HII NDIO BANDARI MPYA YA MAFUTA YA ZANZIBAR, RAIS MWINYI ATANGZA MAKUBWA YAJAYO ZNZ

  Рет қаралды 24,865

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 72
@eddybrizzy76
@eddybrizzy76 Жыл бұрын
It's very good thing Mr President...congratulation...sasa tufanyie mpango wa kupata bandari ya kisasa yenye uwezo wa kupaki meli zaid ya kumi zenye hadhi zote......
@alikhamis5687
@alikhamis5687 Жыл бұрын
Maashaallah Allah akujalie nguvu zaidi na afya njema yakutekeleza ahad zako
@Rocky-mn6wm
@Rocky-mn6wm Жыл бұрын
I see my country form my dreams. Hongera mr president
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Жыл бұрын
Hivi hakuna uwezekano kubadilishana marahisi wa huko aje huku
@Legends_Interviews
@Legends_Interviews Жыл бұрын
😀
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 Жыл бұрын
Safi.!! Mwelekeo mzuri. Waswahili tujitahidi twende mbele. Magufuli katuamsha sasa ni juu yetu kuendeleza mwenge.
@abdulsalamiissa9503
@abdulsalamiissa9503 Жыл бұрын
Mashallh mashallh nakupenda raisi wng
@abdulhamis9825
@abdulhamis9825 Жыл бұрын
Kuna Watu Wanajifanya Hawaoni Lkn Ukwel Rais Wetu Una Upiga Mwingi Sana Kama Vijana Wa ARSENAL
@omarhababuu3159
@omarhababuu3159 Жыл бұрын
Maneno bila yakushiba hupati kuzungumza yy anapigiwa kingora nakushiba kupitia kodi zetu sisi wananchi lakini ss wananchi tunaolipia kodo hatuna maji tumefanya vipara hatushibi mlommoja kumiliki ww uwe mwanamme rabda uwe chawa au mpambe wachama tawala kwaiyo ss ww hatukushangai kwasababu tunauliwa kwakukaa madarakani nyinyi munafurahiya kwajili yamaslahi yenu lakini ikosiku mizali puwa zetu zimelekea chini hatutoishi milele ahera kwenda kuhesabiwa mema namabaya ulofanya duniani
@abdulhamis9825
@abdulhamis9825 Жыл бұрын
@@omarhababuu3159 Sasa Hapo Itakuwa Umenuna Maisha Ni Kuchagua Na Wala Aina Shda Kwa Ulichochagua
@feisalmwinyi2429
@feisalmwinyi2429 Жыл бұрын
Namuombea kheriiiiii salama Afya njemaa kwa Moyo na upendaooo wake ya kuwaletea maendeleo makubwa kwa kweli Hongera Mh Dr Rais Hussein Ali Mwinyi oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
@imranmohammed3785
@imranmohammed3785 Жыл бұрын
10 tena Mh Raisi soon Zanzibar Tajiri
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 Жыл бұрын
Uuzaji ni gud idea kama biashara nyingine hongera rais
@ibrahimabdullah1887
@ibrahimabdullah1887 Жыл бұрын
Mafuta yana tutosha haya haya chamsingi piga mafuku ushoga ndio tatizo kubwa sisi ni waislam hatitaki vitendo vya kikafiri live
@Awatee
@Awatee Жыл бұрын
Mufti kashasema uko
@ismailel-mazrui6983
@ismailel-mazrui6983 Жыл бұрын
Mashallah Allah akibariki ktk uongozi wako
@mbaroukally8655
@mbaroukally8655 Жыл бұрын
Hongera Mh Rais
@fabiboy4010
@fabiboy4010 Жыл бұрын
Hongera dkt Mwinyi Tunasubiri uanzwaji wa project ya BANDARI KUBWA YA AINA YAKE (MWANGAPWANI)
@pizzo1morestart840
@pizzo1morestart840 Жыл бұрын
mafuta lita iwe shiling mia tano(500/=) mkuu inawezekana tukiamua
@axmedcumar6196
@axmedcumar6196 Жыл бұрын
Well Done 👏🏿👏🏿👏🏿
@hashilfarahany
@hashilfarahany Жыл бұрын
