Rais mstaafu wa Zanzibar Amani Abeid Karume "afunguka"

  Рет қаралды 74,598

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Rais mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Amani Abeid Karume amefunguka kuhusiana na uongozi wa sasa wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar katika mahojiano maalum na Azam TV.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 80
@yasminjuma663
@yasminjuma663 2 жыл бұрын
Mungu akuzidishie Afya Rais wetu karume. Majibu yako yapo vzr. Sahihi kabisa
@abdallaabeid4251
@abdallaabeid4251 2 жыл бұрын
Kiongozi makini, well said!
@nassoromussa2423
@nassoromussa2423 2 жыл бұрын
Nimependa sana Charles Hilar anavyohoji, waandishi wachanga jifunzeni kwa mkongwe huyu.
@mohdyussah825
@mohdyussah825 2 жыл бұрын
🇦🇪 Great dad 👨 thanks ❤
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 2 жыл бұрын
Well said!
@Sheba4651
@Sheba4651 2 жыл бұрын
Yarabi.
@user-hh5ew8wb7d
@user-hh5ew8wb7d 4 ай бұрын
Allah akulipe kila la kheir
@handhalhandhal4608
@handhalhandhal4608 2 жыл бұрын
Well spoken
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 2 жыл бұрын
Sawa sawa Baba wa shangazi Fatma Aman Abeid Karume Allah azidi kukupa umri mrefu na afya njema zaid Aaameen.
@abdularuffin9308
@abdularuffin9308 2 жыл бұрын
Msema kweli mpenzi wa mungu lakini mama hawezi kazi anapelekwa pelekwa tu watu wananyanyaswa sana na sesta binafsi wafanyakazi hawawajali wafanyakazi
@omakywazamani6696
@omakywazamani6696 2 жыл бұрын
Ni kweli kwamba n'a dhaifu huyu mama nilidhani amejifunza kwa jpm kumbe kajizunza kwa Kikwete na mkapa na cheni upuzi mtupu
@yasminjuma663
@yasminjuma663 2 жыл бұрын
Huyo mama kaekwa na Mungu ndio mwenye uwezo..mwacheni muombeeni dua. Hao vidume pia Mambo yote hawakuyaweza hakuna mkamilifu
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 жыл бұрын
Hongera sana Mstaafu ulifanyakazi kubwa sana kuijenga Zanzibar baada ya kuipokea ikiwa hali mbaya sana. Nitataja baadhi tu ya mazuri:- 1. Uliimarisha sana miundombinu na kueneza simu za mkononi kwa wananchi wote. 2. Ulijenga Ofisi za Serikali tuliachana na nyumba za Wakoloni kuwa Ofisi ya Serikali. 3. Uliajiri vijana wengi sana, ajira nje nje. 4. Uliwalipa Wastaafu kwa wakati. 5. Uliongeza maradufu viwango vya mishahara. 6. Ulikuwa "Born town) hukuonesha ukanda, Upemba wala Uunguja. 7. Kuonesha nia dhabiti kuleta maridhiano ya kisiasa Zanzibar. Mimi nakupongeza sana na kukushauri umuoneshe njia Dr. Hussein Mwinyi anajitahidi sana LAKINI ameshapotea wananchi hali ngumu sana msaidieni.
@ahmedalbalushi6239
@ahmedalbalushi6239 2 ай бұрын
Big leader in Zanzibar
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 2 жыл бұрын
Good question CH 👏
@dondallas6683
@dondallas6683 2 жыл бұрын
Hahaahaahajahajajajajaajjaajajaj nimecheka sana mwisho
@amemasudi5735
@amemasudi5735 2 жыл бұрын
Mnapokuwa Madarakani hamuyajui hayo nyote lenu moja Kama ww hufanyi bas wenzio wanafanya Wana Nyumba mpka hawazijui mtafkiri mtaishi Milele juini Dunia Ina Mwisho
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 жыл бұрын
Inataka kama hivi.. walokuwa Ma Rais wote Zanzibar, wawe kama Mh. Amani Abeid Karume kwa roho safi.. Mungu akuhifadhi akupe mwisho mwema. Amin
@yunussothman7422
@yunussothman7422 2 жыл бұрын
Ntawaona wanangu tu yarabi 😂😂😂😂😂😂
@malelabmalela5016
@malelabmalela5016 2 жыл бұрын
Jaman
@sayihamisi941
@sayihamisi941 2 жыл бұрын
Uko sawa
@salehali976
@salehali976 2 жыл бұрын
Amani alijaribu kiasi. Lakini aliuwa watu wasiokuwa na hatia. Mimi siiamini CCM hata iweje.imani yao ni kwamba wao ndio wenye haki ya kutawala no matter what. Hili ndio kosa kubwa sana na litaendelea kujitokeza.
