GB64 APAGAWA NA USAJILI WA STEAVEN MUKWALA NDANI YA SIMBA| AUMIZWA KUACHWA KWA MIQUISON

  Рет қаралды 27,441

SPORTS MAX

SPORTS MAX

9 күн бұрын

KWA HABARI NA MATANGAZO
TUPIGIE SASA
0753393036 CALL
0625466848 WHATSAPP

Пікірлер: 55
@CareenJulias-iu7tf
@CareenJulias-iu7tf 7 күн бұрын
Acheni uongozi ufanye kazi yake tulieni mnatuchanganya na NYIE Baba GB 64. Tuweni na Imani bana, Tulikuwa na hao wote Lakini wameshindwa kutusaidia timu Hadi tumeenda shirikisho ndo Nini Sana. Tumeamua mabadiliko hivyo tuvumilie maumivu yote. GB64, wewe uko vizuri sana Lakini una huruma Sana wakati mwingine. TUVUMILIANE TU NDG, YETU GB TUKO WOTE.
@alphoncelushinge1120
@alphoncelushinge1120 7 күн бұрын
good
@danieligledson5697
@danieligledson5697 6 күн бұрын
Kabisaaaa
@MashakaMaduhu
@MashakaMaduhu 6 күн бұрын
Tayila. Wewe.
@allygoodboytzsdoneintanzan3970
@allygoodboytzsdoneintanzan3970 6 күн бұрын
sahihi kaka
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 7 күн бұрын
Luis pale simbasc ndiyo mchezaji ambaye Alilipwa pesa nyingi kuliko mchezaji yeyote yule hajaipa simbasc kiwango chake ni kimbovu bora wamemuacha tu
@user-lt3us3fn4x
@user-lt3us3fn4x 6 күн бұрын
Bwana waacheni wafanye kazi yao aende mihela kibao c mlitaka maamuzi magumu ndio hayo acheni unafiki jamani
@HOLINESSPIUSE-gv8ud
@HOLINESSPIUSE-gv8ud 6 күн бұрын
Onana nae asepe
@mr_voiceeyounghustler149
@mr_voiceeyounghustler149 4 күн бұрын
MDA mwengine tunakulipuka tunatoa wachezaji wazuli tunaweka ovyo
@allymtanga8127
@allymtanga8127 6 күн бұрын
Mm ni simba lkn nataka ishuke Daraja😊
@user-pw3io5dk9h
@user-pw3io5dk9h 7 күн бұрын
Like ziwe nyingi
@user-ld6fy2fi5s
@user-ld6fy2fi5s 4 күн бұрын
Apana mbona yanga iliacha kikosi kizima ndo ikarudi ikawa bora na wao wachezaji ndo walikuwepo na ndo wameiferisha timu adi kwenda shirikisho
@abdallahmwaipopo70
@abdallahmwaipopo70 7 күн бұрын
GB ukosawa kabisa mikison Bado yupo vzr tatizo bench limempunguza kasi.
@sangaelly8548
@sangaelly8548 6 күн бұрын
Hizi habari za kweli?au magazeti tu.
@pauldamas5613
@pauldamas5613 6 күн бұрын
We GB 6.4 Acha unafiki anajitafuta Luis leo hii we ulitaka apewe muda kiasi gan ili ujue mchezaji kahudumu na kocha wanne na bado kafeli acheni kujifanya mnajua sana kuliko wengine as if mechi huwa mnaangalia peke yenu
@AmaniKasekwa-uw8hp
@AmaniKasekwa-uw8hp 7 күн бұрын
Wewe kisugu acheni viongozi wa fanye kazi yao
@AlexGwambie-xr2hm
@AlexGwambie-xr2hm 7 күн бұрын
Akili nyingi Sana Gb
@msabahaissa6201
@msabahaissa6201 6 күн бұрын
Unamapenzi ,luis amefikia climax
@hamisimsosi6237
@hamisimsosi6237 6 күн бұрын
Hamuwezi kutuambia tutulie wakati sisi tunawajuwa nje ndani anaetuli ni makabuli siyo binadamu aliye hai😅😅😅😅😅😅😅😅
@danieligledson5697
@danieligledson5697 6 күн бұрын
Safi we unaelewa
@user-ld6fy2fi5s
@user-ld6fy2fi5s 4 күн бұрын
Hatumtaki onana hayupo serious na kazi yake
@saumkhalifa8517
@saumkhalifa8517 6 күн бұрын
Nyinyi simlikua mnasema wachezaji waachwe SS MBN mnaongea tena acheni usenge
@user-bz2di1vl7l
@user-bz2di1vl7l 5 күн бұрын
Kama msimu mzima hata bado hana
@imanmasawe749
@imanmasawe749 7 күн бұрын
kikubwa wafanye usajili sahihi zaidi tunaomba tusijetukajutia kuwaacha wachezaji wazuri fanyen Kweli uongozi
@hassanomar8157
@hassanomar8157 6 күн бұрын
Ivi uyu jamaa anashida gan, kila kitu kwake ni tatzo
@namtingakassim5529
@namtingakassim5529 6 күн бұрын
Kumuacha Luis ni mihemko ya viongozi wanabugi
@alphoncelushinge1120
@alphoncelushinge1120 7 күн бұрын
walisajili kwa kelele za mashabiki hivyo katika swala hili tukae kimya kwanza sikilakiyu ya tupasa kuongea
@MeniJr
@MeniJr 6 күн бұрын
