Mimi YANGA lakini mzee Said anatupa burudani kubwa sana 😂😂😂😂😂😂 MZEE AONGEZEWE MKATABA KWACHAGAMBA TUZIDI KUBURUDIKA
@bakarimmbukwini9623Ай бұрын
Mzee said mwamba kweli kwelikweli sasa niambie anayefuata nani baada ya saido
@trice_yangaАй бұрын
wanayanga lazima tumfurahie siku timu yetu ikiyumba hutomtamani mzeee😂
@errydeo8865Ай бұрын
Atatuchamba huyooo😂😂😂@@trice_yanga
@errydeo8865Ай бұрын
Mzee Said ,TOENI SADAKA KWA WALEMAVU,WATOTO NA WAHITAJI, NDO DUA ITAFIKA! YANGA KUSHINDA FA,ZILIKUA DUA ZA WALE WATOTO! HERSI ALIWAHIDI KOMBE! MUNGU ALISIKIA DUA ZA WALE WATOTO SAID! DUA YOYOTE ITOKE ROHO SAFI! SIMBA HAMNA ROHO SAFI BADO!
@roi2554Ай бұрын
Hata mi pia😂😂😂
@raphaeltanzaniaАй бұрын
mzee said leo uko na Furaha sana hongera kwa Maombi yako leo yametimia
@MathiasFungavyemaАй бұрын
😅😅😅😅 Mzee said amekua anatukosha sana sisi mashabiki wa yanga😂😂😂😂😂😂
@AlexMakanta-zn3zcАй бұрын
Hamisa mobeto na Azizi k wameingia kwenye formula ya Mzee Said 😂😂😂 Mbona wataisoma Number
@OmanAlkamil-nl2zwАй бұрын
Hatimae vita ya Mzee saidi na saido imeisha
@mnyongeiddi2454Ай бұрын
Man of the mach Mzee said 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@gaspermathayo5204Ай бұрын
Kwanza lakwanza kukimbilia penalty 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mzeee side
Yan chagamba na mzee said uwa nawamic sna nikiwa saiz uku🏅🏅
@omarymuya142Ай бұрын
Ugovi umeisha wa mzee saidi na sadiyo bado jobe na huyoakitoka sikuiyo atafanya sheele kubwa
@MabruckLingondoАй бұрын
😂😂usiombee mchezaji ukaingia kwenye mfumo wa Mzee saidi
@B.M-ix4rzАй бұрын
Utatamani ligi iishe ukuimbie😅😅😅
@fatmaally7252Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Asatheboy-vp3yxАй бұрын
Jamani jaman jamani mzee said weweeee saidooo atakufata weweeee
@Evance-op4jwАй бұрын
hahaaaaaa .....wewe mzee wewee ...mimi yanga nimecheka mpaka basi
@WasafiWasafi-up6duАй бұрын
😂😂😂😂😂😂 Mzee Said niko na kuku lingine
@AchileusNshekanaboАй бұрын
hahahahaha mzeee said jaman utaniua
@user-eh6wn9qf4bАй бұрын
Nimesubili sherehe ya mzee said 😂😂😂😂😂
@awadhhamza9296Ай бұрын
Chagamba tutaomba namba za Mzee said Hadi lini kaka ,acheni roho mbaya aiseee...tunataka tumpe 🥤
@mwanangusanaАй бұрын
Sio rahisi kihivyo kutoa namba za mtu kirahic rahic hivyo ndugu zanguni.... Sio wote wanaweza kuitumia kwa Nia njema
@JosephineItambuАй бұрын
Namba yq chagamba iko hapo upande wa kulia chini....kama unamhitaji Mzee Said inabidi upitie kwa Chagamba kwanza kwa sababu za kiusalama wa Mzee wa watu maana sio kila mtu ana nia njema
@fatumasophu5855Ай бұрын
Haaah sa itakuwaje hata mi nataka no ya huyu mzee Yani I'm in ❤❤❤ with huyo mzee@@mwanangusana
@user-xq7xy9xq4nАй бұрын
