Wanaozoom hii na leo wameshuhudia yaliyotimia like zangu apooo tuende sawa😃
@annamwakibinga527 Жыл бұрын
Acha aone hii dunia siyo yako. Leo anakiona Magufuli kapumzika yeye ananyea ndoo
@caindunke85262 жыл бұрын
Nimerudi baada ya hukumu ya miaka 30…. Nabii Lema 🙌🏽
@sweetbertbumare61182 жыл бұрын
Na mimi ndo kilichonileta
@mejalomayani16062 жыл бұрын
hata mimi
@josephtemu26332 жыл бұрын
Lema zama za propaganda zimeisha watanzania wameelimika wanataka mtu mkweli sio umaarufu ambao hauna maana upinzani tanzania hakuna
@gabrielsaelie80912 жыл бұрын
@@josephtemu2633 Acha umbukeni na utopolo. Mchaga mpumbavu wewe sijawahi ona
@josephtemu26332 жыл бұрын
@@gabrielsaelie8091 sina ulimbukeni fikira zako bado ndogo
@sylvesterjose32863 жыл бұрын
Na nukuu "Magufuli Siyo Mungu.... kuna siku utayajutia, kuna siku you will repay...."! Acha biashara ya kuumiza watu, kutekateka watu... ! Sauti ya Mungu husikika kupitia vinywa vya watu wake! Tutafakari.
@victorshirima96293 жыл бұрын
Kwel dah
@salamakhamis80923 жыл бұрын
Duh! Maneno yako Lema hayakuanguka chini
@mankarichard58513 жыл бұрын
Daah Afu akivokua anajibu kwa dharau daaah saiv anajifanya anatia huruma dadeki zake kaaumiza sana watu uyu nyoko
@mohammedmhina39739 ай бұрын
@@mankarichard5851mpuuz jambaz mmoja kwanz ameshindaje shindaje rufaa sabat n wakunyongwa jambaz
@wilbertthomas83573 жыл бұрын
Waliokuja leo kuludia hii clip tujuane mtt wa mjini leo katumbuliwa!😜😜😜😜😜😜😜😜😜
@mohammedsuleyman37382 жыл бұрын
Tupo mwanangu
@neematesha56792 жыл бұрын
Nabii alinena yametokeaaaa
@stambulikahemela69632 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣daraja limefunjika
@josephmakutano70672 жыл бұрын
Hapa sabaya waliongea namungu kupitia lema,sasa tumeyaona matokeo!!!!!
@mwijumawerema12292 жыл бұрын
"Uongozi wa hekima ni bora zaidi kuliko uongozi wa Sheria" By Mwita Juma Magaigwa
@kennyrogers47343 жыл бұрын
Kimeumanaa wale waliokuja humu baada ya kukamatwa kwa Sabaya like zenu wadau
@chaseborgia2 жыл бұрын
Hatimaye ,Godbless Lema alimwambia Magufuli na alimwambia na Lengai Ole Sabaya yote yamekuja kutimia.Muogope Mungu na teknolojia alisema marehemu Ruge Mutahaba
@brownenas6033 жыл бұрын
Daaah!!sabaya akilejea hii krip na akaangalia anayoyapitia Leo atamkumbuka sana lema
@adamsoud48623 жыл бұрын
Cheo kibaya ukikitumia vibaya kaka
@digostjafety60703 жыл бұрын
Lema ni mtabiri mzuri alituambia magufuli atakufa mwaka 2020 ,,,na akafa mwaka unaofuata ,,na alisema mkishatumaliza wapinzani mtaanza kugeukana wenyewe ,,,ninacho shukuru kwa Mungu ni kwamba sie raia tupo salama waache wageukane wanavyoweza 😁😁😁
@johnsonkisamba56813 жыл бұрын
apo akuna mtu yoyote lema mwenyewe limbukeni kwanini kamlekodi Kama sio mamboya kike ayo wote wamekutana utoporo
Hahaha leo tayari kimeeleweka anguko moja kubwa Sana from DC to 30 years utumwa. Tujifunze kitu hapa power has an end
