@harmonize_tz Akituelezea Safari Nzima ya alivyokuwa akiishi kijiji kwao na nini amepanga kubadilisha kijijini kwao,amepiga story nyingi na @motown_sanya #wasafi#motown_sanya
Пікірлер: 1 000
@saidahj25435 жыл бұрын
Real men never FAKE life...ako muwazi na familia yake ameweka ustar kando...mahusiano mazuri na wazazi majirani na marafiki...much love harmonize 😍😍😘😘😗😗😗
@owenijackson34213 жыл бұрын
XXX video
@azizamkindi17845 жыл бұрын
Bora anapeleka mpenz wake nyumba kwao sio wengine wanaongopa naomben like zen umefanya kitu kizuri
@ramsokhamis92625 жыл бұрын
Aaahh umetishaa saanaa ni kwelii kabisa best...
@allthingdranabeauty5 жыл бұрын
Aziza Mkindi sanaaa
@yasiniselemani24125 жыл бұрын
Hajafunga ndoa hivo ni umalaya tu
@emanueljohanes40905 жыл бұрын
Sure
@azizamkindi17845 жыл бұрын
Kila laher mfunge ndoaa sio mzin
@somoemmanu35135 жыл бұрын
Nimefurah kuona yupo happy na baba yake km rafiki yake hongera rajabu
@juniorbayyo92095 жыл бұрын
Somoe Mmanu @@xo kama bossi wake amby ni kama adui na baba ake
@maryammohd18265 жыл бұрын
Amshaur na mond amrudie babake
@navaanyuki44365 жыл бұрын
Huyo sio bb yake mzaz
@somoemmanu35135 жыл бұрын
@@navaanyuki4436 uyo baba yake mzazi
@paulmahila9955 жыл бұрын
R
@gordonobado53595 жыл бұрын
kuonyesha ulimwengu ulikotoka si suala rahisi.........it's grateful to appreciate your background
@ellenkamanzi35053 жыл бұрын
Nahasa uwe umetokea sehem kama iyo kweli uyukaka kafanya jambo la busara
@felixmagulu61423 жыл бұрын
Hongera sana Konde boy kwa kuenzi maisha ya kijamaa pia kwa kukumbuka nyumbani uliko toka, Hizo ni baraka brother.
@TheSudMedia4 жыл бұрын
Sarah didn't react when Harmonize said I was born here...God bless my brother with a Queen!!!! Melbourne, Australia.
@managermipango28435 жыл бұрын
Kitu ambacho nimekipenda huna fake life una really life, huna maisha ya kuigiza ni mkwel na muaz. Mastaa kbao wanaficha vijiji vyao,
@allthingdranabeauty5 жыл бұрын
Abasi Makunguru kweli kabisa
@sylviemutwale95275 жыл бұрын
Kweli umeongea point
@pichunakichuna21115 жыл бұрын
Well said I really like that
@eventelias35665 жыл бұрын
Nmemuelewa sana kwa kweli imeondoa fikra tofauti nlikuwa namchukulia
@managermipango28435 жыл бұрын
@@eventelias3566 Dah, hata Mimi bro, nilivyokua namchikulia tofaut. Na naamin kafungua milango Kwa wasanii wanao ona haibu kujiweka wazi,wataona kumbe kawaida tu,wataiga
@Kobe_2545 жыл бұрын
Tokea Seattle, Washington... bado tuko na wwwe kijijini.. like what you doing bruh.. kipeth real forever.. happy birthday!!
@mwajumaally29185 жыл бұрын
Mashallaha rajabu🙏🙏mungu azidi kukupa ela usidi kujenga kwenu
@madolovetanzani2485 жыл бұрын
Haaale nmekuwa watono kuko menti naomben like zangu
@kasimuallyakome18645 жыл бұрын
Mado love Tanzani nc
@mevicesifuna213410 ай бұрын
2023 watching this I love you harmonize❤❤❤❤
@malaikaizegelle44285 жыл бұрын
Ivi wanaombaga like uwa mnazifanyiaga nini😩😩😩basi na Mimi naombeni like🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@deborapaschal35825 жыл бұрын
😄😄😄
@gracejoseph34555 жыл бұрын
Malaika Izegelle
@dadjustarboy20785 жыл бұрын
Zinamaanayake😀😀😀
@allyogen91734 жыл бұрын
Mashalla hamonainzi uko vizuri bur
@iamkixankiller69734 жыл бұрын
daaaaaaah
@thomasponera60185 жыл бұрын
konde boi you are amazing guy, uko real sana Mungu akubarki
@skylarshebby82355 жыл бұрын
duuh good sanaaaa kaka harmonize Nimeipenda sanaaaa hiyoooo couple....kma na wewe umeipata hiiii gonga like
@carolshiru43745 жыл бұрын
Team kenya wapi likes za rajab 🙌🙌
@abuhermano81724 жыл бұрын
Owh sory
@ramagirik97853 жыл бұрын
Jamn wap apo kw kin harmonez
@LK-dj6fw5 жыл бұрын
I really love what you did my brother........so sweet
@antoinebakevya89115 жыл бұрын
Congrats and HAPPY BIRTHDAY my favorite artist
@omanoman-gs4zb5 жыл бұрын
Ni kweli wazungu Wa Realy love haswa na popote wao wataishi Alimradi Anakupenda. Ni kweli Raji Ulichokiongea.
