No video

Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka

  Рет қаралды 575,525

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amechafua hali ya hewa bungeni akipinga muswada wa mabadiliko ya sheria ya maliasili, wakati akichangia hoja huku akiwatuhumu wabunge wa CCM kufanya mambo kwa ushabiki.
Lema amesema sheria zilizoligharimu taifa mpaka sasa, zilipitishwa kishabiki bungeni, kama ambavyo wabunge wanataka kufanya hivyo sasa hivyo kama ushabiki utaendelea, lazima sheria zitakazopitishwa zitakuwa ni zilezile.
Ilibidi mheshimiwa George Simbachawene, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, asimame na kumkosoa Lema kwamba alikuwa akikiuka sheria katika uchangiaji wake lakini alipokaa, Lema alimpiga kijembe kwamba anataka kubadilishiwa wizara ndiyo maana anapinga hoja ya Lema.
Akataka utengwe muda wa kutosha kujadili muswada huo na si kupeleka bungeni kwa hati ya dharura. Mjadala mkali uliendelea ambapo Lema aliendelea kutoa hoja nzito akizielekeza upande wa wabunge wa CCM.

Пікірлер: 288
@reganjuma152
@reganjuma152 7 жыл бұрын
mh:lema ameongea point kubwa sana na mueshimiwa rais angalia hilo coz kuna wabunge wa ccm wanatetea ujinga big up mh lema
@shebbyrnem7003
@shebbyrnem7003 5 жыл бұрын
nimemshangaa sana kusema Arusha mjini hatuna m bunge huyo ni nan sasa funguka lema
@rahmayussuf4368
@rahmayussuf4368 6 жыл бұрын
Thank you Lema congrat ....smart na unajua kujenga hoja ipasavyo....goood
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
here from Kenya 🇰🇪I like this guy personally
@isuqalex8726
@isuqalex8726 7 жыл бұрын
ccm hawajielew big up mh. lemaa
@maikonmsafirilatonga114
@maikonmsafirilatonga114 4 жыл бұрын
Nimemkubali Sana lema kwa alichozungumza ila simabachawene anajaribu kufosi kupindisha alichozungumza
@pascarmwatosya5855
@pascarmwatosya5855 4 жыл бұрын
Chuma hichoo mungu awape umakini wakurudishe tenaaa
@tracyjustice1600
@tracyjustice1600 7 жыл бұрын
ila CCM ni watu waajabu sana kwa kweli, hule muimbaji wa gospel Munishi hakukosea, Mh.Lema I salute you
@aibansaidy2286
@aibansaidy2286 5 жыл бұрын
Arusha tuna mbunge makin saanaa, mungu akubariki mheshimiwa lema.
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
Ipo siku arusha mtamkumbuka lema
@geofbeka1669
@geofbeka1669 7 жыл бұрын
Pole Lema, mna kazi ngumu sana
@suleimanali609
@suleimanali609 6 жыл бұрын
hakika wewe Lema Mungu awalete viongozi km wewe
@justinemgomi9561
@justinemgomi9561 7 жыл бұрын
Lema umefungukaaaa hahahahaa dozi imepenyaaaa
@lubavaclassic7048
@lubavaclassic7048 7 жыл бұрын
Duuuuuuh kweliii kiboko duuuuu.. umebonga adii nafsi yangu imeshtukaa jombaaa
@josephjohn6219
@josephjohn6219 7 жыл бұрын
Ni vizuri Wah.Wabunge kufanya kazi za Bunge na siyo kazi za matakwa ya vyama vyao vya siasa!
@masalumashala185
@masalumashala185 3 жыл бұрын
Wakati wa Mungu ukifika, ccm itashindwa na watu wengine, hongera lema kwa kulitambua hilo
@ombenianton3611
@ombenianton3611 2 жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣 ila walipoondoka ndio bunge lilipoteza mwelekeo wake. But 1 day tutachukua kombe tu na sisi
@stelasasala5972
@stelasasala5972 7 жыл бұрын
Hivi kichwa km hiki kijana unapataje ujasiri wa kukipinga? Viva Lema
@elizabethmlay5015
@elizabethmlay5015 7 жыл бұрын
nice sana Mungu akujaze hekima
@saddiqkinkoro389
@saddiqkinkoro389 5 жыл бұрын
Chuga huyu ndo kiongozi msikoseee anafunguka ipasavyoooo yuko njemaa km rais Wa Arushaaa
@godfreymgaya435
@godfreymgaya435 6 жыл бұрын
Mwenyezi MUNGU akupe nguvu ..akutie hekima na maneno yako,,,m4c.....
