JE KISHKI NDIO SULUHISHO KWENYE UKAFIRI WA HARMONIZE || MUHAMMAD BACHU || 19/4/2024

  Рет қаралды 73,432

Muhammad Nassor Bachu

Muhammad Nassor Bachu

2 ай бұрын

Пікірлер: 249
@GoodluckPaul-wf9gn
@GoodluckPaul-wf9gn Ай бұрын
Sheikh Muhammad Bachu Mwenyezi MUNGU azidi kukupa umri mrefu wenye kheri na akujaalie mwisho mwema Inshaallah
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 Ай бұрын
Wanamuziki mnajisahau sana, kumbukeni Allah yupo na mwisho baada ya maisha haya utaenda kuyajibu yote unayofanya!
@KhalfanMassoud
@KhalfanMassoud 2 ай бұрын
Maashallah, mwalimu wangu bachu, nakupenda kwa ajili ya allah.
@user-of4gj2xb6j
@user-of4gj2xb6j Ай бұрын
Shekh wangu Allah hakuifazi haku zidishie neema na baraka tele
@SirlemNasir
@SirlemNasir 2 ай бұрын
Masha Allah.. umesema.kweli sheikh Muhammad Bachu.. tatizo kuu ni wapi mtoto wako unampeleka.kusoma.dini. wallahi kama ungelijua hata ule munakasha wa Barzanji, ungejua unaenda kufanya naye mjadala ni mpiga gita na vinanda..usingepoteza mdaa wako.
@user-pt1nl5rl5q
@user-pt1nl5rl5q Ай бұрын
MashaAllah Allah akulipe kher shekh Bachu
@SalehKhatib-ey6ct
@SalehKhatib-ey6ct 2 ай бұрын
Muhammed bachu nafatilia sana mawaidha yako upo vizur si wote watokupenda ila wew bainisha haki Allah atakupenda hongera sana napenda mawaidha yako unazungumz vitu kwa dalili
@adamaliali2206
@adamaliali2206 2 ай бұрын
Allah akulinde Mohammad bachu
@YusraynatAlly-mo7sq
@YusraynatAlly-mo7sq 2 ай бұрын
ALLAH(SW) atuhifadhi na atulinde na atuepushe na kufuru,,,,,,,,,,,,,,,mda upoo jamnani tutubuniii hakika Allah (sw) ni mwenye kusamehe,,,,,,,Allah (SW) atujaalie tupate mwisho mwema tuingie katika pepo ya firdaus amiiiin ya rabbi
@husna34562
@husna34562 2 ай бұрын
Amiin 😢
@YusraynatAlly-mo7sq
@YusraynatAlly-mo7sq 2 ай бұрын
@@husna34562 amiiin habbt
@Sofia-rf6nd
@Sofia-rf6nd 2 ай бұрын
Amiin
@RehemaMgaya-zy1ht
@RehemaMgaya-zy1ht Ай бұрын
Insha'allah ❤
@ZuhuraKhamis-df7hw
@ZuhuraKhamis-df7hw Ай бұрын
amiin
@SalehKhatib-ey6ct
@SalehKhatib-ey6ct 2 ай бұрын
Hata sis tumetoka madrasa hizi za maulid na mambo mengi ila namshkuru Allah sw kwa kuijuwa haki pamoja na familia yangu namshkuru Mola kwakuniepusha na batwil na kuijuwa haki
@cityhuntermkali2468
@cityhuntermkali2468 2 ай бұрын
Mtihani mkubwa sana huu
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 2 ай бұрын
Laahawl walaa quwwata illaa billaah! Kwakweli wazazi tunapaswa kua makini na kuchukua hatua stahiki kwa watoto wetu kupitia tukio hili. Pia Shekh Muhammaa kwakweli tunamuomba Allaah Azza Wajalla akupe umri mrefu wenye faida kwako na kwa ummah pia. Kwakweli umeongea vitu vya maana sana maashaa Allaah, wabaaraka Allaahu fiik.
@tz2014
@tz2014 2 ай бұрын
Allah azidi kuwahifadhi masheikh wote wenye kusimama katika haki kufundisha dini kama alivyofanya mtume, maswahaba na wema waliotangulia amiin.
@HussainMaula-tz8dh
@HussainMaula-tz8dh 2 ай бұрын
Shekhe muhamani bachu twakuombea kwa Allha akuhifazi shekhe wetu na akupe umri mrefu ili watu wazidi kuifahamu haki na kuikataa batili.
