Ubarrikiwe mtumishi wa Mungu, huna tofauti na nabii Musa
@AdamsonKyando-ns8jx9 ай бұрын
!!!!!!!!!Gwajima nampenda sana kwasabatu moja mhimu sana Haoni haya kulitaja jina LA YESU . Mambo ya udongo na mafuta sijawahi ona anavipigia debe na hii ndo inamfanya kuwa juu sana, wengi wanataka kulipoteza jina laYesu tulilo pewa kuokolewa kwalo na kuvitukuza vitu ,jambo ambambalo ni baya sana sana
@GraphixDesgner21 күн бұрын
Amen endelea ,nimekuelewa baba
@user-yd8sp1qj3w9 ай бұрын
You are teaching good,Gwajima.
@ferdinandntembagara29499 ай бұрын
Kwakwel namuelwaga sana Dr. Gwajima
@makejamaduhu76189 ай бұрын
Ujumbe mzuri sana, jua cha kusema,unasema na nani? Na wakati gani wa kusema? Mahala pa kusema na usemaje, na unasema kwa kipi? Elimu kubwa sana hii. Asante sana mtumishi.
@imcctv94789 ай бұрын
Powerful words
@ebiudmbugi25159 ай бұрын
Amen good preaching
@angenyalusischmidt23219 ай бұрын
HUYU NI MWANA FILOSOFI.. AMEONGEA KWA FUMBO KUBWA.. TULIOSOMA CUBA TUMEKUELEWA... ANAUMIA ILA HAJUI AFANYAJE. ."AKILI KUMKICHWA"" WEWE MSILIZAJI
@Oswardkadron9 ай бұрын
Hongela mkuu
@user-xe3fo1bh5s9 ай бұрын
Amen man of God
@user-yd8sp1qj3w9 ай бұрын
Amazing,
@MalaikaFurniture-qh9vd9 ай бұрын
Baba mwana wa mungu jasusi LA mbinguni 💪💪💪💪💪
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Amen
@user-eg2wk4xx3h9 ай бұрын
Gwaji I oyeeee
@user-cm3fd2kx4g8 ай бұрын
NAMI nazidi kumjua mungu
@rosekiwia49448 ай бұрын
I always benefit from his teachings , wasiomuelewa ni vilaza
@rithersospeterkati23032 ай бұрын
Amen Amen.
@emmanuelmwakyoma57469 ай бұрын
Nimekuelewa sana mtumishi wa Mungu
@georgemanyanda30229 ай бұрын
Amen sanaa
@kuryatvfilm11619 ай бұрын
Mbarikiwa ooooeeeee
@user-iy8mq9ii8t9 ай бұрын
Simama na kweli ya Mungu
@dokasa91769 ай бұрын
Ni siku za mwisho Mchungaji yeyote asiyekemea dhambi, kuambia watu ukweli kwamba kuzimu iko wazipobadili njia zao,waaje mapambo na nguo sizizo na heshima wavae km wana wa Mungu, hivo Roho wa Mungu hayumo ndani yake, Mbarikiwa anakataliwa na kuchukiwa na waabudu shetani kwa sababu anahubiri kweli,na kukemea maovu bila hofu yoyote ila ni Mungu mwenyewe atamtetea na atamfungua kutoka jela pekee yake,kwa wakati wake,na atatoka akiwa chombo cha moto sana, ndiyo atazidi kukemea na kukemea usiku na mchana bila kusinzia
@timboxlee9199 ай бұрын
Uko sahihi kabisa mtumishi wa mungu,hii awamu ya sita mafisadi
@naahbby-fk9vo9 ай бұрын
Amen
@lindakapongo84219 ай бұрын
asante😢😢uelewa
@zawadisisto81889 ай бұрын
Ameni
@kuryatvfilm11619 ай бұрын
