GWAJIMA | "MIMI NIKIONGEA JAMBO NAWEZA KUBADILI UPEPO SASA HIVI" MOTO UMEWAKA SASA

  Рет қаралды 53,277

kikosi kazi update🥇

kikosi kazi update🥇

9 ай бұрын

Пікірлер: 150
@anafikamugisha8834
@anafikamugisha8834 6 ай бұрын
Gwajiboy Man of God
@user-gc8vb3gv8c
@user-gc8vb3gv8c 15 күн бұрын
Ubarrikiwe mtumishi wa Mungu, huna tofauti na nabii Musa
@AdamsonKyando-ns8jx
@AdamsonKyando-ns8jx 9 ай бұрын
!!!!!!!!!Gwajima nampenda sana kwasabatu moja mhimu sana Haoni haya kulitaja jina LA YESU . Mambo ya udongo na mafuta sijawahi ona anavipigia debe na hii ndo inamfanya kuwa juu sana, wengi wanataka kulipoteza jina laYesu tulilo pewa kuokolewa kwalo na kuvitukuza vitu ,jambo ambambalo ni baya sana sana
@GraphixDesgner
@GraphixDesgner 21 күн бұрын
Amen endelea ,nimekuelewa baba
@user-yd8sp1qj3w
@user-yd8sp1qj3w 9 ай бұрын
You are teaching good,Gwajima.
@ferdinandntembagara2949
@ferdinandntembagara2949 9 ай бұрын
Kwakwel namuelwaga sana Dr. Gwajima
@makejamaduhu7618
@makejamaduhu7618 9 ай бұрын
Ujumbe mzuri sana, jua cha kusema,unasema na nani? Na wakati gani wa kusema? Mahala pa kusema na usemaje, na unasema kwa kipi? Elimu kubwa sana hii. Asante sana mtumishi.
@imcctv9478
@imcctv9478 9 ай бұрын
Powerful words
@ebiudmbugi2515
@ebiudmbugi2515 9 ай бұрын
Amen good preaching
@angenyalusischmidt2321
@angenyalusischmidt2321 9 ай бұрын
HUYU NI MWANA FILOSOFI.. AMEONGEA KWA FUMBO KUBWA.. TULIOSOMA CUBA TUMEKUELEWA... ANAUMIA ILA HAJUI AFANYAJE. ."AKILI KUMKICHWA"" WEWE MSILIZAJI
@Oswardkadron
@Oswardkadron 9 ай бұрын
Hongela mkuu
@user-xe3fo1bh5s
@user-xe3fo1bh5s 9 ай бұрын
Amen man of God
@user-yd8sp1qj3w
@user-yd8sp1qj3w 9 ай бұрын
Amazing,
@MalaikaFurniture-qh9vd
@MalaikaFurniture-qh9vd 9 ай бұрын
Baba mwana wa mungu jasusi LA mbinguni 💪💪💪💪💪
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Amen
@user-eg2wk4xx3h
@user-eg2wk4xx3h 9 ай бұрын
Gwaji I oyeeee
@user-cm3fd2kx4g
@user-cm3fd2kx4g 8 ай бұрын
NAMI nazidi kumjua mungu
@rosekiwia4944
@rosekiwia4944 8 ай бұрын
I always benefit from his teachings , wasiomuelewa ni vilaza
@rithersospeterkati2303
@rithersospeterkati2303 2 ай бұрын
Amen Amen.
