Рет қаралды 9,818
Utawala wa Mtemi Isike Mwanakiyungi wa Unyanyembe ulikomea hapa baada ya askari wavamizi wa Kijerumani kupambana naye katika ngome yake wakitumia silaha za moto ikiwemo mabomu na hatimaye kufanikiwa kumwondoa. Fuatilia historia hii kwa kutazama video hii..
#JukwaaLaFursaZaBiasharaTabora