No video

CHUMBA MAALUM ANACHOLALA RAIS "SIMU HAIINGII"

  Рет қаралды 428,790

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 525
@zaym7769
@zaym7769 3 жыл бұрын
Mbona kawaida sana. Kwa awamu ya uncle Magu msitegemee atoe pesa kizembe hivi hizi ilikuwa enzi za Marais waliopita.
@missdecharmecelio9465
@missdecharmecelio9465 3 жыл бұрын
Yaani umeniwahi sana, chumba cha kawaida saaana,vitanda vibovu ati 1,500$, 1000$ kiekiekie
@bobchanda2460
@bobchanda2460 3 жыл бұрын
TANZANIA 🇹🇿,, wewe ndo mtangazaji namba moja kwa maoni yangu
@johnstonemwambela2971
@johnstonemwambela2971 3 жыл бұрын
Ààaa
@bobchanda2460
@bobchanda2460 3 жыл бұрын
@@johnstonemwambela2971 aaaa nini sasa
@macarubomaryann338
@macarubomaryann338 3 жыл бұрын
Kweli nampendaga sna
@ceciliaduttu59
@ceciliaduttu59 3 жыл бұрын
Yes
@falconheavy9
@falconheavy9 3 жыл бұрын
This was impressive....keep up the great work you're doing!
@joasitz9559
@joasitz9559 3 жыл бұрын
Great, Tanzania 🇹🇿 your truly beautiful country. I can see how you own amazing things
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 3 жыл бұрын
Hotel Tanzania 🇹🇿 very expensive halafu hakuna cha ajabu,,ukienda nchi nyengine ukiona hotel zao ni nzuri zaidi na sio ghali
@graceyates1488
@graceyates1488 3 жыл бұрын
Very true But we can only learn from them.. Kusema kweli million 3 kwa kitanda na view hiyo Mmmhhh BADO
@amanimuyombe6136
@amanimuyombe6136 3 жыл бұрын
Hapo issue siyo maajabu ya chumba kimuonekano bali kinachofanya chumba kiwe bei ni aina ya watu waliowahi kulala hapo. Mfano mtu akipata t.shirt aliyovaa messi uwanjani anaweza iuza hata Billioni 1 mnadani wakati kiuhalisia bei ya hiyo t.shirt ni 40,000 tu
@amanimuyombe6136
@amanimuyombe6136 3 жыл бұрын
Chumba ushaambiwa huwa wanalala marais na mawaziri😀😀 hata kingekuwa chumba cha udongo na nyasi bado kingekuwa bei tuu!
@binsultan6981
@binsultan6981 3 жыл бұрын
@@graceyates1488 ii ni bei ya hotel ya chini ya MAJI na kuta za vioo unalala huku samaki wankzngk
@missangela6720
@missangela6720 3 жыл бұрын
@@binsultan6981 mbona kawaida sana hiyo. Wengine ndo nyumba zetu hizo deileee
@daprince7545
@daprince7545 3 жыл бұрын
Millard imagine saii niko kwa presidential suite room niko na week moja tuko kikazi inje ya africa. Nilibahatika kupata hio room it's amazing.
@aishasaeedally136
@aishasaeedally136 3 жыл бұрын
Hela ya kulala hapo siku moja nimenunua kiwanja 😂😂 akili za kimaskini daaah
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 3 жыл бұрын
Kiwanja mbwinde nachumba chakulala kabisa
@juliuswamahiga2286
@juliuswamahiga2286 3 жыл бұрын
Well done young man,,,, keep it up and God bless
@thegreat.9869
@thegreat.9869 3 жыл бұрын
Daaah.. ila pa kawaida sana.. tv yenyew ya ajabu tu... waboreshe zaidi ndani ni pa kawaida ila nawapa bigup
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 3 жыл бұрын
Kama umetembea sehemu nyingi ...Gonga like kua hiyo kawaida sanaa
@shangwekamando2599
@shangwekamando2599 3 жыл бұрын
kawaida Bila nauli?
