Mm naona hiyo yombo dovyo imetumika kama kuzunga tu ila tukio limefanyika sehem nyingine mungu atupe mwisho mwema maana mambo ni mengi sana dunia inaenda kasi
@frbm172946 минут бұрын
Aje live on screen ndo tutaamini
@Mojabo-qi7sv53 минут бұрын
Wapo wapi kama wame kamatwa wame ona jambo ra kawaida kwa sababu wazazi wake Maskin au vp
@kabintmpase1544Сағат бұрын
Sasa wanachunguza nini wakat video wameziona au wao pofu😢
@NassoroMbawalaСағат бұрын
Hili tukio lingefanywa na mlalahoi na ukumu ingeshatoka na washafungwa ndo mana tunasema sheria za tanzania ni kwa ajiri ya watu masikini tu
@leokamil6284Сағат бұрын
Tutaona wakifikishwa Mahakama kwa sababu hatuamini kauli za Waziri huyo
@leokamil62842 сағат бұрын
Aliyehusika asema yeye alimpataje huyo mschana acheni kutufanya mazuzu
@mohammedkidody56182 сағат бұрын
Namkubali diva ni jembe kweli kweli
@OmanOman-bx5du2 сағат бұрын
🎉🎉🎉
@yasminoluoch1692 сағат бұрын
MIMI SIWEZI SKIZA MAANA NAUMIA HUWA ALLAH TULINDIE VIZAZI VYETU😢😢😢
@Ayshernasolo2 сағат бұрын
Yani ilinialibia siku hii video 😢😢😢jamani
@spreadlove53003 сағат бұрын
Eti wifey material 😮😮😮 toka aanze kuoa wote hakuna wife material isipokuwa huyu 😮😮
@THETHIRDTV_2 сағат бұрын
Who said that?
@DM.2200Сағат бұрын
@@THETHIRDTV_You
@DM.2200Сағат бұрын
Even hustler wife can be a wife material. Diva likes show off than anything 😢😢
@spreadlove5300Сағат бұрын
@@THETHIRDTV_ Who else? You
@LaurentMagesa-iv5yt3 сағат бұрын
Wakamatwe kwa unyama walioufanya dhidi ya huyo binti
@NeriaNelly4 сағат бұрын
Pole sana ila usikate tamaa ungali na muda wakuishi we mukaribie mungu tu
@FalajaSamba-qw3ir4 сағат бұрын
Walicho kosea ni kulekodiii tuuu
@FalajaSamba-qw3ir4 сағат бұрын
Tuachee ndoa za watuu mwee
@DroneMedia-yd5xr5 сағат бұрын
Alaf wew mwanamke unaye tangaza habari hiyo kwakumuhonyesha full picha yake wew ndoumemuzalilisha kabisaa
@sondajohn13716 сағат бұрын
Sasa iv unatumwaje kufanya upuuz kam huu
@makutuyapunda80976 сағат бұрын
Ningekua na hi inch mimi nge nyonga hawa watu😢
@user-il8wx3eq8i6 сағат бұрын
Haya mambo usiombe yakukute tulopitia hatua ii maumivu yako moyoni tu nilihisi kufa skuiyo😢
@Kilistopherkalinga-d3f6 сағат бұрын
Hawa laana hawa jela mwaka 1000
@skeeteranderson3756 сағат бұрын
Ushauri wangu pia msiendele kupost picha ya huyu binti, coz ni udhalilishaji pia . Mnaweza tu elezea tukio bila picha mtaeleweka muacheni huo mtoto mnazidi kumuumiza
@dstaroficial7 сағат бұрын
Aache usenge vitu viko waz uchunguz wann wakat wanajeshi wanajulikana msituuz apa
@jumahamisi46607 сағат бұрын
Akuna baya lolote apo
@edinafaustinez85147 сағат бұрын
Sio vzr wamemzaririsha sana huyo binti ..naiomba serikari ya mama samia iangarie hiri swara 😢😢😢
@user-th2id5rr4c7 сағат бұрын
😭😭😭😭😭jamani kweli mwanamke unadiriki kufanya tukio la kinyama hiviiii kumbuka pia wewe una watoto wa kike na kiume na kama huna watoto una kizazi utajazaaa tuuuu laaana ya kudumu na itatafuna kizazi chako chote
@user-qq2oc4bt3i8 сағат бұрын
Dah polee saaanaaa Mungu amlaanii mi mjomba yeyeto anaeharibu watoto
@user-km6eh2tf9c8 сағат бұрын
Duh 😢😢pole sana binti hawa waalifu wauliwe kabisa😢😢 sio sawa kabisa
@HidayaSabi8 сағат бұрын
daa pole sana mdog wangu ila mungu yupo
@BONGOINMOTION10 сағат бұрын
Ungetoa taarifa mapema,hata shule ungesema
@user-id6xo9td6k11 сағат бұрын
Suruhu ni huyu bint kujitokeza,ndiyo njia pekee ya kuwapata walio mbaka,zaidi ya hapo hakuna pakuanzia.
@@onesmomwakasege5215 sasa wafilwe na nani sasa 🤣🤣🤣
@onesmomwakasege521512 сағат бұрын
Hao wasenge walio fanya huo unyama wakipigwa risasi wafe tu mana hawana mana kwenye hii dunia
@mbwanahasan297113 сағат бұрын
Mmesema tufute zile video lkn nyie mnamuonesha video hamuoni mnazidi kumzalilisha?
@mariombuki374215 сағат бұрын
Hapo hakuna haja ya uchunguzi ata maana Kila kitu kipo wazi watu wakamatwe tu na hukumu ya kunyongwa
@mariombuki374215 сағат бұрын
Yaaani Hawa mbwa pamoja na huyo Malaya alio toa hiyo oder wote wauliwe tu
@mariombuki374215 сағат бұрын
Yaaani Hawa mbwa walio mfanyia huyo mtoto hivyo wanyongwe tu
@leonardramiye820715 сағат бұрын
Jwtz ndio wazalendo no 1 lkn wamekuwa hivi kweli????😭😭😭
@Ysga-s5b18 сағат бұрын
Pole sanaa bro😢😢😢😢😢😢😢
@user-lu1by6yp4t19 сағат бұрын
Pole mdogo wangu
@surusuru199420 сағат бұрын
Wakatw hizo dudu zao wanaume nimakuma kabisa
@zepinashatibu514921 сағат бұрын
Tangazo mfute hizo video
@user-rc3om5hs9i23 сағат бұрын
Mungu tusaidie 🙏🙏😭 pore sana
@festochilangwa23 сағат бұрын
we siyo mwanetu kuma ww
@FatimaAli-of4gh23 сағат бұрын
Wangemkaata huyo dada aliyewatuma watawapata tu anajua aliwatoa wapi😢😢😢😢
@FatimaAli-of4gh23 сағат бұрын
Binti ni mdogo tulieni watt wetu musome mambo mutayakuta huyo baba wa kazi gani anawapotezea maisha yenu tu ona sasa alipokupeleka pa baya
@GodfreyOsward4 сағат бұрын
@@FatimaAli-of4gh Mfalme Mswati bado anaoa. Tatizo letu Africa kuiga. Kabla ya ujio wa watu wangine. Baba Zetu walioa wake wengi tu. Huyo mama ni katili tu. Na hao wanaume ni wapumbavu kabisa. Aibu inaonekana siku hizi wanaajiriwa wavuta bangi. Wanaume hao wepesi kiakili waliajiriwaje?.