This is very true, most people are sinking in the ego of being educated and end up retering poor and become sources of problems in the society. I agree education alone is not enough,but rather let us use our education as a foundation to build multiple sources of income. people without education must use their physical energy to build sources of incomes...i encourage those who not educated that,not only education is the way to life,but good plan and acceptance. Above all put God first in everything and the doors will open 👐
@mathiasmateru99773 күн бұрын
Somo zuri sana We have to change and to act immediately.
@user-xj8jq7ne8r17 күн бұрын
Tumutafute mungu sana, wakati wa kukuinua ukifika, maharifa atakupa mwenyewe, kikubwa nibaraka.
@babujeishayo25766 күн бұрын
Maarifa tunapaswa kutafuta sisi si kupewa na Mungu
@babujeishayo25766 күн бұрын
Maarifa tunapaswa kutafuta sisi si kupewa na Mungu
@calvinloveambroce8424 күн бұрын
Mungu hampi maarifa wala kumuinua mtu aliyekaa tu akiamini siku yake ipo
@ericfelician799617 күн бұрын
Amina nitaanzisha muda siyo mrefu kwa jina la yesu
@leonardgachenia22006 күн бұрын
Uko sawa mzeia, nitajitahidi
@renatusamos90184 күн бұрын
Amina kaka, nimekuelewa Sana. Nimepokea
@MdOmane-yg9giКүн бұрын
Nimekupata vizuri na nimekifunza kitu...
@gabrielmoses68608 күн бұрын
Ahsante Shigongo
@robertamos364618 күн бұрын
Umeeleweka sana.Bravo.
@JosephSimiyu6 күн бұрын
Amina Barikiwa ndugu kwa ushauri wako wa busara
@joshuanzioka4611Күн бұрын
Well said
@leonardmisalaba794618 күн бұрын
Hii nimeipenda bwana shigongo
@kalumangachannel47606 күн бұрын
Sir you deserve to be minister.
@marykibogoya27697 күн бұрын
Umenena kweli mdau. Ubarikiwe
@christagosbert267617 күн бұрын
Sijawai kujuta kufatilia na kusoma vitabu vyako since I was 17 years age till now🤗 you are blessed na umeeleweka mnoo🎉🎉🎉🎉
@kombomvungi73010 күн бұрын
Sawa, tuna vianzishaje? Na mtaji ndo kamzozo? Hebu zungumzia swala la mtaji.
@erickchitumbi13086 күн бұрын
Mwajina umefundisha kitu kikubwa kwenye maisha.
@ChristerKoku17 күн бұрын
Husimuache,jusimdhalilishe,husimdhiaki siku ukifanikiwa ukaanxa kupata mlichochuma wote.Ahsamte kws elimu nzuri kufanya kazi mbalimbali utafanikiwa.
@salmongivoh230716 күн бұрын
namshkuru Mungu kwa ujumbe huu
@geraldnkya47328 күн бұрын
Kaka ni kweli hili lipo kibiblia kabisa ili SoMo tumefundishwa ,mtumishi Mwl Onesmo wa Mbingu Duniani ministry _na misitari ya Bible hii mwanzo13:2; 2mambo ya nyakati 17:12-13. Zabur 1:3;mwanzo 2:10-11. Kaka nimekuelewa Sana!!