Yangepatikana mamlaka kamili ya Zanzibar basi hayo yangepatikana zaidi na zaidi maana hapo kuna macho ya sehemu fulani yote yapo hapo ila wao yapo mengi ila sis wala hatuna habari nayo
@teamallyracing1780
@teamallyracing1780 Жыл бұрын
Na pia wanunue mafuta kwa hela ya kitanzania sio hela zao wao
@abumohammed3939
@abumohammed3939 Жыл бұрын
Haya ni maslahi binafsi tu, si maslahi ya wananchi, mafuta tunayo kwenye nchi yetu mbona hamuyachimbi Ikiwa kweli muna maslahi na wananchi
@ismailel-mazrui6983
@ismailel-mazrui6983 Жыл бұрын
Mashallah Allah akuongoze ktk uongozi wako
@mohddelo
@mohddelo Жыл бұрын
Safi
@magokola2376
@magokola2376 Жыл бұрын
TANZANIA NI KUBWA SANA TUKIIVUNJA VUNJA TUKAPATA NCHI HATA TATU HUMU NDANI TUTAENDELEA KABISA
@magokola2376
@magokola2376 Жыл бұрын
zanziba ni ndogo kuliko mwanza au mbeya
@saidsalum9587
@saidsalum9587 Жыл бұрын
Dah, kwa kweli me nashangazwa sna hivi pemba sio kisiwa cha zanzibar kila maendeleo unguja nilihisi bandari hii pia itafupidha safar za masaa ya kukaa katika meli baina ya pemba na unguja ili kukuza shubuli za kiuchumi pemba but bado tupo kuipamba unguja. Wacha niseme tu, let them eat brother untill the system change 😭😭😭
@fatimamohammed4745
@fatimamohammed4745 Жыл бұрын
Hata iweje Unguja ni Kisiwa chenye matumizi makubwa zaidi ya mafuta kuliko hata Pemba usifanye ushindani usiokua na tija ,tumpe moto Rais wetu tusiwe wabinafsi
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 Жыл бұрын
Sasa twende beyond kuchimba mafuta yetu ili tuhifadhi wenyewe...Ila hata hivyo ni great achievmnt hiii...Congratulation Preaident.
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 Жыл бұрын
Kweli mafuta yapo Zanz chukuweni maamuzi magumu mchimbe
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 Жыл бұрын
@@frankngoloka5416 Exactly broo...This needs a mask and do not look behind yaani uendelee tu...It will help Zanzibar and TZ as well...Even price of fuel will be decreased in such away majority of Tanzanian can afford it...👆
@abdulwahababdulkadir9965
@abdulwahababdulkadir9965 Жыл бұрын
Hiii ya kuuza nje huwezi kuielewa mpaka ukutane na sisi tuliosoma urusi
@asyashariffu7717
@asyashariffu7717 Жыл бұрын
Unamaanisha mafuta sas yatapungua Bei Zanzibar au vp???
@prettymasha2430
@prettymasha2430 Жыл бұрын
Mambo kigodogo jamani muwe na subra
@Awatee
@Awatee Жыл бұрын
Wanaume izo cheni tuachieni sie tuwavalie 🤣🤣🤣
@msabahaali758
@msabahaali758 Жыл бұрын
jamn hii si bandari msitufnye mazwazwa wazanzibari
@alihamad6046
@alihamad6046 Жыл бұрын
Mafuta y nazi yakuwepo pls
@mwanaishiaomar5695
@mwanaishiaomar5695 Жыл бұрын
👏👏👏👏
@sulemponra6901
@sulemponra6901 Жыл бұрын
Ayo tv hamjawahi kufeli
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 Жыл бұрын
Hiv kwanini Mwinyi asije bala alafu Samia haje Zanzibar Maana uku kicheko kimeisha nikusutwasutwa kila mala...
@salumsalim7564
@salumsalim7564 Жыл бұрын
Tulia ww mama akuchangamsheni uko
@user-yx3ex4vy7o
@user-yx3ex4vy7o 8 ай бұрын
Kajifunze kiswahili uko.
