No video

GOODBLES LEMA AMPIGIA OLE SABAYA NA KUMTAKA AACHE KUTESA WATU

  Рет қаралды 401,458

Chadema Media TV

Chadema Media TV

Күн бұрын

Пікірлер: 551
@daudiykiria5487
@daudiykiria5487 3 жыл бұрын
Wanaozoom hii na leo wameshuhudia yaliyotimia like zangu apooo tuende sawa😃
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 Жыл бұрын
Acha aone hii dunia siyo yako. Leo anakiona Magufuli kapumzika yeye ananyea ndoo
@caindunke8526
@caindunke8526 2 жыл бұрын
Nimerudi baada ya hukumu ya miaka 30…. Nabii Lema 🙌🏽
@sweetbertbumare6118
@sweetbertbumare6118 2 жыл бұрын
Na mimi ndo kilichonileta
@mejalomayani1606
@mejalomayani1606 2 жыл бұрын
hata mimi
@josephtemu2633
@josephtemu2633 2 жыл бұрын
Lema zama za propaganda zimeisha watanzania wameelimika wanataka mtu mkweli sio umaarufu ambao hauna maana upinzani tanzania hakuna
@gabrielsaelie8091
@gabrielsaelie8091 2 жыл бұрын
@@josephtemu2633 Acha umbukeni na utopolo. Mchaga mpumbavu wewe sijawahi ona
@josephtemu2633
@josephtemu2633 2 жыл бұрын
@@gabrielsaelie8091 sina ulimbukeni fikira zako bado ndogo
@sylvesterjose3286
@sylvesterjose3286 3 жыл бұрын
Na nukuu "Magufuli Siyo Mungu.... kuna siku utayajutia, kuna siku you will repay...."! Acha biashara ya kuumiza watu, kutekateka watu... ! Sauti ya Mungu husikika kupitia vinywa vya watu wake! Tutafakari.
@victorshirima9629
@victorshirima9629 3 жыл бұрын
Kwel dah
@salamakhamis8092
@salamakhamis8092 3 жыл бұрын
Duh! Maneno yako Lema hayakuanguka chini
@mankarichard5851
@mankarichard5851 3 жыл бұрын
Daah Afu akivokua anajibu kwa dharau daaah saiv anajifanya anatia huruma dadeki zake kaaumiza sana watu uyu nyoko
@mohammedmhina3973
@mohammedmhina3973 9 ай бұрын
@@mankarichard5851mpuuz jambaz mmoja kwanz ameshindaje shindaje rufaa sabat n wakunyongwa jambaz
@wilbertthomas8357
@wilbertthomas8357 3 жыл бұрын
Waliokuja leo kuludia hii clip tujuane mtt wa mjini leo katumbuliwa!😜😜😜😜😜😜😜😜😜
@mohammedsuleyman3738
@mohammedsuleyman3738 2 жыл бұрын
Tupo mwanangu
@neematesha5679
@neematesha5679 2 жыл бұрын
Nabii alinena yametokeaaaa
@stambulikahemela6963
@stambulikahemela6963 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣daraja limefunjika
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 2 жыл бұрын
Hapa sabaya waliongea namungu kupitia lema,sasa tumeyaona matokeo!!!!!
@mwijumawerema1229
@mwijumawerema1229 2 жыл бұрын
"Uongozi wa hekima ni bora zaidi kuliko uongozi wa Sheria" By Mwita Juma Magaigwa
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 3 жыл бұрын
Kimeumanaa wale waliokuja humu baada ya kukamatwa kwa Sabaya like zenu wadau
@chaseborgia
@chaseborgia 2 жыл бұрын
Hatimaye ,Godbless Lema alimwambia Magufuli na alimwambia na Lengai Ole Sabaya yote yamekuja kutimia.Muogope Mungu na teknolojia alisema marehemu Ruge Mutahaba
@brownenas603
@brownenas603 3 жыл бұрын
Daaah!!sabaya akilejea hii krip na akaangalia anayoyapitia Leo atamkumbuka sana lema
@adamsoud4862
@adamsoud4862 3 жыл бұрын
Cheo kibaya ukikitumia vibaya kaka
@digostjafety6070
@digostjafety6070 3 жыл бұрын
Lema ni mtabiri mzuri alituambia magufuli atakufa mwaka 2020 ,,,na akafa mwaka unaofuata ,,na alisema mkishatumaliza wapinzani mtaanza kugeukana wenyewe ,,,ninacho shukuru kwa Mungu ni kwamba sie raia tupo salama waache wageukane wanavyoweza 😁😁😁
@johnsonkisamba5681
@johnsonkisamba5681 3 жыл бұрын
apo akuna mtu yoyote lema mwenyewe limbukeni kwanini kamlekodi Kama sio mamboya kike ayo wote wamekutana utoporo
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 2 жыл бұрын
@@johnsonkisamba5681 hunaakili kwanni vitu siliasi unavifanyia mzaha,mshenzi sana ndomaana mnaua watu!!!!
