MREMBO ALIYEJENGA NYUMBA 3, ALIACHA KAZI, "MOJA MIL 280, WANANIITA FREEMASON".

  Рет қаралды 156,583

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 516
@tamuafrikastudios6251
@tamuafrikastudios6251 Жыл бұрын
Nafikiri angeweza kueleza namna ambavyo amerweza kupambana kuliko kuelezea maisha aliyonayo. Watu wanapenda kusikia steps za kufuata ili na wao wajifunze.
@enelybukuku6902
@enelybukuku6902 Жыл бұрын
Hongera Sana mdogo wangu,hakika umepambanana.wanawake tunaweza Tena tukijiamini tunafanya Mambo makubwa
@michaelngadi8178
@michaelngadi8178 Жыл бұрын
Congratulations dada masipetii uko vzr # ni maamuzi magumu xana kuacha kazi na kujiajiri ukiamn ndo Moja ya njia ya kutoboa kupitia biashara # keep going # uthubutu, kujituma, na nidhamu ya pesa ndo imekufanya uwe hapo pia baraka za mungu kupitia wazazi # kuhusu biashara ameshasema yey amejikita kwenye kuuza bidhaa za kuwasaidia wanawake Kwa wanaume katika mambo ya uzazi na amesomea pharmacy # hayo mengne ni additional au feeling zake
@winniecharles8883
@winniecharles8883 Жыл бұрын
Congratulation dear nami napenda kufanya biashara
@marymwamwezi4837
@marymwamwezi4837 Жыл бұрын
Hongera sana mdogo wangu nimekupenda na mungu akubariki Sana Sana Sana. Naitaji ushauri wako
@rebekamutta3033
@rebekamutta3033 Жыл бұрын
Hongera sana dada. Mungu azidi kukupandisha
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 Жыл бұрын
Bahati nzuri nimeangalia hii interview kupitia WI-FI, Naweza sema ni mojawapo ya interviews mbaya kuwahi ziona. Mbali na majigambo sijaona content ambayo inaelezea footprints zake, hicho ndicho audiences walikitaka. Bora angesema ka trade forex au crypto currency tujue moja, au alipata mentor aliyempa connection za uhakika za import products za China...
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 Жыл бұрын
Majigambo sana
@mwitaagness455
@mwitaagness455 Жыл бұрын
Mpk nimeacha kuangalia
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Жыл бұрын
Naunga hoja
@kanyanga0852
@kanyanga0852 Жыл бұрын
Maisha ni Siri nzito, mwingine anasema aliuza mihogo, mwingine vitumbua na mwingine mambo mengine ukiyafuata utajikuta upo somaria, anyway ni ya kuangalia tu hayo mambo ya familia masikini aka fukara
@joelsamwel2580
@joelsamwel2580 Жыл бұрын
Uyo dada namjuaaa ni tapeli anakuzia dawa kwa laki 3 ukauze anakwambia utapata faida ya laki 6 muongoooo sana
@lyidiakaburure8129
@lyidiakaburure8129 Жыл бұрын
Hongera sana Dada ukweli umenifurahisha sana natamani nionane na were uniambukize upako wa kutafuta pesa Mungu aendelee kukutunza.
