MKE WA DR MWAKA, WATOTO WANGU NALEA MWENYEWE ,SINA MPANGO NA NDOA KWA SASA , BIASHARA TU

  Рет қаралды 41,172

Lokoma Tv

Lokoma Tv

10 ай бұрын

KWA HABARI , SIASA, MICHEZO NA BURUDANI USISAHAU KU SUBSCRIBE KZfaq CHANNEL YETU YA LOKOMATV HAPA
Follow Us On:
INSTAGRAM: shorturl.at/wFP67/ || shorturl.at/jwQSU
TWITTER: shorturl.at/luzLZ
FACEBOOK: shorturl.at/rCL12
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 Empire Lokoma Limited . 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#yanga #simba #yangasc #simbasc #simbavsyanga #tff #nbcpremeireleague #mwakinyo #samatta #zuchu #wizkid #Davido #nandy #wasafi #diamondplatnumz #alikiba #harmonize #instalive #youtubelive #mboso #lavalava #beyonce #Mariacare #mwijaku #babalevo #hbaba #kondeboy #afrima #notjustok #exclusive #lokomatv #trending #tanzania #marioo #mrpimbi #rickmedia #millardayo #ayotv #simulizinasauti #utamu #mpenjatv #globaltv #bonatv

Пікірлер: 77
@asiamerey9081
@asiamerey9081 9 ай бұрын
Hasbiallah waneemal wakeel Bismillah Mashallaah yani wewe dada ni mzuri mpaka mzuri tena kama umetoroka peponi wallah
@aminajuma4743
@aminajuma4743 8 ай бұрын
@zawadidadzie2600nadhan hujamuelewa hajamaanisha kwamba kwa Dr mwaka ni peponi kasema urembo wake kama mrembo flan alietoroka peponi
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 8 ай бұрын
Background drums zimeharibu interview
@zulekhaal-mandhry757
@zulekhaal-mandhry757 6 ай бұрын
Masha Allah keep going lea watoto wako usirudi nyuma
@huldamichael4445
@huldamichael4445 8 ай бұрын
Nimeipenda hiyo "nice one".😂😂😂
@user-rg8wj6tu1m
@user-rg8wj6tu1m 8 ай бұрын
Interview yenu inakelele sana haijatulia
@user-zd6lv4il1t
@user-zd6lv4il1t 8 ай бұрын
Yes Dada lazima uwe matured
@vickytorry100
@vickytorry100 8 ай бұрын
Hongera rangi ya yellow unaipenda kwa nguo na ngozi yellow
@asiamerey9081
@asiamerey9081 9 ай бұрын
Mungu akuepushe na Hassad za walimwengu
@hawaomary1957
@hawaomary1957 8 ай бұрын
Kwa hapo Umekomaa kiakili my dear hasa upande wa dini hujaweza kuyumba kwenye dini umebaki na msimamo uleule wa kubaki kwenye uislam kwa ajili ya kuepuka kuyumbisha watoto kwenye dini allah akufanyie wepesi na atakulipa maana ameona moyo wako. Na usilazimishe mtu ajue moyo wako.akijua mungu inatosha
@christinamwangoc4779
@christinamwangoc4779 7 ай бұрын
Sasa anahojiwa kama mwanamke alie achana na shujaa, sijapata point
@rukiaabdul7191
@rukiaabdul7191 Ай бұрын
Wewe huna uislam wowote.Mwanamke wa kiislam anajistiri.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 7 ай бұрын
Kama kweli DR Mwaka alikuwa mbaya kihivyo mbona jina lake Ndo huwa kichwa cha habari? Dr Mwaka sio Malaika hukosea kama binadam wengine, kama kweli hamtumii nyota yake muwe mnamtaja mtalaka wake Kwa jina lake , namuombea kila la Kheri Ila asikubali mahojiano yanayohusi x wake , hata nyinyi waandishi msipende saana kuchonganisha, DR Mwaka kumuoa huyu binti imekuwa kama adhabu Sasa kwake , mwacheni dada apambane na Mungu Ndo mtoa rizk Ila msipende kuweka vichwa habari vya Dr Mwaka huku hapo hausiki tena
@Mateen7912
@Mateen7912 8 ай бұрын
Jamani mjukuu wa bibi yangu Mama Masanja wa Kisosora Tanga Lulu Masanja RIP ndio mama yako kina Osca Masanja
@marabamasheku637
@marabamasheku637 7 ай бұрын
❤❤❤❤
@user-sj7fn1wt6d
@user-sj7fn1wt6d 8 ай бұрын
NEEMA YA MUNGU IKUTEMBELEE UMRUDIE YESU.
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 8 ай бұрын
Na sjui Kwa nn mnapenda kumtaja yesu kweny comment mhhh
@neemadaniel9209
@neemadaniel9209 8 ай бұрын
​@@nahlahassan-fd6lekwani Kuna ubaya
@agnessima5032
