HII YA LEO KALI MZEE SAID AAMUA KUTEMA NYONGO| ANUNUA KUKU KUMUAGA SAIDO SIMBA BYE BYE SAIDO😂

  Рет қаралды 56,033

Finest Online

Finest Online

Ай бұрын

Пікірлер: 213
@user-tk1jh7rd8n
@user-tk1jh7rd8n Ай бұрын
Mimi YANGA lakini mzee Said anatupa burudani kubwa sana 😂😂😂😂😂😂 MZEE AONGEZEWE MKATABA KWACHAGAMBA TUZIDI KUBURUDIKA
@bakarimmbukwini9623
@bakarimmbukwini9623 Ай бұрын
Mzee said mwamba kweli kwelikweli sasa niambie anayefuata nani baada ya saido
@trice_yanga
@trice_yanga Ай бұрын
wanayanga lazima tumfurahie siku timu yetu ikiyumba hutomtamani mzeee😂
@errydeo8865
@errydeo8865 Ай бұрын
Atatuchamba huyooo😂😂😂​@@trice_yanga
@errydeo8865
@errydeo8865 Ай бұрын
Mzee Said ,TOENI SADAKA KWA WALEMAVU,WATOTO NA WAHITAJI, NDO DUA ITAFIKA! YANGA KUSHINDA FA,ZILIKUA DUA ZA WALE WATOTO! HERSI ALIWAHIDI KOMBE! MUNGU ALISIKIA DUA ZA WALE WATOTO SAID! DUA YOYOTE ITOKE ROHO SAFI! SIMBA HAMNA ROHO SAFI BADO!
@roi2554
@roi2554 Ай бұрын
Hata mi pia😂😂😂
@raphaeltanzania
@raphaeltanzania Ай бұрын
mzee said leo uko na Furaha sana hongera kwa Maombi yako leo yametimia
@MathiasFungavyema
@MathiasFungavyema Ай бұрын
😅😅😅😅 Mzee said amekua anatukosha sana sisi mashabiki wa yanga😂😂😂😂😂😂
@AlexMakanta-zn3zc
@AlexMakanta-zn3zc Ай бұрын
Hamisa mobeto na Azizi k wameingia kwenye formula ya Mzee Said 😂😂😂 Mbona wataisoma Number
@OmanAlkamil-nl2zw
@OmanAlkamil-nl2zw Ай бұрын
Hatimae vita ya Mzee saidi na saido imeisha
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 Ай бұрын
Man of the mach Mzee said 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@gaspermathayo5204
@gaspermathayo5204 Ай бұрын
Kwanza lakwanza kukimbilia penalty 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mzeee side
@user-ui5xc6sb5m
@user-ui5xc6sb5m Ай бұрын
😂😂😂😂 Mzee saidi unanipa rahaa sana
@nasseraljahwri6310
@nasseraljahwri6310 Ай бұрын
😂😂😂 Chagamba shukran Sana 😂😂 kutuletea Mzee wetu Said, 😂😂 stress free Wallah
@shabanihaji3896
@shabanihaji3896 Ай бұрын
Yan chagamba na mzee said uwa nawamic sna nikiwa saiz uku🏅🏅
@omarymuya142
@omarymuya142 Ай бұрын
Ugovi umeisha wa mzee saidi na sadiyo bado jobe na huyoakitoka sikuiyo atafanya sheele kubwa
@MabruckLingondo
@MabruckLingondo Ай бұрын
😂😂usiombee mchezaji ukaingia kwenye mfumo wa Mzee saidi
@B.M-ix4rz
@B.M-ix4rz Ай бұрын
Utatamani ligi iishe ukuimbie😅😅😅
@fatmaally7252
@fatmaally7252 Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Asatheboy-vp3yx
@Asatheboy-vp3yx Ай бұрын
Jamani jaman jamani mzee said weweeee saidooo atakufata weweeee
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw Ай бұрын
hahaaaaaa .....wewe mzee wewee ...mimi yanga nimecheka mpaka basi
@WasafiWasafi-up6du
@WasafiWasafi-up6du Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 Mzee Said niko na kuku lingine
@AchileusNshekanabo
@AchileusNshekanabo Ай бұрын
hahahahaha mzeee said jaman utaniua
@user-eh6wn9qf4b
@user-eh6wn9qf4b Ай бұрын