@tumainimango81405 жыл бұрын
Mzungu kampenda hamornize hadi namwonea huruma
@georgematahimba52425 жыл бұрын
Hana makuu. Safi sana
@georgematahimba52425 жыл бұрын
Jamaa yuko simple sana. Nimempenda.
@mussahmanyehe2675 жыл бұрын
Hahaha Huyo mbongo was lushoto
@allthingdranabeauty5 жыл бұрын
oman1212 oman1212 Nikweli kabisa
@khadijaqatar90805 жыл бұрын
Mashallah mungu akubarik uzid kutimiz ndoto zako inshallah
@samwelmahenge524 жыл бұрын
Khadija Qatar konde boi mungu akupe wepesi ktk maisha yako
@maryamoman59265 жыл бұрын
Masha shallah rajab ❤👍👍👍
@edwardnjiuka74035 жыл бұрын
Dogo HARMONIZE upo sawa sana nyumbani ndiko kwenye baraka zote na wasanii wengine waonyeshe nyumba walizozaliwa huko vijijini kwao wengi hawawezi maana wanaogopa kudhalilika big up sana dogo
@allywally57995 жыл бұрын
mzee kichwa kinakribia kupasuka doooooh
@willymwanza88134 жыл бұрын
nice brother
@fadhillawisoniadam77674 жыл бұрын
Baku kubali sana harmonize kama na ww upon miongoni mwa watu mnaomkubali tafdhali naomba LIKE yako
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
Mzungu kwanza anapenda mazingira ya mwitu mwitu Allah awasimamie..nimempenda huyu baba..sara uvaege nguo ukienda kwa wakwe
@lipymuscat47795 жыл бұрын
Huyu sara ndio nini kuvaa nguo za mjini...
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
@@lipymuscat4779 yaani....siku.nyengine avae hata dress ya mikono mirefu angalau
@julianamaadam73755 жыл бұрын
Afadhal umeongea😅😅😅😅
@lovenessdiva71324 жыл бұрын
Good point
@justawachawachezesinimtoto3984 жыл бұрын
Apo sasa kwani hakuambiwa wa naenda wapi? Ndio avalie nguo unafunia uchi wake
@hawata76145 жыл бұрын
ma sha Allah hongera kaka ang mung akufikishe sana
@mrthreesix2805 жыл бұрын
Big up bro..mshauri basi hata na boss wako...we mamako alikosana na babako ukiwa miaka miwili na unamuenzi babako na hizo ndo barraka kakangu vipi mond...mshauri bana aishi Kama wewe
@zulfamohamed45495 жыл бұрын
mama nababa kukosana nisiyo wazazi mumusishe mtoto kwenye ugov weni yan ikitokea mzazi mmoja wapo amemusisha mtt kwenye ugovu wawao wazazi bas itakuwa atali mtoto akisha ipokea ile sumu yamaneno yamzazi mmoja wapo ila mama mond amekosea mtoto kumlea kwakisasi chakumlipizia mama yake mzazi mgovi waliokuwa nao wao wawili
@bennyasseralfred38115 жыл бұрын
Wellington Ndoro bro hilo niwazo nzuri ila inategemeana labda huo mama armo anadini sana nakueshimu allah sana. na yule mama wa mond labda ameshapekekwa na Dunia unakuta c mshauri muzuri kwa mond
@laizsuke82655 жыл бұрын
Huyu na shilole hawajivungi wapp social sana, big up home ni home tu
@samwelimoshi44425 жыл бұрын
Diamond jee
@saumujengi59115 жыл бұрын
Mkataa kwao ni mtumwa""" kama umemkbli Harmonise gonga like
@ramagirik97853 жыл бұрын
Kwel
@ricardodeazo20705 жыл бұрын
big up boy, hongera sana kaka, much love for family
@Jolly_Jollyk5 жыл бұрын