@agnessima5032 7 ай бұрын
​@@nahlahassan-fd6lehata watu hupenda kumtaja Allah sijui kwa nini?
@jyjang6155
@jyjang6155 8 ай бұрын
Waooo kijitonyama sekindari nimesoma pia❤
@aminajuma4743
@aminajuma4743 8 ай бұрын
Sauti ya music ipoh jus hatak mtumba haskii.vzr ukiongeza Saudi keeler zinazid
@user-ix9rn5yh4l
@user-ix9rn5yh4l 2 ай бұрын
hata iwe vipi usijekumdai matumizi ya watoto
@user-ix9rn5yh4l
@user-ix9rn5yh4l 2 ай бұрын
mpeni kichwa hio uzuri ina mwisho
@mbaroukrashid6201
@mbaroukrashid6201 7 ай бұрын
ELIMU KUBWA KWA BINADAMU KWANZA NI KUMTAMBUA MOLA WAKE UMEVUA MITANDIO UPO UCHI THEN UNAJISIFIA 😅😅
@methodpeter1323
@methodpeter1323 3 ай бұрын
mtangazaji nisaidie kumpata huyo hata kama anakataa Tena ndoa nisaidie
@samiramohamed5925
@samiramohamed5925 8 ай бұрын
The music is so loud
@ummuraw6372
@ummuraw6372 8 ай бұрын
Muonea huruma sana huyu dada hta kma alipta matatizo kwa mume hakutakiwa amkere na mola wake nahisi katangaza vita na Mola wake. Allah amuongoe hamkomoi dr mwaka anakomoa nafsi yke ikiwa hakubadilika atakuja kujuta
@jacqueli18
@jacqueli18 8 ай бұрын
Sawa mwaya😂😂😂😂😂njaa itakuua
@stellafurael2925
@stellafurael2925 7 ай бұрын
Dada queen sio muislam mwenzio alibadili dini kwaajili ya ndoa
@liliantemu2709
@liliantemu2709 7 ай бұрын
Mshauri awe ba duka lake la nguo na urembo atatoboa
@methodpeter1323
@methodpeter1323 3 ай бұрын
naomba unijb
@stellacosmacy4785
@stellacosmacy4785 7 ай бұрын
Nikuombee tufanye kazi wote
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 9 ай бұрын
Huna mpango wa ndoa lkn kuzini ndio mnapenda
@deboramartin8111
@deboramartin8111 9 ай бұрын
Tulia ww shoga wa kiume
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 8 ай бұрын
Unaongea tu kw avile. Aliopoitia we ujapitia
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 8 ай бұрын
​@@deboramartin8111Tena shogale😅
@annakbunga8377
@annakbunga8377 8 ай бұрын
Ujuwi mtu anapitia Nini akuna mwanamke asie taka kuolewa kaka
@agnessima5032
@agnessima5032 7 ай бұрын
Amekwambia anapenda uzinzi???😢
@CatherineKabelege-te3yo
@CatherineKabelege-te3yo 9 ай бұрын
Uyu dada ana akili
@user-ix9rn5yh4l
@user-ix9rn5yh4l 2 ай бұрын
ndio maana
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 8 ай бұрын
Muislam gani ama muislam wa kisasa maana ujajisitiri sura
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 10 күн бұрын
Huo ni Uislamu wa kisasa hujaona misikiti ya ulaya mtu anaingia msikitini kavaa kapelo akifika anaigeuza anasali kisha akimaliza ibada anarudi zake achana na uislamu wenu wa kizamani wa kiarabu wenye mashart mengi kama uganga wa kienyeji
@methodpeter1323
@methodpeter1323 3 ай бұрын
mmeachana kwer ? nichk in Bobo bc
@elizabethmuli5911
@elizabethmuli5911 8 ай бұрын
Karibu Kenya kwa pastor Ezekiel wa new life church,ufuguliwe kwa vile ulikuwa mchepuko kwa hio ndoa,kwa maana ulikuwa umeoleka mke wa pili,njoo uvunje Roho ya taraka na upate ndoa ya kwako peke yako iyo ya ku shere
@onlyonetztv610
@onlyonetztv610 8 ай бұрын
Acha utapeli wewe
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 8 ай бұрын
Hiyo ndoa ya mke mmoja lakini huyo mwanaume wa mke mmoja ana michepuko kila kona tofauti ipo wapi maana nawashangaa mimi nyinyi wenye ndoa moja lakini hamutulii na huyo mmoja bado munawaendea nje
@vailethmbulule8339
@vailethmbulule8339 8 ай бұрын
​@@FatimaAli-of4ghkuna baba ana wake watatu lkn anachepuka mpaka na mabint wadogo😂😂
@mamitomamita6284
@mamitomamita6284 9 ай бұрын
Bui bui liko wapi Leo ?
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 8 ай бұрын
Buibui ndio nn na ww😂😂😂😂
