"MTAFUTE FUNDI AJE HAPA SIONDOKI USILETE UJANJA" WAZIRI MKUU AMBANANISHA MHANDISI NA AFISA ELIMU

  Рет қаралды 85,953

Millard Ayo

Millard Ayo

29 күн бұрын

Пікірлер: 244
@vallerinejesse2299
@vallerinejesse2299 27 күн бұрын
Kama wewe ni team magu gonga like hapa kwa majaliwa! Tunaweza kumuona uncle magu ndani yako
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 26 күн бұрын
hakuna kitu hapo ni changa la macho tu..PM atakagua madirisha mangapi nchi nzima!!
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 26 күн бұрын
Alikua zaman Amna kitu hapo
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 28 күн бұрын
Yaani ukaguzi wa ubora wa majengo na vifaa Hadi waziri Mkuu..... Watz tunajiaibisha kiasi Gani.....hiii ingefaa iwe kazi ya mtendaji wa Kijiji....Mahalia tu kama tungejua tulitendalo
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 27 күн бұрын
Mpaka mtakapobadilisha mfumo
@allanuslwena8585
@allanuslwena8585 28 күн бұрын
Hongera sana Mheshimiwa Mungu akuepushe na mabaya yote.
@MbasaSanga
@MbasaSanga 28 күн бұрын
Tumebaki na viongozi wachache sana wa aina hii.hongera sana waziri mkuu
@costandunguru7603
@costandunguru7603 28 күн бұрын
Hii Nchi kuna shida Sana, Hadi aje MP, wakati hapo wilayani kuna DC, Takukuru na watu wengi kabisa. Sijui tutatoka lini kny huu ujinga
@piusmdoe3200
@piusmdoe3200 28 күн бұрын
Wote ulipwataja wspigaji
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy 27 күн бұрын
changamoto sana
@ramadhanishamtandulo1510
@ramadhanishamtandulo1510 27 күн бұрын
Dah..alafu vitu ambavyo vipo obvious haviitaji kuwa professional
@benshark3212
@benshark3212 27 күн бұрын
MP au PM?
@mochemba
@mochemba 27 күн бұрын
Hata mm hiki kitu huwa kinanikera Sana Sasa hawa viongozi watakuwa wanafika kila kona jmn kwa nn mali ni zetu jengo ni la watoto wetu, mradi wowote ule ni wa ndugu zetu kwa nn tunakuwa tunafanya ujanja ujanja kila sehemu, piga hela Lkni fanya kitu kionekane basi hata mtu akija anaona kweli kazi imefanyika. Watanzania tunajichelewesha wenyewe baadae tunalaumu oh Rais Rais kafanya nn, kumbe shida iko kwetu
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 28 күн бұрын
Ni jambo la kusikitisha waziri mkuu kusimamia fundi😢 Kuna haja ya kutafuta kiboko kitakachowafanya watanzania kuwajibika na kuwa waaminifu.
@allymoshi2053
@allymoshi2053 27 күн бұрын
Hiyo bado sio suluhu watu wanaopewa kazi hawana uwezo wa kudeliver kk kazi haziangalii uwezo wa mtu kinachoangaliwa unajuana na nani ndio tatizo sana la nchi yetu
@fabianalfredy5557
@fabianalfredy5557 27 күн бұрын
Kweli waziri mkuu. Ndiyo anafanya kazi hiyo kweli? Delegation siyo nzuri.
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 26 күн бұрын
Ukileta kiboko yao wanamuua
@JosseJone
@JosseJone 28 күн бұрын
Majaliwa Kama yupo bado iringa afike na stendikuu yamabas iringa 😂😂😂😂
@user-jm9og2wh5o
@user-jm9og2wh5o 28 күн бұрын
Hongera sana waziri awo wakipishwa tu wanaona serekari yao wanyoshe mkuuu
@suleymanimixkatafighter2669
@suleymanimixkatafighter2669 24 күн бұрын
Mh majaliwa hongera kwa kazi nzuri hapo mkandarasi na afisa elimu wote wapigani ni wezi tu kazi yao ina mashaka sana
@maharagendondo
@maharagendondo 28 күн бұрын
MAJALIWA, UTAFANYA KAZI NGAPI BABA WAKUU WA MIKOA WAKURUGENZI WAPO WAKUU WA WILAYA WAPO LAKINI MPAKA UFIKE WW DU, WATAKUCHOSHA BABA
@songombingo108
@songombingo108 27 күн бұрын
Siasa baba... Siasa😂😂😂
@fabianalfredy5557
@fabianalfredy5557 27 күн бұрын
Kweli!! Wanafanya kazi Gani?