@hosianamosha389
@hosianamosha389 3 жыл бұрын
Millard uko vizuri hongera
@jamesaldeligo2459
@jamesaldeligo2459 3 жыл бұрын
Utackia mtu anasema pakawaida sana , Ila ukiangalia huenda hana hata kitanda chumbani kwake🤣
@noelaemmanuel397
@noelaemmanuel397 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂hapo kulala ndugu hapna jamn duh
@donatimr656
@donatimr656 3 жыл бұрын
Wherever how the life will be ....I will be more famous and influential than milardayo
@furahaiddi533
@furahaiddi533 3 жыл бұрын
Good luck
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
Pambana
@donatimr656
@donatimr656 3 жыл бұрын
@@furahaiddi533 thanks
@donatimr656
@donatimr656 3 жыл бұрын
@@ilovejesus9303 thanks
@millardayoTZA
@millardayoTZA 3 жыл бұрын
ALL THE BEST Mtu wa nguvu Donati
@yakubuiddy4454
@yakubuiddy4454 3 жыл бұрын
Milioni3 usikuu Mmoja Dahhh Sisi tunalipa 7000 Mtaani Usikuu Mmoja
@teddymwageni1763
@teddymwageni1763 3 жыл бұрын
Nimecheka kwa sauti
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 3 жыл бұрын
Vyumba hivi vipo kwenye nyumba zetu.....Namshukuru Mungu kwa hilo
@happyjohn5882
@happyjohn5882 3 жыл бұрын
Hahaaaaaa
@sarahtaste2876
@sarahtaste2876 3 жыл бұрын
Weee ni mpumbavu sana nimecheka kifala😁😁😁😁😁
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 3 жыл бұрын
@@sarahtaste2876 Sarah....ntafute uone kwenye whatsapp...0753499783
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 3 жыл бұрын
@@sarahtaste2876 Jitahidi.... Tusitukane tu ninyi Watu...tunamfatilia Sana Ayo.....
@sarahtaste2876
@sarahtaste2876 3 жыл бұрын
@@kalumbugideon4159 si nilisahau serikali inafatilia ayo tv 😁ila simalizi kucheka
@zuberykharoub6868
@zuberykharoub6868 3 жыл бұрын
millard ayo ubarikiwe sna unatoa habar nzur snaaa
@kitasyajohn9592
@kitasyajohn9592 3 жыл бұрын
Mwisho wa yote kila nafsi itaonja mauti na hayo yote hayatakuwa na sehemu katika ufalme wa mungu
@mosescharles5477
@mosescharles5477 3 жыл бұрын
😂😂😂😠
@lwagamwakalinga8038
@lwagamwakalinga8038 3 жыл бұрын
Umewaza kama mimi hahahaaa
@marceljohnkimaty4986
@marceljohnkimaty4986 Жыл бұрын
Wivu huo!
@faridahamis3844
@faridahamis3844 3 жыл бұрын
Kizuri jaman kipewe sifa loh viumbe hamna jema mzuri tena Sana👌
@mahengomahengo8191
@mahengomahengo8191 3 жыл бұрын
Hakina uzuri wakulipia kias hicho Cha pesa ubaradhuli na israf tu
@KhalidKhan-ud9cz
@KhalidKhan-ud9cz Ай бұрын
Tanzania mzuri Sana kwali 💖
@dorisndossi4734
@dorisndossi4734 3 жыл бұрын
Sio mbaya kwa sisi watu wa tourism tuliotembea tembea iyo ni ya kawaida sana yani sana
@tabasamtv6728
@tabasamtv6728 3 жыл бұрын
Nlikutana na hotel kama hii kahama nikalala kwa elf50
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
😊😊😊😄😄😄😄 umeona eheee zipo
@mtemvutv6406
@mtemvutv6406 3 жыл бұрын
Hahahahahahahahahah
@samweldaniel7982
@samweldaniel7982 3 жыл бұрын
Hahaaaaa nimecheka sanaaaa
@laurentchimbirani5990
@laurentchimbirani5990 3 жыл бұрын
Umeikuta au Umekutana nayo? kumbe kiswahili kimekuwa kigumu kiasi hiki?
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 3 жыл бұрын
Hahahahaha😂😂😂😂
@osodowilberforce2321
@osodowilberforce2321 3 жыл бұрын
Asante sana Madam Patricia kwa hiyo hoteli murua kabisa.Lazima nitapitia next time nikiwa Arusha-CAPITAL YETU YA AFRIKA MASHARIKI.