@danstanmgaya12513 жыл бұрын
Nadhan Lema uliona mbali sana hakika Mkono wa Bwana ume tenda haki kutokana na matendo yake Answered cries
@cesiliamwapinga92913 жыл бұрын
Haswaaa
@shanelrichard8323 жыл бұрын
Laiti kama angesikiliza ushauri huu angelikwepa aibu zinazompata
@juliuschuwa84702 жыл бұрын
Lema ni nabii wa ukweli na c wa kubuni buni anaongelea maono ya ukwelii big up lema
@allymohammed77082 жыл бұрын
Tulio kuja baada ya sabaya kuhukjmiwa miaka 30 tujuane
@gadielmungure70292 жыл бұрын
Lema ni nabii wa Mungu anafikisha ujumbe halisi kwa walengwa kabla ili waache maovu wanapokataa Mungu anatekeleza anachotaka, macho ya bwana yanaona kila mtu. Lema ubarikiwe kwa kipawa ulichopewa
@oyay28213 жыл бұрын
Mtekaji mkuu taifa, ali tabiriwa na nabii Lema. Sasa yametimia ameshazinguliwa, mpaka aende kwa Godblessjlema1 asamehewe ndio atoboe maisha
@adamsoud48623 жыл бұрын
Lema ulimwambia hakusikia muda wake umemfika sasa alijiona mwerevu mshenzi sasa anaenda jela tu criminal
@stambulikahemela69632 жыл бұрын
Good bless Lema na nabii Alie tumwa na Mungu kwasababu ukiangalia Mambo ambayo lema amekuwa akiwambia watu kuwa waache si mazuri kwao na wanakuwa wabishi ndo inakuwa kama hivi
@sanoureyaliwadoakaroyo16962 жыл бұрын
Unakumbuka Kuna clip Lema Alikua kwnye kituo Cha police Akawa Anaojia Anasema Ameoteshwa Na Mungu Kua Magufuli Atakuja Mwaka 2020 Atasema Watu Hawata Amiin kwassbu Tu Yye Ni Mpinza Akasema Kma Maneno haya Atayazungumza Mwamposa Msinge Bisa Mwisho Wa Siku Maneno Yke Yalitimia Au Hayaja Timia Ndio mimi usema Lema kuna kitu Alipewa Cha ziada
@sultanalnaamani21563 жыл бұрын
Ndg lema hakika ulimuonya kwa nia njema lakini hakukoma aliyekuwa ana mtuma hayupo leo waswahili tunasema (ASIYE SIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU )sasa hayo yamemkuta .
@JK-yf6dg4 жыл бұрын
Kamanda Lema bora umemuchana live na uzuri kwenye maxungumzo yote hajakanusha popote kwahiyo niuhakika kabisa anafanya
@ramadhaniimamu45424 жыл бұрын
J K sabaya mjinga Lena pia mjinga vilevile wore mabogaz
@laghanganuwagi493 жыл бұрын
@@ramadhaniimamu4542 lema ni kichwa balaa!
@verostaherman49523 жыл бұрын
@@ramadhaniimamu4542 lema anaujinga gani sasa?
@ibrahimmatola15292 жыл бұрын
Baada ya hukum ya miaka 30 nimekuja kukamilisha unabii wa lema
@hamidaalhabsi85682 жыл бұрын
Lema wewe unataka watazania wakuamini kuwa sabaya sio mtu mzuri kama wewe UNATABILIA watu na kujitapa iseee mungu sio Athumani bro
@growrich23323 жыл бұрын
Lema ur the best bro
@doriceshemdoe70282 жыл бұрын
Zaid ya nabiii duuh
@johnmakubi1903 жыл бұрын
Hiiii lema kweli wewe nabiii,yametimia ya sabaya uliyomtabilia,unamaono
@nastyb74053 жыл бұрын
Ahsante Godbless Lema ni vile hakufuata ushauri wako
@jasimmohamed14253 жыл бұрын
Ushauri ni mzuri san lkn jama nichetani
@mohamedturanardan88712 жыл бұрын
Magufuli sio mungu. Is a very perfect statement.