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 12 күн бұрын
Hao unaowataja duuh
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 28 күн бұрын
Sasa viongozi wa mikoa wako wapi? Mpaka aje waziri mkuu ndio ayaone hayo!!
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 27 күн бұрын
Hapo ndo uone uozo wa nchi yetu hao wakuu wa mikoa sijui huwa wanafanya kazi Gani mpaka aje waZiri kugundua matatzo
@CyprianKasilo-d8h
@CyprianKasilo-d8h 28 күн бұрын
Hongera majaliwa mungu akubariki thawabu ipo mbinguni
@user-yt4si2th5k
@user-yt4si2th5k 28 күн бұрын
Hao ndo watanzania eti wanataka maendeleo wakati ata uzalendo hawana tena kwa watoto wao
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 28 күн бұрын
Mashaaalah waziri mkuu,asilete janjajanja
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 28 күн бұрын
WATANZANIA MNA SAFARI NDEFU KAMA WAZIRI MKUU ANAENDA IRINGA KUKAGUA MILANGO NA FREMU!
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 27 күн бұрын
​@@nsajigwamwakalonge5702ifupishe tu hakuna tatizo
@carlosditram2069
@carlosditram2069 17 күн бұрын
Wzr mkuu wa sasa sio sawa na yule wa kipindi cha RAIS DOCTAR JPM kama unakubaliana na mimi gonga like hapo chini
@josephfelicianlugakingira832
@josephfelicianlugakingira832 28 күн бұрын
Safi Sana PM
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo 27 күн бұрын
Big up big up waziri mkuu mungu akulinde wanakuangalia na jicho mbaya wasifanikiwe
@CalvinShuma
@CalvinShuma 27 күн бұрын
Asante sana mweshimiwa waziri mkuu
@daudimashimbi8530
@daudimashimbi8530 28 күн бұрын
Hongera sana mheshimiwa majaaliwa
@kadokemarco9966
@kadokemarco9966 28 күн бұрын
Ila vyeo vingine bhana mkuu wa mkoa anakazi gani sasa! Ikiwa mpaka waziri mkuu ndiyo aje kuhojiana na mafundi/contractor kweli🤔🤔🤔?. Hayo alitakiwa ahoji mkuu wa mkoa ni aibu sana.
@mupinimulila1762
@mupinimulila1762 28 күн бұрын
Nyie vimajitu vichwa ngumu, amutaki kurahisisha mambo.
@itiamekimbui722
@itiamekimbui722 28 күн бұрын
this is the problem we have in Africa
@IsayaFidelys
@IsayaFidelys 28 күн бұрын
Hapo ndo swali.lilipo.??
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 28 күн бұрын
Watanzania wenyewe mna safari ndefu
@stevenmabungi3245
@stevenmabungi3245 27 күн бұрын
Mkuu wa mkoa ni mbali alitakiwa ahoji mtendaji wa kijiji tunajidharirisha sana watendaji tunaopewa mamlaka na serikali
@KilingohJuma
@KilingohJuma 27 күн бұрын
Wanachezea sana pesa za serkal ,Yaan dawat lmepasuka hata haljatumika , hivi Elmu yetu ni shda au ipoje ? Kwann mtu ni kiongoz hajtambui majukum yake , had waje viongoz wa juu wakosoe mirad namna hii jaman, Pole PM Kwa kaz nyng na hongera Kwa kubain uzembe wa viongoz ngaz mikoa na wilaya.
@ezekielmadindula2679
@ezekielmadindula2679 27 күн бұрын
Lema anavituko Sana Eti Majaliwa anapaka Pico 😂😂😂😂
@lucymtui8680
@lucymtui8680 28 күн бұрын
Engineer wa ovyooo sanaa
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 28 күн бұрын
KABISAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
@mamodelmam
@mamodelmam 28 күн бұрын
Yani ongea yake tu unajua ni mwizi mtu ata sauti haitoki anakazi ya kumung'unya maneno
@KasianiTitus-un5rk
@KasianiTitus-un5rk 27 күн бұрын
Kwa Hali hii waafrika kuendelea itakuwa ngumu mtu Hadi usimamiwe na kiongozi
@mgoboibrahim
@mgoboibrahim 28 күн бұрын
Hongera sana sana mheshimiwa Waziri Mkuu mana bila uzalendo wa dhati hatuwezi kuendelea
@NgunoSangano
@NgunoSangano 11 күн бұрын
hakika unastahili mungu akulinde kiongozi wetu
@FrancisMtema-s9t
@FrancisMtema-s9t 27 күн бұрын
Mungu akulinde pm.kwa kilolo Kuna mradi wa maji kata ya uhambingeto wa bilioni 2.25.tuma watu wako waukague kimyakimya.matenki ya zamani yanapakwa rangi kuonekana mapya.karibu Sana Baba kwetu.