Si kweli Mungu ni Yule Yule na Mungu kama muda haujafika hapawezekani lazima uweke wazi Daniel tu alipozuiliwa kuomba alifungua madilisha hakuogopa. Kwa Mungu hakuna kuangalia upepo unaangalia Mungu anasema nini wewe hapo ulisha chemka mbarikiwa yupo sahihi maadamu kasimama na mungu
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Yes mbarikiwa yupo sahihi
@user-du2gt8ff1r9 ай бұрын
MUNGU Akubariki
@kuryatvfilm11619 ай бұрын
Wala neno la Mungu halihusiani na elimu
@RaimundoZacariasJonas-jq1bg9 ай бұрын
Mimi ni mwana wa Mungu
@dismassamwel71309 ай бұрын
Gwajima ni yule yule sukuma geng na anaikosoa serikali kwa elimu kubwa sio kuropoka ropoka
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Kukosoa ni kukosoa tu
@rebeccamsami45809 ай бұрын
Ni kweli kabisa binadamu tuna mamlaka makubwa ktk ndimi zetu
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Sana
@peterdaimon-ug6fd9 ай бұрын
Hii mashine
@sethkivuyo33429 ай бұрын
Wewe ni Fundi wa kugezuza Maneno vile Upo kwenye sistim
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Haiandikwi sistim ni SYSTEM
@estherwairimu87609 ай бұрын
Mungu wangu aki elimu nahekima yadunia imewachanganya WENGI aki roho wamungu lazima itanena
Huduma ya mitume na manabii,ni zaidi ya kuona it is more than that
@mage17999 ай бұрын
hapa napo mmmmh tuyaache km yalivyo lkn 0
@festinamwakipale39199 ай бұрын
Gwajima hawezi kuliongelea la mbalikiwa jambo la mbalikiwa kwann ni nyingi kama mtu wa rohoni ni ngumu kusema tumuache yesu ametee mbalikiwa na mm namshauri gwajima asiingilie amuombee tu
@elibarikipeter9 ай бұрын
Kapime akili
@festinamwakipale39199 ай бұрын
@@elibarikipeter twende wote mnatamani watumishi wa Mungu wavurugane mmefeli yesu atasimama
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Nyie ndio mashetani mmelaaniwa biblia inasema wateteeni wanao onewa wewe unaenda kuwaombea. Biblia inasema mtu asiongeze wala kupunguza neno katika neno la Mungu wewe ilo la kuombea umelitoa wapi?
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Wewe ni mwehu tena chizi kabisa
@festinamwakipale39199 ай бұрын
@@kikosikaziupdate mwehu wa wapi sitaki damu za watu.mkononi mwangu kila mchungaji Tanzania angehubili hivo kama kikosi kazi.injili isingekuwa.inaokoa.watu
@PK_MEDIA_TZ9 ай бұрын
Nukweli
@pastorzakariatv17869 ай бұрын
Mtu wa kweli anamsaidia MGONJWA siyo anasubiri mtu anakufa ndo anajitolea SANDA YA KUZIKIA UJUWE HUENDA YEYE NDO KATOA KAFARA😂😂😂😂😂 MBONA HUKUJITOLEA DAWA ILI MGONJWA APONE ULISEMA HUNA HELA YA DAWA SASA MGONJWA KAFA HELA YA SANDA UMEITOA WAPI? 🤔🤔🤔 SIYO UNAFIKI HUU?