@wilhardtarimo3862 жыл бұрын
Hatimae yametimia
@jumakibari54964 жыл бұрын
Mtoto wa mjini wapi? ulimbukeni unamsumbua, bunduki ndio silaha yake,
@isayakabigili41312 жыл бұрын
Mmh dunian tuish kwenye kwel.. hayupo mjanja chini ya jua.. mwamuz w mwisho ni mwenyez Mungu.. haya hapa yametimia.. binadamu tuache kujitapatapa jamaniii
@MG-wx8yx2 жыл бұрын
Kiongozi wa serikali anasema kwa kinywa chake kuwa “Mimi ni muhuni”, na bado alibaki madarakani. Dah
@qonquererqanquerer17812 жыл бұрын
Nna Uhakika magu kama Angalikuapo Madarakani Sabaya Ungekuta Ni Rc saaii.
@AhmedAli-gh1lm2 жыл бұрын
Alisema vile kwa kujiamini kabisa kwa sababu aliyemteua ndiye aliyekuwa akiongoza hilo genge la wahuni
@MG-wx8yx2 жыл бұрын
@@qonquererqanquerer1781 😅😅😅😅😅
@kheryalfred6913 жыл бұрын
Hakika Lema uko vzr sana, aisee unaona mbali kweli kweli!! Maana ulioteshwa kifo cha magufuli ikiwa atashindwa kujirekebisha, mwisho wa siku ikawa. Ulimuonya huyo mpuuzi Sabaya naye yamemkuta tayari, duuuuuuh!!! Ndugai naye ajiangalie.
@rogersiddy Жыл бұрын
Yameshamkuta tyl ameshakumbuka maneno ya LEMA
@sniperbogo62103 жыл бұрын
Ila lema hbna anamaono makubwa sana tena anaona mbali sana nmaana hata magufuli alishawahi kumpa onyo najua mtajifanya hamuoni vrip vizur sabaya achinjwe kabisa ametutesa sana pia ameua sana
@wilhelmibaganisa54933 жыл бұрын
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼 05 June 2021 sabaya yuko gerezani kisongo arusha
@chekanaisaac53252 жыл бұрын
daaaaa leo nime amin wakubwa wakikuambia bora usikilize
@michaelnzunda73474 жыл бұрын
Da maskin rais anateua wahuni
@fadhilmohamoud4 жыл бұрын
kuma
@mnasaeules68572 жыл бұрын
Mi nimekuja baada ya hukum tujuaneeee
@janetmichael56113 жыл бұрын
hahahah wachaga walichinja mbuzi na ngombe km wote, dah damu za watu zinauma
@jailaniramadhan6172 жыл бұрын
Anakula vizuri Sasa hivi kisongo gerezan
@hannajoseph6453 жыл бұрын
Mungu simwana damu na habadiliki sikigeugeu tutende haki dunianimapito Tumtegemee Mungu Amen.
@selemanlucas50154 жыл бұрын
Kitu ambacho umezingua Mh Lema ni kumwambia mtu maskini hana hela mshahara wake mdogo Sasa ata wananchi wako walio maskini unawaona hawafai Wewe ata kama unahela kuna wengine wanakuona we boya tu... Mwenzako anapower anakaa na wadau ,controller wa wilaya, acheni wawanyoshe mlimdharau sana Mh Kikwete kwenye uongozi wake
@makongoronyerere25953 жыл бұрын
Sema Tena, jamaa yko yupo ndan ameukalia
@saikomkumbwa48122 жыл бұрын
Rema leoyuko hru sabaya
@eladiuspeter5862 жыл бұрын
Leo unajiskiaje?? Bora yeye alimwambia kwa nia nzuri ya kumsadia.
@emmanuelmchomvu26762 жыл бұрын
Ktu kama hujui unatulia Mungu sahihi umefika
@eladiuspeter5862 жыл бұрын
@@emmanuelmchomvu2676 ulisema awanyooshe. Leo nenda kamsaidie
@yahyahamad18022 жыл бұрын
Oh kumbe ni kweli alohukumiwa nayo kwa maneno haya ni stahili yamfike mpaka anajiita muhuni duh,🙌
@kassimukipingu53433 жыл бұрын
Lema leo yametimia bro njooni tujenge nchi
@nicolausnicolaus7344 жыл бұрын
lema simama imara nawabunge waupizani wengine walisha olewa kama huyooo
@bonabonaza5066 Жыл бұрын
Lema maneno yako ya unabii sabaya anatakiwa kufungwa na akishindwa kufungwa auwawe kwa mawe amina
@davidlucas54454 жыл бұрын
Lema wewe ndiyounamambo.ya kishamba mbona umwachi mwenzako aongee, au kwasababu unamwonea sabaya wivu, huna lolote ulitufanyia jiji letu la arusha.