@jacklinemassawe-cz8it
@jacklinemassawe-cz8it Жыл бұрын
Usingetaja zaka ningeona fremason na mm😂😂😂😂😂 zaka ndo kila kitu. Zaka kamili baraka kamili. Ngoja niendelee kuangalia sasa naomba umeze mate kidogo shoga angu❤❤❤❤❤❤❤❤
@innocentcareen818
@innocentcareen818 Жыл бұрын
Toa zaka mama kikamilifu utaongezewa na kuongezeka
@favourfranciss2111
@favourfranciss2111 Жыл бұрын
Tumekuwa inspired 🙏Thank you Millard 🙏You are the best
@venniealloyce2174
@venniealloyce2174 Жыл бұрын
Congratulations 👏 may God keep bless you 🙏
@edwinmtei9400
@edwinmtei9400 Жыл бұрын
Ndo miaka 29 mitaa ipewe jina lako na serikali ilikataa na wanaona ujinga huu, halafu ukiona una pesa unajisifu jua kuna walakini
@ernestamnyanyi9603
@ernestamnyanyi9603 Жыл бұрын
Your inspiring me
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono Жыл бұрын
Safi sana mass peti mwewe ni mfano wa kuigwa nimeelewa zaka na sadaka
@mcback4384
@mcback4384 Жыл бұрын
positive chanya ndio vizuri, negative ni hasi naona unayachanganya, kikubwa ninachokuunga mkono ni fungu la 10, nimefanya kazi mwaka mzima sikujua mshahara wangu ulipokua unaenda wote ila baada ya kutoa fungu la 10 miezi miwili tu nimeona mafanikio makubwa, hilo nakuunga mkono
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
Hahaha, positive nyingine nzuri hasa kucheki afya mf HIV test, na magonjwa mengine
@barakakusa7606
@barakakusa7606 Жыл бұрын
Ukitaka kuelewa vizuri positive na negative nenda ukapime Vvu ndy utajua yupo sahihi 🤣🤣🤣
@castorymhoja6050
@castorymhoja6050 Жыл бұрын
Muongopeni mungu sema ukweli kujenga sawa umuli na mda wa kazi hauendani agekuwepo magufuli ulitakiwa ukanguliwe biashara yako acha uongo .unabiashara nyingine umeificha
@imankyamba4424
@imankyamba4424 Жыл бұрын
Ina maana Magufuli alikuwa anakomoa watu au sio ndio maana hayupo leo
@claramrosso2566
@claramrosso2566 Жыл бұрын
Dada muongooo
@dorcassoza6416
@dorcassoza6416 5 ай бұрын
Ni roho Mbaya, ukichukua maamuzi magumu kila kitu kinawezekana, ni akili tu
@dorcassoza6416
@dorcassoza6416 5 ай бұрын
Achane roho Mbaya, kwenye biashara inawezekana kabisa, mshahara ni pesa ya kutunza familia
@devisshirima6780
@devisshirima6780 Жыл бұрын
Cha msingi hapa ni kila mtu apambane tuu, mafanikio ya mtu yakupe wivu wa kupambana ili kuyafikia malengo yako. Na watu mjifunze pia sadaka huwa inanena !! Kama Mungu ndiye aliyemuwezesha na akuwezeshe wewe na mimi pia !! Tupambane tumheshimu Mungu na tutafute hela !!
@nassirmohamed8492
@nassirmohamed8492 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@angelavayinga914
@angelavayinga914 Жыл бұрын
Kweli kbs tutafute hela
@floraflora5964
@floraflora5964 Жыл бұрын
Kweli
@evalinmsengi4327
@evalinmsengi4327 Жыл бұрын
Samahan Dada naomba mawasiliano yako ili unisaidie kitu tushee mawazo naomba sana
@philipphanuel9558
@philipphanuel9558 Жыл бұрын
Biashara mtandao ndio nini
@minjesha
@minjesha Жыл бұрын
Hongera sana masipeti..ila kitu kinachonikwaza ni kuweka account private ya instagram..ni bora ungefungua ndio ungepata watu wengi zaidi..Anyway kuhusu jiko la nyumba unasema ni quality sana yes ni zuri ila jiko dogo sana..jiko langu ukiona mamy..its very big..kubwa la kutosha..kibongo bongo umeweza sana..hongera..
@dottohami
@dottohami Жыл бұрын
Masha Allha hongera sana dada umeweza mpenzi 👌😘🔥wacha na mm nipambane huku🇴🇲
@hamadgimat5669
@hamadgimat5669 Жыл бұрын
Hongera Sana na mungu azidi kukulinda hasa katika swala zima. Lamapenzi kwa wazazi na mtoto
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 Жыл бұрын
Amiina
@precioussilungwe7365
@precioussilungwe7365 Жыл бұрын
Umenitia hasira ya maisha...umri wako na mambo yako tofauti it's like u re my daughter...hongera sana sana.