@raffeiystar2870
@raffeiystar2870 2 жыл бұрын
Alimuua nanib
@allysaid5800
@allysaid5800 2 жыл бұрын
@nameless Tanzania kwani wewe si mzanzibar huwez kujua alimuua nan
@oscarurio1176
@oscarurio1176 8 ай бұрын
Mwenyazi Mungu akupe afya ya hekima zako
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 2 жыл бұрын
Viongozi wamejakiwa kuwa na maono namna ya kuwapata wasaidizi wao. Wasiasa wanaojiuza uza wajisaili.kwa nini viongozi wakuu hawaoni maono ndani mwao?
@ismailjuma3692
@ismailjuma3692 2 жыл бұрын
Ukisikia mstahamilivu hula mbivu ndio kama hivo,yaani hizo ni dua ambazo watu walikua wakiumia na kulalamika na bado itafika wakati mutalia hadharani kwa damu za watu na dhulma muoizozifanya.
@ashiraphmisigaro7432
@ashiraphmisigaro7432 2 жыл бұрын
Nimependa mlivyohitimisha!😃
@AbdallahSalim-is3db
@AbdallahSalim-is3db 2 ай бұрын
Kuna kabila la watu .. wanaitwa watumbatu hawa mima nawaombea na wao wateuliwe kushika nafasi ya uraisi. Mbona kimya sana kuhusu watu hawa na nafasi hio..
@saidimwanyiro5147
@saidimwanyiro5147 2 жыл бұрын
Mtaona wanangu tu yarabii 😁😁😁
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 5 ай бұрын
Nakwambia
@ChaluEngine
@ChaluEngine 2 жыл бұрын
Big brother aka great dady msaidie hoseni kwa jambo moja thakala kwa Zanzibar lililopo kwenye jamii ww sahv ndo freedom fighter wetu hpa Zanzibar
@charlesrwegalulila1069
@charlesrwegalulila1069 2 жыл бұрын
Nakukubali Sana mzee wetu
@fugameza6011
@fugameza6011 2 жыл бұрын
Ah sisikilizi ujinga
@donpablo2651
@donpablo2651 2 жыл бұрын
IKIWA HIVO BASI MTAONA WANANGU TU YA RABII 🤣🤣🤣🤣🤣 NIMEKUELEWA SIMBA MTOTO SANAAA TU
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 2 жыл бұрын
MZEE AMANI UNGEMPONDA FATMA KARUME WETU PASINGETOSHA😂😂😂😂😂😂
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 5 ай бұрын
Fatma karume safiii
@hamismabula5813
@hamismabula5813 2 жыл бұрын
Anayehoji ana akili sana na anayehojiwa ana akili pia! Patamu hapo😂😂😂
@saifaljahwai1880
@saifaljahwai1880 2 жыл бұрын
Walevi nyinyi hamna lakusema
@erastobartalome2709
@erastobartalome2709 2 жыл бұрын
Aman kunywa maji ya kimanjaro nitakupia umeib vizur
@dossantoschannel1808
@dossantoschannel1808 2 жыл бұрын
Ko unahis wazanzibar wamesahau uliyoyafanya 2005
@sniper93999
@sniper93999 2 жыл бұрын
Gd
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 2 жыл бұрын
Nimelipenda Suwali Nayeye Anajuwa Lakini Atashidwa Kujibu Kuhusu Fatma
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 жыл бұрын
Wamuulize mwenyewe Fatma....❤
@aminattai2676
@aminattai2676 2 жыл бұрын
Wewe ulisema hukuchaguliwa na wazanzibari na kura yako moja inatosha,kuhusu suala la serekali ya mseto kabla kikwete kuingia madarakani alisema anachukizwa na mpasuko wa Zanzibar hivo jambo la kwanza akiingia madarakani ndilo atashuhulika nalo na serekali ya mseto haikuja wakati wa mkapa na karume,ilikuja wakati wa kikwete na karume,sasa sio karume alieleta mseto,uyo ni mwizi na muuaji na ndio alieleta umasikiti wa kutupwa Zanzibar kwa kuondoa uhuru wa biashara,watu walikua wanatoka sehem mbali mbali kutoka Tanzania yote na nchi za majirani kufuata biashara Zanzibar lakini ulipoingia wewe madarakani wazanzibari ndio wanafuata vitu bara ambavo vilikua vinafuatwa Zanzibar.