@dinnahdan3598
@dinnahdan3598 3 жыл бұрын
Mbona kama chumbani kwangu tyu😂😂😂
@yohanamaiga3031
@yohanamaiga3031 3 жыл бұрын
Umeona ee
@justinamichael5934
@justinamichael5934 3 жыл бұрын
Kawaida tu ata mi nikijikaza naweza kupasua
@juniorcx0114
@juniorcx0114 3 жыл бұрын
Alaf unaambiwa milion 3 na zaidi duu utasikia kod zipande
@musasabu6969
@musasabu6969 3 жыл бұрын
@@justinamichael5934 mzee ucku moja 3m bei gali xna
@credo7837
@credo7837 3 жыл бұрын
Ach dharau
@mwashiuyayoshuatv9829
@mwashiuyayoshuatv9829 3 жыл бұрын
Nakukubali sana Millard unanitia moyo mno .. unachapa kazi sana bro
@wilsongeorge4061
@wilsongeorge4061 3 жыл бұрын
Hakuna kitu hapo kawaida sna tena sna
@sopy3055
@sopy3055 3 жыл бұрын
So beautiful kiukwel hope one day before I die ntakua kweny sehem nzur kama iyo amina
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
Yaani kwa hayo mawazo lazima utalala. Wengine washaanza kusema bora mbinguni kuliko duniani. Nawauliza wanauhalika gani wakienda huko wataviona hivi😄😄😄
@mariaalenge2106
@mariaalenge2106 3 жыл бұрын
@@ilovejesus9303 mbinguni akuna chanyumba wala vitu vyote tunavyo viona hapa chini ya juwa vyote vitabaki mbinguni nikusifu tu
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 Жыл бұрын
Sehemu nzr ni mbinguni wewe
@kibasatv1524
@kibasatv1524 3 жыл бұрын
Very good Millard
@linustiba6085
@linustiba6085 3 жыл бұрын
Daah me nilishalala na8 nyerere dah Kina kunguni hichoo😀😀😀
@fabianndimanya2055
@fabianndimanya2055 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dah
@harunakayega5531
@harunakayega5531 3 жыл бұрын
Dollar elfu moja mia tano hii hii dollar ama dollar ya zambia
@kamanda007
@kamanda007 3 жыл бұрын
Tumelala Vegas five star hotel room for less than 200$ then hiki kibanda kichafu ndio 1500$... very bad joke
@2514SRK
@2514SRK 3 жыл бұрын
Hiyo ni Kama Lodge za Dodoma NJE Nzuri lakini Ukiingia Ndani Magodoro Kama yameokotwa na Ya Miaka 20 iliyopita. Kiukweli Lodge za Dodoma Mmmmmmmh NAPITA TU.
@upgo6112
@upgo6112 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣sema ulitaka za bei ndogo
@khadejarajab8007
@khadejarajab8007 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😭
@fadhili_masoi
@fadhili_masoi 3 жыл бұрын
3m,me nimetafta maisha yangu mpaka kesho sjawah ishika.da kwel imeandikwa kila mtu na msalaba wake nimeamini😎
@kennyseleman4623
@kennyseleman4623 3 жыл бұрын
Pole my😁😁😁😁
@yahyayazidi6767
@yahyayazidi6767 3 жыл бұрын
Nakukubar sana kuzidi mond ur like kina huna mafundo
@beatricemushi9072
@beatricemushi9072 3 жыл бұрын
Pakawaida sana jaribuni kutembea ndugu zangu wa Tanzania 💔😤😤😤😤
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 3 жыл бұрын
😁😁hata alale pazuri atakufa tu Na atalala chini😂🤣
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 3 жыл бұрын
@@bintiiddy7043 yeah
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 3 жыл бұрын
Ukitembea wewe inatosha
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 3 жыл бұрын
Tatizo pesa hatuna dada, tunatembeaje!! ?