Nimesubili sherehe ya mzee said 😂😂😂😂😂
@awadhhamza9296
@awadhhamza9296 Ай бұрын
Chagamba tutaomba namba za Mzee said Hadi lini kaka ,acheni roho mbaya aiseee...tunataka tumpe 🥤
@mwanangusana
@mwanangusana Ай бұрын
Sio rahisi kihivyo kutoa namba za mtu kirahic rahic hivyo ndugu zanguni.... Sio wote wanaweza kuitumia kwa Nia njema
@JosephineItambu
@JosephineItambu Ай бұрын
Namba yq chagamba iko hapo upande wa kulia chini....kama unamhitaji Mzee Said inabidi upitie kwa Chagamba kwanza kwa sababu za kiusalama wa Mzee wa watu maana sio kila mtu ana nia njema
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 Ай бұрын
Haaah sa itakuwaje hata mi nataka no ya huyu mzee Yani I'm in ❤❤❤ with huyo mzee​@@mwanangusana
@user-xq7xy9xq4n
@user-xq7xy9xq4n Ай бұрын
Unataka kumtumia mzee saidi hela tumia namba ya chagamba ipo hapo chini upande wa kulia ukisha tuma unamwambia hela ya mzee saidi
@chemstry409
@chemstry409 Ай бұрын
Mzee wangu Mzee Said sasa hivi atakuwa na amani....😂😂😂😂😂
@B.M-ix4rz
@B.M-ix4rz Ай бұрын
Weee subir ligi ianze tunapata tu furaha nyengine Kwa mzee said❤❤❤
@RabsonSalmon-ys7bf
@RabsonSalmon-ys7bf Ай бұрын
Chagamba we nae umo umo"! Kwan mpka useme yupo mazembe. Benchi🎉🎉🎉😂😂😂
@OmanOman-hj7tv
@OmanOman-hj7tv Ай бұрын
Yanga mzee saidi kaongea kwa upole😂😂😂😂😂😂
@gaspermathayo5204
@gaspermathayo5204 Ай бұрын
Mzee side😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
@SundayTweve
@SundayTweve Ай бұрын
Mzee said bado mangungu nae apewe thank you😢😢😢😢😢😅chagamba unafulahi sana hicho kicheko balaa unafulahishwa na mzee said
@user-ks9tn4uw1m
@user-ks9tn4uw1m Ай бұрын
Mzee anamkataa wajna wake😂😂😂😂😂
@KadajhKadigh
@KadajhKadigh 29 күн бұрын
😂😂😂😂 sema mzee said 😂😂
@user-vj6py9tq9v
@user-vj6py9tq9v Ай бұрын
Hahahaaa et kugombania penat na faulo🤣🤣🤣
@jumannemohamedy1456
@jumannemohamedy1456 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Nkwiooooo nkwiiioo nkwioooooo
@trice_yanga
@trice_yanga Ай бұрын
Saidoo kaondoka sasa itabaki kwa aziiiiiiiiiiiiiiiiiiii kiiiiiiii na hamisamobetto😂😂😂
@H3s4d
@H3s4d 20 күн бұрын
Hujui,Huu ndiompira!🎉 Unatukanwa. Wanakusifia
@AlexMakanta-zn3zc
@AlexMakanta-zn3zc Ай бұрын
Leo Mimi wa pili jamani kuwa nikutamu kumbe
@juma6253
@juma6253 Ай бұрын
Hahhahhah mzee side mtata sana eti atamkumbuka saidoo kwa kugombania penati🤣🤣🤣
@kakwaleseleman
@kakwaleseleman Ай бұрын
mzee SAIDI ulakoze chane mzee wangu, hii maana yaake ASANTE, umetisha saana mzee wangu hii ya saido kila siku nilikuwa nakusubiri hatimaye imefika ULAKOZE(Asante)
@malietamaliet
@malietamaliet Ай бұрын
😂😂😂jaman watani wangu Simba tutafute namba ya Mzee said tumchangie elf 1 2 3 4 jmn Mzee wetu Kwa yanga sis mashabiki wake tunampenda sana
@FridayNkini
@FridayNkini Ай бұрын
Sasa huyu chagamba hataki kuweka namba
@user-lc6te2pe2l
@user-lc6te2pe2l Ай бұрын
Tangia jana watu wanaomba atume tumpe chochote mzee wetu anatuburudisha.
