Uyu dada muulizaji napendaga sana kufata interview zake kwasababu amejuwa kazi kabisa ❤
@VitalBalemba7 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ unapendeza dadangu
@ZaharaniAlmahadi7 ай бұрын
Semeni ukweli
@Ramadhan61157 ай бұрын
@@ZaharaniAlmahadi ndo hukweli huyo
@mohamedsheealom87457 ай бұрын
Anakuwa mzuri sababu anapeana mda wa muulizwaji ajibu alichouliza ila kuna wanahabari wanauliza hadi wanakera mic🎤 kwa muulizwaji sekunde mara sekunde kwake hadi anaeulizwa anakereka huyu anauliza maswali ya maana na anapeana mda...sio ile wewe unakula eenh nakula ww unapenda eenh napenda wewe unaenda choo eenh na..wewe unapiga luku eenh napi..wewe una yani hata hajamaliza unauliza😂
@alfredkasololo52427 ай бұрын
Dada Kidoti anaweza na unzuri yake pamoja na hekima yake anapozungumuza anaweza akawa Mama wa Taifa🙏💟🇨🇩
@KiongoziMwandamizi7 ай бұрын
Dada ni mzuri hafu yuko smart kichwani, (huyu ndio kipenzi cha waoaji sasa) alie mchumbia atakula mema ya nchi, kanivutia sana infact namtaka kama huyu👏👏👏👏👏
@user-zt3ug9wv7f7 ай бұрын
Wallah tena mwenye aliwahi huyu binti alibahatika sana ,urembo, imani yaan kila kitu yupo vizur
@KiongoziMwandamizi7 ай бұрын
@@user-zt3ug9wv7f Yaani wazungu wanaita beauty with brain, yaani she is just perfect fit kua mke. Anajielewa, anajua kujielezea, ana maono hafu sio mkurupukaji kujibu, ni mzuri hafu hajioni/kunata... Shida wadada kama hawa sisi tuliotulia hatuwezi pata unakuta umekutana na senior bandit daaah kulanina😳😳😳😂😂😂🤣🙌🙌🙌
@user-zt3ug9wv7f7 ай бұрын
@@KiongoziMwandamizi eti senior bandit 😄 🤣 alafu utapata jamaa mtto mzur kma huyo tena hatoshek yuaenda kuchepuka na kinyanya yaan hta sijui nini hua inatusumbua wanaume cjui ni tamaa ama kurogwa
@KiongoziMwandamizi7 ай бұрын
@@user-zt3ug9wv7f Tamaa za fisi tu sasa mtoto cute km huyo nikachepuke hafu upwiru wake atoe nani, its unfair kumcheat mwanamke kama huyu. Mi nikipata km huyu watu watahisi kanipa limbwata coz nitampa muda wote baada ya kutoka kutafuta vijisent Sema kuna wale visirani ukichelewa rudi ulikua kwa mwanamke mwingine ukiwahi vp leo hujapitia inakera, kwakifupi mi home boy sana sinaga muda wa kuzurura kwahio itakua km mapacha😂😂😂😳😳🤣🤣🙌🙌👏
@selemanmaganga-le4zg7 ай бұрын
Alafu anajistili saana, sijawai kumwona akiwa kichwa ata akiwa anaigiza
@BenemuluBillyado-ji4ze7 ай бұрын
Huyu mlembo nambali sana kwani Siku hizi mbona simonie kwa Steve 🇧🇮🇰🇪👍👏👏
@christaoman88907 ай бұрын
Yupo anaendelea na Steve
@user-oj8ml6bw8y7 ай бұрын
Safi sana ndugu yetu Stivu kwa kujilinda na uchafu wazinaa hivyo ndivyo inavyotakiwa tuwe mpaka utakapooa achana na hayo maneno yawazinifu wao wanaita eti mahusiano washenzi hao wanamuasi Mwenyez Mungu. Mwenyez mungu amekataza uzinifu tusizini mpaka tutakapooa
@aflahabdula40847 ай бұрын
Hakta mzuri mashaallah nakupenda unavaa vizuri lakini usiengezeke baada ya hapo au ikiwezekena jipunguze kidogo love you ❤
Masha Allah alhamndulillah mzuri uyu dada alafu anakili sana
@zulachama10677 ай бұрын
Ukiwa mzoefu na kazi huipendayo kila kitu ua chepesi kwa kweli huyu mdada anajua kuinterview watu,na hajra umependeza kwa kweli waaah❤❤❤😢.jameni andikeni jina la hajra vizuri acheni kuliandika vibaya.hajira ni malipo ya kazi fulani hulofanya,na hajra ndio jina la mtu.2 thiings remember.
@ZulfaJuma-qi9kv7 ай бұрын
Y😂😢😮😮😅😅😅
@roudhamahmoud7637 ай бұрын
Kama watu wengine wanavoamini ukipanda ndege tu kwenda nje kutafta maisha ushakuwa milioniya
@lordenoughforme44177 ай бұрын
Nampenda uyu dem.mm ni arab from dubai.nitapata wapi no yake Hajra.