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 2 ай бұрын
Amin
@AliSalim-dq4go
@AliSalim-dq4go 2 ай бұрын
Wewe Diamond kwa maneno yako umeritadi ,piga shahada na ufanye na toba nasuha
@is-hakayussuf9981
@is-hakayussuf9981 2 ай бұрын
Ameen
@user-wk5ju8kd3u
@user-wk5ju8kd3u Ай бұрын
Allah akulinde Insh Allah uzidi kutuilimisha nakupenda kwa ajili ya Allah
@kizitofarid9414
@kizitofarid9414 2 ай бұрын
Mashaallah Allah akuhifadhi sheikh wangu na akuzidishie Elimu na ufaham zaidi na zaidi uzidi kuwafahamisha watu dini ipoje na sivyo wanavyofikiria Allah azidi kukufungulia ufaham wallah wataelewatu
@niffonlinetz7214
@niffonlinetz7214 2 ай бұрын
BACHU KAMA BACHU ALLAH AKULIPE KILA LENYE KHERI SHEKHE WETU
@muhunzijunior5153
@muhunzijunior5153 2 ай бұрын
Allah atunusur atuepushe na kufuru na atujaalie mwisho mwema in Shaa Allah
@habibasalim3092
@habibasalim3092 2 ай бұрын
Aameen
@shaabansheehabdallah8770
@shaabansheehabdallah8770 2 ай бұрын
MAA SHAA ALLAH BarrakkAllah fiik. Ujumbe umetulia kabisa
@nabiljumaothman5912
@nabiljumaothman5912 2 ай бұрын
Mtihani wallai kijana Kaleft Group.. watu wanaomba mwisho mwema yeye Ndo anaharibu dakika za mwisho .. mungu amrejeshe kwenye akida .. maana wale wanaosema mungu ana mtoto mbingu zinatetemeka je kauli alotoa harmonize 😢
@OmanOma-xi3hm
@OmanOma-xi3hm Ай бұрын
Kweli atubue asijibaba ishe
@JahyAlnadhir
@JahyAlnadhir 2 ай бұрын
Mungu akubadilishe pua ya tumbiri
@allysalimu338
@allysalimu338 2 ай бұрын
Allaah akuhifadhiii! Shekh bachu❤
@amuribazira9350
@amuribazira9350 2 ай бұрын
Shukran masheikh zetu kusimamia HAKI. Ila tusiumize vichwa vyetu,huyo msanii anasifa ya kuwa mfuasi wa sheitani. Anapo kufturu ndio naingia kwenye Ibada ya kisheitwani. Allah tunusurishe na huo upotevu.
@FreePalestineoneummah
@FreePalestineoneummah Ай бұрын
Kukufuru kukubwa uliodhahiri, Subhanallah,hyo ni bangi
@HarunaKhamisi
@HarunaKhamisi 13 күн бұрын
Atakaefahamu atafahamu laa watu kama wapo kishabiki zaidi bac ila hao wsikuvunje nguvu fanya kazi allah atawajalia iposiku w atafahamu nn unamainisha
@MohamedMeja
@MohamedMeja 14 күн бұрын
Amefanyaa makosa makubwa mungu ampea mazingatio atubiea AMEEN YA RABII
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 2 ай бұрын
Nikweli Sheikh wng lkn wkt mwngn tusiwalaumu tu Wazazi Kuna Familia Wazazi wao hufanya Bidii ya kila namna lkn mwsh wa sku mtt akakosa Elimu au akabadilika ukubwan Na kuna watt wengn hata hai Wazazi hawawajui-mfano mtt analelew na Mzazi 1 tu na mwsh wa sku mtt akawa mweye juhud ktk Dini....Wallahu Aa'alam
@safiaMsellem
@safiaMsellem 28 күн бұрын
Mashallah shekh
@halimamohamed4842
@halimamohamed4842 Ай бұрын
Shukrn sanaa sheekh Allah akuhifadhi❤❤upo sahihi,,watching from kenya🇰🇪🇰🇪
@user-kb7bk3sq6v
@user-kb7bk3sq6v 2 ай бұрын
Allah umuongoze kijana wetu
@youngtomuller-vh2pu
@youngtomuller-vh2pu Ай бұрын
Allah ti abençoe irmao insha-Allah 🙏
@barakoibrahim
@barakoibrahim 2 ай бұрын
Masha Allah Sheikh, nlikua natafuta mtu ka wewe wa kuwaambia Hawa watu was Lamu ukweli. Wallah kwa kweli nakushukuru kwa upande wangu ❤❤❤
@shilolemwakizenga4204
@shilolemwakizenga4204 2 ай бұрын
Watu wa lamu kina harmonise 😂😂😂
