Salama Na Shangazi Ep 28 | FIRST BORN Part 1

  Рет қаралды 124,397

YahStoneTown

YahStoneTown

4 жыл бұрын

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZfaq Link bit.ly/KZfaqSalamaNa
Fatma Abeid Amani Karume ni mtoto wa kwanza wa rais wa sita wa Zanzibar na pia ni mjukuu wa rais wa kwanza wa Zanzibar na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 na pia ni mwanasheria hodari, na siku za hivi karibuni amekua mstari wa mbeeele kupaza sauti kwenye masuala ya kisiasa hapa nyumbani Tanzania na ni kitu ambacho kimempa umaarufu mwingi kwa wananchi na kupachikwa jina la Shangazi, yeye ndo SHANGAZI wa Taifa.
Kuzungumza naye imekua kama mtihani kiasi maana yeye ni wakili na sote tunafahamu jinsi ambavyo mawakili wanavyojua kuongea kwahiyo ilibidi nitulize nywele kweli kweli ili tuweze kwenda sawa, mwanzo ulikua mgumu lakini tuliweza kutuwamisha maji baada ya muda kiasi na natumai utapata majibu ya maswali ulokua unajiuliza. Pia ilikua emotional kwa kiasi flani maana habari ya ofisi yake kupigwa bomu mwaka 2017 na kupigwa risasi kwa aliyekua rais wa chama cha wanasheria Tanganyika na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu siku kumi tu baada ya tukio la ofisi kutokea Dar es Salaam lilimfanya awe emotional. Na kama utakua unakumbuka vizuri Shangazi ndo aliyefuata kuwa rais wa TLS baada ya hapo.
Zaidi mi nilitaka kufahamu haswa nia na madhumuni ya kupambana kwake na kutonyamaza kwake kwenye masuala yote ya uongozi na serikali. Na kama pengine na yeye ana ndoto za siku moja kuwa kiongozi, au pengine leo simu ikiita akapewa cheo, je atakichukua? Na nini anataka, nini angependa kibadilike? Huwa anapokea simu toka nyumbani na kuambiwa pengine apunguze kelele kidogo? Au yuko huru tu kuongea? Na mambo ya familia? Na je kuhusu Babu yake na enzi za ASP? Anazikumbuka hizo enzi? Na kuhusu shule je? Alisoma wapi? Alikua smart alipokua mtoto? Anamkumbuka Babu yake? Lini mara ya kwanza alijua kama yeye ni “special”? Na kuhusu mapenzi je? Mara yake ya kwanza kumpenda mtu? Alikua nani? Alikutana na mumewe akiwa na miaka mpingapi? Na kwao je wako wa ngapi? Na yeye ni wa ngapi? Shule ipi alienda?
Kuna suala la yeye kuzuiliwa kufanya kazi pia, licence yake imezuiliwa hapa, pia nilitaka kujua sasa anashije? Na kama ana watoto? Yeye ni mama wa aina gani? Akiacha kuwa Twitter huwa anafanya nini? Kuna mambo anayopenda kuyafanya ambayo sisi hatuyajui? Na kama kuna uwezekano wa yeye kujikita kwenye siasa? Maongezi yalikua marefu na machachari rafiki, na matumaini yangu utapata majibu ya maswali ulokua unajiuliza juu yake… Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 560
@stavystunnah
@stavystunnah 4 жыл бұрын
SHANGAZI ANA MADINI YA KUTOSHA SANA NA ANAJUA NINI ANACHOKIONGEA 🙌🏾🙌🏾
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 4 жыл бұрын
Can we have 10000 interviews from this REAL proffecional.......
@UgandanAllstarTales
@UgandanAllstarTales 4 жыл бұрын
uwa napenda sana wageni wanao tufanya tufikirie mambo kwa kina zaidi. this was one big Gem of a conversation. makofi KWA TEAM
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 3 жыл бұрын
Sio interview na mitu mijinga...this is interview
@anethnelson9307
@anethnelson9307 3 жыл бұрын
Shangazi kasoma Ulaya kumbe, ila kuna watoto wametoka kwenye familia nzuri na bado hawafanyi vizuri darasani, big up shangazi, hard work pays no matter where you’re from
@charlesatanas3270
@charlesatanas3270 4 жыл бұрын
nimependa majibu yake ya kua anatokea maisha mazuri..kupata shahada haimaanishi unatokea maisha mazuri
@lusajojohn6654
@lusajojohn6654 4 жыл бұрын
Kwa kweli leo umekata kiu yangu, tunaitaji mashangazi wengi wenye upeo kama kwa afya ya Nchi yetu. I really love you shangazi.
