Sheikh Muhammad Bachu Mwenyezi MUNGU azidi kukupa umri mrefu wenye kheri na akujaalie mwisho mwema Inshaallah
@maryamabdallah3140Ай бұрын
Wanamuziki mnajisahau sana, kumbukeni Allah yupo na mwisho baada ya maisha haya utaenda kuyajibu yote unayofanya!
@KhalfanMassoud2 ай бұрын
Maashallah, mwalimu wangu bachu, nakupenda kwa ajili ya allah.
@user-of4gj2xb6jАй бұрын
Shekh wangu Allah hakuifazi haku zidishie neema na baraka tele
@SirlemNasir2 ай бұрын
Masha Allah.. umesema.kweli sheikh Muhammad Bachu.. tatizo kuu ni wapi mtoto wako unampeleka.kusoma.dini. wallahi kama ungelijua hata ule munakasha wa Barzanji, ungejua unaenda kufanya naye mjadala ni mpiga gita na vinanda..usingepoteza mdaa wako.
@user-pt1nl5rl5qАй бұрын
MashaAllah Allah akulipe kher shekh Bachu
@SalehKhatib-ey6ct2 ай бұрын
Muhammed bachu nafatilia sana mawaidha yako upo vizur si wote watokupenda ila wew bainisha haki Allah atakupenda hongera sana napenda mawaidha yako unazungumz vitu kwa dalili
@adamaliali22062 ай бұрын
Allah akulinde Mohammad bachu
@YusraynatAlly-mo7sq2 ай бұрын
ALLAH(SW) atuhifadhi na atulinde na atuepushe na kufuru,,,,,,,,,,,,,,,mda upoo jamnani tutubuniii hakika Allah (sw) ni mwenye kusamehe,,,,,,,Allah (SW) atujaalie tupate mwisho mwema tuingie katika pepo ya firdaus amiiiin ya rabbi
@husna345622 ай бұрын
Amiin 😢
@YusraynatAlly-mo7sq2 ай бұрын
@@husna34562 amiiin habbt
@Sofia-rf6nd2 ай бұрын
Amiin
@RehemaMgaya-zy1htАй бұрын
Insha'allah ❤
@ZuhuraKhamis-df7hwАй бұрын
amiin
@SalehKhatib-ey6ct2 ай бұрын
Hata sis tumetoka madrasa hizi za maulid na mambo mengi ila namshkuru Allah sw kwa kuijuwa haki pamoja na familia yangu namshkuru Mola kwakuniepusha na batwil na kuijuwa haki
@cityhuntermkali24682 ай бұрын
Mtihani mkubwa sana huu
@OmarAlly-iz8ot2 ай бұрын
Laahawl walaa quwwata illaa billaah! Kwakweli wazazi tunapaswa kua makini na kuchukua hatua stahiki kwa watoto wetu kupitia tukio hili. Pia Shekh Muhammaa kwakweli tunamuomba Allaah Azza Wajalla akupe umri mrefu wenye faida kwako na kwa ummah pia. Kwakweli umeongea vitu vya maana sana maashaa Allaah, wabaaraka Allaahu fiik.
@tz20142 ай бұрын
Allah azidi kuwahifadhi masheikh wote wenye kusimama katika haki kufundisha dini kama alivyofanya mtume, maswahaba na wema waliotangulia amiin.
@HussainMaula-tz8dh2 ай бұрын
Shekhe muhamani bachu twakuombea kwa Allha akuhifazi shekhe wetu na akupe umri mrefu ili watu wazidi kuifahamu haki na kuikataa batili.