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
Naukiangalia. Wanamuziki wote wametokea madrasa za madufu. Mtiihani. Allah atuongoze hawamashehe ubwabwa mtuhani.madufuni muzikitu .. zambi zilezile
@mzalendohasa
@mzalendohasa 2 ай бұрын
Kwa hiyo na wanaziki wanao imba nyimbo zinazo itwa nashidi wametoka kwenye madrasa za dufu tuache chuki zisizo za maana ndugu
@cityhuntermkali2468
@cityhuntermkali2468 2 ай бұрын
​@@mzalendohasahuo ukweli wala hakuna mjadala
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
@@mzalendohasa kwani anashidi ni halali zone ni bidaa sugu hizo hazitakiwi ni walewaletu
@KomboHussein
@KomboHussein 2 ай бұрын
Allah akuhifadhi shekh Mohammad Bachu,
@user-zr7on8ys1l
@user-zr7on8ys1l 2 ай бұрын
Alhaa Akubariki na Akuepush fitin za duniya
@omarmwabege
@omarmwabege 2 ай бұрын
Maa shaa Allah,أحبك في الله يا أخي
@SalehKhatib-ey6ct
@SalehKhatib-ey6ct 2 ай бұрын
Muhammed bachu unafiks ujumbe sana Allah akuhifadh ila kuns watu wanakukejeli ila siku zote ukizungumza ukwel utachukiwa madui watakuwa wengi ilw Allah sw atawaongo endelea kutubainishia haki
@user-pt4qj4qh3r
@user-pt4qj4qh3r Ай бұрын
Ndo mana Allah kasema tusimfikirie san yupoje tutamkufuru ndo hivy sasa
@cityhuntermkali2468
@cityhuntermkali2468 2 ай бұрын
Muhammad bachu Allah akupe uhai mrefu tuendelee kunufaika na madini yako
@AndulHida-hs5py
@AndulHida-hs5py 2 ай бұрын
Subbhanna Allah, mola amuongoze kijana huyo , arudi kuwa muislam safi , Hakika kakosea sana
@IdrisaHamad-w1b
@IdrisaHamad-w1b 6 күн бұрын
Dj said mwalim mkuu wa madrasa
@leilakhamis983
@leilakhamis983 2 ай бұрын
Muhammad bachu Allah akuhifaz aamin
@HamisMtonnya
@HamisMtonnya Ай бұрын
Maneno ya kweli kabisa ,mashaallah
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 2 ай бұрын
Muombeeni Duah!!❤
@abdulmwakubambanya9091
@abdulmwakubambanya9091 2 ай бұрын
Barakh Allah Kher sheikh
@user-nk4px3bt1m
@user-nk4px3bt1m 2 ай бұрын
Shekha Allah akulipe nimekuelewa
@slimdaszwagaza2202
@slimdaszwagaza2202 2 ай бұрын
Watching from ethiopia kenya border mashAllah sheikh mungu akujazie kheir na akuongoze kwa njia kamili ya Tawhid
@user-qd6iy9gt5l
@user-qd6iy9gt5l 2 ай бұрын
Sheikh huyo msaa nii jashakiri kama amemkosea Allah
@user-nc5ug2pj3j
@user-nc5ug2pj3j 2 ай бұрын
Asc ,,,Maa,SHaa,Allah,,Allahuma,Ahfith,,kullu Sheikh,,Allmusliiin☝️👍
@ArunaDjumapili
@ArunaDjumapili 2 ай бұрын
Mwenyezi Mungu asamehe na amuongoze
@user-nk3dp9cv9c
@user-nk3dp9cv9c 2 ай бұрын
Alhamdulillah, umetufunza na nimepata kitu kupitia video yako hii, Alhamdulillah
@jumasalum2677
@jumasalum2677 2 ай бұрын
Masha Allah
@babatidaawa6550
@babatidaawa6550 2 ай бұрын
Shukran Sheikh wangu
@bakarihote
@bakarihote 2 ай бұрын
Allah amlinde shekhe bachu 6:32
@SeaPower-pu1mq
@SeaPower-pu1mq 2 ай бұрын
Upo Sahihi shekh langu
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp 2 ай бұрын
Muhammad bachu ❤❤❤
@AshrafBunu
@AshrafBunu 2 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh wetu
@faisalmohamed727
@faisalmohamed727 2 ай бұрын
Wanamiziki wa east Africa wanaodai kuwa ni waislamu wote ni wanafunzi wa masufi, masufi hufundishwa uimbaji kuanzia madrasa.