@GladnessMarandu-qp3oz
@GladnessMarandu-qp3oz Жыл бұрын
Mwenyez Mungu na akujalie hitaji la moyo wako dada,pia nahitaji ushauri kutoka kwako ,
@boashamah3642
@boashamah3642 10 ай бұрын
Money Talks my dear friends And well done my big sister ❤
@christinachazy8644
@christinachazy8644 Жыл бұрын
Hongera sana natamani kufika hapo ulipo ngoja nipambane nakosea San kutokuto fungu la kumi
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 Жыл бұрын
Kweli NGUVU za kiume ni janga aisee namimi soon ntaanza kuuza by the way hongera sana
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 Жыл бұрын
Jaman hongera sana mdg wangu
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Hongera sana 😍💪
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 Жыл бұрын
Majigambo Kwa sana
@lucymrosso6930
@lucymrosso6930 Жыл бұрын
Nmekupenda sn. Asante
@user-im3nb1ed2e
@user-im3nb1ed2e 6 күн бұрын
Mimi nataka hunisaidie nipo mozambique nakupenda sana
@annaluciahillary5107
@annaluciahillary5107 Жыл бұрын
Nimekupenda San dada🥰🥰🥰
@gasgartv6931
@gasgartv6931 Жыл бұрын
Dada angu masipety Mzungu sana Ana roho safi sana
@kulwanzobe7657
@kulwanzobe7657 Жыл бұрын
Hongera Sana Dada kwa kupambana
@hidayamotto7210
@hidayamotto7210 Жыл бұрын
Seema biashara gan unafanya bas🤣unajisifia mnoo
@user-md1os3ye2g
@user-md1os3ye2g 5 ай бұрын
Hongera sana mwanangu umeugusa moyowangu napendasana ujenzi. Natamani hataningeongea nawewe binafsi
@DanielJames-of7yr
@DanielJames-of7yr Жыл бұрын
Uko vizuri Sana dada, naomba tuwasiliane unisaidie kitu
@florabuzoya3948
@florabuzoya3948 Жыл бұрын
Woow congratulations
@joyceabeli3787
@joyceabeli3787 Жыл бұрын
Nimekupenda sana dada pia napenda sana watu wapambanaji na wanaotia nguvu nasio wanaokatisha tamaa sijui kwanini mtu akishindwa anakatisha tamaa
@gentlethegentle9607
@gentlethegentle9607 Жыл бұрын
Mbona sijaelewa lengo la hii clip. Ni biashara ya nyumba? au yeye mwenywe?😄 mara anasema yey ni single mother lkn hawez sema kma yupo single.😄
@hapinessobeth4131
@hapinessobeth4131 Жыл бұрын
Ujiunge na neolife ndo wanachotaka
@fikamanciya8190
@fikamanciya8190 Жыл бұрын
wow wow what a beautiful
@fikamanciya8190
@fikamanciya8190 Жыл бұрын
I'm coming to buy a property in your country
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Жыл бұрын
KAMA HUJAELEWA AYO TV ANATAKA NA SISI WAZEMBE TUAMKE NA KUTIA BIDII ILI TUJIKWAMUE KIMAISHA.
@athumanimhanga2053
@athumanimhanga2053 Жыл бұрын
Mbona simuelewi kwaza biashala gani anafanya
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
Hongera sana ila ninachojua mm mafanikio ni siri ya mtu
@gracekenan4665
@gracekenan4665 Жыл бұрын
Umesema kweli unaweza ukaanza biashara iyo wewe usitoboe ....watu Huwa hawasemi behind hizo biashara
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
@@gracekenan4665 ni kweli watu wengi hawasemagi ukweli
@joelsamwel2580
@joelsamwel2580 Жыл бұрын
Wohii huyu dada ni tapeli alituita makumbusho melinium tower atupe mchongo wa kujiajiri akatuambia tununue dawa kwa laki 3 tukauze tutapata faida ya laki sita na atatusapoti kupata wateja mweee mweeee sio poa mjoja wetu alitoa hela yake hakupaata wateja wala hakuuza chochote na pale alipo kuwa anasema ndo offisi yake hakumkuta jamani ninacho wambia ninakijua msije mkamtafuta huyu dada ni mwiziiiiii
@veronikamwampashe984