@salvationsalvatory90974 жыл бұрын
Kumbe li Lema linavutaga bangiii! Nilidhania ni mru kumbe ni huniziiiiii!
@chibalichilongola16483 жыл бұрын
Falaaa ww
@kennedykiwia65762 жыл бұрын
Malipo ni hapa hapa dunia. Asante sn mh. Rema
@beckasalum26202 жыл бұрын
God bless lema mung akueke leo anayaona 30 jera mung kakubark miono mbele nn kina tokea kauliyo magu syo mungu leo anaikumbuka
@hasinathasan40573 жыл бұрын
Lema lema lema nimekutaja mara tatu maneno yako yanatakiwa viongozi wetu wa inch wawe wana kaa chini na kuyatafakhuri kwauzito wa hali ya juu sana.
@charlesmurimi5924 жыл бұрын
Big up Mr Lema, poor police like Sabaya.
@rehemadani36004 жыл бұрын
Yan mimi namkubali sana lema,tundu lisu,mbowe sugu mnyika mdee heche
@kundaellyimo75233 жыл бұрын
Fucking u + lema and your family
@muttajeni41552 жыл бұрын
@@kundaellyimo7523 umefikiri kabla ujaandika na kupost??
@qonquererqanquerer17812 жыл бұрын
Mh Lema Ana Unabii Unaotimia Kwa Haraka Sana
@thomasmario9503 жыл бұрын
Da lema mungu akubariki sana wewe
@giftmusa65434 жыл бұрын
Kwa utafiti wangu sabaya DC BORA KWA SASA KWA TANZANIA
@alphamunicy96504 жыл бұрын
Type huo utafiti wako ulioufanya maana haukawii kuwa na utafiti hewa tuambie nasi tuelewe na kisha tuuchuje
@giftmusa65434 жыл бұрын
@@alphamunicy9650 labda ww nambie nani bora,kijana mdogo Kama huyo mpeni moyo na kumshaur kwa hekima anajitaida Sanaa na hasa ukizingatia sehem alipo ni kwa kiongoz wa kambi rasmi ya upinzani
@dolumwamuyenu22454 жыл бұрын
Huyo DC mleteni mbeya tunduma tumgonge shaba huku tunazo za kutosha. Lema ni kamanda namuelewa ila wasenge wasiomjua wanashabikia usenge tu
@mathiasmollel96634 жыл бұрын
Safi
@mirajamir12672 жыл бұрын
Nimeingia huku baada ya hukumu
@jamilamwarabu38902 жыл бұрын
Mpuuz huyo anadharau sana akafie hukoo jela
@noahlarapho34112 жыл бұрын
Mmh kuna maneno mazito hapa mungu utuzaidie
@dennisollomy34434 жыл бұрын
DC mshamba huyu af hajui dunia mapito mbinguni hakuna cheo chake
@raynittu45992 жыл бұрын
Sasa imebaki ningelijua, ningefuata ushauri wa Lema.kwishaaaaaaaà.Aibu tupu
@happymbise2463 жыл бұрын
Ukipanda mchicha uvuna mchicha autavuna bangi Leo uko kisongo sabaya bay jambazi sugu wewe muhuni mkubwa ukome nailo genge lako
@sagandamalechampullo6594 жыл бұрын
Mh. Lema Mchana huyo, boya, Hajitambui, kisa Analindwa na Polisi
@teddykanondo57534 жыл бұрын
Sabaya mwisho wako unakuja. Tutakuua mchana kweupe maana unapenda wanawake. Tutakutega tu.
