Fix You: 'Kujichua kunaivunja ndoa yangu, kila siku nagombana na mke wangu' Dr Isaac Maro anamshauri

  Рет қаралды 42,799

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Жыл бұрын

Sasa unaweza kujiunga na SnS VIP Family ili kupata mambo mengi exclusive kwaajili yako tu. Bonyeza link hii ili kujiunga na kufahamu zaidi kuhusiana na SnS VIP Family membership
/ @simulizinasauti

Пікірлер: 169
@danielndusilo4723
@danielndusilo4723 Жыл бұрын
Jambo hili ni baya sana mbele za Mungu linda moyo wako kuliko yote ulindayo maana ndiko zitokako chemichemi za uzima mithali 4:23
@timothymikola2317
@timothymikola2317 Жыл бұрын
Maro we genius nimekuelewa sana
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 Жыл бұрын
Hii kwa mambo ya kiroho ni mapepo.mapepo hata ni addiction kama kwa madawa ya kulevya.pia ni uzinifu sawa na uzidifu mwingine.kimbia hilo people saana when you fill like to do it fikiria mambo mengine kwa kichwa kama kusoma neno la Mungu etc.
@bettyadhiambo9557
@bettyadhiambo9557 Жыл бұрын
Mafundisho mazuri kweli Asanteni
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Ай бұрын
Yaan Dr. Nimekuelewa na nimekupenda bure❤❤❤🙏🙏👍👍🎉🎉🎉🎉🎉
@DenisDonat-lg4gh
@DenisDonat-lg4gh Жыл бұрын
Ubarikiw dr isaac somo zuri
@frankvianey2438
@frankvianey2438 Жыл бұрын
Shukran sana kaka,hakika nimejifunza mengi
@Balogetv
@Balogetv Жыл бұрын
Hongera sana Kaka umetupa ushauli wa maana nahis utatusaidia sana kama wahanga wa hili
@damaresi
@damaresi Жыл бұрын
💚💚💚Hahaaa hiyo salamu...sasa .... Nilizani una sema na wewe ume bahatika kufanya ...... hahahaa🤳🤳🤳
@bujsaudaselemani5562
@bujsaudaselemani5562 Жыл бұрын
Shukurani sana
@rpynoel566
@rpynoel566 Жыл бұрын
Wenye Hela hawan nguvu za kiume, weny nguvu za kiume hawana Hela! Tutafte watoto tu maana ukiwa huna Hela ndani hata kusimamisha huwez
@hastatz
@hastatz Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
😂
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Жыл бұрын
Unachukua wote wawili ndo solution
@zayumar2955
@zayumar2955 Жыл бұрын
Ooooffffff Mungu tusaidie jmn
@user-ox9uq9ed2c
@user-ox9uq9ed2c 2 ай бұрын
Asante Dr naomba no zako Asante
@user-rs1qk2hn8r
@user-rs1qk2hn8r 5 ай бұрын
Big up, nmeenjoy somo la leo
@Udindigwa
@Udindigwa Жыл бұрын
Elimu Nzuri SANA Ila Tuwe Na Tabia Nzuri Mungu Yupo Nasi
@eliminalevocatus2079
@eliminalevocatus2079 Жыл бұрын
Mimi nimepita tuu nasoma comments kuna watu wanachekesha sana.
@umelamedia
@umelamedia Жыл бұрын
Aloooo noma let's learn
@joharyrajabu7056
@joharyrajabu7056 Жыл бұрын
Dr. Issack maroo ni mgodi unaotembea ilitakiwa muutumie kweli kweli naona kama mtangazaji alikosa maswali mhimu ya kumuuliza sijajua kwa nini hii interview asingeifanya sky mwenyewe.
@gadluck4362
@gadluck4362 Жыл бұрын
Dah doctor kaongea kitaalamu sana, achana na wale waganga wakuuza dawa za nguvu za kiume
@ChrissBou-k8j
@ChrissBou-k8j 9 күн бұрын
Nimeipenda swal
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Asante sana
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Жыл бұрын
Mimi nimeshakua mraibu wa kujichua yaani aje mwanamle yeyote lazima cha kwanza nipige self.nikimuoma dada mzuri tu lazima nimpigie nyeto.Hapa huyu mdada mtangazaji tu keshaniumiza tayari namtafutia sabuni.ila sipotezi performance yangu pia kwa mwanamke nampelekea moto kama kawaida kule kunako mpaka maji aite mma.Ila kujichua siachi
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
PUNYETO si mwanaume tu' hata Kwa Mwanamke ni hatari inasababisha pia Mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa..!