@malietamaliet
@malietamaliet Ай бұрын
Nani anajua jina analotumia Instagram anambie nije nijaribu kumDM aje na iyo mada na namba tukishaipata tuone tunafanyaje
@westonyjob1747
@westonyjob1747 Ай бұрын
Ila Mzee said dar mung anakuonq😅
@lamecksebyiga1630
@lamecksebyiga1630 Ай бұрын
ILA HUYU MZEE KICHAA SANA😀😀😀😀😀😀, ANANIPAGA RAHA SANA NAMPENDA SANA, EBANA USIACHAGE KUMUHOJI, NAITWA LAMECK - HR HOTEL VERDE ZANZIBAR
@Emmanuel-cu7yu
@Emmanuel-cu7yu Ай бұрын
Wow! Hotel Verde tunayoionaga inatangazwa kwenye Azam Tv
@Jastans-di5xn
@Jastans-di5xn Ай бұрын
Hata kama angefanya vibaya kuliko wote, hakustahili kuitwa "NUKSI" Ww huenda ulikuwa na tatizo nae toka awali aidha chuki binafsi. Mungu akusamehe na akurehem, haya kaondoka next season nisione interview yako ukihuzunika kwa matokeo mabaya Simba kwakuwa umeshasafisha "NUKSI"
@rehemamahendeka-rm2ek
@rehemamahendeka-rm2ek Ай бұрын
Aah jamani,hakika CHUKI BINAFSI HAIFAI,kikoc chote msimbazi jumba bovu limemuangukia mtt wng mwana wa Buyenzi(Said Omar Ntibazonkiza),Mzee Said hebu punguza ukali wa maneno kwa kjn wako/WAJINA WAKO,hebu kumbuka jema japo 1 tu kwake..
@josiacharles2778
@josiacharles2778 Ай бұрын
Ivi tukitoa magoli ya saido, Simba tungekua nafasi ya ngapi?
@user-md8zq5cf8v
@user-md8zq5cf8v Ай бұрын
Naenjoy kumsikiliza Mzee saidi
@FredyDoto-jk8ud
@FredyDoto-jk8ud Ай бұрын
Maji yatapumzika kwa mzee said kiukweli zikipita siku tatu bila kumsikiliza mzee said sijisikii aman kabisa
@SafiaWimana
@SafiaWimana Ай бұрын
Kuku wajirani yako 😂😂😂😂😂😂
@ngido255
@ngido255 Ай бұрын
Mzee saidi very charming 😂😂
@ashrafhamza9988
@ashrafhamza9988 Ай бұрын
Dah ila mzee saidi miyeyusho sana kwa kuku gani mwenye kilo 10😅😅
@marthageorge5043
@marthageorge5043 Ай бұрын
Mzee saidi😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌
@mwajumampokileomckapela7541
@mwajumampokileomckapela7541 Ай бұрын
Vita imekwisha na saido😂😂😂
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs Ай бұрын
Eti amisa mbetoo 😂😂😂😂😂😂
@elishaedson861
@elishaedson861 Ай бұрын
Dah mzee saidi unanifurahsha sanaaa😅😅
@SafiaWimana
@SafiaWimana Ай бұрын
mbona kama umecelea 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@rehemawamwarami3854
@rehemawamwarami3854 Ай бұрын
😂mzeee saidi mitano tenaa
@josiacharles2778
@josiacharles2778 Ай бұрын
Jamani wanadamu atuna jamani 😢😢 Atamimi masapot saido kuondoka ala siyo kwaubaya uwo.