@veronikamwampashe984 Жыл бұрын
Axante sana dunia imeisha
@shamimushittindi1418
@shamimushittindi1418 Жыл бұрын
Waambie
@immabahatiimmabahati2373
@immabahatiimmabahati2373 9 ай бұрын
Huyu dada alitaka kunitapeli 1 million ila nilimshitukia huyu ni tapeli kila siku akaunti mpya kumbe ndo pesa zetu unajengea nyumba ukishatuma tu pesa unabrokiwa😂😂😂😂
@NeemaMuna-eq2cg
@NeemaMuna-eq2cg Жыл бұрын
Safi sana unaweza kunielekeza na mm dada
@siriyangu4724
@siriyangu4724 Жыл бұрын
Izo comments noma 🤣🤣🤣mashallah lkn dda kila atakula kwa urefu wa kamba yke alaaah 💃
@maryamkhamis724
@maryamkhamis724 Жыл бұрын
Asalaam aleykum huyu dada muongo sana na ni mwizi wallah katuibia pesa huyu dada karibia milioni mbili tulitaka dawa za uzazi na matatizo mengine nasi tukamtumia pesa wallah naapa na Mie muislam huyu dada hatujamsamehe ataenda kutulipa kesho AKHERA in sha Allah Yaani Ata siamini Kama kachukua pesa ekesha haja tutumie dawa kila nikikumbuka roho inaniuma sana Allah atatulipia kwa huyu dada mwizi anaibia watu pesa kuhusu dawa munaongea na Sim uzuri unatuma pesa ekesha hatumi dawa wala nn izo Mali za utapeli nenda uko bonge unanenepa kwa Nguvu za watu looo 😢😢
@jasminmayumba9421
@jasminmayumba9421 Жыл бұрын
Pole sana dada, hakika Allah atakulipia
@shamimushittindi1418
@shamimushittindi1418 Жыл бұрын
Ni ukweli tapeli mzoefu huyu Kuna rafiki yangu pia alimtumia pesa ya dawa za uzazi kamkalia kimyaaa muongo sana
@maryamkhamis724
@maryamkhamis724 Жыл бұрын
@@jasminmayumba9421 Ahsante sana ndugu yangu hakika malipo yapo kwa Allah
@maryamkhamis724
@maryamkhamis724 Жыл бұрын
@@shamimushittindi1418 tena muongo sana huyu dada kwa Kweli Allah yupo atatulipia haki ya mtu haipotei
@esterdoriye8377
@esterdoriye8377 Жыл бұрын
Milard ayo umekosea kumpa mic 🎤 aongee mwanzo mwisho ungemuhoji wenye mafanikio wanataja hiyo biashara anayoficha
@jenifagerald1822
@jenifagerald1822 Жыл бұрын
Ndio hapo,,,,mbn hataji hiyo kazi ili na sisi tujifunze
@Nairathotmail
@Nairathotmail Жыл бұрын
@@jenifagerald1822 mwizi ndo maana saivi kaja na huku apate kuibiya watu zaidi
@user-fq7rq3sb9c
@user-fq7rq3sb9c 7 ай бұрын
Nimekupenda mnoo mdogoang hongera sana
@ShamsiaShamsia-qr4lh
@ShamsiaShamsia-qr4lh Жыл бұрын
Mashallah ❣️♥️ asante Sana
@lemalema3613
@lemalema3613 Жыл бұрын
Well done. So inspiring. Keep it up.
@petermuhoro2236
@petermuhoro2236 Жыл бұрын
napenda unicanue kama ifo, napenda kuwa kama wewe tafadhali
@petermuhoro2236
@petermuhoro2236 Жыл бұрын
nakusikilisa sawasawa
@nawandafamito500
@nawandafamito500 Жыл бұрын
Yani nimempenda mpaka raha, na mwenyewe yupo na furaha ya ushindi, hongera sana
@MyMercy84
@MyMercy84 Жыл бұрын
Big up Masipeti
@hubman6780
@hubman6780 4 ай бұрын
Hongera dada iwe iwavyo hongera dada yangu🎉🎉🎉🎉
@jitabojilala6162
@jitabojilala6162 Жыл бұрын
Barikiwe sana
@nambuacassandramlaki3516
@nambuacassandramlaki3516 Жыл бұрын
Hongera sana,umeweza.
@rehemamfugale4388
@rehemamfugale4388 Жыл бұрын
Hongera sana, naomba na mm unishike mkono mm ni dereva wa maloli, sema trela
@melch3097
@melch3097 5 күн бұрын
Umeshapata kazi, tutafutane
@samorasanga2230
@samorasanga2230 Жыл бұрын
Hongera sana mfamasia wenzangu naomba Namba yako Kwa mawasiliano
@kamogesamuel2461
@kamogesamuel2461 Жыл бұрын
Mimi ninaheshimu watu proactive. Ninaomba kuongea nawe zaidi ili kujifunza jambo.