@user-gu9bk4xf3y
@user-gu9bk4xf3y 3 ай бұрын
Dkt kuna rafiki yangu ataki kabisa kufanya mapenzi na mke wake ila anapenda kujichua sana kiasi ndoa iko mashakani je anasaidikaje
@abdallaameir3153
@abdallaameir3153 Жыл бұрын
Huyu jamaa namkubali sana kwq kweli mkweli sana nimeangalia video zake sana afya check wqkat mama watoto mjamzito amenisaidia sana
@stellasimon8306
@stellasimon8306 Жыл бұрын
Mwambieni anitafute tuongee mimi nitamsaidia ili tujue afanye nini naamini atapona bila dawa. Kama yuko tayari aweke no yake ya simu ya whatsp. Mimi niko nje ya nchi. Furaha yangu ni kuona furaha ya wana ndoa na amani yao.
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Жыл бұрын
Mimi nishampigia nyeto huyu dada mtangazaji aisee macho yake nimenunua sabuni na vikopo vya mafuta ya mgando.kawada huwa sabuni nawaibia wapangaji wenzangu kumbe nina kazi nazo binafsi.
@perfectinnocent1875
@perfectinnocent1875 Жыл бұрын
Naomba namba ako
@iddimasika1173
@iddimasika1173 Жыл бұрын
Tuma no yako tukutafute
@officialpaulmabula8346
@officialpaulmabula8346 Жыл бұрын
Tuma namba
@aleeyfani8
@aleeyfani8 Жыл бұрын
Habari,
@felixkato6283
@felixkato6283 Жыл бұрын
Mm mkewangu akitoka akasafiri shetwan ananivamia napiga masta b so kila Mara Dr si itaweza kuniletea shida mbelen
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 Жыл бұрын
Hamna shida yoyote
@jescaclemency-gr4tm
@jescaclemency-gr4tm Жыл бұрын
OK
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 Жыл бұрын
“Mnachuana “ kazi kweli kweli 😂😂😂😂
@Commentsplus
@Commentsplus Жыл бұрын
Kumbe inafaiiiida ok
@alidyaya4512
@alidyaya4512 Жыл бұрын
Mbona isac na irene mmefanana
@ChoroTesla
@ChoroTesla Жыл бұрын
Atumie supplement flani hv zinaitwa Maca root ni nzuri sana ziko interms of capsule after 30 days kila siku awe anatumia 2capsules ataona mabadiliko aaache kujinyonga for three months kwanza
@highthemetv7857
@highthemetv7857 Жыл бұрын
Zinapatikana wapi
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 Жыл бұрын
@@highthemetv7857 Macca nzuri n ya powerd haijachanganywa n camicals zozote utakunywa na uji or shake or smothe yy y matunda o juice o maziwa
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Жыл бұрын
Dr yuko vizuri sana💯 But bado inaitwa addiction
@wilsonchishomi1083
@wilsonchishomi1083 Жыл бұрын
“Kujichukulia sheria mkononi”ni hatari sana
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 Жыл бұрын
Katika jambo siwez kuacha ni hilo
@pesatamu
@pesatamu Жыл бұрын
Nonstop funny 😂
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 Жыл бұрын
Dah!🙂😎
@loner_wolf
@loner_wolf Жыл бұрын
Mm ninachojua mwanaume akiwa na UOGA anamaliza haraka, akiwa amepania sana anawahi kumaliza, akiona kitu kikam-bore pia atawahi kumaliza.... Na ukijichuwa unsjisikia kichwa kugonga au sometime sambamba na kuchoka sana..... Hivyo wahuni tujitahidi kupambana na kuepuka hii kitu japo inanadiwa kama kitu kisichoachika kirahisi.