@josiacharles2778
@josiacharles2778 Ай бұрын
😂😂😂 apo kwa sawa dogo mzee umepigaje apo 😂
@lumistarboy8499
@lumistarboy8499 Ай бұрын
mZee said leo kufurahi kama mashabiki zake😅😅😅😅 aya wambie waandae team maana msije kuchukua 7 tena
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 Ай бұрын
Dah! Mzee Said nakupenda! Unajua kunifurahisha
@costadaraja2327
@costadaraja2327 Ай бұрын
😂😂😂😂 mzee saidi eti anashika bukta utachana
@eliasiasende7115
@eliasiasende7115 Ай бұрын
Mwambie mzee saidi ahishe kumzunguzia saido sasa ✅👋👋👋👋👋ayupo tena 😃♦️♦️
@mtafutajiog1939
@mtafutajiog1939 Ай бұрын
ASEME SASA NANI ANAFUATA AMBAYE ANAPENDA AONDOKE MWAMBIE MIRAJI ASIFICHE ASEME NAN ANATAMANI AONDOKE AWE MUWAZI KAMA MZEE SAID
@RashidMussa-is7xo
@RashidMussa-is7xo Ай бұрын
Chama
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Ай бұрын
MANGUNGU 😂😂😂😂
@RashidMussa-is7xo
@RashidMussa-is7xo Ай бұрын
@@salimmalaka256 😂😂
@rukasifanderi-jg4li
@rukasifanderi-jg4li Ай бұрын
mzee wangu umetisha sana unaongea kama chelehan..... Duuuh
@ReganKimaro-js2rk
@ReganKimaro-js2rk Ай бұрын
Cod ya miraj rahisi sana anataka chama aondoke
@bernaberna4159
@bernaberna4159 Ай бұрын
Ila huyu mzeeee😂😂😂khaaaa
@user-ix4uw8ke5t
@user-ix4uw8ke5t Ай бұрын
mzeee saidi sidooo kafanya kazi sana mpenin tu jeshima yake mtawaogopesja wachezaji wengine kujiunga
@S0stenessyka
@S0stenessyka Ай бұрын
Ila mzee said nakukubali sana unasema ukwl na viongozi wamekusikia
@zainaburamadhani1444
@zainaburamadhani1444 Ай бұрын
chagamba mwambie baba yetu ampumzish sasa SAIDO atwambie next ambae hamtakiii😂😂😂😂😂
@dicksondkaganga1290
@dicksondkaganga1290 Ай бұрын
Mzee Said… Ana kipaji. He is smart!
@ChenchiKing
@ChenchiKing Ай бұрын
Mzee Saidii Uwaga Anajuwa Kutufurahisha Xana ❤🎉
@user-ls9ig9lk3t
@user-ls9ig9lk3t Ай бұрын
Mzee saidi😂😂😂😅
@errydeo8865
@errydeo8865 Ай бұрын
Mimi Yanga,Chagamba😂😂😂😂mzee Said anajua sana Kithungu! Najiproud😂😂 Chagamba nipe namba ya mzee Said,nimtumie ela ya JOGOO! HICHO KIKUKU CHENYE MAYAI HAKITUTOSHI WANNAYANGA TUKIJA 🤣🤣 BORA NGOZI ( SUPU) LETU.....
@JeniphaRobert
@JeniphaRobert Ай бұрын
Asa imebaki vita ya mzee saidi na alajiga😂😂 kuku anasafilisha nuksi
@BabuZandar-ee4tg
@BabuZandar-ee4tg Ай бұрын
Haaaaa mzee saidi kweli alimchukia saidoo kanunua kuku
@RabsonSalmon-ys7bf
@RabsonSalmon-ys7bf Ай бұрын
Uyu mzeee ana nipa lahaaa snaa🎉🎉🎉🎉
@ndayiragijevenant
@ndayiragijevenant 17 күн бұрын
Kpenzi changu said naomba uongez mkataba kwa chagamba jaman
@LionOfWar
@LionOfWar Ай бұрын
😂😂😂😂😂 mzee said aisee
@user-zi8zz2vy6t
@user-zi8zz2vy6t Ай бұрын
simba kua sawa mpak dulla atoke
@user-fw6pv8qw3j
@user-fw6pv8qw3j Ай бұрын
Mzee saidi wanasema hivi ulakoze chane Kirundi na kiha 😅😅😅
@mariammuhumpa7544
@mariammuhumpa7544 Ай бұрын
Mzeee saidi😂😂
@SundayTweve
@SundayTweve Ай бұрын
Mzee said bado mangungu nae apewe thank you
@BarakaNjamag
@BarakaNjamag Ай бұрын
Nasubiri hii interview
@lumistarboy8499
@lumistarboy8499 Ай бұрын