@deogratiusdaudi5482
@deogratiusdaudi5482 7 жыл бұрын
jah bless u godbless lem 2 live 100yrs ahead with alots of happiness...asante lema
@yaledijakobo4072
@yaledijakobo4072 6 жыл бұрын
Deogratius Daudi
@princeriwa4000
@princeriwa4000 2 жыл бұрын
Maneno yako ni Sawa na jina lako mwamba. Mungu akulinde na kukulinda kwa kila jambo ulitendalo mwamba. Your my inspiration
@Adryfierce
@Adryfierce 7 жыл бұрын
Shikamoo Lema
@pttemba4421
@pttemba4421 5 жыл бұрын
lema mungu alie watoa wana wa israel misri na kwasauti yako uliotoe kwa kipindi hiki mungu atukuja kukuweka juu nawanao wapinga wata ficha sura zao
@foibennjeje7730
@foibennjeje7730 5 жыл бұрын
Lema Lema Lemaaaa! God bless Lema Amina.
@josephkanondo3999
@josephkanondo3999 7 жыл бұрын
mungu ambariki gobbles lema
@billionairemuksini2981
@billionairemuksini2981 7 жыл бұрын
wapinzani wapo kwa ajili ya kuweka mambo wazi huku watawala wanafichaficha
@shebbyrnem7003
@shebbyrnem7003 5 жыл бұрын
Billionaire Muksini haswaaaa
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 5 жыл бұрын
Arusha mkimpoteza Lema mtapata hasara kubwa na mtakumbuka daima
@jonaselisha3217
@jonaselisha3217 5 жыл бұрын
Huyo ndojembe letuuuu 2020 ten
@augustinochuhila6004
@augustinochuhila6004 7 жыл бұрын
lema mungu akubaliki sana katika Kazi yako
@marcohamisihubill.1649
@marcohamisihubill.1649 7 жыл бұрын
Uko Sawa mungu akubariki
@pelgrindominicus4890
@pelgrindominicus4890 5 жыл бұрын
Yes this is what we need in our nation the truly guy like Mr. Lema is good even if most of the parliament are oppose him
@bigsonmeckson8688
@bigsonmeckson8688 4 жыл бұрын
Pelgrin Dominicus
@mpelienock
@mpelienock 6 жыл бұрын
Lema you are very true
@ibrahimrikanga1607
@ibrahimrikanga1607 5 жыл бұрын
Jamani ww lema uko good
@ramadhanikakoree3728
@ramadhanikakoree3728 6 жыл бұрын
Uko vzr lema
@dostovan5142
@dostovan5142 2 жыл бұрын
Huyu jamaa Mungu ambariki Sana kwa kuipigania nchi
@woltabenad8311
@woltabenad8311 4 жыл бұрын
Lema unajuw sana kujenga oja
@hitmanhunter9557
@hitmanhunter9557 7 жыл бұрын
roma akiwaambia ukweli wabunge wetu mnatuangushaa anatekwaaa.... sasa mambo gani hayo... watu wazima mnashindwa kukaa mkaelewana na kuskilizana.
@ismshakoor1340
@ismshakoor1340 6 жыл бұрын
asante San lema mungu akulinde
@shaddytzblog1907
@shaddytzblog1907 5 жыл бұрын
Sema baba lema mwenyezi mungu aendelee kuwapigania
@mamaedson7179
@mamaedson7179 4 жыл бұрын
Kura yangu ni kwa lema arusha mjini 2020
@khassimnkuruvi4
@khassimnkuruvi4 6 жыл бұрын
Lema happy nakupa BG up. Umeongea.
@shemsaroja975
@shemsaroja975 4 жыл бұрын
I wish ningekua raisi ninge kuchagua WAZIR MKUU
@salimmasatu7637
@salimmasatu7637 7 жыл бұрын
lema ukisimama wabunge wote wa cc wanatetemeka
@anjunurdin2763
@anjunurdin2763 7 жыл бұрын
pole sana Lema ila mkono mmoja hauvunji chawa..kaka yangu umoja ni nguvu
@alexanderkilembo7651
@alexanderkilembo7651 6 жыл бұрын
ongea bana tumechoka kabisa
@sorryboy4404
@sorryboy4404 5 жыл бұрын
Salim Masatu
@angeljustine1978
@angeljustine1978 2 жыл бұрын
Our pride Arusha tumekumisss sanaaaa mhe
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 5 жыл бұрын
Lema na zito kabwe ni ndugu pacha I love you all
@kechbowcech3325
@kechbowcech3325 4 жыл бұрын
Wewe Tulia. ,,,,hatuna hati ya Dharula.... ni Dharura.
