Kama chama ana ukubwa huo wananchi wanaokata keki na kuweka Mabango watuambie hapa ni Timu gani nyingine kubwa imempa ofa zaidi ya Yanga? Aziz ki kala ofa tatu kubwa feisail anaofa za moto kubwa kumuwekea Chama mabango ni dalili za wananchi kuogopa ukubwa wa Simba katika nafasi ya tatu, sasa wasubirie tujaze vikapu vya makombe msimu ujao
@OvinusOsward2 күн бұрын
Apo umenena Asante
@mwanangusana2 күн бұрын
😂😂😂 jipe Moyo
@ikulunimahalipatakatifu76422 күн бұрын
WACHEZAJI HAWANA MAKOSA , WAO WANATUMIA DAMU na WANATAFUTA MAISHA , SHIDA YA SIMBA NI UONGOZI.. KIONGOZI SERIOUS LAZIMA WALIOKO NYUMA YAKE WAWE SERIOUS
@MohamedMshiti2 күн бұрын
Muongo wewe ila viongozi wetu wako pouw
@spencersambo4692 күн бұрын
❤❤❤🎉 simba yetu
@yusuphabsaid81512 күн бұрын
Chama Simba walichelewa kumla kichwa
@monicachacha4552 күн бұрын
mungu ibaliki simba
@Dastanikasanda2 күн бұрын
Ukiona mwana chama wa simba au shabiki anapiga kelele chama kuondoka ujuwe huyo ana ujinga wa kumtosha. Tena nimamruki wa kudum..nyoooo. mfuate. Hakuna mkubwa kuliko simba. Pumbavu zenu. Nitabaki na simba yangu daima.
@allykagawa2 күн бұрын
100%
@JacobMwamabhise11 сағат бұрын
Simba nguvu moja
@JacobMwamabhise11 сағат бұрын
Namini Simba ijayo itakuwa bola sana miaka 25 kushuka chin hapo sawa
@ernestkamata25552 күн бұрын
Unachokiongea ni sahihi, watu wanaongea juujuu tu, lakini kiwango cha chama na pesa anayoitaka haviendani kabisa
@OmariSaidi-r1k2 күн бұрын
Hii imeendaaa
@EliasCosmas-qp6gn2 күн бұрын
Asante Sana GB64 Kwa hamsa yako wazee hatuwataki tena tunataka vijana wanao kimbia 😂😂😂❤❤❤Simba mwaaaah 🤪
@KennedyGiti2 күн бұрын
good brother
@SamwelyMartine-to4ki2 күн бұрын
Chemalone shondo 😂😂😂 hii imeendaaaaaaaaaaaa
@user-xq9qg5lp4f2 күн бұрын
Da kaka gb64 kwann tuskujengee sanam kaka nakula mpaka nakuombe uishi miaka ming
@user-en1re7ot8c2 күн бұрын
Ahaa gb umebalikaa
@ShaabanMfalmeКүн бұрын
KAA KIMYA ACHA WATU WENYE MAPENZI NA SIMBA WACHANGIE HOJA WEWE HUNA HOJA ZENYE MASHIKO KWA KIFUPI WEWE NI SHABIKI MAANDAZI
@user-hv1dd3zf3i2 күн бұрын
Ngoja tunywe mtoto nyama tutazikuta chini
@SalumAuka2 күн бұрын
Yanga bingwa tena
@abdullramadhanii6262 күн бұрын
Umekula rushwa wrweee kuwekwa ndani kumefanya uponeee
Juzi tu walikuwa wanautukana uongozi wao kuwa ni mbovu, leo anamshutumu mchezaji aliekuwa anapambania timu yake na maslahi yake binafsi. Hivi ni mtu gani anaejitambua atakuwa mstaarabu palipo na uongozi mbovu??? Wakulaumiwa ni mzazi na sio mtoto.
@SirajiRashidi2 күн бұрын
Aliempa chama jina la mwamba wa rusaka sio baraka kapewa na enock bwigane
@ShaabanMfalmeКүн бұрын
Wewe huna unalijua unabwabwaja si ulisema chama akisaini YANGA unaacha kuishabikia simba uko