@emmanuelmwakyoma5746
@emmanuelmwakyoma5746 9 ай бұрын
Nimekuelewa sana mtumishi wa Mungu
@georgemanyanda3022
@georgemanyanda3022 9 ай бұрын
Amen sanaa
@kuryatvfilm1161
@kuryatvfilm1161 9 ай бұрын
Mbarikiwa ooooeeeee
@user-iy8mq9ii8t
@user-iy8mq9ii8t 9 ай бұрын
Simama na kweli ya Mungu
@dokasa9176
@dokasa9176 9 ай бұрын
Ni siku za mwisho Mchungaji yeyote asiyekemea dhambi, kuambia watu ukweli kwamba kuzimu iko wazipobadili njia zao,waaje mapambo na nguo sizizo na heshima wavae km wana wa Mungu, hivo Roho wa Mungu hayumo ndani yake, Mbarikiwa anakataliwa na kuchukiwa na waabudu shetani kwa sababu anahubiri kweli,na kukemea maovu bila hofu yoyote ila ni Mungu mwenyewe atamtetea na atamfungua kutoka jela pekee yake,kwa wakati wake,na atatoka akiwa chombo cha moto sana, ndiyo atazidi kukemea na kukemea usiku na mchana bila kusinzia
@timboxlee919
@timboxlee919 9 ай бұрын
Uko sahihi kabisa mtumishi wa mungu,hii awamu ya sita mafisadi
@naahbby-fk9vo
@naahbby-fk9vo 9 ай бұрын
Amen
@lindakapongo8421
@lindakapongo8421 9 ай бұрын
asante😢😢uelewa
@zawadisisto8188
@zawadisisto8188 9 ай бұрын
Ameni
@kuryatvfilm1161
@kuryatvfilm1161 9 ай бұрын
Si kweli Mungu ni Yule Yule na Mungu kama muda haujafika hapawezekani lazima uweke wazi Daniel tu alipozuiliwa kuomba alifungua madilisha hakuogopa. Kwa Mungu hakuna kuangalia upepo unaangalia Mungu anasema nini wewe hapo ulisha chemka mbarikiwa yupo sahihi maadamu kasimama na mungu
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Yes mbarikiwa yupo sahihi
@user-du2gt8ff1r
@user-du2gt8ff1r 9 ай бұрын
MUNGU Akubariki
@kuryatvfilm1161
@kuryatvfilm1161 9 ай бұрын
Wala neno la Mungu halihusiani na elimu
@RaimundoZacariasJonas-jq1bg
@RaimundoZacariasJonas-jq1bg 9 ай бұрын
Mimi ni mwana wa Mungu
@dismassamwel7130
@dismassamwel7130 9 ай бұрын
Gwajima ni yule yule sukuma geng na anaikosoa serikali kwa elimu kubwa sio kuropoka ropoka
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Kukosoa ni kukosoa tu
@rebeccamsami4580
@rebeccamsami4580 9 ай бұрын
Ni kweli kabisa binadamu tuna mamlaka makubwa ktk ndimi zetu
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Sana
@peterdaimon-ug6fd
@peterdaimon-ug6fd 9 ай бұрын
Hii mashine
@sethkivuyo3342
@sethkivuyo3342 9 ай бұрын
Wewe ni Fundi wa kugezuza Maneno vile Upo kwenye sistim
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Haiandikwi sistim ni SYSTEM
@estherwairimu8760
@estherwairimu8760 9 ай бұрын
Mungu wangu aki elimu nahekima yadunia imewachanganya WENGI aki roho wamungu lazima itanena
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Wewe umenena?