@zompasevenludovick51
@zompasevenludovick51 7 жыл бұрын
tunahita watyu kama nyie 100 tyu wenye ujasiri na weledi wa kutosha ili tulikomboe taifa....Viva Lemaaa
@leonidaobed2952
@leonidaobed2952 7 жыл бұрын
lema mungu akutie nguvu hao wangine Hawajui wafanyalo ni ndio tu kila kitu tunawasubiri kwa hamu-2020 wataungua tuuuuuuuu.
@yohanazacharia3352
@yohanazacharia3352 7 жыл бұрын
ujumbe umefika hata kama wanaukataa kinafiki lkn tumeuelewa wenye akili
@kevinmrope1783
@kevinmrope1783 7 жыл бұрын
Yohana Zacharia nawewe unaakili?
@rahmashaban8693
@rahmashaban8693 7 жыл бұрын
Yohana Zacharia +wewe mie naona no number one. unahitaji kupelekwa mirembe.
@agabalufulani7247
@agabalufulani7247 5 жыл бұрын
Safiii
@ricksonmrema1693
@ricksonmrema1693 4 жыл бұрын
Kweli Lema waambie
@tollmrema6049
@tollmrema6049 2 жыл бұрын
Nakukubali sana
@paulalipakwa9077
@paulalipakwa9077 2 жыл бұрын
Godblessings you lema mangu akulinde popote ulipo Godbless you lema
@albertmichael8675
@albertmichael8675 5 жыл бұрын
Wawooooo mkuuu dah unaongea ukweli na kwa uchungu sana ,mbna wabunge wa upinzani wanaakili sana ,adi wivuu
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 4 жыл бұрын
lema mh
@muhidinihassani520
@muhidinihassani520 4 жыл бұрын
LEMA Ni hazina ya TAIFA
@ama7742
@ama7742 4 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza nimemuelewa lema
@jamilaismail5227
@jamilaismail5227 7 жыл бұрын
👏👏👏Lema👏👏👏👏👏❤❤❤💙Lema💙💙💙Lema 💪💪💪 Lema👌👌👌👌
@Onicavee
@Onicavee 6 жыл бұрын
Jamila Ismail 👏🙏mbuge wanguuu
@theodorychristopher4795
@theodorychristopher4795 6 жыл бұрын
Waheshimiwa msicheke hilo swala ni muhimu sana raia sisi hatufurahii hata.
@ladsonmshana9920
@ladsonmshana9920 7 жыл бұрын
namkubali sana lema
@kenyatatogota5340
@kenyatatogota5340 5 жыл бұрын
Hatali Sana
@geraldmilanzi424
@geraldmilanzi424 5 жыл бұрын
Hakika wa faa kuwa mbunge wa kitaifa na si wa jimbo. Mungu na awe nawe
@yusufuemauneli9413
@yusufuemauneli9413 Жыл бұрын
Pole makazi mema kazi yenu ngumu
@dicksonmsongole1059
@dicksonmsongole1059 6 жыл бұрын
Big up ma brother
@mahirimahiri2643
@mahirimahiri2643 Жыл бұрын
Mungu anawaona. Mlidhani mko makini kumbe hakuna lolote. Haya sasa
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 4 жыл бұрын
Sura mbayaaaaaa! Kaoneeee
@mussamarwachamahaaaaaaaaaa8065
@mussamarwachamahaaaaaaaaaa8065 Жыл бұрын
Pole Sana lema ccm aizidiwi kabisa ndugu yangu iyo niile ile
@peterlaiza1399
@peterlaiza1399 5 жыл бұрын
Shikamoo lema
@mhavilesukari2708
@mhavilesukari2708 7 жыл бұрын
asante saaana LEMA
@mohamedshabani2263
@mohamedshabani2263 5 жыл бұрын
yani wabunge wa ccm nimuzingo mkubwa mno kasoro bashe tu anaye jitambua.
