mtumishi unakitu chenye u Mungu halisi ndani yako naomba ufunikwe kwa dam ya Yesu usije igeukia tamaa ukapoteza kusudi la Mungu alilokuwekea.
@vivianboaz86534 күн бұрын
Oooh my Lord sijawah kuupata huu ufunua..Mungu nakushukuru kwa hili..mtumishi ubarikiwe sana
@PeterYohana-n4x2 күн бұрын
Ubarikiwee sana baba mungu wa mbinguni akubariki❤ by jonson matiko ktoka zanzibar
@gloriamahuna68039 күн бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji nliwahi kupita tu you tube nikasikiliza neno moja basi nimeanza kuwa nakusikiliza sana Kuna kitu Mungu ameweka ndani yako kuna namna unafundisha mtu anaweza kusikiliza bila kuchoka Asante sana na Mungu azidishe mafuta
@ericaedenthomas87103 ай бұрын
1. Nini lengo la kufunga Mithali 28:19 mfano wa malengo : shukurani ; kuhuishwa kiroho; nataka maongozi kutafuta mkakati; ruhusa...uponyaji wa uchumi; mwili; kupata neema kutatua tatizo 2. Kujitoa/ commitment -gharama inategemea na hitaji mzigo haraka.. 3. Jiandae kiroho ( jiweke sawa na Mungu- toba; tafuta maandiko ya kusimamia- Mungu hujibu neno lake ktk maombi Yer 1:12 4. Jiwekee ratiba 1kor 14:40. 5. Tarajia shukurani kwa shukurani- jenga jukwaa ..
@user-wq8qd1ny3t24 күн бұрын
Amen🙏🙏🙏 mtu mishi Wa. Mungu nime barikiwa kwa SoMo Suri sana
@ppcltdppc3402 Жыл бұрын
Na hii ndio Injili isiyogoshiwa nimekula kitu kilichokuwa kinanisumbua muda mrefu sana Mungu akubariki sana mtumishi
@paskaziasholla7471 Жыл бұрын
Anakuwa sehemu gani jamani
@ChristinaSanga-pl5jm5 ай бұрын
Mungu akubariki Mtumwa wake neno hili ni kubwa sana natamani kama ungekuwa na kipindi kwenye vyombo vikubwa vya habari ili kila mtu asikie kweli ya neno kupitia wewe
@Hekalueliasofficiel Жыл бұрын
Amen amen amen baba yangu una towa chakula Mazuri Sana wewe una faaa uko Sisi ni wa Drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@bathshebanyaboke7192 Жыл бұрын
AMEN AMEN AMEN MUNGU nakushukru kwa Mtumishi wako ambaye amenielimisha kuhusu mfungo barikiwa Sana mtumishi
@andelynsanga-ei5td Жыл бұрын
Ameeen nimekuelewa Mtumishi kwa Somo zuri kuna mahali umeinua kiwango cha Imani yangu
@dorothykinya43983 ай бұрын
Thanks Lord for meeting a wonderful man of God with search teaching be blessed man of God for blessings of word, umenitoa mbali.
@susannjoroge32044 ай бұрын
Mungu hajibu maombi lakini ana lijibu Neno Lake! Very powerful revelation!
@winfridamahali63492 жыл бұрын
Nimevushwa sanaaa na hili somo.barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa viwango vya juu 🙏
@neemaleonce1225 Жыл бұрын
Kiukweli nilikuwa sina huu ufahamu kabisa I know its Holly Spirit na sio kingine. Tunamsujudu yeye na kila mmoja amepata ufahamu. Ubarikiwe baba kwa kutupa haya maarifa
@jordanchisawilo6177 Жыл бұрын
Nipo Dodoma ila Mtumishi najengeka Santa na masomo haya
@paskaziasholla7471 Жыл бұрын
Neema huyu mtumishi kanisa lake liko wapi?
@israelnsekwa3002 Жыл бұрын
@@jordanchisawilo6177 Pastor BWANA YESU asifiwe MUNGU akubariki , jinsi anavyokutumia nimekuwa nikijengwa sana na mafundisho mimi ni mchangaji ila nimeanza kupata matokeo ninavyo endelea kujifunza
@gabriellumole81411 ай бұрын
Aminamtumishi
@gabriellumole81411 ай бұрын
Amina mtumishi
@dionisiakarata682417 күн бұрын
Asante Kwa somo mtumishi
@user-ps2rv2bj2d4 ай бұрын
Amen Mimi hapa ulikua unanishambulia Mimi Tu wala sio MTU mwengine Yani umenitoa uchafu wote na mungu aniongoze Kwa Kila kitu ubarikiwe 🙏
@user-mw6mn3xq4p4 ай бұрын
God bless you sikujua ratiba ya maombi mi hufunga but wee nachanganya Kila kitu Asante mutumishi wa Mungu barikiwa Kwa mafunzo mazuri nimejua Sasa ratiba ya mufungo
@reshinebakery28463 ай бұрын
Mimi pia
@farajafelix996427 күн бұрын
Amena!! Nimebarikiwa na kujifunza mengi kumbe nilikuwa naomba omba tu bila kufahamu hapa nimejifunza
@halaali2510 ай бұрын
Amen huwa naskia amani Sana ninaposikiliza mafundisho yako yananibariki na kunifungua pastor George Mungu yupo ndani yako ,natamani siku moja nije kanisani kwako nikuone Tu ,umenifungua vitu vingi Sana Sana , kwenye mafundisho yako.
