No video

HAJIRA KIDOTI AMLIPUA STEVE MWEUSI, HATAKI KUOA, HANA MKE WALA MCHUMBA

  Рет қаралды 174,828

Mbengo Tv

Mbengo Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 141
@Ramadhan6115
@Ramadhan6115 7 ай бұрын
Uyu dada muulizaji napendaga sana kufata interview zake kwasababu amejuwa kazi kabisa ❤
@VitalBalemba
@VitalBalemba 7 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ unapendeza dadangu
@ZaharaniAlmahadi
@ZaharaniAlmahadi 7 ай бұрын
Semeni ukweli
@Ramadhan6115
@Ramadhan6115 7 ай бұрын
@@ZaharaniAlmahadi ndo hukweli huyo
@mohamedsheealom8745
@mohamedsheealom8745 7 ай бұрын
Anakuwa mzuri sababu anapeana mda wa muulizwaji ajibu alichouliza ila kuna wanahabari wanauliza hadi wanakera mic🎤 kwa muulizwaji sekunde mara sekunde kwake hadi anaeulizwa anakereka huyu anauliza maswali ya maana na anapeana mda...sio ile wewe unakula eenh nakula ww unapenda eenh napenda wewe unaenda choo eenh na..wewe unapiga luku eenh napi..wewe una yani hata hajamaliza unauliza😂
@alfredkasololo5242
@alfredkasololo5242 7 ай бұрын
Dada Kidoti anaweza na unzuri yake pamoja na hekima yake anapozungumuza anaweza akawa Mama wa Taifa🙏💟🇨🇩
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 7 ай бұрын
Dada ni mzuri hafu yuko smart kichwani, (huyu ndio kipenzi cha waoaji sasa) alie mchumbia atakula mema ya nchi, kanivutia sana infact namtaka kama huyu👏👏👏👏👏
@user-zt3ug9wv7f
@user-zt3ug9wv7f 7 ай бұрын
Wallah tena mwenye aliwahi huyu binti alibahatika sana ,urembo, imani yaan kila kitu yupo vizur
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 7 ай бұрын
@@user-zt3ug9wv7f Yaani wazungu wanaita beauty with brain, yaani she is just perfect fit kua mke. Anajielewa, anajua kujielezea, ana maono hafu sio mkurupukaji kujibu, ni mzuri hafu hajioni/kunata... Shida wadada kama hawa sisi tuliotulia hatuwezi pata unakuta umekutana na senior bandit daaah kulanina😳😳😳😂😂😂🤣🙌🙌🙌
@user-zt3ug9wv7f
@user-zt3ug9wv7f 7 ай бұрын
@@KiongoziMwandamizi eti senior bandit 😄 🤣 alafu utapata jamaa mtto mzur kma huyo tena hatoshek yuaenda kuchepuka na kinyanya yaan hta sijui nini hua inatusumbua wanaume cjui ni tamaa ama kurogwa
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 7 ай бұрын
@@user-zt3ug9wv7f Tamaa za fisi tu sasa mtoto cute km huyo nikachepuke hafu upwiru wake atoe nani, its unfair kumcheat mwanamke kama huyu. Mi nikipata km huyu watu watahisi kanipa limbwata coz nitampa muda wote baada ya kutoka kutafuta vijisent Sema kuna wale visirani ukichelewa rudi ulikua kwa mwanamke mwingine ukiwahi vp leo hujapitia inakera, kwakifupi mi home boy sana sinaga muda wa kuzurura kwahio itakua km mapacha😂😂😂😳😳🤣🤣🙌🙌👏
@selemanmaganga-le4zg
@selemanmaganga-le4zg 7 ай бұрын
Alafu anajistili saana, sijawai kumwona akiwa kichwa ata akiwa anaigiza
@BenemuluBillyado-ji4ze