@ujudiabdull9442
@ujudiabdull9442 4 жыл бұрын
Salama nimecheka sanaaaaa uliposema" unajua sijamaliza swali langu "yaani mambo ni motooooo.........
@slayingtee6044
@slayingtee6044 4 жыл бұрын
Salama leo umekoma Shangazi anamajibu kama yote..😂😂😂 She's very confident and smart
@dianamichael73
@dianamichael73 4 жыл бұрын
Nampenda shangazi sana ananipa hamasa ya uanamke nliokuwa nautamani nikiwa mdogo niwe nao
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 4 жыл бұрын
u can still be.. dont give up ur dream
@mammyquetkiba9672
@mammyquetkiba9672 4 жыл бұрын
I rewatched the conversation is so smart enough tough of coz sijawai mskiliza shangazi na i used kumskia tu but i got something special in my mind kutoka kwa SHANGAZI she's very smart ntairudia mda wote
@giftprudence
@giftprudence 4 жыл бұрын
One thing naona shangazi needs to recognize and accept that she is privelleged, it is what it is. But am glad she is using her privelleges for good. I love shangazi💖💖🤗🤗
@africanlife2331
@africanlife2331 2 жыл бұрын
Alafu ana short temper sana
@swahiliwithZita
@swahiliwithZita 4 жыл бұрын
I rewatched the conversation. Kwakweli, it takes a second to do something nice to someone but that person atakumbuka milele e.g Salama kumnunulia karanga shangazi. Wema hauozi.
@officialvassa9023
@officialvassa9023 4 жыл бұрын
Leo tumerudi darasani, Asante Sana swali moja kwa maswali saba jibu moja kwa majibu saba pia na nyongeza ya maelezo.. Inatuponya uelewa wetu Asante SHANGAZI!!
@BeatusKLeon
@BeatusKLeon 4 жыл бұрын
Salama is an excellent interview. She is objective and focused
@hahmadhabibu2076
@hahmadhabibu2076 4 жыл бұрын
"Sio kiapo my darling "😊😊 I love love loveeeeee her.....ananikosha sana..pia ni smart and tough
@shikikitabunda1177
@shikikitabunda1177 4 жыл бұрын
Leo nimejua kuwa kiapo siyo issue katika haki
@hahmadhabibu2076
@hahmadhabibu2076 4 жыл бұрын
@@shikikitabunda1177 kweli kabisa alafu wanatumiya vitabu vyamungu ama kweli siyasa inasiri kubwa sana
@safinabarungura3774
@safinabarungura3774 4 жыл бұрын
Hahahahaaaa. Nimeipenda hiyo debate. She seems humble masikiini hataki kujiona bora even if salama didn't mean to irritate her🤗
@swahiliwithZita
@swahiliwithZita 4 жыл бұрын
Nimeelewa vizuri mno the whole tume huru vibe maana nilikuwa sielewi elewi naskia tu. Yani Shangazi kaelezea vizuri sana. Fatma ni mwalimu mzuri pia. I loved the whole interview! will rewatch!
@thabeamiage5376
@thabeamiage5376 3 жыл бұрын
Fact
@thabeamiage5376
@thabeamiage5376 3 жыл бұрын
Fact
@cleopatrasalha2964
@cleopatrasalha2964 4 жыл бұрын
Jamani hii ndo maana ya interview hivi ni mimi tu ndo nimeelewa interview 😩this is beautiful very interesting she is just so comfortable on God and it’s so sweet jamani take me with you bibi
@cliffrichard7uu789
@cliffrichard7uu789 3 жыл бұрын
Hapo salama shangazi sio mtu wa mchezo mchezo. Huyu nimwanasheria namaranyingi wanasheria ni hatari sana kwa maneno hutamuweza. Ila nimependa sana hii interview. Hua shangazi namkubali sana
@TheMandela21
@TheMandela21 4 жыл бұрын
Salama you did well ....for asking her about her father and her background. She is a privileged child of a former President (although she fiercely denies it!!!!) - she was at her highest emotional note during the interview -and Salama seemed shocked and intimidated at that point!! . She tried to deny you an opportunity to ask your question. She also seemed to have been really intimidated, angry and furious and out of scope by Salama's persistence on asking the same question - this became evident when she started talking about all the best schools she went to...all her achievements and everything. Thank you for keeping on asking your question on the fact that she is a Karume and the fact that it raises eyebrows when she is furious and a continous critic of the system that raised her , protected and created the foundations of most of what she is today.....