@Khalid-mf3iu
@Khalid-mf3iu 2 ай бұрын
Ndio maana wengi masufi hupenda migoma
@mbarakomarmbarak5863
@mbarakomarmbarak5863 2 ай бұрын
bachu alishindwa kwa elimu si kwa Gita
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 2 ай бұрын
Acha zako Sikiliza yalio hapa uyafuate acha kusema watu bila ⁷bu et masufi kule madrsa hawafundishwi mzik bali kumsifu Allah na Mtume wake
@faisalmohamed727
@faisalmohamed727 2 ай бұрын
@@jamilashabani8580 Ulionapi mtu wa sunnah muwaitao (mawahabi) kiwa mwanamziki au mpiga ramli mganga? Hao hupatikana kwa masufi tuu, waganga wapiga ramli waimbaji na wanaoabudu masharifu na makaburi yao.
@abdulkadirhaji3947
@abdulkadirhaji3947 2 ай бұрын
Shk Mohamed bachu uko miskiti gani nataka kuja kusikiliza kudba zako wallahi kwajili ya allah
@habibasalim3092
@habibasalim3092 2 ай бұрын
Hua yuko Migadini sana sana,
@tztanzania2262
@tztanzania2262 2 ай бұрын
​@@habibasalim3092upo Kenya?
@habibasalim3092
@habibasalim3092 2 ай бұрын
@@tztanzania2262 yes
@abuubakaramer7782
@abuubakaramer7782 2 ай бұрын
kwani zanzibar hayupo tena au
@musakibindo6345
@musakibindo6345 2 ай бұрын
Mmojawapo ya watu ambao haifai kuchukuliwa dini kwao ni wewe. Maana unatumia nguvu nyingi, siasa nyingi na propaganda tele kuwanasa, na kuwavuta watu upande wako. Hivi siku zote hamjawahi kuuona dharura ya kuwazungumzia wanamziki ambao ni waislamu waache kuimba mziki wa kishaitwan. Nyinyi Mashekhe mchongo bin propaganda Allah anawaona. Yaani siku zote Harmonize alikuwa mwema mpaka hivi majuzi ndio akaanza kufru hapo mbeleni hakuwa na kufru yoyote? Mungu anawaona.
@kheirjuma931
@kheirjuma931 2 ай бұрын
Uko vyema sheh masha allah
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 2 ай бұрын
Alaaaa dj said bwana
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Ай бұрын
Kitu cha kwanza ninachompendea bachu simnafiki na haogopi kuchukiwa kwa ajili ya allahh
@anthonykariuki2438
@anthonykariuki2438 Ай бұрын
Ali iga hayo maneno kutoka kwa mwanamuziki mwenye asili ya kimarekani anayejulikana kama Shaggy katika ule wimbo wake strength of a woman.
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 2 ай бұрын
Mm ningefurah ungemwita ukammkanya 🤝
@user-zg6hx6xi3x
@user-zg6hx6xi3x 2 ай бұрын
Mashallah , mawaidha mazuri
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
Masufi wapiga madufu mtihani. Allah atuongoze atujaalie mwishomwema atuepushe na shilki
@MWAMBAZanzibar
@MWAMBAZanzibar 2 ай бұрын
Wao ndio wanao sema hivyo ?