@BenemuluBillyado-ji4ze 7 ай бұрын
Huyu mlembo nambali sana kwani Siku hizi mbona simonie kwa Steve 🇧🇮🇰🇪👍👏👏
@christaoman8890
@christaoman8890 7 ай бұрын
Yupo anaendelea na Steve
@user-oj8ml6bw8y
@user-oj8ml6bw8y 7 ай бұрын
Safi sana ndugu yetu Stivu kwa kujilinda na uchafu wazinaa hivyo ndivyo inavyotakiwa tuwe mpaka utakapooa achana na hayo maneno yawazinifu wao wanaita eti mahusiano washenzi hao wanamuasi Mwenyez Mungu. Mwenyez mungu amekataza uzinifu tusizini mpaka tutakapooa
@aflahabdula4084
@aflahabdula4084 7 ай бұрын
Hakta mzuri mashaallah nakupenda unavaa vizuri lakini usiengezeke baada ya hapo au ikiwezekena jipunguze kidogo love you ❤
@SaidyKaoneka
@SaidyKaoneka 21 күн бұрын
Nakupenda unavyo ongea mashallah huna majigambo umependeza
@chantalharakandi2576
@chantalharakandi2576 7 ай бұрын
Masha Allah alhamndulillah mzuri uyu dada alafu anakili sana
@zulachama1067
@zulachama1067 7 ай бұрын
Ukiwa mzoefu na kazi huipendayo kila kitu ua chepesi kwa kweli huyu mdada anajua kuinterview watu,na hajra umependeza kwa kweli waaah❤❤❤😢.jameni andikeni jina la hajra vizuri acheni kuliandika vibaya.hajira ni malipo ya kazi fulani hulofanya,na hajra ndio jina la mtu.2 thiings remember.
@ZulfaJuma-qi9kv
@ZulfaJuma-qi9kv 7 ай бұрын
Y😂😢😮😮😅😅😅
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 7 ай бұрын
Kama watu wengine wanavoamini ukipanda ndege tu kwenda nje kutafta maisha ushakuwa milioniya
@lordenoughforme4417
@lordenoughforme4417 7 ай бұрын
Nampenda uyu dem.mm ni arab from dubai.nitapata wapi no yake Hajra.
@dubabaxakatv2993
@dubabaxakatv2993 7 ай бұрын
😂😂😂😂 Arab wa huko wanapenda wazungu ww labda mkenya. ...wewe wataka kumcon tupu yke tu....tunawajua nyinyi
@ChenchiKing
@ChenchiKing 7 ай бұрын
Nimekubal Xan Mdad Kasema Ukweli Mtupu🎉🎉🎉
@silassimwamusa4171
@silassimwamusa4171 7 ай бұрын
Mimi natoka Kenya jamani huyo Dada ambaye anamuhoji hajira Aki nampenda sana angalau anipe namba ya simu
@stevensosipita
@stevensosipita 7 ай бұрын
MIMI KATIKA MAISHA YANGU SIWEZI OWA MSANII KAZI YAWO UMALAYA KUZINI ETI MAHUSIANO NAWASHAURI MUOLEWE ACHENI UPUMBAVU HONGERA STEVE
@Mpe12339
@Mpe12339 7 ай бұрын
Unasema kweli dada asante ni M-pesa kutoka RD Congo lubumbashi 🇨🇩
@shukranikasereka716
@shukranikasereka716 7 ай бұрын
Nasi pia tunakupenda sana 👈🇨🇩👈
@kevy254
@kevy254 7 ай бұрын
Hajira kwn aliendaga wapi simeuoni for long 😊
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds 7 ай бұрын
Hajra nampenda Sana kumbe upo kwenye mahusiano
@fatumakidoa4006
@fatumakidoa4006 7 ай бұрын
Huyu steve ataoa nani clam vevo ataoa amwache hapo 😂😂😂😂😂
@Wigoz_puppy
@Wigoz_puppy 7 ай бұрын
MTANGAZJ sikuiz unapiga make up ushapata jiko au ndo unaji promote 🎉🎉🎉🎉😂😂😂
@stitore2388
@stitore2388 27 күн бұрын
Mashalla upendeza sana 💯💯✅✅✅⚘🌷💐🌺🌹🥀❤❤❤❤❤
@Mary_suip
@Mary_suip 7 ай бұрын