Acheni uongozi ufanye kazi yake unajua sometime nyie mashabiki mnakuwa chanzo Cha matatizo mnawaweka VIONGOZI kwenye pressure
@AndrewShayo-np1sy
@AndrewShayo-np1sy 6 күн бұрын
Na mtu anaeipoteza Simba yupo na anafahamika ni Mungu tumtoe.
@frankraphael7546
@frankraphael7546 6 күн бұрын
Shida yenu nyie kina gb nimoja mnataka kuingilia uwongozi kwann
@ernestmkila9356
@ernestmkila9356 7 күн бұрын
Imeumiza sana wengi kumuacha luis
@badendavid8456
@badendavid8456 7 күн бұрын
GB tutasota zaidi msimu huu Luis na Saido pengo
@WilfredSaidi-st3tn
@WilfredSaidi-st3tn 5 күн бұрын
Gb jaman is the best wape makolo wenzio madini😂😂😂😂
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 7 күн бұрын
Kua Muelewa kidogo binafsi amesikitishwa na ameanza kwa kusema tuuache uongozi ufanye kazi yake. Ila ametoa angalizo kua makini tu. Hata wewe unaweza kutoa maoni yako lkn usi vunje sheria. Aache maneno huko ni kumdhihaki Gb 64.
@kasimuhamidu8467
@kasimuhamidu8467 7 күн бұрын
Mangungu anazingua
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l 7 күн бұрын
SIMBA NGUVU MOJA
@saimonntani6831
@saimonntani6831 6 күн бұрын
Umessahau pale juu nilipokuwa nashona ? Kama unaenda kwa mzee dongwe?
@badendavid8456
@badendavid8456 7 күн бұрын
Luis Yanga wanadaka
@Bboy-ek8vn
@Bboy-ek8vn 6 күн бұрын
Jobe na mangungu
@namtingakassim5529
@namtingakassim5529 6 күн бұрын
Hakuna kitu simba
@BarakaSureiman-zz2ri
@BarakaSureiman-zz2ri 6 күн бұрын
ila simba bwana haina ungozi bola mikison anaachwa jobe anabaki da tutateseka sana
@Bboy-ek8vn
@Bboy-ek8vn 6 күн бұрын
Mzalamo ,kisugu na pass milion ni machawa
@mr_voiceeyounghustler149
@mr_voiceeyounghustler149 4 күн бұрын
Sisi Simba tunambwera
@kabwangaselemani5228
@kabwangaselemani5228 7 күн бұрын
Utawafanya kitu gani? Acheni kujifanya nyie ndio wenye Simba
@frankraphael7546
@frankraphael7546 6 күн бұрын
Ulitaka achwe nani wewe kwamfano mpira auna kusubiri luic amechoka
@VenanceNtakabile
@VenanceNtakabile 7 күн бұрын
Ni kweli viongozi wa simba waachwe wafanye kazi yao we acha maneno yako
@MashakaMaduhu
@MashakaMaduhu 6 күн бұрын
Kuma. Wewe
@user-xz2vl8up5e
@user-xz2vl8up5e 6 күн бұрын
GB kinacho mponza analeta mapenz kwa mchezaji kuliko kuangalia uhalisia nahiki kinatugali Sana mashabiki wa Simba ndo maana mpaka Leo chama tunashindwa kumuondoa ila tunatakiwa kubadilika tuna itaji mabadiliko nabodo Kuna wachezaji tunataka kuwa beba waki kisa tuna wapenda hili nitatizo kubwa Sana
@BarnabaJaphet
@BarnabaJaphet 6 күн бұрын
Miqson hakuonyesha kiwango bora toka alipojiunga dilisha kubwa na inaonekana alisain mkataba wa muda mfup na kwamshara mnono sasa haiwezekan huonyeshi kiwango bora na unamlipa pesa nyingi huon kama ni hasara kwa club
@adrianorayner6551
@adrianorayner6551 5 күн бұрын
Kabisa yani
@user-cc4pp2kl5z
@user-cc4pp2kl5z 7 күн бұрын
Acha kuwa bebelu ww acha viongozi wafanye kazi yao ndo maana unafungwa magereza make unaongea upumbu wee GB
@iddykasabe84
@iddykasabe84 7 күн бұрын
Acha uchiz ww
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 7 күн бұрын
We ni wakurudi Milembe huna unacho kijua ktk Soka shabikia Ngumi za kuku huko huko kijijini kwenu. Usije mjini kuna wenyewe psku lala hakuna Ubungo terminal kuna jengwa.
@AdolfKambona
@AdolfKambona 7 күн бұрын
Mmekosea kumuacha konde boy, simba mnaferi wp?
KISUGU ASEMA UKWELI KILICHOWAONDOA CHAMA NA INONGA
17:10
SPORTS MAX
Рет қаралды 6 М.
Power Dynamos 2-2 Simba SC | Highlights | CAFCL 16/09/2023
10:34
STEVEN MUKWALA DESE ! GOALS AND ASSISTS HIGHLIGHTS 2023/2024 SO FAR
3:42
Mukwala Steven dese
Рет қаралды 19 М.
GB64:HUYU HAJI MANARA ANARUDI KUIMALIZA SIMBA
8:10
Mawengi TV
Рет қаралды 57 М.