@elimunimwangatv70299 ай бұрын
Nimekuelewa vizuri sana rafiki
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Wewe unaakili chache kichwani nenda kalale uje usikilize tena
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Wore nyie akili chache
@pastorzakariatv17869 ай бұрын
@@kikosikaziupdate hivi unajua hata chizi hua anajiona anaakili wakati MWENYE AKILI ANAMSHANGAA KICHAA JINSI ANAVYOKULA UCHAFU, VIPOLO VILIVYOOZA ETI KICHAA NAYE ANAMSHANGAA MWENYE AKILI JINSI ANAVYO PITA BILA KUVIONA VIPOLO VILE NA KUMUITA KIPOFU ETI ANGALIA HUYU NAE HAIONI VIPOLO VYOTE HIVI WE KIJANA WEWE NI SHABIKI WA KRISTO SIO MSHIRIKA WA KRISTO WASHIRIKA WA KRISTO HALIS HAWAKO KAMA WEWE WAO WAMEVAA CHAPA ZA KRISTO WANA NIDHAMU,HEKIMA,BUSARA,UPENDO,TENA WANAKIASI, WANAMIPAKA. SIYO KAMA WEWE HAKUNA KIUMBE KISICHO KUWA NA MIPAKA HATA BAHARI IMEWEKEWA MIPAKA UMEPATA BAHATI MBAYA YA KUPATA MALEZI MABOVU YALIYO KINYUME NA INJILI YA KRISTO BADALA YA KUWA MNYENYEKEVU KAMA KRISTO UMEKUWA MKAIDI KAMA SHETANI KINYWA CHAKO KIMEONDOLEWA RIJAMU KINABWATUKA LOLOTE WE UTAJIONA KAMA NDO UMEBARIKIWA KUMBE UNATEMBEA KWENYE LAANA ZUMARIDI ALIINUA KINYWA AKATUKANA YESU NA BIBLIA AKABWATUKA BWATUKA AKAWEKWA NDANI AKAKAA RUMANDE MWAKA MZIMA ALIVYOTOKA AKASEMA AMEFUNGWA KWAAJILI YA HAKI HAKI GANI KWA MACHOKO HAWA NYIE INJILI SIO MISISIMKO TU NA USAHIHI BIBLIA INASEMA WATU HAWA WANAJUHUDI NYINGI KATKA MUNGU LAKINI SI KATIKA MAARIFA na ukikosa MAARIFA unaangamia, nikwaambie tu we KIJANA iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu lakini mwisho wa njia hiyo ni MAUTI, TUMIENI AKILI KAMA IPASAVYO KWENYE HUKUMU YA MUNGU HATAANGALIA USO WA MTU NA KILA NENO ALINENALO MTU ATALITOLEA HESABU YAKE SIKU YA MWISHO USIWE UNABWTUKA ILIMLADI KUNA KUTOA HESABU YA MANENO PIA.
Nenda katete wewe kama unamuona huyu atetei nani anakukataza
@abdulkatalango28909 ай бұрын
nani kakuzuia
@KokoloLambinguni3 ай бұрын
Mbona unajpendelea sana siuache na wengine wachangie mada au auamini ujumbe wako kaa kimya
@laurianogerold51299 ай бұрын
Sijaona alipo ongelea hili au sijamuelewa
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Sikiliza tena kuna mahali kaongea kwa mafumbo sana
@MalaikaFurniture-qh9vd9 ай бұрын
Baba kama baba jasusi LA mbinguni og
@Peterkasanga-fp6hd9 ай бұрын
Je, tuwe na elimu ngani ili tuweze kuhubili?
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Wewe ushinde uovu nenda kawafundishe watu kuacha uovu
@user-yb3lu8dx3z9 ай бұрын
baiden wanyime ccm watanzania msada
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Point
@valenakomba92189 ай бұрын
NAHUBILI YAKO HUWAGA SIYAELEWI. LAKINI LEO UNAMTAJA YESU.
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Huwa hauelewi nini??
@alexmzumbwe13289 ай бұрын
Huelewagi nini
@kyaro59459 ай бұрын
Dr Gwajima ni kweli wananchi wans nguvu ya umma. Katiba hawezi badilisha rais bali nguvu ya umma. Bandari atalae badilisha ni wananchi waanze wenyewe kuuliza na kufanya maandamano ya amani.
