No video

Mbunifu wa trekta ya kulimia kwa kutumia injini ya mashine ya kusaga

  Рет қаралды 25,725

COSTECH Tanzania

COSTECH Tanzania

Күн бұрын

Пікірлер: 28
@komangohill5957
@komangohill5957 Ай бұрын
Safi sana uko na roho ya kujitegemea
@mohamedleonard760
@mohamedleonard760 20 күн бұрын
good
@deodartngaiza6664
@deodartngaiza6664 3 ай бұрын
HUYU MZEE NAMPONGEZA SANA, JAMANI MTU MWENYE AKILI NA UBUNIFU HUU MUBWA APEWE UWEZESHO ILI AFANYE MAMBO MAKUBWA ZAIDI. HONGERA SANA MZEE.
@josephkivuyo5712
@josephkivuyo5712 2 жыл бұрын
Mtoto akizaliwa vizuri, na akakua vizuri, na akawa kwenye mazingira ya kazi anazozipenda ni zaidi ya phd. Ubongo tulionao ni sawa na mtu yoyote yule duniani. Mfumo wa elimu ya Tanzania ni mbovu sana, Unachofanya ni kuharibu miaka ya watu. Ingetakiwa elimu iwe kwa vitendo. Na sio mtu anasoma theory mpaka anakuwa mzee. Akikutana na kitu halisi hawezi chochote na vyeti vyake vyote.
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 4 ай бұрын
Hongera sana wewe ndio Mwisraeli uliyepotea potea huko North Africa. Rudi kwenu Ulaya Mzee hapa bongo hutoboi. Great Thinker
@benedictojagadi647
@benedictojagadi647 4 ай бұрын
Napenda sana ubunifu huo naomba niwe mwanafunzi wako ikikupendeza
@Worldunite
@Worldunite 5 ай бұрын
Elimu ya mwafrika iko juu sana, sema tu wakoloni wametulisha ujinga
@kisinza6077
@kisinza6077 Ай бұрын
Mtalaumu wakoloni mpaka lini? Wakati ni ujinga wenu waTZ? Mnabeba madafyari 12 ukimaliza form4 huwezi hata kulinda Kwa geti Kwa mzungu, huwezi hata kuendesha pikipiki, huu ujinga mkoloni kafanyaje? Mnala,imeisha lugha ya kufundishia wakati Katiba yenu na Sheria pia kanuni mnatungiwa kiingereza, mkoloni kaharibu Nini? Wanakuja wawekezaji wanasema bizaa zao zinafaida kubwa hivyo Bei ishuke Ili watu wengi wanunue mnasema Kuna Bei elekezi, hapa mkoloni kaharibu Nini? Msiposimama kuibadilisha wenyewe TZ yenu hakuna mtu atawabadilishia. Mitaala ya elimu ni mibovu inatoa wanafunzi vilaza. Mtu anamaliza Form6 Hana lolote ambalo kama ataidhia hapo anaweza kufanya Kwa alichokisomea zaidi ya kusoma na kuandika,,, yaani anaingia chuo ndiyo anachagua asome Course gani! Na anamaliza chuo anaenda kuwa mwanafunzi Tena wa Course aliyosomea apate uzoefu. Msimlaumu mkoloni akili yenu imelala sana.
@simeontwiyogohe2727
@simeontwiyogohe2727 4 ай бұрын
Nice idea. Endeleza ubunifu huo
@amanijampion3045
@amanijampion3045 3 жыл бұрын
Hongera Mzee kwa uthubutu. Hakuna kitu kigumu bali uthubutu na kujitoa
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f 10 күн бұрын
Nataka hiyo trakta inauzwa kiasi gani na wapi?
@user-il5pk2dr5n
@user-il5pk2dr5n Ай бұрын
Mpeleni NIT au nyumbu.
@daudmajama9428
@daudmajama9428 2 ай бұрын
Hongera
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 2 жыл бұрын
Mkituletea Habari za watu kama Hawa jitaidini muwe mnatoa namba za simu🙏.
@barakanyamafu5937
@barakanyamafu5937 7 ай бұрын
😂 mwabeja sana watanizangu wasukuma
@huku_tz
@huku_tz 3 ай бұрын
Mzee yupo vizuri huyo
@NanaMaembe
@NanaMaembe Ай бұрын
VP WEWE MZEE UNAPATIKANAJE?
@J4UPro
@J4UPro 6 ай бұрын
Safi sana
@user-il5pk2dr5n
@user-il5pk2dr5n Ай бұрын
Unga unga mwana..
@petrombwelwa451
@petrombwelwa451 2 ай бұрын
Naona namba yake ndipo code ilipo😂😂
@stephanSandika
@stephanSandika 2 ай бұрын
Hivi ndy vitu vya kuposti
@nsajimwasege68
@nsajimwasege68 8 ай бұрын
Wako wapi hawa watu? Kwa nini hamuwasaidii kuanzisha viwanda? kwani kuna tofauti gani ya trekta na gari hizi na vile tunaagiza nje? Waafrika tuanze kujiamini sasa,tuanze kuwaamini watu wetu,tuwawezeshe ndipo tutakuwa huru na kuheshimika duniani!
@joelibethueli5408
@joelibethueli5408 2 жыл бұрын
Nambayakomzee tukupigie
@Worldunite
@Worldunite 5 ай бұрын
Waliosoma hawawezi ubunifu
@huku_tz
@huku_tz 3 ай бұрын
Tupe namba zake tumjue
@emmanuelanderson2344
@emmanuelanderson2344 3 ай бұрын
Nahitaji kupata namba ya cm ya huyu mmbunifu
@elishamwita2276
@elishamwita2276 2 жыл бұрын
Sasa mbona namba aujaweka
@cosmaslunyembeleka251
@cosmaslunyembeleka251 6 ай бұрын
Unahitaji kumfahamu uyu jamaa mi nimekutana naye Ana kwa Ana Tatizo nikikupa namba yake itakuwa sio POA chakufanya Ni kumtaftia Ela ya smartphone ili aje store namba zake
Fortunately, Ultraman protects me  #shorts #ultraman #ultramantiga #liveaction
00:10
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 5 МЛН
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 19 МЛН
TAZAMA TREKTA ILIVYOZAMA KWENYE MTO DEREVA AKAPAMBANA NAKUITOA
9:11
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36
Wasafi Media
Рет қаралды 61 М.
HII NDIYO HELIKOPTA ILIYOUNDWA ZANZIBAR
10:50
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 820 М.
Mbunifu wa trekta inayotumia injini ya pikipiki
4:00
COSTECH Tanzania
Рет қаралды 13 М.
Fortunately, Ultraman protects me  #shorts #ultraman #ultramantiga #liveaction
00:10