@timoliiisaya3824
@timoliiisaya3824 Жыл бұрын
@@kamogesamuel2461 we baki na njaa zako ustegemee utakua Kama yeye😆
@uviko8848
@uviko8848 Жыл бұрын
Biashara yake Ni ya mtaji mkubwa Ana pharmacy anauza madawa, madawa yanalipa sana faida Ni nusu kwa nusu. Ukieka mia unapata Mia mbili.
@zaitunirajabu1317
@zaitunirajabu1317 Жыл бұрын
True kabis 🤸🤣🤣inapesa chafy
@uviko8848
@uviko8848 Жыл бұрын
@@zaitunirajabu1317 sanaaa
@kelvinnjawike1808
@kelvinnjawike1808 Жыл бұрын
Very inspiring hiz kaz za medical za kidwanz sana unasoma kwa garama na mda mrefu unakuja kulipwa lak 3😂😂😂😂😂 usipokua makin utaishia kununua kadeti na iPhone tu
@leilamsafiri8320
@leilamsafiri8320 Жыл бұрын
Jinsi anavyojisifia ukitaka kuliwa vipesa vyako kidogo ulivyo navyo.basi mtafute huyu dada akuonyeshe biashara ndio utajua kulanguliwa ni nini
@neemagellop2532
@neemagellop2532 Жыл бұрын
Nimecheka
@winniecharles8883
@winniecharles8883 Жыл бұрын
Napenda kufanya biashara lkn cjui pakianzia❤
@MaryNgoi-
@MaryNgoi- Жыл бұрын
😂😂😂😂
@veronicatemba7683
@veronicatemba7683 Жыл бұрын
Huyu ni muhun niliwahi kumtafuta nikaongea naye mwisho nikagundua ni tapel nikamkacha
@marthasomi
@marthasomi Жыл бұрын
Hongera mdogo wangu
@mayarashidi2765
@mayarashidi2765 Жыл бұрын
Mashaailaah
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 Жыл бұрын
Jamani huyu binti namjua wakati anaishi boko ni mpambanaji mnooo...hongera my dear..
@NataliaKenny-vb6os
@NataliaKenny-vb6os 10 ай бұрын
Anafanya biashara gani?😢
@roseombay2086
@roseombay2086 Жыл бұрын
Zaka na sadaka,asante dada
@chifuthedoni8889
@chifuthedoni8889 Жыл бұрын
Kupata ni siri ya mtu! Haijalishi una umri gani! Kama umepata ni siri yako! Ulivyo fanya unajua wewe na mungu wako!
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Жыл бұрын
TUSIMVUNJE MOYO HATA SISI TUNAWEZA MAADAM HATUJAFA BADO ILA TUCHAPE KAZI.
@Jackmushil
@Jackmushil Жыл бұрын
Lazima atangaze maana ndoa anavyotangazia biashara yake ukajiunge Neolife/GNLD ni network marketing.
@MoureenMushiMushi
@MoureenMushiMushi Жыл бұрын
Umesema
@winnieexavery3304
@winnieexavery3304 Жыл бұрын
Sikujua kumbe ARUSHA ni kijijini 😂😂🙌🏽🙌🏽
@khafsayahya4066
@khafsayahya4066 Жыл бұрын
Masipety❤️❤️❤️
@evnctmb1824
@evnctmb1824 Жыл бұрын
Ongera Sana dadaa
@innocentjoseph805
@innocentjoseph805 Жыл бұрын
Dada mdogo mwenyewe pesa nyingi + chief God love tafuta pesa💪
@gaomariwa7637
@gaomariwa7637 11 ай бұрын
Classmate🎉🎉 hongera
@user-uw9rz5zo7j
@user-uw9rz5zo7j 7 ай бұрын
Hongera dada na mm nitafuata nyayo zako
@FeywisNoel
@FeywisNoel 2 ай бұрын
Mm nimesikiliza mpk mwisho ila hata cjaelew n biashara gan anafanya
@Official83640
@Official83640 Жыл бұрын
Nyumba 4 ndani ya miaka 3 aah dada ulikuwa unazichota bank au mbona wenye kz zao miaka 10 nyumba 1 inawagalagaza tuambie ukweli bwana hiyo biashara uliyoifanya hd utoe nyumba 4 kwa muda mfupi
@stellahlinusi8215
@stellahlinusi8215 Жыл бұрын
mbona biashala aisemi uyo janja janja
@Official83640
@Official83640 Жыл бұрын
@@stellahlinusi8215 Ndy nashangaa miaka 3 nyumba za M.280 tena 4 aah asitudanganye bwana ht hao wauza unga hawawezi jenga hivyo
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Жыл бұрын
​@@Official83640 ndio hpo
@stellahlinusi8215
@stellahlinusi8215 Жыл бұрын
@@Official83640 muongo kwa nn asemi biashala muongo uyo kuna mtu yupo nyuma yake anae muezesha pesa lakini sio biashala tu ndo nyumbani nne miaka 3 apana kila mtu ana mpinga kwamba muongo eti kisa mchaga hahaha asitudanganye
@gracekenan4665
@gracekenan4665 Жыл бұрын
Wanataka kufanya watu wengine hawahustle watu wapo makazini miaka nenda Rudi kujenga nyumba Moja tu inawatoa jasho
@neema_mollel
@neema_mollel Жыл бұрын
Huyu asiejua hata positive ni nini ?? Dada usitubebe ufala wewe ,una secret bness Tena illegal ila unajiuma uma .acha porojo pls .