@MalaikaFurniture-qh9vd
@MalaikaFurniture-qh9vd 9 ай бұрын
Hakuna kama baba siku zote nakuelewa zyd ya jana
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
😀😀😃😃😃
@user-xe3fo1bh5s
@user-xe3fo1bh5s 9 ай бұрын
Yes son of God
@kuryatvfilm1161
@kuryatvfilm1161 9 ай бұрын
Nazidi kumfahamu Mungu
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
@RoseKimishabhalemi-oz9bn 9 ай бұрын
Mbona serikari inmates are watu na huwaonyi
@user-yb3lu8dx3z
@user-yb3lu8dx3z 9 ай бұрын
nikwamba sikuya samiana tulia hitafikatu sio hivyo mtoeni mtumishi wamungu gerezani mtabata tabusana sikuyenu
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Kweli kabisa
@apostlejoshuadaniel2105
@apostlejoshuadaniel2105 9 ай бұрын
Huduma ya mitume na manabii,ni zaidi ya kuona it is more than that
@mage1799
@mage1799 9 ай бұрын
hapa napo mmmmh tuyaache km yalivyo lkn 0
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 9 ай бұрын
Gwajima hawezi kuliongelea la mbalikiwa jambo la mbalikiwa kwann ni nyingi kama mtu wa rohoni ni ngumu kusema tumuache yesu ametee mbalikiwa na mm namshauri gwajima asiingilie amuombee tu
@elibarikipeter
@elibarikipeter 9 ай бұрын
Kapime akili
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 9 ай бұрын
@@elibarikipeter twende wote mnatamani watumishi wa Mungu wavurugane mmefeli yesu atasimama
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Nyie ndio mashetani mmelaaniwa biblia inasema wateteeni wanao onewa wewe unaenda kuwaombea. Biblia inasema mtu asiongeze wala kupunguza neno katika neno la Mungu wewe ilo la kuombea umelitoa wapi?
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Wewe ni mwehu tena chizi kabisa
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 9 ай бұрын
@@kikosikaziupdate mwehu wa wapi sitaki damu za watu.mkononi mwangu kila mchungaji Tanzania angehubili hivo kama kikosi kazi.injili isingekuwa.inaokoa.watu
@PK_MEDIA_TZ
@PK_MEDIA_TZ 9 ай бұрын
Nukweli
@pastorzakariatv1786
@pastorzakariatv1786 9 ай бұрын
Mtu wa kweli anamsaidia MGONJWA siyo anasubiri mtu anakufa ndo anajitolea SANDA YA KUZIKIA UJUWE HUENDA YEYE NDO KATOA KAFARA😂😂😂😂😂 MBONA HUKUJITOLEA DAWA ILI MGONJWA APONE ULISEMA HUNA HELA YA DAWA SASA MGONJWA KAFA HELA YA SANDA UMEITOA WAPI? 🤔🤔🤔 SIYO UNAFIKI HUU?
@elimunimwangatv7029
@elimunimwangatv7029 9 ай бұрын
Nimekuelewa vizuri sana rafiki
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Wewe unaakili chache kichwani nenda kalale uje usikilize tena
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Wore nyie akili chache
@pastorzakariatv1786
@pastorzakariatv1786 9 ай бұрын
@@kikosikaziupdate hivi unajua hata chizi hua anajiona anaakili wakati MWENYE AKILI ANAMSHANGAA KICHAA JINSI ANAVYOKULA UCHAFU, VIPOLO VILIVYOOZA ETI KICHAA NAYE ANAMSHANGAA MWENYE AKILI JINSI ANAVYO PITA BILA KUVIONA VIPOLO VILE NA KUMUITA KIPOFU ETI ANGALIA HUYU NAE HAIONI VIPOLO VYOTE HIVI WE KIJANA WEWE NI SHABIKI WA KRISTO SIO MSHIRIKA WA KRISTO WASHIRIKA WA KRISTO HALIS HAWAKO KAMA WEWE WAO WAMEVAA CHAPA ZA KRISTO WANA NIDHAMU,HEKIMA,BUSARA,UPENDO,TENA WANAKIASI, WANAMIPAKA. SIYO KAMA WEWE HAKUNA KIUMBE