Unataka kumtumia mzee saidi hela tumia namba ya chagamba ipo hapo chini upande wa kulia ukisha tuma unamwambia hela ya mzee saidi
@chemstry409Ай бұрын
Mzee wangu Mzee Said sasa hivi atakuwa na amani....😂😂😂😂😂
@B.M-ix4rzАй бұрын
Weee subir ligi ianze tunapata tu furaha nyengine Kwa mzee said❤❤❤
Mzee said bado mangungu nae apewe thank you😢😢😢😢😢😅chagamba unafulahi sana hicho kicheko balaa unafulahishwa na mzee said
@user-ks9tn4uw1mАй бұрын
Mzee anamkataa wajna wake😂😂😂😂😂
@KadajhKadigh29 күн бұрын
😂😂😂😂 sema mzee said 😂😂
@user-vj6py9tq9vАй бұрын
Hahahaaa et kugombania penat na faulo🤣🤣🤣
@jumannemohamedy1456Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Nkwiooooo nkwiiioo nkwioooooo
@trice_yangaАй бұрын
Saidoo kaondoka sasa itabaki kwa aziiiiiiiiiiiiiiiiiiii kiiiiiiii na hamisamobetto😂😂😂
@H3s4d20 күн бұрын
Hujui,Huu ndiompira!🎉 Unatukanwa. Wanakusifia
@AlexMakanta-zn3zcАй бұрын
Leo Mimi wa pili jamani kuwa nikutamu kumbe
@juma6253Ай бұрын
Hahhahhah mzee side mtata sana eti atamkumbuka saidoo kwa kugombania penati🤣🤣🤣
@kakwaleselemanАй бұрын
mzee SAIDI ulakoze chane mzee wangu, hii maana yaake ASANTE, umetisha saana mzee wangu hii ya saido kila siku nilikuwa nakusubiri hatimaye imefika ULAKOZE(Asante)
@malietamalietАй бұрын
😂😂😂jaman watani wangu Simba tutafute namba ya Mzee said tumchangie elf 1 2 3 4 jmn Mzee wetu Kwa yanga sis mashabiki wake tunampenda sana
@FridayNkiniАй бұрын
Sasa huyu chagamba hataki kuweka namba
@user-lc6te2pe2lАй бұрын
Tangia jana watu wanaomba atume tumpe chochote mzee wetu anatuburudisha.
@malietamalietАй бұрын
Nani anajua jina analotumia Instagram anambie nije nijaribu kumDM aje na iyo mada na namba tukishaipata tuone tunafanyaje
@westonyjob1747Ай бұрын
Ila Mzee said dar mung anakuonq😅
@lamecksebyiga1630Ай бұрын
ILA HUYU MZEE KICHAA SANA😀😀😀😀😀😀, ANANIPAGA RAHA SANA NAMPENDA SANA, EBANA USIACHAGE KUMUHOJI, NAITWA LAMECK - HR HOTEL VERDE ZANZIBAR
@Emmanuel-cu7yuАй бұрын
Wow! Hotel Verde tunayoionaga inatangazwa kwenye Azam Tv
@Jastans-di5xnАй бұрын
Hata kama angefanya vibaya kuliko wote, hakustahili kuitwa "NUKSI" Ww huenda ulikuwa na tatizo nae toka awali aidha chuki binafsi. Mungu akusamehe na akurehem, haya kaondoka next season nisione interview yako ukihuzunika kwa matokeo mabaya Simba kwakuwa umeshasafisha "NUKSI"
@rehemamahendeka-rm2ekАй бұрын
Aah jamani,hakika CHUKI BINAFSI HAIFAI,kikoc chote msimbazi jumba bovu limemuangukia mtt wng mwana wa Buyenzi(Said Omar Ntibazonkiza),Mzee Said hebu punguza ukali wa maneno kwa kjn wako/WAJINA WAKO,hebu kumbuka jema japo 1 tu kwake..
@josiacharles2778Ай бұрын
Ivi tukitoa magoli ya saido, Simba tungekua nafasi ya ngapi?