@abelbufumbe7902 жыл бұрын
Bora ugefuata ushauri ona sasa umechezea miaka 30
@Captain-nj1mq2 жыл бұрын
sabaya aongezwe miaka 50 ili akae jela miaka 100 na kila cku apigwe bakola30
@peter_paulofficialy3 жыл бұрын
#Sabaya nakuambia ww cyo mmasai, nakuambia hatuna watu kama nyie kwenye koo zetu, #Lema hakika hakuna machozi ya mwenye haki ambayo haitalipwa......italipwa na umeona mwenyewe, CHADEMA nawapenda sana, mnaiishi katiba na maneno ya baba yetu wa Taifa
@abasminga5282 жыл бұрын
LEMA NI LIMJUA TANGU MDA AKIWA BUNGENI ANAMTAJA MUNGU HUYU NI BONGE LA NABII
@arafakiloli7493 жыл бұрын
Subhannahllah amakweli, malipo nihapa duniani akhera hesabu
@abubakarikisuju80 Жыл бұрын
Kweli lema ni mtabiri wa hali ya juu#sasa yametimia
@alfredsangura60803 жыл бұрын
Sabaya you pay it today ,kama hujafa hujaumbika cheo dhamana.
@ramadhanimahongole87644 жыл бұрын
Huyo mkuu wa wilaya ni mshamba tena ni limbukeni sana yeye kila siku kupambana na upinzani tu Hana Kazi nyingine.rema mchane Huyo. mwambie aache ulimbukeni usio kuwa na maana.
@onestimassawe13274 жыл бұрын
Katika watu siwapendi kwenye Hii listi ya viongozi ni huyu DC ana masifa sana. Makufuli mtoe huyu mt Raisi wangu anachafua uongozi kabisa.
@thobiasgervasius49312 жыл бұрын
Na kweli muda ni mwalimu mzuri Sana
@joaneskailembo44854 жыл бұрын
Nimeipenda saana hii
@gracegabriel8812 жыл бұрын
Anaye kata kwaupanga nayeye hufa kwaupanga namwenye kiburi mungu humshusha mungu amehukumu kwa haki
@saidmungulu70533 жыл бұрын
Brother Lema ww ni wamaono MUNGU AKUSIMAMIE KILA HATUA YAKO KAKA...👏👍
@husseinnkami73604 жыл бұрын
Nahuo ndio upumbavu wa upinzan wanatanguliza ukabila kikabila chenyewe kipo kwenye hakawezi kuwapeleka madalakan hii inchi kubwa sn yapo makabila makubwa sn.kwanza wasukuma ote piga kelelele
@luckyhardson183 жыл бұрын
Ukufanya vitu flan watu hawapendezwi navyo Basi wanakutabiria tuu🤣🤣🤣
@mcjogopah85133 жыл бұрын
Saboya Ungemuelewa na kumsikiliza Mh Lema Leo usinge vuruga cv yako
@josephjohn21142 жыл бұрын
Nabii lema... Alitabiri kifo cha rais ....kikatokea Alitabiri sabaya atalipa...kweli analipa sasa We lema ni nabii ni vile hukubaiki tu kwenu
@josephsighis81853 жыл бұрын
Hakika lema no nabii
@cantatanzania67023 жыл бұрын
Baada ya mwaka mmoja kupita, karma is here 😂
@rahemaheri16153 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ramadhanihassani52503 жыл бұрын
Duuu kaka lema ww noma yako wapi sasa
@neematesha56792 жыл бұрын
Nabiii wa Nchi alisema na yametokeaa haya sasa
@mugemainyas52414 жыл бұрын
Lema ukipiga simu usirecord we ongea sie hatutaki sifa .
@amedeusmodestikimey98884 жыл бұрын
LEMA unajiamini Hadi rahaaaaaaa
@babyruhuu94783 жыл бұрын
Passed like a shaddow
@christengeneza79752 жыл бұрын
Duh kweli malipo ni duniani , lema alijitoa muhanga kumueleza mkuu wa wiaya ukweli
@godfreymbuya26593 жыл бұрын
Nabii Lema oye.
@jimjam76874 жыл бұрын
Sijui uyu DC kaokotwa wapi ?. Pili Kati ya watu wanao mkwamisha rais magufuli moja wao ni uyu DC mpumbavu.