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 2 жыл бұрын
@@johnsonkisamba5681hunaakili!!!
@MilioneaTv
@MilioneaTv 2 жыл бұрын
Hahaha leo tayari kimeeleweka anguko moja kubwa Sana from DC to 30 years utumwa. Tujifunze kitu hapa power has an end
@danstanmgaya1251
@danstanmgaya1251 3 жыл бұрын
Nadhan Lema uliona mbali sana hakika Mkono wa Bwana ume tenda haki kutokana na matendo yake Answered cries
@cesiliamwapinga9291
@cesiliamwapinga9291 3 жыл бұрын
Haswaaa
@shanelrichard832
@shanelrichard832 3 жыл бұрын
Laiti kama angesikiliza ushauri huu angelikwepa aibu zinazompata
@juliuschuwa8470
@juliuschuwa8470 2 жыл бұрын
Lema ni nabii wa ukweli na c wa kubuni buni anaongelea maono ya ukwelii big up lema
@allymohammed7708
@allymohammed7708 2 жыл бұрын
Tulio kuja baada ya sabaya kuhukjmiwa miaka 30 tujuane
@gadielmungure7029
@gadielmungure7029 2 жыл бұрын
Lema ni nabii wa Mungu anafikisha ujumbe halisi kwa walengwa kabla ili waache maovu wanapokataa Mungu anatekeleza anachotaka, macho ya bwana yanaona kila mtu. Lema ubarikiwe kwa kipawa ulichopewa
@oyay2821
@oyay2821 3 жыл бұрын
Mtekaji mkuu taifa, ali tabiriwa na nabii Lema. Sasa yametimia ameshazinguliwa, mpaka aende kwa Godblessjlema1 asamehewe ndio atoboe maisha
@adamsoud4862
@adamsoud4862 3 жыл бұрын
Lema ulimwambia hakusikia muda wake umemfika sasa alijiona mwerevu mshenzi sasa anaenda jela tu criminal
@stambulikahemela6963
@stambulikahemela6963 2 жыл бұрын
Good bless Lema na nabii Alie tumwa na Mungu kwasababu ukiangalia Mambo ambayo lema amekuwa akiwambia watu kuwa waache si mazuri kwao na wanakuwa wabishi ndo inakuwa kama hivi
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
@sanoureyaliwadoakaroyo1696 2 жыл бұрын
Unakumbuka Kuna clip Lema Alikua kwnye kituo Cha police Akawa Anaojia Anasema Ameoteshwa Na Mungu Kua Magufuli Atakuja Mwaka 2020 Atasema Watu Hawata Amiin kwassbu Tu Yye Ni Mpinza Akasema Kma Maneno haya Atayazungumza Mwamposa Msinge Bisa Mwisho Wa Siku Maneno Yke Yalitimia Au Hayaja Timia Ndio mimi usema Lema kuna kitu Alipewa Cha ziada
@sultanalnaamani2156
@sultanalnaamani2156 3 жыл бұрын
Ndg lema hakika ulimuonya kwa nia njema lakini hakukoma aliyekuwa ana mtuma hayupo leo waswahili tunasema (ASIYE SIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU )sasa hayo yamemkuta .
@JK-yf6dg
@JK-yf6dg 4 жыл бұрын
Kamanda Lema bora umemuchana live na uzuri kwenye maxungumzo yote hajakanusha popote kwahiyo niuhakika kabisa anafanya
@ramadhaniimamu4542
@ramadhaniimamu4542 4 жыл бұрын
J K sabaya mjinga Lena pia mjinga vilevile wore mabogaz
@laghanganuwagi49
@laghanganuwagi49 3 жыл бұрын
@@ramadhaniimamu4542 lema ni kichwa balaa!