@MdNasr-jm8pj2 ай бұрын
Amin
@AliSalim-dq4go2 ай бұрын
Wewe Diamond kwa maneno yako umeritadi ,piga shahada na ufanye na toba nasuha
@is-hakayussuf99812 ай бұрын
Ameen
@user-wk5ju8kd3uАй бұрын
Allah akulinde Insh Allah uzidi kutuilimisha nakupenda kwa ajili ya Allah
@kizitofarid94142 ай бұрын
Mashaallah Allah akuhifadhi sheikh wangu na akuzidishie Elimu na ufaham zaidi na zaidi uzidi kuwafahamisha watu dini ipoje na sivyo wanavyofikiria Allah azidi kukufungulia ufaham wallah wataelewatu
@niffonlinetz72142 ай бұрын
BACHU KAMA BACHU ALLAH AKULIPE KILA LENYE KHERI SHEKHE WETU
@muhunzijunior51532 ай бұрын
Allah atunusur atuepushe na kufuru na atujaalie mwisho mwema in Shaa Allah
@habibasalim30922 ай бұрын
Aameen
@shaabansheehabdallah87702 ай бұрын
MAA SHAA ALLAH BarrakkAllah fiik. Ujumbe umetulia kabisa
@nabiljumaothman59122 ай бұрын
Mtihani wallai kijana Kaleft Group.. watu wanaomba mwisho mwema yeye Ndo anaharibu dakika za mwisho .. mungu amrejeshe kwenye akida .. maana wale wanaosema mungu ana mtoto mbingu zinatetemeka je kauli alotoa harmonize 😢
@OmanOma-xi3hmАй бұрын
Kweli atubue asijibaba ishe
@JahyAlnadhir2 ай бұрын
Mungu akubadilishe pua ya tumbiri
@allysalimu3382 ай бұрын
Allaah akuhifadhiii! Shekh bachu❤
@amuribazira93502 ай бұрын
Shukran masheikh zetu kusimamia HAKI. Ila tusiumize vichwa vyetu,huyo msanii anasifa ya kuwa mfuasi wa sheitani. Anapo kufturu ndio naingia kwenye Ibada ya kisheitwani. Allah tunusurishe na huo upotevu.
@FreePalestineoneummahАй бұрын
Kukufuru kukubwa uliodhahiri, Subhanallah,hyo ni bangi
@HarunaKhamisi13 күн бұрын
Atakaefahamu atafahamu laa watu kama wapo kishabiki zaidi bac ila hao wsikuvunje nguvu fanya kazi allah atawajalia iposiku w atafahamu nn unamainisha
@MohamedMeja14 күн бұрын
Amefanyaa makosa makubwa mungu ampea mazingatio atubiea AMEEN YA RABII
@salehkhalfan73452 ай бұрын
Nikweli Sheikh wng lkn wkt mwngn tusiwalaumu tu Wazazi Kuna Familia Wazazi wao hufanya Bidii ya kila namna lkn mwsh wa sku mtt akakosa Elimu au akabadilika ukubwan Na kuna watt wengn hata hai Wazazi hawawajui-mfano mtt analelew na Mzazi 1 tu na mwsh wa sku mtt akawa mweye juhud ktk Dini....Wallahu Aa'alam
@safiaMsellem28 күн бұрын
Mashallah shekh
@halimamohamed4842Ай бұрын
Shukrn sanaa sheekh Allah akuhifadhi❤❤upo sahihi,,watching from kenya🇰🇪🇰🇪
@user-kb7bk3sq6v2 ай бұрын
Allah umuongoze kijana wetu
@youngtomuller-vh2puАй бұрын
Allah ti abençoe irmao insha-Allah 🙏
@barakoibrahim2 ай бұрын
Masha Allah Sheikh, nlikua natafuta mtu ka wewe wa kuwaambia Hawa watu was Lamu ukweli. Wallah kwa kweli nakushukuru kwa upande wangu ❤❤❤
@shilolemwakizenga42042 ай бұрын
Watu wa lamu kina harmonise 😂😂😂
@HanifaOman-oo4pl2 ай бұрын
Naukiangalia. Wanamuziki wote wametokea madrasa za madufu. Mtiihani. Allah atuongoze hawamashehe ubwabwa mtuhani.madufuni muzikitu .. zambi zilezile
@mzalendohasa2 ай бұрын
Kwa hiyo na wanaziki wanao imba nyimbo zinazo itwa nashidi wametoka kwenye madrasa za dufu tuache chuki zisizo za maana ndugu
@cityhuntermkali24682 ай бұрын
@@mzalendohasahuo ukweli wala hakuna mjadala
@HanifaOman-oo4pl2 ай бұрын
@@mzalendohasa kwani anashidi ni halali zone ni bidaa sugu hizo hazitakiwi ni walewaletu
@KomboHussein2 ай бұрын