Hajra kweli mzuri,tupe siri anakula nini manaake kila kukija azidi kunawiri, boyfriend yake anafaidi
@rodgersmwagu239
@rodgersmwagu239 7 ай бұрын
Uyu dad nampendaga laaans
@BonithNimpagaritse
@BonithNimpagaritse 7 ай бұрын
Nakupenda bule hajra kidoti❤
@user-mt6fb7tq1q
@user-mt6fb7tq1q 7 ай бұрын
Wewe uolewe naye ❤❤
@RuhuneKabose
@RuhuneKabose 4 ай бұрын
Atra Unajuwa Valasana Dada Tenaukomuzurisan❤❤
@NzabiFaustingabo12hb
@NzabiFaustingabo12hb 7 ай бұрын
Nashukuru Sana kwa interview Yako dada, Ila sijuwe kama naweza Pata numba yauyo dada nimupongeze , namkubali Sana, nawefwata toka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@yusuphchankwa4759
@yusuphchankwa4759 7 ай бұрын
Nampenda huyu dada ni mkweri halafu Hana mambo mengi
@mwajumakweli
@mwajumakweli 7 ай бұрын
Haji Manala sijui ajamuonae Uyu Hajila
@user-pe8hj3ze4y
@user-pe8hj3ze4y 7 ай бұрын
aka ka dada nakapendaga jaman tangazaji aka ka Reina natamani nione naye cku2
@user-uz9px6cr7m
@user-uz9px6cr7m 7 ай бұрын
I love you kidot juu ameongea true
@EvansNeavy-xv3tv
@EvansNeavy-xv3tv 7 ай бұрын
Shida ya watanzania ni mdomo Kenya tuko bele kuwaliko
@fatmamusa2757
@fatmamusa2757 7 ай бұрын
Wenawe pumba kumetajwa mkenya hpo ama wanaongea mambo Yao ujinga Tu ndo uko nao
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk 7 ай бұрын
Imbwa impesa imbwa ww jinga kabxa nyokomwana sana.
@kudoson_tz
@kudoson_tz 7 ай бұрын
Dada kasem kweli
@lawmaina78
@lawmaina78 7 ай бұрын
Huyu mwanamke huwa nampenda sana.
@YunusBakar-lf3bi
@YunusBakar-lf3bi 7 ай бұрын
Nakupend san ❤ ww hajra❤
@AdrienMathayoadrison
@AdrienMathayoadrison 4 ай бұрын
Asante sana ila mwanamke msaniii atari kbs
@benedictinelusambo069
@benedictinelusambo069 7 ай бұрын
Kijana anatafuta pesa mapenzi yanachanganya sana
@elikanaernesti8440
@elikanaernesti8440 7 ай бұрын
Stev tumuombee na yeye tumuombee saa ukijumlisha hapo unapata jibu
@kassimukipingu7917
@kassimukipingu7917 7 ай бұрын
Wewe ndio weefy acha kujificha
@OVMTV1773
@OVMTV1773 7 ай бұрын
Nitamkujia😊❤❤❤
@user-qf9uj2oc1b
@user-qf9uj2oc1b 7 ай бұрын
Hajira na Steve wamemuch sn mimi nilikua naomba hajira aolewe na steve please✅
@JamesKhisa-yl2br
@JamesKhisa-yl2br 7 ай бұрын
Wee 🎉 baby girl mm hua nakupenda tu sana walai nipee nafasi mama kwakweli nakupenda na nitakutekesa Kama mwanamke na nidakulea kaa mke wangu kipenz changu ja roo
@user-ff4zm3hk7b
@user-ff4zm3hk7b 7 ай бұрын
Steve unawewaka wafanyakaziwako matatani kaka but sio mbaya tuna kukubali kak
@SabrinaWiliam
@SabrinaWiliam 7 ай бұрын
Kidoti mzuri pia yupo na khekima mpka Raha♥️♥️🥰
@KALULUALLI
@KALULUALLI 7 ай бұрын
HAJRA MWAAA VERY NICE
@jameskenny1808
@jameskenny1808 7 ай бұрын
Kazi nzuri ila tuna itaji contact yenu MBENGO TV
@mancargo_99
@mancargo_99 7 ай бұрын
Hajira natamani nikuone ukifanya kazi na steve tena....