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Жыл бұрын
KWANI HILO DUKA LA MADAWA HAMLIONI? NA SISI TUTIE BIDII KUSOMA KAZI ZIPO NYINGI ILA SIYO ZA KUAJIRIWA. AMERUHUSU KUMTAFUTA ILI ATUSHAURI , SASA TUNATAKAJE? MBONA VIJANA WENYE PESA WAKO WENGI TU, HAPO HAKUNA UBAYA WOWOTE.
@floralyimo1609
@floralyimo1609 Жыл бұрын
Hongera sana dada
@hope-eversam1278
@hope-eversam1278 9 ай бұрын
Nimekupenda, 1 kuwapenda wazazi na mimi nakupa baraka pokea mwanangu
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 Жыл бұрын
Masha'allah
@charlesrongo3615
@charlesrongo3615 Жыл бұрын
follow the process of success✊
@fikamanciya8190
@fikamanciya8190 Жыл бұрын
thank you so much mam
@maryamsaleh8438
@maryamsaleh8438 Жыл бұрын
Ma sha Allah lkn tambo nyingi kama Haji Manara
@emmanueladrehem7694
@emmanueladrehem7694 Жыл бұрын
WHAT KIND OF BINESS ???????
@getrudahiasint3198
@getrudahiasint3198 Жыл бұрын
Dadaaaa nimeipenda sana ulivyofanyikiwa lakini unajisifia sana
@JOHNJOHN-pu7wb
@JOHNJOHN-pu7wb Жыл бұрын
Ajifunze kwanza kingereza 🤣
@selestinantandu6530
@selestinantandu6530 Жыл бұрын
Hongera mpenz
@johansenrauben6166
@johansenrauben6166 Жыл бұрын
Bina fusi na pambana kuzitafuta fulusa ila sielewi mambo ni mengi na sielewi cha kufanya Kama kuna mtu anaweza nisaidia network karibu
@Burner_Acc
@Burner_Acc Жыл бұрын
Unafanya biashara gani ndo jambo la msingi, maneno mengi bado sijui unafanya nini zaidi ya kusema wewe ni single mother na nyumba zako. Hongera anyhow
@Jackmushil
@Jackmushil Жыл бұрын
Neolife/GNLD ni network marketing
@husseingabo5497
@husseingabo5497 Жыл бұрын
​@@Jackmushil hakuna biashara ya namna hiyo hao ni matapeli fungukeni
@Jackmushil
@Jackmushil Жыл бұрын
@@husseingabo5497 kwani nimeandika nini hapo
@Burner_Acc
@Burner_Acc Жыл бұрын
​@@Jackmushil kumbe matapeli wa network marketing
@Nairathotmail
@Nairathotmail Жыл бұрын
@@Burner_Acc nitapeli kweli mie kanitapeli pesa nyingi sana naona saivi kaja hapa
@SaumaBakari-ld2dy
@SaumaBakari-ld2dy 10 ай бұрын
Asate dada naomba no zako ❤❤❤
@ndohoriomsacky445
@ndohoriomsacky445 Жыл бұрын
Jamani watu wa mkoa wa Kilimanjaro wanajenga hatari jamani wanajenga majumba y hatari wanashindana tokeni mikoani mingine nendeni mkoa w Kilimanjaro mjifunze huko
@estherlyanga834
@estherlyanga834 8 ай бұрын
Hongera dada
@henrytimothy3048
@henrytimothy3048 Жыл бұрын
Tuoane best na mm ni single father🤭😉
@godfreycharlessrarariae3619
@godfreycharlessrarariae3619 Жыл бұрын
Sawaa hongera--ila bado uhalisia wamaelezo haujakaa sawa
@athumanijuma8899
@athumanijuma8899 Жыл бұрын
Kumbe Mrembo wa kiharusha Hawa wana Mbinu nyingi Sana Za kutafuta tuendeleeni Kujifukizaaa 🤣🤣🤣🤣 ukitakaa kuita Maji MMA uoe Pande hizo 🤣🤣🤣
