Inauma Sana basi tu mungu tupe magufuri mwingine tusamehe Sana mungu tupatie viongoxi Kama jpm ,makonda
@telesphorymajumbi2 ай бұрын
Mungu akulinde, sema usiogope maana ndani ya bunge ni mchezo wa Pwagu na Pwaguzi.... Mipango mingi matokeo hakuna. Endelea.
@rwehumbizajonathan86892 ай бұрын
Naaaaaaaam 😊
@loishiyesamwel13742 ай бұрын
Katika maajabu saba ya Dunia ni pamoja na hili la Halima Mdee kutoka kupigwa taarifa nyiiingi bungeni hatimae Sasa akichangia anaepigiwa makofi Meeengi, Kweli sio kila makofi ni ya pongezi.
@goodlucknnko54932 ай бұрын
Hivi kwanini, uwezo wa mtu husitumike.kama kigezo cha kupewa cheo? Mtu kama huyu kuwa nje ya maamuzi!!!! Du!!
@barakalukeha61842 ай бұрын
Wanaopewa nafasi ya maamuzi wako kwenye mfumo mwingine nadhani wasiopenda kuiba pesa za inchi wanadharauliwa ktk kamati zao juu,,,acha wenye nafasi zao wafanye wanacho kitaka,,maana ukiwasema sana wao wana jeshi linalowatii utapewa hatia na kukamatwa,,
@chrissamani79212 ай бұрын
This is miss Mdee who i know!
@shedrackclever74232 ай бұрын
Nchi hii tungelishauti bunge liwe na mawaziri wa mkataba
@mosesbarnaba78512 ай бұрын
Safi sana Mama
@KabwikaIbrahim-ld8vf2 ай бұрын
Haah haah haaa!!
@ZainabuBakari-yb4vj2 ай бұрын
Hoja nzuri sana
@goodlucknnko54932 ай бұрын
Mungu, asimame
@namaanwilson64672 ай бұрын
Nakuelewa sana dadangu halima.
@angelsgabriely35752 ай бұрын
Huyo mbarawa ni jipu,..litumbuliwe anataka kufrsi tanganyika kabisa!
@diegoshanga81842 ай бұрын
Shida ya bunge letu huwa haliisimamii serikali ipasavyo!! Matokeo yake ....
@barakalukeha61842 ай бұрын
Kusema ukweli wabunge mnasema lakini vinaishia wapi???????? Katiba inawaruhusu kuwa majasili kwa kiasi cha kumtaja raisi ili kumkumbusha kusimamia hayo mnayoyasemaaaa????au mnayasema tu mkijua yanaweza kutendewa kazi ikiwa watapenda tu,,na sio kwakuwa ni sheria imewekwa,!?maana muhimili wa msemaji mkuu wa serikali ndiye mwenye uwezo wa kutoa maelekezo na kuwa mfano wa watumishi kusimamiana na kuonyana kwa kufanya kama magufuri alivyokuwa akionyesha mfano wa kumshusha mzembe au fisadi kwenye nafasi yake ili ajaribu na wengine wenye kiu ya kazi watajifunza kwa mfumo iliyopo wa kutumbuana ,lakini kama sio hivo wabunge watu mtasemaaaaaa,vitachukuliwa wanavyopenda wao tu
@adelinelyaruu30362 ай бұрын
Kwa kweli ni majanga. Ni masikitiko makubwa nchi hii na ni aibu kubwa kwa wahusika
@onelovetz79352 ай бұрын
Ni WA Zanzibar sio watanganyika wakubali nchi moja au serikali tatu wasikomae na elimu wakomae na hakili JPM makonda oyeee
@gasperswai69632 ай бұрын
Wahusika takamatsu wafunguliwe kesi ni wezi kama wezi wengine
@saidsuleiman17532 ай бұрын
Nilitamani kusikiq majibu ya Waziri Bashungwa
@Optionxll_Playz12 ай бұрын
❤❤
@geraldsenkondo43342 ай бұрын
Makonda mwingine huyu chukueni hawa watu wapeni kazi tunapata matoke nchi itaenda .
@fidelfidel-jz4iw2 ай бұрын
Wanahusika hizo liba wanagawana wangekuwa wanalipa mapema lakini wanajitoa ufahamu
@barnabaslushenshe5232 ай бұрын
MWANZA KABUHORO UPIGAJI BARABARA NDO USISEME
@fastonsambo-du4rd2 ай бұрын
Bunge halina meno
@saidsuleiman17532 ай бұрын
Wabunge pia wafukuzwe
@SarahShao-jw1up2 ай бұрын
UONGO WENU umefika MWISHO
@christinenyagiro66622 ай бұрын
Huyo huyo Mbarawa anataka Tanganyika iwe masikini kupindukia. CCM mtakapotoka mtatoka kwa kukimbia kwrnda kula mapesa mnayoweke Inchi za inje. Mnajiandaa kwenda uwarabuni mkastarehe ninyi wazanzibar. Na wewe Kikwete unatudhararisha Watanganyika kwa kumshauri Samia kutumaliza Watanganyika kwrli sijui kama na wewe utaenda Uwarabuni
@barakalukeha61842 ай бұрын
Kwanini asiende uarabuni nayeye???? Kwani si ikowazi kwamba akiingia raisi asiyekuwa kwenye mfumo wa wapigaji hawa yeye ataanza kuwasumbua tena kama alivyo wasumbua Magufuri ???? Hivyo ni lazima wendelee kujipanga yamkini hata raisi ajaye awe ni miongoni mwa atakaye endelea kulinda masrahi yao wanayojilimbikikia kwakuwa walisha iuza inchi kwa mataifa ya inje,,
@ZainabuBakari-yb4vj2 ай бұрын
Chadema shida kabisa,unaweza muacha kiongozi kama huyu kweli.