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
Si mafuta yapo zanzibar kwa nini msichimbe mafuta wenyewe na kiyahifadhi na kufanya bei ya mafuta kushuka nchini
@gangmore9091
@gangmore9091 Жыл бұрын
Hawana mamlaka ya kuchimba mafuta Ccm adi Tanganyika waruhusu ubaya zaidi Tanganyika imeungana n Msumbuji kama sijakosea wanachimba mafuta n kupeleka bomba la mafuta adi bandari y Tanga
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 Жыл бұрын
Sasa kwanini zanzibar kuja mafuta tusichimbe wenyewe ikawa wananchi wanafaidika nayo.kuliko kwenda kununua mafuta kwengine na hali ya kuwa mafuta tunayo. Huoni wananchi watakula hasara.
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
Kuchimba mafuta ni mchakato mrefu sana
@suleimansadalla5606
@suleimansadalla5606 Жыл бұрын
Mwanga pwani sindio kwenu hiking?????
@suleimansadalla5606
@suleimansadalla5606 Жыл бұрын
Thanks president
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 Жыл бұрын
Sihulka zetu kuvaa cheni
@theroots2743
@theroots2743 Жыл бұрын
Tupige makofi piga makofiii tushavalishwa miwani ya mbaoo tayari na ushoga upo jirani tusubiri utangazwe askari wa field force na wengi wengi wapo hapo wanaanza kujitokeza baada ya hapo tusubiri kibano kutoka kwa mungu
@muzneali5111
@muzneali5111 Жыл бұрын
The roots hiyo ni chuki binafsi huo ushoga wa mtu binafsi unahusu nini na maendeleo ya nchi? Je unawaonyeshea vidole wenzio je una uhakika kwenu hakuna hao mashoga? ACHA ROHO MBAYA TUMUOMBE ALLAH ATUEPUSHE NAKILA AINA YA MAJANGA AMEEN
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
Mbona unaongea vitu vya ajabu haya inahusiana VIPi na haya , uyo ndo mtu wa mwanzo Kua fedhuli tangu zanzibar iumbwe
@kidakanitzonline5067
@kidakanitzonline5067 Жыл бұрын
Ww angalia vizur kauli yako hio
@prettymasha2430
@prettymasha2430 Жыл бұрын
Acha ujinga uo ombea familiya yako hatma njema unaropokwa tu hujui ata usemalo 😮
@theroots2743
@theroots2743 Жыл бұрын
@@prettymasha2430 kumbe mko wengi sana.mashoga lkn kumbukeni kuna na kifo
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Жыл бұрын
kampeni za kisiasa zimenza
@mwigaadam1179
@mwigaadam1179 Жыл бұрын
Two different things when you say bihari and bandari these are two different
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Жыл бұрын
Bohari = godown/warehouse/depot
@fatimamohammed4745
@fatimamohammed4745 Жыл бұрын
Bohari camon man 😊
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Жыл бұрын
@@fatimamohammed4745 Yes, bohari. Some might not like the word, but it is in use and we have to live with it!
@muddybreezy4595
@muddybreezy4595 Жыл бұрын
Mitano tena
@salumsalim7564
@salumsalim7564 Жыл бұрын
Ah tushayazoea ayo R.I.P JPM
@abal-kasimhassan3415
@abal-kasimhassan3415 Жыл бұрын
Ni wale wale tu nyie haya iyo RIP inahusika vp hapa
@mohdally14k
@mohdally14k Жыл бұрын
Bohari sio Bandari
@ussiussi3413
@ussiussi3413 Жыл бұрын
Ni bohari, yupo sahihi, bohari ni hifadhi ya mafuta, sawa na kusema ghala au storage.
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 76 МЛН
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 30 МЛН
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН
Heartwarming moment as priest rescues ceremony with kindness #shorts
00:33
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 38 МЛН
Rais mstaafu wa Zanzibar Amani Abeid Karume "afunguka"
8:23
DUH! BAKHRESA BALAA | ANGALIA ALICHOKIFANYA KATIKA HOTELI ZANZIBAR
5:49
#YALIYOMO NDANI YA SOKO LA KWEREKWE ZANZIBAR
29:19
IsleBlogTv
Рет қаралды 27 М.
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 76 МЛН