@verostaherman4952
@verostaherman4952 3 жыл бұрын
@@ramadhaniimamu4542 lema anaujinga gani sasa?
@ibrahimmatola1529
@ibrahimmatola1529 2 жыл бұрын
Baada ya hukum ya miaka 30 nimekuja kukamilisha unabii wa lema
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 2 жыл бұрын
Lema wewe unataka watazania wakuamini kuwa sabaya sio mtu mzuri kama wewe UNATABILIA watu na kujitapa iseee mungu sio Athumani bro
@growrich2332
@growrich2332 3 жыл бұрын
Lema ur the best bro
@doriceshemdoe7028
@doriceshemdoe7028 2 жыл бұрын
Zaid ya nabiii duuh
@johnmakubi190
@johnmakubi190 3 жыл бұрын
Hiiii lema kweli wewe nabiii,yametimia ya sabaya uliyomtabilia,unamaono
@nastyb7405
@nastyb7405 3 жыл бұрын
Ahsante Godbless Lema ni vile hakufuata ushauri wako
@jasimmohamed1425
@jasimmohamed1425 3 жыл бұрын
Ushauri ni mzuri san lkn jama nichetani
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 2 жыл бұрын
Magufuli sio mungu. Is a very perfect statement.
@wilhardtarimo386
@wilhardtarimo386 2 жыл бұрын
Hatimae yametimia
@jumakibari5496
@jumakibari5496 4 жыл бұрын
Mtoto wa mjini wapi? ulimbukeni unamsumbua, bunduki ndio silaha yake,
@isayakabigili4131
@isayakabigili4131 2 жыл бұрын
Mmh dunian tuish kwenye kwel.. hayupo mjanja chini ya jua.. mwamuz w mwisho ni mwenyez Mungu.. haya hapa yametimia.. binadamu tuache kujitapatapa jamaniii
@MG-wx8yx
@MG-wx8yx 2 жыл бұрын
Kiongozi wa serikali anasema kwa kinywa chake kuwa “Mimi ni muhuni”, na bado alibaki madarakani. Dah
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 2 жыл бұрын
Nna Uhakika magu kama Angalikuapo Madarakani Sabaya Ungekuta Ni Rc saaii.
@AhmedAli-gh1lm
@AhmedAli-gh1lm 2 жыл бұрын
Alisema vile kwa kujiamini kabisa kwa sababu aliyemteua ndiye aliyekuwa akiongoza hilo genge la wahuni
@MG-wx8yx
@MG-wx8yx 2 жыл бұрын
@@qonquererqanquerer1781 😅😅😅😅😅
@kheryalfred691
@kheryalfred691 3 жыл бұрын
Hakika Lema uko vzr sana, aisee unaona mbali kweli kweli!! Maana ulioteshwa kifo cha magufuli ikiwa atashindwa kujirekebisha, mwisho wa siku ikawa. Ulimuonya huyo mpuuzi Sabaya naye yamemkuta tayari, duuuuuuh!!! Ndugai naye ajiangalie.
@rogersiddy
@rogersiddy Жыл бұрын
Yameshamkuta tyl ameshakumbuka maneno ya LEMA
@sniperbogo6210
@sniperbogo6210 3 жыл бұрын
Ila lema hbna anamaono makubwa sana tena anaona mbali sana nmaana hata magufuli alishawahi kumpa onyo najua mtajifanya hamuoni vrip vizur sabaya achinjwe kabisa ametutesa sana pia ameua sana
@wilhelmibaganisa5493
@wilhelmibaganisa5493 3 жыл бұрын
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼 05 June 2021 sabaya yuko gerezani kisongo arusha
@chekanaisaac5325
@chekanaisaac5325 2 жыл бұрын
daaaaa leo nime amin wakubwa wakikuambia bora usikilize
@michaelnzunda7347
@michaelnzunda7347 4 жыл бұрын
Da maskin rais anateua wahuni
@fadhilmohamoud
@fadhilmohamoud 4 жыл бұрын
kuma
@mnasaeules6857
@mnasaeules6857 2 жыл бұрын
Mi nimekuja baada ya hukum tujuaneeee
@janetmichael5611
@janetmichael5611 3 жыл бұрын
hahahah wachaga walichinja mbuzi na ngombe km wote, dah damu za watu zinauma
@jailaniramadhan617
@jailaniramadhan617 2 жыл бұрын
Anakula vizuri Sasa hivi kisongo gerezan
@hannajoseph645
@hannajoseph645 3 жыл бұрын
Mungu simwana damu na habadiliki sikigeugeu tutende haki dunianimapito Tumtegemee Mungu Amen.
