru sana joel nanauka kwa kunoa ubongo wang unamakal sana napenda kujifunza kusoma vitabu na kutenda na sina mzaza na maandui wa ndoto zang
@user-ug5cm7uq4m11 ай бұрын
Pongexi jamaa
@thomasardoph7 ай бұрын
Habari ?
@thomasardoph7 ай бұрын
Habari ?
@mathiassenga43062 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana broo
@saraphinandale3256 Жыл бұрын
Kaka Sina lakusema Ila mungu azidi kukupa maisha marefu kupitia wewe mimi nimekuwa Bora zaidi
@husseinbhatia4342 жыл бұрын
Mwanga Nuru
@joejosca75942 жыл бұрын
Safi sana kaka, mimi ni shabiki wako sana
@africanboy91392 жыл бұрын
Thanks so much this is gift for me
@charlesoputi7101 Жыл бұрын
I subscribed tukiwa 200k nafurahi Sana sai tuko 206. God bless you brother 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@niriacatering1722 жыл бұрын
Asante Sana
@richardmichael21424 ай бұрын
Uhakika hii nimeajiriwa Saivi miaka 10 ila nimepata mafanikio japo kidogo ila hii chukueni
@elibarikishukya-lf3sk Жыл бұрын
Umenigusa
@frankkihinga370311 ай бұрын
Daaa, kichwa Cha Joel Ni Zaid ya vichwa 100
@TV-se1lf2 ай бұрын
Vichwa vya Malaki ya watu # sio 100 tu
@comfortelisha4494 Жыл бұрын
Powerful
@chipolopolodsm4767 Жыл бұрын
Kaka unajua xana xomo lako limeingia
@abelruhulo69242 жыл бұрын
Asant kaka 🙏
@shijakuligi2674 Жыл бұрын
Hili somo tumesha fundishwa kwenye Qur'an Sana Ila umenikumbusha MUNGU AKUKINDE kwa hili....
@nicaslolela13982 ай бұрын
Naungana sana na mafunzo haya pastor Joel, Hakika hata mimi nikiangalia waanzilishi mbalimbali wa hata kampuni kubwa Ambazo zina mafanikio makubwa DUNIANI kama, Amazon, Facebook, Google n.k , Waanzilishi wake hawakuchukua mambo mengi bali walifuatilia kitu kimoja kwa muda mrefu, Hakika Nimejifunza, Zaidi ni Focus then attract greater people with the skills that you don't have and then Work together with them.
@Najithamini16 күн бұрын
Sasa from ambacho nimefunzwa Ili ufanikiwe lazima ufanye diversification , yaan uwekeze sehemu tofauti tofauti,, hapa nachanganyikiwa sasa
@trillionthamani Жыл бұрын
Nimekupitisha kuwa mwl wangu
@gasperchonya84952 жыл бұрын
Be blessed brother
@hamisikimbatikwa6959 Жыл бұрын
Kaka nakuelewa sana sana upo vizuri
@sudaisathman3831 Жыл бұрын
Upo sahii.mm ni mmoja wao katika wanaojutia kuipoteza mda wao
@juliusndimbo40063 ай бұрын
Mungu akubariki
@AfiSoul103 Жыл бұрын
HII video naipenda sana..yaani imenifumbua macho
@HappyBlockGame-xf7qt4 ай бұрын
Mimi mtumishi ninandoto moja ambayo imeshashindikana kutimia kwasababu yakuamuriwa nandugu wenyeuwezo.unanisaidiaje iri ndoto yangu itimie?
@veronyanganda1796 ай бұрын
Kiukweli kaka mafundisho yako ni daraja mtu akikusikiliza na kukuelewa, mwenyezi Mungu aktunze.
@magejay4715 Жыл бұрын
Somo limekuja Kwa wakati mzur
@carolynesimiyu3460 Жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu kwa uponyaji wa moyo kwa kutumia neno ili kunielewa kuhusu kufocus,,, namshukuru mwenyezi MUNGU kwa neno lake
@antiatibanyendera52 Жыл бұрын
Bro nimekuelewa kabisa najilaum nilichelewa kukufatilia ktk mtandao
@elibarikishukya-lf3sk Жыл бұрын
Umenigusa sana brother
@DaudiPasinai-ux4df10 ай бұрын
Amen amen amen amen unanibariki sana sana sana sana
@ashaally58832 жыл бұрын
Mungu akubarik sana
@richardsaidi24482 жыл бұрын
Nafuuu kuwekezaa seem mbili pakigoma ukuu unaamia kwinginee mim natoa mawazo tuu ckupingiii wew ni mwalim mzurii sana
@frankmjange32672 жыл бұрын
Nilitaka kushangaa unaanzaje kupingana na mwalimu 😂😂
@azizaabeid20552 жыл бұрын
Ni bora kaka uwekeze sehemu moja halafu usimamie mwenyewe hasa kwa Dunia ya sasa Mimi nimemuelewa mwalimu sana kwa sababu yalinifika sina hamu kabisa binaadamu wa sasa sio waamifu hasa kwenye pesa
@joelnanauka2 жыл бұрын
Ni kweli unaweza kuwekeza sehemu zaidi ya moja ila iwe baada ya ile ya kwanza kusimama vizuri. Ni Kama mama akijifungua harakaharaka kabla mtoto wa kwanza Hajakua vizuri lazima itampa shida kwenye kuwalea na kuwakuza Ingawa wote wanaweza kuwa hai ila afya zao Zita prots na yeye Atachoka kwa majukumu
@sophlinejudy83072 жыл бұрын
Thanks so much for the lesson I love it 🇸🇦
@fredyruzindana8586 Жыл бұрын
Kaka mungu akubaliki sanaa kwa neno lako
@erastotembo-qw5gj Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@scholasticaanthony11 ай бұрын
Mwenyez Mungu akupe afya njema Mr @Joelnanauka
@magrethjohn86382 жыл бұрын
Asante sana
@neemadaudisospeter8211 Жыл бұрын
Ubarikiweeeee saaaana
@IsaacJavan2 жыл бұрын
Amen Amen Amen
@Lily-xw6hg9 ай бұрын
Na wew uwe km bab YAKO apana,,shindana na wew wa jana usishindane na watu wengine na kujilinganisha nao,Fulani kafany ivi na mimi na FANYA ,,shindana na reods yk ya naja,,sasa akka
@hezronmangulamangula97182 жыл бұрын
kweli brooo nilikusikiliza Sana bro nilivumilia na nimefika mbali bro
@edisonjoseph4087 Жыл бұрын
ahsante sana kaka
@jumatawfiq64432 жыл бұрын
Hakika nimekuelewa kaka Tena Sana.
@manenolugendo63962 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana
@pauljosephtarimo22792 жыл бұрын
Focus,nimekwelewa sana
@winfridaadam7951 Жыл бұрын
Ahsante sana Mwenyenzi Mungu akubariki sanaaaa akupee maishaa malfu sanaaa 🙏🙏🙏
@juliusjoseph48892 жыл бұрын
Mkuuuu hili ni somo zuri Sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@happynescostat74202 жыл бұрын
Ni kweli ndugu Asante,nilmefaidika Sana na ushauli wako,nilikuwa nawaza kuanza biashara nyingine,
@magejay4715 Жыл бұрын
Hahaha uyu nimimi kabisa namie nilianza kuwaza kufungua biashara tena