@user-md8zq5cf8vАй бұрын
Naenjoy kumsikiliza Mzee saidi
@FredyDoto-jk8udАй бұрын
Maji yatapumzika kwa mzee said kiukweli zikipita siku tatu bila kumsikiliza mzee said sijisikii aman kabisa
@SafiaWimanaАй бұрын
Kuku wajirani yako 😂😂😂😂😂😂
@ngido255Ай бұрын
Mzee saidi very charming 😂😂
@ashrafhamza9988Ай бұрын
Dah ila mzee saidi miyeyusho sana kwa kuku gani mwenye kilo 10😅😅
mZee said leo kufurahi kama mashabiki zake😅😅😅😅 aya wambie waandae team maana msije kuchukua 7 tena
@kibasamohamedi8029Ай бұрын
Dah! Mzee Said nakupenda! Unajua kunifurahisha
@costadaraja2327Ай бұрын
😂😂😂😂 mzee saidi eti anashika bukta utachana
@eliasiasende7115Ай бұрын
Mwambie mzee saidi ahishe kumzunguzia saido sasa ✅👋👋👋👋👋ayupo tena 😃♦️♦️
@mtafutajiog1939Ай бұрын
ASEME SASA NANI ANAFUATA AMBAYE ANAPENDA AONDOKE MWAMBIE MIRAJI ASIFICHE ASEME NAN ANATAMANI AONDOKE AWE MUWAZI KAMA MZEE SAID
@RashidMussa-is7xoАй бұрын
Chama
@salimmalaka256Ай бұрын
MANGUNGU 😂😂😂😂
@RashidMussa-is7xoАй бұрын
@@salimmalaka256 😂😂
@rukasifanderi-jg4liАй бұрын
mzee wangu umetisha sana unaongea kama chelehan..... Duuuh
@ReganKimaro-js2rkАй бұрын
Cod ya miraj rahisi sana anataka chama aondoke
@bernaberna4159Ай бұрын
Ila huyu mzeeee😂😂😂khaaaa
@user-ix4uw8ke5tАй бұрын
mzeee saidi sidooo kafanya kazi sana mpenin tu jeshima yake mtawaogopesja wachezaji wengine kujiunga
@S0stenessykaАй бұрын
Ila mzee said nakukubali sana unasema ukwl na viongozi wamekusikia
@zainaburamadhani1444Ай бұрын
chagamba mwambie baba yetu ampumzish sasa SAIDO atwambie next ambae hamtakiii😂😂😂😂😂
@dicksondkaganga1290Ай бұрын
Mzee Said… Ana kipaji. He is smart!
@ChenchiKingАй бұрын
Mzee Saidii Uwaga Anajuwa Kutufurahisha Xana ❤🎉
@user-ls9ig9lk3tАй бұрын
Mzee saidi😂😂😂😅
@errydeo8865Ай бұрын
Mimi Yanga,Chagamba😂😂😂😂mzee Said anajua sana Kithungu! Najiproud😂😂 Chagamba nipe namba ya mzee Said,nimtumie ela ya JOGOO! HICHO KIKUKU CHENYE MAYAI HAKITUTOSHI WANNAYANGA TUKIJA 🤣🤣 BORA NGOZI ( SUPU) LETU.....
@JeniphaRobertАй бұрын
Asa imebaki vita ya mzee saidi na alajiga😂😂 kuku anasafilisha nuksi
Umepigaje hapo mzee said yani boda boda alikuwa anaweka mafuta kwenye piki piki
@flaxbeatmanАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂nge imepigwa kule😂😂😂😂
@RabsonSalmon-ys7bfАй бұрын
Mzee saidi nawe ulakoze chane
@FredyDoto-jk8udАй бұрын
Mzee said namkumbuka saido kwa kukimbilia penati
@VictorMOSHI-hw3hgАй бұрын
😂😂😂😂Hamisa
@user-xi1vi6mn7dАй бұрын
Kuku anakiloo 10 😂😂😂 kwwiiiooooo
@saidkibabe7131Ай бұрын
Aaa yanga😅😅😅😅wajinaaa😂😂
@user-co8eb9es7qАй бұрын
Wanapewa mkono wa kwaheri wenye magoli 9+ wanambakisha marasta mwenye goli moja
@user-pb3ub3gl4qАй бұрын
Hajakosea kweli ni "MWARAKOZE" yaani tunashukuru
@chakubutakamangila2274Ай бұрын
Mwambiye mzee saidi ni mnunuliye kuku mwengine kama kuna mtu aliye na namba zake naziomba
@HarriethLouisАй бұрын
Kweli mzee said alikuwa akimchukia saidoo
@user-ix4uw8ke5tАй бұрын
acha kumchikia wapo wengi mbona wamefeli kuliko saidooo kavuja jasho mno
@Jastans-di5xnАй бұрын
Haya kaondoka sasa utajirike nae afilisike, na kama yy ndio chanzo kutofanya vizuri basi tutaona si umetoa nuksi? Mwanadam mwenzio unamwita nuksi au ujue jina hilo ulompa huku akiwa hana hatia huenda likakurudi usipo omba msamaa.
@MuammaryAbdallaАй бұрын
Wamejipang kwa azz k saiv wanamadeni
@moseshaji1177Ай бұрын
Vita sasa itahamia kwa Jobe atasagiwa kunguni na mzee Said hadi aondoke na yeye