@jacksonmalolage9476
@jacksonmalolage9476 3 жыл бұрын
Ww umetembelea bar ya mbege kule kibosho ndo unaona umetembeeea 😁😁😁🤗
@benardmwakilasa3969
@benardmwakilasa3969 3 жыл бұрын
Nimelala hotel kama hii morogoro kwa 70,000 na ni nzuri kuliko hii,funiture za kizamani
@queenbundala6188
@queenbundala6188 3 жыл бұрын
Apo kikubwa wanaangalia ulinzi sio uzuri wa vitu
@petermichael1862
@petermichael1862 3 жыл бұрын
Galanos boy
@hmjunior8140
@hmjunior8140 3 жыл бұрын
@@petermichael1862 haha
@emmanuelchacha6063
@emmanuelchacha6063 3 жыл бұрын
Jenga yako nyooooooo
@hadijamwanana2471
@hadijamwanana2471 3 жыл бұрын
Kule vikindu ndanindani kiwanja milioni 1 mpaka laki 8 hio nyingine naanzia kupandisha chumba kimoja Kama polic post Kisha nalala nikiamka pia siondoki maana yakwangu dah mi sijui nikoje mawazo yangu yakimasikini tu bac nishaona nyingi hio pesa👌
@noelaemmanuel397
@noelaemmanuel397 3 жыл бұрын
Hapo kulala ndugu hapna bhn hyo hela nanunua kiwanja kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂labda kwenye ndoto
@fischerkashaija3214
@fischerkashaija3214 3 жыл бұрын
Kwa bahati mbaya ukisha lala usingizi hukubuku tena umelala kitanda cha gharama gan wala sehemu gani hapo ndio unajua mungu ni mtukufu
@hildayusto2086
@hildayusto2086 3 жыл бұрын
Mnautani na Hela Nyie oooii
@kimolankenyenge7158
@kimolankenyenge7158 3 жыл бұрын
Aisee hyo hoteli naikubar mie nilishalala siku kumi bila kulipia
@johnbernad6806
@johnbernad6806 3 жыл бұрын
Bei zenu kubwa mno mzee magu halali humo ng'ooo
@victoriabulambo2029
@victoriabulambo2029 3 жыл бұрын
Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hela zote izooooooooo
@danielmathias160
@danielmathias160 3 жыл бұрын
Haina ht Rift room ya kawaida tu. Sema millard unawatangazia Biashara tu 😂😂
@sciencesocietyoftanzania5957
@sciencesocietyoftanzania5957 3 жыл бұрын
Lift sio Rift
@hassanali-ck2we
@hassanali-ck2we 3 жыл бұрын
kikubwa ni makazi ya milele yaliyo mbele yetu dunia ni mapito tu
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 3 жыл бұрын
Unakilii nyingi kama radio ya plastikii..hata ukilala kwenye mkeka unalala tu..chamsingi nimandalizi yako ya milele
@furahaiddi533
@furahaiddi533 3 жыл бұрын
@@dorcaskidoti249 lol but right
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
Raha enjoy duniani, huko makazi ya milele hujui utakumbana na nini. Hakuna aliyeenda akakuhadithia kukoje
@kiatu
@kiatu 3 жыл бұрын
Una maana kaburi 🤣🤣
@kiatu
@kiatu 3 жыл бұрын
Una maana kaburi 🤣🤣
@abdararashid8627
@abdararashid8627 3 жыл бұрын
Ulitakiwa kuhubiri vyuma wanavyoweza kulala wateja na si kutuonyesha chumba anachoeeza kulala Rais.
@landmadvdmbeyacity9561
@landmadvdmbeyacity9561 3 жыл бұрын
mamae zenu ata 10000 tu silali
@zakyahya4645
@zakyahya4645 3 жыл бұрын
Usenge upuuzi ujinga na ukosefu wa kufikili sasa iko c kama chumba cha Mwanangu tu mana ata changu akifikii
@shangwekamando2599
@shangwekamando2599 3 жыл бұрын
Una.njaa?
@zakyahya4645
@zakyahya4645 3 жыл бұрын
@@shangwekamando2599 sina njaa ila iko wal sio chumba cha kushangaza
@bahatibthomas9609
@bahatibthomas9609 3 жыл бұрын
Ahsante ilikuwa ni ni ni strategy maana staff strategy maana staff strategy maana staff strategy maana staff strategy maana staff strategy maana staff strategy maana staff mzuri to you guys for the below request and approval for MBA students also appreciate for
@siwemamichael690
@siwemamichael690 3 жыл бұрын
Chumba ni chakawaida sanaaa
@isamony58
@isamony58 3 жыл бұрын
Sasa hapo chaajabu nn tembeeni mkutane hotel zilizoo bombaa
@hogn4816
@hogn4816 3 жыл бұрын
True
@samuelnyabange2069
@samuelnyabange2069 3 жыл бұрын
Hata kama kuna huduma ya kuogeshwa kwa kulambwa na ulimi, 4m kwa usiku mmoja ni nyingi mno.
@linahsemindu9575
@linahsemindu9575 3 жыл бұрын
Samuel nyambange 😄😄😄😄😄😄😄😄
@amanmalik6917
@amanmalik6917 3 жыл бұрын
Umefika high level ya UBAHILI
@paschaziaignas6984
@paschaziaignas6984 2 жыл бұрын
Pa kawaida snaaa million tatu ya nyoko
@_ema_-yr7vm
@_ema_-yr7vm 3 жыл бұрын
AHAHAHAH MBONA YA KAWAIDA TU HIYO
@meshackseni9007
@meshackseni9007 3 жыл бұрын
We unayo?
