Alfu mashabiki wa yanga ni washamba sana mbona wao wanamongelea kila siku feisali kwa hiyo wao bado wanampenda fei
@user-wk2bg8zf3l9 күн бұрын
SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOO
@Esterkomba-ef7eb11 күн бұрын
Safi sana umemjibu vizuri sana waandishi wengi wanchii ni wambeya sana
@kaswahilianatoli417311 күн бұрын
Kaka uwa nakukubali saaana mzee
@omanbarka158810 күн бұрын
Hata Mimi namkubari Sana GB
@MamboMbuli11 күн бұрын
Majibu konki
@yohanamabula708810 күн бұрын
Wandishi ndo matatizo wanahoji ujinga na wanawapamba hata kobe
@kaswahilianatoli417311 күн бұрын
Uko vizuli chama sio ishu tena Simba ondoke zake chama sio dili sima simbaaaaaaaaaaaaa oyoeeeeeeeeeerrrr
@NyasanaTv-ol4ix11 күн бұрын
Kweli asepee tu tuone kama hatuweza
@barnabasmalima48239 күн бұрын
GB64 mnapoongea wekeni heshima maaana kuna sajiri zinaendelea na wanaokuja wanajua chama alichokifanya sasa mnapofika pahara mnamponda wao hao wageni wanajiuliza au wanajifunza nini, ni wewew huyo huyo ulisema chama akienda yanga wewe unahamia Azam au baada ya kuwekwa ndani kumekubadili