@selemanlucas5015
@selemanlucas5015 4 жыл бұрын
Kitu ambacho umezingua Mh Lema ni kumwambia mtu maskini hana hela mshahara wake mdogo Sasa ata wananchi wako walio maskini unawaona hawafai Wewe ata kama unahela kuna wengine wanakuona we boya tu... Mwenzako anapower anakaa na wadau ,controller wa wilaya, acheni wawanyoshe mlimdharau sana Mh Kikwete kwenye uongozi wake
@makongoronyerere2595
@makongoronyerere2595 3 жыл бұрын
Sema Tena, jamaa yko yupo ndan ameukalia
@saikomkumbwa4812
@saikomkumbwa4812 2 жыл бұрын
Rema leoyuko hru sabaya
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 2 жыл бұрын
Leo unajiskiaje?? Bora yeye alimwambia kwa nia nzuri ya kumsadia.
@emmanuelmchomvu2676
@emmanuelmchomvu2676 2 жыл бұрын
Ktu kama hujui unatulia Mungu sahihi umefika
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 2 жыл бұрын
@@emmanuelmchomvu2676 ulisema awanyooshe. Leo nenda kamsaidie
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 2 жыл бұрын
Oh kumbe ni kweli alohukumiwa nayo kwa maneno haya ni stahili yamfike mpaka anajiita muhuni duh,🙌
@kassimukipingu5343
@kassimukipingu5343 3 жыл бұрын
Lema leo yametimia bro njooni tujenge nchi
@nicolausnicolaus734
@nicolausnicolaus734 4 жыл бұрын
lema simama imara nawabunge waupizani wengine walisha olewa kama huyooo
@bonabonaza5066
@bonabonaza5066 Жыл бұрын
Lema maneno yako ya unabii sabaya anatakiwa kufungwa na akishindwa kufungwa auwawe kwa mawe amina
@davidlucas5445
@davidlucas5445 4 жыл бұрын
Lema wewe ndiyounamambo.ya kishamba mbona umwachi mwenzako aongee, au kwasababu unamwonea sabaya wivu, huna lolote ulitufanyia jiji letu la arusha.
@salvationsalvatory9097
@salvationsalvatory9097 4 жыл бұрын
Kumbe li Lema linavutaga bangiii! Nilidhania ni mru kumbe ni huniziiiiii!
@chibalichilongola1648
@chibalichilongola1648 3 жыл бұрын
Falaaa ww
@kennedykiwia6576
@kennedykiwia6576 2 жыл бұрын
Malipo ni hapa hapa dunia. Asante sn mh. Rema
@beckasalum2620
@beckasalum2620 2 жыл бұрын
God bless lema mung akueke leo anayaona 30 jera mung kakubark miono mbele nn kina tokea kauliyo magu syo mungu leo anaikumbuka
@hasinathasan4057
@hasinathasan4057 3 жыл бұрын
Lema lema lema nimekutaja mara tatu maneno yako yanatakiwa viongozi wetu wa inch wawe wana kaa chini na kuyatafakhuri kwauzito wa hali ya juu sana.
@charlesmurimi592
@charlesmurimi592 4 жыл бұрын
Big up Mr Lema, poor police like Sabaya.
@rehemadani3600
@rehemadani3600 4 жыл бұрын
Yan mimi namkubali sana lema,tundu lisu,mbowe sugu mnyika mdee heche
@kundaellyimo7523
@kundaellyimo7523 3 жыл бұрын
Fucking u + lema and your family
@muttajeni4155
@muttajeni4155 2 жыл бұрын
@@kundaellyimo7523 umefikiri kabla ujaandika na kupost??
