HEKAHEKA: Cheti cha kuzaliwa chafichua siri ya mtoto

  Рет қаралды 122,221

Millard Ayo

Millard Ayo

6 жыл бұрын

Kwenye Leo Tena ya Clouds FM leo October 11, 2017 Mtangazaji Geah Habib ameifikisha Hekaheka iliyotokea Keko Dar Es Salaam baada ya mdada mmoja ambaye aliolewa na kukuta mtoto wa mume wake akilelewa na mama mkwe wake bila kujua kuwa mtoto huyo sio wa familia hiyo.

Пікірлер: 85
@neemachalamila9494
@neemachalamila9494 6 жыл бұрын
Dah it very hurt kwa mtoto ,yaani haya mambo yasikie tu kwa mwenzio,mtoto cku zote anajua yule ni bibi yake Na ameishi vizuri,ni mcba mkubwa sana,Mungu amsaidie mtoto
@obedjobu306
@obedjobu306 6 жыл бұрын
Nomaaaaaaà sana ,wanawake muogopen mungu
@user-gd8kg5md9v
@user-gd8kg5md9v 6 жыл бұрын
Mmmmmh ila mama ndio anajua baba yake ni nani
@saudasj4379
@saudasj4379 6 жыл бұрын
Kaazi kweli kweli
@aminabhaya1518
@aminabhaya1518 3 жыл бұрын
Kilichokufurahisha Nini Sasa uyo n mwanamke mwenzio napia mtoto Hana kosa jitambue wer mwanamke
@sharifa2274
@sharifa2274 6 жыл бұрын
Looo hatari jamani niugumu wa maisha au inakywaje?
@jumamwita2317
@jumamwita2317 4 жыл бұрын
yote kwa yote hakuna hekima apo na ww unajiita eti uko marekani huna mke apo bali una wataka urithi apo jipange
@halimambwego8287
@halimambwego8287 6 жыл бұрын
Duniani kuna mambo
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 6 жыл бұрын
Mackini cjui ni njaa, Mmmh! ni sheeeeeeeeedah!
@hibaalfarsi7756
@hibaalfarsi7756 3 жыл бұрын
mumemtia mtihani mtto maskin. 😭😭😭hadi huruma.
@maximiliannestor5358
@maximiliannestor5358 6 жыл бұрын
noma
@mototv1599
@mototv1599 6 жыл бұрын
anaeathirika zaidi hapo ni mtoto
@mpakarangi8704
@mpakarangi8704 4 жыл бұрын
source of all is wealth
@hadijanoro5547
@hadijanoro5547 3 жыл бұрын
Raha ya kudanga
@meryfrank5272
@meryfrank5272 4 жыл бұрын
Mmmmm yan nyie ebu tuleteeni habari zinazoeleweka , mbona mwaanika ya wenzenu mazambi yenu mmeficha
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 3 жыл бұрын
Soko matola
@catherinejumanne9378
@catherinejumanne9378 3 жыл бұрын
Cha ajabu hapo ni nn nawakati na nyie ni wanawake muwe mnaleta habari za kuelimisha watu hata nyie hapo ya kwenu mbon hamyasemi nyoooooooo
@hildadaniel4892
@hildadaniel4892 6 жыл бұрын
kaz kwel
@leilakulwa3591
@leilakulwa3591 6 жыл бұрын
Kabla hujafa hujaumbika mwanadam, umbea tu, nayakwenu yasemeni.
@aishaabdion9802
@aishaabdion9802 6 жыл бұрын
Leila Kulwa imekutach nin hahahaha
@fadhiliazam6670
@fadhiliazam6670 6 жыл бұрын
hahahahahahah Aisha Abdion
@comfort-rjtv3291
@comfort-rjtv3291 6 жыл бұрын
Mazee haya jaman sio magig tuuu
@purryselestine4000
@purryselestine4000 6 жыл бұрын
Dunia simama me nishashuka mweeeeeh wanawake wana mambooo ila ata mtt wa zari pia sio wa D ni wa marehem napita kwa kunyapiaanyapia
@annamakubwahangaya2351
@annamakubwahangaya2351 6 жыл бұрын
Purry Selestine umbea huo
@naimarama5741
@naimarama5741 6 жыл бұрын
😩😩😩😩😩😩😩😩
@lucylucy2404
@lucylucy2404 3 жыл бұрын
Wasengee nyiee tu marekan mwajua au mwaisikia chukua mtoto huyo etiii
@ziadasalim8807
@ziadasalim8807 5 жыл бұрын
yatakushinda ww dada .mume Wa marekani kaoa kimeo
@neemaladislaus1331
@neemaladislaus1331 6 жыл бұрын
duh hatar