@kdpretoria780
@kdpretoria780 7 ай бұрын
Steve bado anambo yakitoto sana hawez kuwaza kuoa 😅
@DaudAshery-ie2pf
@DaudAshery-ie2pf 7 ай бұрын
Ana mambo ya kitoto ndo style yake ya kutafta ridhik
@JosephuPatrick94
@JosephuPatrick94 5 ай бұрын
Yuko good sana❤
@jamalibaruti7126
@jamalibaruti7126 7 ай бұрын
Sister wa mbengo TV namkubali kazi yake big up
@DamarisKerubo-cm5df
@DamarisKerubo-cm5df 7 ай бұрын
Mwambie Steve Niko hapa 😂😂
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 7 ай бұрын
😂😂😂😂🙌🙌
@manibahodaniel8405
@manibahodaniel8405 6 ай бұрын
Wewe nani?
@congratulationmayunga3833
@congratulationmayunga3833 7 ай бұрын
Muoane wenyewe kwa wenyewe msiwe na limitations mfano Steve akikuoa hajiraaa kazi itaendelea vizuri kuliko uolewe na Mimi Sanaa lazima uacheeee😂
@SamMalaxy-gf2xn
@SamMalaxy-gf2xn 7 ай бұрын
Yes
@husseinjums5404
@husseinjums5404 7 ай бұрын
Hajila kwanini usiolewe angalia usizeheke bila mtoto hajila inatakiwa update mtoto kwanini usimzalie sivu Mana tunafaham Kama uko namausiano nae inafahamika fanya Ivo
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 7 ай бұрын
Nakupenda cn hajra❤❤❤
@ramadhanabdul2297
@ramadhanabdul2297 6 ай бұрын
Mimi nipo tayari kumuoa kidoti nampenda sanaaaa
@NorahMatto
@NorahMatto 14 күн бұрын
Steve bwana kuchekesha tu kuoa aaaah
@Njunwa-DK
@Njunwa-DK 7 ай бұрын
Line nakupendaaaa saan unakitu🎉🎉🎉
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 7 ай бұрын
amlipua😂mbn sion mabomu Steve nmwanaume wa dar
@khamisali5978
@khamisali5978 7 ай бұрын
Steve mwenywe anasemaje😅😅😅
@faidhacute
@faidhacute 7 ай бұрын
Reina ❤❤❤
@EmmanuelLupoja
@EmmanuelLupoja 29 күн бұрын
Mzuri sawa ila kuolewa sasa
@HarrisonKatana-yv7ee
@HarrisonKatana-yv7ee 2 ай бұрын
Aiii mbna hajira hatukuoni tna kw Steve n nn mbya
@RobertChacha-hb9re
@RobertChacha-hb9re 7 ай бұрын
Huyu demu namkubali huyu❤❤❤
@michaelkitundu1489
@michaelkitundu1489 5 ай бұрын
Naomba connection mrembo huyo.
@AmooTena
@AmooTena 7 ай бұрын
Kweli kabisa
@salamsabdullah-st9pt
@salamsabdullah-st9pt 6 ай бұрын
Wow Dada mzuri huyu
@abdulhajiahmed8735
@abdulhajiahmed8735 7 ай бұрын
Salaam zangu kwa Hajira Mwalimu
@haruniaisha5905
@haruniaisha5905 7 ай бұрын
Sasa si akuoe mwenyewe ajira
@JosephOsanya-ik7bk
@JosephOsanya-ik7bk 7 ай бұрын
Niko kenya huyo demu ni mali safi bana
@user-iv1ry9bo3x
@user-iv1ry9bo3x 7 ай бұрын
Dada kazi poa
@hamisisalim
@hamisisalim 7 ай бұрын
Kidoti MashaAllah uko vizuri
@benedictinelusambo069
@benedictinelusambo069 7 ай бұрын
Kapendeza kweli yan
@alfredkasololo5242
@alfredkasololo5242 7 ай бұрын
Na sisi mpia kutoko CongoRDC tunakufata, dada Hadjira. Na sema kama tunakupenda vile vile. Ila Nakuomba utujulishe ao utuonyeshe yule aliyo chukuwa roho yako ya mapenzi. Ili tumuite shemeki. Sababu ya unzuri wako, atalipa mail Tanzania na Congo kwa sisi wenye. .