@amiriabdul6305
@amiriabdul6305 Жыл бұрын
dada apo umekazi et vijana ndio wanaelewa kwenue kumake pesa🤣🤣🥰😀😀
@trillionthamani
@trillionthamani Жыл бұрын
Namlaumu sana binam yangu alinifundisha nyeto ya mafuta mpk leo sitaki kuyaona mafuta yoyote ya mgando
@Manyara-Jr
@Manyara-Jr Жыл бұрын
🤣🤣
@yanickjanvier1639
@yanickjanvier1639 Жыл бұрын
😁😁
@mbembelatv
@mbembelatv Жыл бұрын
😆😆😆
@sarahkitindi3420
@sarahkitindi3420 Жыл бұрын
😂
@mohamedslh5478
@mohamedslh5478 Жыл бұрын
Chama cha puta mikono juuu 🙌✌️
@hajihamadi4130
@hajihamadi4130 10 ай бұрын
Walio athirika na Hilo Jambo tupo wengi na wengine wanahitajia msaada hebu saidia mawasiliano au namna ya kupata msaada wenu. Nivyema labda kuonana .
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Sema PUNYETO.....hicho kiingereza hatuelewi...!
@MigomgoMigali-ky1jl
@MigomgoMigali-ky1jl Ай бұрын
Kuna demu nimekutana nae apo namwambia vipi sasa twende geto et ananimbia nipe 30000 apo daaha na hali ivyo ngumu ivi nikaenda chapu nikajichukulia sheria mkononi nikalala zangu
@selapionalfred9454
@selapionalfred9454 Жыл бұрын
It's true
@hanihaadamuhanifaadamu4125
@hanihaadamuhanifaadamu4125 Жыл бұрын
Mm ndo kazi yangu kujichuwa
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
😂🤦
@raphaelmheta
@raphaelmheta Жыл бұрын
Aisee 😂🤣🤣🤣🤣🤣
@BIGGIEMANN47
@BIGGIEMANN47 Жыл бұрын
Unajipimia
@ivomhagama9796
@ivomhagama9796 3 ай бұрын
Acha umbumbumbu,acha tabia hiyo,
@philipomaganga9746
@philipomaganga9746 4 ай бұрын
Dkt samahani naomba namba yako
@rickyblair6233
@rickyblair6233 Жыл бұрын
65% weee imo for men is 99%
@mcjmcheshi
@mcjmcheshi Жыл бұрын
Vitabu vya dini haviruhisu lkn sayans inasema ni mzuri Kwa afya ... Asee Ila usifanye kupitiliza ...... Wahuni tumeelewa
@JoelChande
@JoelChande Жыл бұрын
Na je ukijichua sana alafu ukaja kuowa unaweza mpa mwanamke mimba?
@mcjmcheshi
@mcjmcheshi Жыл бұрын
@@JoelChande Sana Tu kujichua hakufanyi kupungua nguvu za kiume ,jichue Kwa afya Kwa wiki mara moja sio mbaya mzee ... Me Niko nawatoto WA tano na ulikua mchezo wangu
@JoelChande
@JoelChande Жыл бұрын
Na je ulikuwa unajichua marangapi kwa siku
@mcjmcheshi
@mcjmcheshi Жыл бұрын
Me nilikua nakumosha , nilianza kujichua nilipomaliza darasa la Saba mpaka nilipofika miaka 25 ... Na sanyingine nilikua hata mara tano Kwa siku na kuna wakati nilikua na double.... Unaijua daboling wewe Mzee . Yani unapiga afu unaona hujatosheka unapika tena Una tulia baadae tena , lkn nikaja nikaacha na inawezekana Tu
@-zj2zd
@-zj2zd Жыл бұрын
Nasomatu komet
@MigomgoMigali-ky1jl
@MigomgoMigali-ky1jl Ай бұрын
Punyeto inasaidia tusiwape watoto wa watu mimba mtaani me nikianza tu kujihususisha tu na mahusiano nampa huyo binti mimba saizi nina watoto watatu kila mtoto na mama yake mimba wadada wametoa wengi tu na mimi hii hali siipendi nimeona bora tu kupiga nyeto
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Hatari nimejifunza kitu
@binamubinamu1151
@binamubinamu1151 Жыл бұрын
Ok saw
@amanididas7660
@amanididas7660 Ай бұрын
unajipimiaaaaaaaa😂😂😂😂
@edwinejumanne6323
@edwinejumanne6323 Жыл бұрын
Lakin pia unakuw unapotez kumbukumbu ukifany marakwamara..........
@hobokelamikael9682
@hobokelamikael9682 Ай бұрын
Hiyo ni addiction mkuu...
@joesimba
@joesimba Жыл бұрын
Sasa dadangu maongezi umeyataka wewe na aibu unaona wewe.
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Жыл бұрын
😅🤣🤣🤣mambo mengine yataka moyo nyie...haswa kwa Africa.
