Kila mty ana njia yake katika maish so huezi linganish mtu na mtu mwingn HT wewe kuna watu wanakuzd mbaliiii
@fatmahraseid7019Ай бұрын
Maisha ni siri kinachotakiwa ni kufika uendapo kuna watakao panda ndege wengine jahazi wengine gari hata kwa baiskeli na miguu muhimu kufika
@annahulilo6719Ай бұрын
Kweli haikutarajiwa... Bado mengi yasiyotarajiwa yatashuhudiwa maana Mungu bhana,😂 mawazo yake si kama yetu na njia zake hazichunguziki hata!!!🙌🙌🙌
@user-hm3qm2nf1vАй бұрын
Mtt ni baraka kutoka kwa Mungu😮 alishajiona hafahamu darasani so sio mbaya kujitafuta kwa upande mwengine
@surusuru1994Ай бұрын
❤❤sura mwanalisa mtupu kabisa dada 😘
@EmitrizaMyinga-ts9xvАй бұрын
Kilamaisha yananjia yake
@nancyg8664Ай бұрын
msimfananishe paula na watu wengine bhn mbona ata uyo monalisa kaingia kwenye Sanaa akiwa mdogo, pia Amepata watoto na wanaume tofauti tofauti so mmuache paula kila mtu na njia zake.
@esterpaul5856Ай бұрын
Miaka 24 ni mtoto??
@Abdallah2000RahmaАй бұрын
Jmni tutaangaika lakin mwishowayote nikuzaaTu
@KADALAtv255Ай бұрын
Hi upo? My dear nipo Songea kwa muda mrefu sasa nauguza