Dada umegusa nnapopataka nataman sana na mm nifnye icho kitu unachofanya ww shukran sana kwa kuntia moyo nimejifunza🙏
@viatorykashabizi253813 күн бұрын
You really made good choice,for,teaching gives enough time to do other things apart, while can be also part of the business. So keep it up, for, you're the future bigest and richest businesses person
@ganganainfochannel13 күн бұрын
Thanks a lot
@ereswidamoshi7404Ай бұрын
Mdada smart , watangazaji mnaboa
@sikukuuchuo30932 ай бұрын
Smart Brain ❤❤❤ historia yako inasisimua na mafunzo
@japhetmsafiri24 күн бұрын
woow very smart. Hongera sana dear...
@jscatherine2929 күн бұрын
Kuweza kuongea na hao waandishi kashafanyia kazi ualimu wake 😂🤌
@eugenejr.8844Ай бұрын
Waandishi hovyoo kabisaa. Mkiuliza swali muacheni anaeulizwa aongee mpaka mwisho. Pia ulizeni maswali bora.
@vapromamassawe89374 ай бұрын
young,beautiful,and smart 🔥🔥🔥
@DosianaLulakuze-bv7fg25 күн бұрын
Naipenda sana hii biashara
@faustalymoonesmo45322 ай бұрын
Watangazaji wanaongea Sana lakini maswali ya msingi wanaacha kuuliza
@victornkonjelwaАй бұрын
I wish ningemsikia huyu dada kwa watu ambao wako serious, watangazaji wameshindwa kujua namna ya kuhandle interview kulingana na nahudhui yake, full masihara, wanakatisha point muhimu, wanaongea kuliko muhusika, wanasafari kubwa ya kujifunza kuwa bora
@ganganainfochannelАй бұрын
Nipe 5 , ni kipindi cha masihara, ila ukikiangalia kwa makini hakuna masihara.
@TusaKiblaga-vp9jg2 ай бұрын
Hongera san kipenz
@angelsultan962823 күн бұрын
Aiseee watangazaji mnaboa, mwacheni mtu aleleze
@ganganainfochannel23 күн бұрын
Ok
@AmosNhandi3 ай бұрын
Shida mnaongea Sana watangazaji kuliko mhusika
@ganganainfochannel3 ай бұрын
Unanongwa wewe
@witneynairas2803Ай бұрын
watangazaji hovyo sana
@ganganainfochannelАй бұрын
Asante studio.
@jakalajuma16252 ай бұрын
Watangazaji masiala kibao dada yupo serious na majibu ya msingi
@ganganainfochannel2 ай бұрын
Kaka hicho kipindi ni cha masihara.
@user-gk6et7yg3xАй бұрын
@@ganganainfochannelkama cha masihala msiweke vitu vya msingi waekeni kina bambo mje mfanye masihala
@ganganainfochannelАй бұрын
Naona umeamua kutupangia sasa😀
@user-gq3pv4nm4g3 ай бұрын
Go valentina🙏🏿🙏🏿
@selinajohn355222 күн бұрын
Nataman kuwa mfanya Biashara Sana nawazo Hilo lakn kuanza ndo nawaza
@MANJINZELLA2 ай бұрын
Good
@haidhautumwahawezikuisha87793 ай бұрын
Safi sana
@dullayomwinyi33592 ай бұрын
Nimependa jinsi ulivyohasi sana mwaya
@RebecaMackenziАй бұрын
Hasi au chanya?
@bartondidas84928 күн бұрын
❤
@jaquilinekabadi3723 күн бұрын
Watangazaji mmeboa👎
@ramadhanichuma792511 күн бұрын
Huyu Dada kama sijamfananisha niliwahi kufanya nae kozi 834kj makutupora