@lazaromtui1355
@lazaromtui1355 4 жыл бұрын
She didn’t denied. Katoa facts za kutosha kwamba na yeye anafanyiwa mbanga.
@swahiliwithZita
@swahiliwithZita 4 жыл бұрын
I think it gets in her nerves alot of ppl using her priviledge status to define her instead of seeing her as her and her achievements. Later on, she did make it clear that she hates to be compared. I'm glad she showed her true colors.
@TheMandela21
@TheMandela21 4 жыл бұрын
@@frankissaya2578 kindly edit or re-write I did not get your point clearly
@maverickcreativesolutions8285
@maverickcreativesolutions8285 4 жыл бұрын
You still don't make sense. what point are you trying to justify?
@macktubwazir2110
@macktubwazir2110 4 жыл бұрын
She denied by a reason saying that sometimes its not about the reputation of your family that could keep you at higher position but your achievements as well can manifest even if its not going to be as easier as peoples coming from wealthy and well known upbringings.
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 4 жыл бұрын
Ujue nimechukua muda kusikiliza hii interview kila ni kiiruka inakuja tena kumbe kuna cha kujifunza ndani yake, ila Shangazi ana asira sana
@rachelbahahazo6362
@rachelbahahazo6362 3 жыл бұрын
Kanahasira Kama mbogo hahaha
@asterialucas4680
@asterialucas4680 4 жыл бұрын
Pole my darling ...... Yaan Shangazi Fatma I enjoyed this interview like never before 💪🏽 so bold so focused and intelligence.
@lukullikiwamba6494
@lukullikiwamba6494 3 жыл бұрын
Wafrika wengi wanaogopa sana wanawake walio elimika na hilo ndo kosa la shangazi Fatuma, amezungza vitu muhimu sana shida watanzani wengi bado awana elimu
@getrudegladstone1881
@getrudegladstone1881 4 жыл бұрын
We need more people like her....amenifundisha mengi sana sio siasa tu
@lucky_ferrie
@lucky_ferrie 3 жыл бұрын
My best interview, I love how she elaborates her answers in a way that is so easy to understand and how she makes you pay attention to what she is saying.. Really captivating and perfect!
@rahmasaidi6708
@rahmasaidi6708 3 жыл бұрын
Work of advocates ...
@thehealthierkidneyfoundati2689
@thehealthierkidneyfoundati2689 4 жыл бұрын
Interview safi sana, sasa wale wasanii ambao hatuwaelew tuwaweke pembeni kwa muda..
@maricefarrar4126
@maricefarrar4126 4 жыл бұрын
Shangazi, you're a great woman .I love that. Mungu akitujalia, ningependa tukutane.
@promramson80
@promramson80 4 жыл бұрын
Best interview. ..Maria Sarungi must be the next, please
@zulfahussein6356
@zulfahussein6356 4 жыл бұрын
"Change is innevitable its a matter of time" kasema shangazi best interview inatufanya tujue some staffs
@deniskalangari9226
@deniskalangari9226 4 жыл бұрын
True meaning of Iron Lady ✊
@adildewji
@adildewji 4 жыл бұрын
Tanzania’s powerful ladies..very impressed.
@fridanyoni2867
@fridanyoni2867 2 жыл бұрын
Shangazi anatema cheche
@princemujuni9803
@princemujuni9803 4 жыл бұрын
Shangazi much respect aisee asante kwa wakalimani pia kwa kutupatia subtitle interview hii imekua bora kwa upande wangu too much sense.
@adamuayubu7885
@adamuayubu7885 4 жыл бұрын
Ni kweli kuwa familia yako hajifanya upate ilichokuwa nacho,lakini kuna ukweli kuwa familia yako imefanya ufike ulipofika japo juhudi binafsi ni kitu cha msingi.Ungekuwa kama mimi usingeenda kusoma UK ukiwa na miaka 11.