KISICHO KUWA NA MIPAKA HATA BAHARI IMEWEKEWA MIPAKA UMEPATA BAHATI MBAYA YA KUPATA MALEZI MABOVU YALIYO KINYUME NA INJILI YA KRISTO BADALA YA KUWA MNYENYEKEVU KAMA KRISTO UMEKUWA MKAIDI KAMA SHETANI KINYWA CHAKO KIMEONDOLEWA RIJAMU KINABWATUKA LOLOTE WE UTAJIONA KAMA NDO UMEBARIKIWA KUMBE UNATEMBEA KWENYE LAANA ZUMARIDI ALIINUA KINYWA AKATUKANA YESU NA BIBLIA AKABWATUKA BWATUKA AKAWEKWA NDANI AKAKAA RUMANDE MWAKA MZIMA ALIVYOTOKA AKASEMA AMEFUNGWA KWAAJILI YA HAKI HAKI GANI KWA MACHOKO HAWA NYIE INJILI SIO MISISIMKO TU NA USAHIHI BIBLIA INASEMA WATU HAWA WANAJUHUDI NYINGI KATKA MUNGU LAKINI SI KATIKA MAARIFA na ukikosa MAARIFA unaangamia, nikwaambie tu we KIJANA iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu lakini mwisho wa njia hiyo ni MAUTI, TUMIENI AKILI KAMA IPASAVYO KWENYE HUKUMU YA MUNGU HATAANGALIA USO WA MTU NA KILA NENO ALINENALO MTU ATALITOLEA HESABU YAKE SIKU YA MWISHO USIWE UNABWTUKA ILIMLADI KUNA KUTOA HESABU YA MANENO PIA.
@francismadirisha3511
@francismadirisha3511 9 ай бұрын
<a href="#" class="seekto" data-time="310">5:10</a> <a href="#" class="seekto" data-time="312">5:12</a> <a href="#" class="seekto" data-time="313">5:13</a> <a href="#" class="seekto" data-time="313">5:13</a> <a href="#" class="seekto" data-time="313">5:13</a>
@user-uu6zw2ev3s
@user-uu6zw2ev3s 9 ай бұрын
Safi xana mutumish wa bwana
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Amen
@AntonyKawage
@AntonyKawage 9 ай бұрын
Duh,Injili imekua ngumu sana,tunaodhani watakua wazi kukemea uovu unaoonekana wazi ,wanatumia history.Mungu inua watu watakao tetea wanyonge
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 9 ай бұрын
Umeona eee
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Nenda katete wewe kama unamuona huyu atetei nani anakukataza
@abdulkatalango2890
@abdulkatalango2890 9 ай бұрын
nani kakuzuia
@KokoloLambinguni
@KokoloLambinguni 3 ай бұрын
Mbona unajpendelea sana siuache na wengine wachangie mada au auamini ujumbe wako kaa kimya
@laurianogerold5129
@laurianogerold5129 9 ай бұрын
Sijaona alipo ongelea hili au sijamuelewa
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Sikiliza tena kuna mahali kaongea kwa mafumbo sana
@MalaikaFurniture-qh9vd
@MalaikaFurniture-qh9vd 9 ай бұрын
Baba kama baba jasusi LA mbinguni og
@Peterkasanga-fp6hd
@Peterkasanga-fp6hd 9 ай бұрын
Je, tuwe na elimu ngani ili tuweze kuhubili?
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Wewe ushinde uovu nenda kawafundishe watu kuacha uovu
@user-yb3lu8dx3z
@user-yb3lu8dx3z 9 ай бұрын
baiden wanyime ccm watanzania msada
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Point
@valenakomba9218
@valenakomba9218 9 ай бұрын
NAHUBILI YAKO HUWAGA SIYAELEWI. LAKINI LEO UNAMTAJA YESU.
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Huwa hauelewi nini??
@alexmzumbwe1328
@alexmzumbwe1328 9 ай бұрын
Huelewagi nini
@kyaro5945
@kyaro5945 9 ай бұрын
Dr Gwajima ni kweli wananchi wans nguvu ya umma. Katiba hawezi badilisha rais bali nguvu ya umma. Bandari atalae badilisha ni wananchi waanze wenyewe kuuliza na kufanya maandamano ya amani.