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 2 жыл бұрын
Mh Lema Ana Unabii Unaotimia Kwa Haraka Sana
@thomasmario950
@thomasmario950 3 жыл бұрын
Da lema mungu akubariki sana wewe
@giftmusa6543
@giftmusa6543 4 жыл бұрын
Kwa utafiti wangu sabaya DC BORA KWA SASA KWA TANZANIA
@alphamunicy9650
@alphamunicy9650 4 жыл бұрын
Type huo utafiti wako ulioufanya maana haukawii kuwa na utafiti hewa tuambie nasi tuelewe na kisha tuuchuje
@giftmusa6543
@giftmusa6543 4 жыл бұрын
@@alphamunicy9650 labda ww nambie nani bora,kijana mdogo Kama huyo mpeni moyo na kumshaur kwa hekima anajitaida Sanaa na hasa ukizingatia sehem alipo ni kwa kiongoz wa kambi rasmi ya upinzani
@dolumwamuyenu2245
@dolumwamuyenu2245 4 жыл бұрын
Huyo DC mleteni mbeya tunduma tumgonge shaba huku tunazo za kutosha. Lema ni kamanda namuelewa ila wasenge wasiomjua wanashabikia usenge tu
@mathiasmollel9663
@mathiasmollel9663 4 жыл бұрын
Safi
@mirajamir1267
@mirajamir1267 2 жыл бұрын
Nimeingia huku baada ya hukumu
@jamilamwarabu3890
@jamilamwarabu3890 2 жыл бұрын
Mpuuz huyo anadharau sana akafie hukoo jela
@noahlarapho3411
@noahlarapho3411 2 жыл бұрын
Mmh kuna maneno mazito hapa mungu utuzaidie
@dennisollomy3443
@dennisollomy3443 4 жыл бұрын
DC mshamba huyu af hajui dunia mapito mbinguni hakuna cheo chake
@raynittu4599
@raynittu4599 2 жыл бұрын
Sasa imebaki ningelijua, ningefuata ushauri wa Lema.kwishaaaaaaaà.Aibu tupu
@happymbise246
@happymbise246 3 жыл бұрын
Ukipanda mchicha uvuna mchicha autavuna bangi Leo uko kisongo sabaya bay jambazi sugu wewe muhuni mkubwa ukome nailo genge lako
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 4 жыл бұрын
Mh. Lema Mchana huyo, boya, Hajitambui, kisa Analindwa na Polisi
@teddykanondo5753
@teddykanondo5753 4 жыл бұрын
Sabaya mwisho wako unakuja. Tutakuua mchana kweupe maana unapenda wanawake. Tutakutega tu.
@abelbufumbe790
@abelbufumbe790 2 жыл бұрын
Bora ugefuata ushauri ona sasa umechezea miaka 30
@Captain-nj1mq
@Captain-nj1mq 2 жыл бұрын
sabaya aongezwe miaka 50 ili akae jela miaka 100 na kila cku apigwe bakola30
@peter_paulofficialy
@peter_paulofficialy 3 жыл бұрын
#Sabaya nakuambia ww cyo mmasai, nakuambia hatuna watu kama nyie kwenye koo zetu, #Lema hakika hakuna machozi ya mwenye haki ambayo haitalipwa......italipwa na umeona mwenyewe, CHADEMA nawapenda sana, mnaiishi katiba na maneno ya baba yetu wa Taifa
@abasminga528
@abasminga528 2 жыл бұрын
LEMA NI LIMJUA TANGU MDA AKIWA BUNGENI ANAMTAJA MUNGU HUYU NI BONGE LA NABII
@arafakiloli749
@arafakiloli749 3 жыл бұрын
Subhannahllah amakweli, malipo nihapa duniani akhera hesabu
@abubakarikisuju80
@abubakarikisuju80 Жыл бұрын
Kweli lema ni mtabiri wa hali ya juu#sasa yametimia
@alfredsangura6080
@alfredsangura6080 3 жыл бұрын
Sabaya you pay it today ,kama hujafa hujaumbika cheo dhamana.
@ramadhanimahongole8764
@ramadhanimahongole8764 4 жыл бұрын
Huyo mkuu wa wilaya ni mshamba tena ni limbukeni sana yeye kila siku kupambana na upinzani tu Hana Kazi nyingine.rema mchane Huyo. mwambie aache ulimbukeni usio kuwa na maana.
@onestimassawe1327
@onestimassawe1327 4 жыл бұрын
Katika watu siwapendi kwenye Hii listi ya viongozi ni huyu DC ana masifa sana. Makufuli mtoe huyu mt Raisi wangu anachafua uongozi kabisa.