Hahaha 😂😂😂Yanga😅😅😅
@user-fw6pv8qw3j
@user-fw6pv8qw3j Ай бұрын
😂😂😂😂😂 Hadi kuku 😅😅😅
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Ай бұрын
MKITAKA KUMLA MBUZI WA MZEE SAIDI MTOWENI MANGUNGU SHENZISTAN YULE 😂😂😂😂
@Aman-vx6xb
@Aman-vx6xb Ай бұрын
Mbona mzee humuongei konde boy na ameachwa
@flaxbeatman
@flaxbeatman Ай бұрын
nimefurahi na mzee saidi leo❤❤❤❤
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 Ай бұрын
Saidoo hatokaa amsahau mzee said
@SundayTweve
@SundayTweve Ай бұрын
Mzee said bado mangungu nae apewe thank you😢😢😢😢😢😅
@japhethKerenge-rw3li
@japhethKerenge-rw3li Ай бұрын
Nakubali😅😅😅😅😅😂😂😂
@ngwilunyiga2447
@ngwilunyiga2447 Ай бұрын
Mzee said uko na mambo leo sana
@othmanali7408
@othmanali7408 Ай бұрын
Chagamba unaona utamuu kumuhoji mzee saidi .
@N0RBETHMPOLOSI
@N0RBETHMPOLOSI Ай бұрын
MZEE SAID NGUVU MOJA ONE TEAM ONE DREAM FOREVER
@saidamanzi4923
@saidamanzi4923 Ай бұрын
Umepigaje hapo mzee said yani boda boda alikuwa anaweka mafuta kwenye piki piki
@flaxbeatman
@flaxbeatman Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂nge imepigwa kule😂😂😂😂
@RabsonSalmon-ys7bf
@RabsonSalmon-ys7bf Ай бұрын
Mzee saidi nawe ulakoze chane
@FredyDoto-jk8ud
@FredyDoto-jk8ud Ай бұрын
Mzee said namkumbuka saido kwa kukimbilia penati
@VictorMOSHI-hw3hg
@VictorMOSHI-hw3hg Ай бұрын
😂😂😂😂Hamisa
@user-xi1vi6mn7d
@user-xi1vi6mn7d Ай бұрын
Kuku anakiloo 10 😂😂😂 kwwiiiooooo
@saidkibabe7131
@saidkibabe7131 Ай бұрын
Aaa yanga😅😅😅😅wajinaaa😂😂
@user-co8eb9es7q
@user-co8eb9es7q Ай бұрын
Wanapewa mkono wa kwaheri wenye magoli 9+ wanambakisha marasta mwenye goli moja
@user-pb3ub3gl4q
@user-pb3ub3gl4q Ай бұрын
Hajakosea kweli ni "MWARAKOZE" yaani tunashukuru
@chakubutakamangila2274
@chakubutakamangila2274 Ай бұрын
Mwambiye mzee saidi ni mnunuliye kuku mwengine kama kuna mtu aliye na namba zake naziomba
@HarriethLouis
@HarriethLouis Ай бұрын
Kweli mzee said alikuwa akimchukia saidoo
@user-ix4uw8ke5t
@user-ix4uw8ke5t Ай бұрын
acha kumchikia wapo wengi mbona wamefeli kuliko saidooo kavuja jasho mno
@Jastans-di5xn
@Jastans-di5xn Ай бұрын
Haya kaondoka sasa utajirike nae afilisike, na kama yy ndio chanzo kutofanya vizuri basi tutaona si umetoa nuksi? Mwanadam mwenzio unamwita nuksi au ujue jina hilo ulompa huku akiwa hana hatia huenda likakurudi usipo omba msamaa.
@MuammaryAbdalla
@MuammaryAbdalla Ай бұрын
Wamejipang kwa azz k saiv wanamadeni
@moseshaji1177
@moseshaji1177 Ай бұрын
Vita sasa itahamia kwa Jobe atasagiwa kunguni na mzee Said hadi aondoke na yeye
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32
Fabiosa Animated
Рет қаралды 4,7 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 78 МЛН
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
00:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 7 МЛН
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 23 МЛН
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32
Fabiosa Animated
Рет қаралды 4,7 МЛН