@user-mw8cv2pq2k
@user-mw8cv2pq2k 2 ай бұрын
Tatizo vijana kashfa nyingi kwa walimu wa mwanzo fanyeni subra kwani Wew unapata fursa ya kumjua bachu kuna wengine ata kanzu hawaijui acheni zalau kwa ndugu zenu
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
@@user-mw8cv2pq2k kwani kanxu ndiyo kujia Dini. aundiyo. Kufata haki kanxu mavazitu
@sarahabdullatif8556
@sarahabdullatif8556 2 ай бұрын
Mungu hapiganiwi kwa Yesu Raha anajuwa sio mungu wa kweli ndio mana anafanya hivyo hebu hayo naayafanye kwa Yesu
@mohamedlali4229
@mohamedlali4229 2 ай бұрын
1 Samweli. 15: 2-3 soma humo utaona kama Mungu wako anataka apiganiwe au vipi
@allysalimu338
@allysalimu338 2 ай бұрын
Kwahaki ulionayonna unayo wapa watu sikilq mmoja atakupenda wako wenye husdaa ilaa toa haq sheikh wangu mpka itapokufika yakin😢
@user-zg6hx6xi3x
@user-zg6hx6xi3x 2 ай бұрын
Subhanallah! Hawo wenye wako kwenye makaburi na dufu ni wapi? Msiba
@hajiamiri1658
@hajiamiri1658 2 ай бұрын
Jazaakhallah kher
@UlamaaWaUlamaa
@UlamaaWaUlamaa 2 ай бұрын
Mashallah huyu namfuatilia yeye na baba yake Shekh Nassoro Bachu
@user-cz9pm9qt9z
@user-cz9pm9qt9z 2 ай бұрын
Harmonize laanatullah
@ali_ford
@ali_ford 2 ай бұрын
Mungu=miungu shirki Mwenyezimungu sahihi
@MteleShadia-lc6gi
@MteleShadia-lc6gi 2 ай бұрын
Mashallah mashallah,,shekh,,,pia nurudin kishik Allah amlipe,,kwaa Kaz nzr yake,, anayoyafanya kwenye din hi Allah amlipe,,popote alpo
@yusufathman2478
@yusufathman2478 2 ай бұрын
Aaaamin.. Nampenda sheikh kishki kwa ajili ya Allah
@habibasalim3092
@habibasalim3092 2 ай бұрын
Aamiin
@amrikimbede
@amrikimbede 2 ай бұрын
Na mimi pia nampenda Sheikh Nurdin Kishki kwa ajili ya ALLAH
@user-pd2fk6kt5i
@user-pd2fk6kt5i 2 ай бұрын
Bangi ni mbaya kwakweli 😢😢😢 Allaah azidi kutuongoza kwa Neema zake sababu huyu ni msiba mkumbwa sana kufuru kama hiii Daah
@user-ny3dw4xs1z
@user-ny3dw4xs1z 2 ай бұрын
Shekh nauwakika wengi wanachukia mawaidha yako2 lakin wengi wanapenda mawaidha yako ila mungu akipende zaid akulipe janna insha Allah
@habibasalim3092
@habibasalim3092 2 ай бұрын
Walahawla walaquwwata illa-billaah, inakuwaje wazungu sasa hivi wanaukumbatia uislamu wakiwemo ma priests, khasara hii ya harmonize
@omarsirleem7105
@omarsirleem7105 2 ай бұрын
MashaAllah
@Saidally-ih6jd
@Saidally-ih6jd Ай бұрын
Allah amuongoze
@HappyClogShoes-hp9ho
@HappyClogShoes-hp9ho 2 ай бұрын
Subhanaalah
@adamaliali2206
@adamaliali2206 2 ай бұрын
Allah akulinde
@SalehKhatib-ey6ct
@SalehKhatib-ey6ct 2 ай бұрын
Bachu endelea kusambaza dawa sisi tunakupenda kwa ajili ya Allah endelea kuwanyoshaa na waepukane na batili waje kwenye haki inshaallah Allah atawajalia kuijuwa haki
@user-iv3ou4qg4d
@user-iv3ou4qg4d 2 ай бұрын
Ni kosa mpiga gita kumwita sheikh.
@idrismaalim2254
@idrismaalim2254 2 ай бұрын
Sasa Mpiga gitaa alikunyamazisha ukiletewa maUstadh si utahara.?
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Ай бұрын
Yarabi tunaomba utuongoze
@badarbinthabit290
@badarbinthabit290 Ай бұрын
Allah Mustaan
@Abuusaad-uy5cx
@Abuusaad-uy5cx 2 ай бұрын
MM BINAFSI HAKUNA HATA SHUBHA INAYONIBABAISHA HAPO... KASOME KIJANA UJUHA UWACHE
@issambamba9236
@issambamba9236 2 ай бұрын
Kiukweli hakuna mwenye kumjua Allah kiuhakika ya dhati yake,kikubwatu tuamini uwepo wa Mungu muumbaji wetu.
@SwahibAjamy
@SwahibAjamy 2 ай бұрын
Jivute kwa Allah upate radhi za Allah
@abuuaidh6500
@abuuaidh6500 2 ай бұрын
Inafaa kupiga dufu ,Asiliyao hao wanamiziki wote ni kutoka Madrasa za gitaa na kasida ndugu yake taarabu.
