Рет қаралды 73
Edward Ngoyai Lowassa (26 Agosti 1953 - 10 Februari 2024) Katika kijiji cha Garash Monduli,Arusha wakati huo ilikuwa Tanganyika kwa sasa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Edward Lowassa alikuwa mtoto wa nne wa mchungaji Ngoyai Lowassa, ambaye alifanya kazi kwa muda katika serikali ya kikoloni katika Wilaya ya Monduli katika Mkoa Arusha kama msimamizi (wasimamizi wa sheria za kijiji).