Millard Ayo nkiona tyu umeweka kitu kwenye chanel yako Basi ata kabla cjaingia kukiangalia hicho kitu nakua nshaelewa kuwa ni habar au Jambo lenye mantiki kwa jamii,kwa kifupi unafanya kazi vzur Sana bro...,nakubali kazi yako❤️❤️🙏🙏
@abdallahantony95243 жыл бұрын
Du sisi tumesahau tulikua tunapanda kwenyeminazi uko korogwe vijiji.Asante MUNGU .
@shabanimagogo5023 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@emmanuelbonifase11143 жыл бұрын
Mngeanguka uko atare
@nz61813 жыл бұрын
I salute you Milard..Good job excellent TV@London
@millicentouma23243 жыл бұрын
AFRICA Africa. I Love Africa, Everything is possible 🤣🤣🤣
@vincentmokenye44653 жыл бұрын
😍😍😍
@beautyibrahim84283 жыл бұрын
KUmbe ni kwa kona talee apo tatizo limeishaaa
@yusrajonathan86683 жыл бұрын
Millard nakukubali sanaaa big up broo
@kisokakasuku21373 жыл бұрын
Big up Millard Ayo
@amiabillity16353 жыл бұрын
aaah jaman wamitandao ebu angalieni xn hili,tatueni haraka xn tupo uchumi wa kati bhn aibu hii
@edwardmkwelele3 жыл бұрын
UCHUMI WA KATI WA KUDANGANYANA TU NA WATU WACHEKELEA SI UJINGA TU
@mathewlive13723 жыл бұрын
Serikali Ya JPM awaletee mnara hawa walipa kodi tuendelee kusonga
@juliaayieta25783 жыл бұрын
Duuuh! Kweli. 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
@selector7283 жыл бұрын
💋💋😍😍
@officialbaloteli79653 жыл бұрын
Daaah kwa kwel tanzania ni kubwaa🙌🙌🤝🤝
@daliamtanganaki8183 жыл бұрын
Asante broh millard kwa habari
@joshuambise13433 жыл бұрын
nice
@shaniahrachma31143 жыл бұрын
Ma sha Allah kama hawaibiani nataka kuja kuishi huko jmnn 😇😇😇😇🥰🥰🥰🙏🙏
@mwahejaporongdt17663 жыл бұрын
Dah 🤣🤣🤣
@allymahamudu94923 жыл бұрын
Ndio vizuri sana
@latifamkulazi83783 жыл бұрын
Asante Ayo tv nikwetuhuko ningependa aangalie na njia muheshimiwa kwani ikinyesha mvua ni changamoto hasahapo matuli kuelekea MKULAZI magari hayaendi hospital hakuna ukiwa na mgonjwa unuhitajika ufike morogomo mjini na mudahuo unakuta kumejaa maji na tope yaan sikwa baskel wala pikipiki. Muliangalie hilo tafadhali.