@rachaeljames93645 ай бұрын
Nasikia aman sana nikisikiliza neno lako
@msafirishio3012 Жыл бұрын
Amina mtumishi Kwa kunifungua katika kuomba maombi ya mfungo
@doreen9516 Жыл бұрын
Very insightful! Asante Mtumishi, God bless you!
@FransiskaJohn-fq1nfАй бұрын
Amen amen ,ubarikiwe Kwa SoMo hili ,Mimi nafungaga tu bila malengo na kufuata utaratibu
@priscilamroso5827 Жыл бұрын
Asante mtumishi wa MUNGU nimebarikiwa na hili somo ,nimefunguka macho ,Asante BABA 🙏
@EvelinaMahenge-xi8fp9 ай бұрын
Asante pasta nimepata maarifa makubwa sana yanisadie kukua kiroho kweli nilikuwa nafunga wakati mwingine nikawa nakosa muda wa kuomba kabisa,ubarikiwe!!
@godfreyngichabe2777Ай бұрын
Asante pastor kwa neno la mungu
@user-uj8jt2vz9r11 ай бұрын
Namshukuru MUNGU Kwa ajili yako mtumishi wa MUNGU najifunza nilikua nafunga kidini.sasa nitafunga Kwa malengo Asante YESU Kwa kuniona
@beataselestine5862 жыл бұрын
Kuna hatua naenda katika maombi.. Mungu akubariki pastor George hakika ww ni baraka katika kizazi hiki.
@user-gh4ym7ji8v8 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Mimi ni mmoja wa maelfu wanaoponywa kupitia huduma hii ya utumishi wako mbele za Mungu. Namuomba Mungu anipe neema ya kuyafanyia kazi mafundisho unayotupa na siku Moja nije nitoe ushuhuda mbele za Mungu Kwa jinsi yalivyonivusha. Naendelea kuchuchumilia hadi uzima wa milele. Amen
@claricewasore Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji kwa ajili ya mafundisho ya kufunga nashukuru MUNGU kwa ajili ya kesho kwa mfungo wangu KUPITIA haya mafundisho 🙏🙏🙏
@maureenmgeni Жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu! Jina la BWANA lihimidiwe Milele
@neemashuma4302 Жыл бұрын
Mtumishi Mungu akubariki kwa somo zuri, na Mungu atusaidie sana kuweza kufwata ipasavyo, injili yako hii ya kweli isiyotuwa magumashi
@ruthmuchina39633 ай бұрын
May God bless you richly mafundisho yenye nguvu za mungu na kuelewa kwa urahisi
@angelamgale32283 ай бұрын
Nimependa Mafundisho yàko, sikuwa nimewahi kuyasikiliza. Barikiwa Sana Mtumishi wa MUNGU.
@pendoMwanji3 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.
@naikeminja2 ай бұрын
Nimejifunza kiasi kikubwa. Sikuwa najua jinsi hii. Hakika nimebadilika sasa . Barikiwa sana Mtumishi.
@lucymurugi47436 ай бұрын
Thank you soo much man of God,wewe ni wa baraka katika mwili wa kristo
@user-ur7ek2bc3l12 күн бұрын
Nashukuru mungu kwa ajili ya mtumishi wako naomba mtunze
@monicakuziwa44343 ай бұрын
Ameeeen Mtumishi umeniuniua upya sasa nitasimama
@KeziahKattawa-ed8lc5 ай бұрын
Asante mtumishi wa Mungu umenifundisha kufunga kwa malengo na gharama ya mfungo wangu
@user-tv4fm7rf1p5 ай бұрын
Asante Mtumishi wa Mungu, Mafudisho yamekuja kwa wakati.
@user-rs6cs3bs4i3 ай бұрын
I'm so blessed by your gospel, may GOD bless your pastor sure I have get many things from you 🙏🙏🙏🙏
@alicewangare76533 ай бұрын
Hakika wewe uko na neno sio maneno sikujui lakini wewe ni mtumishi wa Mungu utaenda mbali
@256Angel- Жыл бұрын
Wow sikuwa na ufahamu bt now am delivered thank you man of God More Grace upon u🙏
@gladyskiprono2461 Жыл бұрын
May God bless you for i learnt alot yenye sikuwa naifahamu.God thanks.
