Рет қаралды 122,221
Kwenye Leo Tena ya Clouds FM leo October 11, 2017 Mtangazaji Geah Habib ameifikisha Hekaheka iliyotokea Keko Dar Es Salaam baada ya mdada mmoja ambaye aliolewa na kukuta mtoto wa mume wake akilelewa na mama mkwe wake bila kujua kuwa mtoto huyo sio wa familia hiyo.