@siegfrieddavid6816
@siegfrieddavid6816 4 жыл бұрын
Kinachojalisha niutetezi wake kwa walio chini na wanao nyonywa,lawama zingine za wewe kuwa hapo ulipo au kutosoma ulaya ni juu yako na familia yako
@rahmasaidi6708
@rahmasaidi6708 3 жыл бұрын
Riziki hutoa mungu
@kapendalubowa534
@kapendalubowa534 3 жыл бұрын
Ndo Maana amekwambia Hakuna mwanadamu anayechagua azaliwe wapi.
@clarabayo1166
@clarabayo1166 3 жыл бұрын
I admire Fatma. I love how Salama carried her self in this interview. Much respect to both ladies.
@blessed-ke6fv
@blessed-ke6fv 4 жыл бұрын
You made your point salama concerning maisha mazuri,ila shangazi kama anafokea hivi...vingine havipingiki ni ukweli...shangazi appreciate that you did or you still have privileges compare to most of Tanzanian since you came from noble family ,but you dont afraid to jeopardise that for the sake of other people to whom you don't even know.FOR THAT YOU BECOME A TRUE HIRO...Most of us tusige kua na hata robo ya uthubu ulionao..mungu akuongoze zaidi.
@feiz3180
@feiz3180 3 жыл бұрын
Salama, asante kumhoji shangazi. Nzuri sana. Nimefurahi kwa masuala na yeye kajitahidi katika kukujibu. Hongereni.
@haroubfuad7638
@haroubfuad7638 4 жыл бұрын
I love to see such people having the same accent as me....i feel less weird
@RioIpo
@RioIpo 4 жыл бұрын
Wazenji wenzetu hawa hahaha
@safinabarungura3774
@safinabarungura3774 4 жыл бұрын
Hii interview utashangaa inafutwa. Ngoja waione😂🤗. Nice one
@farhathassan7178
@farhathassan7178 4 жыл бұрын
dada salama leo umejuta kumwita shangazi, hana ujinga hata kdg hahahahah
@fahadfaraj1822
@fahadfaraj1822 3 жыл бұрын
Mkali ka pilipili
@mulangobaraza3706
@mulangobaraza3706 Жыл бұрын
One of my favourite of your interviews this far, Salama. Following from Nairobi, Kenya. Kazi nzuri unayofanya hapo na wenzako. Heko!
@naimamwambe8083
@naimamwambe8083 4 жыл бұрын
Shangazi nakuombea umri mrefu na afya najivunia kuwa na kiongozi kama wewe zanzibar Kuna madini Mashaa Allah,
@wedream7506
@wedream7506 4 жыл бұрын
Such an enlightening interview can we have you on a monthly basis shangazi
@cleopatrasalha2964
@cleopatrasalha2964 4 жыл бұрын
People should interview her more we learning i would listen to her all the time we need explore like these kule ig Ahsante salama
@mbonabuchabucha9657
@mbonabuchabucha9657 3 жыл бұрын
Salama uko vizur!!! Una maswali yenye maana sana!! Shangazi pia nimependa anavyojibu❤❤
@TheMandela21
@TheMandela21 4 жыл бұрын
I mean just expressing what I noted nothing personal about her she is an accomplished woman in her field
@alexanderthegreat4439
@alexanderthegreat4439 4 жыл бұрын
Very poor observation
@voodothurday
@voodothurday 4 жыл бұрын
@@alexanderthegreat4439 😂😂 indeed alex, where was she when her father was on power?
@josephstephen2047
@josephstephen2047 4 жыл бұрын
@@voodothurday Chuo
@almassylivester4691
@almassylivester4691 4 жыл бұрын
kwa tume huru hiyo upo sawa ila kwa sasa MAGUFULI KWANZA, akimaliza ,ndo tujadiliane maana sidhani kama kuna mwananchi asiye taka maendeleo, na magufuli ameonyesha nia ya kutuongoza kwenda huko. LAITI MGEJUA WANANCHI TUNATAKA MAENDELEO HATUTAKI SIASA ZA KUTUGAWA UNGEWASHAURI WASHIRIKA WAKO (UKAWA) WAJE NA HOJA SIO SIASA ZA VURUGU. love you
@hawamtambwa402
@hawamtambwa402 4 жыл бұрын
Mungu akubariki
@wedream7506
@wedream7506 4 жыл бұрын
Kiongozi Kama anafanya Kaz atapita na kwenye tune huru pia it's not about ukawa time huru no kilio Cha watu wote sio tyu ukawa
@kingabditto9027
@kingabditto9027 4 жыл бұрын
This is ma best interview ever
@zedon2047
@zedon2047 4 жыл бұрын
Shanganzi ana foka sana tatizo... ila its a very great interview! Big Up Salama
@calistusnyeupe9491
@calistusnyeupe9491 4 жыл бұрын
This interview is dope , salama unatisha sana. i like you.
