Mkama mashauli napenda Sana kabira angu la kijita❤❤❤❤❤
@thomasbutingo172 жыл бұрын
Ukinambia wajita ni sawa na wakwaya,wakerewe na waluli apo sawa lkn c ayo makabila mengne uloyataja
@stanleybupambambogo33342 жыл бұрын
Nadhani wewe una ufahamu wa leo na jana; yeye amechimbua ya leo, jana, juzi, juzi ile, mtondo, mtondo-go na kadharika, na kadharika... Naamini hii ni fursa kwako ya kujifunza na kuongeza ufahamu juu ya historia ya kabila lako kuanzia ulipo kurudi kule ulikokuwa huna ufahamu nako... Hiyo ndo njia nzuri ya kujifunza historia ya jambo lolote husika.
@georgemark1470 Жыл бұрын
Nadhani hujui kinyarwanda, kiganda na hayo alotaja. Wajita wanasikilizana na hayo makabila. Mie mjita mnyarwanda akiongea au maganda namwelewa uzuri sana.
@user-bc1fv2kv7h8 ай бұрын
Napenda kusimlia waluli
@julianajosia7144 Жыл бұрын
Asante sana kutujuza historia yetu
@SalustiaMisana2 ай бұрын
Wajitaaaaa oeeeeeeh,😂😂😂😂
@mohameda.i.baranyikwa65515 ай бұрын
Tafadhali tuletee historia hlisi ya Wajiji wa Ujiji, Kigoma Tofauti na uongo usemao kwamba wao ni Warundi au Waha
@kazikazini10422 жыл бұрын
Bwire mganda, Makori mkenya .Tatizo jina likionekana linafanana au linaelekea kufanana na maneno ya kijita bas anakuwa mjita. Kazi nzuri lakini epuka dhana ya "kujaza" .
@vedastushamis390 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@easternyerembe7271 Жыл бұрын
Alaa kumbe! Nlikua cjijui
@user-dq3fj6po9r7 ай бұрын
Asate sana kaka
@ashakusaga32503 ай бұрын
Nnacho jua me ni mjita tena Timba kbsaa from Tz habar ya nmetokea wap achana nazo utachanganya watu.😅 ila waambie me n Mtanzania OG
@gloriamackanja25622 жыл бұрын
Ahsante sana
@sylvesterngazila57642 жыл бұрын
Apo upo sahii tusiojua historia za makabila yetu tutafahamu
@BenyJob-ql5zx Жыл бұрын
chinuno magoti ni baba ang nimesikia ad nikamkumbuka nimeumia sana leo hiii ayupo na amewah kua mbunge dah Yesu yupo nae
@KusagaMasatu-zc3el10 ай бұрын
Hapo vema
@laurentsamwel81742 жыл бұрын
Historia ya kabira la wa nyamwezi
@eliasaphmulebya83042 жыл бұрын
👏👏👏
@mjinjamanani58852 жыл бұрын
Niko nyumbani leo
@mukakachisumo85973 жыл бұрын
Saw
@mrsjoelkinyota85002 жыл бұрын
Waha na wajita wapi na wapi uongo mtupuuuu
@davidibrahim9138 Жыл бұрын
Usibishe wewe kijita na kiha tofauti ni ndogo sna au we ndo haujui
@melchizedeks.massola4832 Жыл бұрын
@@davidibrahim9138 Waha na Wajita wapi na wapi? Uongo mtupu
@easternyerembe7271 Жыл бұрын
Abharamba
@dianamseka12333 жыл бұрын
Andika na Historia ya Wasukuma
@MagrethKagere-uw5xn10 ай бұрын
Kabila la wamwera
@tabulugoe99669 ай бұрын
Hujui wewe historia unapiga piga tu huwezi kutaja historia ya wajita bila kumtaja balozi Nimrud Lugoe na Antony Mtaka Wakuu wa mikoa
@mwizarubisylvester9772 Жыл бұрын
Naomba unitafutie nyimbo ya kasaunga na kama itawezekna uitaftie maelezo ya kile kilicho imbwa
@user-ik4pk6gl2m4 ай бұрын
Owenda olwimbo lwa kasaunga wasu
@zerapeter34513 жыл бұрын
Kwel
@dominickmsyangi644 Жыл бұрын
Umemsahau Thomas Lisso alipapata mastas ya education miaka 1961
@joshuaongaga2064 Жыл бұрын
Muriyoo wajita😂😂
@onionpeeling5822 Жыл бұрын
Jita wana ukaribu zaid na kabila la Igbo pia . Ni wabantu tu hao ..
@georgemark1470 Жыл бұрын
Wajita wote si wabantu bali walipofika Musoma na kuchangsnyika na wakwaya na waruli waliongea lugha yao. Kuna wenye asili ya toka Sudan na Ethiopia. Wako kama washombe na pua ndefu, ni warefu. Vijiji na majina yanaingiliana na watutsi Pia. Mfano nawajomba zangu wajita mara nyingi niliwashangaa wako kama waethiopia na wasudan. Ndo nikaelezwa asili yao toka huko. Tusilazimishe mambo historia inajulikana.
@onionpeeling5822 Жыл бұрын
@@georgemark1470 yupi huyo amelazimisha kitu??🤔
@onionpeeling5822 Жыл бұрын
@@georgemark1470 inaenda mbali zaidi ya ututsi or uethiopian .. Inaenda hadi kabisa kwenye kabila la kihebrania ndugu .. Hebrew .. WaJita inasadikika wana chimbuko hilo