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 8 ай бұрын
Ataonekana vipi nawadogozake mwaka Duniani😂😂
@agnessima5032
@agnessima5032 7 ай бұрын
​@@salamasaidi6620😂😂😂the
@ashaali7154
@ashaali7154 8 ай бұрын
Uroho wa umaarufu una mwisho wake. Ndoa umeikataa mwenyewe na ukadai talaka kwa nguvu sasa kazana kulea watoto maana kila jambo zuri lina ubaya wake pia.
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 8 ай бұрын
Hayajakufika ila siku yakikufika ndo utaelewa, utatambua kama hakuna mwanamke anaekataa ndoa pasi na sabab za msingi, narudia Tena, hayajakufika na uombe yaskufike
@elimidakashumba2422
@elimidakashumba2422 8 ай бұрын
Mh!
@theresiamwandara7990
@theresiamwandara7990 8 ай бұрын
Km unaona kwako ndoa ndio maisha endelea nayo na acha kuyaangalia ya wengine
@pueblo148
@pueblo148 8 ай бұрын
Aliacha mwaka kulea watoto.mwaka mzima hatoi matumizi Sasa si Bora uwe huri ujipange badala ya kua na nfoabjiba?
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 8 ай бұрын
​@@nahlahassan-fd6leKweli umesema sawa.
@nailaomar4810
@nailaomar4810 9 ай бұрын
Peponi tena usinichekeshe😅😅
@awadhally1052
@awadhally1052 9 ай бұрын
Chiz huyo hajielew wana wake wa pepon ata mfano wake tu huku duniani hamna
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 9 ай бұрын
@@awadhally1052 Aache kufuru...wazuri hawajitembezi😃
@asaadalbusaidi1870
@asaadalbusaidi1870 9 ай бұрын
Ndowa ya nini nawewe mzuri na tendo la ndowa au zinaa siunafanya freshi tu pesa ndokila kitu mungu aloamrisha watu waoane hana maana pumbavu zako
@user-ih9xy5vd5d
@user-ih9xy5vd5d 7 ай бұрын
Ebwana umesoma shule gani aisee? Hata kuandika kuwezi duuu😅😅
@TimciTanzania
@TimciTanzania 8 ай бұрын
Mwandishi mbona kama na wewe unamtamani mama wa watu
@BerthaModest
@BerthaModest 8 ай бұрын
Yani😂😂ila wangependezana ee
@jescajulius8023
@jescajulius8023 8 ай бұрын
@@BerthaModest San tu
@user-db2hi8jn3e
@user-db2hi8jn3e 8 ай бұрын
Yaani mtangazaji mroho huyo
@asiamerey9081
@asiamerey9081 9 ай бұрын
Hasbiallah waneemal wakeel Bismillah Mashallaah yani wewe dada ni mzuri mpaka mzuri tena kama umetoroka peponi wallah
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 8 ай бұрын
Subuhanallah...lntakillah
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 8 ай бұрын
Mtangazaji akiri yake inasema daah bonge la lishangaziiii😀😀😀
@elizabethmuli5911
@elizabethmuli5911 8 ай бұрын
Karibu Kenya kwa pastor Ezekiel wa new life church,ufuguliwe kwa vile ulikuwa mchepuko kwa hio ndoa,kwa maana ulikuwa umeoleka mke wa pili,njoo uvunje Roho ya taraka na upate ndoa ya kwako peke yako iyo ya ku shere
@onlyonetztv610
@onlyonetztv610 8 ай бұрын
Acha utapeli wewe Tapeli mchanga
@gonsalvamswaga6471
@gonsalvamswaga6471 8 ай бұрын
MMMHHHH
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 8 ай бұрын
​@@onlyonetztv610😂😂😂😂
@onlyonetztv610
@onlyonetztv610 8 ай бұрын
@@nahlahassan-fd6le 😂😂😂
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 22 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 16 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 10 МЛН
ANZA BIASHARA YA JUICE YA MIWA LEO
3:20
Tanzania Kilimo digital Tv
Рет қаралды 269
Don’t Stealing 👵Moral Stories for kids #kidsvideos #goodhabits #youtubekids #cartoon
0:21
Elizabeth and Briceida Learning & Fun
Рет қаралды 30 МЛН
Папа гений
0:23
Вельзевул
Рет қаралды 2,3 МЛН
Neden yüzünü saklıyor
0:19
H. DANIŞIK
Рет қаралды 34 МЛН
Папа гений
0:23
Вельзевул
Рет қаралды 2,3 МЛН
这是王子儿子吗
0:27
落魄的王子
Рет қаралды 20 МЛН
tom with Jerry 😱 #funny
0:12
Nemi Shorts
Рет қаралды 18 МЛН