@gagedamoursarusaru8079
@gagedamoursarusaru8079 3 жыл бұрын
Wow mahali pazuri sana 🇨🇦❤️🇨🇦
@albs1448
@albs1448 3 жыл бұрын
Wewe unaishi Canada halafu unasema eti pazuri,ebu acha uongo
@shkjumaa8939
@shkjumaa8939 3 жыл бұрын
kwan Canada ni mbinguni
@daudhenry6212
@daudhenry6212 3 жыл бұрын
Millard ayo upo vizuri
@dizzboss7526
@dizzboss7526 3 жыл бұрын
Million 3 daaaaa muda huo napata uwanja na najenga ka slope na ka hela ka mtaji daaaaa af mtu anatumia 24hours na pengine hafikishi hayo masaa 24
@idelphoncefrolian9067
@idelphoncefrolian9067 3 жыл бұрын
Milioni 3 ??? Mmmmnhhhh hebu kuweni serious basiii kwambaje natoka na hivyo vitu vya ndani nasepa navyooo auuuu
@TANZANIAFILMMAKINGTV
@TANZANIAFILMMAKINGTV 3 жыл бұрын
Carpet is disgrace this is very stupid marketing never seen
@BigZhumbe
@BigZhumbe 3 жыл бұрын
True
@yasinimswaki3026
@yasinimswaki3026 3 жыл бұрын
Shekh barahiyan
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 3 жыл бұрын
Ahsante Sana dada
@musasabu6969
@musasabu6969 3 жыл бұрын
Hivi kweny hizo hosteli za kfahali ukilala usingizi utofauti wake nini nyumba za kawaida ucngz wake unakuwa tofaut et
@shamzone388
@shamzone388 3 жыл бұрын
loooh hii hotel ni kama home yangu sijaona cha ajabu hata kidogo lift hamna makubwa Ukiumwa usiku unabebwA au utawachwa ufe
@twilumbakabelege3426
@twilumbakabelege3426 3 жыл бұрын
Ayo umesahau kofia
@Utulivu444
@Utulivu444 3 жыл бұрын
BORA NIKABET HUENDA NIKA DOUBLE HIYO MONAY 🤣🤣🤣 kuliko kupoteza kwa one night 😂😂😂
@priscamlyuka5531
@priscamlyuka5531 3 жыл бұрын
Umeona n vile htn pesa pia lkn cdhn nlivobahili mhhh bora nkanunue dera inayobak nafny .mengn
@Utulivu444
@Utulivu444 3 жыл бұрын
@@priscamlyuka5531 😂😂😂😂
@agneskigeme1197
@agneskigeme1197 3 жыл бұрын
Heeee mbona pakawaida sana
@frankkigelulye3521
@frankkigelulye3521 3 жыл бұрын
Jenga yako
@agneskigeme1197
@agneskigeme1197 3 жыл бұрын
@@frankkigelulye3521 atulingani sio tangazo
@veeJesus
@veeJesus 3 жыл бұрын
Watu wanamaringo et pa kawaida mfyuuuuuuu
@saraahtz1773
@saraahtz1773 3 жыл бұрын
I trust your news!!!!
@chifuthedoni8889
@chifuthedoni8889 Жыл бұрын
Hio room ilioandikwa mkapa futa afu andika jina langu nami nienjoy maisha!
@yahayab4u614
@yahayab4u614 3 жыл бұрын
Hata kwangu pazur
@magrethbenjamin4969
@magrethbenjamin4969 3 жыл бұрын
Uhujumu uchumi at milion
@stellamwakatulile3202
@stellamwakatulile3202 3 жыл бұрын
Miladi uko vizuri
@nabotinyalusi7079
@nabotinyalusi7079 3 жыл бұрын
Mirad baba lao
@francothadey5475
@francothadey5475 3 жыл бұрын
Vaa kofia ayo
@ayoubrasicky8153
@ayoubrasicky8153 3 жыл бұрын
Kwer panafaa
@zaizaitwaha6633
@zaizaitwaha6633 3 жыл бұрын
Ndani ni kwa kwaida sana kila kitu ndan ki cha kizamani
@felistershayo8222
@felistershayo8222 3 жыл бұрын
Hiyo ni kamera tu ikutoa picha vizur chumba kiko very standard na iko na vitu funiture natural smart asilia za kuvutia so n too much standard
@aq_ahmed
@aq_ahmed 3 жыл бұрын
Mbona iko kwaida sana
@bethadickson5242
@bethadickson5242 3 жыл бұрын
Millard we kiboko kaaaaah!!! Mpk huko umechimbaaa?????
