Acheni kuongea utumbo sasa hapo amejigamba kitu gani hapo konde boy ni mtu mmoja pisi sn tuu ❤
@user-ps5el6ef2u18 күн бұрын
Kinachoongelewa na mlichoandika haviendani😅
@titoamani-e8b14 күн бұрын
Harmonize hana imaani na kipaji chake tena ndio maana ameamua kua na uchawi..Mzee Popo...laana tupu😅😅😅
@eggysulle798818 күн бұрын
Jeeshiii la mtu mmoja jeshii kama jeshii 🔥🔥🔥🔥🔥
@ellyjimmy2218 күн бұрын
Suel tv we are watching 🔥
@donlee99928 күн бұрын
Ukubwa wajna utapendeza ukiambatana na mkwanja.
@boniphacemsafiri19 күн бұрын
Wale vywawa wako mbona hatujawaona pimbi na wasenge wengine kelele wote leo wapost na hili
@user-xp4re6tv8l19 күн бұрын
Vanny mkubwa sana
@margarethpolepole743819 күн бұрын
MkubwaMungu tu siyo Vann
@yussufamour997919 күн бұрын
We nn kafirwe uko Acha shobo
@margarethpolepole743818 күн бұрын
@@yussufamour9979 Acha matusi toa maoni tu nenda shule usiitumie simu vibaya
@youngrickericjames185018 күн бұрын
Mtangazaji unachokiongea ni tofauti na msanii anachojibu 💁🙄
@user-fc1pn6ee4zКүн бұрын
Bado sana harmo
@nzitogondwe99766 күн бұрын
Yeye kila mara mpaka amtaje mwamba diamond
@omarybakunda255419 күн бұрын
Unafiki wenu mm huwa siupendi
@AUGENSYLIVAND-rq7hz17 күн бұрын
Aaa Hawa hawaeleweki huwa ni kiki
@user-lb1nr2fw7t19 күн бұрын
Harmonize bado sana kwa lukuga
@BurundiMedia19 күн бұрын
wa Tanzania acheni unafki bila kupepesa macho wa mdomo Hamonize ni musanii muzuri ila kujilinganisha na Diamond bado sana kwa kweli afike kwanza level Rayvanny kwasababu Rayvanny pekeake kamzidi mbali sana Hamonize ila Hamonize anataka anataka kujifanya kua haujuwi kua Rayvanny mkubwa kuliko yeye anajuwa sana
@Peterchila-un2lx19 күн бұрын
Sahihi sana ndugu upo sahihi kabisa
@binkomhesi901919 күн бұрын
Poleni
@MbalasaJRMwakabalile19 күн бұрын
@@binkomhesi9019Ukikuwa kidogoo ukiwa na akili ya kuona kitu utaelewa harmo is better broo
@Farida-jx5nz19 күн бұрын
Harmonize Yani bd sanaaa sema yeye anajikubari sana kuliko ata mashabki wanavyomkubari
@DM_1519 күн бұрын
Duh unamjua konde kweli , kuna utofauti wakua popular nakua namafanikio kwa umaarufu naku shine diamond ni the best. But nguvu ya ku ficha ulichonacho na ku mention konde ni strong angekua dhaifu angepotezwa kabisa kwenye ramani ya muziki kama mavoko. Diamond usipokua imara ana hakikisha amekushusha hataki ushindani wa kuona mtu ana mpita ki ustar na umaarufu, kitu unatakiwa kujua ukiwa maarufu wafanya biashara wenye nguvu ya kuficha thamani wana tumia umaarufu wako kuingiza pesa, Diamond anatumika namakampuni mengi, mfano chibu perfume nimtu aliwekeza , diamond karanga nimtu aliwekeza wasafi media kunamtu kawekeza, wasafi bet, mkenya ka invest , peps mkubwa wao wahindi wamewekeza, air tel pia hivyo hizo kampuni zote hazi milikiw nayeye baadhi ana his nazo. Na unatakiwa kujua hakuna mtua anaweza kukulipa zaidiya anachopata. That means haimaanish hawezipitwa na wasanii wengine. Do you know that guy musion AY. He has a lot good result , bana boy wajuz tuu kawapita wengi kiuchumi, hivyo hata konde anawezakua wa juz aka mpita mondi pia inawezekana.
@jeremiahcharles602719 күн бұрын
Mbona anaiga kwa mond mpaka anakosea ,,,anaongea kwa uhumble sana
@lamecknzuzu973410 күн бұрын
Mond apewe heshima yake
@NGOSHA18 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@richkaja331716 күн бұрын
Mond jini sio mtu konde afanye kazi aache unafiki
@gustaphkadio514410 күн бұрын
Ili muuze lazima mumtaje diamond for no reason
@zerochanneltanzania379718 күн бұрын
Diamond will always be your papa…without him you aint shit. End of story.
@piusnyaboga90318 күн бұрын
Wewe n ng'ombe kila mtu amesaidiwa hat diamond alipitia mikono ya mtu
Wewe Baba ako ni Diamond.. Diamond ni Baba ako wewe..
@DamasLehani19 күн бұрын
Vanny kwani anaomba Nini ?
@enockezekiel412518 күн бұрын
Momentis duh
@yokossiaks867Күн бұрын
Simba angemchukia harmonize angemuacha kabla bado haijatoka
@SiraMinanda-k1nКүн бұрын
Chuki inakuja baada ya kuona mafanikio ambayo ukuyategemea kwa ulimsaidia, Aliyekusaidia anatamani uwe chini yake uendelee kuwa muhitaji kwake.
@JuliusOkanya18 күн бұрын
Aje kuliko simba
@SmilingBeaver-rf6sf19 күн бұрын
Dogo unajifanya wewe ni mkubwa
@shannarsaidSwahili19 күн бұрын
Rayvanny ni mkubwa kuliko huyu harmonize.....maana harmonize anavimba saana na bado yupo chini ya platinumz na vannyboy
@user-in7ie3mj9o18 күн бұрын
Msiwe mna kurupuka bhana😂
@RAZAKIMMALINDA15 күн бұрын
Language barrier 😂😂😂
@user-fh5xt9pr3v18 күн бұрын
Jesh na kiba ninwakali
@musiccaentertainment100k819 күн бұрын
Naona mashabiki wa rayvanny wanavyo weweseka
@eggysulle798818 күн бұрын
😂😂😂😂😂watapatapa😂😂
@karimjuma401919 күн бұрын
Mtangazaji unaongea sana
@Barakanenealldays-bp8cd18 күн бұрын
Anaongea kaaa mondi
@d-manb-free347818 күн бұрын
Think about Konde Gang kumebaki tu Ibraah na yeye ni Kama yupo and hayupo 😂
@margarethpolepole743819 күн бұрын
Diamond ni ya Kusaga yeye anashea ndogo na Ally Kiba yuko na waziri nyumq yake na ndiyo qliyemleta wa BBC London kuna siri nyuma ya pazia tulieni vijana