@mcsailas83283 жыл бұрын
😂😂😂😂HUU NI UTALII NA WASILETE MNALA
@bintmrisho35263 жыл бұрын
Kabisa😂😂
@youngchua6973 жыл бұрын
amizing
@jydon84053 жыл бұрын
Waah Sas mwana Harakati Nimesha pata Detail inanibidi Nitafute Nauli ya Kuja huko😂😂😂😂😂😂😂
@braydonmrema6013 жыл бұрын
...ukafanyaje jomb🤣🤣
@al4classic6913 жыл бұрын
Duuh tigo wekeni mtandao huko mtapiga sana hela
@fredsengo41223 жыл бұрын
👍
@isakamwakasege42003 жыл бұрын
Hatariii dah
@emmanuelzao3 жыл бұрын
😎
@gladsonbaltazary74493 жыл бұрын
😂😂simu haina issue..nenda na demu mzuri uwone watakavyomloga
@newforcejv97213 жыл бұрын
Kweli Morogoro Vijijini 😂😂😂 wa Moro Tujuane
@pendolazaro46863 жыл бұрын
Jaman
@thabitalwiy13 жыл бұрын
Inamaa hapo ukiwacha iPhone ya macho matatu ukirudi unaikuta🤣🤣🤣
@tousihhhh67653 жыл бұрын
hii kali san mm sasa ninadanga langu inakuwajeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@babamohammad95783 жыл бұрын
Hi
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
Nomaaaa🤣🤣
@fatimamtoo92883 жыл бұрын
Yanikuwepo hayo kijijini kwetu sasa hivi mashaaallah
@d.a.t33833 жыл бұрын
Umesikia Lodi spika
@ahmuhally44303 жыл бұрын
Tanzania ya Viwanda
@syongomangule80273 жыл бұрын
Wanaacha sim duh kwanzia sasa wasiache vibaka watakuja
@jafarimohamedi7900 Жыл бұрын
Aaaah weeh hawaibiani kwa sababu ni wachawi hao ukiiba umekufa
@alfredjohn56933 жыл бұрын
Ukiitoa kwa kopo mtandao unahama😂😂
@babamohammad95783 жыл бұрын
Gm
@blandinamnyinga83183 жыл бұрын
Kazi jamani watu wanamiliki smartphones lkn network yenyewe hakuna kweli Tanzania kubwa na maendeleo bado sana
@fadhilisteven18173 жыл бұрын
Kwaiyo
@vincentmokenye44653 жыл бұрын
Uchumi wa kati
@rubenisaitoti36123 жыл бұрын
Usijali mungu atakujalia
@emanueledwin56853 жыл бұрын
Wa kumi kukoment naombeni like zenuuu kwa kuwahi
@alluminiumexperttz.12mview133 жыл бұрын
Voda, Tigo, Airtel na mitandao mingine wahini fursa acheni uzembe
@hizamwaimu39183 жыл бұрын
Duuuuuh kweli hatali
@shikuassi48763 жыл бұрын
Duuuuh.
@ferouzmasoud47413 жыл бұрын
Duuuh 😲 yakwel hayo jamani Hv niache iPhone yangu kwenye kopa then niikute,,,,,Hapana hao wanaacha zle simu za mafungu sh 750 😂
Milad ayo kuja na kwetu kilanya lyamungo bana Hakuna network ukitaka mawasiliano lazima uende shamba ama upande kwa mti ndio upate network bana
@fetychina32733 жыл бұрын
Duh!poleni
@loner_wolf3 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/iLiFjJmc366lXWQ.html TUKATAZAME MANENO YA HARMONIZE YALIYOMLIZA BABA DANGOTE😭😭😭😭😭😭
@fasconeroh87403 жыл бұрын
Daaah matuli nyumban 😂😂😂 kitambo sana
@davidnchoji3 жыл бұрын
Nilipitia jambo hili pia, Mpanda vijijini huko daah noma sana
@duniakiganjani62353 жыл бұрын
Millard naomba tutafutane ndugu yangu nna bonge la habar ambayo itakuwa msaada kwa watanzania wengi
@erastosolomon45543 жыл бұрын
Hilo tatizo lipo pia maeneo mengi ya Tanzania kupata mtandao hadi wapande milima na kama kuna shida ya muhimu usiku wa manane huwezi kupata mawasiliano
@jamilasalimvilog67523 жыл бұрын
duh poleni sana
@oparetionmaalum90303 жыл бұрын
Morogoro Kuna dini ndomana kunaimani na Wana aminiana hawaibiani Allah akulindeni na akuzidishieni imani
@mnyamamedia74393 жыл бұрын
Tatizo so kuiba tatizo atapigia wapi zaidi ya hapo
@ramadhaniabdi95303 жыл бұрын
Mie Simuamin Kabsa Huyu Jamaa Kwa Maneno Yake Naona Bdo Ni Zle Porojo Za Kwenye Mziki Tu Ila Mwambie Miaka5 Sio Mingi
@ilovejesus93033 жыл бұрын
Really 😳🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@dotosalim50903 жыл бұрын
Tena nitaiweka siku mbili 😄😄😄
@samuelnyabange20693 жыл бұрын
Simu yangu ina ukubwa wa Berri ya gari aina ya L/cruiser. Niandalieni kopo la aina yake.😁😁
@aminaharun11033 жыл бұрын
Khee hapo.usalama ni zero
@teacherd3 жыл бұрын
Mwanfunzi ujisikii Kusoma?? Huna mood ya Kusoma? kzfaq.info/get/bejne/ocyDn5urmL69oas.html
@khadeejasaif78303 жыл бұрын
😃😅🤜
@johnmgodi75453 жыл бұрын
Daa maisha magumu sana hayo...