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Жыл бұрын
Sasa kaka anaongea uku anamgeukia yeye ataachaje kuona soni kwa mfano. Mi mwenyewe naona aibu ingawa hamnioni🙈🙈🙈
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 mimi nishampigia nyeto huyu dada mtangazaji aisee goli 2 tu
@perfectinnocent1875
@perfectinnocent1875 Жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 😀😀😀😀
@dadooutfit5809
@dadooutfit5809 Жыл бұрын
Prevention yake ni gani
@stellasimon8306
@stellasimon8306 Жыл бұрын
Na sitamtoza gharama zozote atanishukuru baada ya kupona
@hahmadhabibu2076
@hahmadhabibu2076 Жыл бұрын
Tupe insta ao email yako
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 Жыл бұрын
MMungu akupe afya
@petermarash3705
@petermarash3705 Жыл бұрын
Nipe Io watsapp namber
@rashidmoursy5425
@rashidmoursy5425 Жыл бұрын
Whatsap number plz
@highthemetv7857
@highthemetv7857 Жыл бұрын
Weka namba stella
@barakakusa7606
@barakakusa7606 Жыл бұрын
Kumbe siyo nzuri‼️ Ila nimesikiliza vizuri ni kama ina faida zake pia au nimeelewa vibaya.🤔🤔
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
😂
@ivomhagama9796
@ivomhagama9796 3 ай бұрын
Hakuna faida yoyote ila ni hatari na maisha yako yanaandamwa na mapepo sanaaa
@ivomhagama9796
@ivomhagama9796 3 ай бұрын
Hakuna faida yoyote ila ni hatari na maisha yako yanaandamwa na mapepo sanaaa
@sidrasidra8616
@sidrasidra8616 Жыл бұрын
Mbona hajazungumzia nawana wake!?
@alfoncenkuwi615
@alfoncenkuwi615 Жыл бұрын
Anapatikanaje kwa namba yake stellah simon
@LodyRich8
@LodyRich8 3 ай бұрын
A
@hasheemomary4507
@hasheemomary4507 Жыл бұрын
🙌KAKA ISAC MIE NIMESIKIA FAIDA TU HAYO MENGINE NTAJUA MIE 😁
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
😂
@Manyara-Jr
@Manyara-Jr Жыл бұрын
🤣
@jipemoyopaul2212
@jipemoyopaul2212 Жыл бұрын
Hata mimi bro Hayo mengine watajua wao
@anisethbahati2079
@anisethbahati2079 Жыл бұрын
Kiroho ina madhara hatarii
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Жыл бұрын
@Boss Lady kiroho hadi wakuelewe kazi ipo
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Жыл бұрын
Irene dahhhh Irene Irene
@irenekamugisha
@irenekamugisha Жыл бұрын
😂😂😂😂
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Жыл бұрын
@@irenekamugisha kama umeolewa au una mtu huyo mtu Ana bahati sana 😄
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 Жыл бұрын
@@kennethbenjamin275 kwanini jamanii?
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Жыл бұрын
@@fatmazullu4933 namuelewaga sana
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Жыл бұрын
@@fatmazullu4933 nikimuonaga tu roho nafsi yngu inatuliaa
@suntzu8959
@suntzu8959 Жыл бұрын
Topic ngumu kwa dada mtangazaji
@delphiniusdeocress9798
@delphiniusdeocress9798 Жыл бұрын
Dawa pekee ni kukata mikono
@elissonchusi3899
@elissonchusi3899 Жыл бұрын
Hii nchi bwana Mecheka kifala
@delphiniusdeocress9798
@delphiniusdeocress9798 Жыл бұрын
@@elissonchusi3899 😂😂😂😂
@hazimamohammed1340
@hazimamohammed1340 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@jilalamaligisa6298
@jilalamaligisa6298 Жыл бұрын
Asee nimecheka sana hii comment😂😂😂😂😂
@KhadijaKiologweaa
@KhadijaKiologweaa Жыл бұрын
😂😂😄
@chulelubella2819
@chulelubella2819 5 ай бұрын
