HARMONIZE AFAFANUA VIJEMBE ANAVYOMPIGA DIAMOND, “USINISEME TU NIKISTAHILI UNISIFIE PIA, SINA UKARIBU

  Рет қаралды 42,844

Millard Ayo

Millard Ayo

20 күн бұрын

Пікірлер: 79
@kelvinbeckson7554
@kelvinbeckson7554 19 күн бұрын
any one who like konde click like button here👍🏾
@dulladelzz13
@dulladelzz13 14 күн бұрын
Acheni kuongea utumbo sasa hapo amejigamba kitu gani hapo konde boy ni mtu mmoja pisi sn tuu ❤
@user-ps5el6ef2u
@user-ps5el6ef2u 18 күн бұрын
Kinachoongelewa na mlichoandika haviendani😅
@titoamani-e8b
@titoamani-e8b 14 күн бұрын
Harmonize hana imaani na kipaji chake tena ndio maana ameamua kua na uchawi..Mzee Popo...laana tupu😅😅😅
@eggysulle7988
@eggysulle7988 18 күн бұрын
Jeeshiii la mtu mmoja jeshii kama jeshii 🔥🔥🔥🔥🔥
@ellyjimmy22
@ellyjimmy22 18 күн бұрын
Suel tv we are watching 🔥
@donlee9992
@donlee9992 8 күн бұрын
Ukubwa wajna utapendeza ukiambatana na mkwanja.
@boniphacemsafiri
@boniphacemsafiri 19 күн бұрын
Wale vywawa wako mbona hatujawaona pimbi na wasenge wengine kelele wote leo wapost na hili
@user-xp4re6tv8l
@user-xp4re6tv8l 19 күн бұрын
Vanny mkubwa sana
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 19 күн бұрын
MkubwaMungu tu siyo Vann
@yussufamour9979
@yussufamour9979 19 күн бұрын
We nn kafirwe uko Acha shobo
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 18 күн бұрын
@@yussufamour9979 Acha matusi toa maoni tu nenda shule usiitumie simu vibaya
@youngrickericjames1850
@youngrickericjames1850 18 күн бұрын
Mtangazaji unachokiongea ni tofauti na msanii anachojibu 💁🙄
@user-fc1pn6ee4z
@user-fc1pn6ee4z Күн бұрын
Bado sana harmo
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 6 күн бұрын
Yeye kila mara mpaka amtaje mwamba diamond
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 19 күн бұрын
Unafiki wenu mm huwa siupendi
@AUGENSYLIVAND-rq7hz
@AUGENSYLIVAND-rq7hz 17 күн бұрын
Aaa Hawa hawaeleweki huwa ni kiki
@user-lb1nr2fw7t
@user-lb1nr2fw7t 19 күн бұрын
Harmonize bado sana kwa lukuga
@BurundiMedia
@BurundiMedia 19 күн бұрын
wa Tanzania acheni unafki bila kupepesa macho wa mdomo Hamonize ni musanii muzuri ila kujilinganisha na Diamond bado sana kwa kweli afike kwanza level Rayvanny kwasababu Rayvanny pekeake kamzidi mbali sana Hamonize ila Hamonize anataka anataka kujifanya kua haujuwi kua Rayvanny mkubwa kuliko yeye anajuwa sana
@Peterchila-un2lx
@Peterchila-un2lx 19 күн бұрын
Sahihi sana ndugu upo sahihi kabisa
@binkomhesi9019
@binkomhesi9019 19 күн бұрын
Poleni
@MbalasaJRMwakabalile
@MbalasaJRMwakabalile 19 күн бұрын
​@@binkomhesi9019Ukikuwa kidogoo ukiwa na akili ya kuona kitu utaelewa harmo is better broo
@Farida-jx5nz
@Farida-jx5nz 19 күн бұрын
Harmonize Yani bd sanaaa sema yeye anajikubari sana kuliko ata mashabki wanavyomkubari
@DM_15
@DM_15 19 күн бұрын
Duh unamjua konde kweli , kuna utofauti wakua popular nakua namafanikio kwa umaarufu naku shine diamond ni the best. But nguvu ya ku ficha ulichonacho na ku mention konde ni strong angekua dhaifu angepotezwa kabisa kwenye ramani ya muziki kama mavoko. Diamond usipokua imara ana hakikisha amekushusha hataki ushindani wa kuona mtu ana mpita ki ustar na umaarufu, kitu unatakiwa kujua ukiwa maarufu wafanya biashara wenye nguvu ya kuficha thamani wana tumia umaarufu wako kuingiza pesa, Diamond anatumika namakampuni mengi, mfano chibu perfume nimtu aliwekeza , diamond karanga nimtu aliwekeza wasafi media kunamtu kawekeza, wasafi bet, mkenya ka invest , peps mkubwa wao wahindi wamewekeza, air tel pia hivyo hizo kampuni zote hazi milikiw nayeye baadhi ana his nazo. Na unatakiwa kujua hakuna mtua anaweza kukulipa zaidiya anachopata. That means haimaanish hawezipitwa na wasanii wengine. Do you know that guy musion AY. He has a lot good result , bana boy wajuz tuu kawapita wengi kiuchumi, hivyo hata konde anawezakua wa juz aka mpita mondi pia inawezekana.