@mariamhussein2737
@mariamhussein2737 2 ай бұрын
Mashallah
@mzeemzee7503
@mzeemzee7503 Ай бұрын
TAFADHALINI MASHEKHE NAWAOMBA MUNATOKA KATIKA MALENGO YA DINI WAKATI TULIONAO SASA NIKUWAOKOWA UMMAH NA MOTO WA ALLAH AWE MUHUNI MCHAWI MZINZI MALAYA NAWENGINEO ZAMA ZILISEMWA ELIMU WASOMI KUTAKA UMARUFU NA SIFA SIO KULINGANIYA WATU WAIPENDE NAKUINGIA KWA DINI SHETANI AMEWAZIDI NGUVU DIAMOND KONDE BOY NA ALI KIBA SABABU YA MAISHA NA ANASA MASHEKHE HAMTUMII HEKMA YA QURAN NA HADITH ALLAH AWAPE TAWFIQ WARUDI KWA MUONGOZO KUMBUKA WANAMUZIKI WANAFILM WACHEZA MIPIRA WANATUMIYA KUANGAMIZA JAMII NA MWISHO WAKICHOKA WANAULIWA MFANO MINGI BOB MARLEY WHITENY HOUSTON CELINE DEON NAWENGI MAMBO YAKO WAZI SHUKRAN
@user-rz2ek3qw3h
@user-rz2ek3qw3h 2 ай бұрын
Kwa maana hii basi ata kwenda hija maka pia ni upuuzi katika uislamu, kwa sababu wanokwenda kule ni kwenda kudhulu kaburi pale maka. Ndugu Zangu waislam tutafute ukweli sisi wenyewe tusipelekwe kama bendera inavyopelekwa na upepo.
@AbdalahAlly-nc8xs
@AbdalahAlly-nc8xs Ай бұрын
Kijana wape hao alllaah anapenda watu kama hao
@AthmanAmina
@AthmanAmina 2 ай бұрын
Hasbunallah
@husseinmongolare3417
@husseinmongolare3417 2 ай бұрын
Shukran
@khamisswalehe
@khamisswalehe 2 ай бұрын
shekh bachu natka unipe dalili ya uharamu wa kuomba dua ya pamoja baada ya swala ya faradh
@amourshadhil2005
@amourshadhil2005 2 ай бұрын
Suala zuri. Cku akikujibu na mm tafadhali nitumie hata inbox
@rafiimkufya1173
@rafiimkufya1173 2 ай бұрын
Hakuna uharamu wowote sema mtume hajafundsha hvyo na mtume ndio kiigzo chetu kwenye kila jambo la dini
@niffonlinetz7214
@niffonlinetz7214 2 ай бұрын
MTUME HAKUFANYA HILO JAMBO SHEKHE
@khamisswalehe
@khamisswalehe 2 ай бұрын
@@niffonlinetz7214 sawa mwalimu
@kassimsalim6160
@kassimsalim6160 2 ай бұрын
سبحان الله الله أكبر 😭😭😭😭💔💔💔 الله المستعان والله العظيم 🤲😭💔
@bashishimrisa
@bashishimrisa 2 ай бұрын
man was created from the dust and in the dust you will return
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
@sanoureyaliwadoakaroyo1696 2 ай бұрын
ALLahu Akbaru
@latayclassic1524
@latayclassic1524 2 ай бұрын
Kumbe vita inaendeleeaa bachu usizunguke nenda moja kwa mojaa kwa shekhe said
@MchinaMchinaboy
@MchinaMchinaboy 2 ай бұрын
Awa jamaa wamekaa kama makondo akili hawana kabisa yani wanaenda kuabudu makaburi ushirikina mtu wallahi mungu awaongoze inshallah
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 9 МЛН
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 1,9 МЛН
Masalafi wa kweli na masalafi feki||Muhammad Bachu
13:53
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 44 М.
TABLIGH TUSOMENI KWANZA NDO TUTOKE KUTANGAZA QURANI   SHEIKH MUHARRAM MZIWANDA
2:57
Masjid Riyadhwa - Kwa Mnyimaki
Рет қаралды 1,1 М.
KUWASAIDIA WENYE HALI MBAYA NI LAZIMA KWA KILA MUISLAMU || Muhammad Bachu .
36:55
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 4,9 М.
Upungufu wa ilmu ya Muhammad Bachu kwenye funga ya arafa
17:48
Maawy Muhammad
Рет қаралды 47 М.
ПАУДЫҢ ЕКІ ЖОЛЫ
12:47
Armani -KazakhHL-
Рет қаралды 36 М.