Harmonize may God bless you . you are a real man
@khadijamadry78225 жыл бұрын
HAMORNIZE uwe na moyo huo hup wa kuthamin wazaz wako muache mond alemee upande mmoja big ap sana kaka Allah atakulipa kheri mbona ukijenga hapo kweni hizo vila swawabu nying sana
@alexndombondombotermo58415 жыл бұрын
Konde boy big up I'm one of your supporters from beira mozambique💪💪💪🔥🔥🔥❤❤
@niitengozi62683 жыл бұрын
OK l
@jordlynwoods96845 жыл бұрын
I like this boy harmonise he is very open with his life he does not care keep it up boy ,diamond jifunze kwa hormo
@shambiraghasi27775 жыл бұрын
Mmh hukuona diamond kuna siku alienda home akapea watu zawadi mmm shem on you
@mwanahamisiabdi33204 жыл бұрын
Iyo t shet ya baba ulinunulia karriakoo nzr
@fallymetoo1915 жыл бұрын
Allahumma bareek Inshallah Mkataa kwao mjinga Home Sweet home Enjoy 👏👏👏
@aysherothman44475 жыл бұрын
Amiin
@joshuamakub43535 жыл бұрын
katisha sn mwamba like kma unamkubl @kondeboy
@alghurabaa68845 жыл бұрын
allahumma barik kwenye zinaa subhana llah ..wew wa wapi
@eznahsue57825 жыл бұрын
Napenda kiswahili ya konde boy nakupenda....nipee likes Aki leo msininyime
@adreckmgombela80693 жыл бұрын
Iyo
@omanoman-gs4zb5 жыл бұрын
MashaaAllah. Raji Umefanya Jambo la mana. Allah Azid kukupa kheir zaid
@gambagumu65315 жыл бұрын
Acha kutumia maishalah Kwa jambo LA shali mziki ni haram
@wazirigorge3665 жыл бұрын
@@gambagumu6531 kweli kabisa bro
@mudyiabas48125 жыл бұрын
masha Allah unajuamaana yake inavotumik??????
@omanoman-gs4zb5 жыл бұрын
@@mudyiabas4812 labda weye Unajua mana yake. Na ndiye Uliye soma Mpk Ukahitim.
@felisterhaule74232 жыл бұрын
Mashaallah kwa mamb ya kijinga, miziki yao inakufu disha nn Bali inakufundisha kuzini tu na I nashawishi zinas tu
@pichunakichuna21115 жыл бұрын
Wow big up hammonize u don’t leave fake life ❤️💕💔💔💔
@manuelhealth100channel75 жыл бұрын
Wekeni crip ndefu bwana wengine tunajifunza mengi kupitia harmoniz
@jennifermsungu82305 жыл бұрын
Loh nawe huwach
@nicholausmbilinyi35875 жыл бұрын
Kabisa aisee
@pichunakichuna21115 жыл бұрын
True
@JosephMhecha5 жыл бұрын
Jamaa yuko poa.
@zaynabali61094 жыл бұрын
Ukweli 🙏🙏
@daniellamaellysp.34485 жыл бұрын
I don't understand anymore but just saying i Love them , Harmonize Lavalava, Rayvann, Diamond, Big up bro's
@zakyahya46455 жыл бұрын
Safa wewe mashallah uko na mapenzi ya kweli yani uko unaosha masufuria ya jiko la kuni mmmh honger
@deearacemarg4505 жыл бұрын
Harmonize Chelsea Fun like me...I love your village big up bro
@samburuonlinetv5 жыл бұрын
Konde boi nashukuru unapenda sana baba yako hapo sawa kwa kumjali baba, bosi wako du !
@user-qs9rn2je4c5 жыл бұрын
duuu uko vizuri km jina lako hongera sana sana
@jazimuseremani9475 жыл бұрын
real love forever will stay in hart
@zennakailo81065 жыл бұрын
Kupendwa Raha kweli cheki Sarah 😘😘😘😍
@xaviersalimo65582 жыл бұрын
Wewe uja way kupedwa?