@solomonnkiggi5019
@solomonnkiggi5019 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@user-bd6if2vn8s
@user-bd6if2vn8s 9 ай бұрын
Nimekupenda dada naomba namba tuongee
@imagepower3641
@imagepower3641 Жыл бұрын
Uko vizuri
@user-ub6ej6er3d
@user-ub6ej6er3d 5 ай бұрын
Hongera nime tamani kuwa kama wewe dada je nakupataje
@thadeynyenza4948
@thadeynyenza4948 Жыл бұрын
Mafanikio ni Mungu, huwezi kuyapata kwa kusikiliza waliofanikiwa. Baki na Mungu akupe na wewe
@RayaRashid-dc2hn
@RayaRashid-dc2hn 2 ай бұрын
Hongera sana
@yordanyona1234
@yordanyona1234 Жыл бұрын
Na mimi nina fanya mtandao na hayo nimefanya lakini Nimekukubali sana wewe ni mwanamke shujaa ...na una hekima sana sio kuwa na pesa ndio uishi ovyo...hawo mentor wako utakuwa bora zaidi yao ...Nature yao wewe utafanya zaidi
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Napenda mtoto anaejua thamani ya wazazi
@marycelinapaschal8710
@marycelinapaschal8710 Жыл бұрын
Mambo ya neo Life ,,,,hizi biashara kilakona wanao fanikiwa niwachachee
@ankaramanka464
@ankaramanka464 Жыл бұрын
Kama mchezo wa pata potea zinataka moyo
@mohammedkhimji7505
@mohammedkhimji7505 Жыл бұрын
Kesho mende nae mutamuita Mrembo... Semeni Binti...
@sifatiiman
@sifatiiman Жыл бұрын
sio binti ni mwanamke binti mwisho miaka 19
@user-hh3hu4eg1z
@user-hh3hu4eg1z 8 ай бұрын
Apart from weakness zake nmependa suala la zaka na sadaka i believe for that na naungana nae kwenye hicho
@maryamkhamis724
@maryamkhamis724 Жыл бұрын
Ww wacha uwongo uwo sadaka gani za wizi au tuma dawa zetu kwanza ndio ufanye majisifu unazulumu hu muogopi Ata Allah wacha majisifu ww mwizi mkubwa
@RoseMshana-pm8op
@RoseMshana-pm8op 24 күн бұрын
chuo,kazi, biashara,bado miaka 29, tu, majigambo kibao,ila hongera dada
@user-wg1rn5ee7i
@user-wg1rn5ee7i 10 ай бұрын
Mama yangu alipata strock kwa kuwasikiliza hawa washenzi kabisaaaa! Mnapata pesa kwa utapeli wa kijingaaa! Yaaan ni vile tu vita ni ya Bwana ngojq niache
Mtanzania Milionea Mtarajiwa alieacha kazi ya mshahara wa milioni 1
29:05
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 40 МЛН
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 12 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 117 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 15 МЛН
KUTANA NA VALENTINE BINTI ANAYEKIMBIZA BIASHARA YA NAFAKA DSM
29:22
Gangana Info Channel
Рет қаралды 13 М.
Are we too dependent on Microsoft?
12:16
CBC News
Рет қаралды 25 М.
Dakika 30 za Mtanzania Hallen aliyetajwa FORBES kuwa Bilionea ajae
32:50
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 40 МЛН