@AmiriAmiri-x2z
@AmiriAmiri-x2z 27 күн бұрын
jpm namba 2.hongera sana.ndoo ujue wapigaji wapo kila kona kila mahali.tunajua sisi wanainch mkuu wa mkoa ni mmoja Paul makonda.lakin mafisad wanampiga vita kweli.na fikili kwa arusha huna tabu napo.maana yupo kiongoz mzalendo.
@RojamilaSamson
@RojamilaSamson 28 күн бұрын
Mkuu Wa mkoa hawana kazi funuza anpokea pèsa za Bure hakanguwi miladi
@DitrickKihava
@DitrickKihava 15 күн бұрын
Hatari sana viongozi mnadhalilisha serikli
@KwayayaUinjilistiHimo
@KwayayaUinjilistiHimo 23 күн бұрын
Hii nchi bhana. Ina maana hakuna wakaguz, hakuna, Mkurugenzi, msimamiz wa mrad, Dc, Rc. Hadi waziri mkuu
@YakoboChambo
@YakoboChambo 23 күн бұрын
Kaka mkuu wanchi nakukubali sana yani ikiwezekana gombea URAIS naamini utapata
@johanesjofrey2105
@johanesjofrey2105 12 күн бұрын
Huyu Mzee ndiye anafaa awe Rais wa hii nchi awamu ijayo.Mama tuache tafadhali
@RAJABWADIGOGO
@RAJABWADIGOGO 27 күн бұрын
hongera mheshimiwa kwa ukaguzi makin
@emmanueldavid9506
@emmanueldavid9506 28 күн бұрын
Piga chini hao ni bora mgetuajiri sisi mafundi local tunafanya kazi nzuri kuliko hao mnaowalipa hela nyingi
@tztanzania2262
@tztanzania2262 28 күн бұрын
Shda hatuna mitaji tu maana malipo ya serikali mpaka ukabidh kwanza Sasa kwa mitaji yetu 😢😢
@danieljoseph6702
@danieljoseph6702 27 күн бұрын
Unaweza fikiri una wawakishi kumbe mizigo.Dawati kama yaliletwa na kichaa.Hatari sana.
@lenniefei6710
@lenniefei6710 24 күн бұрын
WaTZ bado wapo kwenye usingizi wa pono, wakati waaKenya tunawabana wanasiasa wao wanakubali kuchezea vibao kata tu na wanasiasa😂😂😂😂😂😂
@leobalige7069
@leobalige7069 27 күн бұрын
Waziri mkuu. Inafaa utembelee miradi nchi nzima. Miradi ni mibovu sana.
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 28 күн бұрын
Ninachokiona watu hofu ya Mungu hawana hata kidogo Mwenye kumuhofu.wenyezi Mungu hawaezi fanya ubaya huo hatakama pesa sio yake
@lukasmgaya652
@lukasmgaya652 27 күн бұрын
ofu ya Mungu ya nn aisee Acha ujinga kwa sababu hofu ya Mungu hiusiki na chochote Miht.19 2.Tena siyo vizuri roho ya mtu ikose #maarifa
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 27 күн бұрын
Unajua nimekuona wewe ni mjpumbavu sana , na ujinga unao wewe kwani hata maana ya andiko umeweka hujui , kuwa na adabu ,
@firo0ozdawah378
@firo0ozdawah378 28 күн бұрын
Watanzania shkamooooo🙌🙌🙌
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 28 күн бұрын
MARAHABAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 26 күн бұрын
Marahaba mwanangu hamjambo!!!!😅😅😅 Haya ni matokeo ya ajira za kujuana na kutoa kitu kidogo 😂😂😂😂.
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 28 күн бұрын
Pole sana Mh. Waziri Mkuu. Unateswa na falsafa ya umasoko inayoendesha Serikali. Tukobadilisha falsafa utaondokewa na ubadhirifu, wizi, na uadilifu utaongezeka.
