Na kama angeenda wachafu basi huyo mtangazaji asinge kuuliza hilo swali wangese hao
@shindanosingi29622 ай бұрын
Ndugu zangu. Sio rahisi kikeke kuajiriwa kama watu wanavyo fikiria. Kwa uelewa wangu ni kwamba Kikeke na Ali Kiba wamechangia nguvu kwa kufungua iyo media. Ni share holder. Fuatieni interviews za kikeke. Kikeke atashikilia ngambo ya habari; Ali Kiba anashikilia ngambo ya mziki. Kwa ufupi wote wawili ni share holders, kwa mtazamo wangu.
@jedidahbintidaudi8241Ай бұрын
this makes sense..hapa imeingia kwa kweli
@user-by2gj2bw9f2 ай бұрын
Nimekupenda kaka yangu unajua
@IronB-ji7kx2 ай бұрын
Ayo mengine hatuitaji kuyajuwa tunachojuwa media niya ally kiba king 👑
@StevenAginery2 ай бұрын
Uyu jamaa kinyozi saloon moja pale kigamboni maweni
@margarethpolepole74382 ай бұрын
Kumbe hujui kitu yule alioko Azam Tv aliombwa kurudi yeye na Suzan na Rais Kikwete mstaafu tena walifikia Tbc Tv Radio yake nk
@salumabdallah29902 ай бұрын
Rayvan anapenda kuvamia nyimbo za watu😂😂
@joemoen1942 ай бұрын
Kama amevaa jezi ya yanga huyo jamaa basi anaongea facts
@riziwan970927 күн бұрын
Mi peke yng Nimesikia long time agee au 😂😂😂😂
@frankchibago32062 ай бұрын
Babu umemaliza Kila kitu 💯💯
@Mduduofficial2 ай бұрын
Hukosei kk
@salimsoyo81182 ай бұрын
Kwahio neno la kustaafu lina maana gani??au mie ndio kiswahili sijui jamani naomba mnifahamishe
@shindanosingi29624 күн бұрын
@@salimsoyo8118 Habari ndugu. Mtu anaweza kustaafu kwenye kazi fulani; lakini akafanya kazi sehemu nyingine; ao akafungua biashara sehemu nyingine. Hapa Umarekani ao huku uzunguni ni kawaida kabisa. Kazini kwangu natumika na watu ambao wali staafu, tena waka rudi kazini kwa kujileta ao kwa kuletwa na kampuni kwa sababu ya uzoefu ao experience yao ya kazi.
@SululuZungu2 ай бұрын
😂😂😂daa Ding'ano bwn
@user-uc4ck4yr2v2 ай бұрын
huna akiri we ndo umesitifa
@scholarmawala14032 ай бұрын
Jamani hebu nisaidieni Crown Tv inapatikanaje ?? Kwenye dishi ganiiii.kin'gamuzi gami
@Marjeby2 ай бұрын
Tusomeshe watoto jamani huyu jamaa anavyoongea tu unajua kabisa hata la nne hakutoboa kuma make😅
@farajiwanted8257Ай бұрын
Ding'ano 😂
@godwinphilip68362 ай бұрын
Wajinga hawa,hajui chochote
@JulianaMushi-nq3kc2 ай бұрын
sas ndo upumue hivyo jmn
@Maryc2G2 ай бұрын
Rayvany hajulikani na mtu yeyote 😂😄
@silveryea7882 ай бұрын
Ukiwa na mmafua hua unavisha pads hiyo pua😂
@mtumeananiasjohachim87602 ай бұрын
Unaongea na kuhema kama ng'ombe yupo kula,,unatumia nguvu kama ugomvi
@emilioadremaneadremane27062 ай бұрын
Meneja uko poa sana
@godwinphilip68362 ай бұрын
Bange mbaya sana huyo jamaa hata uwezo wa kuchambua mambo hana
@user-jw8cz5qw2x2 ай бұрын
Mwamba sio boya uyo ila wewe ndio boya akuwa music 💯 anaongea light
@MeenaHassan-fd9vv2 ай бұрын
@@user-jw8cz5qw2xmwambie juma lokole huyo😂😂😂
@amrimizambwa11912 ай бұрын
We ndio bange mbaya
@mtumeananiasjohachim87602 ай бұрын
Sasa wewe unazungumzia wasafi hahahaha wakati hata IST hauna, ila kunabaadhi ya watu ni shida sanaa
Mbona anahojiwa huyu taahira kila siku waandishi washamba sana munapunguza ubunifu
@MeenaHassan-fd9vv2 ай бұрын
Taahira jamaa yenu alienda nyumbani kwa p.Diddy na dunia inajua p. Diddy ni kama juma lokole choko 😂😂😂😂😂😂
@IkoUwasi-it6qy2 ай бұрын
We mbona unamjua p Diddy @@MeenaHassan-fd9vv
@user-ow1dc5qe7b2 ай бұрын
Snônnnjnn😮😮😮
@MJ-rr6dy2 ай бұрын
mtu umetoka kwenu chitoholi hujui vitu vya dar unakurupuka tu kwa sababu hawa waseng...... wenzio wanakuhoji, nq kuna issue ya wasafi mbwa ananikera huyu na hao ambao hawajaona watu wa kuhoji, kila siku mond, mond mbwa nyie
@MeenaHassan-fd9vv2 ай бұрын
Na wewe umetoka wapi gay wewe???
@MeenaHassan-fd9vv2 ай бұрын
We choko kweli jamaaa anaongea ukweli ndiga wewe, Diamond muha mburundi ni muongo alisema ana hotel hiyo hotel iko wapi machoko wakubwa 😂😂😂😂
@MJ-rr6dy2 ай бұрын
kwani kileke ni nani? pumbavu huyu aliyekosa kazi kutaka kiki kwa mond na wasafi kila kukicha yeye na wajinga wenzie wanaomuhoji, hupewi kiki nyau wewe
@MeenaHassan-fd9vv2 ай бұрын
Diamond ndiyo nani wewe boya
@oswimedia3893Ай бұрын
𝐊𝐰𝐚𝐧𝐢 𝐇𝐮𝐲𝐮 𝐉𝐚𝐦𝐚𝐚 𝐧𝐢 𝐧𝐚𝐧?
@cassimmalcolm13262 ай бұрын
Mjinga we angalia pua lilivokuzidi linatoa mapumzi kuliko punda