@denarddavid9202
@denarddavid9202 6 жыл бұрын
KWANI CHETI CHA USAJILI WA KUZALIWA UKATAJA JINA LANGU INA MAANA NI MATOKEO YA DNA? WE ANDIKA JINA UJIFURAHISHE IKO SIKU UKWELI UTAJULIKANA.
@seifmohamedseif9384
@seifmohamedseif9384 6 жыл бұрын
dreva bajaj nae mshikaji wako eh nawe atakutia mimba mke wa mtu una ushikaji na dreva bajaj wa nn
@sadaomary7278
@sadaomary7278 6 жыл бұрын
Seif Mohamed Seif A
@miriampaulo9027
@miriampaulo9027 6 жыл бұрын
Seif Mohamed Seif 😂😂😂😂
@shakilamasoud8979
@shakilamasoud8979 6 жыл бұрын
Kweli kuku wangu mwenyewe, manati ya nini? Mhh.
@sakinasheidhan4642
@sakinasheidhan4642 5 жыл бұрын
Wazazi mambo mengine wakati tunafanya tujue yanamuathiri vp mtoto hapo mtoto ndio itamuumiza sana
@dynesssteve7532
@dynesssteve7532 4 жыл бұрын
Namuonea huruma mtoto jamani
@johnngunga4717
@johnngunga4717 6 жыл бұрын
umalaya mbaya, tuwe waaminifu
@estheronyoro1452
@estheronyoro1452 6 жыл бұрын
Kitanda akizai haramu 😁😁😁
@rubyibrah2942
@rubyibrah2942 6 жыл бұрын
duuuuuh
@fridamapundasafi1862
@fridamapundasafi1862 4 жыл бұрын
Mama G dadaangu huyo naninamjua huyo Dada namkemwenzio
@shuwehaomar6658
@shuwehaomar6658 6 жыл бұрын
yawenzenu mwatangaza mbona ya bosi wenu Ruge hamjatangaza
@du8284
@du8284 4 жыл бұрын
😀😀😀
@hadijanoro5547
@hadijanoro5547 3 жыл бұрын
Looh
@halimashtwe8982
@halimashtwe8982 6 жыл бұрын
Ilikua haina haja uanike
@reemiiomar9386
@reemiiomar9386 6 жыл бұрын
Hahahahaha akina bisandra hao wanafananisha y mtu😂😂😂ati midomo jamanii
@aumamassawe2724
@aumamassawe2724 6 жыл бұрын
Reemii Omar
@du8284
@du8284 4 жыл бұрын
NAMAPA, NAMPA , NAMPA, NAMPA MWANDU💃💃💃💃🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️
@biommy6700
@biommy6700 6 жыл бұрын
Umbea tu...hizi nazo habari..munapeperusha hewani...musoleta habari za maana
@monicalucas2916
@monicalucas2916 6 жыл бұрын
Bi Ommy kwakwel
@johnngunga4717
@johnngunga4717 6 жыл бұрын
mie nisingewapa uyo mtoto
@hildadaniel4892
@hildadaniel4892 6 жыл бұрын
wangeambiwa warudishe garama ili wakome
@comfort-rjtv3291
@comfort-rjtv3291 6 жыл бұрын
Channel yangu mpya kabisa narusha matukio ya kila aina ili kuyapata bonyeza #picha_yangu hapo kwenye kitufe cha njano #like_tuweze_kwenda_sawa Asante
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 6 жыл бұрын
😂😂😂😊😊😂😊😂😂😂😂😂maana ya wanazengwe ndo nini? Kama nikabila naombeni kulifahamu maana siokwaa kubambikiziana
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 6 жыл бұрын
Mie baba angu anaitwa adam ila sina time naye maana kujipendekeza
@ramsojimmykelly3379
@ramsojimmykelly3379 6 жыл бұрын
Kitone Kantasha1 wanazengo ni wananchi
@reemiiomar9386
@reemiiomar9386 6 жыл бұрын
Kitone Kantasha1 n majirani wa mtaa unaoishi
@MariamsLifestyle
@MariamsLifestyle 6 жыл бұрын
Habari Karibuni sana kwenye channel yangu nafanya video za maisha ya huku italy ukitaka kuingia kwenye channel yangu bonyeza picha yangu hapo ili uweze ingia kwenye channel yangu
@obethmdeka4222
@obethmdeka4222 6 жыл бұрын
Kitone Kantasha1 Wananzengo ni wananchi lugha hiyo i atumika saaaana ukanda wa ziwa. Hada mwanza
@halimkepa7766
@halimkepa7766 6 жыл бұрын
Kaxi mnayo kweli
@tatut3889
@tatut3889 6 жыл бұрын
Mmh wanawake tunamambo wanawaza ulisitu