@mohamedhaidar80403 жыл бұрын
Hii habar kumuhusisha na babu tale..??
@emanuelleopod39493 жыл бұрын
Matuli Moro iyo 🤣🤣🤣🤣🤣
@erickendrick33303 жыл бұрын
Duuu
@EmanMic3 жыл бұрын
it pains
@christinafraha6173 жыл бұрын
Hahahaaaa
@hajeralqaidi21153 жыл бұрын
Kiboko
@dotosalim50903 жыл бұрын
Nakuja kuweka cm yangu kujaribu mitambo
@missmoona44973 жыл бұрын
😂😂😂😂😂kama umeichoka lkn unawaamin et kaweke uone😂😂😂
@zubedaselemani62203 жыл бұрын
Babu tale got something very special .......magufuli wa makuyuni😍😍😍😍😍
@user-je1id1tx1u3 жыл бұрын
Hicho kijiji ni naweza kusema hakuhitaji kituo cha polisi
@shadagadagga99223 жыл бұрын
This is too shame to our country!.
@mbungetekenya89613 жыл бұрын
Kiki za kule zinaletea uku
@rabsonchisumo66403 жыл бұрын
Hahahah
@susanbett43253 жыл бұрын
Ikinyesha mvua je mtafanyaje?
@sadockalfred17103 жыл бұрын
Nikienda huko naiba zote kudadeki 😂😂😂
@georgeisdory99983 жыл бұрын
Wametenfeneza minala yao guys makopo yana chembe chembe ya madini au mionzi inayo safirisha inter au mawasiliano
@norbypoltv3 жыл бұрын
Noma sana kaka..Lakini naomba tuache tabia hizi mwaka 2021👉👉kzfaq.info/get/bejne/b8qXiJZ71q-Rnok.html
@alexsimoni42773 жыл бұрын
shida saana sasa utakaa mdagan hapo ukisubili kupigiwa
@ibrackibrahim69093 жыл бұрын
Duniani kuna vituko vya ajabu
@singujoseph28963 жыл бұрын
Anza kufanya mazoez
@emiliamhagama85533 жыл бұрын
Mmmhhh
@amosmahona4333 жыл бұрын
Haha hahaha
@blandinamnyinga83183 жыл бұрын
Asante Ayo TV kwa kutoa sapoti kwa babutale
@ahz69073 жыл бұрын
Nadhani hawawezi kuibiana simu kwakuwa ukiiba itakubidi uilete hapo kupata network.labda uiuze mbali na hapo.😀
@vincentmokenye44653 жыл бұрын
Umeona
@kenybenjiz78503 жыл бұрын
Mmh
@tonnyanthonys21593 жыл бұрын
Tanzania kama Ulaya
@hasanissantambarasamata34193 жыл бұрын
Msije mkamruhusu kitale kuja hilo eneo
@shidnyovest90293 жыл бұрын
Duuuh!! kwel so PW
@malongofalu52613 жыл бұрын
Kuna watu wanaish mazingira magum lkn serikal haion hay