@hamisijuma81249 ай бұрын
Huna hata kampuni Wala box unaloagiza nje unahangaika na bandari wanao pigania bandari wanamaslahi we we unanini huko tafakari usijiunge kwenye msafarawa mamba
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Nyie ndio minyumbu yenyewe ya Tanzania
@essiesammy65059 ай бұрын
@@hamisijuma8124 kweli shule ni muhimu unashindwa hata kuelewa kitu kidg tu hichooo,asilimiaa 90%ya vitu tunavotumiaa vinaagizwa na kuletwa nchin kwa kupitiaa bandariii kwahiyo kila mtu bandari inamgusa moja kwa mojaa hiyo simu tu unayotumiaa imepita bandariniii fungua akili hiyo
@hamisijuma81249 ай бұрын
@@kikosikaziupdate we ambaye ni mjanja umefanya Nini umekalia kusifia mijitu iyokomba sadaka za walalahoi mbwa wewe Akuoe sasa
@user-bz2nd3bm1w9 ай бұрын
Gwajima Bado haaminiki bendela fuata upepo
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Wewe akili ndogo kichwani
@thomasmallya29729 ай бұрын
Usipo tuliza akili uuta mwelewa g
@GraphixDesgner21 күн бұрын
Ingia ndani itamwejewa gwajima ukibaki nie utabaki kutokumwelewa ni jasusi la mungu
Hiki ni kichwa kimeenda shule mwanasiorojia huyu mnyakyusa wawatu anapinga erimu anatumia yakwake ambayo akili yake inasema hili lipo hivi hakuna wakumbadilisha
@josiacharles27789 ай бұрын
Kuna jambo kalizungumzia apo la maana sanaaa
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Wewe umemuelewa
@josiacharles27789 ай бұрын
Yes nimemuelewa sana.
@Dismasbccmiraclecenter-rv9qi9 ай бұрын
JASUSI LA MBINGUNI.
@nelsonjasson7967m9 ай бұрын
Poa mwamba piga gombo
@robertphilip3859 ай бұрын
Gwajima huaga namkubali lkn tangu ashinde Kwa kura zawizi simkubali tena
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Uliona anavyo iba kwanini usimkataze asiibe na wewe ulishiriki wizi
@robertphilip3859 ай бұрын
Siwalipitishana Kwa nguvu na lile liuaji
@user-lq7ik4jn3f9 ай бұрын
pole unajuaj au mlishilkiana kuiba
@robertphilip3859 ай бұрын
@@user-lq7ik4jn3f kwani ccm wanashindaga kihalali
@elibarikipeter9 ай бұрын
Kapime akili
@ezekielslyver-sk4yx8 ай бұрын
Unajichanganya padogo sana na unajiporomosha bila kujuwa,leo unamuongelea Mwamposa sadaka ya kujimaliza,kwa hiyo unataka wawepo mapasitor tu ila mitume hapana na manabii wasiwepo au unamanisha Nini,nilishajifunza mengi kwako ila siku hizi umekosa uturivu kaka yangu jiperereze
@user-dk5kk4rf3v9 ай бұрын
Ubunge wa mchongo unafundisha michongo ...
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Wewe ni chawa bila shaka umetumwa
@tarithalusola445812 күн бұрын
Haswaa huyu anayeropoka ovyo juu ya masihi wa bwana NI rusifa
@paull86599 ай бұрын
Huyu si alifanya unyang'anyi wa kura? pumbafff
@saimongilala89389 ай бұрын
Huna hakili
@bonifasiemanueli218 ай бұрын
Hamna kitu hapo
@rogerabdallah4399 ай бұрын
Kwanza iyo maiki inafanana nafulana yako
@HijasSaidy-ke2tm9 ай бұрын
ASKOFU ALIEPITA NA KURA ZA MWENDAZAKE
@user-lq7ik4jn3f9 ай бұрын
Kwan kunashda tatzo wapinzan uelewa mdogo mtaishia kusema hvohvo
@laninjeje82909 ай бұрын
Hapa ndipo unagundua kuwa Gwajima ni mchungaji aliesoma shule, tofauti na mbarikiwa na wengine, unatakiwa kukemea maovu ya serikali lakini kwa hekima na pia uangalie unaongea na Nani na wapi unaongea😂😂
@MACHOYATAI-jk6fu9 ай бұрын
Hayo niyako
@bcozhenry26989 ай бұрын
Hakuna hekima kwenye kubagua watu! Wawepo wa kukemewa wazi wazi na wengine wakemewe kwa kupambapamba!