@erastosanga169411 күн бұрын
Thanks giving shigongo
@radojembe734714 күн бұрын
Nakubali my mentor
@QUEENJoseph-kh6cb18 күн бұрын
Na mimi nataka nije huko maana ninahasira ya utajiri kweli kweli😂😂
@Henrynoble_10 күн бұрын
😂😂
@ashabogasi13 күн бұрын
Love it❤❤❤
@PhilbertGosbert11 күн бұрын
Car wash tuaje
@richkaja33179 күн бұрын
Eric unajua sanaa
@erastosanga169411 күн бұрын
Upon sawa shigongo
@shepherdnoelkeneth17 күн бұрын
Nmekuelewa sana sana
@magrethwilliam143614 күн бұрын
Asante sana
@VeronicaMkunga17 күн бұрын
Ni kweli kaka,
@samsonmusyimi178217 күн бұрын
Aky ni kweli
@RenaldaZeramula13 сағат бұрын
Mbona wewe maskini
@BukelebeTv19 күн бұрын
Somo zuri
@Greystonmwazembe13 сағат бұрын
Ok
@user-jx8ix3yv4k14 күн бұрын
Hv kwa madini haya ni kweli shigongo ni darasa la 7 au mnatudanganya tu
@shamyathman919816 күн бұрын
Dini haruhusu kutegemea qadar
@charlesruwa58448 күн бұрын
Ft
@user-jx8ix3yv4k14 күн бұрын
Cjui mnamuelewa mwalimu?😅acha kuuliza chakula kwa mama ntilie😅
@emmanuelfari892426 күн бұрын
No! VISION No! Solving problems...✍️ UBARIKIWE sana hata na uzao wako baada yako YOHANA 14:14🙏
@hamasikatv20 күн бұрын
Asante kwa maoni yako Tuendelee kujifunza
@user-gw4vk8tb2m20 күн бұрын
Ok
@KHALIDKIRAMA-iq6en18 күн бұрын
Siri ya utajiri ni Qadari ya MUNGU
@SaimonKazimoto-xt1zo15 күн бұрын
Subri Ivo Ivo uone
@bakariomary578115 күн бұрын
Haya mzee alafu wanaofanikiwa useme wachawi na ma-freemason😂😂😂😂subiri Qadar watu wenyew wa nchi za nnje Wanagundua mavitu kila kukicha kwakua wanajua maisha yetu yanahitaji pesa kwa kila kitu
@user-uo5qq2lu2b15 күн бұрын
Mungu anaweza ibadilisha qadar Yako lakini kwakumuomba Boss
@KIDUCHUCASHPOINT15 күн бұрын
😢😢😢
@WechuliMakokha11 күн бұрын
Kwenye utajiri hamna mungu wala dini ila bidii tu
@asaphasaph641510 күн бұрын
Mathayo 16:26 [26]Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kupata hasara ya nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake? For what is a man profited, if he shall gain the whole world, and lose his own soul? or what shall a man give in exchange for his soul?
@juliusmwita-ye3eg9 күн бұрын
Mawazo ya umaskini hayo
@karlschrader402614 күн бұрын
Hapo Ndo ushasema unaenda kijijini kumbe mchizi Uko kwenye pipa unaenda Dubai afu pipa limedondoka 😮kazi italipia mazishi na kiinua mgongo ulichoacha?
@judicalosika76423 күн бұрын
🇮🇱 eh wewe unawaza kuzikwa na Company 😳😳😳😳😳
@myself412810 күн бұрын
Tanzania Hakuna Mfanyabiashara Kuna wapiga deal tu,Huwezi kuwa na Biashara 30 Ukajiita mfanyabiashara,Wahindi wanakuja Bongo wanafanikiwa kuliko wazawa wao wanabobea katika biashara Moja mpaka wanaimudu, sababu Mzawa amelala usingizi na Serikali Yetu ni Kama Shamba la Bibi walowezi wanakuja wanafungua Biashara ndogo ndogo kwa mitaji mikubwa ambazo Wazawa walitakiwa wafanye kwahiyo Hatuna Wawekezaji pia bali Tuna Walanguzi tuu,mfanyabiashara Lazima uwe na Speacialty au Biashara ama huduma maalum unayotoa sio mara vitunguu mara mikate mara boda boda mara Mikaa ni Vurugu tupu ukifa nani ataendeleza upuuzi wako huo??lazima mtoto arithi biashara fulani ya familia ambayo ameikulia na kuimudu na pia Serikali yetu lazima Tuilazimishe iwe na Sera zinazohamasisha wananchi waachane na Uvivu na Umaskini kwa kuwapa mikopo na kuondoa Tozo pumbavu za watu wa chini na pia kuwalinda sehemu zao za Biashara
@mutaji54549 күн бұрын
Inabdi ufungue Nawe sasa biashara
@jfisherkaaya59584 күн бұрын
Hujakaa na wahindi hawategemei jambo moja kama unavyofikiria wao wanatengeneza mambo mengi ila wanagawana katika familia flani wewe utasimama dukani, flan utakua hapa so nyumba inakua na vyanzo vingi vya mapato na havimtegemei mtu mmoja kama tunavyoaminishwa.
@dannypeter495121 күн бұрын
Unaongea na wadada peke yao?
@hamasikatv20 күн бұрын
Asante kwa maoni yako, Hiyo Seminar alikua anazungumza na Hao Wanawake Wahasibu ingawa ujumbe ni kwa wote Tuendelee kujifunza
@DishenKabuje19 күн бұрын
chukua linalo kuhusu
@user-ib1kp5ch4m7 күн бұрын
Unapata wap mtaji wa kuanzisha hzo multiple sources? Mbn mnatuchanganya,mara mnatwambia tudeal na kitu kmoja
@tukumbwikemwakatundu20526 күн бұрын
Uki deal na kitu kimoja kikifanikiwa kitakuwezesha kuanzisha kingine na kingine. Hauwezimkuwa na multiples kwa mara moja..