@Scorpion08726
@Scorpion08726 4 жыл бұрын
I appreciate the way Salama anamuachia mtu ajieleze vzur zaidi👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
@josephstephen2047
@josephstephen2047 4 жыл бұрын
Fatma yuko very defensive hampi nafasi ya kuuliza maswali
@ikupaenock8114
@ikupaenock8114 4 жыл бұрын
This taste different I love it ...keep it up Salama
@elisanteephrahim7444
@elisanteephrahim7444 3 жыл бұрын
Shangazi is so smart!a brain to embrace and a book to read! Salama you’re Great!
@thomasnguku9240
@thomasnguku9240 4 жыл бұрын
Bonge moja la interview
@vanessastafford5120
@vanessastafford5120 4 жыл бұрын
Asante sana Salama, Kwa Hii interview
@khasuab2067
@khasuab2067 4 жыл бұрын
I met her in 2009 at chavda hotel in stone town when I was in my field attachment . She is so smart , beautiful with brain, I loved her eyeliners the way she make it I took an example from her. I loved her body language 😍❤️ ❤️❤️. @ salama thanks for bringing her.
@eischerschwederm7876
@eischerschwederm7876 4 жыл бұрын
My opinion, she isn't bright..Manipulator, yes
@aaronswai3092
@aaronswai3092 3 жыл бұрын
Nimempenda bure Fatma Karume. She is very brilliant. Mungu akubariki sana Fatma.
@ramadhaniabdi9530
@ramadhaniabdi9530 4 жыл бұрын
Fatma Anazungumza vzr sana Hadi raha✌
@tanzaniatouristsattraction1622
@tanzaniatouristsattraction1622 4 жыл бұрын
Kiingereza nadhani anaeleweka vizuri kuliko Kiswahili
@ibrahimwenceslaus7942
@ibrahimwenceslaus7942 4 жыл бұрын
We ni ndugu yang Nini emb check me on my email ibyusibyus@gmail.com
@shikikitabunda1177
@shikikitabunda1177 4 жыл бұрын
Wenye wivu watasema anajisikia kumbe anapata taabu Sana kuongea kiswahili
@Suleimansalum
@Suleimansalum 4 жыл бұрын
amkuwa nje kiswahili amejifunzia ukubwani saivi ndio anaelekeza vizuri zamani alikuwa anaongea ovyo zaidi
@gepronydesign7146
@gepronydesign7146 3 жыл бұрын
Hello Salama Mambo, Mimi sio mfuatiliaji sana wa channel yako lakini mara kwa mara nikipata kamuda naingia kucheki. Sasa kaushauri tu ndugu yangu. Hivi umewahi kufikiria kufanya mahojiano haya ukiwa na watazamaji kwenye kaukumbi hivi mfano watu 50 . Hii itakuwa wazo nzuri pengine litaongeza pato kidogo pia. Sababu baadhi ya watu wangependa kuwa live kwenye haya mahojiano. Hili ni wazo tu. Asante
@alistairelias536
@alistairelias536 3 жыл бұрын
Good idea 👍🏾
@adriafurahamatemu6080
@adriafurahamatemu6080 3 жыл бұрын
OMG, nimekua nikiipita hii show everyday but i can say it is the best show. You ladies are magnificent.
@violetlongo5087
@violetlongo5087 4 жыл бұрын
Love youuuuu shangazii....unamadini sana
@semanamitv898
@semanamitv898 3 жыл бұрын
I most like it... Shangazi your among of trueth pples... Congrats both, amazing Interview😎👍
@matildabyanda7854
@matildabyanda7854 3 жыл бұрын
Jamani Shangazi anamchanganya Salama akitaja ivyo vyuo.😅😂😂😂, jamani kusoma Tu Sussex university na vyuo vingine tayari umepata quality ya elimu tofauti na wengine.😂😂😂., Salama kawezwa leo...