@daudimichael73389 ай бұрын
Kuongea kwa mafumbo namna hii hakusaidii sana, majoka wana wa majoka wanakuwa comfortable tu, wanajifariji kwamba hawakutajwa wanajizima data wanaendelea na maisha na mipango yao miovu kama kawaida. Elisha hakushusha bei ya vyakula kwa mafumbo, alishusha waziwazi bila uoga kwa mamlaka ya Mungu iliyokuwa ndani yake na ikawa hivyo. Kwahiyo hekima mnayosema ya lipi la kusema, wapi pa kusema, lini pa kusema, namna ya kusema tutachelewa sana, huo ni uoga tu😂
@laninjeje82909 ай бұрын
Dini bila elimu dunia ni uchawi tu na uropokaji kwasababu Kuna mda inatakiwa uwe na elimu kichwani ndo utoe mahubiri yenye hekima
@HamisAbdallah-cj2sc9 ай бұрын
Du etji NA nyinyi nimungu duniani!!! Sasa mbona zumaridi alijiita Mungu wakasema anakufuru
@qurantajwid97499 ай бұрын
Muongo wewe
@sethkivuyo33429 ай бұрын
Nimekuelewa.. Kumbe Ukiwa mbunge wa ccm inakua sio muda sahihi wa kusema na kukemea maovu husani kusemea bandari yetu.. nimeamini maslai yako ni muimu kuliko kusimamia kweli..
@danielmulesi40259 ай бұрын
Una tatizo la tafsiri. Na usitake kupitishia agenda zako hapa. Hata kama kuna kukosoa, hekima ni kukosoa kwa wakati sahihi na namna sahihi. Aliyekuambia kuwa Askofu huyu hajatoa maoni yake chamani ni nani???
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
Wewe umeisimamia wapi bandari mbona hatujakuona
@thomasmallya29729 ай бұрын
Tuache unafk mnao lilia bandari mbona amlilii Almas dhaabu au mwiingereza na mmarekani ana haki ya kuiba ila mwaarabu aruusiwi
@kikosikaziupdate9 ай бұрын
@@thomasmallya2972 wewe shetani so unataka waibe kila sehemu, sisi tunapigania mali tunayo iona inapotea kwa macho mbele yetu
@thomasmallya29729 ай бұрын
@@kikosikaziupdate shetani ua anamjua shetani mwenzie niambie shetan mwenzangu
@user-iy8mq9ii8t9 ай бұрын
Simama na kweli ya Mungu
@muhammedsaid36599 ай бұрын
Kla ktu kiko waz msi ruwe birue mamb o,huku mchungaji na huku mwana Siasa,ww ni mnafki unanyuso mbili kwa mujibu ya maandiko ya Biblia. Yesu amesema cha Kaisari mpe Kaisari na cha Mungu mpe Mungu kwa Mujubu wa Biblia hv vtu viwil huwezi kuvchanganya tatizo wachungaji wengi Huizia kwenye shetan(mali) na hyo ndio waliyoikumbatia, wanamajumba na mahotel na magari ya kifahari wao ni matajiri kuliko waumini wao yaani ata mlo wao wa sku unawapiga chenga. Yesu peke yake ndie mchungaji mwema kwa wana wa Israel,Yeye kipando chake ni mwana Punda na kwa wakat ule kipando cha kifahari ni Magari ya Faras lkn hakupandapo hata km alikua anauwezo nao. Pia Bwana Yesu mwafunz moja alitaka kuwa pamoja nae alimjibu akamwambia Uza kla klicho chako na unifuate. Na imeandikwa ni Rahis kwa Ngamia kupita ktk Tundu la Shindano Kuliko Tajiri kuingia ktk Ufalme wa Mbinguni. Sasa kwa Utajri waliokua nao Wachu ngaji ni kweli watakua pamoja na Yesu huko Mbinguni?ikiwa Mchungaji haingii Mbingun ww Kondoo inakuaje. Njo upate Nusra kwa Mwenyez Mungu Mtakatifu,kuingia bure wala hulazmishw kutoa Sadaka km huna huko ni kumcha M.Mungu tu. Uislam ndio Dini ya Unyoofu na Unyenyekevu km Yesu alivyosema na Uzima wa milele ndio huu Wakujue Wewe Mungu waPekee na Wakweli na Yesu Uliyemtuma.Skiza Israel Bwana Mungu Wetu ni Mungu Mmoja,Mpende Bwana Mungu Wako kwa Nguvu na Moyo wote na Mpende Jiran yako kama Nafsi yako hakuna andiko Kuu kuliko hili basi Lifuate