@fredreckmwakalinga34754 жыл бұрын
jim jam hamkwanishi yuko kikazi kwa malengo malumu ndio maana anatumia polisi apendavyo nao polisi wetu wameshindwa kufwata sheria wanaburuzwa tu
@christophertarimo88774 жыл бұрын
Gud sana
@khalidihassani53014 жыл бұрын
Huyu Mbuge Lema anaweweseka alishajua kabisaa kurudi Bungeni kwa 2020 kwake ningumu kama kula karanga ukiwa unapiga mluzi, ukitaka kujua jamaa anatapatapa sasa yeye kwenye mazungumzo hayo anamuhusushaje Rais Magufuli. Sasa namshauli atulie ajiandae kufanza biashara maana siasa imemshinda Tanzania hatuna siasa zanamna hiyo bhana.
@fredreckmwakalinga34754 жыл бұрын
Lema nakukubali lakini uwe makini na sabaya yko hai kwa lengo malumu hajitambui maana ni mtu wa kutumwa lkni amejisahau anayemtuma anakinga na atakapotoka madarakani hata kuwa na nguvu yakumlinda ni mshamba kweli
@thomasmario9503 жыл бұрын
Mh lema mungu akubariki sana
@halimakari95584 жыл бұрын
Huyu kuma muhuni anapiga simu kumtega sebaya huku ana rokodi sauti ye amejiona mjanja ndie alie muua nassary yule wa kiflash walitengeneza kiflash fake.sasa nassary yuko kitaa anakunywa kahawa 2
@Antiqueqwerty-ko9ey Жыл бұрын
Sasa kumbe wewe ndo kuma
@saadallah62874 жыл бұрын
Du kiongozi anakubali yeye ni muhuni kwa hiyo anaongoza wahuni?
@antoinekatembo85203 жыл бұрын
Kukubali kuwa yeye ni muhuni ni kulingana na nani anaongea naye...!
@fremwamedia19763 жыл бұрын
Shida sana,
@kakadkarima2448 Жыл бұрын
G. Lema leo naikuita mara tatu!!
@mudymaghisa95543 жыл бұрын
Chadema moja ccm mia,baba naenda kusoma sheria
@solomonmgaya81903 жыл бұрын
Itoshe kusema Lema ni nabii
@theoldphilosopher36402 жыл бұрын
laiti ungesiiliza ushauri wa kaka yako mtoto wa mamkubwa leo miaka 30.....sipendi uumie ila natamani ujifunze kesho utakua mtoto bora kwetu
@princesinko40734 жыл бұрын
Viongozi hawa wanatakiwa kuwa makini sana hasa wanapokuwa madarakani maana kuna siku watapoteza nafasi.
@arafakiloli7493 жыл бұрын
Kabisa my brother
@eladiuspeter5862 жыл бұрын
Ameshapoteza
@thieryniyonkuru10674 жыл бұрын
Ila amewaburuza tuuuuuu😁😁😁😁 Mpaka mnampigia simu hapo gia imeingia sawasawa😜
@immamlowe71514 жыл бұрын
Lema Acha USAnii wakujirecodi hafu Et unampigia cm says hata no zake huna pia asingepoteza mda kusikiliza cm zakimalayA Malaya
@edwardmagori66304 жыл бұрын
Katika kauli za lema nimegundua ana shutuma za jinai anazo takiwa kuzi thibitisha, anaonyesha ubaguzi wa kikabila lkn ana matusi ya kudharilisha tena ananhusisha Rais wetu sasa nasema hivi.... Ubunge mwakani ausahau, hivyo vijisent alivyo navyo tutavifatilia, cortini lazima apandishwe, tuone jeuri take
@raynittu45992 жыл бұрын
Ha,ha,haaaaaa!!!Muhuni wa mjini.Mama hataki wahuni bhana.
@gwaluganoa.mwakatobe31832 жыл бұрын
Godbles Lema ulipiga kweli hii simu? Ni mwaka mmoja umepita tangu ipostiwe. Iliikuwa wiki chache kuelekea uchaguzi Mkuu
@enockmwanyonga71302 жыл бұрын
Bado wengine, waliokuwa,Dsm,iringa, Arusha, mara,morogoro Tabora,Mbeya nk. Mungu anamlipa mtu hapa duniani, siku ya mwisho ni hukumu ya jumla
@Binkhator2 жыл бұрын
You will pay... Sabaya ikiiskia hi kwa sasa.... Daaah... Uongozi, fedha na dunia kwa jumla is nothing...