@thobiasgervasius4931
@thobiasgervasius4931 2 жыл бұрын
Na kweli muda ni mwalimu mzuri Sana
@joaneskailembo4485
@joaneskailembo4485 4 жыл бұрын
Nimeipenda saana hii
@gracegabriel881
@gracegabriel881 2 жыл бұрын
Anaye kata kwaupanga nayeye hufa kwaupanga namwenye kiburi mungu humshusha mungu amehukumu kwa haki
@saidmungulu7053
@saidmungulu7053 3 жыл бұрын
Brother Lema ww ni wamaono MUNGU AKUSIMAMIE KILA HATUA YAKO KAKA...👏👍
@husseinnkami7360
@husseinnkami7360 4 жыл бұрын
Nahuo ndio upumbavu wa upinzan wanatanguliza ukabila kikabila chenyewe kipo kwenye hakawezi kuwapeleka madalakan hii inchi kubwa sn yapo makabila makubwa sn.kwanza wasukuma ote piga kelelele
@luckyhardson18
@luckyhardson18 3 жыл бұрын
Ukufanya vitu flan watu hawapendezwi navyo Basi wanakutabiria tuu🤣🤣🤣
@mcjogopah8513
@mcjogopah8513 3 жыл бұрын
Saboya Ungemuelewa na kumsikiliza Mh Lema Leo usinge vuruga cv yako
@josephjohn2114
@josephjohn2114 2 жыл бұрын
Nabii lema... Alitabiri kifo cha rais ....kikatokea Alitabiri sabaya atalipa...kweli analipa sasa We lema ni nabii ni vile hukubaiki tu kwenu
@josephsighis8185
@josephsighis8185 3 жыл бұрын
Hakika lema no nabii
@cantatanzania6702
@cantatanzania6702 3 жыл бұрын
Baada ya mwaka mmoja kupita, karma is here 😂
@rahemaheri1615
@rahemaheri1615 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ramadhanihassani5250
@ramadhanihassani5250 3 жыл бұрын
Duuu kaka lema ww noma yako wapi sasa
@neematesha5679
@neematesha5679 2 жыл бұрын
Nabiii wa Nchi alisema na yametokeaa haya sasa
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 4 жыл бұрын
Lema ukipiga simu usirecord we ongea sie hatutaki sifa .
@amedeusmodestikimey9888
@amedeusmodestikimey9888 4 жыл бұрын
LEMA unajiamini Hadi rahaaaaaaa
@babyruhuu9478
@babyruhuu9478 3 жыл бұрын
Passed like a shaddow
@christengeneza7975
@christengeneza7975 2 жыл бұрын
Duh kweli malipo ni duniani , lema alijitoa muhanga kumueleza mkuu wa wiaya ukweli
@godfreymbuya2659
@godfreymbuya2659 3 жыл бұрын
Nabii Lema oye.
@jimjam7687
@jimjam7687 4 жыл бұрын
Sijui uyu DC kaokotwa wapi ?. Pili Kati ya watu wanao mkwamisha rais magufuli moja wao ni uyu DC mpumbavu.
@fredreckmwakalinga3475
@fredreckmwakalinga3475 4 жыл бұрын
jim jam hamkwanishi yuko kikazi kwa malengo malumu ndio maana anatumia polisi apendavyo nao polisi wetu wameshindwa kufwata sheria wanaburuzwa tu
@christophertarimo8877
@christophertarimo8877 4 жыл бұрын
Gud sana
@khalidihassani5301
@khalidihassani5301 4 жыл бұрын
Huyu Mbuge Lema anaweweseka alishajua kabisaa kurudi Bungeni kwa 2020 kwake ningumu kama kula karanga ukiwa unapiga mluzi, ukitaka kujua jamaa anatapatapa sasa yeye kwenye mazungumzo hayo anamuhusushaje Rais Magufuli. Sasa namshauli atulie ajiandae kufanza biashara maana siasa imemshinda Tanzania hatuna siasa zanamna hiyo bhana.
@fredreckmwakalinga3475
@fredreckmwakalinga3475 4 жыл бұрын
Lema nakukubali lakini uwe makini na sabaya yko hai kwa lengo malumu hajitambui maana ni mtu wa kutumwa lkni amejisahau anayemtuma anakinga na atakapotoka madarakani hata kuwa na nguvu yakumlinda ni mshamba kweli
@thomasmario950
@thomasmario950 3 жыл бұрын
Mh lema mungu akubariki sana
@halimakari9558
@halimakari9558 4 жыл бұрын
Huyu kuma muhuni anapiga simu kumtega sebaya huku ana rokodi sauti ye amejiona mjanja ndie alie muua nassary yule wa kiflash walitengeneza kiflash fake.sasa nassary yuko kitaa anakunywa kahawa 2
@Antiqueqwerty-ko9ey
@Antiqueqwerty-ko9ey Жыл бұрын
Sasa kumbe wewe ndo kuma
@saadallah6287
@saadallah6287 4 жыл бұрын
Du kiongozi anakubali yeye ni muhuni kwa hiyo anaongoza wahuni?