Doctor naona hautibu tatizo naona maelezo yako kama yanawahamasisha vijana waendelee na huu upuuzi.Kumbuka hili ni tatizo la kiroho sio kisayansi unaweza kutibiwa na bado ukaendelea.Sababu mojawapo ni kuwa unapojichua unakuwa unashiriki ngono na mapepo na zile mbegu unazotoa ndio zinaenda kuzaa watoto wa kishetani kuzimu,hivyo unaweza kuacha na kutibiwa lakini bado ukarudia rudia huu huu uchafu ni ngumu kuacha ,mpaka ufanyiwe maombi makali sana na sadaka ya utengano ya kuvunja agano hilo.Bila hivyo utatapeliwa sana na waganga
@chulelubella2819
@chulelubella2819 5 ай бұрын
Nikuambie tu huuuchafu hauna faida yoyote Bali unahasara asilimia 500
@ivomhagama9796
@ivomhagama9796 3 ай бұрын
Nikuacha upuuzi huu aseee
@habibubinmoss72
@habibubinmoss72 Жыл бұрын
Kwenye izo faida najiskia farajaaa😅😅😅
@Manyara-Jr
@Manyara-Jr Жыл бұрын
🤣🤣
@anisethbahati2079
@anisethbahati2079 Жыл бұрын
Angalia mathara spiritually ndo utajuaaa
@KhadijaKiologweaa
@KhadijaKiologweaa Жыл бұрын
😂😂
@ivomhagama9796
@ivomhagama9796 3 ай бұрын
Acha umbumbumbu hakuna faida ila kipigo. Cha madhara utaona mbeleni acha
@lemonadesoldier1377
@lemonadesoldier1377 Жыл бұрын
Anaetaka Tiba na dawa za kujiçhua anitafute napatika Tatizo litamwisha kabisa .
@iddimasika1173
@iddimasika1173 Жыл бұрын
Upo wp
@iddimasika1173
@iddimasika1173 Жыл бұрын
Iko wp no yako ya cm tukutafute
@highthemetv7857
@highthemetv7857 Жыл бұрын
Weka namba
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 Жыл бұрын
Mwanaume anayejichua ni mzuri Sana coz anakuwa hakusumbui Sana unakuwa husumbuki kuoga asubuhi ili uswali
@ChoroTesla
@ChoroTesla Жыл бұрын
😂😂😂
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 Жыл бұрын
Duuh😃
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 Жыл бұрын
Wow!
@shyllahnekesa216
@shyllahnekesa216 Жыл бұрын
Wakenya wanasema kunyonga
@raphaelmheta
@raphaelmheta Жыл бұрын
😂😂😂
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Жыл бұрын
Duuh😂😂😂😂😂
@petermahimbo3458
@petermahimbo3458 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 Жыл бұрын
Huku tunaita kujikunjua
@SebastianRitte-un8yw
@SebastianRitte-un8yw 2 ай бұрын
Ndugu zenu wa Tanzania wanaitaga nyau
@stanslauschatata3483
@stanslauschatata3483 Жыл бұрын
Sema faida zake ndo unyama🤣🤣
@wilsonchishomi1083
@wilsonchishomi1083 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@ChoroTesla
@ChoroTesla Жыл бұрын
kuna na mawazo pia perfomance Anxiety kiuoga ka kufanya lile jambo ila excessive masturbation si nzuri. kiafya manake too much is harmful....
@jescaclemency-gr4tm
@jescaclemency-gr4tm Жыл бұрын
OK
@gaddafimohd4129
@gaddafimohd4129 Жыл бұрын
Mtangazaji Ana blush
@hamzabeka9620
@hamzabeka9620 Жыл бұрын
Uckute mwenyew ashawah kujichua
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 18 МЛН
"Mawazo" Sehemu Ya 52 (Thoughts) Dr Elie VD.Waminia.
37:57
Chomoza Tv
Рет қаралды 6 М.
HAKUNA MAPENZI WALA HURUMA KATIKA NDOA ZA LEO// SHEIKH OTHMAN MAALIM
26:38
MAMBO YA KUZINGATIA  NDANI YA CHUMBA CHA USAILI WA KAZI/JOB INTERVIEW
12:52
Dr Isaac hatari ya PID,dalili na tiba.
9:40
The XO
Рет қаралды 29 М.
бим бам бум💥💥 типа..
0:18
Ma1x1
Рет қаралды 6 МЛН
Принципы...
0:23
Это точно смешно
Рет қаралды 2,4 МЛН
КАРОЧЕ НЕУДОБНАЯ СИТУАЦИЯ😱🔥 #shorts
0:45
ПОПОВИЧИ
Рет қаралды 7 МЛН