@joharindaro3075
@joharindaro3075 3 жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅 mamaae
@yusuphsaid8920
@yusuphsaid8920 3 жыл бұрын
A voice of a leadership!!! Respect it cause there is a responcebility for those who have a privilege to amplify the voice of those who might not Shangaz jus say
@ProphetsweetbertHoly
@ProphetsweetbertHoly 4 жыл бұрын
Nilichogundua Shangazi anapaniki Sana lakini maswali ya Salama NI Yale tuliyonayo huku mtaani maana Salama amesimama Kama #Mjumbe anatuwakilisha wananchi na mjumbe hauwawi ila kwa Shangazi Mjumbe anauliwa .#DontPanicShangazi #WeweNiTofautinasisi na haiwezi kubadilika kwakutokujua baba yako na Babu yako WAlikuwa maraisi wangapi.
@zainabkazige7388
@zainabkazige7388 4 жыл бұрын
Kabisa yani nakuunga mkono!
@ProphetsweetbertHoly
@ProphetsweetbertHoly 4 жыл бұрын
@@zainabkazige7388 Asante Zai maana ndio uhalisia kinamuuma nini.
@alexanderthegreat4439
@alexanderthegreat4439 4 жыл бұрын
Poor man thinking
@magangajames4644
@magangajames4644 4 жыл бұрын
Hiyo ndo ongea yake siku zote.ila ww upo kishabiki zaidi uwezi mwelewa inaitaji akili KUBWA umwelewe(BIG THINKING)weka ushabiki pembeni sikiliza madini hayo.
@zainabkazige7388
@zainabkazige7388 4 жыл бұрын
@@magangajames4644 mie nampenda sana na sina ushabiki yote aloongea ni point tupu... ila kama yeye alivyoumia kuambiwa yupo tofauti na sisi hapo ndo na mimi nilikuwa naelezea maoni yangu kuwa ni kweli tupo tofauti... She knows many things na anajitambua... ila kwenye ukweli utabaki kuwa ukweli tu! Hauwezi ukafananisha mtu alosoma shule nzuri na aliyesoma shule za bora elimu ndugu yangu
@swahiliwithZita
@swahiliwithZita 4 жыл бұрын
Kumbe Shangazi na wewe ni scis alumni pia! niiiice I'm proud to be one as well! kweli scis ni shule ya zamani mno na wanajitahidi mno hadi leo wapo!
@veeJesus
@veeJesus 4 жыл бұрын
Kwa nn wanamuita shangaz
@steavmcper7322
@steavmcper7322 4 жыл бұрын
Asante shangazi leo salama umekutana na biscuit 🍪 ya chumma
@hadijalukas5959
@hadijalukas5959 4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁🙌🙌🙌🙌🙌
@demondburgess7514
@demondburgess7514 2 жыл бұрын
Asante sana for the Kiswahili subtitles, Ninajifunza kualewa lugha ya Kiswahili... It helps a lot. 💯
@francetimos5906
@francetimos5906 3 жыл бұрын
Really mama teacher me I mean when I say teacher me because I did know about TUME HURU and I enjoy this interview Thanks SALAMA and mama
@willekippe2062
@willekippe2062 3 жыл бұрын
Now this,,this us how u nail an interview...this is my number 1 interview in TZ ...HONGERENI
@sameersabran5351
@sameersabran5351 2 жыл бұрын
Such a interesting Interview from Fatma karume she is a big inspiration to the whole world . as well her goal is to maintaining justice should be balancing to equality and rightly 🙌
@hafidhkhalid930
@hafidhkhalid930 4 жыл бұрын
Kwa lugha nyepesi kuhusu tume tuseme hivi kesi ya nyani kumshtakia ngedere
@leokamil6284
@leokamil6284 3 жыл бұрын
Ndio haswa hivyo
@slayingtee6044
@slayingtee6044 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@joshmangi
@joshmangi 4 жыл бұрын
Best Interview Ever.
@kijokombao5345
@kijokombao5345 4 жыл бұрын
Salama leo face to face na mahakama sasa😀😀
@jimkellyngige981
@jimkellyngige981 4 жыл бұрын
Salama leo amepatikana...🤣🤣🤣🤣...pole my darling!!