@user-ev6bq9gf1f
@user-ev6bq9gf1f 7 ай бұрын
Alafu kizuri bala
@SaidyKaoneka
@SaidyKaoneka 21 күн бұрын
Mashallah hajira Mashallah
@Liliana-mc2su
@Liliana-mc2su 7 ай бұрын
😁😁😁stev kavurugwa antk pesa
@DaudAshery-ie2pf
@DaudAshery-ie2pf 7 ай бұрын
True
@rodgersmwagu239
@rodgersmwagu239 7 ай бұрын
Ata akisema nimuoe leo nipo tayari,😂😂
@DaudAshery-ie2pf
@DaudAshery-ie2pf 7 ай бұрын
Mhhh unamjua
@ZulfaJuma-qi9kv
@ZulfaJuma-qi9kv 7 ай бұрын
Set timer
@user-mx1dm4jm7y
@user-mx1dm4jm7y 6 күн бұрын
Mm nataka ilo gauni nitalìajw
@caissemalatinho252
@caissemalatinho252 7 ай бұрын
Uyu dada mtangazaji anapendeza sana akiva mwanaume, lakini kwa leo huuuuuuuuu
@user-ps5jv4jk1c
@user-ps5jv4jk1c 7 ай бұрын
Hajra kapendeza jmn
@JosiasFidele-dz8fg
@JosiasFidele-dz8fg 7 ай бұрын
Namu penda hajira ❤
@user-jv5dq2zf2o
@user-jv5dq2zf2o 7 ай бұрын
Hajira mmmmhh sawa nimekupata
@user-zk8qj6xc4l
@user-zk8qj6xc4l 7 ай бұрын
Uyo wacha hakupali kuorewa na steve mweusi Uyo wanaendana na steve 😊
@DanielMasiko-oz8mf
@DanielMasiko-oz8mf Ай бұрын
Nataka nikuoe
@NzaiShux
@NzaiShux 7 ай бұрын
Nikikupata ww
@festobabely7444
@festobabely7444 7 ай бұрын
Hongereni
@MELOPHILEBOY-oj8uy
@MELOPHILEBOY-oj8uy 6 ай бұрын
Steve owa
@bobboris4859
@bobboris4859 7 ай бұрын
Tivu wetevu mwingi demu hujawaonyesha nyumban kwa Familia
@HabibaBb-d3s
@HabibaBb-d3s Ай бұрын
Mashallah❤❤❤❤😂
@noelbryson7840
@noelbryson7840 7 ай бұрын
Kumbe hata kwenye ndoa madanga utayapata siyo ? Ok sawa..😅
@NorahMatto
@NorahMatto 14 күн бұрын
Pendeza sana
@ashabady9616
@ashabady9616 7 ай бұрын
😂😂😂😂Hahaha
@Mr-VOCHAchannel
@Mr-VOCHAchannel 7 ай бұрын
Anahekima sana huyo dada
@user-sd8sq5zc7c
@user-sd8sq5zc7c 7 ай бұрын
Stive sakapesa
@kladahmad3333
@kladahmad3333 7 ай бұрын
😂😂😂😂❤❤❤❤
@user-ni4hv1bq1z
@user-ni4hv1bq1z 7 ай бұрын
Ft
@user-wn6qd6ci5h
@user-wn6qd6ci5h 7 ай бұрын
@KayagoAziza
@KayagoAziza 7 ай бұрын
❤❤❤❤
@CHIEF_WA_BUJONDE
@CHIEF_WA_BUJONDE 7 ай бұрын
ajira mbona mumeto sana dubu tz kapokonya
@MarcoNM100
@MarcoNM100 7 ай бұрын
Kamdomo tu jmn hako daah
English or Spanish 🤣
00:16
GL Show
Рет қаралды 6 МЛН
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 19 МЛН
NDARO: TUNDA NI WANGU, CONDOM, YA NINI, NASOMA DM ZENU
8:20
Crown Media
Рет қаралды 101 М.
STEVE MWEUSI TAILA JAMANI ONA ALICHOKIFANYA
11:32
MBAVUMBILI FAMILY
Рет қаралды 344 М.
STEVE MWEUSI Utacheka TU hapa👆👆@Kmazagatv9385
2:25
BILARY TZ
Рет қаралды 18 М.
NDARO NA STEVE WALIVOMPIGA MGANGA UTACHEKA
15:45
Ndaro Tz
Рет қаралды 469 М.