@manyaniinc35795 жыл бұрын
Nice this is documentary
@joharajohara43555 жыл бұрын
That's great Harmonize...being proudly of your village.
@johnnyzilla64995 жыл бұрын
we ni star wa kweli unakumbuka palipo kukuza big up chaliii
@anthonyfaru99085 жыл бұрын
Safi sana kukaa ukapatana na wazazi wako, wakafurahi hata kama mzazi alikufnyia sivyo, usiweke bifu bora ukanyamza utaonekan bora
@pendojohn79625 жыл бұрын
hbd Mungu akupe maisha marefu yenye baraka tele
@mimah15475 жыл бұрын
Hamonize umefanya nizid kukupenda yaan dah!!! Mungu akupe maisha maref na mafanikio tele inshaallah
@mussakassim2995 жыл бұрын
Ndo maana nakukubali mwana harmonize
@karimusindi85745 жыл бұрын
Konde boy I'm appreciate Rajabu and all member from W.C.B ila umenikosha na singenge mzee baba
@lareinemere13295 жыл бұрын
I very appreciate Harmonize you keep your dad company love you 😘
@hamedal-shruiqi21235 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki hongera Sana hormo
@zumbeshauri81145 жыл бұрын
ila jitahidi uwabadilishie sipendi mutoe misaada kwa watu wakati ndugu zenu wanapata shida
@allthingdranabeauty5 жыл бұрын
Zumbe Shauri huyu jamaa anasaudia sana ndugu pia tatizo mtwara nyumba zao hawapendi kukarabati nje sababu ya udongo wao na wanapenda still kuwe kam kijijini ile culture isipotee
@julianamaadam73755 жыл бұрын
Kumbuka kasema kuanzia mwakan ataanza kuwajengea ndg zake sa cjui awabadilishe ngoz
@tedymwandara54805 жыл бұрын
Yani Harmonize utafika mbali zaidi Mungu hupenda tuwasaidie watu tunapofanikiwa, mpango wa kujenga villa ili ukoo ndugu zako wakae pamoja ni jambo kubwa sana, wasomi wakisoma wanatokomea peke yao ht kwao hawaendi, ninayo mifano take it from me!
@margarethsaramaki11005 жыл бұрын
Hii safi sana Rajabu, na hata wazungu uwa wanapenda ile nature yetu.Sarah ana enjoy
@albertinemacimu12475 жыл бұрын
Nani mwingine alivyoona mzee alivyokuwa anadunda kwa mwendo wa kujivunia...😄😄😄😄😄 naona tu coments ila sijaona mnatakia heri ya kuzaliwa HBH2UUUUU\UU
@carolineedwin8675 жыл бұрын
Hahaha
@aggygenge11575 жыл бұрын
nimemuonaaaa hahaaa then akawa anapiga story na Sarah
@witnesschezue67945 жыл бұрын
Hahahaa dingi na mwendo kabadil chezea ww
@sudaissoud36703 жыл бұрын
Anajivunia huyo
@faithnzilani6515 жыл бұрын
Harmonize you don't fake life....bigup en God bless you
@farhanaiqbal88034 жыл бұрын
Hi I'm mommy sarah
@dkensmopainvevo36835 жыл бұрын
Konde boy unatisha saana bro I love it unanipa hamasa 💪💪💪💪🙏
@anetaaneta12165 жыл бұрын
Wow kwni tulisherekea pamoja na ww pia mm bathday yangu ilikua jana,nakukubali kaka yani hauringi kama wengine waaah mungu akujalie mafanikio mema am from 🇰🇪🇰🇪
@madolovetanzani2485 жыл бұрын
Mashallah safi sana mkataa kwao mtumwa hamonaiz ujakataa kwako very nice ila ujitahisi msaidie uyo mpenzi wako wa zamani
@cestlaviecestlavie46065 жыл бұрын
hmmm mzungu hacoki kutembeya dah!, hivi kwa kweli Mondi akiona haya haoni kuwa Condeboy amemzidi maarifa 😏
@nicholausmbilinyi35875 жыл бұрын
Kama haoni bas hana macho kabisaa..dogo anampa ujumbe amsamehe baba yake.