@winfridamwigilwa2107
@winfridamwigilwa2107 4 жыл бұрын
Hahahaha. Kwa kweli
@bensonkaile9606
@bensonkaile9606 4 жыл бұрын
LUDICROUS, mtu mzima kuulizwa obvious questions alafu ana catch feelings!
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 4 жыл бұрын
@@bensonkaile9606 Shangazi wa taifa huyooo😀😀😀😀😀😀😀
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 4 жыл бұрын
you obviously did not see the interview well. hapa alopatikana ni huyo Shangazi yenu
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 4 жыл бұрын
hakuna swala la nani kapatikana hapo ni uchambuzi wa hoja tu
@commissionermadoyvlogs1926
@commissionermadoyvlogs1926 4 жыл бұрын
Keep it Up Dada Salama jabir..Ur bro from 254🇰🇪
@adolphmarimbo7731
@adolphmarimbo7731 Жыл бұрын
Shangazi nampenda Sana Angekuwa lecture ,tungefaidi Yuko very bright
@reenlis7665
@reenlis7665 3 жыл бұрын
I liked the way she hits up the question. Please can you invite millard ayo
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 3 жыл бұрын
I really love her since day one nice interview ever I love the show kip it up Darling and remember this the change's is good
@kindysuleiman5935
@kindysuleiman5935 4 жыл бұрын
Thank you salama enjoying your prog
@salummhina4857
@salummhina4857 3 жыл бұрын
Salama naomba soma hii !mara zote nimekua fan wako sana.Ila leo umefanya nikupende na nizidi kukuheshimu kwa kua unasimamia kile unacho kiamini.Shangazi sio rahisi ku mu interview!!Anajikinga sana kuulizwa asiyoyapenda lakini umekua very firm and strong kuuliza kile ulichopanga kuuliza bila kujali muulizwaji anapinga kiasi gani!! Big up Salama
@metiliole7189
@metiliole7189 4 жыл бұрын
Salama umepigwa za uso! Duh shangazi majibu yak sio mchezo mchezo
@swahilikitchen5353
@swahilikitchen5353 4 жыл бұрын
Much love Salama na shangazi ❤️❤️❤️
@narcosmaoze9486
@narcosmaoze9486 4 жыл бұрын
Best ever interview 👏👏
@abuusufian6506
@abuusufian6506 4 жыл бұрын
Shangaz Kama Shangazi akeee ♥️♥️♥️♥️
@tumakassim6286
@tumakassim6286 4 жыл бұрын
Salama leo unaonekana kama unaogopa ogopa,lakini usijali we mjumbe tuu unatuwakilisha
@systematickader7583
@systematickader7583 4 жыл бұрын
Nmependa izo subtitles..... Shangazi mashallah
@UgandanAllstarTales
@UgandanAllstarTales 4 жыл бұрын
it was tense moment when her Daddy conversation started
@hazolemwashemele4308
@hazolemwashemele4308 4 жыл бұрын
It's annoying trying to defend your beliefs because of your lineage...
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 4 жыл бұрын
hahaha how defensive she became. Salama could not even start the question. intimidation much
@emmanueljmwaisabula9346
@emmanueljmwaisabula9346 4 жыл бұрын
Best Episode Ever 😍
@salimalghannami3059
@salimalghannami3059 2 жыл бұрын
she is absolutely correct 🙏 she looking for a peaceful change and next generation will rember her💐
@om6147
@om6147 4 жыл бұрын
Dada Fatma mungu akupe nguvu na baraka ,ufanikiwe kwa yote unayopigania,mpo wachache sana ktk watu mil57
@selemantambulegeni3225
@selemantambulegeni3225 4 жыл бұрын
Dah dada yangu Salama leo, hahaha umekuwa mdogo ghafla, anyways tupo darasani leo.
@dicksonjustin7160
@dicksonjustin7160 4 жыл бұрын
Shangazi unamadini mengi san big to you
@AbduRahman-os2vx
@AbduRahman-os2vx 4 жыл бұрын
Shangazi yuko vizuri tungepata wwatu kama hawa kwenye serikali tungekua mbali..