@hamisijuma8124
@hamisijuma8124 9 ай бұрын
Huna hata kampuni Wala box unaloagiza nje unahangaika na bandari wanao pigania bandari wanamaslahi we we unanini huko tafakari usijiunge kwenye msafarawa mamba
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Nyie ndio minyumbu yenyewe ya Tanzania
@essiesammy6505
@essiesammy6505 9 ай бұрын
@@hamisijuma8124 kweli shule ni muhimu unashindwa hata kuelewa kitu kidg tu hichooo,asilimiaa 90%ya vitu tunavotumiaa vinaagizwa na kuletwa nchin kwa kupitiaa bandariii kwahiyo kila mtu bandari inamgusa moja kwa mojaa hiyo simu tu unayotumiaa imepita bandariniii fungua akili hiyo
@hamisijuma8124
@hamisijuma8124 9 ай бұрын
@@kikosikaziupdate we ambaye ni mjanja umefanya Nini umekalia kusifia mijitu iyokomba sadaka za walalahoi mbwa wewe Akuoe sasa
@user-bz2nd3bm1w
@user-bz2nd3bm1w 9 ай бұрын
Gwajima Bado haaminiki bendela fuata upepo
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Wewe akili ndogo kichwani
@thomasmallya2972
@thomasmallya2972 9 ай бұрын
Usipo tuliza akili uuta mwelewa g
@GraphixDesgner
@GraphixDesgner 21 күн бұрын
Ingia ndani itamwejewa gwajima ukibaki nie utabaki kutokumwelewa ni jasusi la mungu
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 9 ай бұрын
Galatia <a href="#" class="seekto" data-time="183">3:3</a>
@lameckwilliam8311
@lameckwilliam8311 9 ай бұрын
Binafsi nakukubali
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Amen
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 9 ай бұрын
Hiki ni kichwa kimeenda shule mwanasiorojia huyu mnyakyusa wawatu anapinga erimu anatumia yakwake ambayo akili yake inasema hili lipo hivi hakuna wakumbadilisha
@josiacharles2778
@josiacharles2778 9 ай бұрын
Kuna jambo kalizungumzia apo la maana sanaaa
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Wewe umemuelewa
@josiacharles2778
@josiacharles2778 9 ай бұрын
Yes nimemuelewa sana.
@Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
@Dismasbccmiraclecenter-rv9qi 9 ай бұрын
JASUSI LA MBINGUNI.
@nelsonjasson7967m
@nelsonjasson7967m 9 ай бұрын
Poa mwamba piga gombo
@robertphilip385
@robertphilip385 9 ай бұрын
Gwajima huaga namkubali lkn tangu ashinde Kwa kura zawizi simkubali tena
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Uliona anavyo iba kwanini usimkataze asiibe na wewe ulishiriki wizi
@robertphilip385
@robertphilip385 9 ай бұрын
Siwalipitishana Kwa nguvu na lile liuaji
@user-lq7ik4jn3f
@user-lq7ik4jn3f 9 ай бұрын
​pole unajuaj au mlishilkiana kuiba
@robertphilip385
@robertphilip385 9 ай бұрын
@@user-lq7ik4jn3f kwani ccm wanashindaga kihalali
@elibarikipeter
@elibarikipeter 9 ай бұрын
Kapime akili
@ezekielslyver-sk4yx
@ezekielslyver-sk4yx 8 ай бұрын
Unajichanganya padogo sana na unajiporomosha bila kujuwa,leo unamuongelea Mwamposa sadaka ya kujimaliza,kwa hiyo unataka wawepo mapasitor tu ila mitume hapana na manabii wasiwepo au unamanisha Nini,nilishajifunza mengi kwako ila siku hizi umekosa uturivu kaka yangu jiperereze
@user-dk5kk4rf3v
@user-dk5kk4rf3v 9 ай бұрын
Ubunge wa mchongo unafundisha michongo ...