@salimmasatu7637
@salimmasatu7637 7 жыл бұрын
we simba cha wene kaa chini hauna maana
@omarymachea2364
@omarymachea2364 4 жыл бұрын
Lisu aliwakomesha sasa zamu ya lema kuwaonyesha kazi
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 5 жыл бұрын
Hahahahaaaaaaaaaa 😀😀😀😀😀😀😀😀 Jamani Lema!
@markkayuni9775
@markkayuni9775 7 жыл бұрын
Ndio rema wachane ujumbe ushafika
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 3 жыл бұрын
Kabisaa lema
@augustinochuhila6004
@augustinochuhila6004 7 жыл бұрын
lema baba uchaguzi ujao waviongozi gombeya uwenyekiti taifa utawanyosha
@fundibaskeli2600
@fundibaskeli2600 6 жыл бұрын
Ww ni mwisho
@mabulantinyehu5575
@mabulantinyehu5575 6 жыл бұрын
makamanda tusikate tamaa endeleen kulipigania taifa
@frankmkama5169
@frankmkama5169 4 жыл бұрын
Lemaaa big brain master
@josephlasway664
@josephlasway664 7 жыл бұрын
mbungeee wang uyo god+bless u
@jonathanjj.pachajjpacha9127
@jonathanjj.pachajjpacha9127 4 жыл бұрын
Kwer kabisa
@jasminelissu9063
@jasminelissu9063 3 жыл бұрын
Lema kama lema mbge wangu uyo
@abdulyesswigo5266
@abdulyesswigo5266 3 жыл бұрын
Lema wewe ni mwamba wapo wabunge wachache Sana kwenye taifa hili wenye moyo Kama wako
@christophertarimo5047
@christophertarimo5047 3 жыл бұрын
Ni mtoro ila Nabii wa ukweli..keep up Lema
@alfredmmbaga9336
@alfredmmbaga9336 7 жыл бұрын
MANENO YAKO MARA NYINGI , YAMEUACHA MOYO WANGU NA TABASAM....!! MUNGU AZIDI KUKUHEKIMISHA LEMA
@yohanamgungu9850
@yohanamgungu9850 4 жыл бұрын
Alfred Mmbaga sanaaaa kaka
@joycedaniel6127
@joycedaniel6127 4 жыл бұрын
Alfred Mmbaga nakuunga mkono kabisa Lema Hapa aliongea kiuongozi zaidi na alipiga picha ya mbali sana lazima sheria zilenge matakwa ya sasa na ya baadae sheria nyingi kwenye nchi zakiafrika zinalenga kulinda viongozi hao kwa muda wanapokuwa kwenye mamlaka kitu ambacho sio afya kwa ustawi wa Taifq
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 3 жыл бұрын
Big up sir kamanda
@babujinga5819
@babujinga5819 4 жыл бұрын
Wabunge wa upinzani nawakubali sana tena sana
@mursaliswalehe8324
@mursaliswalehe8324 Жыл бұрын
Karibu mkuu
@KUTOKA-ep2fk
@KUTOKA-ep2fk 7 жыл бұрын
wakati mwingine wapinzani wanaongeaga pointi Sijawahi kuikubali chochote cha lema ila kwa hii point "Sio kila Rais anayechaguliwa ni mzalendo kama MAGUFULI.............." Ni kweli kabisa hapo umeongea! Ushauri: tungeni hizo sera bila chuki na msichanganye vyama na maisha ya wananchi wa tz. hii mambo ya taaarifa mweshimiwa au utaratibu mweshimiwa mimi ninadhani hazina maana yoyote!
@frankbella4170
@frankbella4170 7 жыл бұрын
sio kila wakati ni kila siku
@masalumashala185
@masalumashala185 3 жыл бұрын
Hukumueleea vzr ww lema ndo maana unalipuka
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 5 жыл бұрын
Wana macho hawaoni na wana masikio lakini hawasikii kabisa
@fabiolapanga8680
@fabiolapanga8680 3 жыл бұрын
Nakumic san rais wa Arusha
@rashidlimanyile6237
@rashidlimanyile6237 5 жыл бұрын
ccm mzigo,lema yupo sawa kinga ya Rais iondolewe.