@danielelikana2615
@danielelikana2615 27 күн бұрын
Watendaji wanaiangusha sana hii serikali!..Hizi kazi zinatakiwa zisimamiwe vizuri na wakuu wa idara bila hata kusubiri Waziri Mkuu kuja kuibua madudu!! Inasikitisha sana watu wanalipwa mishahara halafu hawawajibiki kwenye nafasi zao!!
@sayeedmsct4255
@sayeedmsct4255 28 күн бұрын
❤❤❤❤ waziri
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 12 күн бұрын
Zamani ukaguzi ilikuwa ni kupita nje ya jengo kiatu ila siku hizi angalau wanauliza na mulimopigwa kwakweli ni mchezo mbaya wa pesa za wananchi
@user-xx1je7sy4h
@user-xx1je7sy4h 28 күн бұрын
Tatizo ni mfumo wa serikali yetu kuleana kwingi majitu yanaiba sana sababu yanajuwana yote majizi mtoto umuleavyo ndivyo akuavyo hata hayaogopi kuiba
@chingaboy1149
@chingaboy1149 27 күн бұрын
😂😂😂😂😂mmi langu jicho tu hii inchi ukijifanya mjuaji yanakukuta yahasani
@jamalnaheka1131
@jamalnaheka1131 25 күн бұрын
aisee tuna kaz ss waafrik,..njaa tunaendekez sana.
@volcaremigius6881
@volcaremigius6881 26 күн бұрын
Huyo jamaa anaeulizwa akili hana anakwambia meza zilikua nzima ety😂😂
@francisgituti2494
@francisgituti2494 27 күн бұрын
Hivi Hawa watu hata kudanganya hawajui duh!kitu kinaonekana bado wanadanganya wape za uso hao
@hellenmollel6679
@hellenmollel6679 27 күн бұрын
Ni huzuni Kwa kweli, tumeshindwa kuwa wazalendo kiasi hichi? Mungu atusaidie sana, piga kazi Baba umsaidie Mh Rais
@chingaboy1149
@chingaboy1149 27 күн бұрын
Ney wa mitego alisema 😂😂😂 uzalendo uzalendo gani nchi inaendeshwa kimagendo
@mwanaafrika_tz
@mwanaafrika_tz 27 күн бұрын
Sa mkurugenzi kazi yake nini😂😂
@Kinyerezi1
@Kinyerezi1 22 күн бұрын
Huyu kibonge wa CCM ndiye alikuwa anatrend akibwabwaja ubaguzi wa vyama..
@saudmohammed3390
@saudmohammed3390 27 күн бұрын
Ziara ya kushtukiza ni nzuri saaaana
@user-og9jt3mg4c
@user-og9jt3mg4c 27 күн бұрын
Tanzania yetu jamani kilakitu wanachakachua, wizi mtupu!! Mungu aturudishie roho ya utu!
@webrand2305
@webrand2305 27 күн бұрын
Hii nchi ngumu sana, hivi kweli kwa mambo haya tutuaendelea kweli???
@johnkalibonamchungaji3082
@johnkalibonamchungaji3082 26 күн бұрын
Hiv kweri waziri mkuu ndo akakague hali hii wasaidizi wachini wako wapi? baba Mungu akutunze
@stn4873
@stn4873 27 күн бұрын
Ujue kuwa watu wanachekesha kweli😂😂😂😂😂
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 27 күн бұрын
Majaliwa Rais, Jafari jafo Waziri mkuu alafu Paul makonda tunamuweka waziri wa Miundominu naiona Tz inakuwa Hong kon after 5 years later.
@RAMZANJumma-hr3ff
@RAMZANJumma-hr3ff 28 күн бұрын
Wamefanya kazi mzuri
@user-yv7xg4em4s
@user-yv7xg4em4s 28 күн бұрын
Mtakoma mmezoea kuiba
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 27 күн бұрын
Daah viti vipya vimesha pasuka😂
@cassimoa9217
@cassimoa9217 28 күн бұрын
Mkuu wa mkoa una kazi gani mpk aje waziri mkuu. Tumbua wote hapo kuanzia mkuu wa mkoa, tawala, mkurugenzi, mkuu wa wilaya wote
@minatto12
@minatto12 26 күн бұрын
Dah Tanzania n balaa
@festohaule9716
@festohaule9716 27 күн бұрын
Kama Mkoa tunaviongozi wengi inakuwaje mpaka madawati aje akague Waziri Mkuu... Afrika kitovu changu pole sana!!!!! Kazi ya uchawa tu kufanya kazi njema ahaaaa!!!!!