@jamesmayunga58025 жыл бұрын
mimi mimi kabisa
@abubakarmbarouk94544 жыл бұрын
@@nicholausmbilinyi3587 nimeikubali Asili Yako unatakiwa uidumishe Hishima Yako Rajabu
@christianabelly63295 жыл бұрын
Daaah harmonize big up sana broo kumbe hata mm nawez fanikiwa kua kama ww kweli maisha ni safari ndefu
@nancysubira89055 жыл бұрын
Baba Harmonize anajiskia kwa vyienye ajatolea jasho😢 Harmonize nakupenda bure coz u are not like vijana wengine baba zao wakiwatelekeza hawaezi msaidia baba
@user-mu4lk1ux1q5 жыл бұрын
Nice nimeipenda hy
@eliaturinayo63755 жыл бұрын
Happy birthday to you Brother Harmonize♥🙏🙏
@jescanyerere20685 жыл бұрын
Safi bro happy Birthday
@salimudochi13155 жыл бұрын
Ndo uhalisia wake yeyeanajali sana kwao tafauti nawengine
@faridabakari85115 жыл бұрын
MashaAllah watu tanatoka mbali I say big up Rajab Hammond 🇰🇪❤👆👌
@jokhakhalef8225 жыл бұрын
Hongera baba kwa kweli umefanya jambo zuri saaana.
@tawandanyamtuwa10005 жыл бұрын
How are you Harmonize keep the fire burning How is Da es Salaam today
@mhudinihassani56705 жыл бұрын
yooo upo vzr konde boy
@mhudinihassani56705 жыл бұрын
yooo upo vzr konde boy
@avitrujweka21135 жыл бұрын
Sarah ana upendo wa kweli kwa Harmonize na yuko naye kila wakati, hakika ni wife material... 🙌
@ibrahimgwasma2352 жыл бұрын
Very green street pazuri Sana Nice one
@fridahsamwel53565 жыл бұрын
Home sweet home and home is the best keep it up Harmonize
@zenaamani3715 жыл бұрын
Safi sana,Home sweet Home.
@mwanaishambili2415 жыл бұрын
Uyo sara ungempa dera akawa na uwalicya wa nyumbani mashaallah rajab ivyo ndio inatakikana ikujuwa ulikotoka daima utakazana
@saddyclassicfashion95775 жыл бұрын
Uko saw kwakutujuza mashabiki wako maisha yako like zang wadau
@jazimuseremani9475 жыл бұрын
if you want to prove real love of white women which is harmo says.......back to the movie of white mmasai to prove it.....love you sarah
@bigbossmanbossman69465 жыл бұрын
The white Masai kweli yako
@mzee825 жыл бұрын
You have no clue what you're talking about, she is setting her investment that's all
@paulkomba22644 жыл бұрын
Inapendeza sana mtu akijali kwao
@manyandacharles72442 жыл бұрын
@@mzee82 @@
@mridanyadunia85405 жыл бұрын
Huyo dadangu anaupendo thabit mana mazngra anayotembezw af haonesh chcht ila mbongo xx nae pangechimbka angeomb kurdshw mjin
@veronicacharles91975 жыл бұрын
He he he
@missyabdull1425 жыл бұрын
hahaha
@m.mmarckus62985 жыл бұрын
Siyo upendo tu,asiri ya wazungu wengi wao wanapenda sana maisha ya uswazi wanakuwa wanajifunza vitu vingi.kwahiyo mm Sara simshangai ndivyo walivyo hawana ubaguzi wa mazingira
@yustinhhari50855 жыл бұрын
mbogo angeact mbele ya kamera
@joycejohn77545 жыл бұрын
Au angejfanya awez kutembea
@emmanueloola35025 жыл бұрын
Walikuwepo watu maarufu sana na sasa hawapo Walikuwepo wenyesifa nasasa hawapo Dunia inapita kasi Na wewe utapita tu Niheri ukayaweka mambo yako sawa maana kuna kiyama Ila lipo tumaini jipya la maisha baada ya haya Kuna Mbinguni uzima wa milele au motoni kifo milele Chagua uzima Chagua Yesu Olewake atakaye simama upande wa shetani Olewake adharauye wokovu Ghadhabu ya Mungu inakuja
@gaudensiamganga81402 жыл бұрын
Hakika Ubarikiwe maisha Mali bila wokovu Ni Buree
@mimaakenirram14055 жыл бұрын
mashallah me nakuombea ujenge hizo nyumba lnshallah kumuezi babu yako
@andygreat15345 жыл бұрын
diamond inabidi ujifunze kutoka kwa harmonize, this guy is super humble and nice, anampenda baba yake sio wewe unayejifanya huwezi kumsamehe baba yako.