@omakywazamani6696
@omakywazamani6696 2 жыл бұрын
Hafai ni mwizi kama wezi wengine makazi yako ni jahanma tu huna lolote nzuri ulietenda wa Zanzibar na msishangae kumona mtu kama huyu kuka mda mrefu duniani ni kua watu wabaya huinshi mda mwingi ili kujaza ufisadi na dhambi wakifa mitoni
@mohamedhashimu9923
@mohamedhashimu9923 2 жыл бұрын
Uyu ni mshenzi sana yani awa wanafiki sana
@RashidAli-mm1uo
@RashidAli-mm1uo 2 жыл бұрын
@@omakywazamani6696 hapo kaka sikusapoti umeenda kinyume sana wewe na uchamungu wako wote na wema wako wote lakini bado huna nafasi na hiruhusiwi kumhukumu mwanadamu mwenzako moto
@seifabdulwahid4579
@seifabdulwahid4579 2 жыл бұрын
Ndo kawaida ya mlevi hajuwi anafanya nn na anasema nn?
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 5 ай бұрын
Jamani munakumbusha kilio matangani
@abdulazizharthy5627
@abdulazizharthy5627 2 жыл бұрын
Dhulma ipo pale pale mnaweza kutudanganya sisi lakini sio Allah swt mume shirikiana na Nyerere Kufanya mavamizi na kuivuruga nchi na kuleta ubaguzi na kuiwa nchi kiuchumi na kuwapa nchi tanganyika bila maridhiano ya wazanzibari na kutaifisha majumba na mashamba ya watu lakini tunasema hasbiya llahu waneema al-wakil
@abilityno1799
@abilityno1799 2 жыл бұрын
Pole lakin sio wao niwazungu ndio walio washinikiza maana hawataki inch itawaliwe na mwaarabu.kama utabisha kumbuka kilicho mtokea magu baaada ya kuwapinga sana walimfanyaje?kwaiyo tuombe mungu atuepushe na mabeberu
@alriyamy613
@alriyamy613 2 жыл бұрын
Ccm niile ile jamani.
@TheZanzibarstonetown
@TheZanzibarstonetown 2 жыл бұрын
Kiukweli awamu ya pili ulijitahidi, na uliweza kuondosha ubaguzi
@gesusgegangphray7689
@gesusgegangphray7689 2 жыл бұрын
Hongera Sana Karume..Ila pia hakumshinda uchaguzi... washauri huku pia bara inakera Sana kuona ubaguzi
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Pole sana karume naona umezeheka sana kama mimi au pia unaumwa
@doubleimpact9749
@doubleimpact9749 2 жыл бұрын
Kwa sasa ana miaka 73
@ahmedimuhamed6267
@ahmedimuhamed6267 2 жыл бұрын
Hongera. Karume. Big up. Umetuletea umoja na serekali ya. Pamoja.