@MenelusCzar
@MenelusCzar 27 күн бұрын
YAANI WATU WANATIA AIBU SANA ET WIRE NI DIFFERENT CONTRACT🙌🏻
@user-zs4qz4wm2n
@user-zs4qz4wm2n 28 күн бұрын
Majariwa anaonekana siku moja atakua rais mi namuelewa sana( amenuna kazini)
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 27 күн бұрын
Uwa nasshindwa kuelewa hivi mkuu wa Mkoa na WA watawa WA wilaya uwa wanafanya Kazi gani Ni Kwa nini wasifungwe ? Watoe lipoti ya kila mwezi ndio itajulikana ,na pia sio mpka Waziri mkuu afike kukagua.
@danielsostenes1640
@danielsostenes1640 27 күн бұрын
Wawajibishe mkuu nakukubal sana wazir mkuu wang chapa kazi
@peterchesam5737
@peterchesam5737 27 күн бұрын
Duuu hao waongo Dirisha lipi la Aluminium litawekwa bila Wavu haalfu useme utaweka tena???
@Mckiatu
@Mckiatu 27 күн бұрын
Mheshimiwa naomba hii tenda ya furnitures pleas
@timamulituto
@timamulituto 28 күн бұрын
😂 watu wanapiga ase😂
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 27 күн бұрын
Kweli punda haendi mpaka kwa magongo jamani😢😢😢.ivi inakuwaje watu mnakula tu hela kila kukicha watu hawahanyi wajibu wao lazima washikiwe magongo jamani 😢😢😢😢😢 inauma mno
@mcback4384
@mcback4384 22 күн бұрын
Hivi kwani kwenye hii miradi ya serikali si huwa na BOQ kwamba constructor anatakiwa kufata aligned specifications and qualifications? Kwanini ya natokea haya yote na kuna consultant wa serikali anaecontrol yote hayo?
@elisantemrita9490
@elisantemrita9490 27 күн бұрын
Yani tunaitaji wasimamizi kutoka Dubai waje wawe wakuu wa wilaya na mikoa na mawaziri
@salamaalladini
@salamaalladini 27 күн бұрын
Mm ktk moyo Wang nnaiman utakuj kuwa rais wa nchi hii
@MasaluMartine-xe1kb
@MasaluMartine-xe1kb 27 күн бұрын
Hiii inaonesha wazi kwamba. Hamna haja ya kuwa na wakuu wa wilaya , na wa mikoa ,kama waziri anatoka huko kote anagundua mapungufu , wao wako wapi, kwakweli kazi ni ngumu sana
@bir4450
@bir4450 26 күн бұрын
Hapo kuweka wavu kipengele maana inaonesha jamaa hakuweka hesabu ya wavu.unawaza kama ingekua nyumban kwake angefanya hivo
@nassibuduma7162
@nassibuduma7162 20 күн бұрын
Bado kuna tabu ya usimamizi wa utekelezaji wa miradi ya selikari
@jerumayamwasomola1065
@jerumayamwasomola1065 28 күн бұрын
Kah 😂eti wire ni separate contract
@elisantemrita9490
@elisantemrita9490 27 күн бұрын
Majaliwa kwann sikuizi huwatii viboko Tembea na kiboko sasaivi mkuu
@paterinishayo-ef4sx
@paterinishayo-ef4sx 27 күн бұрын
Watanzania wengi hatujui tulitendalo jambo dogo hata mjinga analiona lakin mpka aje kiongoz wa juu hivi tunakumnwa na nn ni rushwa au tuwajinga hatudhamin mali zetu tulizojengewa na serikali daah
@stevemsola437
@stevemsola437 27 күн бұрын
Mpaka waziri mkuu hamna viongozi wengine jmn
@godsonrwegasira4414
@godsonrwegasira4414 28 күн бұрын
Tatizo hao waalim wanabanaga sana mm mwenyew fundi wa vioo lakin dirisha anakwambia linabdi likamilike kwa sh. laki mbili wakat we umempa gharama ya lak 280, fundi mwenye njaa anapokea kaz afu analeta baadh ya vitu hakuna hapo mh angekagua na size ya kioo unaeza kumbana na mm. 4
@mathewungani9724
@mathewungani9724 24 күн бұрын
Ni Aibu sana
@majaliwaharuna4064
@majaliwaharuna4064 27 күн бұрын
Fanya kazi mh waziri mkuu,huku kwenye halmashauri Kuna madudu mengi sana yanafanywa na wakurugenzi kwa makusudi wakijuwa hakuna wa kuwashughulikia .wewe ndio tumaini letu PM
@kalebphilip3426
@kalebphilip3426 27 күн бұрын