@dubabaxakatv29937 ай бұрын
😂😂😂😂 Arab wa huko wanapenda wazungu ww labda mkenya. ...wewe wataka kumcon tupu yke tu....tunawajua nyinyi
@ChenchiKing7 ай бұрын
Nimekubal Xan Mdad Kasema Ukweli Mtupu🎉🎉🎉
@silassimwamusa41717 ай бұрын
Mimi natoka Kenya jamani huyo Dada ambaye anamuhoji hajira Aki nampenda sana angalau anipe namba ya simu
@stevensosipita7 ай бұрын
MIMI KATIKA MAISHA YANGU SIWEZI OWA MSANII KAZI YAWO UMALAYA KUZINI ETI MAHUSIANO NAWASHAURI MUOLEWE ACHENI UPUMBAVU HONGERA STEVE
@Mpe123397 ай бұрын
Unasema kweli dada asante ni M-pesa kutoka RD Congo lubumbashi 🇨🇩
@shukranikasereka7167 ай бұрын
Nasi pia tunakupenda sana 👈🇨🇩👈
@kevy2547 ай бұрын
Hajira kwn aliendaga wapi simeuoni for long 😊
@PaskaliCharles-pz8ds7 ай бұрын
Hajra nampenda Sana kumbe upo kwenye mahusiano
@fatumakidoa40067 ай бұрын
Huyu steve ataoa nani clam vevo ataoa amwache hapo 😂😂😂😂😂
@Wigoz_puppy7 ай бұрын
MTANGAZJ sikuiz unapiga make up ushapata jiko au ndo unaji promote 🎉🎉🎉🎉😂😂😂
@stitore238827 күн бұрын
Mashalla upendeza sana 💯💯✅✅✅⚘🌷💐🌺🌹🥀❤❤❤❤❤
@Mary_suip7 ай бұрын
Hajra kweli mzuri,tupe siri anakula nini manaake kila kukija azidi kunawiri, boyfriend yake anafaidi
@rodgersmwagu2397 ай бұрын
Uyu dad nampendaga laaans
@BonithNimpagaritse7 ай бұрын
Nakupenda bule hajra kidoti❤
@user-mt6fb7tq1q7 ай бұрын
Wewe uolewe naye ❤❤
@RuhuneKabose4 ай бұрын
Atra Unajuwa Valasana Dada Tenaukomuzurisan❤❤
@NzabiFaustingabo12hb7 ай бұрын
Nashukuru Sana kwa interview Yako dada, Ila sijuwe kama naweza Pata numba yauyo dada nimupongeze , namkubali Sana, nawefwata toka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@yusuphchankwa47597 ай бұрын
Nampenda huyu dada ni mkweri halafu Hana mambo mengi
@mwajumakweli7 ай бұрын
Haji Manala sijui ajamuonae Uyu Hajila
@user-pe8hj3ze4y7 ай бұрын
aka ka dada nakapendaga jaman tangazaji aka ka Reina natamani nione naye cku2
@user-uz9px6cr7m7 ай бұрын
I love you kidot juu ameongea true
@EvansNeavy-xv3tv7 ай бұрын
Shida ya watanzania ni mdomo Kenya tuko bele kuwaliko
@fatmamusa27577 ай бұрын
Wenawe pumba kumetajwa mkenya hpo ama wanaongea mambo Yao ujinga Tu ndo uko nao
Stev tumuombee na yeye tumuombee saa ukijumlisha hapo unapata jibu
@kassimukipingu79177 ай бұрын
Wewe ndio weefy acha kujificha
@OVMTV17737 ай бұрын
Nitamkujia😊❤❤❤
@user-qf9uj2oc1b7 ай бұрын
Hajira na Steve wamemuch sn mimi nilikua naomba hajira aolewe na steve please✅
@JamesKhisa-yl2br7 ай бұрын
Wee 🎉 baby girl mm hua nakupenda tu sana walai nipee nafasi mama kwakweli nakupenda na nitakutekesa Kama mwanamke na nidakulea kaa mke wangu kipenz changu ja roo
@user-ff4zm3hk7b7 ай бұрын
Steve unawewaka wafanyakaziwako matatani kaka but sio mbaya tuna kukubali kak
@SabrinaWiliam7 ай бұрын
Kidoti mzuri pia yupo na khekima mpka Raha♥️♥️🥰
@KALULUALLI7 ай бұрын
HAJRA MWAAA VERY NICE
@jameskenny18087 ай бұрын
Kazi nzuri ila tuna itaji contact yenu MBENGO TV
@mancargo_997 ай бұрын
Hajira natamani nikuone ukifanya kazi na steve tena....
@kdpretoria7807 ай бұрын
Steve bado anambo yakitoto sana hawez kuwaza kuoa 😅
@DaudAshery-ie2pf7 ай бұрын
Ana mambo ya kitoto ndo style yake ya kutafta ridhik
@JosephuPatrick945 ай бұрын
Yuko good sana❤
@jamalibaruti71267 ай бұрын
Sister wa mbengo TV namkubali kazi yake big up
@DamarisKerubo-cm5df7 ай бұрын
Mwambie Steve Niko hapa 😂😂
@KiongoziMwandamizi7 ай бұрын
😂😂😂😂🙌🙌
@manibahodaniel84056 ай бұрын
Wewe nani?