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Wewe ni chawa bila shaka umetumwa
@tarithalusola4458
@tarithalusola4458 12 күн бұрын
Haswaa huyu anayeropoka ovyo juu ya masihi wa bwana NI rusifa
@paull8659
@paull8659 9 ай бұрын
Huyu si alifanya unyang'anyi wa kura? pumbafff
@saimongilala8938
@saimongilala8938 9 ай бұрын
Huna hakili
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 8 ай бұрын
Hamna kitu hapo
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 9 ай бұрын
Kwanza iyo maiki inafanana nafulana yako
@HijasSaidy-ke2tm
@HijasSaidy-ke2tm 9 ай бұрын
ASKOFU ALIEPITA NA KURA ZA MWENDAZAKE
@user-lq7ik4jn3f
@user-lq7ik4jn3f 9 ай бұрын
Kwan kunashda tatzo wapinzan uelewa mdogo mtaishia kusema hvohvo
@laninjeje8290
@laninjeje8290 9 ай бұрын
Hapa ndipo unagundua kuwa Gwajima ni mchungaji aliesoma shule, tofauti na mbarikiwa na wengine, unatakiwa kukemea maovu ya serikali lakini kwa hekima na pia uangalie unaongea na Nani na wapi unaongea😂😂
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 9 ай бұрын
Hayo niyako
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 9 ай бұрын
Hakuna hekima kwenye kubagua watu! Wawepo wa kukemewa wazi wazi na wengine wakemewe kwa kupambapamba!
@daudimichael7338
@daudimichael7338 9 ай бұрын
Kuongea kwa mafumbo namna hii hakusaidii sana, majoka wana wa majoka wanakuwa comfortable tu, wanajifariji kwamba hawakutajwa wanajizima data wanaendelea na maisha na mipango yao miovu kama kawaida. Elisha hakushusha bei ya vyakula kwa mafumbo, alishusha waziwazi bila uoga kwa mamlaka ya Mungu iliyokuwa ndani yake na ikawa hivyo. Kwahiyo hekima mnayosema ya lipi la kusema, wapi pa kusema, lini pa kusema, namna ya kusema tutachelewa sana, huo ni uoga tu😂
@laninjeje8290
@laninjeje8290 9 ай бұрын
Dini bila elimu dunia ni uchawi tu na uropokaji kwasababu Kuna mda inatakiwa uwe na elimu kichwani ndo utoe mahubiri yenye hekima
@HamisAbdallah-cj2sc
@HamisAbdallah-cj2sc 9 ай бұрын
Du etji NA nyinyi nimungu duniani!!! Sasa mbona zumaridi alijiita Mungu wakasema anakufuru
@qurantajwid9749
@qurantajwid9749 9 ай бұрын
Muongo wewe
@sethkivuyo3342
@sethkivuyo3342 9 ай бұрын
Nimekuelewa.. Kumbe Ukiwa mbunge wa ccm inakua sio muda sahihi wa kusema na kukemea maovu husani kusemea bandari yetu.. nimeamini maslai yako ni muimu kuliko kusimamia kweli..
@danielmulesi4025
@danielmulesi4025 9 ай бұрын
Una tatizo la tafsiri. Na usitake kupitishia agenda zako hapa. Hata kama kuna kukosoa, hekima ni kukosoa kwa wakati sahihi na namna sahihi. Aliyekuambia kuwa Askofu huyu hajatoa maoni yake chamani ni nani???