@sschacha71225 жыл бұрын
Big up Harmonize......
@binthassancollection.63085 жыл бұрын
Mm sio shabiki lkn umenifurahisha but ukienda home kama hivyo mwambie Sara avae dera 🤣🤣🤣🤣
@rosekhamis35114 жыл бұрын
Halima Hassan kabisaa
@issaboytv82904 жыл бұрын
Da kweli
@justawachawachezesinimtoto3984 жыл бұрын
Kweli kabisa
@nasrishemvuni30974 жыл бұрын
maisha nisafari
@rahjah58825 жыл бұрын
Your Real dude , Nuff Respect!!! 🇯🇵🇹🇿🇹🇿
@azizahassan88785 жыл бұрын
Safi sana rajab unaakili sana
@polinahkilunju94145 жыл бұрын
Pongezi Harmonise kukumbuka ulikotoka, big up mdogo wangu na Happy Birthday
@wamberelove47225 жыл бұрын
diamond will regret one day whatever he’s doing to his dad!! & yet it’s the same thing he’s doing to his kids!! big up harmonize ❤️
@mitchellmichell96545 жыл бұрын
What he's doing i think he maintain his parents 😯
@brocodechege79834 жыл бұрын
True
@bobg6113 жыл бұрын
I don't see anything wrong so what does u mean ? .. I like this guy!!!
@gideonkalumbu52204 жыл бұрын
Kama unamwona ba, Harmonize,anaringa na mwanae,nipe likes kama zote ee
@babailu21335 жыл бұрын
Dah Harmonize umetisha sana Big up kwa ulichokifanya.
@bajunihilali955 жыл бұрын
Unani nifanya niwe mshabiki wako sana harmo
@yusufahmed73935 жыл бұрын
Bless up 🙌🙌🙌
@julianamaadam73755 жыл бұрын
Me ameshanipata kwakwel kwenye ushabik
@tulivupaulo99145 жыл бұрын
noma ham
@gg-fq4mf5 жыл бұрын
Wazungu wana true love, wangekuwa wale dada zangu wenye kidigree kamoja alikokapata duce wangetaka watembezwe na gari,
@dickchobs30265 жыл бұрын
Good job konde boy. You did something Great...!! Historian hutunzwa
@innocentguynizeyimana60883 жыл бұрын
Kwel
@surgiomseven80535 жыл бұрын
Mkalii WAP big up tu xaana brooo
@zakaboy13055 жыл бұрын
uko vizuri harmonize mwambie diamond nae aonyeshe asiri yake
@bizoojoh91455 жыл бұрын
Ssa kakuria dar anaonesha nni tandale hajawai oneshaa
@mountcholo70395 жыл бұрын
Kumbe harmonize ni shabiki mwenzangu wa chelsea, wanaoona wivu wajinyonge. Hahaha
@shemsasimba62045 жыл бұрын
very my bro Rajab
@alisterkaijage65172 жыл бұрын
Nimeipenda iyo man upo fresh kabisa
@lulanatty84744 жыл бұрын
Huyo ndio mume jeshii hajasahau mila za kwao mtu mwema 😍 tembo much lv 😍
@naslamgollowatuacheee98525 жыл бұрын
Nimependa mazingira yenu hamo hadi raha mungu akusimamie kwailo kukuza familia natamin ningekua miongon mwa familia piya nifamilia ya heshima na dini mungu awabarki ila sara mvalishe madira kwanza kijijin
@estergodfrey41264 жыл бұрын
Kwa mara ya kumuona msanii wa bongo akionyesha kwao bila kuona aibu, hongera sana kwa kujiamini,
@halloummasuod37225 жыл бұрын
HARMONiZE wewe ni msani tofauti hakuna kama baba hakuna kama mama llove so much Sarah mabruk enjoy
@wegochannel10135 жыл бұрын
Its so amazing watching u moving back home with your fiance , though she is alittle bit scared but she looks happy
@alexboniphace24105 жыл бұрын
Kam umesikia swagger za jonijoo kwa huyu mtangazaji..... Hahahahahaa wahuni si watu wazuri.....
@nshimirimanafelix74935 жыл бұрын
Harmonize kitu kizuri unataka kukifanya plz hio micungwa minazi isikatwi iwe sehemu nzuri kabisa weusi hawana love uliongea point
@mongeramatondo4165 жыл бұрын
Yn huyu kaka jmn yuko vzr hanaga majivuno km wasanii wengine, big up nmekupenda bureee