Uliza dawati moja bei yake utakimbia yaan hii nchi ni mm tu sio mwz
@janethferous
@janethferous 27 күн бұрын
Naomba ufike na kitowo wananchi wanaushi Kama wakimbizi mtendaj anawapiga viboko wananchi Kama watoto wanawalipisha fedha kwa makosa madog madogo rushwa
@The1979bornagain
@The1979bornagain 23 күн бұрын
Hivi unawezaje kumsimamisha kazi Mkurugenzi, Mhandisi na Afisa manunuzi halafu ukawaacha DC na RC kwa wizi na ubadhirifu uliotokea ktk miradi iliyo ktk eneo lao la utawala? Na haya matatizo ya kula fedha za miradi na miradi kuachwa hivyo hivyo bila kukamilika yako kila wilaya na kila mkoa. Na ulaji huu unawahusisha hadi ma-DCs na ma - RCs. Hawa ma-DC na ma- RCs ndiyo wenyeviti wa kamati za ulinzi za wilaya na mikoa respectively. Maana yake ni kuwa vyombo hivi PCCP na POLISI ambavyo ndivyo vinavyoshughulika kuchunguza na kuchukua hatua za wizi na ubadhirifu viko chini ya hawa. Tunategemea watafanya nini kama hawa mabosi wao yaani DCs au RCs ni washiriki wa wizi au ubadhirifu huo? Waziri mkuu naye hata halioni hili. Eti anampa jukumu DC au RC mshiriki wa wizi na ubadhirifu kusimamia uchunguzi. Si ataandaa ripoti feki kwa kujilinda yeye mwenyewe? Tukubali kuwa kuna tatizo ktk mfumo wetu wa utawala. Na hiki ndicho chanzo cha mkwamo wa maendeleo yetu. Kwa hiyo hapa Waziri Mkuu anatwanga maji kwenye kinu tu. Ataondoka na mambo yatabaki vilevile tu. Tutengeneze mfumo mpya wa utawala unaoleta uwajibikaji wenye tija!!
@festohaule9716
@festohaule9716 27 күн бұрын
Kazi ni uchawa tu.. kazi ahaaaa..Pesa zipo kwanini Hatuwezi kujenga Nchi yetu pasipo dosari!!!!
@SalumMsafiri20
@SalumMsafiri20 26 күн бұрын
Watanzania tunapenda kujiibia wenyewe,afisa elimu anapokea vifaa ambavyo havina ubora. Na anaacha viendelee kuwepo sehemu husika. Me nazani,wanajeshi wapewe hizi kazi za jamii.
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 28 күн бұрын
NINGEKUWA mimi nawatimua KAZI HAWAPATI HATA KIINUA MGONGO INAKUWA AMRI NA SHERIA
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 26 күн бұрын
Desk hilo sh 65000? Ni wizi halifiki sh 25000 kama mbao mzuri
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 27 күн бұрын
Wizi kila mahali daah ina sikitisha 😢
@japhetygodfrey921
@japhetygodfrey921 27 күн бұрын
Mheshimiwa wabane kabisa hao wsmezoea kupita njia zamkato mungu akupe wepesi kusimamia majikumu yako
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 28 күн бұрын
Ifike Mahara Tumsaidie Mheshimiwa Raisi kwa kua wazalendo..zamani tulikua tunalalamika pesa haifiki saivi zinafika watu Mnachota Chota sio sawaaaa..kabisa
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 28 күн бұрын
Kwenye ujenzi wakuu wanapigwa sana pesa zetu
@ChristinaOberto
@ChristinaOberto 28 күн бұрын
Daah! Serikali imeanza kuchezewa sasa
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 27 күн бұрын
Kazi ya RC na DC ni nini had anakuja waziri mkuu 😢
@sautiyawanyonge2511
@sautiyawanyonge2511 27 күн бұрын
Ametonywa😂
@josephjulio6112
@josephjulio6112 27 күн бұрын
Nimepeni kazi niwasaidie
@paulokateme7615
@paulokateme7615 27 күн бұрын
Itapendeza ufanyike ukaguzi wa shule zote na madudu utakayoyagundua yatakushangaza ni watu wasio na utu.
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 10 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode/15/ #love
50:40
BabaJoan
Рет қаралды 952 М.