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
Wewe umeisimamia wapi bandari mbona hatujakuona
@thomasmallya2972
@thomasmallya2972 9 ай бұрын
Tuache unafk mnao lilia bandari mbona amlilii Almas dhaabu au mwiingereza na mmarekani ana haki ya kuiba ila mwaarabu aruusiwi
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate 9 ай бұрын
@@thomasmallya2972 wewe shetani so unataka waibe kila sehemu, sisi tunapigania mali tunayo iona inapotea kwa macho mbele yetu
@thomasmallya2972
@thomasmallya2972 9 ай бұрын
@@kikosikaziupdate shetani ua anamjua shetani mwenzie niambie shetan mwenzangu
@user-iy8mq9ii8t
@user-iy8mq9ii8t 9 ай бұрын
Simama na kweli ya Mungu
@muhammedsaid3659
@muhammedsaid3659 9 ай бұрын
Kla ktu kiko waz msi ruwe birue mamb o,huku mchungaji na huku mwana Siasa,ww ni mnafki unanyuso mbili kwa mujibu ya maandiko ya Biblia. Yesu amesema cha Kaisari mpe Kaisari na cha Mungu mpe Mungu kwa Mujubu wa Biblia hv vtu viwil huwezi kuvchanganya tatizo wachungaji wengi Huizia kwenye shetan(mali) na hyo ndio waliyoikumbatia, wanamajumba na mahotel na magari ya kifahari wao ni matajiri kuliko waumini wao yaani ata mlo wao wa sku unawapiga chenga. Yesu peke yake ndie mchungaji mwema kwa wana wa Israel,Yeye kipando chake ni mwana Punda na kwa wakat ule kipando cha kifahari ni Magari ya Faras lkn hakupandapo hata km alikua anauwezo nao. Pia Bwana Yesu mwafunz moja alitaka kuwa pamoja nae alimjibu akamwambia Uza kla klicho chako na unifuate. Na imeandikwa ni Rahis kwa Ngamia kupita ktk Tundu la Shindano Kuliko Tajiri kuingia ktk Ufalme wa Mbinguni. Sasa kwa Utajri waliokua nao Wachu ngaji ni kweli watakua pamoja na Yesu huko Mbinguni?ikiwa Mchungaji haingii Mbingun ww Kondoo inakuaje. Njo upate Nusra kwa Mwenyez Mungu Mtakatifu,kuingia bure wala hulazmishw kutoa Sadaka km huna huko ni kumcha M.Mungu tu. Uislam ndio Dini ya Unyoofu na Unyenyekevu km Yesu alivyosema na Uzima wa milele ndio huu Wakujue Wewe Mungu waPekee na Wakweli na Yesu Uliyemtuma.Skiza Israel Bwana Mungu Wetu ni Mungu Mmoja,Mpende Bwana Mungu Wako kwa Nguvu na Moyo wote na Mpende Jiran yako kama Nafsi yako hakuna andiko Kuu kuliko hili basi Lifuate
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
Chapitosiki
Рет қаралды 3,3 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 14 МЛН
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 28 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 19 МЛН
KUFUNULIWA KWA WANA WA MUNGU | BISHOP DR. JOSEPHAT GWAJIMA | 03.10.2023
2:52:31
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 9 М.
TUNDULISSU na sakata la MBARIKIWA
3:12
Kikosi kazi cha injili🎖
Рет қаралды 31 М.
Mch Moses Magembe - ISRAEL NA SIKU ZA MWISHO | MAKAMBAKO 07
2:28:54
Rev Moses MagembeTv
Рет қаралды 40 М.
MBINU ZA KUOMBEA MAJARIBU || Mwl Christopher Mwakasege
1:23:21
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 142 М.
Somo ~ Vifungo na Mateso by Bishop Dr  Josephat Gwajima
1:04:33
maarifa ya baba
Рет қаралды 4,6 М.
NAMNA 20 AMBAZO MTU ANAWEZA KULOGWA: BISHOP DR JOSEPHAT GWAJIMA: 28.06.2020
3:35:27
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 124 М.
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: YESU AMEKARIBIA KURUDI, KAMA HUJAOKOKA JASHO LITAKUTOKA
9:59
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 83 М.
HII NDIO SABABU MATAIFA MENGI YA KIAFRIKA YAMEKUWA WATUMWA | ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA
25:33
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
Chapitosiki
Рет қаралды 3,3 МЛН