@kelvinaudax8287
@kelvinaudax8287 3 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/aNqGapWFtbiZlnU.html Gusa link👆👆👆
@tinoman3623
@tinoman3623 3 жыл бұрын
Inanidrive crazy
@christophertarimo5047
@christophertarimo5047 3 жыл бұрын
Kibo palace nakulaga pepo pale
@engineertarimo7345
@engineertarimo7345 3 жыл бұрын
Room gani Sasa hizo. Mbn za kawaida tu
@aishayahaya5119
@aishayahaya5119 3 жыл бұрын
Kabisa 🤣 🤣 🤣
@berachahvalleys
@berachahvalleys 3 жыл бұрын
Chumba cha kawaida sana hicho
@justinamichael5934
@justinamichael5934 3 жыл бұрын
Tanzani bara hakuna mahotel ya kifari nina uhakika 98 pct
@happinesskabeya
@happinesskabeya 3 жыл бұрын
Bora Hyatt regency hotel 😎
@bahatibthomas9609
@bahatibthomas9609 3 жыл бұрын
M
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 3 жыл бұрын
Lo milioni 3 na kwa usiku mmoja hahaaaa hapo sasa Magu atawatumbua🤣🤣
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 3 жыл бұрын
Laki 2 sawa
@erickhaule8680
@erickhaule8680 3 жыл бұрын
Njombe Kuna vyumba vya elfu 4 seif msitufokee kwa milioni 3
@johnjoseph763
@johnjoseph763 3 жыл бұрын
Hahahahaa
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 3 жыл бұрын
Hahaahaaa nimekuona madamu mie hapo nimepiga sana kazi ya security ila pazuri kwa kweli ukweli sio dhambi
@bikozikomo9496
@bikozikomo9496 3 жыл бұрын
Eeeeeh 3m kwa cku mama
@abodetidings8392
@abodetidings8392 3 жыл бұрын
you start this long time ago
@muddyommy4699
@muddyommy4699 3 жыл бұрын
Yanga
@frankeliakim2200
@frankeliakim2200 3 жыл бұрын
Makin sana
@anicyaedward5605
@anicyaedward5605 3 жыл бұрын
Ngorongoro au
@judithkatabaro3294
@judithkatabaro3294 3 жыл бұрын
Nili lala tilapia hotel
@vivianoforo4760
@vivianoforo4760 3 жыл бұрын
Naijua hii
@ramadhanrajab2872
@ramadhanrajab2872 3 жыл бұрын
Iyo bei mnanipatia nawana wake wangap wakulala nao!????
@Fabulousmom509
@Fabulousmom509 3 жыл бұрын
Beautiful
@hawa-luumiwrty3144
@hawa-luumiwrty3144 3 жыл бұрын
Choo Sijaipenda
@chainbre275
@chainbre275 3 жыл бұрын
Mbona iko kawaida hivyo ila outside nikupoa kuliko ndani
@happyjohn5882
@happyjohn5882 3 жыл бұрын
Hahaaaaaa ndiyo yaan we acha bora hata hii ukienda Naura spring utacheka,bora godor langu na sofa yangu iko poa zaidi hahaaaaa
@chainbre275
@chainbre275 3 жыл бұрын
@@happyjohn5882 yani haikai Chumba cha président hata kidongo wafanye marekebisjo
@judithfrank8820
@judithfrank8820 3 жыл бұрын
@@happyjohn5882 Naura spring cku iz haipo kweny hadh kbs
@fordraymondjohnson2380
@fordraymondjohnson2380 3 жыл бұрын
Mmmh milion 3 laki 4 na 80
@mariammuscat4300
@mariammuscat4300 3 жыл бұрын
Naic
@japhetbenedicto6042
@japhetbenedicto6042 3 жыл бұрын
Hiyo hotel niyakimataifa
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 27 МЛН
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 19 МЛН
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 14 МЛН
Jua Kali Leo Alhamisi Usiku 22-8-2024 High Quality Definition
27:27
Ujenzi  Wa Apartments wa Gharama Nafuu
2:51
SwahiliUnits
Рет қаралды 19 М.
BMG TV: Mwanzo mwisho, nyumbani kwa Mfalme Zumaridi
14:21
BMG ONLINE TV
Рет қаралды 20 М.
Kutana na Baba na Mtoto, Marubani Air Tanzania
6:30
Air Tanzania Company Limited (ATCL)
Рет қаралды 173 М.
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 27 МЛН