@WorshippersofGodarmy-ot1mk8 ай бұрын
Ubarikiwe sana mafundisho yako nayapata nikiwa Zambia, Mimi ni mchungaji, Niko Zambia, naimarika sana mafundisho yako yananiletea mafunuo mengi, kweli yananisogeza sana
@NeemaaliceK25463 ай бұрын
Nashukuru sana kwa mwongozo huu nitaufanyia kazi ,ubarikie sana mtumishi wa Mungu
@user-rs6cs3bs4i3 ай бұрын
Injili ya kweli ya mungu inayotakiwa ndyo hiiii mungu akubariki mnooo pastor George
@williethwilson18513 ай бұрын
Andika Mungu start with capital later
@FridahFridahcent-qk8hw8 ай бұрын
Amina, asante sana mtumishi wa MUNGU umenizaidia kabsa
@wemachristopher89124 күн бұрын
Amina mtumishi❤
@linahliz2130 Жыл бұрын
Umenifungua macho, nilikuwa sijui chochote,be blessed Man of God
@jacklinemakali18263 ай бұрын
Nafarijika kwa somo la mfungo amen
@rosekenya940111 ай бұрын
Amen,umenisaidia sana ubarikiwe pastor
@winfridamahali63492 жыл бұрын
Asante mtumishi nimejengwa sana na hili somo Mungu aendelee kuiutumia kwa viwango vya juuu
@joycemabariki9303 Жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi, umenifungua pakubwa sana
@user-nb4ms2vw8c7 ай бұрын
l love this man of God😊...his teachings are bomb💪
@esthershigongo85714 ай бұрын
Asante sana Mungu kwa kunifundisha namna ya kufunga asante mch nimekuelews ubarikiwe sana
@naseeralbishi47263 ай бұрын
Asante pastor kwa mafunzo mazuri aki nmejua mengi sana kuhusu mpangilio wa maombi
@user-gy5hu5fx8q8 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe mtumishi naomba kuuliza ule mfungo wa Yesu wa siku arobaini ulikuwa kavu ama lah,maana umesema kibiblia mifungo mikavu mwisho ni siku tatu ,naomba unielekeze
@felsonsanga85027 ай бұрын
Mchungaji ni mvivu kusoma comment za Washirika so angalia namna nyingine ya kumpata
@allymwanjota31116 ай бұрын
Barikiwa sana Baba hakika umenifungua MUNGU akutunze kwaajili yetu pia
@TEDYMAKAVISHE4 ай бұрын
Leo umenifungua masikio kumbe ndio maana tunaunga na hatupokei asante mtumishi Mungu alitumia zaidi na zaid
This is true gospel of Christ, I have been so much blessed!
@EliauMtishbi-os5ky3 ай бұрын
Nimeinuliwa cna , na nimepata uwelewa mkubwa 🎉
@macrinajoseph1422 Жыл бұрын
Amen.mungu.akubariki.sana.mtumishi
@reenyaysher76392 жыл бұрын
God i thank you for this Pastor, am so blessed.. thanks Jesus
@hffh77176 күн бұрын
Nimependeswa namahubili na nimeguzwa sana mnikumbuke kwa maombi please pastor mimi janet milani
@user-zs1hk3no3f4 ай бұрын
Hakika mimi umenipeleka mbali sana kwa mafundiso yako ya kufunga asnte sana ni martin mpeketoni kenya
@dr.violetsasabo9 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu nileo mara ya kwanza kanisani JRC kirumba ila imebidi nije you tube nimetamani mafundisho yote ya nyuma niyasikie aise nimejifunza sana🙏
@neemaloy889 Жыл бұрын
Amen Amen nimebarikiwa sana Mtumishi wa Mungu
@user-mu9vn1mq6v9 ай бұрын
Asante sana nimlishwa neno hili hakika mungu anisaidie nikaliishi balikiwa sana mtumishi wa mngu
@IreneMalema-wh9db6 ай бұрын
Daah ..... MUNGU akibariki sana kwa mafundisho yako baba angu%
@sekelamwangobola16744 ай бұрын
Amen Mtumishi, hakika umenifungua, nashukuru sana na Mungu akubariki.
@user-du1gd6op3b5 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu mafundisho yako yananibariki sana sana kiukweli
@kavuthalinah514 Жыл бұрын
i need to listen this word again and again
@VivianOnyango-tk4xw8 ай бұрын
Am blessed so much...Amen
@boniphacemwalikiamos451610 ай бұрын
Sijawahi kusikia kitu kama hiki😢😢 ubarikiwe.. Yer1:31
@kilimba6876 ай бұрын
Mungu akubariki Sana Mtumishi wa Mungu, nimejifunza kitu kikubwa Sana!
@sylvesterlogo85116 ай бұрын
Amina Mtumishi wa Mungu umenivusha kiwango Kingine ubarikiwe
@bosiboriwinnie13636 ай бұрын
Let God be glorified for your sake...... u'r a true man of God.....