@congratulationmayunga38337 ай бұрын
Muoane wenyewe kwa wenyewe msiwe na limitations mfano Steve akikuoa hajiraaa kazi itaendelea vizuri kuliko uolewe na Mimi Sanaa lazima uacheeee😂
@SamMalaxy-gf2xn7 ай бұрын
Yes
@husseinjums54047 ай бұрын
Hajila kwanini usiolewe angalia usizeheke bila mtoto hajila inatakiwa update mtoto kwanini usimzalie sivu Mana tunafaham Kama uko namausiano nae inafahamika fanya Ivo
@mohammedkidody56187 ай бұрын
Nakupenda cn hajra❤❤❤
@ramadhanabdul22976 ай бұрын
Mimi nipo tayari kumuoa kidoti nampenda sanaaaa
@NorahMatto14 күн бұрын
Steve bwana kuchekesha tu kuoa aaaah
@Njunwa-DK7 ай бұрын
Line nakupendaaaa saan unakitu🎉🎉🎉
@user-ch2it3qt5z7 ай бұрын
amlipua😂mbn sion mabomu Steve nmwanaume wa dar
@khamisali59787 ай бұрын
Steve mwenywe anasemaje😅😅😅
@faidhacute7 ай бұрын
Reina ❤❤❤
@EmmanuelLupoja29 күн бұрын
Mzuri sawa ila kuolewa sasa
@HarrisonKatana-yv7ee2 ай бұрын
Aiii mbna hajira hatukuoni tna kw Steve n nn mbya
@RobertChacha-hb9re7 ай бұрын
Huyu demu namkubali huyu❤❤❤
@michaelkitundu14895 ай бұрын
Naomba connection mrembo huyo.
@AmooTena7 ай бұрын
Kweli kabisa
@salamsabdullah-st9pt6 ай бұрын
Wow Dada mzuri huyu
@abdulhajiahmed87357 ай бұрын
Salaam zangu kwa Hajira Mwalimu
@haruniaisha59057 ай бұрын
Sasa si akuoe mwenyewe ajira
@JosephOsanya-ik7bk7 ай бұрын
Niko kenya huyo demu ni mali safi bana
@user-iv1ry9bo3x7 ай бұрын
Dada kazi poa
@hamisisalim7 ай бұрын
Kidoti MashaAllah uko vizuri
@benedictinelusambo0697 ай бұрын
Kapendeza kweli yan
@alfredkasololo52427 ай бұрын
Na sisi mpia kutoko CongoRDC tunakufata, dada Hadjira. Na sema kama tunakupenda vile vile. Ila Nakuomba utujulishe ao utuonyeshe yule aliyo chukuwa roho yako ya mapenzi. Ili tumuite shemeki. Sababu ya unzuri wako, atalipa mail Tanzania na Congo kwa sisi wenye. .
@user-ev6bq9gf1f7 ай бұрын
Alafu kizuri bala
@SaidyKaoneka21 күн бұрын
Mashallah hajira Mashallah
@Liliana-mc2su7 ай бұрын
😁😁😁stev kavurugwa antk pesa
@DaudAshery-ie2pf7 ай бұрын
True
@rodgersmwagu2397 ай бұрын
Ata akisema nimuoe leo nipo tayari,😂😂
@DaudAshery-ie2pf7 ай бұрын
Mhhh unamjua
@ZulfaJuma-qi9kv7 ай бұрын
Set timer
@user-mx1dm4jm7y6 күн бұрын
Mm nataka ilo gauni nitalìajw
@caissemalatinho2527 ай бұрын
Uyu dada mtangazaji anapendeza sana akiva mwanaume, lakini kwa leo huuuuuuuuu
@user-ps5jv4jk1c7 ай бұрын
Hajra kapendeza jmn
@JosiasFidele-dz8fg7 ай бұрын
Namu penda hajira ❤
@user-jv5dq2zf2o7 ай бұрын
Hajira mmmmhh sawa nimekupata
@user-zk8qj6xc4l7 ай бұрын
Uyo wacha hakupali kuorewa na steve mweusi Uyo wanaendana na steve 😊
@DanielMasiko-oz8mfАй бұрын
Nataka nikuoe
@NzaiShux7 ай бұрын
Nikikupata ww
@festobabely74447 ай бұрын
Hongereni
@MELOPHILEBOY-oj8uy6 ай бұрын
Steve owa
@bobboris48597 ай бұрын
Tivu wetevu mwingi demu hujawaonyesha nyumban kwa Familia
@HabibaBb-d3sАй бұрын
Mashallah❤❤❤❤😂
@noelbryson78407 ай бұрын
Kumbe hata kwenye ndoa madanga utayapata siyo ? Ok sawa..😅