@cydrahope5251
@cydrahope5251 4 жыл бұрын
Ana wazimu tu huyo
@wedream7506
@wedream7506 4 жыл бұрын
Salam you are the best there ever will be
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 6 ай бұрын
Dada Fatma, heshima yako. Ni mtu mmoja mwenye hekima, busara, nidhamu sahihi, mstaarabu sana mwenye upeo beyond. Na experience uliyonayo, elimu na umeishi na kusoma nchi mbalimbali, pia umepitia changamoto nyingi kimaisha, zimekufanya uwe shujaa wengi wataisikia tu, na wengi hawatakufahamu wataona I ni privilege tu. Naamini wengi waliozaliwa Tanzania, kusoma Tanzania hawana mwamko wa hali ya juu na haw ajitambue. Wanapokea na kuitumia maelekezo tu na Hawajielewi kwani wa nadhani mambo ndivyo yanavyokuwa. Na wachache waliotembea kidogo tu, they have not earn what you have earned, Ndo maana wana kuwa machawa ili wapewe maslahi bure bila elimu zao kukidhi. Na wa nafikiria no Sawa kabisa. Nakupenda bure for being , honest, bold and strong bila kupepesa macho. That’s so rare to find. Hiki kılındı ni cha muhimu sana hongera zake sana dada pia kwa kuwa muwazi na kurala kujua ukweli wa mambo na kuuliza maswali aliyoyauliza. Kuna wa awake wengi nchini kama nyinyi ingawa wengi ni waoga na hawajiamini. I salute all woman who stands up to fight, educate and resilient. Pongezi kWa wanawake. Katiba mpya na tune huru ni sasa. Liberation to Tanzania. Ahsante dada Salma.
@sabraali9941
@sabraali9941 4 жыл бұрын
Shangazi bwana Shangazi mtata Huyu napendaga Sana interview zake 😂😂
@Pedeshee01
@Pedeshee01 3 жыл бұрын
Ana chura?
@slayingtee6044
@slayingtee6044 4 жыл бұрын
Wow..! The lights are on point
@TheMandela21
@TheMandela21 4 жыл бұрын
You only saw the lights
@jessydaktari5209
@jessydaktari5209 4 жыл бұрын
@@TheMandela21 😂😂😂
@tasnimmaalim8532
@tasnimmaalim8532 4 жыл бұрын
Nice statement Salama you deserve the best
@muhammadnassor2252
@muhammadnassor2252 4 жыл бұрын
Ingependeza Salama kipindi chako unaowaalika ktk kipindi wawe wanatumia kiswahili ili kudumisha lugha yetu Haya mambo ya kuchanganya lugha ni utumwa
@jackswat
@jackswat 3 жыл бұрын
Good work Salama, such an interview is good but it will be even better if you could have a fellow companion interviewer and also an opponent interviewee from NEC or from the Gvt.
@mwalimumage2450
@mwalimumage2450 4 жыл бұрын
Salama 1998 ulikua form 3 Acha kutufokea aisee😂😂😂
Salama Na Shangazi Ep 28 | FIRST BORN Part 2
39:13
YahStoneTown
Рет қаралды 65 М.
FATMA KARUME -  "Makonda Anakurupuka, Adui Sio Ushoga"
17:34
Global TV Online
Рет қаралды 47 М.
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 78 МЛН
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 34 МЛН
Получилось у Миланы?😂
00:13
ХАБИБ
Рет қаралды 3,7 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
Salama Na EDO KUMWEMBE Ep 42| MWENYE SHOKA HAKOSI KUNI Part 2
37:43
EP 3: ITS NEVER THAT SERIOUS !?!😁🫣
21:37
The ‘Other life’ Podcast
Рет қаралды 407
Live: Kutokea Nyumbani Kwa Mke Wa Dkt. Mwaka { Queen }
33:38
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 21 М.
| BI MSAFWARI | Ushauri wa shangazi Sada Fateh
14:01
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 43 М.
Shilole alivyokuwa Muhudumu wa Hoteli na kumtongoza Ray
19:43
Millard Ayo
Рет қаралды 356 М.
Salama Na SUGU Ep 50 | UJIO WA UMRI PART 1
32:38
YahStoneTown
Рет қаралды 110 М.
Choices for your loved ones❤️
0:15
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 16 МЛН
Девушка ограбила мажора, но…😳
1:00
Trailer Film
Рет қаралды 7 МЛН
Waka Waka 😁 #funnyshorts #rianashow
0:14
RianaShow
Рет қаралды 26 МЛН
Вилка для консервов 🥒
0:51
Сан Тан
Рет қаралды 2,7 МЛН