Рет қаралды 592
Harakati za Chifu Merere wa kabila la Wasangu za kujijengea himaya yenye nguvu
-kabila hili la wasangu linapatikana mkoa wa Mbeya halmashauri ya wilaya ya Mbarali.
-kabila la wasangu wanazungumza lugha injulikanayo kama Kisangu..
-kabla ya kuweka ngome yao ya kudumu eneo lijulikana kama Utengule Usangu Wasangu walizunguka maeneo mengi ikiwemo eneo moja linalopatikana Mji mdogo wa Mbalizi uliopo Halmashauri ya Mbeya liitwalo Utengule Usongwe walifikaje fikaje Wasangu eneo hilo ?ambatana nami FURAHA SIMCHIMBA katika makala hii ujue hilo na mengine mengi karibu...