Allah akuhifadhi shekh Mohammad Bachu,
@user-zr7on8ys1l2 ай бұрын
Alhaa Akubariki na Akuepush fitin za duniya
@omarmwabege2 ай бұрын
Maa shaa Allah,أحبك في الله يا أخي
@SalehKhatib-ey6ct2 ай бұрын
Muhammed bachu unafiks ujumbe sana Allah akuhifadh ila kuns watu wanakukejeli ila siku zote ukizungumza ukwel utachukiwa madui watakuwa wengi ilw Allah sw atawaongo endelea kutubainishia haki
@user-pt4qj4qh3rАй бұрын
Ndo mana Allah kasema tusimfikirie san yupoje tutamkufuru ndo hivy sasa
@cityhuntermkali24682 ай бұрын
Muhammad bachu Allah akupe uhai mrefu tuendelee kunufaika na madini yako
@AndulHida-hs5py2 ай бұрын
Subbhanna Allah, mola amuongoze kijana huyo , arudi kuwa muislam safi , Hakika kakosea sana
@IdrisaHamad-w1b6 күн бұрын
Dj said mwalim mkuu wa madrasa
@leilakhamis9832 ай бұрын
Muhammad bachu Allah akuhifaz aamin
@HamisMtonnyaАй бұрын
Maneno ya kweli kabisa ,mashaallah
@ibrahimjumaa5382 ай бұрын
Muombeeni Duah!!❤
@abdulmwakubambanya90912 ай бұрын
Barakh Allah Kher sheikh
@user-nk4px3bt1m2 ай бұрын
Shekha Allah akulipe nimekuelewa
@slimdaszwagaza22022 ай бұрын
Watching from ethiopia kenya border mashAllah sheikh mungu akujazie kheir na akuongoze kwa njia kamili ya Tawhid
@user-qd6iy9gt5l2 ай бұрын
Sheikh huyo msaa nii jashakiri kama amemkosea Allah
Alhamdulillah, umetufunza na nimepata kitu kupitia video yako hii, Alhamdulillah
@jumasalum26772 ай бұрын
Masha Allah
@babatidaawa65502 ай бұрын
Shukran Sheikh wangu
@bakarihote2 ай бұрын
Allah amlinde shekhe bachu 6:32
@SeaPower-pu1mq2 ай бұрын
Upo Sahihi shekh langu
@YahyaYahya-vp2pp2 ай бұрын
Muhammad bachu ❤❤❤
@AshrafBunu2 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh wetu
@faisalmohamed7272 ай бұрын
Wanamiziki wa east Africa wanaodai kuwa ni waislamu wote ni wanafunzi wa masufi, masufi hufundishwa uimbaji kuanzia madrasa.
@Khalid-mf3iu2 ай бұрын
Ndio maana wengi masufi hupenda migoma
@mbarakomarmbarak58632 ай бұрын
bachu alishindwa kwa elimu si kwa Gita
@jamilashabani85802 ай бұрын
Acha zako Sikiliza yalio hapa uyafuate acha kusema watu bila ⁷bu et masufi kule madrsa hawafundishwi mzik bali kumsifu Allah na Mtume wake
@faisalmohamed7272 ай бұрын
@@jamilashabani8580 Ulionapi mtu wa sunnah muwaitao (mawahabi) kiwa mwanamziki au mpiga ramli mganga? Hao hupatikana kwa masufi tuu, waganga wapiga ramli waimbaji na wanaoabudu masharifu na makaburi yao.
@abdulkadirhaji39472 ай бұрын
Shk Mohamed bachu uko miskiti gani nataka kuja kusikiliza kudba zako wallahi kwajili ya allah
@habibasalim30922 ай бұрын
Hua yuko Migadini sana sana,
@tztanzania22622 ай бұрын
@@habibasalim3092upo Kenya?
@habibasalim30922 ай бұрын
@@tztanzania2262 yes
@abuubakaramer77822 ай бұрын
kwani zanzibar hayupo tena au
@musakibindo63452 ай бұрын
Mmojawapo ya watu ambao haifai kuchukuliwa dini kwao ni wewe. Maana unatumia nguvu nyingi, siasa nyingi na propaganda tele kuwanasa, na kuwavuta watu upande wako. Hivi siku zote hamjawahi kuuona dharura ya kuwazungumzia wanamziki ambao ni waislamu waache kuimba mziki wa kishaitwan. Nyinyi Mashekhe mchongo bin propaganda Allah anawaona. Yaani siku zote Harmonize alikuwa mwema mpaka hivi majuzi ndio akaanza kufru hapo mbeleni hakuwa na kufru yoyote? Mungu anawaona.
