Leo June 29,2024 katika uwanja wa Benjamin Mkapa utachezwa mchezo kati ya Safari Champions dhidi ya Young African HARMONIZE
Пікірлер: 11
@PanchoValentino-wh7wtКүн бұрын
Wananchiiiiooh 🔥💯💥
@amaniomar17552 күн бұрын
Kiboko ya Madunduka 🎉🎉🎉
@katepaa.s686318 сағат бұрын
Tajiri namba moja wapi, Africa, Duniani....au wapi???
@DenisSanga-bj5udКүн бұрын
God kiboko ya makolobwabwa
@AmanaAmos-hv3yzКүн бұрын
Sielewi yanga chama anaendafanya Nini naona kama chance Amna atatokea bench
@JoseHaule-tx7lu23 сағат бұрын
Mumejisajili
@dalmasokoth4190Күн бұрын
Na nyinyi waandishi wa habari mnaposema tajiri mo ameridi Kwa nguvu kwani aliondoka simba
@AbdallahShekhan-qx3kpКүн бұрын
Huyu Gb 00000 anasema kama Chama atakwenda Yanga yeye anaicha Simba sasa kama hajafanya hivyo mafuta yana muhusu kama mazezeta wenu walipompaka mafuta Mchome tutalipa kisasi Gb jiandae