@antoinekatembo8520
@antoinekatembo8520 3 жыл бұрын
Kukubali kuwa yeye ni muhuni ni kulingana na nani anaongea naye...!
@fremwamedia1976
@fremwamedia1976 3 жыл бұрын
Shida sana,
@kakadkarima2448
@kakadkarima2448 Жыл бұрын
G. Lema leo naikuita mara tatu!!
@mudymaghisa9554
@mudymaghisa9554 3 жыл бұрын
Chadema moja ccm mia,baba naenda kusoma sheria
@solomonmgaya8190
@solomonmgaya8190 3 жыл бұрын
Itoshe kusema Lema ni nabii
@theoldphilosopher3640
@theoldphilosopher3640 2 жыл бұрын
laiti ungesiiliza ushauri wa kaka yako mtoto wa mamkubwa leo miaka 30.....sipendi uumie ila natamani ujifunze kesho utakua mtoto bora kwetu
@princesinko4073
@princesinko4073 4 жыл бұрын
Viongozi hawa wanatakiwa kuwa makini sana hasa wanapokuwa madarakani maana kuna siku watapoteza nafasi.
@arafakiloli749
@arafakiloli749 3 жыл бұрын
Kabisa my brother
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 2 жыл бұрын
Ameshapoteza
@thieryniyonkuru1067
@thieryniyonkuru1067 4 жыл бұрын
Ila amewaburuza tuuuuuu😁😁😁😁 Mpaka mnampigia simu hapo gia imeingia sawasawa😜
@immamlowe7151
@immamlowe7151 4 жыл бұрын
Lema Acha USAnii wakujirecodi hafu Et unampigia cm says hata no zake huna pia asingepoteza mda kusikiliza cm zakimalayA Malaya
@edwardmagori6630
@edwardmagori6630 4 жыл бұрын
Katika kauli za lema nimegundua ana shutuma za jinai anazo takiwa kuzi thibitisha, anaonyesha ubaguzi wa kikabila lkn ana matusi ya kudharilisha tena ananhusisha Rais wetu sasa nasema hivi.... Ubunge mwakani ausahau, hivyo vijisent alivyo navyo tutavifatilia, cortini lazima apandishwe, tuone jeuri take
@raynittu4599
@raynittu4599 2 жыл бұрын
Ha,ha,haaaaaa!!!Muhuni wa mjini.Mama hataki wahuni bhana.
@gwaluganoa.mwakatobe3183
@gwaluganoa.mwakatobe3183 2 жыл бұрын
Godbles Lema ulipiga kweli hii simu? Ni mwaka mmoja umepita tangu ipostiwe. Iliikuwa wiki chache kuelekea uchaguzi Mkuu
@enockmwanyonga7130
@enockmwanyonga7130 2 жыл бұрын
Bado wengine, waliokuwa,Dsm,iringa, Arusha, mara,morogoro Tabora,Mbeya nk. Mungu anamlipa mtu hapa duniani, siku ya mwisho ni hukumu ya jumla
@Binkhator
@Binkhator 2 жыл бұрын
You will pay... Sabaya ikiiskia hi kwa sasa.... Daaah... Uongozi, fedha na dunia kwa jumla is nothing...
Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka
15:51
Global TV Online
Рет қаралды 575 М.
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 40 МЛН
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,4 МЛН
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 73 МЛН
а ты любишь париться?
00:41
KATYA KLON LIFE
Рет қаралды 3,6 МЛН
Live: Protest in Chicago by Pro-Palestine groups outside DNC call for Gaza ceasefire
3:43:26
LIVE | DNC Day 4: Kamala Harris accepts Democratic nomination
4:50:26
FOX 9 Minneapolis-St. Paul
Рет қаралды 11 М.
3-SIKIA ALICHO ZUNGUMZA LENGAI OLE SABAYA MAHAKAMANI.
3:32
Hababi Mohammed
Рет қаралды 156 М.
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 40 МЛН