@kheirjuma9312 ай бұрын
Uko vyema sheh masha allah
@pavillioncry52412 ай бұрын
Alaaaa dj said bwana
@maryamtanzania9743Ай бұрын
Kitu cha kwanza ninachompendea bachu simnafiki na haogopi kuchukiwa kwa ajili ya allahh
@anthonykariuki2438Ай бұрын
Ali iga hayo maneno kutoka kwa mwanamuziki mwenye asili ya kimarekani anayejulikana kama Shaggy katika ule wimbo wake strength of a woman.
@MdNasr-jm8pj2 ай бұрын
Mm ningefurah ungemwita ukammkanya 🤝
@user-zg6hx6xi3x2 ай бұрын
Mashallah , mawaidha mazuri
@HanifaOman-oo4pl2 ай бұрын
Masufi wapiga madufu mtihani. Allah atuongoze atujaalie mwishomwema atuepushe na shilki
@MWAMBAZanzibar2 ай бұрын
Wao ndio wanao sema hivyo ?
@user-mw8cv2pq2k2 ай бұрын
Tatizo vijana kashfa nyingi kwa walimu wa mwanzo fanyeni subra kwani Wew unapata fursa ya kumjua bachu kuna wengine ata kanzu hawaijui acheni zalau kwa ndugu zenu
@HanifaOman-oo4pl2 ай бұрын
@@user-mw8cv2pq2k kwani kanxu ndiyo kujia Dini. aundiyo. Kufata haki kanxu mavazitu
@sarahabdullatif85562 ай бұрын
Mungu hapiganiwi kwa Yesu Raha anajuwa sio mungu wa kweli ndio mana anafanya hivyo hebu hayo naayafanye kwa Yesu
@mohamedlali42292 ай бұрын
1 Samweli. 15: 2-3 soma humo utaona kama Mungu wako anataka apiganiwe au vipi
@allysalimu3382 ай бұрын
Kwahaki ulionayonna unayo wapa watu sikilq mmoja atakupenda wako wenye husdaa ilaa toa haq sheikh wangu mpka itapokufika yakin😢
@user-zg6hx6xi3x2 ай бұрын
Subhanallah! Hawo wenye wako kwenye makaburi na dufu ni wapi? Msiba
@hajiamiri16582 ай бұрын
Jazaakhallah kher
@UlamaaWaUlamaa2 ай бұрын
Mashallah huyu namfuatilia yeye na baba yake Shekh Nassoro Bachu
@user-cz9pm9qt9z2 ай бұрын
Harmonize laanatullah
@ali_ford2 ай бұрын
Mungu=miungu shirki Mwenyezimungu sahihi
@MteleShadia-lc6gi2 ай бұрын
Mashallah mashallah,,shekh,,,pia nurudin kishik Allah amlipe,,kwaa Kaz nzr yake,, anayoyafanya kwenye din hi Allah amlipe,,popote alpo
@yusufathman24782 ай бұрын
Aaaamin.. Nampenda sheikh kishki kwa ajili ya Allah
@habibasalim30922 ай бұрын
Aamiin
@amrikimbede2 ай бұрын
Na mimi pia nampenda Sheikh Nurdin Kishki kwa ajili ya ALLAH
@user-pd2fk6kt5i2 ай бұрын
Bangi ni mbaya kwakweli 😢😢😢 Allaah azidi kutuongoza kwa Neema zake sababu huyu ni msiba mkumbwa sana kufuru kama hiii Daah
@user-ny3dw4xs1z2 ай бұрын
Shekh nauwakika wengi wanachukia mawaidha yako2 lakin wengi wanapenda mawaidha yako ila mungu akipende zaid akulipe janna insha Allah
@habibasalim30922 ай бұрын
Walahawla walaquwwata illa-billaah, inakuwaje wazungu sasa hivi wanaukumbatia uislamu wakiwemo ma priests, khasara hii ya harmonize
@omarsirleem71052 ай бұрын
MashaAllah
@Saidally-ih6jdАй бұрын
Allah amuongoze
@HappyClogShoes-hp9ho2 ай бұрын
Subhanaalah
@adamaliali22062 ай бұрын
Allah akulinde
@SalehKhatib-ey6ct2 ай бұрын
Bachu endelea kusambaza dawa sisi tunakupenda kwa ajili ya Allah endelea kuwanyoshaa na waepukane na batili waje kwenye haki inshaallah Allah atawajalia kuijuwa haki
@user-iv3ou4qg4d2 ай бұрын
Ni kosa mpiga gita kumwita sheikh.