@madinaomar679
@madinaomar679 2 жыл бұрын
😀😀
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 жыл бұрын
Wewe chai jaba pesa za wizi zinamaliza mana umetupeleka mchaka mchaka njaa kali miaka yako yote sasa umeishiwa
@saidmussaadam8591
@saidmussaadam8591 2 жыл бұрын
Nim ejifunza kitu kizuri ,jinsi anavyojibu maswali kwa ufasaha
@salimabdillah1623
@salimabdillah1623 2 жыл бұрын
Na hana mihemko, gentleman
@salimabdillah1623
@salimabdillah1623 2 жыл бұрын
Kiswahili sanifu ni Zanzibar
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 5 ай бұрын
Ah hum huyu hawezekani kwa utulivu wakat I wa kuzungumza Hana presha hafikirii maneno anajibu kwa wepes I t
@abubakarkhamis1749
@abubakarkhamis1749 2 жыл бұрын
😂😂🇹🇿
@capteinchuimchafu7894
@capteinchuimchafu7894 2 жыл бұрын
Duuuuu
@mohamedasaid7910
@mohamedasaid7910 2 жыл бұрын
Zanzibar was forced by American and British machination to be a Confederation with Tanganyika as the West feared radical politicians like Abdu Rehman Babu would hand over Zanzibar to the Soviet Union. Tanganyika Politicians once they got Zanzibar they are not ready to release it to be independent again. Thus why they rig elections without shame and the west release crocodile tears 😭 So Zanzibaris when you see American and British diplomats remind them of their project of denying Zanzibar Independence. Their experiment failed in Iraq and Afghanistan and previously Vietnam. I hope the world will be free from their devious behaviour.
@jaanjaan111
@jaanjaan111 2 жыл бұрын
Karume usituletee pombe tatizo unalifahamu vizuri na liko wazi unajua kama hamukumbali kushindwa katika uchanguzi hilo ndilo tatizo unalijua na kulifahamu usindanganye watu danganya nafsi yako
@jumaalhamid5242
@jumaalhamid5242 2 жыл бұрын
Kwenda zako mlevi mmoja huna lolote
@shaksbinsalim453
@shaksbinsalim453 2 жыл бұрын
Hunaishu yamekupita ulishindwa ulipokuwa Rais kalale hunalolote umewapiga sana Zanzibar saiv unasema ujinga
@madinaomar679
@madinaomar679 2 жыл бұрын
😀😀😀
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 жыл бұрын
@Mtanzania Halisi Mshukuruni Sana....kwa aliyo yafanya MWISHO WAKE...Alhamdullilah...
@masoudsalum9514
@masoudsalum9514 2 жыл бұрын
Tumemiss kumuona na Mstaafu wa awamu ya tano
@charleskingimwakasagule5752
@charleskingimwakasagule5752 2 жыл бұрын
Zanzibar ni ya watu wachache na hapa tunategemea mtoto wa sheni awe Rais
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 жыл бұрын
Unahisi ni ya watu wachache lakini siyo..Na kwanini hawi Rais kama hivi...Mtoto wa Bw. Kombo, Haji, Majaaliwa, Vuai, Juma na wengi hapo Zanzibar wapo 😊 watu kutoka Mashamba...MSIWASAHAU...NA WAO PIA WANAYO HAKI YA KUCHAGULIWA...KUWA MA RAIS..
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 5 ай бұрын
Mtoto wa sheni hatuta kubali hatutakubali
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 2 жыл бұрын
Huyu Raisi mtaafu alinifurahisha IBARA YA 10 ya KATIBA ya ZANZIBAR alinikosha sana that's mpaka kesho anetaka kubadili lolote lazima aulize kwa wananchi....hahaha hahaha ,PIA KUIPA HADHI YAKE ZANZIBAR
@wardaheluwa734
@wardaheluwa734 2 жыл бұрын
Samahani Karume huyu niyupi jamani mbona nashidwa kuelewa tena mstaafu
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 2 жыл бұрын
@@wardaheluwa734 Huyu Aman Abeid Karume. Rais mstaafu wa ZNZ na mtoto wa rais wa 1 wa ZNZ. Pia ni baba wa Fatma Karume, aka Shangazi.
EXCLUSIVE: AMANI KARUME ATEMA CHECHE, AFUNGUKA SAKATA LA BANDARI
25:11
Daily News Digital
Рет қаралды 62 М.
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 42 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,6 МЛН
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 6 МЛН
KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADHARANI
12:01
Mwananchi Digital
Рет қаралды 424 М.
HATIMAYE RAIS AZINDUA TRENI YA MWENDOKASI DAR-MORO-DODOMA.
25:00
SE MEDIA TV
Рет қаралды 4,7 М.
#YALIYOMO NDANI YA SOKO LA KWEREKWE ZANZIBAR
29:19
IsleBlogTv
Рет қаралды 28 М.