@nadirsaleh2347
@nadirsaleh2347 6 жыл бұрын
Tatu T Yn akilizenu cjui mnakamatiwa na nani. Nimechoka icho kituko
@omarymbalala6224
@omarymbalala6224 6 жыл бұрын
tanga hakuna soko kuu
@omarymbalala6224
@omarymbalala6224 6 жыл бұрын
+Sophie Alexander kwahiyo nikikwambia uje soko kuu utakika tangamano au ngamian au mgandin au uzungun
@josephmapunda7321
@josephmapunda7321 4 жыл бұрын
Me nasikiliza king kiba seduce
@mamapekupekupilipilimuwash9016
@mamapekupekupilipilimuwash9016 6 жыл бұрын
hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii makubwa dou mbona msitaje ni mtoto wa msanii yupi tujue
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 6 жыл бұрын
mama peku peku pili pili muwasho 😂😂😂😂😂
@elizambilinyi8449
@elizambilinyi8449 6 жыл бұрын
ngh
@dionicemabugo8045
@dionicemabugo8045 6 жыл бұрын
Dhuuuu
@ashuramakassara8071
@ashuramakassara8071 6 жыл бұрын
Haatariiiiii kubwa,ila mtoto ndio ataathirika kisaikologia
@arafaiddy8962
@arafaiddy8962 6 жыл бұрын
Duh noma sana😨
@naamanmanigina5703
@naamanmanigina5703 5 жыл бұрын
Arafa nichek Kwny Email....nmanigina1@gmail.com
@grorymchina342
@grorymchina342 6 жыл бұрын
mabig hahahahaha nimecheka jamani mwe
@miriampaulo9027
@miriampaulo9027 6 жыл бұрын
🙄🙄😂😂😂
@seifmohamedseif9384
@seifmohamedseif9384 6 жыл бұрын
hahaha mtoto fake hahaha so mtoto nae bashite au hahahaha
@hamisikayanda3281
@hamisikayanda3281 4 жыл бұрын
Shostialimzoeamtt hajammiss
@fatumaababy1281
@fatumaababy1281 6 жыл бұрын
Lol?
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 6 жыл бұрын
mabig ha ha ha ha
@hamisimachemba1743
@hamisimachemba1743 6 жыл бұрын
Yote njaa
@MariamsLifestyle
@MariamsLifestyle 6 жыл бұрын
Mwanajuma Mahundumla sana😂😂
@MariamsLifestyle
@MariamsLifestyle 6 жыл бұрын
Karibu kwenye channel yangu nafanya video za maisha yangu huku italy bonyeza picha yangu hapo ili uweze ingia kwenye channel yangu
@hadijasharifu1463
@hadijasharifu1463 6 жыл бұрын
hahaha
@SHEMAHONGE
@SHEMAHONGE 6 жыл бұрын
Hahahahah
@neemachalamila9494
@neemachalamila9494 6 жыл бұрын
Dah it very hurt kwa mtoto ,yaani haya mambo yasikie tu kwa mwenzio,mtoto cku zote anajua yule ni bibi yake Na ameishi vizuri,ni mcba mkubwa sana,Mungu amsaidie mtoto
@mjombamjomba1887
@mjombamjomba1887 4 жыл бұрын
Duh yanenikuta hayoo we acha tu inaumaaaaaa
@sophiealexander8703
@sophiealexander8703 6 жыл бұрын
Mmmmmhh!! Kuwa baba pia kunaitaji kuwa na wazfa
HEKAHEKA: DSM haiishiwi mambo, isikupite hii ya Kawe
25:45
Millard Ayo
Рет қаралды 28 М.
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 11 МЛН
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 45 МЛН
#MAKONDA" MAJONZI YAMETAWALA ARUSHAV WATU WAVAMIA OFISI ZA MKOA
29:56
Mbunifu wa trekta ya kulimia kwa kutumia injini ya mashine ya kusaga
3:56
KWAYA KUU wamuimbia MAKONDA tulijua tu kua yatakupata haya NENDA TU
7:50
Енот Тема накопал червей и принёс Лене 😨🪱
0:59
Тот самый енот Тёма
Рет қаралды 1,9 МЛН
Потоп из какашек??? @zackdfilms - автор анимации.
0:31
Время знаний
Рет қаралды 5 МЛН
ЖЕСТКИЙ ШАПАЛАК👋
0:33
RFC Fighting Championship
Рет қаралды 252 М.
Кто из девушек быстрее печатает?
0:58
УДИВИЛА ПАРНЯ🤯👏
0:20
Бутылочка
Рет қаралды 7 МЛН