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 19 күн бұрын
Mbona anaiga kwa mond mpaka anakosea ,,,anaongea kwa uhumble sana
@lamecknzuzu9734
@lamecknzuzu9734 10 күн бұрын
Mond apewe heshima yake
@NGOSHA
@NGOSHA 18 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@richkaja3317
@richkaja3317 16 күн бұрын
Mond jini sio mtu konde afanye kazi aache unafiki
@gustaphkadio5144
@gustaphkadio5144 10 күн бұрын
Ili muuze lazima mumtaje diamond for no reason
@zerochanneltanzania3797
@zerochanneltanzania3797 18 күн бұрын
Diamond will always be your papa…without him you aint shit. End of story.
@piusnyaboga903
@piusnyaboga903 18 күн бұрын
Wewe n ng'ombe kila mtu amesaidiwa hat diamond alipitia mikono ya mtu
@GenerousAzard-fq1ym
@GenerousAzard-fq1ym 21 сағат бұрын
Excellence bro ​@@piusnyaboga903
@GenerousAzard-fq1ym
@GenerousAzard-fq1ym 21 сағат бұрын
Acha ujinga 😂😂😂mwenyewe aunalolote wala mwelekeho ndomana munaweka akili ya usahidizi
@AudaxLwekamwa-kt6eg
@AudaxLwekamwa-kt6eg 18 күн бұрын
Wewe Baba ako ni Diamond.. Diamond ni Baba ako wewe..
@DamasLehani
@DamasLehani 19 күн бұрын
Vanny kwani anaomba Nini ?
@enockezekiel4125
@enockezekiel4125 18 күн бұрын
Momentis duh
@yokossiaks867
@yokossiaks867 Күн бұрын
Simba angemchukia harmonize angemuacha kabla bado haijatoka
@SiraMinanda-k1n
@SiraMinanda-k1n Күн бұрын
Chuki inakuja baada ya kuona mafanikio ambayo ukuyategemea kwa ulimsaidia, Aliyekusaidia anatamani uwe chini yake uendelee kuwa muhitaji kwake.
@JuliusOkanya
@JuliusOkanya 18 күн бұрын
Aje kuliko simba
@SmilingBeaver-rf6sf
@SmilingBeaver-rf6sf 19 күн бұрын
Dogo unajifanya wewe ni mkubwa
@shannarsaidSwahili
@shannarsaidSwahili 19 күн бұрын
Rayvanny ni mkubwa kuliko huyu harmonize.....maana harmonize anavimba saana na bado yupo chini ya platinumz na vannyboy
@user-in7ie3mj9o
@user-in7ie3mj9o 18 күн бұрын
Msiwe mna kurupuka bhana😂
@RAZAKIMMALINDA
@RAZAKIMMALINDA 15 күн бұрын
Language barrier 😂😂😂
@user-fh5xt9pr3v
@user-fh5xt9pr3v 18 күн бұрын
Jesh na kiba ninwakali
@musiccaentertainment100k8
@musiccaentertainment100k8 19 күн бұрын
Naona mashabiki wa rayvanny wanavyo weweseka
@eggysulle7988
@eggysulle7988 18 күн бұрын
😂😂😂😂😂watapatapa😂😂
@karimjuma4019
@karimjuma4019 19 күн бұрын
Mtangazaji unaongea sana
@Barakanenealldays-bp8cd
@Barakanenealldays-bp8cd 18 күн бұрын
Anaongea kaaa mondi
@d-manb-free3478
@d-manb-free3478 18 күн бұрын
Think about Konde Gang kumebaki tu Ibraah na yeye ni Kama yupo and hayupo 😂
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 19 күн бұрын
Diamond ni ya Kusaga yeye anashea ndogo na Ally Kiba yuko na waziri nyumq yake na ndiyo qliyemleta wa BBC London kuna siri nyuma ya pazia tulieni vijana
@amohamed4969
@amohamed4969 19 күн бұрын
Diamond anamiliki 45% unasema ndogo!? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 8 МЛН
MWIJAKU AMLIPUA HAMISA MOBETTO, KUTEMBEA NA AZIZI K NI UPUUZI
11:42
Rayvanny X Harmonize - SENSEMA (Official Dance Video)
4:18
Rayvanny
Рет қаралды 4,9 МЛН