@idrismaalim22542 ай бұрын
Sasa Mpiga gitaa alikunyamazisha ukiletewa maUstadh si utahara.?
@maryamtanzania9743Ай бұрын
Yarabi tunaomba utuongoze
@badarbinthabit290Ай бұрын
Allah Mustaan
@Abuusaad-uy5cx2 ай бұрын
MM BINAFSI HAKUNA HATA SHUBHA INAYONIBABAISHA HAPO... KASOME KIJANA UJUHA UWACHE
@issambamba92362 ай бұрын
Kiukweli hakuna mwenye kumjua Allah kiuhakika ya dhati yake,kikubwatu tuamini uwepo wa Mungu muumbaji wetu.
@SwahibAjamy2 ай бұрын
Jivute kwa Allah upate radhi za Allah
@abuuaidh65002 ай бұрын
Inafaa kupiga dufu ,Asiliyao hao wanamiziki wote ni kutoka Madrasa za gitaa na kasida ndugu yake taarabu.
@mariamhussein27372 ай бұрын
Mashallah
@mzeemzee7503Ай бұрын
TAFADHALINI MASHEKHE NAWAOMBA MUNATOKA KATIKA MALENGO YA DINI WAKATI TULIONAO SASA NIKUWAOKOWA UMMAH NA MOTO WA ALLAH AWE MUHUNI MCHAWI MZINZI MALAYA NAWENGINEO ZAMA ZILISEMWA ELIMU WASOMI KUTAKA UMARUFU NA SIFA SIO KULINGANIYA WATU WAIPENDE NAKUINGIA KWA DINI SHETANI AMEWAZIDI NGUVU DIAMOND KONDE BOY NA ALI KIBA SABABU YA MAISHA NA ANASA MASHEKHE HAMTUMII HEKMA YA QURAN NA HADITH ALLAH AWAPE TAWFIQ WARUDI KWA MUONGOZO KUMBUKA WANAMUZIKI WANAFILM WACHEZA MIPIRA WANATUMIYA KUANGAMIZA JAMII NA MWISHO WAKICHOKA WANAULIWA MFANO MINGI BOB MARLEY WHITENY HOUSTON CELINE DEON NAWENGI MAMBO YAKO WAZI SHUKRAN
@user-rz2ek3qw3h2 ай бұрын
Kwa maana hii basi ata kwenda hija maka pia ni upuuzi katika uislamu, kwa sababu wanokwenda kule ni kwenda kudhulu kaburi pale maka. Ndugu Zangu waislam tutafute ukweli sisi wenyewe tusipelekwe kama bendera inavyopelekwa na upepo.
@AbdalahAlly-nc8xsАй бұрын
Kijana wape hao alllaah anapenda watu kama hao
@AthmanAmina2 ай бұрын
Hasbunallah
@husseinmongolare34172 ай бұрын
Shukran
@khamisswalehe2 ай бұрын
shekh bachu natka unipe dalili ya uharamu wa kuomba dua ya pamoja baada ya swala ya faradh
@amourshadhil20052 ай бұрын
Suala zuri. Cku akikujibu na mm tafadhali nitumie hata inbox
@rafiimkufya11732 ай бұрын
Hakuna uharamu wowote sema mtume hajafundsha hvyo na mtume ndio kiigzo chetu kwenye kila jambo la dini
@niffonlinetz72142 ай бұрын
MTUME HAKUFANYA HILO JAMBO SHEKHE
@khamisswalehe2 ай бұрын
@@niffonlinetz7214 sawa mwalimu
@kassimsalim61602 ай бұрын
سبحان الله الله أكبر 😭😭😭😭💔💔💔 الله المستعان والله العظيم 🤲😭💔
@bashishimrisa2 ай бұрын
man was created from the dust and in the dust you will return
@sanoureyaliwadoakaroyo16962 ай бұрын
ALLahu Akbaru
@latayclassic15242 ай бұрын
Kumbe vita inaendeleeaa bachu usizunguke nenda moja kwa mojaa kwa shekhe said
@MchinaMchinaboy2 ай бұрын
Awa jamaa wamekaa kama makondo akili hawana kabisa yani wanaenda kuabudu makaburi ushirikina mtu wallahi mungu awaongoze inshallah