@mashalamaduka2296
@mashalamaduka2296 6 жыл бұрын
lema BG ap
@eliezaseme714
@eliezaseme714 7 жыл бұрын
Good imepenya hyo wameipata
@pascalprince4408
@pascalprince4408 5 жыл бұрын
King
@njaunestory761
@njaunestory761 6 жыл бұрын
Simba chaweneee sijui akili yako vip
@kyomamabifi7686
@kyomamabifi7686 6 жыл бұрын
pilot kamnda lema nakukubali ad tunajivunia kuwa nambunge kama ww
@jolojist929
@jolojist929 3 жыл бұрын
Viva lema
@dicksontheobald7032
@dicksontheobald7032 4 жыл бұрын
Raisi Wa arusha
@fredrickwaosure9286
@fredrickwaosure9286 5 жыл бұрын
Lema uko vzr xn wachane hao ccm ukweli
@ChristerShao
@ChristerShao 9 ай бұрын
Lema ulikuwa sahihi.Ndugai alisema taifa litauzwa.Wabunge na mawaziri mnayakumbuka kauli ya Lema na matukio tunayoyaona.
@edlineglorycutemunis4986
@edlineglorycutemunis4986 7 жыл бұрын
lema wape ukweli
@emmanuelmambarera141
@emmanuelmambarera141 4 жыл бұрын
Safi sana
@francissalamba8112
@francissalamba8112 7 жыл бұрын
lemaa shikamoooooooooooooooooo
@osternmeru6240
@osternmeru6240 7 жыл бұрын
Asante mh.Lema
@golanmathias3634
@golanmathias3634 7 жыл бұрын
safi Lema cc tumewaelewa wanacho kifanya
@thomasmario950
@thomasmario950 5 жыл бұрын
Acha mambo ya ajabu spika ww kwann usiache aongee?
@rahmayussuf4368
@rahmayussuf4368 6 жыл бұрын
mnapigwa vita wazi wazi daah..Anakula dakika zako kukupinga
@theodorychristopher4795
@theodorychristopher4795 6 жыл бұрын
Kuwachokonoa kivipi tena ukweli unauma.
@bakarimakida1145
@bakarimakida1145 7 жыл бұрын
It is painful... Serikali plz plz chukueni haya mawazo.. Namnukuu Lema alichokisema ... "70% ya wabunge ni wapya , They never know kama msimu ujao watarudi mjengoni".. Forget that... Mi naona ni jambo la kheri sana ukiwa kama mwenye dhamana ya kutunga sheria na ukatumia nafasi hiyo vizuri ambayo hata ikitokea hautakuwa tena mjengoni,, c wewe tu mbunge, lkn hata vizazi tuliopo na vijavyo vitakukumbuka kwa mchango wako... So plz guys fanyeni kilichowapeleka mjengoni.
@habramusimkoko3027
@habramusimkoko3027 2 жыл бұрын
Cyłkownje ýyy hm xnńýyyyyý syć by ýń syć sy syć š na ýyy sy ty sy by dš zhromadnje by ý Gbagbo xd kg š
@ombenianton3611
@ombenianton3611 2 жыл бұрын
True Mr
@richisaibulu1538
@richisaibulu1538 4 жыл бұрын
Big up
@chegebukoli1914
@chegebukoli1914 5 жыл бұрын
Bila upinzani hakuna nchi
KITIMTIM BUNGENI! Wapinzani Waitwa Mbwa, SUGU Aliamsha
12:09
Global TV Online
Рет қаралды 130 М.
Lema, Mnyika Waliamsha Tena Dude Bungeni
12:42
Global TV Online
Рет қаралды 362 М.
Nurse's Mission: Bringing Joy to Young Lives #shorts
00:17
Fabiosa Stories
Рет қаралды 3 МЛН
Schoolboy Runaway в реальной жизни🤣@onLI_gAmeS
00:31
МишАня
Рет қаралды 3,9 МЛН
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
ToolTastic
Рет қаралды 6 МЛН
GOODBLES LEMA AMPIGIA OLE SABAYA NA KUMTAKA AACHE KUTESA WATU
3:14
Chadema Media TV
Рет қаралды 401 М.
Godbless Lema VS Waziri Simbachawene bungeni leo
9:52
Millard Ayo
Рет қаралды 1,3 МЛН
“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche
9:21
HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
10:40
Global TV Online
Рет қаралды 465 М.
LEMA AICHANA SERIKALI: "Hali mbaya, watu wanateswa, nchi itaendeshwaje?"
4:36
MBUNGE LEMA BUNGENI LEO "HOTUBA YANGU IMEZUIWA'
4:23
Millard Ayo
Рет қаралды 56 М.
Nurse's Mission: Bringing Joy to Young Lives #shorts
00:17
Fabiosa Stories
Рет қаралды 3 МЛН